Jifunze kitu Kwenye mfano huu kuhusu Maombi na kuomba
Nabii mmoja aliumwa
na Jino, lilimtesa sanaβ¦
Akapiga magoti kumlilia
Mungu ili amponye..
Mungu akamuonesha mti
flani ili majani yake
Yapate kumtibu..
Akaenda kwenye mti ule,
Akachukua majani yake
akatumia na kweli
akaponaβ¦