MHENGA-KWA-VIDEOS
This is the Redirect module that redirects the browser directly to the "http://www.ackyshine.com/videos" page.
MHENGA-KWA-VIDEOS
By, Melkisedeck Shine.
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Huyu jamaa alikua anaokoa yai moja kaishia kupasua yote, tatizo mawenge, πAngalia video hapa
Tags π maajabu. Category πvideos,: maajabu, Hizi staili nyingine za ujenzi ni noma, cheki hawa, πAngalia video hapa
Tags π paka vichekesho. Category πvideos,: paka vichekesho, Cheki huyu paka mwenye kitambi kinachompata, πAngalia video hapa
Tags π ajali. Category πvideos,: ajali, Angalia haya Matukio yalivyofwatana, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Huyu jamaa kweli ni kiboko, cheki anavyowazungusha hawa, πAngalia video hapa
Tags π ajali gari. Category πvideos,: ajali gari, Angalia hii ajali, mwenzake kakoswa koswa, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Utani mwingine huu mbaya, kutiana presha, πAngalia video hapa
Tags π maajabu vichekesho. Category πvideos,: maajabu vichekesho, Huu wizi mwingine ni balaa, cheki anachofanya huyu mama, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Kwa mbwembwe zote wageni waalikwa wameanguka wakati wakipanda jukwaani, πAngalia video hapa
Tags π gari maajabu michezo. Category πvideos,: gari maajabu michezo, Huyu dereva wa hili gari kweli mtaalamu kwa hiki anachofanya, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Huyu jamaa mhuni kweli, anawagombanisha wenzake, πAngalia video hapa
Tags π ajali michezo. Category πvideos,: ajali michezo, Kilichompata huyu baada ya kuingilia fani ya watu, πAngalia video hapa
Tags π changamoto michezo vichekesho. Category πvideos,: changamoto michezo vichekesho, Hii michezo mingine bwana ni balaa, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Angalia hii familia ya mazombi wanapiga misele town, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Hawa watoto wanasumbua Ile mbaya, πAngalia video hapa
Tags π maajabu vichekesho. Category πvideos,: maajabu vichekesho, Huyu jamaa anajitupa kwenye maji kama tembo vile, πAngalia video hapa
Tags π michezo vichekesho. Category πvideos,: michezo vichekesho, Kocha akiwafundisha adabu wachezaji wake, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Huu uongo umezidi sasa, angalia huyu anachokifanya baada ya kupigiwa simu na mke wake, πAngalia video hapa
Tags π maajabu wanyama. Category πvideos,: maajabu wanyama, Watu wakicheza na wanyama hatari, πAngalia video hapa
Tags π kimya kiswahili silent vichekesho. Category πvideos,: kimya kiswahili silent vichekesho, Huyu dogo ni kiboko, cheki alichokifanya, πAngalia video hapa
.
.
Endelea kuperuzi;-π
π¬ WAHENGA-KWA-VIDEOβ
π¬ WAHENGA-KWA-VIDEOSβ
π¬ VIDEO-KWA-WAHENGAβ
π¬ VIDEOS-KWA-WAHENGAβ
π¬ VIDEOS-MHENGAβ
π¬ VIDEO-MHENGAβ
π¬ MHENGA-VIDEOSβ
π¬ WAHENGA-VIDEOβ
π¬ WAHENGA-VIDEOSβ
π¬ VIDEO-WAHENGAβ
π¬ VIDEOS-WAHENGAβ
Inakuaje mwanaume anaonyesha dalili za magonjwa ya zinaa zaidi kuliko mwanamke?
Tagsπ wiki
Wanaume mara nyingi huambukizwa sehemu za mrija wa mkojo. Katika sehemu hizi ni rahisi kusikia mwasho au maumivu zaidi kuliko kwenye via vya uzazi vya ndani vya mwanamke. Hasa wakati wa kukojoa, chumvichumvi iliyo kwenye mkojo inagusa vidonda ndani ya mrija. Hivyo, ni rahisi zaidi kwa mwanaume kujua kuwa ameambukizwa.
Vilevile mwanaume akiambukizwa na magonjwa haya, sehemu ya mbele ya njia ya mkojo inashambuliwa na huanza kutoa usaha mzito. Lakini uke wa mwanamke hutoa kemikali ambazo hufanya wadudu kutoweza kushambulia kwa haraka, na dalili hazionekani kwa urahisi. Bahati mbaya, kemikali hizi hazizuii kuingia kwa ugonjwa, lakini dalili huchelewa kuonekana.
Usisahau kwamba kama mwanaume anajitambua kuwa na dalili za kuumwa magonjwa ya zinaa, mpenzi wake pia anatakiwa kwenda kliniki ili apate uchunguzi na tiba… soma zaidi
Tagsπ wiki
Wanaume mara nyingi huambukizwa sehemu za mrija wa mkojo. Katika sehemu hizi ni rahisi kusikia mwasho au maumivu zaidi kuliko kwenye via vya uzazi vya ndani vya mwanamke. Hasa wakati wa kukojoa, chumvichumvi iliyo kwenye mkojo inagusa vidonda ndani ya mrija. Hivyo, ni rahisi zaidi kwa mwanaume kujua kuwa ameambukizwa.
Vilevile mwanaume akiambukizwa na magonjwa haya, sehemu ya mbele ya njia ya mkojo inashambuliwa na huanza kutoa usaha mzito. Lakini uke wa mwanamke hutoa kemikali ambazo hufanya wadudu kutoweza kushambulia kwa haraka, na dalili hazionekani kwa urahisi. Bahati mbaya, kemikali hizi hazizuii kuingia kwa ugonjwa, lakini dalili huchelewa kuonekana.
Usisahau kwamba kama mwanaume anajitambua kuwa na dalili za kuumwa magonjwa ya zinaa, mpenzi wake pia anatakiwa kwenda kliniki ili apate uchunguzi na tiba… soma zaidi
Tofauti kati ya yai la kuku wa kienyeji na la kuku wa kisasa
Tagsπ mapishinalishe
Kilishe mayai yote ni sawa. Virutubishi vinavyopatikana kwenye yai la kuku wa kienyeji kama protini, vitamini A, madini ya chuma na virutubishi vya aina nyingine, ndivyo hivyo vinavyopatikana pia kwenye yai la kuku wa kisasa… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Kilishe mayai yote ni sawa. Virutubishi vinavyopatikana kwenye yai la kuku wa kienyeji kama protini, vitamini A, madini ya chuma na virutubishi vya aina nyingine, ndivyo hivyo vinavyopatikana pia kwenye yai la kuku wa kisasa… soma zaidi
Kwa nini vijana wengine Albino wanaanza kujamiiana katika umri mdogo?
Tagsπ albino ambazo anasa baadhi hizi kama kati katika kijana kuanza kuchezea. kujamiiana kuna kuwa kwa mdogo. mdogo? mkononi na ni nini nyingi saa sababu simu umri ushindani vijana vile vile: vitu vya wa wanaanza wengine ya zinamfanya β’ wiki
Kuna sababu nyingi ambazo zinamfanya kijana kuanza kujamiiana
katika umri mdogo. Baadhi ya sababu hizi ni kama vile:
β’ Ushindani kati ya vijana wa kuwa na vitu vya anasa kama
vile simu ya mkononi, saa na vitu vya kuchezea. Ama kutaka
mahitaji ya pesa kwa ajili ya kulipa ada ya shule.
β’ Shinikizo kutoka kwa rika wa kumfanya mtu ajiingize kwenye
kujamiiana. Shinikizo rika unakuwa na nguvu zaidi kwa
kijana Albino kwani yeye tayari anajiona ametengwa na
hivyo kushawishika zaidi katika mambo wanayofanya wengine
ili akubalike na wanarika hao.
β’ Kwa kuamini kwamba njia halisi ya kuonyesha mapenzi ni kujamiiana
na pia kulazimika kujamiiana hata kama ni kinyume
na matakwa yake kwa mtazamo kuwa haya ndio mapenzi ya
kweli… soma zaidi
Tagsπ albino ambazo anasa baadhi hizi kama kati katika kijana kuanza kuchezea. kujamiiana kuna kuwa kwa mdogo. mdogo? mkononi na ni nini nyingi saa sababu simu umri ushindani vijana vile vile: vitu vya wa wanaanza wengine ya zinamfanya β’ wiki
Kuna sababu nyingi ambazo zinamfanya kijana kuanza kujamiiana
katika umri mdogo. Baadhi ya sababu hizi ni kama vile:
β’ Ushindani kati ya vijana wa kuwa na vitu vya anasa kama
vile simu ya mkononi, saa na vitu vya kuchezea. Ama kutaka
mahitaji ya pesa kwa ajili ya kulipa ada ya shule.
β’ Shinikizo kutoka kwa rika wa kumfanya mtu ajiingize kwenye
kujamiiana. Shinikizo rika unakuwa na nguvu zaidi kwa
kijana Albino kwani yeye tayari anajiona ametengwa na
hivyo kushawishika zaidi katika mambo wanayofanya wengine
ili akubalike na wanarika hao.
β’ Kwa kuamini kwamba njia halisi ya kuonyesha mapenzi ni kujamiiana
na pia kulazimika kujamiiana hata kama ni kinyume
na matakwa yake kwa mtazamo kuwa haya ndio mapenzi ya
kweli… soma zaidi
Je, kuna dawa yoyote ya kutibu ugumba?
Tagsπ wiki
Hakuna jibu la ujumla kwa swali hili, kwa sababu tiba ya ugumba inategemea chanzo maalum cha ugumba huo kwa mhusika. Kuna matatizo ya ugumba ambayo yanaweza kutibiwa, lakini mara nyingi ni vigumu au hata haiwezekani kumtibu mwanaume au mwanamke mgumba.
Kwanza kabisa, lazima daktari atafute sababu za ugumba kwa kufanya uchunguzi wa kitaalamu kwa mwanamke na mwanaume. Baada ya uchunguzi daktari anaweza akawashauri kuhusu uwezekano wa kuwatibu. Mara nyingine tiba ni rahisi, lakini matatizo mengine ni mazito na ni vigumu au haiwezekani kuyatibu… soma zaidi
Tagsπ wiki
Hakuna jibu la ujumla kwa swali hili, kwa sababu tiba ya ugumba inategemea chanzo maalum cha ugumba huo kwa mhusika. Kuna matatizo ya ugumba ambayo yanaweza kutibiwa, lakini mara nyingi ni vigumu au hata haiwezekani kumtibu mwanaume au mwanamke mgumba.
Kwanza kabisa, lazima daktari atafute sababu za ugumba kwa kufanya uchunguzi wa kitaalamu kwa mwanamke na mwanaume. Baada ya uchunguzi daktari anaweza akawashauri kuhusu uwezekano wa kuwatibu. Mara nyingine tiba ni rahisi, lakini matatizo mengine ni mazito na ni vigumu au haiwezekani kuyatibu… soma zaidi
Matumizi ya Lozi na maziwa kutibu shinikizo la chini la damu
Tagsπ tibu-shinikizo-chini mapishinalishe
Unaweza kutumia Lozi na maziwa kutibu shinikizo la chini la damu kama ifuatavyo;.. soma zaidi
Tagsπ tibu-shinikizo-chini mapishinalishe
Unaweza kutumia Lozi na maziwa kutibu shinikizo la chini la damu kama ifuatavyo;.. soma zaidi
Jeshi la polisi linafanya nini katika kukomesha mauaji na madhara yanayotendeka kwa Albino?
Tagsπ albino? hivyo jeshi katika kuchunguza kukomesha kuwafikisha kuwakama kwa la limeanza linafanya maalumu madhara masuala mauaji mbele mikakati na nini polisi sheria. tawahusika vitendo vya vyombo wote ya yanayohusu yanayotendeka yote wiki
Jeshi la polisi limeanza mikakati maalumu kuchunguza masuala
yote yanayohusu vitendo hivyo, kuwakama tawahusika wote
na kuwafikisha mbele ya vyombo vya sheria. Pia jeshi la Polisi
limeunda kikosi maalumu kwa ajili ya kushughulikia kwa haraka
kesi za Albino… soma zaidi
Tagsπ albino? hivyo jeshi katika kuchunguza kukomesha kuwafikisha kuwakama kwa la limeanza linafanya maalumu madhara masuala mauaji mbele mikakati na nini polisi sheria. tawahusika vitendo vya vyombo wote ya yanayohusu yanayotendeka yote wiki
Jeshi la polisi limeanza mikakati maalumu kuchunguza masuala
yote yanayohusu vitendo hivyo, kuwakama tawahusika wote
na kuwafikisha mbele ya vyombo vya sheria. Pia jeshi la Polisi
limeunda kikosi maalumu kwa ajili ya kushughulikia kwa haraka
kesi za Albino… soma zaidi
Faida za kila kitu kwenye mti wa papai
Tagsπ afya mapishinalishe
Watu wengi hulitumia tunda la papai kwa sababu ya utamu wake. Hata hivyo mbali na kuwa na ladha nzuri, tunda la papai lina faida lukuki kwa afya ya mwanadamu… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Watu wengi hulitumia tunda la papai kwa sababu ya utamu wake. Hata hivyo mbali na kuwa na ladha nzuri, tunda la papai lina faida lukuki kwa afya ya mwanadamu… soma zaidi
METHALI MIA SITA NA KUMI ZA KISWAHILI (610)
Tagsπ (610) 1. 2. 3. 4. 5. 6. 7. 8. 9. aanguaye aangukapo abebwaye adhabu adui afadhali ahadi aijuae asiye deni firauna. guu. huanguliwa. hujikaza. huvunjika kaburi kiswahili kuliko kumi la maiti. methali mia mkuu mnyanyue. mpende. mtu mtu. musa na ni sikia sita tagi: wa ya za wiki
METHALI MIA SITA NA KUMI (610)
1. Aanguaye huanguliwa.
2. Asiye sikia la mkuu, huvunjika guu.
3. Abebwaye hujikaza.
4. Adhabu ya kaburi aijuae maiti.
5. Adui aangukapo, mnyanyue.
6. Adui mpende.
7. Adui wa mtu ni mtu.
8. Afadhali ya Musa kuliko ya Firauna.
9. Ahadi ni deni.
10. Ajidhaniaye amesimama, aangalie asianguke.
11. Akiba haiozi.
12. Akili ni mali.
13. Akili ni nywele kila mtu ana zake.
14. Akili nyingi huondowa maarifa.
15. Akutukanae hakuchagulii tusi.
16. Akipenda chongo huita kengeza.
17. Akufaae kwa dhiki, ndiye rafiki.
18. Akufanyiaye ubaya, mlipe wema.
19. Akupaye kisogo si mwenzio.
20. Akutendaye mtende, mche asiyekutenda.
21. Alisifuye jua, limeuangaza.
22. Aliye juu msubiri chini.
23. Aliye kando, haangukiwi na mti.
24. Aliye kupa wewe kiti (kibao) ndiye aliye nipa mimi kumbi.
25. Aliye kutwika, ndiye atakaye kutua.
26. Akufukuzae hakwambii toka.
27. Aliyekupa mkeka ndiye aliyenipa kumbesa.
28. Amani haipatikani mpaka kwa ncha ya upanga.
29. Ana hasira za mkizi.
30. Anayekuja pasi na hodi, huondoka bila ya kuaga.
31. Angurumapo simba, mcheza ni nani?
32. Aninyimaye mbazi kanipunguzia mashuzi.
33. Apewaye ndiye aongezwaye.
34. Anaejipiga mwenyewe, halii.
35. Asifuye mvuwa imemnyea.
36. Asiye kubali kushindwa si mshindani.
37. Asiye kujua, hakuthamini.
38. Asiye kuwapo na lake halipo.
39. Asiye lelewa na mamae hulelewa na ulimwengu.
40. Asiye na mengi, ana machache.
41. Asiye uliza, hanalo ajifunzalo.
42. Asiyejua maana, haambiwi maana.
43. Atangaye na jua hujuwa.
44. Atangazaye mirimo, si mwana wa ruwari (Liwali).
45. Atekaye maji mtoni hatukani mamba.
46. Avumaye baharini papa kumbe wengi wapo.
47. Baada ya dhiki faraja.
48. Bahari hailindwi.
49. Bamba na waume ni bamba, hakuna bamba la mume.
50. Bandu bandu huisha gogo… soma zaidi
Tagsπ (610) 1. 2. 3. 4. 5. 6. 7. 8. 9. aanguaye aangukapo abebwaye adhabu adui afadhali ahadi aijuae asiye deni firauna. guu. huanguliwa. hujikaza. huvunjika kaburi kiswahili kuliko kumi la maiti. methali mia mkuu mnyanyue. mpende. mtu mtu. musa na ni sikia sita tagi: wa ya za wiki
METHALI MIA SITA NA KUMI (610)
1. Aanguaye huanguliwa.
2. Asiye sikia la mkuu, huvunjika guu.
3. Abebwaye hujikaza.
4. Adhabu ya kaburi aijuae maiti.
5. Adui aangukapo, mnyanyue.
6. Adui mpende.
7. Adui wa mtu ni mtu.
8. Afadhali ya Musa kuliko ya Firauna.
9. Ahadi ni deni.
10. Ajidhaniaye amesimama, aangalie asianguke.
11. Akiba haiozi.
12. Akili ni mali.
13. Akili ni nywele kila mtu ana zake.
14. Akili nyingi huondowa maarifa.
15. Akutukanae hakuchagulii tusi.
16. Akipenda chongo huita kengeza.
17. Akufaae kwa dhiki, ndiye rafiki.
18. Akufanyiaye ubaya, mlipe wema.
19. Akupaye kisogo si mwenzio.
20. Akutendaye mtende, mche asiyekutenda.
21. Alisifuye jua, limeuangaza.
22. Aliye juu msubiri chini.
23. Aliye kando, haangukiwi na mti.
24. Aliye kupa wewe kiti (kibao) ndiye aliye nipa mimi kumbi.
25. Aliye kutwika, ndiye atakaye kutua.
26. Akufukuzae hakwambii toka.
27. Aliyekupa mkeka ndiye aliyenipa kumbesa.
28. Amani haipatikani mpaka kwa ncha ya upanga.
29. Ana hasira za mkizi.
30. Anayekuja pasi na hodi, huondoka bila ya kuaga.
31. Angurumapo simba, mcheza ni nani?
32. Aninyimaye mbazi kanipunguzia mashuzi.
33. Apewaye ndiye aongezwaye.
34. Anaejipiga mwenyewe, halii.
35. Asifuye mvuwa imemnyea.
36. Asiye kubali kushindwa si mshindani.
37. Asiye kujua, hakuthamini.
38. Asiye kuwapo na lake halipo.
39. Asiye lelewa na mamae hulelewa na ulimwengu.
40. Asiye na mengi, ana machache.
41. Asiye uliza, hanalo ajifunzalo.
42. Asiyejua maana, haambiwi maana.
43. Atangaye na jua hujuwa.
44. Atangazaye mirimo, si mwana wa ruwari (Liwali).
45. Atekaye maji mtoni hatukani mamba.
46. Avumaye baharini papa kumbe wengi wapo.
47. Baada ya dhiki faraja.
48. Bahari hailindwi.
49. Bamba na waume ni bamba, hakuna bamba la mume.
50. Bandu bandu huisha gogo… soma zaidi
Jinsi ya kupika Biskuti Ya Keki Kavu kwa kizungu Shortcake
Tagsπ mapishinalishe
Unga 2 Magi (vikombe vya chai).. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Unga 2 Magi (vikombe vya chai).. soma zaidi
Jinsi msongo wa mawazo unavyoweza kukusababishia ugonjwa wa moyo
Tagsπ afya mapishinalishe
Kila mmoja wetu anaweza kuwa na sababu tofauti inayoweza kumsababishia msongo (stress). Sababu kubwa ambazo husababisha msongo ni masuala ya kazi hata pia masuala ya kijamii. Masuala ya kikazi ni kama kutokuwa na furaha kazini, kazi nyingi, kufanya kazi kwa masaa mengi, kutokuwa na mipangilio bora, kutokujiwekea malengo na mengine mengi… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Kila mmoja wetu anaweza kuwa na sababu tofauti inayoweza kumsababishia msongo (stress). Sababu kubwa ambazo husababisha msongo ni masuala ya kazi hata pia masuala ya kijamii. Masuala ya kikazi ni kama kutokuwa na furaha kazini, kazi nyingi, kufanya kazi kwa masaa mengi, kutokuwa na mipangilio bora, kutokujiwekea malengo na mengine mengi… soma zaidi
Habari na historia ya mji wa Korogwe
Tagsπ habari
Korogwe ni moja ya wilaya inayopatikana mkoani Tanga nchini Tanzania. Mji huu kihistoria ni moja ya miji ambayo ilijiwekea historia kubwa sana. Hauwezi kuzungunzia habari au historia ya Wazigua bila kutaja mji huu wa Korogwe. Kama tulivyokwisha fafanua kwenye makala ya Wazigua na mgawanyiko wao. Na miongoni mwa Wazigua waliogawanyika, tuliwazungumzia Waluvu… soma zaidi
Tagsπ habari
Korogwe ni moja ya wilaya inayopatikana mkoani Tanga nchini Tanzania. Mji huu kihistoria ni moja ya miji ambayo ilijiwekea historia kubwa sana. Hauwezi kuzungunzia habari au historia ya Wazigua bila kutaja mji huu wa Korogwe. Kama tulivyokwisha fafanua kwenye makala ya Wazigua na mgawanyiko wao. Na miongoni mwa Wazigua waliogawanyika, tuliwazungumzia Waluvu… soma zaidi
Ngono au tendo la ndoa baada ya kujifungua
Tagsπ 3 aina au baada baadhi hizi kujifungua la maji moto ndoa ngono ni nizijuazo sababu tendo utumiaji wa ya za wiki
Kungonoana au kungonoka na kufurahia tendo baada ya kujifungua inategemea zaidi na wewe mwenyewe (uponaji wako) na lini unadhani uko tayari vilevile ushirikiano wa kutosha kutoka kwa mume/mpenzi wako wakati unaendelea na uponaji baada ya kutoa kiumbe kipya duniani… soma zaidi
Tagsπ 3 aina au baada baadhi hizi kujifungua la maji moto ndoa ngono ni nizijuazo sababu tendo utumiaji wa ya za wiki
Kungonoana au kungonoka na kufurahia tendo baada ya kujifungua inategemea zaidi na wewe mwenyewe (uponaji wako) na lini unadhani uko tayari vilevile ushirikiano wa kutosha kutoka kwa mume/mpenzi wako wakati unaendelea na uponaji baada ya kutoa kiumbe kipya duniani… soma zaidi
Mapishi ya Viazi vya nyama
Tagsπ mapishinalishe
Viazi (potato) 1 kilo
Nyama ya ng'ombe 1/2 kilo
Nyanya ya kopo iliyosagwa 1/2 tin
Vitunguu maji 2
Tangawizi/ swaum 1 kijiko cha chai
Hoho 1
Curry powder 1 kijiko cha chai
Pilipili ya unga 1/2 kijiko cha chai
Limao 1/2
Chumvi
Coriander
Mafuta ya kupikia.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Viazi (potato) 1 kilo
Nyama ya ng'ombe 1/2 kilo
Nyanya ya kopo iliyosagwa 1/2 tin
Vitunguu maji 2
Tangawizi/ swaum 1 kijiko cha chai
Hoho 1
Curry powder 1 kijiko cha chai
Pilipili ya unga 1/2 kijiko cha chai
Limao 1/2
Chumvi
Coriander
Mafuta ya kupikia.. soma zaidi
UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Tagsπ wiki
Wanaume Wengi Hapa Duniani Huamini Kuwa, Mwanaume Hasa Ni Yule Anayeweza Kufanya Tendo Hilo Kwa Muda Mrefu Na Mara Nyingi Ndio Maana Vijana Wengi Utawasikia Wakijisifu Kuwa, Mpenzi Wake Hakulala Usiku Mzima Kutokana Na Dozi Ya Maana Aliyompa Na Ukimuuliza Mtu Wa Namna Hii Atakwambia Kuwa Alikwenda Mizunguko Sita Usiku Mzima… soma zaidi
Tagsπ wiki
Wanaume Wengi Hapa Duniani Huamini Kuwa, Mwanaume Hasa Ni Yule Anayeweza Kufanya Tendo Hilo Kwa Muda Mrefu Na Mara Nyingi Ndio Maana Vijana Wengi Utawasikia Wakijisifu Kuwa, Mpenzi Wake Hakulala Usiku Mzima Kutokana Na Dozi Ya Maana Aliyompa Na Ukimuuliza Mtu Wa Namna Hii Atakwambia Kuwa Alikwenda Mizunguko Sita Usiku Mzima… soma zaidi
Tatizo la Tezi Dume
Tagsπ mapishinalishe
PROSTATE GLAND (TEZI DUME) TATIZO SUGU KWA WANAUME.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
PROSTATE GLAND (TEZI DUME) TATIZO SUGU KWA WANAUME.. soma zaidi
Mapishi ya Maini ya kuku
Tagsπ mapishinalishe
Maini ya kuku 1/2 kilo
Vitunguu vikubwa 2
Hoho 1
Pilipil 1
Limao 1/2
Swaum/tangawizi 1 kijiko cha chai
Curry powder 1/2 kijiko cha chai
Mafuta ya kupikia.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Maini ya kuku 1/2 kilo
Vitunguu vikubwa 2
Hoho 1
Pilipil 1
Limao 1/2
Swaum/tangawizi 1 kijiko cha chai
Curry powder 1/2 kijiko cha chai
Mafuta ya kupikia.. soma zaidi
Mapishi ya Wali, samaki wa nazi na kisamvu
Tagsπ mapishinalishe
Mchele
Kisamvu kilichotwangwa
Samaki
Mbaazi
Nyanya chungu
Vitunguu
Nyanya ya kopo
Tangawizi
Kitunguu swaum
Vegetable oil
Curry powder
Tui la nazi (kopo 2)
Chumvi
Pilipili
Limao.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mchele
Kisamvu kilichotwangwa
Samaki
Mbaazi
Nyanya chungu
Vitunguu
Nyanya ya kopo
Tangawizi
Kitunguu swaum
Vegetable oil
Curry powder
Tui la nazi (kopo 2)
Chumvi
Pilipili
Limao.. soma zaidi
UJASIRIAMALI NA CHANZO CHA MTAJI
Tagsπ uchumi
Ni uthubutu au ujaribu wa ufanyaji wa
shughuli yoyote halali na kupitia shughuli
hiyo mtu watu huweza kupata kipato… soma zaidi
Tagsπ uchumi
Ni uthubutu au ujaribu wa ufanyaji wa
shughuli yoyote halali na kupitia shughuli
hiyo mtu watu huweza kupata kipato… soma zaidi
Je, watumiaji wa dawa za kulevya wanaweza kupata watoto?
Tagsπ wiki
Ndiyo, hii i ii inawezekana. Lakini ujue kwamba watu wanaotumia dawa za kulevya huwa dhaifu kisaikolojia na kiumbile kwa maana hiyo wanaweza wasiwe katika hali nzuri ya kupata watoto. Hawajali afya zao. Wanakosa hisia na hutumia muda mwingi kushiriki katika matumizi ya dawa za kulevya; pia hutumia fedha nyingi. Haya si mazingira mazuri ya kulea watoto… soma zaidi
Tagsπ wiki
Ndiyo, hii i ii inawezekana. Lakini ujue kwamba watu wanaotumia dawa za kulevya huwa dhaifu kisaikolojia na kiumbile kwa maana hiyo wanaweza wasiwe katika hali nzuri ya kupata watoto. Hawajali afya zao. Wanakosa hisia na hutumia muda mwingi kushiriki katika matumizi ya dawa za kulevya; pia hutumia fedha nyingi. Haya si mazingira mazuri ya kulea watoto… soma zaidi
Nifanyeje kujiepusha na vishawishi vya mpenzi wangu vinavyoweza kunifanya nisitumie kondomu?
Tagsπ bila kondomu kondomu? kujamiiana kujiepusha kunifanya kutokana kutumia mara mpenzi msukumo na nifanyeje nisitumie nyingine rahisi siyo vinavyoweza vishawishi vya wa wako. wangu wiki
Mara nyingine siyo rahisi kujiepusha na vishawishi vya kujamiiana bila kutumia kondomu kutokana na msukumo wa mpenzi wako. Lakini kumbuka kwamba siyo rahisi kumtambua mwenye magonjwa ya zinaa na mara nyingi huwezi kujua kama mpenzi wako hana ugonjwa wowote wa zinaa au hata virusi vya UKIMWI.
Huwezi kufahamu ni watu wangapi ameshajamiiana nao maishani mwake na mpenzi wako vilevile hawezi kufahamu kama wewe umeshajamiiana na mtu mwingine. Kila unapojamiiana kuna uwezekano wa kuambukizwa magonjwa ya zinaa. Kwa hiyo jadiliana na mpenzi wako na mkubaliane juu ya umuhimu wa kutumia kondomu wakati wa kujamiiana kwa nia ya kuwakinga wote wawili. Kama mpenzi wako anakuambia kwamba hana ugonjwa kama huo, mwambie kwamba hana uhakika wa kufahamu kutokuwa na virusi vya UKIMWI bila kupimwa damu. Na kama mmoja kati yenu hajapimwa, basi uwezekano wa kuwa na virusi upo. Usikubali kushawishiwa kutotumia kondomu, kwa sababu inaweza kuhatarisha maisha yako.
Matumizi ya kondomu inazuia ujauzito ambao wewe bado hauko tayari kuwa nao.. soma zaidi
Tagsπ bila kondomu kondomu? kujamiiana kujiepusha kunifanya kutokana kutumia mara mpenzi msukumo na nifanyeje nisitumie nyingine rahisi siyo vinavyoweza vishawishi vya wa wako. wangu wiki
Mara nyingine siyo rahisi kujiepusha na vishawishi vya kujamiiana bila kutumia kondomu kutokana na msukumo wa mpenzi wako. Lakini kumbuka kwamba siyo rahisi kumtambua mwenye magonjwa ya zinaa na mara nyingi huwezi kujua kama mpenzi wako hana ugonjwa wowote wa zinaa au hata virusi vya UKIMWI.
Huwezi kufahamu ni watu wangapi ameshajamiiana nao maishani mwake na mpenzi wako vilevile hawezi kufahamu kama wewe umeshajamiiana na mtu mwingine. Kila unapojamiiana kuna uwezekano wa kuambukizwa magonjwa ya zinaa. Kwa hiyo jadiliana na mpenzi wako na mkubaliane juu ya umuhimu wa kutumia kondomu wakati wa kujamiiana kwa nia ya kuwakinga wote wawili. Kama mpenzi wako anakuambia kwamba hana ugonjwa kama huo, mwambie kwamba hana uhakika wa kufahamu kutokuwa na virusi vya UKIMWI bila kupimwa damu. Na kama mmoja kati yenu hajapimwa, basi uwezekano wa kuwa na virusi upo. Usikubali kushawishiwa kutotumia kondomu, kwa sababu inaweza kuhatarisha maisha yako.
Matumizi ya kondomu inazuia ujauzito ambao wewe bado hauko tayari kuwa nao.. soma zaidi
KUCHAGUA MCHUMBA
Tagsπ (mwanzo 1 2:18). 7 adamu akiwaumba alimuumba alipokuwa aliyoona awe baada bustani edeni. haifai hapo hawa hiyo inafaa katika kuchagua kuona kuwa kwa kwanza maisha mchumba mke mpango mume mungu mwanamke mwanamume mwanamume. na namna ni peke somo: tagi: ushirika utukufu uumbaji wa wakorintho walitakiwa wamoja watu wawe ya yake yao yote. wiki
SOMO: 1 Wakorintho 7.. soma zaidi
Tagsπ (mwanzo 1 2:18). 7 adamu akiwaumba alimuumba alipokuwa aliyoona awe baada bustani edeni. haifai hapo hawa hiyo inafaa katika kuchagua kuona kuwa kwa kwanza maisha mchumba mke mpango mume mungu mwanamke mwanamume mwanamume. na namna ni peke somo: tagi: ushirika utukufu uumbaji wa wakorintho walitakiwa wamoja watu wawe ya yake yao yote. wiki
SOMO: 1 Wakorintho 7.. soma zaidi
Vitu vinavyoweza kusababisha tatizo la mbegu chache na ugumba kwa ujumla kwa wanaume
Tagsπ mapishinalishe
Vifaa vingi vya kisasa vya kieletroniki vinasababisha kushuka kwa wingi na ubora wa mbegu kwa wanaume wengi miaka ya sasa kwani mionzi yake hupelekea joto lisilohitajika katika mifuko ya mbegu za kiume. Vifaa hivi ni pamoja na simu na Kompyuta… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Vifaa vingi vya kisasa vya kieletroniki vinasababisha kushuka kwa wingi na ubora wa mbegu kwa wanaume wengi miaka ya sasa kwani mionzi yake hupelekea joto lisilohitajika katika mifuko ya mbegu za kiume. Vifaa hivi ni pamoja na simu na Kompyuta… soma zaidi
Jinsi ya kuongeza wingi wa mbegu za kiume
Tagsπ afya mapishinalishe
Ili kuongeza mbegu za kiume zingatia haya yafuatayo;.. soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Ili kuongeza mbegu za kiume zingatia haya yafuatayo;.. soma zaidi
Dalili za kwanza za msichana au mwanamke kuwa na mimba ni zipi?
Tagsπ wiki
Dalili moja i iliyo wazi zaidi ni kukosa hedhi. Mwanamke akijamii ana na mwanaume bila kutumia kinga yoyote na asipopata hedhi katika muda unaotakiwa, mara nyingi i i ina maana kwamba amepata mimba… soma zaidi
Tagsπ wiki
Dalili moja i iliyo wazi zaidi ni kukosa hedhi. Mwanamke akijamii ana na mwanaume bila kutumia kinga yoyote na asipopata hedhi katika muda unaotakiwa, mara nyingi i i ina maana kwamba amepata mimba… soma zaidi
Soma hii utajifunza kitu, kisha tafakari nini cha kufanya
Tagsπ habari
Tafakuri Tafakarishi:
Mwanaume hujaribiwa na Shetani akiwa na hela. Lakini shetani humkimbia akiishiwa. Angalia wanaume wengi wakiwa na hela wanavyo behave. Hawajali familia zao, attention yao kubwa ni kwenye ulevi, vimada, disco, kamari, makasino etc. Lakini wakiishiwa wanashinda nyumbani, wanajali familia, wanapanga mipango ya maendeleo (ambayo mingi haitekelezeki akishapata hela)… soma zaidi
Tagsπ habari
Tafakuri Tafakarishi:
Mwanaume hujaribiwa na Shetani akiwa na hela. Lakini shetani humkimbia akiishiwa. Angalia wanaume wengi wakiwa na hela wanavyo behave. Hawajali familia zao, attention yao kubwa ni kwenye ulevi, vimada, disco, kamari, makasino etc. Lakini wakiishiwa wanashinda nyumbani, wanajali familia, wanapanga mipango ya maendeleo (ambayo mingi haitekelezeki akishapata hela)… soma zaidi
Namna ya kuongeza nguvu za kiume bila kutumia dawa
Tagsπ afya mapishinalishe
Upungufu wa nguvu za kiume umekua tatizo kubwa sana kwa wanaume wengi. Tatizo hili limewakumba wanaume wengi walio katika ndoa na hata wale ambao bado hawajaoa. Watu wengi wamekuwa wakisumbuka kutafuta utatuzi kwani tatizo hili huwafanya kuwa na wasiwasi wa maisha. Ndoa nyingi zimevunjika na mahusiano kuharibika kwa sababu ya tatizo hili… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Upungufu wa nguvu za kiume umekua tatizo kubwa sana kwa wanaume wengi. Tatizo hili limewakumba wanaume wengi walio katika ndoa na hata wale ambao bado hawajaoa. Watu wengi wamekuwa wakisumbuka kutafuta utatuzi kwani tatizo hili huwafanya kuwa na wasiwasi wa maisha. Ndoa nyingi zimevunjika na mahusiano kuharibika kwa sababu ya tatizo hili… soma zaidi
Dondoo Muhimu kuhusu ugonjwa wa kisukari
Tagsπ mapishinalishe
Wapendwa, napenda kushirikiana na nyinyi kujuzana hili nililolisikia kupitia channel ten leo asubuhi kuhusu ugonjwa wa kisukari.
Wataalam waliokua wakitoa mada walikua Prof Endrew Swai na Dr Mohamed Juma.
Kwa ufupi wamesisitiza sana kufanya mazoezi kwa takriban nusu saa kwa siku na ambayo mtu anatoa jasho na moyo kumwenda mbio. Hiyo ni kwa ajili ya kusaidia misuli ya miguu,tumbo kifua, mgongo na mikono kutumia kiasi cha sukari kinachozalishwa mwilini… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Wapendwa, napenda kushirikiana na nyinyi kujuzana hili nililolisikia kupitia channel ten leo asubuhi kuhusu ugonjwa wa kisukari.
Wataalam waliokua wakitoa mada walikua Prof Endrew Swai na Dr Mohamed Juma.
Kwa ufupi wamesisitiza sana kufanya mazoezi kwa takriban nusu saa kwa siku na ambayo mtu anatoa jasho na moyo kumwenda mbio. Hiyo ni kwa ajili ya kusaidia misuli ya miguu,tumbo kifua, mgongo na mikono kutumia kiasi cha sukari kinachozalishwa mwilini… soma zaidi
Ualbino husababishwa na nini?
Tagsπ au cha hali havipo hawana hii huitwa husababishwa imekaa itategemeana kabisa kama katika kiasi kilichopo. kutoa kuwa kuzalisha kwenye macho. madhara mdogo melanini na ngozi ni nini? nywele rangi rangi. ualbino ukosefu upungufu uwezo vimebadilishwa vinasaba vya vyetu. wa wana watu wenye ya yake zao βmelaniniβ. wiki
Watu wenye ualbino hawana uwezo kabisa au wana uwezo mdogo
wa kuwa na rangi kwenye ngozi zao, nywele na macho. Rangi hii
huitwa βmelaniniβ. Rangi ya ngozi itategemeana na kiasi cha
melanini kilichopo. Hali ya kuzalisha melanini imekaa katika
vinasaba vyetu. Kama vinasaba vya kutoa melanini havipo au
vimebadilishwa madhara yake ni ukosefu au upungufu wa rangi.
Kwa hiyo hali ya ualbino ni ya kurithi. Inaweza kurithishwa
kutoka kwa wazazi kwenda kwa mtoto… soma zaidi
Tagsπ au cha hali havipo hawana hii huitwa husababishwa imekaa itategemeana kabisa kama katika kiasi kilichopo. kutoa kuwa kuzalisha kwenye macho. madhara mdogo melanini na ngozi ni nini? nywele rangi rangi. ualbino ukosefu upungufu uwezo vimebadilishwa vinasaba vya vyetu. wa wana watu wenye ya yake zao βmelaniniβ. wiki
Watu wenye ualbino hawana uwezo kabisa au wana uwezo mdogo
wa kuwa na rangi kwenye ngozi zao, nywele na macho. Rangi hii
huitwa βmelaniniβ. Rangi ya ngozi itategemeana na kiasi cha
melanini kilichopo. Hali ya kuzalisha melanini imekaa katika
vinasaba vyetu. Kama vinasaba vya kutoa melanini havipo au
vimebadilishwa madhara yake ni ukosefu au upungufu wa rangi.
Kwa hiyo hali ya ualbino ni ya kurithi. Inaweza kurithishwa
kutoka kwa wazazi kwenda kwa mtoto… soma zaidi
Mapishi ya Wali Wa Kichina Wa Kuku Na Mboga Mchanganyiko
Tagsπ mapishinalishe
Mchele wa basmati/pishori - 4 vikombe vikubwa (mugs).. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mchele wa basmati/pishori - 4 vikombe vikubwa (mugs).. soma zaidi
Mapishi ya Viazi, samaki na asparagus
Tagsπ mapishinalishe
Viazi (potato 1/2 kilo)
Samaki (fish 2)
Asparagus 8
Kitunguu kilichokatwa (chopped onion 1)
Kitunguu swaum kilichosagwa (garlic 4 cloves)
Tangawizi iliyosagwa kiasi (ginger paste)
Limao (lemon 1)
Giligilani iliyokatwakatwa (chopped coriander)
Curry powder (kijiko 1 cha chai)
Chumvi (salt)
Mafuta (vegetable oil).. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Viazi (potato 1/2 kilo)
Samaki (fish 2)
Asparagus 8
Kitunguu kilichokatwa (chopped onion 1)
Kitunguu swaum kilichosagwa (garlic 4 cloves)
Tangawizi iliyosagwa kiasi (ginger paste)
Limao (lemon 1)
Giligilani iliyokatwakatwa (chopped coriander)
Curry powder (kijiko 1 cha chai)
Chumvi (salt)
Mafuta (vegetable oil).. soma zaidi
Sababu 5 zinazosababisha wanawake warembo wazuri wasiolewe
Tagsπ mahusiano
Wanawake wengi warembo husalia peke yao na kufa katika hali hiyo kutokana na sababu tofauti… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Wanawake wengi warembo husalia peke yao na kufa katika hali hiyo kutokana na sababu tofauti… soma zaidi
Mtu aliyefanya kazi ngumu zaidi afunguka
Tagsπ uchumi
*SIMULIZI YA KUSISIMUA*
ππΎππΎππΎππΎππΎππΎππΎπ€
*Mtu aliyefanya kazi ngumu zaidi afunguka*.. soma zaidi
Tagsπ uchumi
*SIMULIZI YA KUSISIMUA*
ππΎππΎππΎππΎππΎππΎππΎπ€
*Mtu aliyefanya kazi ngumu zaidi afunguka*.. soma zaidi
Mapishi ya Pasta za cream na uyoga
Tagsπ mapishinalishe
Pasta (2 na 1/2 vikombe vya chai)
Uyoga (mashroom 2 vikombe vya chai)
Cream (1 kikombe cha chai)
Mafuta (vegetable oil)
Kitunguu (onion 1)
Chumvi
Majani ya basil (dried basil leaves 1/2 kijiko cha chai).. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Pasta (2 na 1/2 vikombe vya chai)
Uyoga (mashroom 2 vikombe vya chai)
Cream (1 kikombe cha chai)
Mafuta (vegetable oil)
Kitunguu (onion 1)
Chumvi
Majani ya basil (dried basil leaves 1/2 kijiko cha chai).. soma zaidi
FAIDA NA MADHARA YA PUNYETO
Tagsπ punyeto wiki
Kufanya au kupiga punyeto, ni tendo la kutomasa sehemu zako mwenyewe za siri ili kujisisimua kimapenzi… soma zaidi
Tagsπ punyeto wiki
Kufanya au kupiga punyeto, ni tendo la kutomasa sehemu zako mwenyewe za siri ili kujisisimua kimapenzi… soma zaidi
Ghasia zimeendelea nchini NIGERIA ambapo wanawake wawili wamefanya mashambulio ya kujitoa muhanga katika soko moja la simu
Tagsπ 14 100 ambapo ghasia hilo. katika kujeruhiwa kujitoa la mashambulio moja muhanga na nchini nigeria shambulio simu soko tagi: takribani wamefanya wamekufa wanawake watu wawili wengine ya zaidi zimeendelea habari
Takribani watu 14 wamekufa na wengine zaidi ya 100 kujeruhiwa katika shambulio hilo… soma zaidi
Tagsπ 14 100 ambapo ghasia hilo. katika kujeruhiwa kujitoa la mashambulio moja muhanga na nchini nigeria shambulio simu soko tagi: takribani wamefanya wamekufa wanawake watu wawili wengine ya zaidi zimeendelea habari
Takribani watu 14 wamekufa na wengine zaidi ya 100 kujeruhiwa katika shambulio hilo… soma zaidi
Jinsi ya kufanya kupunguza mwili kwa kupanga ulaji wa chakula
Tagsπ afya mapishinalishe
Ulaji wa vyakula vingi vya wanga na mafuta ni chanzo kikubwa cha unene na uzito kuongezeka. Vyakula kama ugali,wali,mkate mweupe,bia na pombe za kienyeji zinazotokana na wanga (kimea) huchangia kuongezeka kwa uzito. Matumizi ya aina hii ya chakula ni muhimu kupunguzwa katika mlo wako… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Ulaji wa vyakula vingi vya wanga na mafuta ni chanzo kikubwa cha unene na uzito kuongezeka. Vyakula kama ugali,wali,mkate mweupe,bia na pombe za kienyeji zinazotokana na wanga (kimea) huchangia kuongezeka kwa uzito. Matumizi ya aina hii ya chakula ni muhimu kupunguzwa katika mlo wako… soma zaidi
Ngono au tendo la ndoa baada ya kujifungua
Tagsπ 3 aina au baada baadhi hizi kujifungua la maji moto ndoa ngono ni nizijuazo sababu tendo utumiaji wa ya za wiki
Kungonoana au kungonoka na kufurahia tendo baada ya kujifungua inategemea zaidi na wewe mwenyewe (uponaji wako) na lini unadhani uko tayari vilevile ushirikiano wa kutosha kutoka kwa mume/mpenzi wako wakati unaendelea na uponaji baada ya kutoa kiumbe kipya duniani… soma zaidi
Tagsπ 3 aina au baada baadhi hizi kujifungua la maji moto ndoa ngono ni nizijuazo sababu tendo utumiaji wa ya za wiki
Kungonoana au kungonoka na kufurahia tendo baada ya kujifungua inategemea zaidi na wewe mwenyewe (uponaji wako) na lini unadhani uko tayari vilevile ushirikiano wa kutosha kutoka kwa mume/mpenzi wako wakati unaendelea na uponaji baada ya kutoa kiumbe kipya duniani… soma zaidi
Mapishi ya Ugali Kwa Mchuzi Wa Kamba Wa Nazi, Kisamvu Na Kachumbari Ya Papa Mkavu
Tagsπ mapishinalishe
Maji - 4 vikombe kiasi inategemea na unga wenyewe… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Maji - 4 vikombe kiasi inategemea na unga wenyewe… soma zaidi
Tunatofautiana matumizi ya muda
Tagsπ ambavyo mara matumizi muda ndivyo nyingi tunatofautiana vinavyowatoa vitu wanalalamikia watu wengine.. ya habari
Mara nyingi watu wanalalamikia vitu
ambavyo ndivyo vinavyowatoa wengine..
Tuna masaa 24 lakini baada ya kumaliza
siku kuna watu wanachekelea na wengi
wanalia⦠umetumiaje saa moja uliyoipata?.. soma zaidi
Tagsπ ambavyo mara matumizi muda ndivyo nyingi tunatofautiana vinavyowatoa vitu wanalalamikia watu wengine.. ya habari
Mara nyingi watu wanalalamikia vitu
ambavyo ndivyo vinavyowatoa wengine..
Tuna masaa 24 lakini baada ya kumaliza
siku kuna watu wanachekelea na wengi
wanalia⦠umetumiaje saa moja uliyoipata?.. soma zaidi
Sababu na tiba ya Mwanamme Kukosa Hamu Ya Kufanya Tendo La Ndoa
Tagsπ asilia chakula hamu homoni katika kufanya kukosa kutengeneza kuwa kwa la madawa mapenzi matatizo matumizi mfumo mkubwa msongo mwanamme na ndoa pombe sababu tatizo tendo tiba uchovu umri viagra wa ya za wiki
Tatizo la kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa kwa mwanamme linaweza kusababishwa na vitu vingi sana. Sababu hizo zinaweza kuwa za kimaumbile au kisaikolojia au za mchanganyiko wa vitu hivyo viwili. Hebu tuone baadhi ya vyanzo vya tatizo hili… soma zaidi
Tagsπ asilia chakula hamu homoni katika kufanya kukosa kutengeneza kuwa kwa la madawa mapenzi matatizo matumizi mfumo mkubwa msongo mwanamme na ndoa pombe sababu tatizo tendo tiba uchovu umri viagra wa ya za wiki
Tatizo la kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa kwa mwanamme linaweza kusababishwa na vitu vingi sana. Sababu hizo zinaweza kuwa za kimaumbile au kisaikolojia au za mchanganyiko wa vitu hivyo viwili. Hebu tuone baadhi ya vyanzo vya tatizo hili… soma zaidi
Ujue na ufahamu mfumo wa Moyo
Tagsπ mapishinalishe
@UJUE NA UFAHAMU MFUMO WA MOYO (CARDIOVASCULAR SYSTEM).. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
@UJUE NA UFAHAMU MFUMO WA MOYO (CARDIOVASCULAR SYSTEM).. soma zaidi
Mambo 10 ambayo wanawake wamewazidi wanaume
Tagsπ mahusiano
1. Wana Nguo Nyingi KulikoWanaume.
2. Wanafahamu Nani Ni Baba HalisiWa Watoto Wao… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
1. Wana Nguo Nyingi KulikoWanaume.
2. Wanafahamu Nani Ni Baba HalisiWa Watoto Wao… soma zaidi
Msemo mizuri kutoka kwa Watu maarufu duniani
Tagsπ habari
1. "kuzaliwa masikini sio kosa lako, ila kufa
maskini ni ujinga wako" (Bill Gate)
.
.
2,..Failure to plan is A plan to Fail
(felix Bundala).. soma zaidi
Tagsπ habari
1. "kuzaliwa masikini sio kosa lako, ila kufa
maskini ni ujinga wako" (Bill Gate)
.
.
2,..Failure to plan is A plan to Fail
(felix Bundala).. soma zaidi
Ushauri kuhusu mwili wako
Tagsπ mapishinalishe
Nimekutana na hiki kitabu japo nimekipitia juu juu nikaona nisiwe mchoyo Wa kukushirikisha wewe utakayependezwa na kusoma hapa Chini japo ni changamoto sana kwa sisi waongo kusoma.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Nimekutana na hiki kitabu japo nimekipitia juu juu nikaona nisiwe mchoyo Wa kukushirikisha wewe utakayependezwa na kusoma hapa Chini japo ni changamoto sana kwa sisi waongo kusoma.. soma zaidi
Jinsi ya kutumia Kondomu
Tagsπ haijafika. haijapasuka hakikisha hatua inayoihifadhi jinsi kiume kondomu kufuata kuisha kutumia kwamba muda muhimu na ni pakiti tarehe wa wakati wake ya zifuatazo. wiki
Wakati wa kutumia kondomu ya kiume ni muhimu kufuata hatua zifuatazo. Hakikisha kwamba pakiti inayoihifadhi haijapasuka na kwamba tarehe ya kuisha muda wake haijafika.
Uume ukishadinda, fungua pakiti kwa uangalifu. Minya sehemu ya juu kutoa hewa ndani ya kondomu wakati wa kuvalisha uume, ili kuzuia kupasuka kwa kondomu wakati wa kujamiiana. Visha uume kondomu taratibu mpaka uufunike wote. Ukiwa na uhakika kwamba kondomu imevishwa inavyotakiwa, unaweza kukutana kimwili na mwanamke.
Wakati wa kutoa uume kutoka ukeni, uwe mwangalifu kwamba kondomu bado ipo sehemu inayopaswa kuwa. Baada ya kutoa uume kutoka ukeni, vua kondomu kwa uangalifu uume ukiwa bado umedinda, ili kuepuka shahawa zisimwagikie ukeni. Tupa kondomu iliyotumika kwenye choo cha shimo au uichome. Usitupe kondomu iliyotumika ovyo. Pia usitupe kondomu iliyotumika kwenye vyoo vya kisasa yaani vya kuflashi na maji.
Ukinunua βsalama kondomuβ ndani ya pakiti, kuna maelekezo kuhusu matumizi ya kondom. Unapotaka kutumia kondom wakati wa kujamiiana, ni vizuri ukajaribisha kwanza ukiwa peke yako ili kuzoea jinsi ya kuitumia… soma zaidi
Tagsπ haijafika. haijapasuka hakikisha hatua inayoihifadhi jinsi kiume kondomu kufuata kuisha kutumia kwamba muda muhimu na ni pakiti tarehe wa wakati wake ya zifuatazo. wiki
Wakati wa kutumia kondomu ya kiume ni muhimu kufuata hatua zifuatazo. Hakikisha kwamba pakiti inayoihifadhi haijapasuka na kwamba tarehe ya kuisha muda wake haijafika.
Uume ukishadinda, fungua pakiti kwa uangalifu. Minya sehemu ya juu kutoa hewa ndani ya kondomu wakati wa kuvalisha uume, ili kuzuia kupasuka kwa kondomu wakati wa kujamiiana. Visha uume kondomu taratibu mpaka uufunike wote. Ukiwa na uhakika kwamba kondomu imevishwa inavyotakiwa, unaweza kukutana kimwili na mwanamke.
Wakati wa kutoa uume kutoka ukeni, uwe mwangalifu kwamba kondomu bado ipo sehemu inayopaswa kuwa. Baada ya kutoa uume kutoka ukeni, vua kondomu kwa uangalifu uume ukiwa bado umedinda, ili kuepuka shahawa zisimwagikie ukeni. Tupa kondomu iliyotumika kwenye choo cha shimo au uichome. Usitupe kondomu iliyotumika ovyo. Pia usitupe kondomu iliyotumika kwenye vyoo vya kisasa yaani vya kuflashi na maji.
Ukinunua βsalama kondomuβ ndani ya pakiti, kuna maelekezo kuhusu matumizi ya kondom. Unapotaka kutumia kondom wakati wa kujamiiana, ni vizuri ukajaribisha kwanza ukiwa peke yako ili kuzoea jinsi ya kuitumia… soma zaidi
Ushauri kuhusu mwanamke wa kufaa kuoa
Tagsπ mahusiano
Nawaandikia ninyi vijana wa kiume na wanaume wote, maana mna nguvu na mmejaliwa na mwenyezi Mungu utashi, hekima na busara. Yote hayo ni ili muweze kutawala kila kitu tokea kuumbwa kwa misingi ya ulimwengu huu. Wekeni wivu pembeni na Yafuateni haya;.. soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Nawaandikia ninyi vijana wa kiume na wanaume wote, maana mna nguvu na mmejaliwa na mwenyezi Mungu utashi, hekima na busara. Yote hayo ni ili muweze kutawala kila kitu tokea kuumbwa kwa misingi ya ulimwengu huu. Wekeni wivu pembeni na Yafuateni haya;.. soma zaidi
Jinsi ya kutengeneza Bisikuti Za Kaukau Na Kahawa (Cocoa Coffee Biscuits)
Tagsπ mapishinalishe
Maji baridi β kikombe 1.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Maji baridi β kikombe 1.. soma zaidi
SHAIRI: Kama mnataka mali, mtaipata shambani.
Tagsπ sayansinatekinolojia
1. Karudi baba mmoja,
toka safari ya mbali,
Kavimba yote mapaja,
na kutetemeka mwili,
Watoto wake wakaja,
ili kumtaka hali,
Wakataka na kauli iwafae maishani… soma zaidi
Tagsπ sayansinatekinolojia
1. Karudi baba mmoja,
toka safari ya mbali,
Kavimba yote mapaja,
na kutetemeka mwili,
Watoto wake wakaja,
ili kumtaka hali,
Wakataka na kauli iwafae maishani… soma zaidi
Namna ya kutengeneza Visheti Vya Nazi Na Njugu (Sudani)
Tagsπ mapishinalishe
Unga - 3 mug za chai.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Unga - 3 mug za chai.. soma zaidi
Je, kuna njia salama ya kutoa mimba?
Tagsπ wiki
Hatari inategemea na mazingira ambapo mimba inatolewa. Kama ni hospitalini na i inatolewa na mtaalamu aliyesomea na kama mazingira na vifaa ni safi, uwezekano wa kutoa mimba salama ni mkubwa. Lakini, hata katika mazingira hayo, shida zinaweza kutokea… soma zaidi
Tagsπ wiki
Hatari inategemea na mazingira ambapo mimba inatolewa. Kama ni hospitalini na i inatolewa na mtaalamu aliyesomea na kama mazingira na vifaa ni safi, uwezekano wa kutoa mimba salama ni mkubwa. Lakini, hata katika mazingira hayo, shida zinaweza kutokea… soma zaidi
Aina ya mazoezi na umuhimu wa mazoezi kwa wamama wajawazito
Tagsπ afya mapishinalishe
Leo tutaongelea mazoezi gani ya kawaida ambayo mama mjamzito anaweza kuendelea kuyafanya kila siku ya ujauzito wake na umuhimu wake… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Leo tutaongelea mazoezi gani ya kawaida ambayo mama mjamzito anaweza kuendelea kuyafanya kila siku ya ujauzito wake na umuhimu wake… soma zaidi
Jinsi ya kuongeza wingi wa mbegu za kiume
Tagsπ afya mapishinalishe
Ili kuongeza mbegu za kiume zingatia haya yafuatayo;.. soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Ili kuongeza mbegu za kiume zingatia haya yafuatayo;.. soma zaidi
SIRI ZA MWANAMKE: Soma yote unayotamani kujua kuhusu wanawake
Tagsπ wiki
Wanawake wengi hutegemea kuwa wanapokuwa na wapenzi watasaidiwa katika matatizo ya kimaisha na migogoro ya kimawazo. Kwa mfano ushauri juu ya maisha yao, kulindwa na hatari za kimaisha, kusaidiwa katika shida na kuongozwa pale wanapohisi kushindwa kufanya jambo. Kama mwanaume hatamfanyia mpenzi wake hili atakuwa amekosa sifa za kuteka penzi la mwanamke… soma zaidi
Tagsπ wiki
Wanawake wengi hutegemea kuwa wanapokuwa na wapenzi watasaidiwa katika matatizo ya kimaisha na migogoro ya kimawazo. Kwa mfano ushauri juu ya maisha yao, kulindwa na hatari za kimaisha, kusaidiwa katika shida na kuongozwa pale wanapohisi kushindwa kufanya jambo. Kama mwanaume hatamfanyia mpenzi wake hili atakuwa amekosa sifa za kuteka penzi la mwanamke… soma zaidi
Siri ya mafanikio katika maisha: Usiangalie watu
Tagsπ uchumi
Waziri mkuu wa zamani wa uingereza Sir Wiston Churchill aliwahi kusema
"huwezi kufika mwisho wa safari yako kama utakuwa unasimama kila mahali kumtupia jiwe kila mbwa anaye kubwekea".. soma zaidi
Tagsπ uchumi
Waziri mkuu wa zamani wa uingereza Sir Wiston Churchill aliwahi kusema
"huwezi kufika mwisho wa safari yako kama utakuwa unasimama kila mahali kumtupia jiwe kila mbwa anaye kubwekea".. soma zaidi
Stori inayogusa!!
Tagsπ hadithi
Habari ya mama aliyeuguliwa ghafla na mtoto wake majira ya SAA 2 usiku, mtoto alibanwa na kifua(asthma), hali ilikuwa mbaya na mama akaenda kuomba msaada kwa jirani yake aliyekuwa na gari, akamjibu gari haina mafuta, akaenda kwa mchungaji ili amsaidie, akamjibu nina wachungaji toka USA, hivyo sitaweza kuwaacha peke yao, mama hakuwa na jinsi aliamua kumbeba mtoto ili amuwahishe hospitali akiwa na hofu asije kufa kama baba yake aliyefariki miaka michache kwa ugonjwa huo… soma zaidi
Tagsπ hadithi
Habari ya mama aliyeuguliwa ghafla na mtoto wake majira ya SAA 2 usiku, mtoto alibanwa na kifua(asthma), hali ilikuwa mbaya na mama akaenda kuomba msaada kwa jirani yake aliyekuwa na gari, akamjibu gari haina mafuta, akaenda kwa mchungaji ili amsaidie, akamjibu nina wachungaji toka USA, hivyo sitaweza kuwaacha peke yao, mama hakuwa na jinsi aliamua kumbeba mtoto ili amuwahishe hospitali akiwa na hofu asije kufa kama baba yake aliyefariki miaka michache kwa ugonjwa huo… soma zaidi
Mapishi ya mboga ya mnavu
Tagsπ mapishinalishe
Mnavu mkono 1
Kitungu 1
Karoti 2
Maziwa kikombe 1
Mafuta vijiko viubwa 4
Karanga zilizosagwa kikombe 1
Chumvi kiasi Β½.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mnavu mkono 1
Kitungu 1
Karoti 2
Maziwa kikombe 1
Mafuta vijiko viubwa 4
Karanga zilizosagwa kikombe 1
Chumvi kiasi Β½.. soma zaidi
Mapishi ya Mihogo ya nazi na kuku
Tagsπ mapishinalishe
Mihogo kilo 1
Kidali cha kuku 1 kikubwa
Nyanya 1 kubwa
Kitunguu maji 1 cha wastani
Swaum/tangawizi i kijiko cha chai
Nazi kopo 1
curry powder 1 kijiko cha chai
Binzari manjano 1/2 kijiko cha chai
Limao 1/2
Pilipili 1
Chumvi kiasi.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mihogo kilo 1
Kidali cha kuku 1 kikubwa
Nyanya 1 kubwa
Kitunguu maji 1 cha wastani
Swaum/tangawizi i kijiko cha chai
Nazi kopo 1
curry powder 1 kijiko cha chai
Binzari manjano 1/2 kijiko cha chai
Limao 1/2
Pilipili 1
Chumvi kiasi.. soma zaidi
Leo tujifunze lugha yetu ya Kiswahili
Tagsπ sayansinatekinolojia
Leo tujifunze lugha teule ya Kiswahili.
1. password- Nywila.
2. juice - sharubati.
3. chips - vibanzi.
4. PhD - uzamifu.
5. Masters - uzamili… soma zaidi
Tagsπ sayansinatekinolojia
Leo tujifunze lugha teule ya Kiswahili.
1. password- Nywila.
2. juice - sharubati.
3. chips - vibanzi.
4. PhD - uzamifu.
5. Masters - uzamili… soma zaidi