Kwenye Tovuti ya AckySHINE tunawakutanisha watu wanaotoa misaada mbalimbali kwa jamii hasa yatima, walemavu wasiojiweza na wazee, pamoja na Vituo vya kutolea Misaada.
Tunatoa nafasi kwa vituo vya kutoa msaada kwa jamii kutoa matangazo yao bure kwenye tovuti hii. Hatukusanyi michango yoyote bali tunatangaza vituo vya misaada.

Tunawezesha watoa misaada na wenye vituo kukutana.

Kama una kituo chochote cha kutoa msaada Jaza fomu hii ifuatayo kuweka tangazo lako la kituo hapa tulitangaze ili upate misaada. Tangazo lako litatangazwa bure.

Fomu ya Tangazo la kituo cha kutoa msaada.

Jina lako (majina)
Kituo au Taasisi
Andika jina la kituo.
Namba ya simu
Website au tovuti.
Andika link ya website ya kituo
Email
Eleza kuhusu kituo chako


Tukishapokea Fomu hii tutatengeneza tangazo litakalotangazwa kwenye tovuti hii bure.



Makala hizi zinayofanana na hii ya; Kutangaza Vituo Vya Misaada Kwa Jamii

a.gif Kampeni ya kutetea wajane

Kampeni hii ilianzishwa na Melkisedeck Leon Shine mwaka 2018.
Lengo la kampeni hii ni kuhamasisha watu wote kusaidia na kutetea wajane kwenye mahitaji yao ya kimwili, kiroho na kijamii hasa wale wasioweza kusimama wenyewe baada ya kuondokewa wenzi wao.
Wajane wote wanahitaji msaada hasa kipindi cha mwanzo cha ujane. Kuna wanaohitaji msaada wa kiuchumi na faraja na kuna ambao wapo vizuri kiuchumi wanahitaji msaada wa kifaraja tuu… soma zaidi

a.gif Kampeni ya Kudumisha Umoja Wa Imani na Amani kwa watu wote

Kampeni hii ilianzishwa Rasmi Tarehe 15/05/2012 na Melkisedeck Leon Shine.
Lengo la kampeni Hii ni kudumisha Amani na Umoja bila kuangalia tofauti za imani zetu za kidini… soma zaidi

a.gif Kampeni ya kutetea watoto

Kampeni hii ilianzishwa na Melkisedeck Leon Shine mwaka 2018.
Lengo la kampeni hii ni kuhamasisha watu wote kuwakuza watoto kwa maendeleo bora ya kimwili, kiroho na kijamii kwa manufaa ya watoto na kwa manufaa ya watu wote kwa sasa na kwa baadae.
Kampeni hii inaamini kuwa watoto ni kama mali ambayo inawekezwa sasa kwa matumizi na maendeleo ya baadae… soma zaidi

a.gif Kampeni ya kutetea watoto yatima

Kampeni hii ilianzishwa na Melkisedeck Leon Shine mwaka 2018.
Lengo la kampeni hii ni kuhamasisha watu wote kusaidia kulea na kuwakuza watoto yatima kwa maendeleo bora ya kimwili, kiroho na kijamii kwa manufaa ya watoto wenyewe na kwa manufaa ya watu wote kwa sasa na kwa baadae.
Kampeni hii inaamini kuwa watoto yatima kama walivyo watoto wengine nao ni kama mali ambayo inawekezwa sasa kwa matumizi na maendeleo ya baadae. Japokuwa hawana (wazazi) watu/mtu rasmi wa kuwatunza haimaanishi kuwa hawawezi kuwa watu wa maana baadae… soma zaidi

a.gif Kampeni ya usafi na Utunzaji wa mazingira

Kampeni hii ilianzishwa na Melkisedeck Leon Shine mwaka 2018.
Lengo la kampeni Hii ni kuhamasisha watu kusafisha na kutunza mazingira yao kwa manufaa yao ya sasa na kwa manufaa ya vizazi vijavyo.
Kampeni hii inaamini kuwa mazingira yakisafishwa na kutunzwa vizuri yanaweza kuwa msaada kijamii, kiuchumi na kiafya kwa kizazi hiki na kizazi kijacho… soma zaidi