CHEKA-MHENGA-VIDEOS
By, Melkisedeck Shine.
Tags ๐ vichekesho wanyama. Category ๐videos,: vichekesho wanyama, Nyani sharobaro huyu, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Huyu mwanamama ni hatari, cheki anachofanya hapa sasa, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Cheki kilichowapata hawa wadada, hawatakaa warudie, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Hapa nani mbabe kwenye ngumi hii, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Angalia huyu alivyomfanyia mwenzake anayesinzia huku akivua samaki, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ maajabu michezo. Category ๐videos,: maajabu michezo, Duh Hawa watu ni hatari kwa kuruka, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ ajali gari vichekesho. Category ๐videos,: ajali gari vichekesho, Angalia huyu jamaa mwenye mbwe mbwe kilichompata mwanae, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ ajali maajabu ndege. Category ๐videos,: ajali maajabu ndege, Cheki hii ndege ilivyowaka, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ ajali gari. Category ๐videos,: ajali gari, Angalia hawa walivyogongwa kiajabu, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Cheki hiki, hivi vyombo vingine vya usafiri ni majanga, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ utani vichekesho wanafunzi. Category ๐videos,: utani vichekesho wanafunzi, Dawa ya Wanafunzi wanaosinzia na kulala darasani, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Michezo mingine hii ni hatari, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Hizi bahati mbaya nyingine jamani…, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Kwa wale wanaopenda kuchokoza mabinti za watu angalia huyu kilichompata baada ya kumchokoza huyu dada, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Kwa uchoyo huu, huyu msichana kazidi sasa, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Ukiwa na mzazi kama huyu andika maumivu, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ ajali gari. Category ๐videos,: ajali gari, Hii ajali ya hili gari kwenye mchanga ni balaa, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Mwanamme anavyozinguana na mwanamke, ๐Angalia video hapa
.
.
Endelea kuperuzi;-๐
๐ฌ CHEKA-WAHENGA-VIDEOโ
๐ฌ CHEKA-WAHENGA-VIDEOSโ
๐ฌ CHEKA-VIDEO-WAHENGAโ
๐ฌ CHEKA-VIDEOS-WAHENGAโ
๐ฌ ANGALIA-VIDEOS-NA-MHENGAโ
๐ฌ ANGALIA-VIDEO-NA-MHENGAโ
๐ฌ ANGALIA-MHENGA-NA-VIDEOSโ
๐ฌ ANGALIA-WAHENGA-NA-VIDEOโ
๐ฌ ANGALIA-WAHENGA-NA-VIDEOSโ
๐ฌ ANGALIA-VIDEO-NA-WAHENGAโ
๐ฌ ANGALIA-VIDEOS-NA-WAHENGAโ
๐ฌ ANGALIA-VIDEOS-KWA-MHENGAโ
๐ฌ ANGALIA-VIDEO-KWA-MHENGAโ
๐ฌ ANGALIA-MHENGA-KWA-VIDEOSโ
๐ฌ ANGALIA-WAHENGA-KWA-VIDEOโ
๐ฌ ANGALIA-WAHENGA-KWA-VIDEOSโ
๐ฌ ANGALIA-VIDEO-KWA-WAHENGAโ
๐ฌ ANGALIA-VIDEOS-KWA-WAHENGAโ
๐ฌ ANGALIA-VIDEOS-MHENGAโ
๐ฌ ANGALIA-VIDEO-MHENGAโ
Tags๐ mapishinalishe
Maini ya kuku 1/2 kilo
Vitunguu vikubwa 2
Hoho 1
Pilipil 1
Limao 1/2
Swaum/tangawizi 1 kijiko cha chai
Curry powder 1/2 kijiko cha chai
Mafuta ya kupikia.. soma zaidi
Tags๐ uchumi
Watu wengi wanajiuliza, โSiri ya utajiri ni nini?โ
Je ni mbinu gani zinaweza kumsaidia mtu kupata utajiri?
Siri kubwaya utajiri ni kujifunza elimu ya namna ya kutafuta mtaji, kuwekeza kwa busara kwa namna ambayo daima panakuwa naziada na faida… soma zaidi
Tags๐ (kuoa/kuolewa) ambaye amelazimishwa hali hampendi hatua heshima hili hiyo hiyo. hukubaliani iwapo jadiliana katika kufunga kuingia kukataa kuonyesha kwa kwanza msichana/ mtu mvulana na ndoa ni nini suala waeleze wafanye wako. wamelazimishwa wasiyemtaka? watu wazazi wazi wazi. ya wiki
Iwapo mtu amelazimishwa
kuingia katika hali ya ndoa
(kuoa/kuolewa) na msichana/
mvulana ambaye hampendi,
hatua ya kwanza ni kukataa
ndoa hiyo na kuonyesha wazi
wazi. Jadiliana suala hili na
wazazi wako. Waeleze kwa
heshima kwa nini hukubaliani
na ndoa hiyo… soma zaidi
Tags๐ uchumi
Tupo kwenye dunia ambayo tulikuta watu na tutawaacha watu.
Vyote tulivyovikuta vilianzishwa na binadamu wengine wenye mawazo mema na wenye mawazo mabaya pia. Vitu vingi tunavyovifanya tunaendeleza tulivyovikuta ni mara chache kukuta kitu kipya ambacho hakitegemei mazingira na asili ya tulivyovikuta… soma zaidi
Tags๐ au gharama imepiga kadi krismasi kwa marufuku mpya mwaka na pesa serikali tanzania umma utengenezaji wa ya za habari
"Fedha zilizopangwa kugharamia utengenezaji na uchapishaji wa kadi, zitumike kupunguza madeni ambayo Wizara, Idara na Taasisi za umma zinadaiwa na wananch/wazabuni waliotoa huduma na bidhaa kwao au zipelekwe katika matumizi mengine ya kipaumbele,โ imesema taarifa iliyotoka kwa kaimu mkurugenzi wa mawasiliano ya Ikulu Bw Gerson Msigwa… soma zaidi
Tags๐ afya mapishinalishe
Utafiti uliofanyika nchini Marekani umebaini kwamba watu wazima wasiovuta sigara lakini walipokuwa watoto wazazi wao walivuta sigara mbele yao,wana hatari kubwa zaidi ya kufa kutokana na maradhi ya mapafu… soma zaidi
Tags๐ mahusiano
Mambo 7 ambayo mwanaume apaswi kumfanyia mke wake..
1. Usimpige.
2. Usimtukane na kumshushia heshima… soma zaidi
Tags๐ uchumi
Eka moja ya shamba la papai inaweza kuingiza miche 1000-1200(elfu moja hadi elfu na mia mbili)-zile mbegu fupi. Tufanye umepanda miche 1,000. Mti mmoja ukiuhudumia vema unaweza kutoa matunda hadi 120 kwa msimu… soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Ni kazi ngumu kidogo kuacha uvutaji wa sigara. Uvutaji ni tishio kwa maisha yetu. Yawezekana hufahamu kwamba nusu ya watu wanaovuta sigara watakufa, ikiwa ni matokeo ya athari kilevi hicho. Sigara inasababisha robo ya vifo vyote vya kansa nchini Uingereza kila mwaka… soma zaidi
Tags๐ mahusiano
Sio mbaya kwa marafiki wa karibu au ndugu na jamaa kufahamu kushirikiana nanyi katika mapenzi yenu kama vile wakati wa sherehe au msiba. Pia sio mbaya kujuliana hali na kutambulisha mambo ya msingi yanayoendelea katika mahusiano yako wewe na mpenzi wako. Hata hivyo kuna wakati watu wengine wa pembeni, wawe majirani, ndugu, wazazi au marafiki wanaweza kuwa โsumuโ ya mahusiano yako, hasa pale unapowategemea sana kutoa msaada, maoni au maelekezo katika maisha yako ya mapenzi. Makala hii inaeleza mambo ya msingi unayoweza kufanya ili kupunguza uwezekano wa rafiki, ndugu, jamaa, au wazazi kuwa โsumuโ ya mapenzi yako… soma zaidi
Tags๐ wiki
Dalili moja i iliyo wazi zaidi ni kukosa hedhi. Mwanamke akijamii ana na mwanaume bila kutumia kinga yoyote na asipopata hedhi katika muda unaotakiwa, mara nyingi i i ina maana kwamba amepata mimba… soma zaidi
Tags๐ mahusiano
Ujumbe wangu kwako Leo: NI VEMA UKAYAJUA
HAYA KABLA YA KUINGIA KWENYE NDOA:
1. Sherehe ya Harusi ni ya siku moja tu, na Ndoa
ni ya maisha yote.
2. Mwanamume/Mwanamke aliyezoea kuchepuka
kabla ya Ndoa, ataendelea kuchepuka hata baada
ya Ndoa… soma zaidi
Tags๐ mahusiano
Nisaidie hili :
KUNA BWANA 1 MKAZI WA UNGUJA, ILA yupo London akawaagiza nduguze wamuolee MKE, wakamuolea… soma zaidi
Tags๐ ajili ajilii au banda bora cha chanjo faida familia. hivi jinsi katika kienyeji kipato kufuga kuku kuku.banda kulishia kulishwa kumia kusagwa kutumia kutunza kwa lazima lishe maalumu mabaki mahindi mchele na ni nzuri pamoja rahisi safi sehemu tagi: ufanyike ugali. uhakika ukawa ulishaji ulishaji: unaweza vikaushwe vilivyotengenezwa vizuri vizuri. vyakula vyombo wa wanaweza ya wiki
Unaweza kutunza kuku wa kienyeji na ukawa na kipato cha uhakika, pamoja na lishe nzuri kwa ajili ya familia… soma zaidi
Tags๐ (cucumber) ardhini arusha biashara chakula. cucumber fito hata hili huoza. hustawi jinsi katika kilimanjaro kulima kulimwa kuwekea kwa kwani la matango matunda mazao mboga mikoa muhimu na nchini ni nje pia pwani. tagi: tanga tanzania tanzania. vizuri wingi ya yake yakilala zao wiki
Matango (cucumber) ni zao muhimu katika mazao ya mboga na matunda nchini Tanzania na hata nje ya Tanzania. Ni vizuri kuwekea matango fito kwani matunda yake yakilala ardhini huoza. Hili ni zao la biashara, pia chakula. Zao hili hustawi na kulimwa kwa wingi katika mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Tanga na Pwani… soma zaidi
Tags๐ ' 'roho (matendo (waefeso (warumi (yohana 13). 13: 16: 2 27) 4 4). 5 16 26 8: :13). :3 :30) ana anaitwa anaongea anaongea. anapenda au biblia daima elimu hana hisia hizi inafundisha kama kamwe kuwa kuwabariki kweli mapenzi. mpya mtakatifu mtu mtu. mungu. na nani? nguvu ni nia roho shariti. sifa sio tagi: uaminifu. ukweli ukweli. uongo. usio uwezo. wa watu ya yeye yohana wiki
Biblia inafundisha kuwa Roho Mtakatifu ni Mungu. (Matendo 5 :3,4). Roho Mtakatifu sio nguvu mpya, nguvu au shariti. Yeye ni mtu. Kama mtu ana hisia (Waefeso 4 :30) , Nia ya elimu usio (Warumi 8: 26,27) na mapenzi. Yeye anaongea. (Matendo 13: 2, Yohana 16: 13). nguvu au nguvu hana sifa hizi na uwezo… soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Mara nyingi biringanya hutumika kama kiungo cha nyongeza katika mchuzi. Hata hivyo, kiungo hiki kinaweza kupikwa chenyewe na kutoa mchuzi wenye ladha ya kipekee… soma zaidi
Tags๐ afya mapishinalishe
Kuchagua vyakula sahihi kwa mlo wako inaweza kuwa changamoto na tungependa kuamini kwamba kupungua uzito ni jambo tu la kula kalori chache na kufanya mazoezi zaidi . Hata hivyo, si mara zote zoezi hili linakuwa rahisi. Kama ni lengo lako kupunguza uzito, kuchagua chakula gani ule ni muhimu kama kuchagua kiasi gani cha chakula ule… soma zaidi
Tags๐ albino anashauriwa basi daima dhidi hatima hivyo ikiwa ili jua jua. kila kofia kudhurika kujikinga kujipaka kukinga kulinda kuona kupata kuvaa kwa maalumu mafuta matatizo mikono mionzi mirefu miwani mkubwa na ngozi ngozi. nguo ni nini pamoja pana rahisi sana saratani uwezekano uwezo vijana wa wafanye wale wenye ya yake yanayosaidia yao? za wiki
Pamoja na matatizo ya kuona, ngozi ya Albino ni rahisi sana
kudhurika kwa mionzi ya jua. Hatima yake ikiwa ni uwezekano
mkubwa wa kupata saratani ya ngozi. Hivyo basi, kila Albino
anashauriwa daima kujikinga dhidi ya mionzi ya jua kwa kuvaa
nguo za mikono mirefu, kuvaa kofia pana, kuvaa miwani ya jua na
kwa wale wenye uwezo kujipaka mafuta maalumu yanayosaidia
kukinga ngozi dhidi ya mionzi ya jua… soma zaidi
Tags๐ sayansinatekinolojia
IMEANDALIWA NA MAWAKILI… soma zaidi
Tags๐ (rafiki kwa kwenu leo mabinti mliookoka ni tagi: wa waliookoka yesu)..๐ผ ๐๐haya mahusiano
Eti binti kwasababu amempa Yesu maisha (ameokoka) basi ndo haelewekiiiiii,๐.. Uso alishaacha kupaka hata kapoda tu! Wanja ndo kabisa hagusi eti una mapepo, tehe;๐.. soma zaidi
Tags๐ #baraza alilo la magufuli mawazili rais tangaza habari
Rais wa Tanzania John Magufuli ametangaza baraza lake la mawaziri ambalo kwa sasa lina mawaziri 19, ingawa wizara ni 18. Mawaziri sita kati ya hao ni wanawake. Dkt Magufuli amesema kuna nafasi nne za uwaziri ambazo bado anatafuta watu wanaofaa kuteuliwa… soma zaidi
Tags๐ baada damu hii hivyo husababisha iliyomo inasababisha je katika kinyume kuchangamsha? kujichua kukufanya kumiminika kupita kwa kwenye lakini mchangamfu. mfupi; misuli msisimko muda mwanzo mwanzoni mwanzoni. mwilini na ndiyo ni nikotini pia raha. sababu sigara tagi: tu ubongo ujisikie ulivyojisikia unafurahisha utajisikia uvutaji wa wako. wingi ya wiki
Ndiyo, lakini ni mwanzo tu na kwa muda mfupi; hii ni kwa
sababu mwanzoni nikotini iliyomo katika sigara inasababisha
damu kumiminika kwa wingi kupita kwenye ubongo wako. Hivyo,
husababisha msisimko na kukufanya ujisikie raha. Nikotini
pia inasababisha misuli mwilini kujichua na hivyo kukufanya
ujisikie mchangamfu… soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Chenga za biskuti - 3 gilasi.. soma zaidi
Tags๐ mahusiano
Poleni Sana madada wa zama hizi wenye umri wa kuanzia miaka 30 na kuendelea. Mliochezea fursa… soma zaidi
Tags๐ afya mapishinalishe
Unapopita maeneo mengi ya mijini na pembezoni wa miji utakutana na wafanyabiashara wa miwa wanaouza miwa na juisi yake. Wengi hununua juisi ya miwa kwa kuwa hufurahia utamu wake. Lakini umeshajiuliza juisi miwa ina faida gani kiafya?.. soma zaidi
Tags๐ wiki
Uwezekano wa kuambukizwa na Virusi vya UKIMWI na UKIMWI ukijamii ana na mtu mwenye virusi vya UKIMWI bila kutumia kondomu ni mkubwa.
Mpaka leo, kondomu ni njia pekee ya kuzuia kuambukizwaVirusi vya UKIMWI na UKIMWI wakati wa kujamii ana. Kama kondomu i inatumiwa i ipasavyo na kila unapojamii ana na mtu mwenye virusi vya UKIMWI, uwezekano wa kuambukizwa ni mdogo sana. Kutumia kondomu ipasavyo i i ina maana kutumia kondomu mpya, kuivaa vizuri uumeni na kuitoa kabla ya uume kulegea… soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Unga wa ngano (self risen flour) kikombe 1na 1/2
Sukari (sugar) 1/4 kikombe
Barking powder 1/2 kijiko cha chai
Magadi soda (bicarbonate soda) 1 kijiko cha chai
Mafuta 2 vijiko vya chai
Mafuta ya kukaangia
Maji ya uvuguvugu kiasi.. soma zaidi
Tags๐ sayansinatekinolojia
Zijue Fursa 150 za biashara na miiradi mbalimbali nchini
Tanzania… soma zaidi
Tags๐ agano ahadi ambalo au biblia cha dhambi hiki ingawa jina kabla kale kama karne kinaanza kinaeleza kitabu kiyunani kristo. kuelezea la lijulikanalo lililopewa linatokana maana maelezo mkubwa mtazamo mwanadamu mwanadamu. mwanamke mwanamume mwanzo na ndilo neno ni septuagint.katika tagi: tatu ulimwengu utangulizi uumbaji vitu vyote wa watafsiri ya yaani yake โasili โchanzo โchimbukoโ โgenesisโ โmwanzoโ โ wiki
Neno โMwanzoโ linatokana na neno la Kiyunani โgenesisโ ambalo maana yake ni โasili,โ โchimbukoโ au โchanzo,โ
ambalo ndilo jina lililopewa kitabu hiki na watafsiri wa Agano la Kale la Kiyunani lijulikanalo kama
Septuagint.katika karne ya tatu kabla ya Kristo. Ingawa kitabu hiki cha Mwanzo kinaanza kuelezea uumbaji wa
vitu vyote, mtazamo mkubwa ni uumbaji wa mwanadamu. Kitabu hiki kinaeleza mwanzo wa ulimwengu, mwanzo
wa mwanadamu, yaani, mwanamke na mwanamume, mwanzo wa dhambi ya mwanadamu, mwanzo wa ahadi na
mipango ya Mungu ya wokovu na uhusiano wa kipekee kati ya Abrahamu na Mungu. Kitabu kinaelezea juu ya
watu mahsusi wa Mungu na mipango Yake katika maisha yao. Baadhi ya watu hawa ni Adamu na
Eva,wanadamu wa kwanza kabisa kuumbwa, Noa, Abrahamu, Isaki, Yakobo, Yosefu na ndugu zake na wengine
wengi.
Mwanzo ni kitabu cha kwanza miongoni mwa vile vitabu vinavyoitwa, โโVitabu Vitano vya Mose,โโ vilivyoko
mwanzoni mwa Biblia. Vitabu hivi vinaitwa pia vitabu vya sheria kwa sababu ndipo palipoandikwa maagizo na
sheria za Mungu kwa watu wa Israeli. Kitabu hiki cha Mwanzo kama kitabu cha utangulizi katika habari za
Mungu kuendelea kujifunua mwenyewe katika jamaaa ya wanadamu,jambo hili ni la muhimu sana.Katika
kitabu
hiki ndiko tunapopata ahadi ya kwanza kabisa ya ukombozi wa mwanadamu aliyeanguka, โโฆ.uzao wa
mwanamke utakuponda kichwaโฆโ(3:15). Mwanzo kinaelezea jinsi ilivyotokea hadi Israeli wakafanyika watu
maalum wa Mungu… soma zaidi
Tags๐ kilimonaufugaji
Ili upate matokeo mazuri wakati wa kunyunyiza mbolea ya maji unatakiwa kufuata vigezo vifuatavyo:
โข Inashauriwa kutumia mbolea iliyochanganywa vizuri ili kuepukana na kuunguza mimea.
โข Unatakiwa kutingisha vizuri mbolea yako ya maji kabla ya kunyunyiza. Chembechembe ndogo ambazo hazikuyeyuka zinaweza kuziba mdomo wa bomba la kunyunyizia.
โข Matokeo mazuri yanaweza kupatikana endapo mbolea imechanganywa vizuri na kunyunyiziwa wakati hakuna upepo.
โข Unatakiwa kunyunyizia mbolea wakati wa asubuhi au jioni wakati hakuna joto na upepo ukiwa umepungua… soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Tende zilizotolewa kokwa - 1 Kilo.. soma zaidi
Tags๐ habari
Mwaka 1993 mwezi March Mpiga picha maarufu wa Africa kusini (PhotoJournalist) Kevin Carter alitembelea Nchi ya Sudan kwa ajili ya kupiga picha za habari kuhusiana na baa la njaa lililoikabili nchi hiyo… soma zaidi
Tags๐ habari
Watu watatu wamekufa na wengine thelathini wamelazwa hospitalini kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu nchini Tanzania na hasa katika mji wa kibiashara wa Dar es salaam.
Wataalamu wa afya wamesema kwamba mlipuko huo unapatikana kwenye maeneo ambayo hayana usafi wa kutosha na vyoo vya kisasa hasa katika maeneo yenye msongamano wa makazi katika jiji hilo… soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Mchele basmati - 3 magi (kikombe kikubwa).. soma zaidi
Tags๐ tibu-shinikizo-chini mapishinalishe
Hatua za kufuata.. soma zaidi
Tags๐ mahusiano
Wakaka acheni ujinga, ukitaka dem wa peke yako mgharamie nakwambia wanawake asilimia kubwa hukumbuka fadhila za mtu anayemgharamikia kuliko wanaume zao… soma zaidi
Tags๐ afya mapishinalishe
Hypotension ndio jina linalotumika kuelezea presha ya kushuka ambayo mpaka sasa chanzo chake hakijawa wazi. Kipimo cha presha huwa na namba mbili. Namba moja huwa juu na nyengine huwa chini. Hivyo basi namba ya juu kikawaida kwa mtu mzima inapaswa kuwa 100 hadi 139 na ya chini inapaswa kuwa 60 hadi 90. Hivyo basi pressure yako ikiwa chini ya 100/60 Ndio inajulikana kama Hyptension yaani pressure iko chini… soma zaidi
Tags๐ mahusiano
KUOLEWA NI NDOTO KUU YA KILA MWANAMKE ALIYEKAMILIKA ILA KAMA UNA TABIA HIZI UTAZEEKEA NYUMBANI.. soma zaidi
Tags๐ wiki
Kuna watu wanapenda sana kuangalia sinema za ngono… soma zaidi
Tags๐ 5. alivyofanikiwa clip dakika inayoonyesha jinsi kwa matunda mizizi mtu nikitafakari nimekuwa ninapoona sana ulizia usishangilie video ya habari
Nimekuwa nikitafakari sana ninapoona clip
ya video ya mtu inayoonyesha jinsi
alivyofanikiwa kwa dakika 5. Najua kuna
watu wanatiwa moyo ila kuna wengine
wanaona maruweruwe.. Ngoja nikujuze
kitu.. Yule mwimbaji anayevuma sanaโฆ.
alitoa albamu yake ya kwanza
haikusikikaโฆ.. soma zaidi
Tags๐ uchumi
Soma kidogo hapa.. Kuna watu wa aina NNE tunapoongelea pesa na muda… soma zaidi
Tags๐ wiki
Hakuna madhara yoyote ya msingi anayopata mtu asipooga baada ya kujamiiana. Isipokuwa kwa ajili ya kutunza usafi, mnashauriwa kunawa via vya uzazi mara baada ya tendo la kujamii ana… soma zaidi
Tags๐ (muda ameanza anampa ananyonya anapata anapohitaji) anaweza anayenyonyesha anyonye anyonyeshe asilimia au awe baada chakula hajaanza hedhi i inabidi kama katika kila kinga kingine kipindi kirefu kubwa. kujifungua kupata kwa lakini mama maziwa miezi mimba mtoto mwanamke mwanzo na sita tena. tu vilevile wote ya yake yake. wiki
Katika miezi sita ya mwanzo baada ya kujifungua, mwanamke anayenyonyesha mtoto anapata kinga ya mimba kwa asilimia kubwa. Lakini i i inabidi mama anyonyeshe mtoto kwa kipindi kirefu (muda wote mtoto awe ananyonya maziwa ya mama tu na anyonye kila anapohitaji) na vilevile mama awe hajaanza kupata hedhi yake. Kama mama ameanza kupata hedhi yake au kama anampa mtoto chakula kingine, anaweza kupata mimba tena. Kwa hivyo, anashauriwa kutumia njia za kupanga uzazi i i ili kuzuia mimba za mfululizo… soma zaidi
Tags๐ mahusiano
1. Ametulia si macho juu juu kama nzi kila akionacho hata kichafu chaliwa.
2. Anajiheshimu, anamuheshimu mkewe, ndugu wa pande zote, watu wengine pamoja na majirani pia.
3. Mwenye huruma na mapenzi ya kweli kwa mke na familia kwa ujumla.
4. Mtunzaji wa familia na si bahili au mfujaji wa mali.
5. Mcha mungu, au mwenye utu… soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Ndizi mshale 10
Utumbo wa ng'ombe 1/2 kilo
Nazi ya kopo 1
Nyanya 1
Kitunguu kikubwa 1
Tangawizi/ swaum 1 kijiko cha chakula
Olive oil kiasi
Limao 1
Chumvi
Curry powder 1 kijiko cha chai
Turmaric 1/2 kijiko cha chai
Coriander ya powder 1/2 kijiko cha chai
Pilipili ya unga 1/2 kijiko cha chai
Pilipili kali nzima (usiipasue).. soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Salmon fillet 2
Potatao wedge kiasi
Lettice kiasi
Cherry tomato
Limao 1
Swaum
Chumvi
Olive oil.. soma zaidi
Tags๐ uchumi
Kwa mujibu wa Biologia, baada ya tendo la kukutana kimwili takribani mbegu milioni 200 hadi 300 hutolewa na mwanaume…halafu zote huanza kupiga mbizi kuogelea kwenye njia safarini kukutana na yai la kike… soma zaidi
Tags๐ mahusiano
Juzikati, mimi na washikaji zangu wawili, Ali na Hamisi tuliamua kwenda kumtembelea rafiki yetu fulani aitwaye Twaha ambaye alikuwa akisumbuliwa na magonjwa ya mara kwa mara.
Jamaa alikuwa akiishi Kimara, tulipofika kituoni, kwa kuwa tulikuwa na mapene, tukaona siyo kesi kama tukichukua bajaji, tukaiita na dereva akaja kutuchukua mpaka kwa kina Twaha.. soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Nyonyo Mbarika (Castor)
Mnyony(KiSwahili) Erand (KiHindi) Kastorka(KiRusi) ni mmea wa jamii ya Mbono Kaburi, kwa
jina la kitaalamu Japtropha.. soma zaidi
Tags๐ afya ambao ambaye anaishi anayeishi anayekunywa furaha hali hanywi hauna hawajathibitisha hawajijali je kabisa? katika kiakili. kiasi kidogo kimsingi kimwili kuliko kunywa kutojijali. kwa kwamba kweli kweli. maisha mpaka mrefu mrefu. mtu muda na ndio ndiye ni njema pombe sasa si tagi: ujumla unywaji usafi wa wale wanaoishi wanasayansi watu ya yenye yule wiki
Si kweli. Mpaka sasa wanasayansi hawajathibitisha kwamba
mtu anayekunywa pombe kidogo ndiye anayeishi kwa muda
mrefu. Kwa ujumla, watu wanaoishi katika hali ya usafi, afya
njema na maisha yenye furaha ndio wanaoishi kwa muda
mrefu kuliko wale ambao hawajijali kimwili na kiakili. Kimsingi,
kunywa pombe ni kutojijali. Unywaji wa pombe kwa kiasi hauna
madhara, lakini inakupasa kuwa macho katika unywaji huo ili
usizidishe kupita kiasi… soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Unga wa ngano (self risen flour 2 vikombe vya chai)
Hamira (yeast kijiko 1 cha chai)
Sukari (sugar 2 vikombe vya chai)
Hiliki (cardamon 1/4 ya kijiko cha chai)
Maji kikombe1 na 1/2
Mafuta.. soma zaidi
Tags๐ uchumi
Kuna watu wengi sana huwa wanani-challenge ninaposema kwamba ni muhimu sana mtu kuishi katika kusudi la maisha yake. Na moja kati ya hoja zao ni kwamba haya maisha ya sasa mtu akisema aanze kutafuta kusudi la maisha yake atakufa maskini. Hivyo wanaonelea ni bora kufanya chochote kitakachotokea mbele yake ilimradi mwisho wa siku anapata pesa. Yaani anachagua kuwa mtumwa wa Pesa.. soma zaidi
Tags๐ afya mapishinalishe
Fenesi ni miongoni mwa matunda ya msimu yenye umbo la kipekee huku likiwa na ladha tamu isiyomithilika. Licha ya sifa hii, tunda hili linatajwa kuwa na faida lukuki endapo litaliwa na mwanadamu… soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Kunde (Ila mimi nilitumia Nigerian brown beans 1/2 kilo)
Vitunguu maji (onion 2)
Pilipili (scotch bonnet pepper 2)
Vitunguu swaum (garlic 4 cloves)
Chumvi (salt)
Barking powder (1/2 kijiko cha chai)
Machicha ya nazi (grated coconut 1 kikombe cha chai)
Limao (lemon 1)
Mafuta (vegetable oil).. soma zaidi
Tags๐ wiki
Sababu kuu ya ugumba unayoweza kujisababishia ni kupata magonjwa ya zinaa. Unaweza kuepuka kuwa mgumba kwa njia ya kuzuia kuambukizwa magonjwa ya zinaa. Magonjwa ya zinaa unaweza kuyazuia kwa njia ya kutojamii ana au kwa njia ya kutumia kondomu kila unapojamii ana. Kuna sababu nyingine za ugumba, nyingine unaweza kuzisababisha na nyingine ni za kimaumbile yako tangu ulipozaliwa… soma zaidi
Tags๐ afya mapishinalishe
Kila wakati unashauriwa na watalam wa afya ya kwamba unatakiwa kula tende kwa wingi ili kupata faida zifuatazo katika mwili wako:.. soma zaidi
Tags๐ akapata anaweza dalili halikurutubishwa hedhi hiyo inawezekana kabla kokwa kuona kupata kupitia kusafiri kutoka kuvunja kwa kwamba kwanza. kwenye la lile linapevuka linatoka mara mimba mpaka msichana na ndani ni nini. pamoja pevu tumbo uhakika ukeni. ungo utajiuliza utando uzazi uzazi. wa ya yaani yai yenyewe wiki
msichana anaweza kupata mimba kabla ya kuvunja ungo, yaani kabla ya kuona hedhi kwa mara ya kwanza. Kwa uhakika utajiuliza kwa nini.
Kabla ya kuona hedhi, yai ndani ya kokwa linapevuka na kusafiri kutoka kwenye kokwa mpaka tumbo la uzazi. Hedhi yenyewe ni dalili kwamba lile yai pevu halikurutubishwa na kwa hiyo linatoka pamoja na utando wa tumbo la uzazi kupitia ukeni.
Kuna maana kwamba hata kama msichana hajavunja ungo, i inawezekana kwamba ndani ya tumbo lake yai limeshaanza kupevuka. Lile yai linaweza kurutubishwa na msichana anaweza kupata mimba, hata kama hajaona hedhi yake kwa mara ya kwanza… soma zaidi
Tags๐ ajili baadaye. bahati balehe bila bora bure. fursa hali hatia hawahisi hivi hizi hufikiria hupotea hupoteza hutazamwa jambo jibu kabla kama katika kawaida.vijana kiholela kike kingono kiume kufanya kuishi kupevuka. kuwa kwa la mafanikio maisha mdogo. mwelekeo mwongozo na nayo ndilo ndoa ngono ngumu sasa siku ufumbuzi uhusiano umri unaongoza uwezo vijana wa wakati wanayokabiliana wengi ya yenye yoyote wiki
Siku hizi ngono kabla ya ndoa hutazamwa na vijana wengi kama jambo la kawaida.Vijana wa kike na wa kiume hawahisi hatia yoyote ya kuwa na uhusiano wa kingono katika umri mdogo. Kwa kufanya hivi vijana hupoteza mwelekeo kwa kuishi kiholela bila ya kuwa na mwongozo unaongoza maisha yenye mafanikio sasa na baadaye. Uwezo, fursa na bahati ya vijana kwa ajili ya maisha bora hupotea bure. Vijana hufikiria kuwa ngono ndilo jibu na ufumbuzi wa hali ngumu wanayokabiliana nayo wakati wa balehe na kupevuka. Wengi wao hupungukiwa uwezo wa kutabili nini kitatokea baadaye kama matokeo ya ngono kabla ya ndoa.
Wasichana wanaojiingiza katika mahusiano ya kingono kabla ya ndoa na katika umri mdogo huweka rehani uaminifu, afya na uvumilivu wao wa hisia kuhusu mahusiano ya kingono wakati watakapo ingia ndani ya ndoa hapo baadaye.Vijana wengi hawaelewi kuwa ngono haramu huzaa wivu, tuhuma mbaya na majanga ya kijamii. Hufanya mwenzi kumfikiria msichana kuwa ana udhaifu wa kimaadili na hali hii hutia alama katika hisia za mwenzi kuhusu hali ya uaminifu wa mwenzake hasa pale anapokuwa mbali naye… soma zaidi
Tags๐ tibu-shinikizo-chini mapishinalishe
Juisi hii ni nzuri sana katika kutibu shinikizo la juu la damu… soma zaidi