CHEKA-VIDEOS-KWA-MHENGA
This is the Redirect module that redirects the browser directly to the "http://www.ackyshine.com/videos" page.
CHEKA-VIDEOS-KWA-MHENGA
By, Melkisedeck Shine.
Tags 👉 vichekesho. Category 👉videos,: vichekesho, Angalia huyu mwanamke alichokifanya sasa, kawa kama mtoto, 👉Angalia video hapa
Tags 👉 vichekesho. Category 👉videos,: vichekesho, Tamaa nyingine bwana, huyu jamaa kazidi sasa, 👉Angalia video hapa
Tags 👉 maajabu vichekesho. Category 👉videos,: maajabu vichekesho, Huyu kamuweza mshikaji, anashangaa damu imetoka wapi tena , ungekua ni wewe ungefanyaje, 👉Angalia video hapa
Tags 👉 michezo. Category 👉videos,: michezo, Angalia huyu baba anavyomfanyisha mwanae mazoezi, huyu mtoto akiwa mkubwa atakuwa mtaalamu Ile mbaya, 👉Angalia video hapa
Tags 👉 vichekesho. Category 👉videos,: vichekesho, Huyu mwanamke Kazaa mtoto mkubwa kama mtu mzima, 👉Angalia video hapa
Tags 👉 vichekesho. Category 👉videos,: vichekesho, Video kali ya vituko vya Mkude Simba, 👉Angalia video hapa
Tags 👉 maajabu michezo. Category 👉videos,: maajabu michezo, HUTOAMINI: Kinachotokea baada ya simu ya IPhone kupigwa mshale, 👉Angalia video hapa
Tags 👉 vichekesho. Category 👉videos,: vichekesho, Duh! Angalia huyu dada wa watu anavyoogopa mende, yani utazani kaona nyoka, 👉Angalia video hapa
Tags 👉 ajali n'gombe vichekesho. Category 👉videos,: ajali n'gombe vichekesho, Cheki huyu jamaa alichofanyiwa na huyu n'gombe, 👉Angalia video hapa
Tags 👉 vichekesho. Category 👉videos,: vichekesho, Mchawi kakwama, nguvu zimemwisha njiani, 👉Angalia video hapa
Tags 👉 vichekesho. Category 👉videos,: vichekesho, Wakati wengine wakiruka kamba ya juu ya vichwa vyao huyu anaangushwa na kamba chini ya magoti, 👉Angalia video hapa
Tags 👉 vichekesho. Category 👉videos,: vichekesho, Huyu anakula chakula cha mtoto kijanja, 👉Angalia video hapa
Tags 👉 chui nguruwe-pori wanyama. Category 👉videos,: chui nguruwe-pori wanyama, Angalia huyu chui alivyomuweza huyu nguruwe pori, 👉Angalia video hapa
Tags 👉 panya vichekesho. Category 👉videos,: panya vichekesho, Angalia huyu panya anavyosulubishwa mbona ataongea tuu, 👉Angalia video hapa
Tags 👉 maajabu vichekesho. Category 👉videos,: maajabu vichekesho, Huyu jamaa anajitupa kwenye maji kama tembo vile, 👉Angalia video hapa
Tags 👉 vichekesho. Category 👉videos,: vichekesho, Angalia hawa wanavyoendesha hii pikipiki yaani ikianguka ndio watapata akili, 👉Angalia video hapa
Tags 👉 vichekesho. Category 👉videos,: vichekesho, Kwa mbwembwe zote wageni waalikwa wameanguka wakati wakipanda jukwaani, 👉Angalia video hapa
Tags 👉 vichekesho. Category 👉videos,: vichekesho, Huyu mtoto ni shida! Anapanga mbuzi kama farasi! Mcheki hapa, 👉Angalia video hapa
Tags 👉 kimya kiswahili silent vichekesho. Category 👉videos,: kimya kiswahili silent vichekesho, Kilichotokea baada ya kuingia kwenye nyumba ya simba, 👉Angalia video hapa
.
.
Endelea kuperuzi;-👇
Sifa za mume bora hizi sasa
Tags👉 mahusiano
Kama wewe ni mwanamke na haujaolewa na upo kwenye mauhusiano na mwanaume ambaye haujafunga naye ndoa basi zingatia hili, linaweza kukusaidia na kukupa nuru nzuri ya ndoa bora yenye tija katika maisha yako ya mauhisiano.
Chagua mwanaume bora kwa kutizama utashi wake na mawazo yake chanya, mwanaume bora ni yule aliyekuzidi utashi,tabia nzuri pamoja hekima na busara na mwenye mapenzi ya dhati kwako… soma zaidi
Tags👉 mahusiano
Kama wewe ni mwanamke na haujaolewa na upo kwenye mauhusiano na mwanaume ambaye haujafunga naye ndoa basi zingatia hili, linaweza kukusaidia na kukupa nuru nzuri ya ndoa bora yenye tija katika maisha yako ya mauhisiano.
Chagua mwanaume bora kwa kutizama utashi wake na mawazo yake chanya, mwanaume bora ni yule aliyekuzidi utashi,tabia nzuri pamoja hekima na busara na mwenye mapenzi ya dhati kwako… soma zaidi
Vijana Albino wafanye nini ili kulinda ngozi yao?
Tags👉 albino anashauriwa basi daima dhidi hatima hivyo ikiwa ili jua jua. kila kofia kudhurika kujikinga kujipaka kukinga kulinda kuona kupata kuvaa kwa maalumu mafuta matatizo mikono mionzi mirefu miwani mkubwa na ngozi ngozi. nguo ni nini pamoja pana rahisi sana saratani uwezekano uwezo vijana wa wafanye wale wenye ya yake yanayosaidia yao? za wiki
Pamoja na matatizo ya kuona, ngozi ya Albino ni rahisi sana
kudhurika kwa mionzi ya jua. Hatima yake ikiwa ni uwezekano
mkubwa wa kupata saratani ya ngozi. Hivyo basi, kila Albino
anashauriwa daima kujikinga dhidi ya mionzi ya jua kwa kuvaa
nguo za mikono mirefu, kuvaa kofia pana, kuvaa miwani ya jua na
kwa wale wenye uwezo kujipaka mafuta maalumu yanayosaidia
kukinga ngozi dhidi ya mionzi ya jua… soma zaidi
Tags👉 albino anashauriwa basi daima dhidi hatima hivyo ikiwa ili jua jua. kila kofia kudhurika kujikinga kujipaka kukinga kulinda kuona kupata kuvaa kwa maalumu mafuta matatizo mikono mionzi mirefu miwani mkubwa na ngozi ngozi. nguo ni nini pamoja pana rahisi sana saratani uwezekano uwezo vijana wa wafanye wale wenye ya yake yanayosaidia yao? za wiki
Pamoja na matatizo ya kuona, ngozi ya Albino ni rahisi sana
kudhurika kwa mionzi ya jua. Hatima yake ikiwa ni uwezekano
mkubwa wa kupata saratani ya ngozi. Hivyo basi, kila Albino
anashauriwa daima kujikinga dhidi ya mionzi ya jua kwa kuvaa
nguo za mikono mirefu, kuvaa kofia pana, kuvaa miwani ya jua na
kwa wale wenye uwezo kujipaka mafuta maalumu yanayosaidia
kukinga ngozi dhidi ya mionzi ya jua… soma zaidi
Mapishi ya Biriani Ya Kuku Wa Kuchoma (Grilled)
Tags👉 mapishinalishe
Mchele wa Basmati /Pishori - 4 vikombe.. soma zaidi
Tags👉 mapishinalishe
Mchele wa Basmati /Pishori - 4 vikombe.. soma zaidi
Je, gongo na sigara husaidia uyeyushaji wa chakula?
Tags👉 (tindikali) au baada baadhi chakula chakula. chakula? fikra gongo hata hivyo husaidia imani inaweza itasaidia je kawaida kiasi kidogo kimiminika kuchelewesha kuliko kupunguza kurahisisha kuvuta kuyeyusha kwa kwamba mafuta. mtiririko muhimu na ni pombe potofu sigara tagi: ukinywa uyeyushaji vya vyakula wa ya wiki
Ni imani na fikra potofu kwamba, ukinywa gongo au kuvuta
sigara kwa kiasi kidogo baada ya chakula itasaidia kuyeyusha
baadhi ya vyakula vya mafuta. Pombe inaweza hata kupunguza
mtiririko wa kawaida wa kimiminika muhimu kwa uyeyushaji wa
chakula (tindikali) na hivyo kuchelewesha kuliko kurahisisha
uyeyushaji wa chakula.
Nikotini ya sigara kwa upande mwingine inaongeza kazi katika
utumbo mpana na hivyo kurahisisha uyeyushaji wa chakula.
Lakini kwa upande mwingine nikotini huchochea utengenezaji
wa tindikali tumboni ambayo husababisha maumivu ya tumbo… soma zaidi
Tags👉 (tindikali) au baada baadhi chakula chakula. chakula? fikra gongo hata hivyo husaidia imani inaweza itasaidia je kawaida kiasi kidogo kimiminika kuchelewesha kuliko kupunguza kurahisisha kuvuta kuyeyusha kwa kwamba mafuta. mtiririko muhimu na ni pombe potofu sigara tagi: ukinywa uyeyushaji vya vyakula wa ya wiki
Ni imani na fikra potofu kwamba, ukinywa gongo au kuvuta
sigara kwa kiasi kidogo baada ya chakula itasaidia kuyeyusha
baadhi ya vyakula vya mafuta. Pombe inaweza hata kupunguza
mtiririko wa kawaida wa kimiminika muhimu kwa uyeyushaji wa
chakula (tindikali) na hivyo kuchelewesha kuliko kurahisisha
uyeyushaji wa chakula.
Nikotini ya sigara kwa upande mwingine inaongeza kazi katika
utumbo mpana na hivyo kurahisisha uyeyushaji wa chakula.
Lakini kwa upande mwingine nikotini huchochea utengenezaji
wa tindikali tumboni ambayo husababisha maumivu ya tumbo… soma zaidi
Je, mtu anaweza kuzuia kupata mimba baada yakujamiiana bila kinga (kufanya ngono zembe) kwa mfano amebakwa
Tags👉 (kufanya afya ambaye amebakwa amelazimishwa anaweza atakupatia au baada bila cha dharura hospitali huduma je kama katika kinga kituo kujamiiana kujamiiana? kulazimishwa kupata kutoka kuzuia kwa mfano mhudumu mimba mimba. mtu ngono umebakwa unaweza vidonge vya wa yakujamiiana zahanati zembe) wiki
Kama umebakwa au kulazimishwa kujamiiana unaweza kupata
huduma katika hospitali, kituo cha afya , zahanati au kutoka
kwa mhudumu wa afya ambaye atakupatia vidonge vya dharura
vya kuzuia mimba. Hivi ni vidonge ambavyo vinatumika ili
kupunguza uwezekano wa kupata mimba kama ulijamiiana bila
kinga, au umesahau kutumia njia yako ya uzazi wa mpango au
ulilazimishwa kujamiiana… soma zaidi
Tags👉 (kufanya afya ambaye amebakwa amelazimishwa anaweza atakupatia au baada bila cha dharura hospitali huduma je kama katika kinga kituo kujamiiana kujamiiana? kulazimishwa kupata kutoka kuzuia kwa mfano mhudumu mimba mimba. mtu ngono umebakwa unaweza vidonge vya wa yakujamiiana zahanati zembe) wiki
Kama umebakwa au kulazimishwa kujamiiana unaweza kupata
huduma katika hospitali, kituo cha afya , zahanati au kutoka
kwa mhudumu wa afya ambaye atakupatia vidonge vya dharura
vya kuzuia mimba. Hivi ni vidonge ambavyo vinatumika ili
kupunguza uwezekano wa kupata mimba kama ulijamiiana bila
kinga, au umesahau kutumia njia yako ya uzazi wa mpango au
ulilazimishwa kujamiiana… soma zaidi
FAIDA ZA MATUMIZI YA TENDE
Tags👉 wiki
1. Ukila tende mara kwa mara, mwili wako utapata aina mbalimbali za madini na vitamin za kutosha, ambazo zinapatikana kwenye tunda hili maarufu duniani. Katika tende kuna kiasi kidogo tu cha mafuta (fat) na haina lehemu (kolestrol)… soma zaidi
Tags👉 wiki
1. Ukila tende mara kwa mara, mwili wako utapata aina mbalimbali za madini na vitamin za kutosha, ambazo zinapatikana kwenye tunda hili maarufu duniani. Katika tende kuna kiasi kidogo tu cha mafuta (fat) na haina lehemu (kolestrol)… soma zaidi
Mbinu 11 za kufuata ili uweze kuacha pombe
Tags👉 afya mapishinalishe
Pombe ni kinywaji kinachotumiwa na watu wengi pasipo hata kufahamu athari zake. Pombe ina athari mbalimbali kiafya na kisaikolojia. Wengi baada ya kuathiriwa na pombe hutamani kuacha matumizi ya pombe lakini ni wachache tu ndiyo hufanikiwa katika hili… soma zaidi
Tags👉 afya mapishinalishe
Pombe ni kinywaji kinachotumiwa na watu wengi pasipo hata kufahamu athari zake. Pombe ina athari mbalimbali kiafya na kisaikolojia. Wengi baada ya kuathiriwa na pombe hutamani kuacha matumizi ya pombe lakini ni wachache tu ndiyo hufanikiwa katika hili… soma zaidi
ATHARI ZA ULEVI KATIKA JAMII
Tags👉 ajali ambavyo athari barabarani basi hasira hatia hivyo huathiri hupoteza hupunguza hutokea huwadhuru huweza isitoshe iwapo jamii jamii. katika kazini kiakili kiasi kimwili. kuchangia kuenea kupita kupitia kutokana kuwa kwa kwenye madhara maisha mara mbalimbali. mengine na njia nyingi pombe tagi: uangalifu ulevi ulevi. vilema vitu vvu wagomvi wakilewa wakiwa wamelewa. wanafanya wanaokunywa wanokunywa wasingekuwa wasingevifanya wasiokuwa watu wengi yao za zinazohusiana wiki
Watu wanokunywa kupitia kiasi huathiri jamii kwa njia
mbalimbali. Madhara mengine hutokea kwa kuwa wanafanya
vitu ambavyo wasingevifanya iwapo wasingekuwa wamelewa… soma zaidi
Tags👉 ajali ambavyo athari barabarani basi hasira hatia hivyo huathiri hupoteza hupunguza hutokea huwadhuru huweza isitoshe iwapo jamii jamii. katika kazini kiakili kiasi kimwili. kuchangia kuenea kupita kupitia kutokana kuwa kwa kwenye madhara maisha mara mbalimbali. mengine na njia nyingi pombe tagi: uangalifu ulevi ulevi. vilema vitu vvu wagomvi wakilewa wakiwa wamelewa. wanafanya wanaokunywa wanokunywa wasingekuwa wasingevifanya wasiokuwa watu wengi yao za zinazohusiana wiki
Watu wanokunywa kupitia kiasi huathiri jamii kwa njia
mbalimbali. Madhara mengine hutokea kwa kuwa wanafanya
vitu ambavyo wasingevifanya iwapo wasingekuwa wamelewa… soma zaidi
Maisha ya Wasichana Wa facebook na instagram
Tags👉 mahusiano
MAISHA ya DADA zetu FACEBOOK na INSTAGRAM
Wiki ya kwanza
Status:"Location flani amazing"
"Having fun"
"I love my life"
"sijali mnayosema nafanya nachotaka".. soma zaidi
Tags👉 mahusiano
MAISHA ya DADA zetu FACEBOOK na INSTAGRAM
Wiki ya kwanza
Status:"Location flani amazing"
"Having fun"
"I love my life"
"sijali mnayosema nafanya nachotaka".. soma zaidi
Ni kwa nini ni vigumu kuacha kuvuta sigara?
Tags👉 ambayo au baada bila dawa hali hamu hatari hatua hii hiyo hutokea huwezi inabidi inayohitaji kabisa kama kazi kila kuacha kubwa kuepuka kufanya kufikiri kukutuliza kula. kulevya kupambana kupunguza kutamani kutumia. kuu kuvuta kuzoea kwa lolote matamanio matumizi mkali. msimamo na nafsi ndiyo ni nini nzito pamoja pia pombe sigara sigara? tabia ubadili unapojisikia. unataka unaweza unayazoea upande utakapoanza uvutaji vigumu vishawishi wa wengi ya yake yako. za wiki
Ndiyo hatari kuu ya matumizi ya dawa za kulevya ambayo
unayazoea na kufikiri huwezi kufanya lolote bila ya kutumia… soma zaidi
Tags👉 ambayo au baada bila dawa hali hamu hatari hatua hii hiyo hutokea huwezi inabidi inayohitaji kabisa kama kazi kila kuacha kubwa kuepuka kufanya kufikiri kukutuliza kula. kulevya kupambana kupunguza kutamani kutumia. kuu kuvuta kuzoea kwa lolote matamanio matumizi mkali. msimamo na nafsi ndiyo ni nini nzito pamoja pia pombe sigara sigara? tabia ubadili unapojisikia. unataka unaweza unayazoea upande utakapoanza uvutaji vigumu vishawishi wa wengi ya yake yako. za wiki
Ndiyo hatari kuu ya matumizi ya dawa za kulevya ambayo
unayazoea na kufikiri huwezi kufanya lolote bila ya kutumia… soma zaidi
Kwa nini siku hizi kuna tofauti ya wanaume katika jamii kuwa wazi/tayari kuwa na uhusiano na wanawake Albino?
Tags👉 albino? anakupenda anasema anathamini anayesema dini enye hawa hayabagui hisia hiyo hizi inawezekana jamii kabila katika kawaida kuna kuwa kwa kweli lako maana mapenzi matokeo muhimu mvuto. na ni nini penzi pia rangi. siku tofauti ualbino. uhakika uhusiano ukweli unalomwonyesha. wala wamevutiwa wanaume wanawake wazi/tayari ya za zaidi wiki
Mapenzi ya kweli hayabagui dini, kabila wala rangi. Kwa
kawaida, mapenzi ni matokeo ya hisia za mvuto. Kwa maana
hiyo, inawezekana kweli wanaume hawa wamevutiwa na hawa
wanawake enye ualbino. Ni muhimu pia kuwa na uhakika kuwa
anayesema anakupenda, anasema ukweli na zaidi anathamini
penzi lako unalomwonyesha. Pia katika jamii kuna imani kuwa
karibu na Albino kunaongeza bahati ya kutajirika… soma zaidi
Tags👉 albino? anakupenda anasema anathamini anayesema dini enye hawa hayabagui hisia hiyo hizi inawezekana jamii kabila katika kawaida kuna kuwa kwa kweli lako maana mapenzi matokeo muhimu mvuto. na ni nini penzi pia rangi. siku tofauti ualbino. uhakika uhusiano ukweli unalomwonyesha. wala wamevutiwa wanaume wanawake wazi/tayari ya za zaidi wiki
Mapenzi ya kweli hayabagui dini, kabila wala rangi. Kwa
kawaida, mapenzi ni matokeo ya hisia za mvuto. Kwa maana
hiyo, inawezekana kweli wanaume hawa wamevutiwa na hawa
wanawake enye ualbino. Ni muhimu pia kuwa na uhakika kuwa
anayesema anakupenda, anasema ukweli na zaidi anathamini
penzi lako unalomwonyesha. Pia katika jamii kuna imani kuwa
karibu na Albino kunaongeza bahati ya kutajirika… soma zaidi
Mapishi ya Sponge keki
Tags👉 mapishinalishe
Unga wa ngano (self risen flour) 100g
Sukari (sugar) 100g
Siagi isiyokuwa na chumvi (unsalted butter) 100g
Mayai (eggs) 2
Vanila 1 kijiko cha chai
Chumvi pinch
Warm water 3 vijiko vya chakula.. soma zaidi
Tags👉 mapishinalishe
Unga wa ngano (self risen flour) 100g
Sukari (sugar) 100g
Siagi isiyokuwa na chumvi (unsalted butter) 100g
Mayai (eggs) 2
Vanila 1 kijiko cha chai
Chumvi pinch
Warm water 3 vijiko vya chakula.. soma zaidi
Athari za Moshi wa sigara kwa mtoto
Tags👉 afya mapishinalishe
Utafiti uliofanyika nchini Marekani umebaini kwamba watu wazima wasiovuta sigara lakini walipokuwa watoto wazazi wao walivuta sigara mbele yao,wana hatari kubwa zaidi ya kufa kutokana na maradhi ya mapafu… soma zaidi
Tags👉 afya mapishinalishe
Utafiti uliofanyika nchini Marekani umebaini kwamba watu wazima wasiovuta sigara lakini walipokuwa watoto wazazi wao walivuta sigara mbele yao,wana hatari kubwa zaidi ya kufa kutokana na maradhi ya mapafu… soma zaidi
Je, watumiaji wa dawa za kulevya wanaweza kupata watoto?
Tags👉 wiki
Ndiyo, hii i ii inawezekana. Lakini ujue kwamba watu wanaotumia dawa za kulevya huwa dhaifu kisaikolojia na kiumbile kwa maana hiyo wanaweza wasiwe katika hali nzuri ya kupata watoto. Hawajali afya zao. Wanakosa hisia na hutumia muda mwingi kushiriki katika matumizi ya dawa za kulevya; pia hutumia fedha nyingi. Haya si mazingira mazuri ya kulea watoto… soma zaidi
Tags👉 wiki
Ndiyo, hii i ii inawezekana. Lakini ujue kwamba watu wanaotumia dawa za kulevya huwa dhaifu kisaikolojia na kiumbile kwa maana hiyo wanaweza wasiwe katika hali nzuri ya kupata watoto. Hawajali afya zao. Wanakosa hisia na hutumia muda mwingi kushiriki katika matumizi ya dawa za kulevya; pia hutumia fedha nyingi. Haya si mazingira mazuri ya kulea watoto… soma zaidi
Maneno ya Hekima unayopaswa kujua
Tags👉 habari
```💮Kucha zinapokuwa kubwa huwa tunakata kucha, hatukati vidole… Na matatizo yanapokuwa makubwa, jukumu letu ni kukata matatizo, si kukata uhusiano wetu 👍🏽.. soma zaidi
Tags👉 habari
```💮Kucha zinapokuwa kubwa huwa tunakata kucha, hatukati vidole… Na matatizo yanapokuwa makubwa, jukumu letu ni kukata matatizo, si kukata uhusiano wetu 👍🏽.. soma zaidi
Kumbadilisha mtu aliyeathirika na dawa za kulevya
Tags👉 wiki
Endapo rafiki au jamaa anaomba msaada wa kuacha kutumia dawa za kulevya unaweza kumsaidia kwa kumpatia nasaha. Jitahidi kumpatia taarifa zote muhimu kuhusu dawa za kulevya. Muhimu zaidi mweleze athari za matumizi ya dawa hizo. Hata wazazi unaweza kuwapatia ushauri endapo watatambua umuhimu wako wa kujali.
Wakati mwingine waathirika wa dawa za kulevya hawako tayari kusikiliza ushauri na msaada wako. Inaweza kutokea muathirika akawa na hasira na hata kuvunja urafiki wenu na hata kufa. Usijilaumu!!! Kwa sababu ulijitahidi kumsaidia kadri ya uwezo wako. Wakati mwingine ni vyema kuvunja urafiki kwa usalama wako na kwa faida ya rafiki yako. Rafiki huyo anaweza kugundua kuwa utumiaji wa dawa za kulevya unamletea mwisho mbaya na hatimaye kuchukua uamuzi wa kueleza matatizo yake.
Kama itatokea rafiki au ndugu yako ambaye ni teja ameathirika sana kiafya usijaribu kumsaidia peke yako. Inaweza kuwa muhimu kumtafutia msaada wa kitaalamu kutoka kwa mtaalamu… soma zaidi
Tags👉 wiki
Endapo rafiki au jamaa anaomba msaada wa kuacha kutumia dawa za kulevya unaweza kumsaidia kwa kumpatia nasaha. Jitahidi kumpatia taarifa zote muhimu kuhusu dawa za kulevya. Muhimu zaidi mweleze athari za matumizi ya dawa hizo. Hata wazazi unaweza kuwapatia ushauri endapo watatambua umuhimu wako wa kujali.
Wakati mwingine waathirika wa dawa za kulevya hawako tayari kusikiliza ushauri na msaada wako. Inaweza kutokea muathirika akawa na hasira na hata kuvunja urafiki wenu na hata kufa. Usijilaumu!!! Kwa sababu ulijitahidi kumsaidia kadri ya uwezo wako. Wakati mwingine ni vyema kuvunja urafiki kwa usalama wako na kwa faida ya rafiki yako. Rafiki huyo anaweza kugundua kuwa utumiaji wa dawa za kulevya unamletea mwisho mbaya na hatimaye kuchukua uamuzi wa kueleza matatizo yake.
Kama itatokea rafiki au ndugu yako ambaye ni teja ameathirika sana kiafya usijaribu kumsaidia peke yako. Inaweza kuwa muhimu kumtafutia msaada wa kitaalamu kutoka kwa mtaalamu… soma zaidi
Faida za kunywa juisi ya ubuyu
Tags👉 afya mapishinalishe
Mungu ameumba miti na mimea kwa ajili ya binadamu. Kila mti au mmea una makusudio yake. Mbuyu ni miongoni mwa miti yenye faida nyingi na maajabu mengi. Vitu vyote vilivyomo kwenye mbuyu vinatumika kama chakula au dawa kwa faida ya binadamu… soma zaidi
Tags👉 afya mapishinalishe
Mungu ameumba miti na mimea kwa ajili ya binadamu. Kila mti au mmea una makusudio yake. Mbuyu ni miongoni mwa miti yenye faida nyingi na maajabu mengi. Vitu vyote vilivyomo kwenye mbuyu vinatumika kama chakula au dawa kwa faida ya binadamu… soma zaidi
Dawa gani za kulevya ni hatari zaidi?
Tags👉 wiki
Kwa ujumla dawa zote za kulevya zinaweza kuwa ni za hatari. Kati ya dawa zilizohalalishwa kisheria nikotini, ambayo i ipo kwenye sigara, ndiyo hasa ya hatari. Inawezekana kuwa umeshakuwa tegemezi kwa sigara. Hii i ii ina maana ubongo wako utaizoea nikotini na utahitaji nikotini zaidi na zaidi i i ili kuendelea kuwa na hali nzuri. Nikotini pia ni hatari zaidi kwa sababu vijana mara nyingi huanza kutumia sigara kabla ya kuanza kutumia dawa kali zaidi… soma zaidi
Tags👉 wiki
Kwa ujumla dawa zote za kulevya zinaweza kuwa ni za hatari. Kati ya dawa zilizohalalishwa kisheria nikotini, ambayo i ipo kwenye sigara, ndiyo hasa ya hatari. Inawezekana kuwa umeshakuwa tegemezi kwa sigara. Hii i ii ina maana ubongo wako utaizoea nikotini na utahitaji nikotini zaidi na zaidi i i ili kuendelea kuwa na hali nzuri. Nikotini pia ni hatari zaidi kwa sababu vijana mara nyingi huanza kutumia sigara kabla ya kuanza kutumia dawa kali zaidi… soma zaidi
Siku ya Kupata mimba
Tags👉 mahusiano
Leo napenda nizungumzie jambo moja tu ambalo ni juu ya jambo moja tu, nalo ni namna wanavyoweza kui-pin point siku ile ya kilele
(i.e fruitful/productive/fertile
day), hapa nina maana ya siku ile ambayo wao wanaiita siku ya 14… soma zaidi
Tags👉 mahusiano
Leo napenda nizungumzie jambo moja tu ambalo ni juu ya jambo moja tu, nalo ni namna wanavyoweza kui-pin point siku ile ya kilele
(i.e fruitful/productive/fertile
day), hapa nina maana ya siku ile ambayo wao wanaiita siku ya 14… soma zaidi
Mapishi mazuri ya Uji wa ulezi
Tags👉 mapishinalishe
Unga wa ulezi (millet flour vijiko 3 vya chakula)
Maziwa fresh (milk 1/2 kikombe)
Sukari (sugar 1/4 ya kikombe cha chai)
Siagi (butter kijiko 1 cha chakula)
Maji (vikombe 4 vya chai) (serving ya watu wawili).. soma zaidi
Tags👉 mapishinalishe
Unga wa ulezi (millet flour vijiko 3 vya chakula)
Maziwa fresh (milk 1/2 kikombe)
Sukari (sugar 1/4 ya kikombe cha chai)
Siagi (butter kijiko 1 cha chakula)
Maji (vikombe 4 vya chai) (serving ya watu wawili).. soma zaidi
KUCHAGUA MCHUMBA
Tags👉 (mwanzo 1 2:18). 7 adamu akiwaumba alimuumba alipokuwa aliyoona awe baada bustani edeni. haifai hapo hawa hiyo inafaa katika kuchagua kuona kuwa kwa kwanza maisha mchumba mke mpango mume mungu mwanamke mwanamume mwanamume. na namna ni peke somo: tagi: ushirika utukufu uumbaji wa wakorintho walitakiwa wamoja watu wawe ya yake yao yote. wiki
SOMO: 1 Wakorintho 7.. soma zaidi
Tags👉 (mwanzo 1 2:18). 7 adamu akiwaumba alimuumba alipokuwa aliyoona awe baada bustani edeni. haifai hapo hawa hiyo inafaa katika kuchagua kuona kuwa kwa kwanza maisha mchumba mke mpango mume mungu mwanamke mwanamume mwanamume. na namna ni peke somo: tagi: ushirika utukufu uumbaji wa wakorintho walitakiwa wamoja watu wawe ya yake yao yote. wiki
SOMO: 1 Wakorintho 7.. soma zaidi
Jinsi ya kufuga kondoo.
Tags👉 babati bei bora eneo ester hapa hasa idadi iko ilikaribiana imeongezeka imepungua jinsi jumla juu. kigeni kondoo kondoo. kondoo.” kote. kufuga kuwa kwa letu maelezo mbuzi mkm msomaji na namna naomba nchini nyuma qwang raia sana sawa siku tagi: tanzania ufugaji wa wafugaji wakati wanaofugwa wanohitaji ya za – “katika wiki
“Katika eneo letu, idadi ya wafugaji wa kondoo imepungua sana, wakati idadi ya wanohitaji imeongezeka hasa raia wa kigeni, na bei iko juu. Naomba maelezo namna ya ufugaji bora wa kondoo.” – Ester Qwang, msomaji wa MkM,Babati
Tags👉 babati bei bora eneo ester hapa hasa idadi iko ilikaribiana imeongezeka imepungua jinsi jumla juu. kigeni kondoo kondoo. kondoo.” kote. kufuga kuwa kwa letu maelezo mbuzi mkm msomaji na namna naomba nchini nyuma qwang raia sana sawa siku tagi: tanzania ufugaji wa wafugaji wakati wanaofugwa wanohitaji ya za – “katika wiki
“Katika eneo letu, idadi ya wafugaji wa kondoo imepungua sana, wakati idadi ya wanohitaji imeongezeka hasa raia wa kigeni, na bei iko juu. Naomba maelezo namna ya ufugaji bora wa kondoo.” – Ester Qwang, msomaji wa MkM,Babati
Kwa siku za nyuma, jumla ya idadi ya kondoo wanaofugwa hapa nchini Tanzania ilikaribiana kuwa sawa na idadi ya mbuzi nchini kote. Kwa sasa, idadi ya kondoo imepungua kwa kiasi kikubwa ukilinganisha na idadi ya mbuzi. Hii imetokana na wafugaji kuhamishia mapenzi yao kwenye ufugaji wa mbuzi… soma zaidi
Mapishi ya wali wa Kiafrika Mangaribi
Tags👉 mapishinalishe
Mchele (rice vikombe 2 na 1/2)
Vitunguu (onion 2)
Nyanya ya kopo (tin tomato kopo 1)
Tangawizi (ginger paste kijiko 1 cha chakula)
Kitunguu swaum (garlic paste kijiko 1 cha chakula)
Paprika (kijiko 1 na 1/2 cha cha chai)
Pilipil (scotch bonnet pepper 1)
Curry powder (kijiko 1 cha chai)
Maggi cubes 3(unaweza kutumia yenye ladha ya chicken, beef au vegetable. Inategemea unasevu na mchuzi wa aina gani)
Chumvi (salt)
Mafuta (vegetable oil).. soma zaidi
Tags👉 mapishinalishe
Mchele (rice vikombe 2 na 1/2)
Vitunguu (onion 2)
Nyanya ya kopo (tin tomato kopo 1)
Tangawizi (ginger paste kijiko 1 cha chakula)
Kitunguu swaum (garlic paste kijiko 1 cha chakula)
Paprika (kijiko 1 na 1/2 cha cha chai)
Pilipil (scotch bonnet pepper 1)
Curry powder (kijiko 1 cha chai)
Maggi cubes 3(unaweza kutumia yenye ladha ya chicken, beef au vegetable. Inategemea unasevu na mchuzi wa aina gani)
Chumvi (salt)
Mafuta (vegetable oil).. soma zaidi
Je, ni kweli au si kweli kuwa Wadada waliosoma sana hawana sifa ya kuwa mke
Tags👉 mahusiano
Halina ukweli kwa sehemu, na lina ukweli kwa sehemu. Ni hivi : 👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
Shule inamfanya mtu awe overconfidence na kukosa unyenyekevu, hii ni output ya makuzi na malezi aliyopita plus msukumo wa marafiki waigizaji kwenye mahusiano. Mwanamke msomi can spend any amount of cash on saloon, urembo na vitu binafsi vya luxury , but utasikia kazi ya mwanamme ni kulisha family kujenga etc, na shati lake likichakaa atajijua, hata hela yavkunyolea ndevu tu ni yeye 🤔🤔 but hana haki ya kuhoji income ya mkewe. Si mnakumbuka message ya 5000 za baba +2000 za mama=5000 za familia ,hiki ni practical kibonzo kwa some families… soma zaidi
Tags👉 mahusiano
Halina ukweli kwa sehemu, na lina ukweli kwa sehemu. Ni hivi : 👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
Shule inamfanya mtu awe overconfidence na kukosa unyenyekevu, hii ni output ya makuzi na malezi aliyopita plus msukumo wa marafiki waigizaji kwenye mahusiano. Mwanamke msomi can spend any amount of cash on saloon, urembo na vitu binafsi vya luxury , but utasikia kazi ya mwanamme ni kulisha family kujenga etc, na shati lake likichakaa atajijua, hata hela yavkunyolea ndevu tu ni yeye 🤔🤔 but hana haki ya kuhoji income ya mkewe. Si mnakumbuka message ya 5000 za baba +2000 za mama=5000 za familia ,hiki ni practical kibonzo kwa some families… soma zaidi
Je, Albino abadili/ageuze nywele rangi (die) au avae nywele bandia (wigi)?
Tags👉 (die) (wigi)? abadili/ageuze albino anavyopendelea. asilia au avae baadhi bandia hali hili hupendelea jambo je kadri kahawia kama katika kila kuacha kujisikia kuvaa kuwa kuzigeuza kwa la litatagemea msingi mtu na ndivyo ni nyeupe nyeupe. nyeusi nywele rangi suala ukijipenda unavyojisikia utakavyojiamini vizuri vizuri. walivyozaliwa wanapendelea watakupenda. watu wengine wewe ya zao zenye wiki
Suala hili litatagemea na kila mtu anavyopendelea. Baadhi ya
watu hupendelea kuacha nywele zao katika hali asilia kama
walivyozaliwa, wengine wanapendelea kuzigeuza rangi kuwa
nyeupe au nyeusi na wengine wanapendelea kuvaa nywele bandia
zenye rangi nyeusi, kahawia au nyeupe. Jambo la msingi ni
wewe kujisikia vizuri. Kwa kadri unavyojisikia vizuri ni ndivyo
utakavyojiamini na ukijipenda na wengine watakupenda… soma zaidi
Tags👉 (die) (wigi)? abadili/ageuze albino anavyopendelea. asilia au avae baadhi bandia hali hili hupendelea jambo je kadri kahawia kama katika kila kuacha kujisikia kuvaa kuwa kuzigeuza kwa la litatagemea msingi mtu na ndivyo ni nyeupe nyeupe. nyeusi nywele rangi suala ukijipenda unavyojisikia utakavyojiamini vizuri vizuri. walivyozaliwa wanapendelea watakupenda. watu wengine wewe ya zao zenye wiki
Suala hili litatagemea na kila mtu anavyopendelea. Baadhi ya
watu hupendelea kuacha nywele zao katika hali asilia kama
walivyozaliwa, wengine wanapendelea kuzigeuza rangi kuwa
nyeupe au nyeusi na wengine wanapendelea kuvaa nywele bandia
zenye rangi nyeusi, kahawia au nyeupe. Jambo la msingi ni
wewe kujisikia vizuri. Kwa kadri unavyojisikia vizuri ni ndivyo
utakavyojiamini na ukijipenda na wengine watakupenda… soma zaidi
Jielewe, kipato chako kinakusaidia nini?
Tags👉 uchumi
ASSET AND LIABILITY
Asset ni kitu chochote kinacho kuingizia pesa mfukoni uwepo au usiwepo… soma zaidi
Tags👉 uchumi
ASSET AND LIABILITY
Asset ni kitu chochote kinacho kuingizia pesa mfukoni uwepo au usiwepo… soma zaidi
Je, kuna madhara yoyote pale utakapojaribu kutumia dawa za kulevya mara moja tu au utakapotumia kwa kiasi kidogo sana?
Tags👉 wiki
Kutumia dawa za kulevya kwa kiasi kidogo kunaweza kusilete madhara i ila mpaka tu pale utakapoyazoea. Mara nyingi watu huanza kuhitaji dawa zaidi pale wanapozizoea na kupata madhara. Hii i ii inaweza kusababishia mtu kutawaliwa na dawa za kulevya. Mtumiaji wa dawa za kulevya anaweza kuwa mtegemezi wa dawa hizo bila ya kujijua. Kujaribu dawa za kulevya kunaweza kukawa na madhara kama “utaishia pabaya”. “Kuishia pabaya” ni jambo la kutisha na si la kufurahisha hata kidogo! Hali hiyo inaweza kutokea mara ya kwanza unapoanza kutumia bangi… soma zaidi
Tags👉 wiki
Kutumia dawa za kulevya kwa kiasi kidogo kunaweza kusilete madhara i ila mpaka tu pale utakapoyazoea. Mara nyingi watu huanza kuhitaji dawa zaidi pale wanapozizoea na kupata madhara. Hii i ii inaweza kusababishia mtu kutawaliwa na dawa za kulevya. Mtumiaji wa dawa za kulevya anaweza kuwa mtegemezi wa dawa hizo bila ya kujijua. Kujaribu dawa za kulevya kunaweza kukawa na madhara kama “utaishia pabaya”. “Kuishia pabaya” ni jambo la kutisha na si la kufurahisha hata kidogo! Hali hiyo inaweza kutokea mara ya kwanza unapoanza kutumia bangi… soma zaidi
Jinsi ya kutengeneza Biriani Ya Nyama Ya Ng'ombe
Tags👉 mapishinalishe
Nyama - 2 Ratili (LB).. soma zaidi
Tags👉 mapishinalishe
Nyama - 2 Ratili (LB).. soma zaidi
Utumiaji nguvu katika mahusiano ya ujinsia kama sehemu ya utamaduni
Tags👉 binadamu. haki huwezi kama katika kila kuheshimiana kunikataa kwa maelewano mahusiano mapenzi misingi mmoja muhimu na nguvu ni sehemu uhusiano ujinsia unavunja utamaduni utumiaji uwe uzazi wa wenu. ya za wiki
Utumiaji wa nguvu
katika mahusiano ya
ujinsia unavunja haki
za uzazi na haki za
binadamu. Uhusiano
wa ujinsia ni muhimu
uwe katika misingi ya
maelewano, kuheshimiana,
na Huwezi kunikataa
mapenzi kwa
kila mmoja wenu… soma zaidi
Tags👉 binadamu. haki huwezi kama katika kila kuheshimiana kunikataa kwa maelewano mahusiano mapenzi misingi mmoja muhimu na nguvu ni sehemu uhusiano ujinsia unavunja utamaduni utumiaji uwe uzazi wa wenu. ya za wiki
Utumiaji wa nguvu
katika mahusiano ya
ujinsia unavunja haki
za uzazi na haki za
binadamu. Uhusiano
wa ujinsia ni muhimu
uwe katika misingi ya
maelewano, kuheshimiana,
na Huwezi kunikataa
mapenzi kwa
kila mmoja wenu… soma zaidi
Je, Wewe unayesoma huu ujumbe una ndoto?
Tags👉 uchumi
KILA mtu duniani ana ndoto ingawa haijalishi ni ndoto gani uliyonayo.
Ndoto uliyonayo ina thamani kubwa kuliko fedha wala kitu chochote kile. Ndoto uliyonayo ina nguvu kubwa ya kubadilisha maisha yako na kukufikisha sehemu ambayo ulitaka ufike ama zaidi ya pale ulipotarajia kufika… soma zaidi
Tags👉 uchumi
KILA mtu duniani ana ndoto ingawa haijalishi ni ndoto gani uliyonayo.
Ndoto uliyonayo ina thamani kubwa kuliko fedha wala kitu chochote kile. Ndoto uliyonayo ina nguvu kubwa ya kubadilisha maisha yako na kukufikisha sehemu ambayo ulitaka ufike ama zaidi ya pale ulipotarajia kufika… soma zaidi
Jinsi ya kufuga vifaranga
Tags👉 ambayo gharama imekuwa inayokubalika isiyohitaji jamii jinsi karne katika kazi kiasi kibiashara. kikubwa kubwa kufuga kuku kwa mafanikio miaka mingi muhimu na ni nyingi. sana tagi: ufugaji vifaranga wa wanaiofanya ya wiki
Kwa karne na miaka mingi, ufugaji wa kuku imekuwa ni kazi muhimu na inayokubalika katika jamii nyingi. Ni kazi isiyohitaji gharama kubwa sana, ambayo imekuwa na mafanikio kwa kiasi kikubwa kwa wanaiofanya kibiashara… soma zaidi
Tags👉 ambayo gharama imekuwa inayokubalika isiyohitaji jamii jinsi karne katika kazi kiasi kibiashara. kikubwa kubwa kufuga kuku kwa mafanikio miaka mingi muhimu na ni nyingi. sana tagi: ufugaji vifaranga wa wanaiofanya ya wiki
Kwa karne na miaka mingi, ufugaji wa kuku imekuwa ni kazi muhimu na inayokubalika katika jamii nyingi. Ni kazi isiyohitaji gharama kubwa sana, ambayo imekuwa na mafanikio kwa kiasi kikubwa kwa wanaiofanya kibiashara… soma zaidi
Njia za kuamsha hamu ya kufanya mpenzi ya mwanamke
Tags👉 mahusiano
Andaa mazingira ya kuamsha hisia zake, fanya kitu kitakachowasogeza karibu na kuamsha hisia zake Kwenye akili yake kabla ya kugusa mwili. Mfano, weka mziki au muvi nzuri n.k. Kisha tengeneza mazingira ya kuwa karibu kimwili na kugusana… soma zaidi
Tags👉 mahusiano
Andaa mazingira ya kuamsha hisia zake, fanya kitu kitakachowasogeza karibu na kuamsha hisia zake Kwenye akili yake kabla ya kugusa mwili. Mfano, weka mziki au muvi nzuri n.k. Kisha tengeneza mazingira ya kuwa karibu kimwili na kugusana… soma zaidi
Kisa cha kusisimua cha mama mjane
Tags👉 hadithi
Mimi ni mwanamke mjane ninaishi mjini Arusha. Huu ni ushuhuda wangu wa maisha yangu… soma zaidi
Tags👉 hadithi
Mimi ni mwanamke mjane ninaishi mjini Arusha. Huu ni ushuhuda wangu wa maisha yangu… soma zaidi
Nini maana ya Ualbino?
Tags👉 albino ambao au bluu. dini. familia hali hawana hii hutokea inaonekana ingawaje jamii kabila katika kijivu kila kuliko kuwa kwa maana mabara macho moja na ndugu ngozi ni nini nyekundu nyeupe nywele rangi taifa ualbino ualbino. ualbino? ulimwenguni. wa wako wana watu weusi ya yake yao yote za zaidi zao wiki
Albino wana ngozi nyeupe, nywele nyeupe au nyekundu na macho
ya kijivu au ya bluu. Ngozi yao ni nyeupe zaidi kuliko ndugu zao
wa familia moja au watu wa jamii yake
ambao hawana hali ya ualbino. Ngozi hii inaonekana zaidi kuwa
nyeupe katika familia za watu weusi, ingawaje, ualbino
hutokea kwa watu wa kila taifa, rangi, kabila na dini. Albino
wako katika mabara yote ulimwenguni… soma zaidi
Tags👉 albino ambao au bluu. dini. familia hali hawana hii hutokea inaonekana ingawaje jamii kabila katika kijivu kila kuliko kuwa kwa maana mabara macho moja na ndugu ngozi ni nini nyekundu nyeupe nywele rangi taifa ualbino ualbino. ualbino? ulimwenguni. wa wako wana watu weusi ya yake yao yote za zaidi zao wiki
Albino wana ngozi nyeupe, nywele nyeupe au nyekundu na macho
ya kijivu au ya bluu. Ngozi yao ni nyeupe zaidi kuliko ndugu zao
wa familia moja au watu wa jamii yake
ambao hawana hali ya ualbino. Ngozi hii inaonekana zaidi kuwa
nyeupe katika familia za watu weusi, ingawaje, ualbino
hutokea kwa watu wa kila taifa, rangi, kabila na dini. Albino
wako katika mabara yote ulimwenguni… soma zaidi
Aina ya mazoezi na umuhimu wa mazoezi kwa wamama wajawazito
Tags👉 afya mapishinalishe
Leo tutaongelea mazoezi gani ya kawaida ambayo mama mjamzito anaweza kuendelea kuyafanya kila siku ya ujauzito wake na umuhimu wake… soma zaidi
Tags👉 afya mapishinalishe
Leo tutaongelea mazoezi gani ya kawaida ambayo mama mjamzito anaweza kuendelea kuyafanya kila siku ya ujauzito wake na umuhimu wake… soma zaidi
Ishara za uhakika za mtu yeyote anayekupenda kimapenzi hata kama hajakwambia
Tags👉 mahusiano
Utajuaje kama unapendwa?
Zifuatazo ni ishara za mwanamme au mwanamke anayekupenda hata kama hajakwambia.. soma zaidi
Tags👉 mahusiano
Utajuaje kama unapendwa?
Zifuatazo ni ishara za mwanamme au mwanamke anayekupenda hata kama hajakwambia.. soma zaidi
Mambo usiyoyajua kuhusu ugonjwa wa Pumu
Tags👉 mapishinalishe
Asthma /pumu ni ugonjwa sugu ambao huathiri njia ya hewa ambazo huingiza na kutoa hewa katika mapafu, pia hufanya kuta za ndani ya njia ya hewa kuvimba na hivyo hupunguza kiasi cha hewa kinachoingia na kutoka ktk mapafu, Hali hii husababisha mgonjwa kutoa mlio kama wa filimbi/mluzi wakati wa kupumua, kifua kubana, kushindwa kupumua vizuri na kukohoa sana, watu wa pumu huwa na dalil hizo nyakat za usiku na asubuhi sana pia ugonjwa huu huwaathiri watu wa Rika zote ingawaje Mara nying huwaathiri watoto kwa sababu huanza utoton na hivyo takriban MILION 6 ya watoto wanaumwa pumu na watu takriban 255,000 hufa kila mwaka kwa ugonjwa huu… soma zaidi
Tags👉 mapishinalishe
Asthma /pumu ni ugonjwa sugu ambao huathiri njia ya hewa ambazo huingiza na kutoa hewa katika mapafu, pia hufanya kuta za ndani ya njia ya hewa kuvimba na hivyo hupunguza kiasi cha hewa kinachoingia na kutoka ktk mapafu, Hali hii husababisha mgonjwa kutoa mlio kama wa filimbi/mluzi wakati wa kupumua, kifua kubana, kushindwa kupumua vizuri na kukohoa sana, watu wa pumu huwa na dalil hizo nyakat za usiku na asubuhi sana pia ugonjwa huu huwaathiri watu wa Rika zote ingawaje Mara nying huwaathiri watoto kwa sababu huanza utoton na hivyo takriban MILION 6 ya watoto wanaumwa pumu na watu takriban 255,000 hufa kila mwaka kwa ugonjwa huu… soma zaidi
Faida 25 za kutembea kwa Miguu
Tags👉 afya mapishinalishe
Maendeleo ya sayansi na teknolojia yamebadili mfumo wa maisha ya watu pamoja na kuathiri afya zao kwa kiasi kikubwa. Hivi leo watu wanatumia vyombo mbalimbali vya usafiri kwenda karibu kila eneo… soma zaidi
Tags👉 afya mapishinalishe
Maendeleo ya sayansi na teknolojia yamebadili mfumo wa maisha ya watu pamoja na kuathiri afya zao kwa kiasi kikubwa. Hivi leo watu wanatumia vyombo mbalimbali vya usafiri kwenda karibu kila eneo… soma zaidi
Jinsi ya kuamsha mahaba na mapenzi katika mahusiano
Tags👉 mahusiano
Hizi hapa njia za kuamsha na kudumisha uhusiano mzuri kati yako na mpenzi wako hasa baada ya kuwa mmeshazoeana sana na kuhisi kuchokana… soma zaidi
Tags👉 mahusiano
Hizi hapa njia za kuamsha na kudumisha uhusiano mzuri kati yako na mpenzi wako hasa baada ya kuwa mmeshazoeana sana na kuhisi kuchokana… soma zaidi
Kujinyima nguvu za uovu.
Tags👉 (ikiwa (warumi 14 :23). aina au baadhi basi dini elimu jina juu kama katika kuingia kujinyima kutokana kwamba la lazima mabaya mapepo mazoezi na nguvu ni nyota) pamoja pia sasa shaka shetani tabia tagi: uko umewahi uongo uovu. wewe ya yake. yesu. yoyote za wiki
Kujinyima nguvu za uovu.
Kama umewahi kuingia katika dini za uongo au YOYOTE au aina ya dini za uongo (ikiwa ni pamoja na elimu ya nyota) lazima kujinyima kwamba nguvu mabaya sasa katika jina la Yesu. Ni kutokana na Shetani na mapepo yake.
Kama wewe uko katika shaka juu ya baadhi ya mazoezi au tabia basi kujinyima kwamba pia (Warumi 14 :23). Basi nguvu kuchanganyika pamioja haiwezekani… soma zaidi
Tags👉 (ikiwa (warumi 14 :23). aina au baadhi basi dini elimu jina juu kama katika kuingia kujinyima kutokana kwamba la lazima mabaya mapepo mazoezi na nguvu ni nyota) pamoja pia sasa shaka shetani tabia tagi: uko umewahi uongo uovu. wewe ya yake. yesu. yoyote za wiki
Kujinyima nguvu za uovu.
Kama umewahi kuingia katika dini za uongo au YOYOTE au aina ya dini za uongo (ikiwa ni pamoja na elimu ya nyota) lazima kujinyima kwamba nguvu mabaya sasa katika jina la Yesu. Ni kutokana na Shetani na mapepo yake.
Kama wewe uko katika shaka juu ya baadhi ya mazoezi au tabia basi kujinyima kwamba pia (Warumi 14 :23). Basi nguvu kuchanganyika pamioja haiwezekani… soma zaidi
Sababu za magonjwa ya figo na jinsi ya kuondokana na janga la magonjwa ya Figo
Tags👉 mapishinalishe
1.Usichelewe kwenda HAJA. Kutunza mkojo kweye kibofu chako kwa muda mrefu ni wazo baya. Kibofu kikijaa kinaweza kusababisha uharibifu. Mkojo ambao unakaa kwenye kibofu huzidisha bakteria haraka.
Mara mkojo unaporudi nyuma ya njia na Figo, sumu dutu husababisha maambukizi ya figo, pia njia ya mkojo na "nephritis", pamoja na "uremia". Wakati wito asili (unahisi mkojo) fanya hivyo haraka iwezekanavyo… soma zaidi
Tags👉 mapishinalishe
1.Usichelewe kwenda HAJA. Kutunza mkojo kweye kibofu chako kwa muda mrefu ni wazo baya. Kibofu kikijaa kinaweza kusababisha uharibifu. Mkojo ambao unakaa kwenye kibofu huzidisha bakteria haraka.
Mara mkojo unaporudi nyuma ya njia na Figo, sumu dutu husababisha maambukizi ya figo, pia njia ya mkojo na "nephritis", pamoja na "uremia". Wakati wito asili (unahisi mkojo) fanya hivyo haraka iwezekanavyo… soma zaidi
Ungekua ni wewe ungemfanya nini huyu mtoto
Tags👉 habari
```HIVI IKIWA KAMA NI WEWE UNGEFANYA NINI?? umeenda kwa dada yako kumsalimia unamkuta kidogo kashainuka kimaisha anaishi mjini wewe kijijini. unafika dada yako anakupokea kisha anakukalibisha ndani unafika ndani unakaa kwenye sofa za bei… soma zaidi
Tags👉 habari
```HIVI IKIWA KAMA NI WEWE UNGEFANYA NINI?? umeenda kwa dada yako kumsalimia unamkuta kidogo kashainuka kimaisha anaishi mjini wewe kijijini. unafika dada yako anakupokea kisha anakukalibisha ndani unafika ndani unakaa kwenye sofa za bei… soma zaidi
Jinsi Muda Unavyopotea, Jifunze kitu hapa
Tags👉 uchumi
Kila mtu ambaye ni hai amepewa muda Wa masaa 24 kila siku,168 kwa wiki,672 kwa mwezi,8064 kwa miezi 12 au kwa mwaka… soma zaidi
Tags👉 uchumi
Kila mtu ambaye ni hai amepewa muda Wa masaa 24 kila siku,168 kwa wiki,672 kwa mwezi,8064 kwa miezi 12 au kwa mwaka… soma zaidi
Wasomi na ndoto za abunuasi
Tags👉 habari
Hebu vuta picha,namna ulivyosota kuipata hiyo degree yako. Miaka isiyopungua 16 imeteketea darasani! Umebeba vidumu na ufagio kama wafagiaji wa jiji ukiwa shule msingi. Umepiga jaramba maili kadhaa kuifata shule.Umekumbana na kashkashi za walimu "wanoko",ukiwaona tu bandama zilikuwa zinacheza "ndombolo" na tumbo liliunguruma kama jenereta la kiwanda… soma zaidi
Tags👉 habari
Hebu vuta picha,namna ulivyosota kuipata hiyo degree yako. Miaka isiyopungua 16 imeteketea darasani! Umebeba vidumu na ufagio kama wafagiaji wa jiji ukiwa shule msingi. Umepiga jaramba maili kadhaa kuifata shule.Umekumbana na kashkashi za walimu "wanoko",ukiwaona tu bandama zilikuwa zinacheza "ndombolo" na tumbo liliunguruma kama jenereta la kiwanda… soma zaidi
Faida 13 za kunywa juisi ya miwa
Tags👉 afya mapishinalishe
Unapopita maeneo mengi ya mijini na pembezoni wa miji utakutana na wafanyabiashara wa miwa wanaouza miwa na juisi yake. Wengi hununua juisi ya miwa kwa kuwa hufurahia utamu wake. Lakini umeshajiuliza juisi miwa ina faida gani kiafya?.. soma zaidi
Tags👉 afya mapishinalishe
Unapopita maeneo mengi ya mijini na pembezoni wa miji utakutana na wafanyabiashara wa miwa wanaouza miwa na juisi yake. Wengi hununua juisi ya miwa kwa kuwa hufurahia utamu wake. Lakini umeshajiuliza juisi miwa ina faida gani kiafya?.. soma zaidi
Ujumbe mzito kwako kijana
Tags👉 mahusiano
Juzikati, mimi na washikaji zangu wawili, Ali na Hamisi tuliamua kwenda kumtembelea rafiki yetu fulani aitwaye Twaha ambaye alikuwa akisumbuliwa na magonjwa ya mara kwa mara.
Jamaa alikuwa akiishi Kimara, tulipofika kituoni, kwa kuwa tulikuwa na mapene, tukaona siyo kesi kama tukichukua bajaji, tukaiita na dereva akaja kutuchukua mpaka kwa kina Twaha.. soma zaidi
Tags👉 mahusiano
Juzikati, mimi na washikaji zangu wawili, Ali na Hamisi tuliamua kwenda kumtembelea rafiki yetu fulani aitwaye Twaha ambaye alikuwa akisumbuliwa na magonjwa ya mara kwa mara.
Jamaa alikuwa akiishi Kimara, tulipofika kituoni, kwa kuwa tulikuwa na mapene, tukaona siyo kesi kama tukichukua bajaji, tukaiita na dereva akaja kutuchukua mpaka kwa kina Twaha.. soma zaidi
Jinsi ya kugundua upungufu wa virutubisho shambani
Tags👉 asili. au cha chini dalili: huathiriwa hukua hupungua jinsi kabichi kiasi kijani kiwango kuchanua kuchelewa. kugundua kutibu: kutosha kwa kwanza maharage mahindi majani maua mboga mbolea mchanganyiko mpauko. na ndiyo nitrogen njano. ongeza rangi sana shambani sukumawiki taabu tagi: upungufu virutubisho virutubishojinsi wa ya yanakuwa za wiki
Jinsi ya kugundua upungufu wa virutubisho.. soma zaidi
Tags👉 asili. au cha chini dalili: huathiriwa hukua hupungua jinsi kabichi kiasi kijani kiwango kuchanua kuchelewa. kugundua kutibu: kutosha kwa kwanza maharage mahindi majani maua mboga mbolea mchanganyiko mpauko. na ndiyo nitrogen njano. ongeza rangi sana shambani sukumawiki taabu tagi: upungufu virutubisho virutubishojinsi wa ya yanakuwa za wiki
Jinsi ya kugundua upungufu wa virutubisho.. soma zaidi
Je, ni kweli matumizi ya dawa za kulevya ni mojawapo ya sababu zinazochangia maambukizi ya virusi vya UKIMWI (VVU)
Tags👉 wiki
Dawa za kulevya zenyewe hazisababishi UKIMWI na magonjwa ya zinaa. Lakini utumiaji wa dawa za kulevya hurahisisha kupata na kuenea kwa magonjwa haya. Dawa hizi hudhoofisha mwili na kinga ya mwili. Hivyo basi hurahisisha virusi vya magonjwa kuingia mwilini mwa mtumiaji kiurahisi… soma zaidi
Tags👉 wiki
Dawa za kulevya zenyewe hazisababishi UKIMWI na magonjwa ya zinaa. Lakini utumiaji wa dawa za kulevya hurahisisha kupata na kuenea kwa magonjwa haya. Dawa hizi hudhoofisha mwili na kinga ya mwili. Hivyo basi hurahisisha virusi vya magonjwa kuingia mwilini mwa mtumiaji kiurahisi… soma zaidi
Jinsi ya kulima mazao ya mikunde na nafaka
Tags👉 1. 1.5 1.8 120 aina: hadi ina inakomaa jamii jumla. m mapema mbegu mikunde: mtama: na nafaka ni nyeupe. sifa siku tegemeo. urefu was ya za zake • wiki
Yafuatayo ni maelezo ya jinsi ya kulima mazao ya mikunde na nafaka.. soma zaidi
Tags👉 1. 1.5 1.8 120 aina: hadi ina inakomaa jamii jumla. m mapema mbegu mikunde: mtama: na nafaka ni nyeupe. sifa siku tegemeo. urefu was ya za zake • wiki
Yafuatayo ni maelezo ya jinsi ya kulima mazao ya mikunde na nafaka.. soma zaidi
FURSA YA UJASIRIAMALI KATIKA KILIMO CHA PAPAI
Tags👉 uchumi
Eka moja ya shamba la papai inaweza kuingiza miche 1000-1200(elfu moja hadi elfu na mia mbili)-zile mbegu fupi. Tufanye umepanda miche 1,000. Mti mmoja ukiuhudumia vema unaweza kutoa matunda hadi 120 kwa msimu… soma zaidi
Tags👉 uchumi
Eka moja ya shamba la papai inaweza kuingiza miche 1000-1200(elfu moja hadi elfu na mia mbili)-zile mbegu fupi. Tufanye umepanda miche 1,000. Mti mmoja ukiuhudumia vema unaweza kutoa matunda hadi 120 kwa msimu… soma zaidi
MAMBO 10 YA KUFANYA KABLA HUJAFIKA MIAKA 28!
Tags👉 mahusiano
1. Jifunze kuweka akiba ya fedha
2. Tafuta mpenzi sahihi na tulia naye
3. Acha kuishi na wazai au kupanga nyumba na washikaji
4. Achana na starehe zisizo na maana
5. Jali sana afya yako.. soma zaidi
Tags👉 mahusiano
1. Jifunze kuweka akiba ya fedha
2. Tafuta mpenzi sahihi na tulia naye
3. Acha kuishi na wazai au kupanga nyumba na washikaji
4. Achana na starehe zisizo na maana
5. Jali sana afya yako.. soma zaidi
Jinsi ya kumlisha ng'ombe aongeze maziwa
Tags👉 afya aina anahitaji anakuwa aongeze binadamu haitoshi ilivyo kama kamili kamili. kukuhakikishia kulisha kumlisha kutoa kutosha. kutumia kwa lazima lishe maji malisho maziwa mlo na ng'ombe nguvu ng’ombe ni nzuri pamoja protini resheni reshenijinsi sahihi tagi: uwiano vitamin viungo. wa wako wape ya yawe yenye yoyote wiki
Wape ng’ombe wako lishe kamili, yenye nguvu, protini, na vitamin pamoja na maji ya kutosha… soma zaidi
Tags👉 afya aina anahitaji anakuwa aongeze binadamu haitoshi ilivyo kama kamili kamili. kukuhakikishia kulisha kumlisha kutoa kutosha. kutumia kwa lazima lishe maji malisho maziwa mlo na ng'ombe nguvu ng’ombe ni nzuri pamoja protini resheni reshenijinsi sahihi tagi: uwiano vitamin viungo. wa wako wape ya yawe yenye yoyote wiki
Wape ng’ombe wako lishe kamili, yenye nguvu, protini, na vitamin pamoja na maji ya kutosha… soma zaidi
Je, kuna dawa zozote za kutibu magonjwa ya zinaa?
Tags👉 wiki
Magonjwa mengi ya zinaa yana dawa za kutibu, kwa mfano: kisonono, kaswende, klamdia, kankroidi au utando mweupe. Lakini hata hivyo ni lazima upate matibabu mapema. Ukisubiri muda mrefu bila ya kutibiwa, inawezekana kwamba via vya uzazi vikapata madhara ya kudumu, kwa mfano, kuziba kwa mirija ya kupitisha mayai… soma zaidi
Tags👉 wiki
Magonjwa mengi ya zinaa yana dawa za kutibu, kwa mfano: kisonono, kaswende, klamdia, kankroidi au utando mweupe. Lakini hata hivyo ni lazima upate matibabu mapema. Ukisubiri muda mrefu bila ya kutibiwa, inawezekana kwamba via vya uzazi vikapata madhara ya kudumu, kwa mfano, kuziba kwa mirija ya kupitisha mayai… soma zaidi
Jinsi ya kuongeza wingi wa mbegu za kiume
Tags👉 afya mapishinalishe
Ili kuongeza mbegu za kiume zingatia haya yafuatayo;.. soma zaidi
Tags👉 afya mapishinalishe
Ili kuongeza mbegu za kiume zingatia haya yafuatayo;.. soma zaidi
Ujinga tunaofanya na kusingizia mila zetu
Tags👉 habari
1- Tunamjali sana marehemu kuliko mgonjwa au mtu alie hai.. soma zaidi
Tags👉 habari
1- Tunamjali sana marehemu kuliko mgonjwa au mtu alie hai.. soma zaidi
Sababu za matumizi ya dawa za kulevya
Tags👉 wiki
Zipo sababu nyingi zinazowafanya watu kutumia dawa za kulevya, nazo ni kama zifuatazo:
Watu wengi hutumia dawa wakitumaini kusahau matatizo yanayowakabili, wengine hutumia kama viburudisho na wanataka kujionyesha kwamba ni watu wazima na wenye nguvu. Wengine pia huanza kutumia dawa kiutani na hatimaye hushindwa kujizuia kuzitumia. Wengine hutumia kutokana na msukumo wa rika au kutokana na kushawishiwa na watu wengine kwamba dawa za kulevya huwapa raha. Wengine hutumia kutokana na ukali wa maisha, uchovu pamoja na upweke. Kimsingi, dawa za kulevya hazimpatii mtu ufumbuzi wa matatizo, bali humwongezea matatizo mtumiaji… soma zaidi
Tags👉 wiki
Zipo sababu nyingi zinazowafanya watu kutumia dawa za kulevya, nazo ni kama zifuatazo:
Watu wengi hutumia dawa wakitumaini kusahau matatizo yanayowakabili, wengine hutumia kama viburudisho na wanataka kujionyesha kwamba ni watu wazima na wenye nguvu. Wengine pia huanza kutumia dawa kiutani na hatimaye hushindwa kujizuia kuzitumia. Wengine hutumia kutokana na msukumo wa rika au kutokana na kushawishiwa na watu wengine kwamba dawa za kulevya huwapa raha. Wengine hutumia kutokana na ukali wa maisha, uchovu pamoja na upweke. Kimsingi, dawa za kulevya hazimpatii mtu ufumbuzi wa matatizo, bali humwongezea matatizo mtumiaji… soma zaidi
Ushauri kwa vijana wenye miaka 22 nakuendelea
Tags👉 mahusiano
Ikiwa wewe ni kijana na Una umri wa kuanzia miaka 22 na Kuendelea
Soma hapa ujifunze maisha ya hekima na namna bora ya kuishi na kufanikiwa ungali kijana.. soma zaidi
Tags👉 mahusiano
Ikiwa wewe ni kijana na Una umri wa kuanzia miaka 22 na Kuendelea
Soma hapa ujifunze maisha ya hekima na namna bora ya kuishi na kufanikiwa ungali kijana.. soma zaidi
Kwa nini Albino wanatengwa katika masuala ya mapenzi na wale watu ambao siyo Albino?
Tags👉 albino albino? ambao ambayo au chanya hawajayazoea hiyo huogopa ikiwemo imani inasaidia jamii jinsi katika kimapenzi kuhusu kujaribu kujenga kujua kuondoa kuwapenda. kwa mahusiano mambo mapenzi masuala mifano mtazamo na ndipo ndoa. nini pia potofu. sababu siyo tofauti. ualbino ukweli unavyoweza unavyozidi vitu wale wana wanapoona wanatengwa wapo wasiwasi watu wengi wengine ya yale yapo yetu za wiki
Watu huogopa kujaribu vitu au mambo ambayo hawajayazoea
au yale ambayo yapo tofauti. Jinsi unavyozidi kujua ukweli
kuhusu sababu za ualbino ndipo unavyoweza kujenga mtazamo
chanya ikiwemo kuwapenda.
Wapo pia watu wengi katika jamii yetu ambao wana mahusiano
ya kimapenzi na Albino na ambao wapo katika ndoa. Watu
wengine katika jamii wanapoona mifano hiyo inasaidia katika
kuondoa wasiwasi na kuondoa imani potofu… soma zaidi
Tags👉 albino albino? ambao ambayo au chanya hawajayazoea hiyo huogopa ikiwemo imani inasaidia jamii jinsi katika kimapenzi kuhusu kujaribu kujenga kujua kuondoa kuwapenda. kwa mahusiano mambo mapenzi masuala mifano mtazamo na ndipo ndoa. nini pia potofu. sababu siyo tofauti. ualbino ukweli unavyoweza unavyozidi vitu wale wana wanapoona wanatengwa wapo wasiwasi watu wengi wengine ya yale yapo yetu za wiki
Watu huogopa kujaribu vitu au mambo ambayo hawajayazoea
au yale ambayo yapo tofauti. Jinsi unavyozidi kujua ukweli
kuhusu sababu za ualbino ndipo unavyoweza kujenga mtazamo
chanya ikiwemo kuwapenda.
Wapo pia watu wengi katika jamii yetu ambao wana mahusiano
ya kimapenzi na Albino na ambao wapo katika ndoa. Watu
wengine katika jamii wanapoona mifano hiyo inasaidia katika
kuondoa wasiwasi na kuondoa imani potofu… soma zaidi