Mapishi ya Maini ya kuku
Updated at 21 Sep 2017 08:05
Edited By, Melkisedeck Shine, at 2017.
Mapishi ya Maini ya kuku
Mahitaji
Maini ya kuku 1/2 kilo
Vitunguu vikubwa 2
Hoho 1
Pilipil 1
Limao 1/2
Swaum/tangawizi 1 kijiko cha chai
Curry powder 1/2 kijiko cha chai
Mafuta ya kupikia
Matayarisho
Safisha maini weka pembeni. Baada ya hapo kaanga vitunguu,swaum na tangawizi pamoja (hakikisha vitunguu visiwe vya brown), kisha tia maini, curry powder, pilipili, chumvi ,hoho na limao kisha changanya vizuri na ufunike. Pika mpaka maini yaive na hakikisha yanakuwa na rojo kidogo. Baada ya hapo ipua na yatakuwa tayari kwa kuliwa na chochote upendacho kama vile chapati, chips, ugali, wali.
[MUHIMU HII] Msimu huu usipitwe na dawa hii muhimu ya kuandalia shamba
Soma na kutoa Maoni kuhusu Mapishi ya Maini ya kuku
Endelea kusoma makala hizi zinazofanana na hii ya, Mapishi ya Maini ya kuku;
.
Post preview:
Close preview