ANGALIA-VIDEO-NA-WAHENGA
By, Melkisedeck Shine.
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Hapa nani kawezwa zaidi, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ maajabu. Category ๐videos,: maajabu, Angalia huyu mtu asiyekuwa na miguu lakini anaweza kuogelea vizuri kabisa kama mzima vile, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Mcheki huyu dada, mbwembwe na maringo vimemponza, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ michezo mieleka. Category ๐videos,: michezo mieleka, Mieleka ya ufukweni, Huu mchezo ni hatari, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ kiingereza kimya kiswahili silent vichekesho. Category ๐videos,: kiingereza kimya kiswahili silent vichekesho, Cheki huyu jamaa alivyoumbuka sasa, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ ajali michezo vichekesho. Category ๐videos,: ajali michezo vichekesho, Angalia hawa majamaa walivyobugi sasa, watu chali, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ mbuzi wanyama. Category ๐videos,: mbuzi wanyama, Huyu mbuzi kwa anavyopigwa hata kaa arudie alichofanya, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Huyu jamaa kapata wenge, michezo mingine waachie wenyewe, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Huyu mama mziki umemkolea, angalia anachofanya, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ mamba wanyama. Category ๐videos,: mamba wanyama, Angalia mdomo wa Mamba ulivyo akiupanua, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Huyu jamaa mjinga sana kama Abunuasi vile, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ maajabu vichekesho. Category ๐videos,: maajabu vichekesho, Huu ubunifu kwenye mziki umezidi sasa, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ maajabu vichekesho. Category ๐videos,: maajabu vichekesho, Hizi sherehe nyingine hizi ni funika, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ maajabu. Category ๐videos,: maajabu, Angalia Hawa nguruwe wanavyochinjwa kama vile wanasulubishwa, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ gari nyoka wanyama. Category ๐videos,: gari nyoka wanyama, Bonge la nyoka lilivyojibanza kwenye gari, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Ng'ombe mwenye kichaa azua taharuki mjini, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Miongoni mwa ajali za watu kugongwa barabarani ambazo zimewahi kutokea, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ maajabu vichekesho. Category ๐videos,: maajabu vichekesho, Hawa majamaa walijua ni utani kumbe kweli ni wameona mzimu, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Cheki huyu mtoto anachofanya hapa, enzi zile za utoto, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ kangaroo mbwa wanyama. Category ๐videos,: kangaroo mbwa wanyama, Angalia huyu mnyama anachowafanya Hawa mbwa, ๐Angalia video hapa
.
.
Endelea kuperuzi;-๐
๐ฌ ANGALIA-VIDEOS-NA-WAHENGAโ
๐ฌ ANGALIA-VIDEOS-KWA-MHENGAโ
๐ฌ ANGALIA-VIDEO-KWA-MHENGAโ
๐ฌ ANGALIA-MHENGA-KWA-VIDEOSโ
๐ฌ ANGALIA-WAHENGA-KWA-VIDEOโ
๐ฌ ANGALIA-WAHENGA-KWA-VIDEOSโ
๐ฌ ANGALIA-VIDEO-KWA-WAHENGAโ
๐ฌ ANGALIA-VIDEOS-KWA-WAHENGAโ
๐ฌ ANGALIA-VIDEOS-MHENGAโ
๐ฌ ANGALIA-VIDEO-MHENGAโ
๐ฌ ANGALIA-MHENGA-VIDEOSโ
๐ฌ ANGALIA-WAHENGA-VIDEOโ
๐ฌ ANGALIA-WAHENGA-VIDEOSโ
๐ฌ ANGALIA-VIDEO-WAHENGAโ
๐ฌ ANGALIA-VIDEOS-WAHENGAโ
๐ฌ VIDEOS-NA-MHENGAโ
๐ฌ VIDEO-NA-MHENGAโ
๐ฌ MHENGA-NA-VIDEOSโ
๐ฌ WAHENGA-NA-VIDEOSโ
๐ฌ VIDEO-NA-WAHENGAโ
Tags๐ mapishinalishe
Hiki ni kipimo kinachotumika kuangalia uwiano wa urefu na uzito wa mtu, ni muhimu kuchukua vipimo kwa usahihi.Uwiano wa uzito katika Kilogramu na urefu katika mita hupatikana kwa kutumia kanuni ifuatayo:.. soma zaidi
Tags๐ mahusiano
Mambo 7 ambayo mwanaume apaswi kumfanyia mke wake..
1. Usimpige.
2. Usimtukane na kumshushia heshima… soma zaidi
Tags๐ afya ambako bila bora cha chini dola duni hali hari hata hazikidhi hivyo hizi huduma huishi hukabiliwa huko. huwa jamii katiak katika kielimu. kila kimarekani kipato kitendawili kiuchumi kunapoitwa kutengemea kwa lakini leo. magumu mahitaji maisha maji mashambani matumaini mbaya moja monicafrancis msichana. na nchi ni pia safi salama sana. sehemu siku. umaskini upatikanaji vijijini wa wanaishi wananchi wanaoishi wanaokaa wasichana watu wengi ya za zaidi zinazoendelea wiki
Wasichana wengi wanaoishi katika nchi zinazoendelea hukabiliwa na hali ya umaskini wa kiuchumi na kielimu. Katiak nchi hizi watu wengi huishi kwa kutengemea kipato cha chini ya dola moja ya Kimarekani kwa siku. Hali ni mbaya zaidi katika sehemu za vijijini na mashambani ambako huduma za jamii ni duni sana. Upatikanaji wa maji safi na salama ni kitendawili, lakini pia huduma za afya ni duni na hazikidhi mahitaji ya wananchi wanaokaa huko.
Hata hivyo wananchi wengi wanaishi bila matumaini ya hari bora, maisha huwa magumu zaidi kila kunapoitwa leo. Wakati wananchi wa nchi zilizoendelea wakikabiliwa na matatizo ya kunenepeana kupita kiasi kutokana na kula kwa anasa na kukosa kiasi, wananchi wengi wa nchi zinazoendelea, hasa watoto mamilioni wanakufa kwa njaa. Kwa hakika adui mkubwa wa afya ya wananchi katika nchi zinazoendelea ni umaskini… soma zaidi
Tags๐ chochote fundisha hapa huku husika jifunze jinsi karibu kirahisi. kiswahili kuandika kufundisha kuhariri kujua kurahisisha kurahisishia kusaidia kuweka kwenye mada mahali majadiliano mambo mbalimbali mtandao na ni nia pamoja tagi: tukiruhusu tunatamani ujifunze upatikanaji utafutaji wa watumiaji ya yetu zote wiki
< %%title_linked%%
[**[http://jinsi.wikidot.com/wiki:hhome soma zaidi**
Tags๐ uchumi
Jifunze kanuni za fedha
kama ilivyoainishwa hapo chini.
Fedha inatakiwa uwe na nidhamu nayo katika kutumia
Hii kanuni inatumika kwenye vyanzo vyako vyote vya fedha ili uwe na mafanikio yenye amani.. soma zaidi
Tags๐ (dental (dentine). (enamel) ambako ambapo ambayo augustine bila cha chembe dalili damu dr. exposure). fahamu hali hii hili huanza hufanya hutegemea jino kabisa kama kati kiini kiwango kuiweka kulika kuna kuondoka kusababisha kuwa kwa likiendelea matibabu mbali mbehoma meno mishipa na ndani ngumu ni nje pia pulp rukoma sehemu tatizo ulikaji. uondoka wazi wazi. ya wiki
Na Dr. Augustine Mbehoma Rukoma
Hii ni hali ya ambapo sehemu ngumu ya nje ya meno uondoka na kusababisha sehemu ya ndani kuwa wazi. Tatizo hili huanza kwa kuondoka sehemu ngumu ya nje (enamel) na kuiweka wazi sehemu ya kati ambayo ni ngumu pia (dentine). Tatizo likiendelea bila matibabu hufanya kiini cha jino ambako kuna mishipa ya damu, mishipa ya fahamu na chembe chembe mbali kuwa wazi (dental pulp exposure).
Dalili hutegemea na kiwango cha ulikaji. Kama ni sehemu ya nje kabisa imetoka, dalili uweza kuwa msisimuko (sensitivity) wakati wakunywa vinywaji vya baridi, vya sukari na hata upepo ukiyapuliza meno. Kama kiini cha jino kitakuwa wazi basi maumivu uanza na yanaweza kuwa makali kabisa… soma zaidi
Tags๐ wiki
Mara nyingi utunguaji mimba nje ya mfuko wa uzazi hutokea kwa sababu ya maradhi kwenye via vya uzazi. Maradhi hayo huharibu mirija ya kupitisha mayai. Uharibifu huo hufanya yai lisiweze kufika kwenye mfuko wa mimba na mara nyingi unasababishwa na magonjwa ya zinaa. Kama mwanamke alikuwa na magonjwa ya zinaa uwezekano wa kutunga mimba kwenye mrija wa kupitia mayai unaongezeka.
Ikiwa unafikiri una mimba au iwapo una maumivu chini ya tumbo, unashauriwa uende kliniki kwa ajili ya uchunguzi.
Yai lililorutubishwa linapokaa kwenye mrija wa kupitisha mayai tunasema mimba i imetungwa nje ya mji wa mimbaโectopic pregnancyโ. Kwa maana hiyo basi,, ukuta mwembamba wa mrija utashindwa kutanuka kikamilifu i ili kubeba mimba i inayokua. Mrija hupasuka na damu kutoka. Ikitokea hali hii , lazima mwanamke aende hospitali kwa ajili ya kupasuliwa na pengine kuongezwa damu… soma zaidi
Tags๐ mahusiano
Baba mmoja alikuwa na wake wanne. Alimpenda sana mke wake wa nne na alitumia gharama kubwa kwaajii yake na kumpa matunzo bora. Pia alimpenda mke wake wa tatu na siku zote alipenda kuwaonyesha marafiki zake mke huyu wa tatu kwakuwa alikuwa mrembo kwelikweli. Hata hivyo alikuwa na hofu kwamba huenda mke huyu anaweza msaliti aende kwa mtu mwingine kati ya hao rafiki zake. Pia alimpenda mke wake wa pili kwakuwa kila alipokabiliwa na matatizo mke huyu alikuwa faraja na msaada mkubwa katika kumshauri. Hata hivyo, huyu baba hakuwa na upendo kabisa na mke wake wa kwanza japo mke huyu alimpenda sana mume wake na alikuwa mwaminifu sana kwake… soma zaidi
Tags๐ albino ambao au bluu. dini. familia hali hawana hii hutokea inaonekana ingawaje jamii kabila katika kijivu kila kuliko kuwa kwa maana mabara macho moja na ndugu ngozi ni nini nyekundu nyeupe nywele rangi taifa ualbino ualbino. ualbino? ulimwenguni. wa wako wana watu weusi ya yake yao yote za zaidi zao wiki
Albino wana ngozi nyeupe, nywele nyeupe au nyekundu na macho
ya kijivu au ya bluu. Ngozi yao ni nyeupe zaidi kuliko ndugu zao
wa familia moja au watu wa jamii yake
ambao hawana hali ya ualbino. Ngozi hii inaonekana zaidi kuwa
nyeupe katika familia za watu weusi, ingawaje, ualbino
hutokea kwa watu wa kila taifa, rangi, kabila na dini. Albino
wako katika mabara yote ulimwenguni… soma zaidi
Tags๐ uchumi
Hakuna mtu duniani ambaye hajawahi kukutana na hali ya kukataliwa. Yaani kukataliwa katika hali yoyote ile. Waweza kuwa umekataliwa katika kupata ajira, umekataliwa katika mahusiano, umekataliwa kupata nafasi ya kusoma, umekataliwa kupata mtaji wa biashara, umekataliwa tuu..umekataliwa… soma zaidi
Tags๐ afya mapishinalishe
Mojawapo kati ya magonjwa yanayohusishwa na umaskini na uchafu wa kupindukia ni ugonjwa wa Kipindupindu. Inaripotiwa kuwa Kipingupindu ni miongoni mwa magonjwa ambayo huathiri jamii maskini zaidi kwa kiasi kikubwa hasa hasa kwenye nchi zinazoendelea, kiasi kwamba Shirika la Afya Duniani (WHO) limeuweka ugonjwa huu kama mojawapo ya viashiria vya maendeleo ya jamii husika… soma zaidi
Tags๐ mahusiano
Zifuatazo ni njia za kuamsha hamu ya kufanya mpenzi ya mwanamke. Njia hizi zimegawanyika katika hatua mbili kuu, kwanza ni kumfanya akukubali na kisha kuamsha hisia zake… soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Mchele wa Par boiled au basmati - 5 vikombe.. soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Wakati mafuta ya nazi yakiwa yamemengโenywa na mwili huhamasisha uundwaji wa nguvu mpya za ubongo zijulikanazo kama โketonesโ… soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Unga vikombe 2 ยผ.. soma zaidi
Tags๐ ambavyo ambazo au baadhi bado giza hata hatari hivyo ikatokea. inaweza jinsi jizuie kama katika kila kitu kubakwa. kuchota kujikinga kuna kupunguza kutembea kutokea kwa kwenye misitu mtu. na peke sehemu ubakaji ujinsia unaweza unyanyasaji usibakwe usiwe utafanya vinaweza vitu wa wachache watu ya yako zina wiki
Hata kama utafanya kila kitu usibakwe bado inaweza ikatokea.
Ubakaji na unyanyasaji wa ujinsia unaweza kutokea kwa kila mtu.
Hata hivyo kuna baadhi ya vitu ambavyo vinaweza kupunguza
hatari ya kubakwa.
Jizuie usiwe peke yako kwenye giza, kutembea peke yako
katika misitu au sehemu ambazo zina watu wachache, kuchota
maji sehemu ya mbali. Hakikisha kuwa kuna watu karibuni wa
kukusaidia iwapo kuna hatari. Pia jihadhari na watu walevi na
sehemu ya kunywea pombe maana watu walevi wanaweza wakawa
hatari. Iwapo umelazimika kufanya kazi katika mazingira
ya hatari, jaribu kujadili tatizo hili na wazazi wako au mtu
unayemwamini na muulize huyu mwanamume au mwanamke
azungumze na wazazi wako.
Usikubali zawadi au upendeleo, kama unafikiri unapewa wewe
kwa kubadilishana na ngono. Kama unajisikia unatishwa jaribu
kukimbia na piga kelele kwa kutafuta msaada mara moja.
Utafiti umeonyesha kuwa wasichana au wanawake ambao kwa
ushupavu wanasema hapana na ambao wanathubutu kupiga
kelele na kuvutia hisia za wengine wakati wanaposhambuliwa
wana hatari kidogo ya kubakwa. Unapokuwa unajitetea kwa
uhakika unapoanza unachopenda na usichopenda, ni sehemu
muhimu ya kujilinda… soma zaidi
Tags๐ (ama albino ambao au dini hali hata hawataki hili jambo jamii. kabila katika kimapenzi? kimo kuanza kufanya kujichanganya kujihusisha kuoa/kuolewa kupata kuwa kwa linazidi misingi na nafasi ngumu nini rangi shida tofauti ualbino) uhusiano uhusiano. wa wanaonekana wanapata watu wengi wengine ya wiki
Watu ambao wanaonekana tofauti na wengine (ama kwa misingi
ya kabila, rangi, dini, kimo au hata ualbino) wanapata shida
ya kujichanganya katika jamii. Jambo hili linazidi kufanya hali
kuwa ngumu katika kupata nafasi ya kuanza uhusiano. Kwa hiyo,
siyo sahihi kulinganisha hali hii kwa watu wanaoishi na ualbino
kwani hali hii huwatokea watu tofauti.
Albino labda hawajiamini katika kuanzisha uhusiano wa
kimapenzi kutokana na uzoefu wa kunyanyapaliwa na kubaguliwa.
Wao mara nyingi wanakuwa na woga wa kukataliwa na labda
aliye na nia ya kutaka kuwa mwenzi. Awali ya yote ni kwamba
ili upendwe ni lazima wewe ujiamini na kujipenda mwenyewe.
Changamoto walizonazo familia zenye watoto wanaoishi
na ualbino ni hasa katika kuwajengea hali ya kujiamini na
kuwaelimisha kuwa ulemavu walionao ni katika muonekano
(wa ngozi, nywele na macho). Pamoja na kuwa na muonekano
huo, watoto Albino wana uwezo sawa kama watu wengine… soma zaidi
Tags๐ sayansinatekinolojia
Zijue Fursa 150 za biashara na miiradi mbalimbali nchini
Tanzania… soma zaidi
Tags๐ wiki
Inakadiriwa huchukua miezi mitatu tangu kuambukizwa na VVU hadi i virusi hivyo vionekane kwenye damu. Itakuwa kazi bure kukimbilia kwenda kupima VVU mara tu baada ya kufanya ngono isiyo salama. Inabidi kusubiri miezi mitatu kabla ya kwenda kwenye Ushauri Nasihi na Upimaji wa Hiari… soma zaidi
Tags๐ ajikinge albino ambao au cha haigeuki ina inafanana inaonekana jua kahawia. kama katika kiasi kufunika kupaka kutumia kuvaa kuwa kwa lazima losheni maalumu malkia mama mfano mionzi mzuri na ndefu ndogo. ngozi ngozi. nguo ni nini pigimenti rangi rangi. sawa tofauti uingereza ukosefu wa wana watu weupe weupe? ya za wiki
Ngozi ya Albino ina ukosefu wa rangi. Inaonekana kama ya watu
weupe ambao wana kiasi cha pigimenti ndogo. Tofauti na watu
weupe ngozi ya Albino haigeuki rangi katika jua kuwa kahawia.
Sawa na watu weupe Albino lazima ajikinge na mionzi ya jua kwa
kuvaa nguo ndefu za kufunika ngozi au kutumia losheni maalumu
ya kupaka ngozi. Mfano mzuri ni wa mama wa Malkia wa Uingereza
ambaye anayo ngozi nyororo kama ya mtoto mchanga huku akiwa
na miaka 100 sasa kwa sababu hakuwahi kujiweka juani… soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Maharage yaliyochemshwa kiasi
Spinach zilizokatwa kiasi
Vitunguu maji 2
Nyanya 1/2 kopo
Swaum/Tangawizi 1 kijiko cha chakula
Curry powder 1 kijiko cha chai
Olive oil
Chumvi.. soma zaidi
Tags๐ (rafiki kwa kwenu leo mabinti mliookoka ni tagi: wa waliookoka yesu)..๐ผ ๐๐haya mahusiano
Eti binti kwasababu amempa Yesu maisha (ameokoka) basi ndo haelewekiiiiii,๐.. Uso alishaacha kupaka hata kapoda tu! Wanja ndo kabisa hagusi eti una mapepo, tehe;๐.. soma zaidi
Tags๐ kutibu-chunusi-kiasili mapishinalishe
Uwatu ni dawa nyingine ya asili inayotumika kutibu chunusi. Uwatu unaondoa sumu na maambukizi mbalimbali… soma zaidi
Tags๐ mahusiano
A. Alimpa usingizi mwanaume
B. Alimfanyia upasuaji
C. Damu ilitoka kwa wingi kwa mwanaume
D. Nyama ilitolewa kwa mwanaume
E. Mfupa ulitolewa kwa mwanaume
F. Baada ya kufanyiwa hivyo mwanaume ndipo mwanamke akaumbwa akatoka mwanaume akakiri na kusema huyo ni mfupa katika mfupa wangu na nyama katika nyama yangu โhivyo ataitwa mwanamke napenda ujue kuwa Mwanamke amebeba uponyaji wa mwanaume na mwanaume amebeba vidonda kwa ajili ya mwanamke.. soma zaidi
Tags๐ wiki
Lengo kuu la kujamiiana ni kutafuta watoto. Lakini si sababu pekee. Sababu hizo ni pamoja na;.. soma zaidi
Tags๐ albino? hivyo jeshi katika kuchunguza kukomesha kuwafikisha kuwakama kwa la limeanza linafanya maalumu madhara masuala mauaji mbele mikakati na nini polisi sheria. tawahusika vitendo vya vyombo wote ya yanayohusu yanayotendeka yote wiki
Jeshi la polisi limeanza mikakati maalumu kuchunguza masuala
yote yanayohusu vitendo hivyo, kuwakama tawahusika wote
na kuwafikisha mbele ya vyombo vya sheria. Pia jeshi la Polisi
limeunda kikosi maalumu kwa ajili ya kushughulikia kwa haraka
kesi za Albino… soma zaidi
Tags๐ mahusiano
1. Wana Nguo Nyingi KulikoWanaume.
2. Wanafahamu Nani Ni Baba HalisiWa Watoto Wao… soma zaidi
Tags๐ / afikie albino anayeamua athari au hadi hakuna hata je kijana kike kiume kuacha kujamiiana kuna kutoanza kwakusubiri kwamba madhara mrefu mtu muda ni ukweli uliokubalik umri unaokubalika utu uzima wa yanayompata yoyote zaidi. zinazojulikana wiki
Ukweli ni kwamba hakuna athari zinazojulikana kwakusubiri au
kuacha kujamiiana hadi mtu afikie umri unaokubalika / utu uzima
au hata muda mrefu zaidi. Pia via vya uzazi havitaathirika kwa
njia moja au nyingine (havisinyai wala kutoweka.) Kuna uvumi
potofu unaodai kuwa watu wanaoacha kujamiiana kwa muda
mrefu wanaota chunusi na upele usoni au pia kwenye sehemu
zao za siri na wengine kuchanganyikiwa. Hakuna ukweli wowote
kuhusu uvumi huu. Kuwa na chunusi usoni ni mojawapo ya hali
inayowakabili vijana wenye umri kati ya miaka 13 hadi 19. Hali ya
kuota chunusi inasababishwa na kuwepo mafuta mengi kwenye
ngozi. Hali hii hubadilika kadri umri unavyosogea mbele. Mara
nyingi inashauriwa kufanya mazoezi ya mwili ili kuwezesha
vitundu vilivyopo kwenye ngozi kufunguka na kuwezesha ngozi
kupumua.
Hakuna madhara ya kiafya ambayo yanatokana na kuacha
kujamiiana, bali kinyume ni kuwa, kuna madhara mengi ya
kiafya, hisia na ya kimwili yanayotokana na kujamiiana katika
umri mdogo kama vile mimba zisizotarajiwa, uambukizo wa
magonjwa yatokanayo na kujamiiana pamoja na Virusi vya
UKIMWI… soma zaidi
Tags๐ mahusiano
Kati ya wanawake na wanaume wote wawili wanahitaji kuvutiwa na wenza wao ili wadumu katika mahusiano. Kama mwanaume lazima upate wakati wa kujua unatakiwa kufanya nini kwa ajili ya kulifanya penzi lako lizidi kuchanua.
Hali kadhalika kama bado haupo Kwenye mahusiano kuna mambo ambayo ni ya msingi kufanya au kuwa nayo ili uweze kuwa na mvuto zaidi kwa wanawake… soma zaidi
Tags๐ mahusiano
1. Ametulia si macho juu juu kama nzi kila akionacho hata kichafu chaliwa.
2. Anajiheshimu, anamuheshimu mkewe, ndugu wa pande zote, watu wengine pamoja na majirani pia.
3. Mwenye huruma na mapenzi ya kweli kwa mke na familia kwa ujumla.
4. Mtunzaji wa familia na si bahili au mfujaji wa mali.
5. Mcha mungu, au mwenye utu… soma zaidi
Tags๐ afya mapishinalishe
Nichukue wasaa huu kukuarika rasmi ewe mpenzi na mfuatiliaji wa blog hii ya Muungwana blog, naomba nichukue walau dakika zako chache niweze kukueleza kinagaubaga ni kwa jinsi gani unaweza kupunguza mwili wako kwa kutumia hatua zifuatavyo:.. soma zaidi
Tags๐ (bongo al-shymaa albino albino. ambao anaweza barwani. cha chama cuf flava) iliyojengeka imani ipo jamii katika kawaida keisha khalifan kipya kizazi kupata kupitia kuwa kway-geer kweli. kwenye lindi maalumu maarufu mafanikio maisha maisha? mbunge mdogo mheshimiwa mheshimiwa. mifano mingi mjini muimbaji muziki na ni pia salum si siasa uongozi. uwezo viti wa walimu walioweza wana wanasayansi wanasheria wanawake wapo watu wengine ya yenye wiki
Imani iliyojengeka kwenye jamii kuwa Albino wana uwezo
mdogo si ya kweli. Ipo mifano mingi ya watu walioweza kupata
mafanikio katika maisha ambao pia ni Albino. Wapo ambao ni
walimu, wanasayansi, wanasheria, na wengine wapo kwenye
siasa na uongozi.
Mbunge wa Lindi mjini kupitia chama cha CUF mheshimiwa
Salum Khalifan Barwani.
Mbunge wa viti maalumu wanawake Mheshimiwa. Al-Shymaa
Kway-Geer, muimbaji maarufu wa muziki wa kizazi kipya (bongo
flava) Keisha,
mwanasheria Abdallah Possi na Sizya Migila ambaye ni afisa
utawala wa Taasisi ya Uhasibu ya Taifa ni mifano mizuri
inayoonyesha Albino waliopata mafanikio katika maisha yao.
Mwanamuziki wa kimataifa wa Afro-pop kutoka nchi ya Mali
anayeitwa Salif Keita amefikia mafanikio makubwa sana duniani
kote kuanzia bara la Afrika na Ulaya kiasi cha kuitwa, โSauti
ya Dhahabu.โ Yeye alizaliwa katika familia ya muasisi wa Taifa
la Mali Ndugu Sundiata Keita. Hii pia inadhihirisha kuwa Albino
anaweza kuzaliwa katika familia yoyote kuanzia zile za kifalme
na hata familia maskini za wakulima vijijini… soma zaidi
Tags๐ (tindikali) au baada baadhi chakula chakula. chakula? fikra gongo hata hivyo husaidia imani inaweza itasaidia je kawaida kiasi kidogo kimiminika kuchelewesha kuliko kupunguza kurahisisha kuvuta kuyeyusha kwa kwamba mafuta. mtiririko muhimu na ni pombe potofu sigara tagi: ukinywa uyeyushaji vya vyakula wa ya wiki
Ni imani na fikra potofu kwamba, ukinywa gongo au kuvuta
sigara kwa kiasi kidogo baada ya chakula itasaidia kuyeyusha
baadhi ya vyakula vya mafuta. Pombe inaweza hata kupunguza
mtiririko wa kawaida wa kimiminika muhimu kwa uyeyushaji wa
chakula (tindikali) na hivyo kuchelewesha kuliko kurahisisha
uyeyushaji wa chakula.
Nikotini ya sigara kwa upande mwingine inaongeza kazi katika
utumbo mpana na hivyo kurahisisha uyeyushaji wa chakula.
Lakini kwa upande mwingine nikotini huchochea utengenezaji
wa tindikali tumboni ambayo husababisha maumivu ya tumbo… soma zaidi
Tags๐ ambavyo ambazo au baadhi bado giza hata hatari hivyo ikatokea. inaweza jinsi jizuie kama katika kila kitu kubakwa. kuchota kujikinga kuna kupunguza kutembea kutokea kwa kwenye misitu mtu. na peke sehemu ubakaji ujinsia unaweza unyanyasaji usibakwe usiwe utafanya vinaweza vitu wa wachache watu ya yako zina wiki
Hata kama utafanya kila kitu usibakwe bado inaweza ikatokea.
Ubakaji na unyanyasaji wa ujinsia unaweza kutokea kwa kila mtu.
Hata hivyo kuna baadhi ya vitu ambavyo vinaweza kupunguza
hatari ya kubakwa.
Jizuie usiwe peke yako kwenye giza, kutembea peke yako
katika misitu au sehemu ambazo zina watu wachache, kuchota
maji sehemu ya mbali. Hakikisha kuwa kuna watu karibuni wa
kukusaidia iwapo kuna hatari. Pia jihadhari na watu walevi na
sehemu ya kunywea pombe maana watu walevi wanaweza wakawa
hatari. Iwapo umelazimika kufanya kazi katika mazingira
ya hatari, jaribu kujadili tatizo hili na wazazi wako au mtu
unayemwamini na muulize huyu mwanamume au mwanamke
azungumze na wazazi wako.
Usikubali zawadi au upendeleo, kama unafikiri unapewa wewe
kwa kubadilishana na ngono. Kama unajisikia unatishwa jaribu
kukimbia na piga kelele kwa kutafuta msaada mara moja.
Utafiti umeonyesha kuwa wasichana au wanawake ambao kwa
ushupavu wanasema hapana na ambao wanathubutu kupiga
kelele na kuvutia hisia za wengine wakati wanaposhambuliwa
wana hatari kidogo ya kubakwa. Unapokuwa unajitetea kwa
uhakika unapoanza unachopenda na usichopenda, ni sehemu
muhimu ya kujilinda… soma zaidi
Tags๐ wiki
Kuna baadhi ya vidokezo ambavyo vinaweza kukusaidia:
1. Usikae faragha na mwenzi wako kabla hujawa tayari na kumwamini. Ongozana na marafiki wengine hasa mwanzoni mwa urafiki wenu. Msitoke tu nyie wawili hadi hapo utakapojisikia kuwa umemjua kiasi cha kumwelewa na kumwamini. Pia jiepushe kukaa sehemu za faragha naye… soma zaidi
Tags๐ au cha hali havipo hawana hii huitwa husababishwa imekaa itategemeana kabisa kama katika kiasi kilichopo. kutoa kuwa kuzalisha kwenye macho. madhara mdogo melanini na ngozi ni nini? nywele rangi rangi. ualbino ukosefu upungufu uwezo vimebadilishwa vinasaba vya vyetu. wa wana watu wenye ya yake zao โmelaniniโ. wiki
Watu wenye ualbino hawana uwezo kabisa au wana uwezo mdogo
wa kuwa na rangi kwenye ngozi zao, nywele na macho. Rangi hii
huitwa โmelaniniโ. Rangi ya ngozi itategemeana na kiasi cha
melanini kilichopo. Hali ya kuzalisha melanini imekaa katika
vinasaba vyetu. Kama vinasaba vya kutoa melanini havipo au
vimebadilishwa madhara yake ni ukosefu au upungufu wa rangi.
Kwa hiyo hali ya ualbino ni ya kurithi. Inaweza kurithishwa
kutoka kwa wazazi kwenda kwa mtoto… soma zaidi
Tags๐ albino atajilinda au baada bila dhidi haijalindwa haina hiyo huonyesha huwasha ina inajitahidi inakuwa inatengeneza inaungua ipasavyo jinsi jua jua. kama kidogo kujilinda kupatwa kuuma. kuwa kwa kwanini kwenye lakini mabaka mabaka. meusi meusi1. mionzi na ngozi nyeusi pigimenti sana wanakuwa ya yake zao? wiki
Ngozi ya Albino haina jinsi ya kujilinda na mionzi ya jua. Inaungua
sana baada ya kupatwa na jua na ngozi huwasha na kuuma. Ngozi
ya Albino inajitahidi kujilinda na mionzi ya jua lakini ina pigimenti
nyeusi kidogo sana kwa hiyo inatengeneza mabaka meusi1. Kwa
hiyo, mabaka meusi huonyesha kuwa ngozi haijalindwa ipasavyo
dhidi ya jua. Kama Albino atajilinda na jua ngozi yake inakuwa na
mabaka kidogo sana au bila mabaka… soma zaidi
Tags๐ dini imani ndoa ukimwi ushauri vvu wiki
๏ท Ombeni kwa pamoja kwa ajili ya hekima na ujasiri.
๏ท Amueni kwa pamoja, kwa msaada wa Mungu, kuwa
waaminifu wenyewe kwa wenyewe… soma zaidi
Tags๐ wiki
Kwa kawaida mtu anapoamua kwenda kupima mara nyingi anakuwa na sababu za kumfanya ahisi kuwa au kutokuwa na maambukizi ya Virusi vya UKIMWI. Kwa hiyo mtu akipata jibu kuwa hana maambukizi ya Virusi vya UKIMWI, i itabidi ajiulize huo wasiwasi ulitokea wapi.
Pale mtu anapojua ni kitu gani kilimfanya aende kupima, ni vyema mtu huyo kukaa mbali / kuacha kurudia hilo jambo au tabia i iliyomweka katika hatari ya kupata maambukizi ya Virusi vya UKIMWI na UKIMWI. Kwa mfano, kama alifanya ngono na mtu zaidi ya mmoja na kwa nyakati zote hakutumia kondomu. Baada ya kupima, mtu huyu anatakiwa aache tabia ya kuwa na wapenzi wengi na pia awe anatumia kondomu kujikinga dhidi ya maambukizi ya Virusi vya UKIMWI na UKIMWI. Ni muhimu kuchukua tahadhari zote i ili kujikinga na maambukizi ya Virusi na UKIMWI na UKIMWI… soma zaidi
Tags๐ mahusiano
Ni vibaya pia kwa mwanaume wako kusema anaupenda mchezo fulani kama anavyokupenda! Au ukiwa na msongo wa mawazo, usinase kwenye mtego wa mapenzi kwa kudhani unaweza kuwa tiba. Ni vizuri zaidi kutafuta mwanaume ambaye hahitaji utabibu… soma zaidi
Tags๐ wiki
Upendo wa Mungu hauna mipaka, Soma makala Hizi Zifuatazo;.. soma zaidi
Tags๐ wiki
Kuchagua mchumba ni moja ya maamuzi ambayo kijana anahitaji kuyafanya kwa uangalifu mkubwa sana. Kwa sababu huyo ndiye atakayekuwa mwenzi wake wa maisha. Katika kuchagua mchumba kila mtu ana mawazo yake kuhusiana na kilicho muhimu kuzingatiwa. Mara nyingi mhemuko una nguvu zaidi kuliko uamuzi wa kimantiki.. soma zaidi
Tags๐ uchumi
Kauli 10 za mtu asiye na malengo wala uthubutu
1)Sina mtaji
2)Sina Connection
3)Nitaanza rasmi kesho
4)Mimi ni wa hivihivi tu.. soma zaidi
Tags๐ mahusiano
KATIKA uhusiano wa kimapenzi yapo maneno mawili yenye thamani kubwa na yenye kubeba ujumbe mzito wa kimapenzi kwa mpenzi umpendaye kwa dhati, maneno hayo ni, 'nakupenda' na 'nitakuoa'… soma zaidi
Tags๐ afya mapishinalishe
NI muujiza! Pengine hivyo ndivyo yeyote anaweza kusema pindi akisikia kwa mara ya kwanza juu ya namna mihogo mibichi na nazi kavu maarufu kama mbata vinavyoweza kuwasaidia watu kiafya, na hasa wanaume… soma zaidi
Tags๐ sayansinatekinolojia
Leo tujifunze lugha teule ya Kiswahili.
1. password- Nywila.
2. juice - sharubati.
3. chips - vibanzi.
4. PhD - uzamifu.
5. Masters - uzamili… soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Ndizi mbichi - Kisia.. soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Dagaa waliokaushwa (dried anchovy 2 kikombe cha chai)
Bamia (okra 5)
Nyanya chungu (garden egg 5)
Tui la nazi (coconut milk 1 kikombe cha chai)
Nyanya (fresh tomato 2)
Kitunguu (onion 1)
Curry powder 1/2 ya kijiko cha chai
Turmeric powder 1/2 kijiko cha chai
Limao (lemon 1/2)
Chumvi (salt kiasi)
Pilipili (scotch bonnet 1)
Mafuta (veg oil).. soma zaidi
Tags๐ afya mapishinalishe
Inasemwa kuwa โwewe ni kile unachokulaโ kwa kumaanisha kuwa mwonekano wetu na afya ya mwili na akili unajengwa na chakula tunachokula. Madhara ya chakula chetu tunachotumia yako pia katika ngozi. Kuna vyakula vinavyozeesha ngozi kwa haraka na ni budi kuvijua na kuviepuka… soma zaidi
Tags๐ habari
๎ดKuna siku marafiki tutatengana๎ฃ hatutaonana tena wala kuwasiliana.๐.. soma zaidi
Tags๐ mahusiano
Kamwe usianze mahusiano yako kwa kusema
uongo… soma zaidi
Tags๐ mahusiano
Wasichana 2 waliwasili kwenye Kikao huku wamevaa nguo ambazo zilikuwa zikionyesha miili yao… soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Mihogo kilo 1
Kidali cha kuku 1 kikubwa
Nyanya 1 kubwa
Kitunguu maji 1 cha wastani
Swaum/tangawizi i kijiko cha chai
Nazi kopo 1
curry powder 1 kijiko cha chai
Binzari manjano 1/2 kijiko cha chai
Limao 1/2
Pilipili 1
Chumvi kiasi.. soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Mackerel 2
Kitunguu swaum na tangawizi (ginger and garlic paste) 1 kijiko cha cha kula
Pilipili iliyo katwakatwa (chopped scotch bonnet ) 1/2
Limao (lemon) 1/2
Chumvi (salt) kiasi
Curry powder 1/2 kijiko cha chai
Coriander powder 1/2 kijiko cha chai
Mafuta 1 kijiko cha chai.. soma zaidi
Tags๐ habari
โ *Usinunue simu za Android kwa mtu usiyemjua. Hiyo ni hatari kwani hujui huyo jamaa kaitoa wapi, mwisho wa siku unapewa kesi ya wizi au mauaji. Inawezekana simu hiyo iliibiwa kwa mtu aliyeuawa… **soma zaidi
Tags๐ mahusiano
Umempata bwana
Umempenda kweli
Umemlalamikia kwanini hakupeleki kwa wazazi
Bwana akakupeleka kwa wazazi wake kukutambulisha
Siku ya kwanza umeshinda unachat…. soma zaidi
Tags๐ sayansinatekinolojia
1. Karudi baba mmoja, toka safari ya mbali,
Kavimba yote mapaja, na kutetemeka mwili,
Watoto wake wakaja, ili kumtaka hali,
Wakataka na kauli iwafe maishani… soma zaidi
Tags๐ albino albino? ambao ambayo au chanya hawajayazoea hiyo huogopa ikiwemo imani inasaidia jamii jinsi katika kimapenzi kuhusu kujaribu kujenga kujua kuondoa kuwapenda. kwa mahusiano mambo mapenzi masuala mifano mtazamo na ndipo ndoa. nini pia potofu. sababu siyo tofauti. ualbino ukweli unavyoweza unavyozidi vitu wale wana wanapoona wanatengwa wapo wasiwasi watu wengi wengine ya yale yapo yetu za wiki
Watu huogopa kujaribu vitu au mambo ambayo hawajayazoea
au yale ambayo yapo tofauti. Jinsi unavyozidi kujua ukweli
kuhusu sababu za ualbino ndipo unavyoweza kujenga mtazamo
chanya ikiwemo kuwapenda.
Wapo pia watu wengi katika jamii yetu ambao wana mahusiano
ya kimapenzi na Albino na ambao wapo katika ndoa. Watu
wengine katika jamii wanapoona mifano hiyo inasaidia katika
kuondoa wasiwasi na kuondoa imani potofu… soma zaidi