ANGALIA-WAHENGA-KWA-VIDEOS
This is the Redirect module that redirects the browser directly to the "http://www.ackyshine.com/videos" page.
ANGALIA-WAHENGA-KWA-VIDEOS
By, Melkisedeck Shine.
Tags π nyani vichekesho wanyama. Category πvideos,: nyani vichekesho wanyama, Mwendo wa kupaka makeup, Huyu nyani naye yumo kwenye mambo ya urembo, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Huu ushamba umezidi sasa, πAngalia video hapa
Tags π chui wanyama. Category πvideos,: chui wanyama, Cheki chui wakipiga wao kwa wao kinachotokea, πAngalia video hapa
Tags π ajali gari. Category πvideos,: ajali gari, Ajali ya gari ya ajabu, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Ukisikia ukichaa ndio huu wa kumbeba punda, πAngalia video hapa
Tags π michezo mpira vichekesho. Category πvideos,: michezo mpira vichekesho, Cheki wenge lilivyomponza huyu mchezaji wa mpira, πAngalia video hapa
Tags π nyati simba wanyama. Category πvideos,: nyati simba wanyama, Waangalie huyu simba na nyati wanachokifanya hapa, πAngalia video hapa
Tags π twiga wanyama. Category πvideos,: twiga wanyama, Jinsi wanavyochinja twiga, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Huyu kuku kweli mbabe, yaani anampiga mbwa, πAngalia video hapa
Tags π utundu vichekesho watoto. Category πvideos,: utundu vichekesho watoto, Ukisikia utundu ndio huu wa huyu mtoto sasa, πAngalia video hapa
Tags π maajabu vichekesho. Category πvideos,: maajabu vichekesho, Huyu jogoo ni noma, mwangalie anavyovuta gari la kukokota, πAngalia video hapa
Tags π maajabu michezo. Category πvideos,: maajabu michezo, Mcheki huyu jamaa anavyopiga sarakasi kwenye magari, anaruka gari na sarakasi, πAngalia video hapa
Tags π maajabu mbwa. Category πvideos,: maajabu mbwa, Jinsi mbwa wanavyouzwa kama kitoweo kwa wachina, πAngalia video hapa
Tags π maajabu watoto. Category πvideos,: maajabu watoto, Mtoto anajua kuimba Ile mbaya, angalia show yake, πAngalia video hapa
Tags π maajabu n'gombe. Category πvideos,: maajabu n'gombe, Cheki huyu jamaa anatumia mkojo wa n'gombe kama dawa, πAngalia video hapa
Tags π maajabu mbuzi wanyama. Category πvideos,: maajabu mbuzi wanyama, Mbuzi mwenye miguu miwili tuu kama binadamu na anaweza kutembea, πAngalia video hapa
Tags π maajabu vichekesho. Category πvideos,: maajabu vichekesho, Angalia huyu dogo kabeba kondoo wawili kwenye baisikeli isiyokuwa na kitako, πAngalia video hapa
Tags π nyani vichekesho. Category πvideos,: nyani vichekesho, Mwangalie huyu nyani anachokifanya sasa, ka vile mtu, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Cheki huyu alivyopigwa bonge la kabari, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Hili jeshi la wapi? angalia wanavyokata mauno, πAngalia video hapa
.
.
Endelea kuperuzi;-π
π¬ ANGALIA-VIDEO-KWA-WAHENGAβ
π¬ ANGALIA-VIDEOS-KWA-WAHENGAβ
π¬ ANGALIA-VIDEOS-MHENGAβ
π¬ ANGALIA-VIDEO-MHENGAβ
π¬ ANGALIA-MHENGA-VIDEOSβ
π¬ ANGALIA-WAHENGA-VIDEOβ
π¬ ANGALIA-WAHENGA-VIDEOSβ
π¬ ANGALIA-VIDEO-WAHENGAβ
π¬ ANGALIA-VIDEOS-WAHENGAβ
π¬ VIDEOS-NA-MHENGAβ
π¬ VIDEO-NA-MHENGAβ
π¬ MHENGA-NA-VIDEOSβ
π¬ WAHENGA-NA-VIDEOSβ
π¬ VIDEO-NA-WAHENGAβ
π¬ VIDEOS-NA-WAHENGAβ
π¬ VIDEOS-KWA-MHENGAβ
π¬ VIDEO-KWA-MHENGAβ
π¬ MHENGA-KWA-VIDEOSβ
π¬ WAHENGA-KWA-VIDEOβ
π¬ WAHENGA-KWA-VIDEOSβ
Njia ya kuzuia mimba inayofaa kwa kijana anayeanza kujamiiana
Tagsπ anayeanza inayofaa kijana kujamiiana kuzuia kwa mimba njia ya wiki
Kila njia ya kuzuia mimba ina faida na hasara zake. Kwa mfano faida ya vidonge ni kwamba kama mwanamke atavimeza kila siku, hakuna haja ya kufanya chochote wakati wa kujamiiana. Matatizo ya vidonge ni kwamba mwanamke anahitaji kufikiria kuvinywa kila siku. Kondomu, kwa mfano ina faida kwamba pamoja na mimba inazuia magonjwa ya zinaa, lakini kasoro yake ni kwamba unahitaji kuivaa wakati wa kujamiiana.
Hakika, ushauri wa sasa ni kuwa kondomu ndiyo njia bora zaidi kwani ni njia pekee inayozuia kwa pamoja mimba zisizotarajiwa na maambukizi ya magonjwa yatokananyo na kujamiiana… soma zaidi
Tagsπ anayeanza inayofaa kijana kujamiiana kuzuia kwa mimba njia ya wiki
Kila njia ya kuzuia mimba ina faida na hasara zake. Kwa mfano faida ya vidonge ni kwamba kama mwanamke atavimeza kila siku, hakuna haja ya kufanya chochote wakati wa kujamiiana. Matatizo ya vidonge ni kwamba mwanamke anahitaji kufikiria kuvinywa kila siku. Kondomu, kwa mfano ina faida kwamba pamoja na mimba inazuia magonjwa ya zinaa, lakini kasoro yake ni kwamba unahitaji kuivaa wakati wa kujamiiana.
Hakika, ushauri wa sasa ni kuwa kondomu ndiyo njia bora zaidi kwani ni njia pekee inayozuia kwa pamoja mimba zisizotarajiwa na maambukizi ya magonjwa yatokananyo na kujamiiana… soma zaidi
Ahadi ni kwa wewe.
Tagsπ ' '? 'ahadi 'kwa 'na (matendo 2 2: 39 :38). ahadi ajili ametuita anasema atamwita bwana kama katika kuwa kwa kwake. lakini matendo mbali mtakatifu mungu mwenyewe. na ni nini pentekoste petro roho siku tagi: tazama tunaweza walio watoto wengi wenu wetu wewe. wote ya yenu yetu zawadi wiki
Ahadi ni kwa wewe.
Katika Matendo 2: 39 Petro anasema 'Kwa kuwa ahadi ni kwa ajili yenu na watoto wenu, na kwa wote walio mbali, kama wengi kama Bwana Mungu wetu atamwita kwake. '
Tunaweza kuwa mbali na siku ya Pentekoste lakini ahadi ni kwa ajili yetu kama Mungu ametuita Mwenyewe… soma zaidi
Tagsπ ' '? 'ahadi 'kwa 'na (matendo 2 2: 39 :38). ahadi ajili ametuita anasema atamwita bwana kama katika kuwa kwa kwake. lakini matendo mbali mtakatifu mungu mwenyewe. na ni nini pentekoste petro roho siku tagi: tazama tunaweza walio watoto wengi wenu wetu wewe. wote ya yenu yetu zawadi wiki
Ahadi ni kwa wewe.
Katika Matendo 2: 39 Petro anasema 'Kwa kuwa ahadi ni kwa ajili yenu na watoto wenu, na kwa wote walio mbali, kama wengi kama Bwana Mungu wetu atamwita kwake. '
Tunaweza kuwa mbali na siku ya Pentekoste lakini ahadi ni kwa ajili yetu kama Mungu ametuita Mwenyewe… soma zaidi
Sera ya mapenzi kwa vipindi tofauti tofauti
Tagsπ mahusiano
MIAKA YA:
1986-1990. Ukimtongoza binti, alikuwa akijibu
"NIMEKUBALI ila usimwambie mtu..!".. soma zaidi
Tagsπ mahusiano
MIAKA YA:
1986-1990. Ukimtongoza binti, alikuwa akijibu
"NIMEKUBALI ila usimwambie mtu..!".. soma zaidi
Habari na historia ya mji wa Korogwe
Tagsπ habari
Korogwe ni moja ya wilaya inayopatikana mkoani Tanga nchini Tanzania. Mji huu kihistoria ni moja ya miji ambayo ilijiwekea historia kubwa sana. Hauwezi kuzungunzia habari au historia ya Wazigua bila kutaja mji huu wa Korogwe. Kama tulivyokwisha fafanua kwenye makala ya Wazigua na mgawanyiko wao. Na miongoni mwa Wazigua waliogawanyika, tuliwazungumzia Waluvu… soma zaidi
Tagsπ habari
Korogwe ni moja ya wilaya inayopatikana mkoani Tanga nchini Tanzania. Mji huu kihistoria ni moja ya miji ambayo ilijiwekea historia kubwa sana. Hauwezi kuzungunzia habari au historia ya Wazigua bila kutaja mji huu wa Korogwe. Kama tulivyokwisha fafanua kwenye makala ya Wazigua na mgawanyiko wao. Na miongoni mwa Wazigua waliogawanyika, tuliwazungumzia Waluvu… soma zaidi
Soma hii! Mchagua nazi……
Tagsπ mahusiano
Hakuna mtu aliye mkamilifu kwa asilimia 100. (mfano).. soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Hakuna mtu aliye mkamilifu kwa asilimia 100. (mfano).. soma zaidi
Umeiona hii!!
Tagsπ mahusiano
Asilimia 76% Ya Wasichana Kila Ukiwatongoza Wanakwambia Wapo In relationship SAWA ATUKATAI….. soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Asilimia 76% Ya Wasichana Kila Ukiwatongoza Wanakwambia Wapo In relationship SAWA ATUKATAI….. soma zaidi
Watu wanaoua Albino wanapata faida gani?
Tagsπ albino albino. ambao faida gani? hakuna inayopatikana kisayansi kuua kwa uchunguzi umeonyesha wa wanaoua wanapata watu yoyote wiki
Hakuna uchunguzi wa kisayansi ambao umeonyesha faida
yoyote inayopatikana kwa kuua Albino.
Madai ya kuwepo kwa faida katika mauaji ya Albino ni uvumi
mtupu unaoimarishwa na imani ya kishirikina na hazina msingi.
Kwa bahati mbaya uvumi huu umeimarika katika baadhi ya
jamii na hivyo kupelekea Albino kupata madhara makubwa
ya kujeruhiwa na wakati mwingine kuuawa katika jitihada za
kupata damu au viungo vya miili yao.
Kuua na kujeruhi ni kosa la jinai linaloadhibiwa kisheria. Serikali
kwa sasa ina msimamo mkali wa kukomesha makosa haya ya jinai
kwa kutumia sheria kuhukumu watuhumiwa wanapokamatwa hii
ni pamoja na kuelimisha jamii… soma zaidi
Tagsπ albino albino. ambao faida gani? hakuna inayopatikana kisayansi kuua kwa uchunguzi umeonyesha wa wanaoua wanapata watu yoyote wiki
Hakuna uchunguzi wa kisayansi ambao umeonyesha faida
yoyote inayopatikana kwa kuua Albino.
Madai ya kuwepo kwa faida katika mauaji ya Albino ni uvumi
mtupu unaoimarishwa na imani ya kishirikina na hazina msingi.
Kwa bahati mbaya uvumi huu umeimarika katika baadhi ya
jamii na hivyo kupelekea Albino kupata madhara makubwa
ya kujeruhiwa na wakati mwingine kuuawa katika jitihada za
kupata damu au viungo vya miili yao.
Kuua na kujeruhi ni kosa la jinai linaloadhibiwa kisheria. Serikali
kwa sasa ina msimamo mkali wa kukomesha makosa haya ya jinai
kwa kutumia sheria kuhukumu watuhumiwa wanapokamatwa hii
ni pamoja na kuelimisha jamii… soma zaidi
Je,niwasiliane na niishi vipi na watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI na UKIMWI?
Tagsπ wiki
Mtu anayeishi na virusi vya UKIMWI na UKIMWI anahitaji ushauri na mara pale atakapohisi unamjali i i i i i i i ( unamheshimu) na kumjali, uzito wa ugonjwa unakuwa mwepesi. Mtu mwenye UKIMWI ni mgonjwa kama wagonjwa wengine, i isipokuwa anahitaji faraja zaidi kwa sababu ugonjwa wake hauna tiba.
Matunzo sahihi i kwa watu wanaoishi na Virusi vya UKIMWI na UKIMWI ni muhimu, Mtu anayeishi na Virusi vya UKIMWI apate lishe bora i ili aweze kuimarisha afya yake na awe msafi wa mwili, nguo, nyumba na vyakula. Pia apatiwe matibabu haraka na kwa ukamilifu kwa maradhi yote yatakayojitokeza na asaidiwe kufanya kazi nzito.
Mtu anayeishi na Virusi vya UKIMWI na UKIMWI ana haki za binadamu kama binadamu wengine. Kumbuka kwamba rafiki au ndugu yako mwenye Virusi vya UKIMWI na UKIMWI bado ni rafiki au ndugu yako!.. soma zaidi
Tagsπ wiki
Mtu anayeishi na virusi vya UKIMWI na UKIMWI anahitaji ushauri na mara pale atakapohisi unamjali i i i i i i i ( unamheshimu) na kumjali, uzito wa ugonjwa unakuwa mwepesi. Mtu mwenye UKIMWI ni mgonjwa kama wagonjwa wengine, i isipokuwa anahitaji faraja zaidi kwa sababu ugonjwa wake hauna tiba.
Matunzo sahihi i kwa watu wanaoishi na Virusi vya UKIMWI na UKIMWI ni muhimu, Mtu anayeishi na Virusi vya UKIMWI apate lishe bora i ili aweze kuimarisha afya yake na awe msafi wa mwili, nguo, nyumba na vyakula. Pia apatiwe matibabu haraka na kwa ukamilifu kwa maradhi yote yatakayojitokeza na asaidiwe kufanya kazi nzito.
Mtu anayeishi na Virusi vya UKIMWI na UKIMWI ana haki za binadamu kama binadamu wengine. Kumbuka kwamba rafiki au ndugu yako mwenye Virusi vya UKIMWI na UKIMWI bado ni rafiki au ndugu yako!.. soma zaidi
Soma hapa wewe kijana wa kiume
Tagsπ mahusiano
Nawaandikia ninyi vijana wa kiume na wanaume wote,
maana mna nguvu na mmejaliwa na mwenyezi Mungu utashi,
hekima na busara ili muweze kutawala kila kitu tokea kuumbwa kwa misingi ya ulimwengu huu… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Nawaandikia ninyi vijana wa kiume na wanaume wote,
maana mna nguvu na mmejaliwa na mwenyezi Mungu utashi,
hekima na busara ili muweze kutawala kila kitu tokea kuumbwa kwa misingi ya ulimwengu huu… soma zaidi
Mambo ya kuzingatia unapokua umewekwa chini ya ulinzi na polisi
Tagsπ sayansinatekinolojia
IMEANDALIWA NA MAWAKILI… soma zaidi
Tagsπ sayansinatekinolojia
IMEANDALIWA NA MAWAKILI… soma zaidi
Ugumu wa maisha huanzia akilini mwako
Tagsπ uchumi
Ebu fikiria Dada anayechoma mahindi maeneo ya Manzese Darajani kuanzia saa 12 jioni mpaka SAA 2 usiku, kwa siku moja anauwezo wa kuchoma mahindi .50. Kila hindi moja ananunua shambani kwa shilingi 100/- Na Anauza kwa sh.600/-.. soma zaidi
Tagsπ uchumi
Ebu fikiria Dada anayechoma mahindi maeneo ya Manzese Darajani kuanzia saa 12 jioni mpaka SAA 2 usiku, kwa siku moja anauwezo wa kuchoma mahindi .50. Kila hindi moja ananunua shambani kwa shilingi 100/- Na Anauza kwa sh.600/-.. soma zaidi
Mapishi ya mboga ya mnavu
Tagsπ mapishinalishe
Mnavu mkono 1
Kitungu 1
Karoti 2
Maziwa kikombe 1
Mafuta vijiko viubwa 4
Karanga zilizosagwa kikombe 1
Chumvi kiasi Β½.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mnavu mkono 1
Kitungu 1
Karoti 2
Maziwa kikombe 1
Mafuta vijiko viubwa 4
Karanga zilizosagwa kikombe 1
Chumvi kiasi Β½.. soma zaidi
Je, wasichana wana viungo gani vya uzazi na kazi zake ni zipi?
Tagsπ ambao ana damu gani hapa. hapo heat_anc3_fig1.small.jpg hedhi hupita huu inayofuata: je juu kati katika kazi kokwa kujamii kupitisha mayai mayai. mchoro mfereji mfuko michoro mirija mtoto na ndani ni nje sehemu tagi: uke ukiangalia ulio unaonyesha unatumiwa utaona uzazi uzazi. via vinaonekana viungo vya wa wakati wana wasichana ya za zake zipi? wiki
Viungo vya uzazi vya ndani vinaonekana katika michoro inayofuata:.. soma zaidi
Tagsπ ambao ana damu gani hapa. hapo heat_anc3_fig1.small.jpg hedhi hupita huu inayofuata: je juu kati katika kazi kokwa kujamii kupitisha mayai mayai. mchoro mfereji mfuko michoro mirija mtoto na ndani ni nje sehemu tagi: uke ukiangalia ulio unaonyesha unatumiwa utaona uzazi uzazi. via vinaonekana viungo vya wa wakati wana wasichana ya za zake zipi? wiki
Viungo vya uzazi vya ndani vinaonekana katika michoro inayofuata:.. soma zaidi
Hii ndio inaitwa mbinu ya biashara
Tagsπ uchumi
Anakuja Mchina anasema anahitaji Pakaπ,
ananunua mmoja kwa bei ya 20,000/=, basi
wanakijiji wanahaha kusaka Pakaπ,
wanawaleta mchina ananunua wote anasepa
nao. Anarudi tena anasema vipi, naona
wameadimika, sasa ntanunua kwa bei ya
35,000 Pakaπ mmoja, wanakijiji wanaenda
deep zaidi msituni, kamata Pakaπ, leta kwa
mchina, mchina anasepa nao… soma zaidi
Tagsπ uchumi
Anakuja Mchina anasema anahitaji Pakaπ,
ananunua mmoja kwa bei ya 20,000/=, basi
wanakijiji wanahaha kusaka Pakaπ,
wanawaleta mchina ananunua wote anasepa
nao. Anarudi tena anasema vipi, naona
wameadimika, sasa ntanunua kwa bei ya
35,000 Pakaπ mmoja, wanakijiji wanaenda
deep zaidi msituni, kamata Pakaπ, leta kwa
mchina, mchina anasepa nao… soma zaidi
Afya ya uzazi ni nini?
Tagsπ afya basi gani hali hiyo ina inahusiana kama katika kuamua kukidhi kuwa kwa kwamba lini maana maisha mambo mapenzi mfumo mtu muda na ni nini? pia uhuru ujinsia. usalama uwezo uzazi via vya wa wana wapate watoto watoto. watu watu. ya yanayojumuisha yao yote wiki
Afya ya uzazi inahusiana na mfumo wa uzazi wa mtu, na via
vya uzazi kwa watu. Kwa hali hiyo basi inahusiana na mambo
yote yanayojumuisha uzazi na ujinsia. Ina maana kuwa watu
wana uwezo wa kukidhi mapenzi na usalama katika maisha
yao, kwamba watu wana uwezo wa kuwa na watoto na pia wana
uhuru wa kuamua, kama lini na kwa muda gani wapate watoto.
Yaliyomo humu yanampa haki mwanamume na mwanamke kupewa
habari au kuelekezwa na kufikiwa na njia za uzazi wa mpango
ambazo ni salama, zinazofanya kazi, anazomudu kulipia na njia
zinazokubalika za uzazi wa mpango alizochagua na haki ya kuwa
na huduma za afya zinazofaa ambazo zitawawezesha wanawake
kuwa salama wakati wa ujazito na kujifungua… soma zaidi
Tagsπ afya basi gani hali hiyo ina inahusiana kama katika kuamua kukidhi kuwa kwa kwamba lini maana maisha mambo mapenzi mfumo mtu muda na ni nini? pia uhuru ujinsia. usalama uwezo uzazi via vya wa wana wapate watoto watoto. watu watu. ya yanayojumuisha yao yote wiki
Afya ya uzazi inahusiana na mfumo wa uzazi wa mtu, na via
vya uzazi kwa watu. Kwa hali hiyo basi inahusiana na mambo
yote yanayojumuisha uzazi na ujinsia. Ina maana kuwa watu
wana uwezo wa kukidhi mapenzi na usalama katika maisha
yao, kwamba watu wana uwezo wa kuwa na watoto na pia wana
uhuru wa kuamua, kama lini na kwa muda gani wapate watoto.
Yaliyomo humu yanampa haki mwanamume na mwanamke kupewa
habari au kuelekezwa na kufikiwa na njia za uzazi wa mpango
ambazo ni salama, zinazofanya kazi, anazomudu kulipia na njia
zinazokubalika za uzazi wa mpango alizochagua na haki ya kuwa
na huduma za afya zinazofaa ambazo zitawawezesha wanawake
kuwa salama wakati wa ujazito na kujifungua… soma zaidi
Namna ya kupika Vitumbua
Tagsπ mapishinalishe
Vitumbua ni aina ya vitafunwa vya chai ambavyo hutengenezwa kwa kutumia unga wa mchele. Kiasili vitumbua ni chakula ambacho hupendelewa sana na watu wa pwani. Na mara nyingi wamekuwa wakipika kwa kuchanganya na nazi ili kuvifanya view na ladha nzuri zaidi.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Vitumbua ni aina ya vitafunwa vya chai ambavyo hutengenezwa kwa kutumia unga wa mchele. Kiasili vitumbua ni chakula ambacho hupendelewa sana na watu wa pwani. Na mara nyingi wamekuwa wakipika kwa kuchanganya na nazi ili kuvifanya view na ladha nzuri zaidi.. soma zaidi
Mapishi ya Biriani la nyama ya ng'ombe
Tagsπ mapishinalishe
Nyama ya ng'ombe (beef 1/2 kilo)
Mchele (rice 1/2 kilo)
Vitunguu (onion 2)
Viazi (potato 2)
Vitunguu swaum (garlic 3 cloves)
Tangawizi (ginger)
Nyanya ya kopo (tomato 1/2 ya tin)
Curry powder (1/2 kijiko cha chai)
Binzari nyembamba ya kusaga (cumin 1/2 kijiko cha chai)
Binzari manjano (tarmaric 1/2 kijiko cha chai)
Mafuta (vegetable oil)
Chumvi (salt)
Rangi ya chakula (food colour)
Giligilani (fresh coriander)
Maziwa ya mgando (yogurt kikombe 1 cha chai)
Hiliki nzima (cardamon 3cloves)
Karafuu (clove 3)
Pilipili mtama nzima (black pepper 5)
Amdalasini (cinamon stick 1).. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Nyama ya ng'ombe (beef 1/2 kilo)
Mchele (rice 1/2 kilo)
Vitunguu (onion 2)
Viazi (potato 2)
Vitunguu swaum (garlic 3 cloves)
Tangawizi (ginger)
Nyanya ya kopo (tomato 1/2 ya tin)
Curry powder (1/2 kijiko cha chai)
Binzari nyembamba ya kusaga (cumin 1/2 kijiko cha chai)
Binzari manjano (tarmaric 1/2 kijiko cha chai)
Mafuta (vegetable oil)
Chumvi (salt)
Rangi ya chakula (food colour)
Giligilani (fresh coriander)
Maziwa ya mgando (yogurt kikombe 1 cha chai)
Hiliki nzima (cardamon 3cloves)
Karafuu (clove 3)
Pilipili mtama nzima (black pepper 5)
Amdalasini (cinamon stick 1).. soma zaidi
Jinsi ya kutengeneza Labania Za Maziwa
Tagsπ mapishinalishe
Maziwa ya unga - 2 vikombe.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Maziwa ya unga - 2 vikombe.. soma zaidi
Bikira na ubikira
Tagsπ wiki
Ubikira ni nini?: Maana halisi ya neno βbikiraβ ni mwanamke au mwanaume ambaye hajawahi kabisa kujamii ana. Kujamii ana hapa i ina maana kwamba uume wa mwanaume unaingia katika uke wa mwanamke… soma zaidi
Tagsπ wiki
Ubikira ni nini?: Maana halisi ya neno βbikiraβ ni mwanamke au mwanaume ambaye hajawahi kabisa kujamii ana. Kujamii ana hapa i ina maana kwamba uume wa mwanaume unaingia katika uke wa mwanamke… soma zaidi
Mambo manne muhimu ya kuzingatia kukabiliana na wadudu shambani
Tagsπ kilimonaufugaji
Ili Kabiliana na wadudu shambani unatakiwa kuzingatia mambo yafuatayo;.. soma zaidi
Tagsπ kilimonaufugaji
Ili Kabiliana na wadudu shambani unatakiwa kuzingatia mambo yafuatayo;.. soma zaidi
Jinsi ya kutumia kondomu ya kike
Tagsπ jinsi kike kondomu kutumia ya wiki
Kondomu ya kike inafahamika kwa jina la βcareβ na βLady Petetaβ. Hapa Tanzania hazipatikani sehemu zote na bei yake ni kubwa kidogo.
Kondomu ya kike huingizwa ukeni kabla ya kujamiiana. Kama unatumia kondomu ya kike, chana kwa uangalifu pembezoni mwa pakiti. Kondomu ina pete mbili za plastiki na uwazi upande wa juu. Pete moja imelegea ni ndogo na iko kwa ndani, upande usio na uwazi. Pete ya pili ni kubwa zaidi, imeshikiliwa na iko upande wa tundu. Shikilia kondomu upande uliozibwa na minya pete ya ndani kwa dole gumba na kidole cha pili na cha kati. Mara nyingine inaweza ikakuponyoka, (kuteleza) lakini endelea kujaribu hadi umeiminya vizuri. Tafuta mkao mzuri na ingiza kondomu ya kike. Huku bado unaminya kwa vidole vyako iongoze kondomu ndani ya uke wako. Ukiiachia pete ya ndani itashikilia kondomu ndani ya uke. Sasa ingiza kidole chako kwenye kondomu, sukuma pete mpaka inapogota kwenye mlango wa uzazi.
Kondomu ya kike inaweza kuvaliwa saa kadhaa kabla ya kufanya ngono na pia inaweza kuvuliwa baada ya muda wa kufanyika ngono kupita. Ili kuhakikisha kuwa uume umeingia sehemu husika, msaidie mwenzi wako kuongoza uume kuingia kwenye uke ili usipenye pembeni.
Baada ya kujamiiana, vua kondomu kwa uangalifu. Tupa kondomu iliyotumika kwenye choo cha shimo au uichome. Usitupe kondomu iliyotumika ovyo.
Kama ilivyo kwa kondomu ya kiume, kondomu ya kike itatumika kwa mafanikio zaidi pale ambapo wahusikia wanakuwa na makubaliano na maelewano juu ya matumizi yake… soma zaidi
Tagsπ jinsi kike kondomu kutumia ya wiki
Kondomu ya kike inafahamika kwa jina la βcareβ na βLady Petetaβ. Hapa Tanzania hazipatikani sehemu zote na bei yake ni kubwa kidogo.
Kondomu ya kike huingizwa ukeni kabla ya kujamiiana. Kama unatumia kondomu ya kike, chana kwa uangalifu pembezoni mwa pakiti. Kondomu ina pete mbili za plastiki na uwazi upande wa juu. Pete moja imelegea ni ndogo na iko kwa ndani, upande usio na uwazi. Pete ya pili ni kubwa zaidi, imeshikiliwa na iko upande wa tundu. Shikilia kondomu upande uliozibwa na minya pete ya ndani kwa dole gumba na kidole cha pili na cha kati. Mara nyingine inaweza ikakuponyoka, (kuteleza) lakini endelea kujaribu hadi umeiminya vizuri. Tafuta mkao mzuri na ingiza kondomu ya kike. Huku bado unaminya kwa vidole vyako iongoze kondomu ndani ya uke wako. Ukiiachia pete ya ndani itashikilia kondomu ndani ya uke. Sasa ingiza kidole chako kwenye kondomu, sukuma pete mpaka inapogota kwenye mlango wa uzazi.
Kondomu ya kike inaweza kuvaliwa saa kadhaa kabla ya kufanya ngono na pia inaweza kuvuliwa baada ya muda wa kufanyika ngono kupita. Ili kuhakikisha kuwa uume umeingia sehemu husika, msaidie mwenzi wako kuongoza uume kuingia kwenye uke ili usipenye pembeni.
Baada ya kujamiiana, vua kondomu kwa uangalifu. Tupa kondomu iliyotumika kwenye choo cha shimo au uichome. Usitupe kondomu iliyotumika ovyo.
Kama ilivyo kwa kondomu ya kiume, kondomu ya kike itatumika kwa mafanikio zaidi pale ambapo wahusikia wanakuwa na makubaliano na maelewano juu ya matumizi yake… soma zaidi
Mambo ya Msingi kuyajua Ili uishi na watu vizuri
Tagsπ mahusiano
Nimezipenda hizi nasaha. Naamini na nyinyi wenzangu hamtakosa japo machache ya kujifunza:-
1. Epuka hasira za ovyo na kila mtu, kuwa msikivu kabla ya kukimbilia maamuzi (elewa kuwa ukiwa na hasira huwezi kupata suluhu ya jambo)
2. Usiwatendee wengine ubaya ukadhani kuwa utakuwa salama (ubaya hulipwa kwa ubaya, ipo siku ubaya wako kwa wengine utakurejea kama sio kuwarejea watu wa kizazi chako).. soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Nimezipenda hizi nasaha. Naamini na nyinyi wenzangu hamtakosa japo machache ya kujifunza:-
1. Epuka hasira za ovyo na kila mtu, kuwa msikivu kabla ya kukimbilia maamuzi (elewa kuwa ukiwa na hasira huwezi kupata suluhu ya jambo)
2. Usiwatendee wengine ubaya ukadhani kuwa utakuwa salama (ubaya hulipwa kwa ubaya, ipo siku ubaya wako kwa wengine utakurejea kama sio kuwarejea watu wa kizazi chako).. soma zaidi
Mapishi ya Pilau Ya Nafaka Na Nyama Ya Kusaga
Tagsπ mapishinalishe
Mchele - 3 vikombe.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mchele - 3 vikombe.. soma zaidi
Dawa gani za kulevya ni hatari zaidi?
Tagsπ wiki
Kwa ujumla dawa zote za kulevya zinaweza kuwa ni za hatari. Kati ya dawa zilizohalalishwa kisheria nikotini, ambayo i ipo kwenye sigara, ndiyo hasa ya hatari. Inawezekana kuwa umeshakuwa tegemezi kwa sigara. Hii i ii ina maana ubongo wako utaizoea nikotini na utahitaji nikotini zaidi na zaidi i i ili kuendelea kuwa na hali nzuri. Nikotini pia ni hatari zaidi kwa sababu vijana mara nyingi huanza kutumia sigara kabla ya kuanza kutumia dawa kali zaidi… soma zaidi
Tagsπ wiki
Kwa ujumla dawa zote za kulevya zinaweza kuwa ni za hatari. Kati ya dawa zilizohalalishwa kisheria nikotini, ambayo i ipo kwenye sigara, ndiyo hasa ya hatari. Inawezekana kuwa umeshakuwa tegemezi kwa sigara. Hii i ii ina maana ubongo wako utaizoea nikotini na utahitaji nikotini zaidi na zaidi i i ili kuendelea kuwa na hali nzuri. Nikotini pia ni hatari zaidi kwa sababu vijana mara nyingi huanza kutumia sigara kabla ya kuanza kutumia dawa kali zaidi… soma zaidi
Jinsi ya kutengeneza Pilau Ya Kuku
Tagsπ mapishinalishe
Mchele wa basmati - 3 vikombe.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mchele wa basmati - 3 vikombe.. soma zaidi
Jinsi ya kupika vitumbua vizuri vitamu kwa ajili yako na familia yako kama kitafunwa cha asubuhi au wakati wowote
Tagsπ mapishi vitafunwa vitumbua wiki
Vitumbua ni vitafunwa vizuri na vinavyopendwa na wengi lakini ni wengi wasiojua kupika vitumbua japokua wanavipenda sana. Leo nimekuandalia namna rahisi ya kupika vitumbua kama ifuatavyo;.. soma zaidi
Tagsπ mapishi vitafunwa vitumbua wiki
Vitumbua ni vitafunwa vizuri na vinavyopendwa na wengi lakini ni wengi wasiojua kupika vitumbua japokua wanavipenda sana. Leo nimekuandalia namna rahisi ya kupika vitumbua kama ifuatavyo;.. soma zaidi
Jaribu kufikiria haya
Tagsπ uchumi
1. Uelekeo ni muhimu kuliko kasi. Ni heri kwenda taratibu katika Uelekeo sahihi, kuliko kwenda kwa kasi katika Uelekeo usio sahihi… soma zaidi
Tagsπ uchumi
1. Uelekeo ni muhimu kuliko kasi. Ni heri kwenda taratibu katika Uelekeo sahihi, kuliko kwenda kwa kasi katika Uelekeo usio sahihi… soma zaidi
Mapishi ya Pilau ya nyama ya ng'ombe na kachumbari
Tagsπ mapishinalishe
Mchele (rice vikombe 3)
Nyama ya ng'ombe (beef 1/2 kilo)
Viazi mbatata (potato 3)
Vitunguu maji (onions 3)
Kitunguu swaum (garlic cloves 4)
Tangawizi iliyosagwa (ginger kiasi)
Hiliki nzima (cardamon 4)
Karafuu (clove 4)
Pilipili mtama (blackpepper 4)
Amdalasini (cirnamon stick 1)
Binzari nyembamba nzima(cumin seeds 1/2 ya kijiko cha chai)
Binzari nyembamba ya kusaga (ground cumin 1 kijiko cha chai)
Chumvi (salt)
Mafuta (vegetable oil)
Nyanya (fresh tomato 3)
Limao (lemon 1)
Pilipili (chilli 1)
Hoho (green pepper).. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mchele (rice vikombe 3)
Nyama ya ng'ombe (beef 1/2 kilo)
Viazi mbatata (potato 3)
Vitunguu maji (onions 3)
Kitunguu swaum (garlic cloves 4)
Tangawizi iliyosagwa (ginger kiasi)
Hiliki nzima (cardamon 4)
Karafuu (clove 4)
Pilipili mtama (blackpepper 4)
Amdalasini (cirnamon stick 1)
Binzari nyembamba nzima(cumin seeds 1/2 ya kijiko cha chai)
Binzari nyembamba ya kusaga (ground cumin 1 kijiko cha chai)
Chumvi (salt)
Mafuta (vegetable oil)
Nyanya (fresh tomato 3)
Limao (lemon 1)
Pilipili (chilli 1)
Hoho (green pepper).. soma zaidi
TIBA ZA ASILI ZA CHUNUSI
Tagsπ wiki
Magadi soda ni mazuri sana kwa kusafishia uso na haswa ukiwa na chunusi. Changanya kiasi kidogo cha magadi soda na maji ya kutosha kuunda kidonge kidogo na kisha weka au kandika kidonge icho sehemu ilio athirika na chunusi. Kwa muda wa dakika 15-20 au mpaka ikauke, na kisha suuza kwa maji yasiwe ya moto. Unaweza kurudia rudia mara kadhaa kwa siku mpaka utakapo ona athari ya chunusi imepotea… soma zaidi
Tagsπ wiki
Magadi soda ni mazuri sana kwa kusafishia uso na haswa ukiwa na chunusi. Changanya kiasi kidogo cha magadi soda na maji ya kutosha kuunda kidonge kidogo na kisha weka au kandika kidonge icho sehemu ilio athirika na chunusi. Kwa muda wa dakika 15-20 au mpaka ikauke, na kisha suuza kwa maji yasiwe ya moto. Unaweza kurudia rudia mara kadhaa kwa siku mpaka utakapo ona athari ya chunusi imepotea… soma zaidi
Mapishi ya Biriyani Ya Kuku
Tagsπ mapishinalishe
Mrowanishe kuku na viungo hivi kwa muda mdogo tu.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mrowanishe kuku na viungo hivi kwa muda mdogo tu.. soma zaidi
Dondoo kuhusu tezi dume
Tagsπ mapishinalishe
Tezi dume kila mwanaume anazaliwa nayo ambayo inasaidia kutoa maji maji ambayo yanaweza kusaidia kutengeneza mbegu za kiume… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Tezi dume kila mwanaume anazaliwa nayo ambayo inasaidia kutoa maji maji ambayo yanaweza kusaidia kutengeneza mbegu za kiume… soma zaidi
Faida za kula tunda la apple (tufaa)
Tagsπ afya mapishinalishe
Tunda asili yake ni sehemu za Mashariki mwa Europe na pia Magharibi mwa Asia, na tunda hili linajulikana kwa miaka ya zamani mno katika miji ya Old China, Babulon na Egypt. Tunda hili hutumiwa na lina faida kubwa katika mwili wa mwanaadamu. Lina dawa ya maradhi tofauti:.. soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Tunda asili yake ni sehemu za Mashariki mwa Europe na pia Magharibi mwa Asia, na tunda hili linajulikana kwa miaka ya zamani mno katika miji ya Old China, Babulon na Egypt. Tunda hili hutumiwa na lina faida kubwa katika mwili wa mwanaadamu. Lina dawa ya maradhi tofauti:.. soma zaidi
Je, sigara ni mojawapo ya dawa za kulevya?
Tagsπ ambayo dawa haramu hata hivyo hufanya husababisha iliyomo ina iwe je kulevya kulevya? kuwa kwa kwamba kwenye lakini maana mojawapo mtu ni nikotini sababu sigara siyo tegemezi. ya za wiki
Sigara siyo dawa za kulevya, kwa maana ya kwamba ni haramu,
lakini hata hivyo, sigara ina nikotini ambayo hufanya iwe dawa ya kulevya kwa sababu nikotini iliyomo kwenye sigara
husababisha mtu kuwa mtu tegemezi… soma zaidi
Tagsπ ambayo dawa haramu hata hivyo hufanya husababisha iliyomo ina iwe je kulevya kulevya? kuwa kwa kwamba kwenye lakini maana mojawapo mtu ni nikotini sababu sigara siyo tegemezi. ya za wiki
Sigara siyo dawa za kulevya, kwa maana ya kwamba ni haramu,
lakini hata hivyo, sigara ina nikotini ambayo hufanya iwe dawa ya kulevya kwa sababu nikotini iliyomo kwenye sigara
husababisha mtu kuwa mtu tegemezi… soma zaidi
Utu ni zaidi ya fedha ya heshima ya dunia
Tagsπ habari
Mwaka 1993 mwezi March Mpiga picha maarufu wa Africa kusini (PhotoJournalist) Kevin Carter alitembelea Nchi ya Sudan kwa ajili ya kupiga picha za habari kuhusiana na baa la njaa lililoikabili nchi hiyo… soma zaidi
Tagsπ habari
Mwaka 1993 mwezi March Mpiga picha maarufu wa Africa kusini (PhotoJournalist) Kevin Carter alitembelea Nchi ya Sudan kwa ajili ya kupiga picha za habari kuhusiana na baa la njaa lililoikabili nchi hiyo… soma zaidi
KUFANYA MAPENZI BAADA YA KUJIFUNGUA
Tagsπ wiki
Unaweza ukawa unajiuliza ni wakati gani salama kuanza kufanya mapenzi baada ya kujifungua na kama kuna madhara kwa mtoto wako anayenyonya. Kuna dhana nyingi ambazo huzunguka suala hili ikiwemo kumbemenda na kutopata ujauzito mara baada ya kujifungua… soma zaidi
Tagsπ wiki
Unaweza ukawa unajiuliza ni wakati gani salama kuanza kufanya mapenzi baada ya kujifungua na kama kuna madhara kwa mtoto wako anayenyonya. Kuna dhana nyingi ambazo huzunguka suala hili ikiwemo kumbemenda na kutopata ujauzito mara baada ya kujifungua… soma zaidi
Hungary waingia fainali Euro 2016
Tagsπ 151116004546_hungary_team_304x171_bbc_nocredit.jpg 1986. 2-1. 2016 baada euro fainali hatua hii hivyo hungary imefuzu katika kucheza kuifunga kutinga kwanza kwao makubwa mara mashindano mataifa mchezo mchujo mwaka na ni norway tagi: taifa timu toka ulaya wa waingia walivyofanya ya za habari
Tagsπ 151116004546_hungary_team_304x171_bbc_nocredit.jpg 1986. 2-1. 2016 baada euro fainali hatua hii hivyo hungary imefuzu katika kucheza kuifunga kutinga kwanza kwao makubwa mara mashindano mataifa mchezo mchujo mwaka na ni norway tagi: taifa timu toka ulaya wa waingia walivyofanya ya za habari
.. soma zaidi
Inakuaje mwanaume anaonyesha dalili za magonjwa ya zinaa zaidi kuliko mwanamke?
Tagsπ wiki
Wanaume mara nyingi huambukizwa sehemu za mrija wa mkojo. Katika sehemu hizi ni rahisi kusikia mwasho au maumivu zaidi kuliko kwenye via vya uzazi vya ndani vya mwanamke. Hasa wakati wa kukojoa, chumvichumvi iliyo kwenye mkojo inagusa vidonda ndani ya mrija. Hivyo, ni rahisi zaidi kwa mwanaume kujua kuwa ameambukizwa.
Vilevile mwanaume akiambukizwa na magonjwa haya, sehemu ya mbele ya njia ya mkojo inashambuliwa na huanza kutoa usaha mzito. Lakini uke wa mwanamke hutoa kemikali ambazo hufanya wadudu kutoweza kushambulia kwa haraka, na dalili hazionekani kwa urahisi. Bahati mbaya, kemikali hizi hazizuii kuingia kwa ugonjwa, lakini dalili huchelewa kuonekana.
Usisahau kwamba kama mwanaume anajitambua kuwa na dalili za kuumwa magonjwa ya zinaa, mpenzi wake pia anatakiwa kwenda kliniki ili apate uchunguzi na tiba… soma zaidi
Tagsπ wiki
Wanaume mara nyingi huambukizwa sehemu za mrija wa mkojo. Katika sehemu hizi ni rahisi kusikia mwasho au maumivu zaidi kuliko kwenye via vya uzazi vya ndani vya mwanamke. Hasa wakati wa kukojoa, chumvichumvi iliyo kwenye mkojo inagusa vidonda ndani ya mrija. Hivyo, ni rahisi zaidi kwa mwanaume kujua kuwa ameambukizwa.
Vilevile mwanaume akiambukizwa na magonjwa haya, sehemu ya mbele ya njia ya mkojo inashambuliwa na huanza kutoa usaha mzito. Lakini uke wa mwanamke hutoa kemikali ambazo hufanya wadudu kutoweza kushambulia kwa haraka, na dalili hazionekani kwa urahisi. Bahati mbaya, kemikali hizi hazizuii kuingia kwa ugonjwa, lakini dalili huchelewa kuonekana.
Usisahau kwamba kama mwanaume anajitambua kuwa na dalili za kuumwa magonjwa ya zinaa, mpenzi wake pia anatakiwa kwenda kliniki ili apate uchunguzi na tiba… soma zaidi
Fundisho : Usiwe unakurupuka
Tagsπ : aliingia alipokea baada cha chumba daktari fundisho haraka hospitalini kazi kuelekea kuitwa kuvaa kwa kwenye moja na nguoza sana shughuli simu tagi: unakurupuka upasuaji upasuaji. usiwe wa ya habari
Daktari aliingia hospitalini kwa haraka sana baada ya kuitwa kwa shughuli ya Upasuaji wa haraka, alipokea simu haraka, na kuvaa nguoza kazi na kuelekea moja kwa moja kwenye chumba cha upasuaji… soma zaidi
Tagsπ : aliingia alipokea baada cha chumba daktari fundisho haraka hospitalini kazi kuelekea kuitwa kuvaa kwa kwenye moja na nguoza sana shughuli simu tagi: unakurupuka upasuaji upasuaji. usiwe wa ya habari
Daktari aliingia hospitalini kwa haraka sana baada ya kuitwa kwa shughuli ya Upasuaji wa haraka, alipokea simu haraka, na kuvaa nguoza kazi na kuelekea moja kwa moja kwenye chumba cha upasuaji… soma zaidi
Mambo ya kufanya ili kupona majeraha mapema
Tagsπ afya mapishinalishe
Hakuna mtu anayependa kupata majeraha au kuchelewa kupona majeraha. Kwa kuwa uhai na uzima wetu haupo mikononi mwetu, ni vyema tukafahamu kuwa kuna wakati tunaweza kuumia… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Hakuna mtu anayependa kupata majeraha au kuchelewa kupona majeraha. Kwa kuwa uhai na uzima wetu haupo mikononi mwetu, ni vyema tukafahamu kuwa kuna wakati tunaweza kuumia… soma zaidi
Tatizo la Tezi Dume
Tagsπ mapishinalishe
PROSTATE GLAND (TEZI DUME) TATIZO SUGU KWA WANAUME.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
PROSTATE GLAND (TEZI DUME) TATIZO SUGU KWA WANAUME.. soma zaidi
Mtunzi katumia falsafa Nzuri sana!!
Tagsπ mahusiano
Mtoto mdogo alimfuata baba yake na
kumuliza, "
Nini maana ya SIASA?"
Baba akajibu, " Mwanangu ngoja nijaribu
kujibu kwa mfano huu,
Mimi natafuta fedha
ya matumizi, hivyo niite mimi BEPARI,.. soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Mtoto mdogo alimfuata baba yake na
kumuliza, "
Nini maana ya SIASA?"
Baba akajibu, " Mwanangu ngoja nijaribu
kujibu kwa mfano huu,
Mimi natafuta fedha
ya matumizi, hivyo niite mimi BEPARI,.. soma zaidi
Ubakaji
Tagsπ ambapo anatumia huadhibiwa i jinai katika kisheria. kosa kuonyesha kutumia la mbakaji na ngono nguvu ni nini? tendo ubabe ubakaji wake. wiki
Ubakaji ni tendo la kutumia nguvu katika ngono ambapo mbakaji anatumia nguvu kuonyesha ubabe wake. Ubakaji ni kosa la jinai i na huadhibiwa kisheria.
Kama mtu hayuko tayari kufanya ngono na analazimishwa kukubali kufanya hivyo hii , i inahesabiwa kama ubakaji, hata kama anayekulazimisha ni rafiki, ndugu, jirani, mume au mtu usiyefahamiana naye… soma zaidi
Tagsπ ambapo anatumia huadhibiwa i jinai katika kisheria. kosa kuonyesha kutumia la mbakaji na ngono nguvu ni nini? tendo ubabe ubakaji wake. wiki
Ubakaji ni tendo la kutumia nguvu katika ngono ambapo mbakaji anatumia nguvu kuonyesha ubabe wake. Ubakaji ni kosa la jinai i na huadhibiwa kisheria.
Kama mtu hayuko tayari kufanya ngono na analazimishwa kukubali kufanya hivyo hii , i inahesabiwa kama ubakaji, hata kama anayekulazimisha ni rafiki, ndugu, jirani, mume au mtu usiyefahamiana naye… soma zaidi
Jaribu kufikiria haya
Tagsπ uchumi
1. Uelekeo ni muhimu kuliko kasi. Ni heri kwenda taratibu katika Uelekeo sahihi, kuliko kwenda kwa kasi katika Uelekeo usio sahihi… soma zaidi
Tagsπ uchumi
1. Uelekeo ni muhimu kuliko kasi. Ni heri kwenda taratibu katika Uelekeo sahihi, kuliko kwenda kwa kasi katika Uelekeo usio sahihi… soma zaidi
Ndoa sio utani. Soma stori hii
Tagsπ mahusiano
"Mkeo amefariki. Rudi nyumbani kwako haraka sana" Hezron alimwambia Daniel katika simu… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
"Mkeo amefariki. Rudi nyumbani kwako haraka sana" Hezron alimwambia Daniel katika simu… soma zaidi
WATU SITA WAFA AJALINI MIKUMI MKOANI MOROGORO
Tagsπ habari
Watu sita wamepoteza maisha baada ya gari waliyokuwa wanasafiria kugongana uso kwa uso na basi linalomilikiwa na kampuni ya Prince Muro… soma zaidi
Tagsπ habari
Watu sita wamepoteza maisha baada ya gari waliyokuwa wanasafiria kugongana uso kwa uso na basi linalomilikiwa na kampuni ya Prince Muro… soma zaidi
Machungwa, Zabibu Hupunguza Uwezekano wa Kupata Kiharusi
Tagsπ wiki
Utafiti mpya uliofanyika nchini Marekani umesema ya kwamba kula machungwa na zabibu kunaweza kupunguza uwezekano wa kupata kiharusi (Stroke).
Utafiti huo uliangalia faida za matunda chachu (Citrus Fruit) pekee kwa mara ya kwanza tofauti na tafiti nyingi ambazo tumezizoea zinazoangalia umuhimu wa matunda na mboga za majani kwa afya kiujumla.
Utafiti huu umehusisha maelfu ya wanawake wanaoshiriki katika tafiti ya manesi Nurseβs Health Study lakini wataalamu wanaamini faida hizo za machungwa na zabibu pia zinapatikana kwa wanaume… soma zaidi
Tagsπ wiki
Utafiti mpya uliofanyika nchini Marekani umesema ya kwamba kula machungwa na zabibu kunaweza kupunguza uwezekano wa kupata kiharusi (Stroke).
Utafiti huo uliangalia faida za matunda chachu (Citrus Fruit) pekee kwa mara ya kwanza tofauti na tafiti nyingi ambazo tumezizoea zinazoangalia umuhimu wa matunda na mboga za majani kwa afya kiujumla.
Utafiti huu umehusisha maelfu ya wanawake wanaoshiriki katika tafiti ya manesi Nurseβs Health Study lakini wataalamu wanaamini faida hizo za machungwa na zabibu pia zinapatikana kwa wanaume… soma zaidi
UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Tagsπ wiki
Wanaume Wengi Hapa Duniani Huamini Kuwa, Mwanaume Hasa Ni Yule Anayeweza Kufanya Tendo Hilo Kwa Muda Mrefu Na Mara Nyingi Ndio Maana Vijana Wengi Utawasikia Wakijisifu Kuwa, Mpenzi Wake Hakulala Usiku Mzima Kutokana Na Dozi Ya Maana Aliyompa Na Ukimuuliza Mtu Wa Namna Hii Atakwambia Kuwa Alikwenda Mizunguko Sita Usiku Mzima… soma zaidi
Tagsπ wiki
Wanaume Wengi Hapa Duniani Huamini Kuwa, Mwanaume Hasa Ni Yule Anayeweza Kufanya Tendo Hilo Kwa Muda Mrefu Na Mara Nyingi Ndio Maana Vijana Wengi Utawasikia Wakijisifu Kuwa, Mpenzi Wake Hakulala Usiku Mzima Kutokana Na Dozi Ya Maana Aliyompa Na Ukimuuliza Mtu Wa Namna Hii Atakwambia Kuwa Alikwenda Mizunguko Sita Usiku Mzima… soma zaidi
Babe anatakiwa awe mshamba kidogo kama hivi..
Tagsπ mahusiano
βββbabe anatakiwa kuwa mshamba kidogo… Siyo unadate binti anajua mpaka Lukaku alifunga mabao mangapi msimu uliopita??…
Demu unakaa naye anamjua Boro Yanki, Van Dame, Bill Branks…. Anakuadithia "anodi ya jini mwanzo mwisho"…
Yaani huna hata kipya cha kumfundisha…
Binti anatakiwa ukimuuliza "Bebi unamjua Rooney?? " anakujibu "Namsikia tuu.. Hivi ameimba wimbo gani?? ".. soma zaidi
Tagsπ mahusiano
βββbabe anatakiwa kuwa mshamba kidogo… Siyo unadate binti anajua mpaka Lukaku alifunga mabao mangapi msimu uliopita??…
Demu unakaa naye anamjua Boro Yanki, Van Dame, Bill Branks…. Anakuadithia "anodi ya jini mwanzo mwisho"…
Yaani huna hata kipya cha kumfundisha…
Binti anatakiwa ukimuuliza "Bebi unamjua Rooney?? " anakujibu "Namsikia tuu.. Hivi ameimba wimbo gani?? ".. soma zaidi
Mambo ya msingi kufahamu kuhusu uotaji wa meno kwa mtoto
Tagsπ afya mapishinalishe
Mtoto wako atakapofikisha miezi sita, ataanza kuota meno. Watoto wengi wanapotaka kuota meno humwaga mate sana na hutaka kutafunatafuna vitu. Wakati mwingine watoto hutapika au kuhara wakiota meno… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Mtoto wako atakapofikisha miezi sita, ataanza kuota meno. Watoto wengi wanapotaka kuota meno humwaga mate sana na hutaka kutafunatafuna vitu. Wakati mwingine watoto hutapika au kuhara wakiota meno… soma zaidi
Usiyoyajua kuhusu shambulio la kigaidi la Septemba 11, 2001 huko Marekani
Tagsπ habari
Kila ifikapo Septemba 11 ya kila mwaka Marekani hukumbuka shambulizi baya la kigaidi kuwahi kutokea la kulipuliwa kwa majengo pacha ya Shirika la Biashara la Kimataifa (WTO) mjini New York mwaka 2001… soma zaidi
Tagsπ habari
Kila ifikapo Septemba 11 ya kila mwaka Marekani hukumbuka shambulizi baya la kigaidi kuwahi kutokea la kulipuliwa kwa majengo pacha ya Shirika la Biashara la Kimataifa (WTO) mjini New York mwaka 2001… soma zaidi
Jinsi ya kuanzisha mradi wa mbuzi wa maziwa
Tagsπ ardhi bidhaa biogas cha chanzo humpa hutemea ili jinsi kawi kuanzisha kuongeza kupanda kupata kutoa kutokana kuuzwa kwa kwato kwenye mapato matumizi mauzo maziwa mbuzi midomo mifugo mimea mkulima mradi na ndege. ngozi ni nyama nyumbani pembe pesa pia riziki.ufugaji rutuba samadi samadi. tagi: wa wanyama watu wengi ya za ziada. zinajumulisha zinazoweza zingine wiki
Watu wengi hutemea mifugo kwa riziki.Ufugaji wa wanyama humpa mkulima nyama na maziwa kwa matumizi ya nyumbani na mapato kutokana na mauzo ya ziada. Mifugo pia ni chanzo cha samadi. Bidhaa zingine za wanyama zinazoweza kuuzwa ili kupata pesa zinajumulisha ngozi,samadi ya kuongeza rutuba kwenye ardhi ya kupanda mimea na pia kutoa kawi ya biogas, pembe, kwato na midomo ya ndege… soma zaidi
Tagsπ ardhi bidhaa biogas cha chanzo humpa hutemea ili jinsi kawi kuanzisha kuongeza kupanda kupata kutoa kutokana kuuzwa kwa kwato kwenye mapato matumizi mauzo maziwa mbuzi midomo mifugo mimea mkulima mradi na ndege. ngozi ni nyama nyumbani pembe pesa pia riziki.ufugaji rutuba samadi samadi. tagi: wa wanyama watu wengi ya za ziada. zinajumulisha zinazoweza zingine wiki
Watu wengi hutemea mifugo kwa riziki.Ufugaji wa wanyama humpa mkulima nyama na maziwa kwa matumizi ya nyumbani na mapato kutokana na mauzo ya ziada. Mifugo pia ni chanzo cha samadi. Bidhaa zingine za wanyama zinazoweza kuuzwa ili kupata pesa zinajumulisha ngozi,samadi ya kuongeza rutuba kwenye ardhi ya kupanda mimea na pia kutoa kawi ya biogas, pembe, kwato na midomo ya ndege… soma zaidi
Mambo 8 ya kushangaza yanayofanywa na mwili wako kukulinda pasipo wewe kujua
Tagsπ mapishinalishe
Mwili wa binadamu unafanya mambo
mengi ya kibaiolojia ambayo mara
nyingi ni vigumu kuyaelewa. Mwili una mifumo mbalimbali ya ulinzi ambayo inatulinda na hatari zinazoweza kutudhuru. Mifumo hiyo
inatulinda masaa 24 ya siku, Siku zote 7 za wiki, katika mambo yote
yanayoweza kuhatarisha maisha yetu.
Yafuatayo ni mambo yanayofanywa
na mwili ambayo ni kati ya hiyo
mifumo ya ulinzi wa mwili wa
binadamu… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mwili wa binadamu unafanya mambo
mengi ya kibaiolojia ambayo mara
nyingi ni vigumu kuyaelewa. Mwili una mifumo mbalimbali ya ulinzi ambayo inatulinda na hatari zinazoweza kutudhuru. Mifumo hiyo
inatulinda masaa 24 ya siku, Siku zote 7 za wiki, katika mambo yote
yanayoweza kuhatarisha maisha yetu.
Yafuatayo ni mambo yanayofanywa
na mwili ambayo ni kati ya hiyo
mifumo ya ulinzi wa mwili wa
binadamu… soma zaidi
Jinsi ya kupika Biskuti Nyembamba (Wafer Bar) Za Chokoleti Na Njugu
Tagsπ mapishinalishe
Wafer Powder/gram wafer (unga wa biskuti uliosagwa wa tayari) - vikombe 2.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Wafer Powder/gram wafer (unga wa biskuti uliosagwa wa tayari) - vikombe 2.. soma zaidi
Kwa nini watu wanakuwa wagomvi na wakali wanapokuwa wamelewa?
Tagsπ ambavyo hali haraka hiyo hiyo. hukasirishwa hupoteza husababisha huwapiga huyachukulia kama katika kawaida kufanya kugombana. kuhimili kuona kushindwa kutokana kwa maamumzi madhara maneno. mara matokeo mazingira mihemko mlevi na nini njia nyingi pombe tabia tofauti ushawishi vigumu vitu wa wagomvi wakali wakati waliolewa walioolewa wamelewa. wamelewa? wanakuwa wanapokuwa wangetatua wangevipuuza wasingekuwa wasingelewa. watu ya yake za zao wiki
Madhara ya pombe husababisha watu walioolewa kugombana.
Kutokana na ushawishi wa pombe watu hupoteza tabia zao
za kawaida na kuona vigumu kuhimili mihemko na kushindwa
kufanya maamumzi katika hali hiyo. Matokeo yake, mlevi
huyachukulia tofauti mazingira na maneno. Watu waliolewa hukasirishwa haraka na vitu ambavyo wangevipuuza kama
wasingekuwa wamelewa. Mara nyingi huwapiga watu wakati
wangetatua hali hiyo kwa njia tofauti kama wasingelewa.
Kama jambo hili litatokea miongoni mwa rafiki zako au familia,
jaribu kuwa mbali na uepuke ulevi. Usijaribu kujadiliana na mtu
aliyelewa kwa sababu kwa vyovyote hatakuelewa… soma zaidi
Tagsπ ambavyo hali haraka hiyo hiyo. hukasirishwa hupoteza husababisha huwapiga huyachukulia kama katika kawaida kufanya kugombana. kuhimili kuona kushindwa kutokana kwa maamumzi madhara maneno. mara matokeo mazingira mihemko mlevi na nini njia nyingi pombe tabia tofauti ushawishi vigumu vitu wa wagomvi wakali wakati waliolewa walioolewa wamelewa. wamelewa? wanakuwa wanapokuwa wangetatua wangevipuuza wasingekuwa wasingelewa. watu ya yake za zao wiki
Madhara ya pombe husababisha watu walioolewa kugombana.
Kutokana na ushawishi wa pombe watu hupoteza tabia zao
za kawaida na kuona vigumu kuhimili mihemko na kushindwa
kufanya maamumzi katika hali hiyo. Matokeo yake, mlevi
huyachukulia tofauti mazingira na maneno. Watu waliolewa hukasirishwa haraka na vitu ambavyo wangevipuuza kama
wasingekuwa wamelewa. Mara nyingi huwapiga watu wakati
wangetatua hali hiyo kwa njia tofauti kama wasingelewa.
Kama jambo hili litatokea miongoni mwa rafiki zako au familia,
jaribu kuwa mbali na uepuke ulevi. Usijaribu kujadiliana na mtu
aliyelewa kwa sababu kwa vyovyote hatakuelewa… soma zaidi
Mapishi ya Sponge keki
Tagsπ mapishinalishe
Unga wa ngano (self risen flour) 100g
Sukari (sugar) 100g
Siagi isiyokuwa na chumvi (unsalted butter) 100g
Mayai (eggs) 2
Vanila 1 kijiko cha chai
Chumvi pinch
Warm water 3 vijiko vya chakula.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Unga wa ngano (self risen flour) 100g
Sukari (sugar) 100g
Siagi isiyokuwa na chumvi (unsalted butter) 100g
Mayai (eggs) 2
Vanila 1 kijiko cha chai
Chumvi pinch
Warm water 3 vijiko vya chakula.. soma zaidi
Tanzania: Chadema kufungua kesi kupinga agizo la polisi kuzui kuagwa mwili wa Alphonce Mawazo
Tagsπ agizo alphonce chadema kesi kuagwa kufungua kupinga kuzui la mawazo mwili polisi tanzania: wa habari
Baada ya zoezi la kuuaga mwili wa aliyekuwa mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo (Chadema) mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo kushindikana kutokana na jeshi la polisi mkoani Mwanza kupiga marufuku mikusanyiko ya wanachama na wafuasi wa chama hicho kwa madai ya kuwepo kwa ugonjwa wa kipindupindu jijini Mwanza, hatimaye viongozi wakuu wa kitaifa wa Chadema pamoja na familia ya marehemu wameamua kwenda mahakamani kutafuta haki yao ya kisheria… soma zaidi
Tagsπ agizo alphonce chadema kesi kuagwa kufungua kupinga kuzui la mawazo mwili polisi tanzania: wa habari
Baada ya zoezi la kuuaga mwili wa aliyekuwa mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo (Chadema) mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo kushindikana kutokana na jeshi la polisi mkoani Mwanza kupiga marufuku mikusanyiko ya wanachama na wafuasi wa chama hicho kwa madai ya kuwepo kwa ugonjwa wa kipindupindu jijini Mwanza, hatimaye viongozi wakuu wa kitaifa wa Chadema pamoja na familia ya marehemu wameamua kwenda mahakamani kutafuta haki yao ya kisheria… soma zaidi
Kwa nini uume unasimama mara nyingine wakati wa kuamka asubuhi?
Tagsπ wiki
Ni kweli kwamba mara nyingi hali hii huwatokea wavulana na wanaume. Ndani ya uume kuna mishipa mingi ya damu na kama damu nyingi i i ikienda sehemu hii i ii inasababisha uume kuwa mgumu na kusimama. Mtu anapolala huwa ametulia na hivyo damu inaweza kusukumwa kuelekea kwenye uume. Kwa hiyo, msukumo wa damu ndani ya uume ni sababu pekee ya uume kusimama. Pia kujaa kwa kibofu cha mkojo huweza kusababisha uume kusimama wakati wa kuamka usingizini asubuhi… soma zaidi
Tagsπ wiki
Ni kweli kwamba mara nyingi hali hii huwatokea wavulana na wanaume. Ndani ya uume kuna mishipa mingi ya damu na kama damu nyingi i i ikienda sehemu hii i ii inasababisha uume kuwa mgumu na kusimama. Mtu anapolala huwa ametulia na hivyo damu inaweza kusukumwa kuelekea kwenye uume. Kwa hiyo, msukumo wa damu ndani ya uume ni sababu pekee ya uume kusimama. Pia kujaa kwa kibofu cha mkojo huweza kusababisha uume kusimama wakati wa kuamka usingizini asubuhi… soma zaidi
Salamu za kiinjilisti kwa wadada
Tagsπ hii. kiinjilisti na salamu tabia tagi: wadada wakaka wenye za zenu mahusiano
~Yaanike matiti yako kwenye mitandao wee, yabane vizuri na vaa vinguo vya ajabu ili yaonekane…
~Jaa kiburi wanavyokusifia wanaume wazinzi kuwa wewe ni mzuri na umependeza…
~Vaa visiketi vyako vya kubana na kuacha vimapaja vyako nje wanaume wasio na huruma wakusifie kisha wakulaghai na kuzini na wewe…
~Zitoe mimba hizo wanazokupa endelea na huo mchezo mpaka pale utakapoona kuua sio maagizo ya Mungu na wakati huo umeshaua kizazi… soma zaidi
Tagsπ hii. kiinjilisti na salamu tabia tagi: wadada wakaka wenye za zenu mahusiano
~Yaanike matiti yako kwenye mitandao wee, yabane vizuri na vaa vinguo vya ajabu ili yaonekane…
~Jaa kiburi wanavyokusifia wanaume wazinzi kuwa wewe ni mzuri na umependeza…
~Vaa visiketi vyako vya kubana na kuacha vimapaja vyako nje wanaume wasio na huruma wakusifie kisha wakulaghai na kuzini na wewe…
~Zitoe mimba hizo wanazokupa endelea na huo mchezo mpaka pale utakapoona kuua sio maagizo ya Mungu na wakati huo umeshaua kizazi… soma zaidi
Mapishi ya Pilau Ya Nyama Ya Ng'ombe Na Nyanya
Tagsπ mapishinalishe
Mchele (Basmati) - 3 vikombe.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mchele (Basmati) - 3 vikombe.. soma zaidi
Watu wanaamini kuwa Albino wana joto katika mapenzi kuliko watu weusi, Je, hiyo ni kweli?
Tagsπ albino hiyo je joto katika kuliko kuwa kweli? mapenzi ni wana wanaamini watu weusi wiki
Hii siyo kweli,
tofauti
baina ya Albino
na mtu a s i
ekuwa na ualbino
i m e e l e z w a
hapo mwanzoni
ambapo tofauti
ipo tu kwenye
muonekano wa
rangi ya ngozi,
nywele n a macho. Mifumo yao yote mingine ya mwili iko sawa na watu
wasio na ualbino.
Watu wanaweza tu kuanzisha uvumi kama huo popote pale.
Ipo pia mifano kama: Wajerumani wanaamini kuwa Wafaransa
wana joto katika mapenzi, Wazungu pia huamini kuwa Waafrika
wana joto n.k. Hizo ni hisia tu na siyo ukweli. Katika jamii wapo
watu ambao wanapenda kufanya ngono sana, wapo wa wastani
na wapo wale ambao hawajisikii msukumo wa kujamiiana. Uvumi
huu unatokana na mawazo ya kifikra na siyo ukweli halisi… soma zaidi
Tagsπ albino hiyo je joto katika kuliko kuwa kweli? mapenzi ni wana wanaamini watu weusi wiki
Hii siyo kweli,
tofauti
baina ya Albino
na mtu a s i
ekuwa na ualbino
i m e e l e z w a
hapo mwanzoni
ambapo tofauti
ipo tu kwenye
muonekano wa
rangi ya ngozi,
nywele n a macho. Mifumo yao yote mingine ya mwili iko sawa na watu
wasio na ualbino.
Watu wanaweza tu kuanzisha uvumi kama huo popote pale.
Ipo pia mifano kama: Wajerumani wanaamini kuwa Wafaransa
wana joto katika mapenzi, Wazungu pia huamini kuwa Waafrika
wana joto n.k. Hizo ni hisia tu na siyo ukweli. Katika jamii wapo
watu ambao wanapenda kufanya ngono sana, wapo wa wastani
na wapo wale ambao hawajisikii msukumo wa kujamiiana. Uvumi
huu unatokana na mawazo ya kifikra na siyo ukweli halisi… soma zaidi