VIDEO-KENYA
This is the Redirect module that redirects the browser directly to the "http://www.ackyshine.com/videos" page.
VIDEO-KENYA
By, Melkisedeck Shine.
Tags π nyumbu simba wanyama. Category πvideos,: nyumbu simba wanyama, Michezo ya simba na nyumbu, kimbiza nikukimbize, πAngalia video hapa
Tags π michezo muziki watoto. Category πvideos,: michezo muziki watoto, Watoto wenye vipaji vya kucheza mziki, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Jamaa alichofanyiwa hata sahau, pikipiki yake imegeuzwa dumu kichawi, wachawi noma, πAngalia video hapa
Tags π ajali pikipiki vichekesho. Category πvideos,: ajali pikipiki vichekesho, Sipati picha huyu jamaa akianguka na hii pikipiki hapa, πAngalia video hapa
Tags π maajabu michezo. Category πvideos,: maajabu michezo, Mtu mwenye uwezo wa kunawa uso kwa kutumia miguu, mcheki hapa, πAngalia video hapa
Tags π ajali bajaji vichekesho. Category πvideos,: ajali bajaji vichekesho, Cheki kilichompata huyu jamaa aliyekuwa kapanda bajaji, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Angalia uoga wa huyu jamaa unavyomponza, uoga mbaya, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Ndio maana unatakiwa uvae dera, kwa mwili huu?, πAngalia video hapa
Tags π kimya kiswahili silent vichekesho. Category πvideos,: kimya kiswahili silent vichekesho, Huyu dogo ni kiboko, cheki alichokifanya, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Angalia huyu nyani anachomfanyia huyu nyoka, πAngalia video hapa
Tags π gari maajabu michezo. Category πvideos,: gari maajabu michezo, Huyu dereva wa hili gari kweli mtaalamu kwa hiki anachofanya, πAngalia video hapa
Tags π ajali gari. Category πvideos,: ajali gari, Ajali mbaya ambazo zimewahi kutokea, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Huyu mtoto kavalishwa nguo Kawa kama kuku, πAngalia video hapa
Tags π maajabu. Category πvideos,: maajabu, Angalia hili gari lilivyofanywa chapati, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Huyu jamaa mjinga sana kama Abunuasi vile, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Angalia huyu mtu alichofanyiwa, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Kilichompata huyu bonge hatarudia tena, πAngalia video hapa
Tags π kimya kiswahili silent vichekesho. Category πvideos,: kimya kiswahili silent vichekesho, Kilichotokea baada ya kuingia kwenye nyumba ya simba, πAngalia video hapa
Tags π maajabu vichekesho. Category πvideos,: maajabu vichekesho, Ona haya mazingaumbwe hapa ni noma ni kiboko, πAngalia video hapa
.
.
Endelea kuperuzi;-π
π¬ VIDEO-MBEYAβ
π¬ VIDEO-DARβ
π¬ VIDEO-ARUSHAβ
π¬ VIDEO-TANZANIAβ
π¬ VIDEO-BONGOβ
π¬ VIDEO-TWEETERβ
π¬ VIDEO-MTANDAONIβ
π¬ VIDEO-ONLINEβ
π¬ VIDEO-FACEBOOKβ
π¬ VIDEO-INSTAβ
π¬ VIDEO-INSTAGRAMβ
π¬ VIDEO-ACKYSHINEβ
π¬ VIDEO-HOTSβ
π¬ VIDEO-BOMBAβ
π¬ VIDEO-MPYAβ
π¬ VIDEO-TUUβ
π¬ VIDEO-MOTOMOTOβ
π¬ VIDEO-KALI-LEOβ
π¬ Meli inavyoingizwa bahariniβ
UMASKINI NA AFYA YA MSICHANA
Tagsπ afya ambako bila bora cha chini dola duni hali hari hata hazikidhi hivyo hizi huduma huishi hukabiliwa huko. huwa jamii katiak katika kielimu. kila kimarekani kipato kitendawili kiuchumi kunapoitwa kutengemea kwa lakini leo. magumu mahitaji maisha maji mashambani matumaini mbaya moja monicafrancis msichana. na nchi ni pia safi salama sana. sehemu siku. umaskini upatikanaji vijijini wa wanaishi wananchi wanaoishi wanaokaa wasichana watu wengi ya za zaidi zinazoendelea wiki
Wasichana wengi wanaoishi katika nchi zinazoendelea hukabiliwa na hali ya umaskini wa kiuchumi na kielimu. Katiak nchi hizi watu wengi huishi kwa kutengemea kipato cha chini ya dola moja ya Kimarekani kwa siku. Hali ni mbaya zaidi katika sehemu za vijijini na mashambani ambako huduma za jamii ni duni sana. Upatikanaji wa maji safi na salama ni kitendawili, lakini pia huduma za afya ni duni na hazikidhi mahitaji ya wananchi wanaokaa huko.
Hata hivyo wananchi wengi wanaishi bila matumaini ya hari bora, maisha huwa magumu zaidi kila kunapoitwa leo. Wakati wananchi wa nchi zilizoendelea wakikabiliwa na matatizo ya kunenepeana kupita kiasi kutokana na kula kwa anasa na kukosa kiasi, wananchi wengi wa nchi zinazoendelea, hasa watoto mamilioni wanakufa kwa njaa. Kwa hakika adui mkubwa wa afya ya wananchi katika nchi zinazoendelea ni umaskini… soma zaidi
Tagsπ afya ambako bila bora cha chini dola duni hali hari hata hazikidhi hivyo hizi huduma huishi hukabiliwa huko. huwa jamii katiak katika kielimu. kila kimarekani kipato kitendawili kiuchumi kunapoitwa kutengemea kwa lakini leo. magumu mahitaji maisha maji mashambani matumaini mbaya moja monicafrancis msichana. na nchi ni pia safi salama sana. sehemu siku. umaskini upatikanaji vijijini wa wanaishi wananchi wanaoishi wanaokaa wasichana watu wengi ya za zaidi zinazoendelea wiki
Wasichana wengi wanaoishi katika nchi zinazoendelea hukabiliwa na hali ya umaskini wa kiuchumi na kielimu. Katiak nchi hizi watu wengi huishi kwa kutengemea kipato cha chini ya dola moja ya Kimarekani kwa siku. Hali ni mbaya zaidi katika sehemu za vijijini na mashambani ambako huduma za jamii ni duni sana. Upatikanaji wa maji safi na salama ni kitendawili, lakini pia huduma za afya ni duni na hazikidhi mahitaji ya wananchi wanaokaa huko.
Hata hivyo wananchi wengi wanaishi bila matumaini ya hari bora, maisha huwa magumu zaidi kila kunapoitwa leo. Wakati wananchi wa nchi zilizoendelea wakikabiliwa na matatizo ya kunenepeana kupita kiasi kutokana na kula kwa anasa na kukosa kiasi, wananchi wengi wa nchi zinazoendelea, hasa watoto mamilioni wanakufa kwa njaa. Kwa hakika adui mkubwa wa afya ya wananchi katika nchi zinazoendelea ni umaskini… soma zaidi
Hii chain ya mahusiano ni shida
Tagsπ mahusiano
BOSS anamwambia sekretari wake:
Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye mkutano fanya mipango yote… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
BOSS anamwambia sekretari wake:
Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye mkutano fanya mipango yote… soma zaidi
Mapishi ya Wali maharage,mchuzi wa samaki na spinach
Tagsπ mapishinalishe
Mchele (rice 1/2 kilo)
Maharage yaliyochemshwa (boiled red kidney beans 1 kikombe cha chai)
Samaki waliokaangwa ( 2 fried fish)
Nyanya ya kopo (tin tomato 1/2 ya tin)
Vitunguu vilivyokatwa (onion 2)
Kitunguu swaum (garlic 3 cloves)
Tangawizi (ginger kiasi)
Limao (lemon 1/2)
Chumvi (salt)
Pilipili (scotch bonnet pepper 2)
Mafuta (vegetable oil)
Spinach
Tui la nazi (coconut milk 1 kikombe cha chai).. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mchele (rice 1/2 kilo)
Maharage yaliyochemshwa (boiled red kidney beans 1 kikombe cha chai)
Samaki waliokaangwa ( 2 fried fish)
Nyanya ya kopo (tin tomato 1/2 ya tin)
Vitunguu vilivyokatwa (onion 2)
Kitunguu swaum (garlic 3 cloves)
Tangawizi (ginger kiasi)
Limao (lemon 1/2)
Chumvi (salt)
Pilipili (scotch bonnet pepper 2)
Mafuta (vegetable oil)
Spinach
Tui la nazi (coconut milk 1 kikombe cha chai).. soma zaidi
Mapishi ya Ugali Kwa Mchuzi Wa Nazi Wa Nyanya Chungu/Mshumaa/Ngogwe Na Bamia, Mboga Ya Matembele Na Samaki Wa Kukaanga
Tagsπ mapishinalishe
Unga wa mahindi - 4.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Unga wa mahindi - 4.. soma zaidi
Je, ni kweli au si kweli kuwa Wadada waliosoma sana hawana sifa ya kuwa mke
Tagsπ mahusiano
Halina ukweli kwa sehemu, na lina ukweli kwa sehemu. Ni hivi : ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
Shule inamfanya mtu awe overconfidence na kukosa unyenyekevu, hii ni output ya makuzi na malezi aliyopita plus msukumo wa marafiki waigizaji kwenye mahusiano. Mwanamke msomi can spend any amount of cash on saloon, urembo na vitu binafsi vya luxury , but utasikia kazi ya mwanamme ni kulisha family kujenga etc, na shati lake likichakaa atajijua, hata hela yavkunyolea ndevu tu ni yeye π€π€ but hana haki ya kuhoji income ya mkewe. Si mnakumbuka message ya 5000 za baba +2000 za mama=5000 za familia ,hiki ni practical kibonzo kwa some families… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Halina ukweli kwa sehemu, na lina ukweli kwa sehemu. Ni hivi : ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
Shule inamfanya mtu awe overconfidence na kukosa unyenyekevu, hii ni output ya makuzi na malezi aliyopita plus msukumo wa marafiki waigizaji kwenye mahusiano. Mwanamke msomi can spend any amount of cash on saloon, urembo na vitu binafsi vya luxury , but utasikia kazi ya mwanamme ni kulisha family kujenga etc, na shati lake likichakaa atajijua, hata hela yavkunyolea ndevu tu ni yeye π€π€ but hana haki ya kuhoji income ya mkewe. Si mnakumbuka message ya 5000 za baba +2000 za mama=5000 za familia ,hiki ni practical kibonzo kwa some families… soma zaidi
Relaxer na Afya ya Msichana/Mwanamke
Tagsπ afrika afya asili dawa fanana hasa hivyo ili inayofanya kama kihistoria kizungu kubaguliwa. kufanana kuiga kunyooka kutumia kwa maisha matokeo matumizi msichana/mwanamke mtu mwenye mwonekano na ngozi ni nyeusi nywele rangi relaxer tagi: tofauti. wa waliamua walipoona wanapenda wanawake watu wazungu wazungu. wengi weusi ya yalianza za zao zilainike ziwe wiki
Relaxer ni dawa ya nywele inayofanya nywele za mtu mwenye ngozi nyeusi wa asili ya Afrika zilainike na kunyooka kama nywele za wazungu. Watu wengi hasa wanawake wanapenda kutumia relaxer ili nywele zao ziwe na mwonekano tofauti. Kihistoria matumizi ya relaxer yalianza kama matokeo ya watu weusi kubaguliwa. Watu weusi walipoona hivyo waliamua kuiga maisha ya kizungu ili kufanana fanana na wazungu kwa rangi ya ngozi na nywele ili wathaminiwe na kupewa upendeleo wa kupata fursa za mafanikio na watawala wetu enzi za ukoloni. Wakoloni waliwapendelea watu walioipokea kasumba hii kwa mikono miwili… soma zaidi
Tagsπ afrika afya asili dawa fanana hasa hivyo ili inayofanya kama kihistoria kizungu kubaguliwa. kufanana kuiga kunyooka kutumia kwa maisha matokeo matumizi msichana/mwanamke mtu mwenye mwonekano na ngozi ni nyeusi nywele rangi relaxer tagi: tofauti. wa waliamua walipoona wanapenda wanawake watu wazungu wazungu. wengi weusi ya yalianza za zao zilainike ziwe wiki
Relaxer ni dawa ya nywele inayofanya nywele za mtu mwenye ngozi nyeusi wa asili ya Afrika zilainike na kunyooka kama nywele za wazungu. Watu wengi hasa wanawake wanapenda kutumia relaxer ili nywele zao ziwe na mwonekano tofauti. Kihistoria matumizi ya relaxer yalianza kama matokeo ya watu weusi kubaguliwa. Watu weusi walipoona hivyo waliamua kuiga maisha ya kizungu ili kufanana fanana na wazungu kwa rangi ya ngozi na nywele ili wathaminiwe na kupewa upendeleo wa kupata fursa za mafanikio na watawala wetu enzi za ukoloni. Wakoloni waliwapendelea watu walioipokea kasumba hii kwa mikono miwili… soma zaidi
Je, mapacha wanapatikanaje?
Tagsπ wiki
Zipo aina mbili za mapacha, wale wanaofanana na wale wasiofanana. Karibu robo ya mapacha wote hufanana. Hii ina maana kwamba wametokana na yai moja lililotungwa mimba ambalo hujigawa katika makundi mawili tofauti ya chembechembe, kila mojawapo hubadilika kuwa kiumbe pekee. Hadi sasa, wataalamu hawaelewi vizuri sababu za yai kujigawa. Mapacha wa aina hii , kwa vile wametokana na yai moja, mara zote huwa na jinsia moja na hufanana sana kimaumbile.
Mapacha wasiofanana hutokea wakati wa yai kupevuka, kokwa za mwanamke hutokea zikawa mayai mawili badala ya moja tu. Mayai yote mawili hurutubishwa na hutungishwa mimba kwa mbegu mbili tofauti za mwanaume. Viumbe viwili hukua wakati mmoja katika mfuko wa uzazi. Mbali ya kukua katika mfuko mmoja wa uzazi na kuwa na umri uleule, mapacha hawa ni sawa sawa na watoto wengine wawili wa wazazi haohao. Wanaweza kuwa wa jinsia na maumbile tofauti kabisa… soma zaidi
Tagsπ wiki
Zipo aina mbili za mapacha, wale wanaofanana na wale wasiofanana. Karibu robo ya mapacha wote hufanana. Hii ina maana kwamba wametokana na yai moja lililotungwa mimba ambalo hujigawa katika makundi mawili tofauti ya chembechembe, kila mojawapo hubadilika kuwa kiumbe pekee. Hadi sasa, wataalamu hawaelewi vizuri sababu za yai kujigawa. Mapacha wa aina hii , kwa vile wametokana na yai moja, mara zote huwa na jinsia moja na hufanana sana kimaumbile.
Mapacha wasiofanana hutokea wakati wa yai kupevuka, kokwa za mwanamke hutokea zikawa mayai mawili badala ya moja tu. Mayai yote mawili hurutubishwa na hutungishwa mimba kwa mbegu mbili tofauti za mwanaume. Viumbe viwili hukua wakati mmoja katika mfuko wa uzazi. Mbali ya kukua katika mfuko mmoja wa uzazi na kuwa na umri uleule, mapacha hawa ni sawa sawa na watoto wengine wawili wa wazazi haohao. Wanaweza kuwa wa jinsia na maumbile tofauti kabisa… soma zaidi
Hungary waingia fainali Euro 2016
Tagsπ 151116004546_hungary_team_304x171_bbc_nocredit.jpg 1986. 2-1. 2016 baada euro fainali hatua hii hivyo hungary imefuzu katika kucheza kuifunga kutinga kwanza kwao makubwa mara mashindano mataifa mchezo mchujo mwaka na ni norway tagi: taifa timu toka ulaya wa waingia walivyofanya ya za habari
Tagsπ 151116004546_hungary_team_304x171_bbc_nocredit.jpg 1986. 2-1. 2016 baada euro fainali hatua hii hivyo hungary imefuzu katika kucheza kuifunga kutinga kwanza kwao makubwa mara mashindano mataifa mchezo mchujo mwaka na ni norway tagi: taifa timu toka ulaya wa waingia walivyofanya ya za habari
.. soma zaidi
Uhusiano uliopo kati ya pesa na muda
Tagsπ uchumi
Bila shaka upo uhusiano mkubwa kati ya pesa na muda…. soma zaidi
Tagsπ uchumi
Bila shaka upo uhusiano mkubwa kati ya pesa na muda…. soma zaidi
Ninaweza kupata mimba wakati nipo kwenye hedhi?
Tagsπ aweze dalili damu halikurutubishwa hedhi hedhi. hedhi? hivyo hubomoka. hufa huitwa hutoka i ili inabidi kama kiume. kupata kupitia kupokea kushika kutoka. kwa kwamba kwenye la le likutane lililopevuka lililorutubishwa limeshakufa linapokosa mbegu mimba mwanamke na ni ninaweza nipo pamoja pevu tumbo ukeni ulishajiandaa utando uzazi vile wakati yai za wiki
Ili mwanamke aweze kushika mimba, i inabidi yai lililopevuka likutane na mbegu za kiume. Yai pevu linapokosa mbegu hufa na kwa vile utando kwenye tumbo la uzazi ulishajiandaa kupokea yai lililorutubishwa hubomoka. Kwa pamoja, yai na utando hutoka kama damu kupitia ukeni na i le damu huitwa hedhi.
Hedhi ni dalili, kwamba yai halikurutubishwa na hivyo limeshakufa na kutoka. Kwa kawaida, wakati huo halitakuwepo yai jingine lililopevuka kuweza kurutubishwa na kwa hiyo uwezekano wa kupata mimba hautakuwepo. Lakini, mara chache kuna hitilafu katika mzunguko wa hedhi na yai jingine linakuwepo tayari kwa kurutubishwa, hata ukiwa kwenye hedhi. Kwa hiyo uwezekano wa kupata mimba wakati wa hedhi upo, hata kama ni mdogo… soma zaidi
Tagsπ aweze dalili damu halikurutubishwa hedhi hedhi. hedhi? hivyo hubomoka. hufa huitwa hutoka i ili inabidi kama kiume. kupata kupitia kupokea kushika kutoka. kwa kwamba kwenye la le likutane lililopevuka lililorutubishwa limeshakufa linapokosa mbegu mimba mwanamke na ni ninaweza nipo pamoja pevu tumbo ukeni ulishajiandaa utando uzazi vile wakati yai za wiki
Ili mwanamke aweze kushika mimba, i inabidi yai lililopevuka likutane na mbegu za kiume. Yai pevu linapokosa mbegu hufa na kwa vile utando kwenye tumbo la uzazi ulishajiandaa kupokea yai lililorutubishwa hubomoka. Kwa pamoja, yai na utando hutoka kama damu kupitia ukeni na i le damu huitwa hedhi.
Hedhi ni dalili, kwamba yai halikurutubishwa na hivyo limeshakufa na kutoka. Kwa kawaida, wakati huo halitakuwepo yai jingine lililopevuka kuweza kurutubishwa na kwa hiyo uwezekano wa kupata mimba hautakuwepo. Lakini, mara chache kuna hitilafu katika mzunguko wa hedhi na yai jingine linakuwepo tayari kwa kurutubishwa, hata ukiwa kwenye hedhi. Kwa hiyo uwezekano wa kupata mimba wakati wa hedhi upo, hata kama ni mdogo… soma zaidi
Je, kuna madhara gani yatokanayo na uvutaji sigara kwa vijana hasa kijana Albino?
Tagsπ (hii albino? ambayo anayevuta baki). gani hasa hutokana inaitwa je karibu kijana kuendelea kukaa kuleta kuna kupata kwa kwani kwenye madhara mapafu mengi mengine moshi mtu mvutaji mwili. na nyingine pia sehemu sigara sigara. unaingia unaweza uvutaji vijana yanampata yatokanayo za wiki
Kuna madhara mengi ambayo hutokana na uvutaji sigara.
Madhara mengi yanampata mvutaji kwani moshi unaingia
kwenye mapafu na kuendelea kuleta madhara mengine sehemu
nyingine za mwili… soma zaidi
Tagsπ (hii albino? ambayo anayevuta baki). gani hasa hutokana inaitwa je karibu kijana kuendelea kukaa kuleta kuna kupata kwa kwani kwenye madhara mapafu mengi mengine moshi mtu mvutaji mwili. na nyingine pia sehemu sigara sigara. unaingia unaweza uvutaji vijana yanampata yatokanayo za wiki
Kuna madhara mengi ambayo hutokana na uvutaji sigara.
Madhara mengi yanampata mvutaji kwani moshi unaingia
kwenye mapafu na kuendelea kuleta madhara mengine sehemu
nyingine za mwili… soma zaidi
Dalili za homa ya dengu (Dengue fever)
Tagsπ afya mapishinalishe
Dengue ni moja kati ya homa kali inayodhoofisha na kuambatana na maumivu makali. Kwa sasa hakuna kinga ya homa ya dengue, njia pekee ya kuepuka ugonjwa huu ni kuzuia kuumwa na mbu anayesambaza homa ya dengue… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Dengue ni moja kati ya homa kali inayodhoofisha na kuambatana na maumivu makali. Kwa sasa hakuna kinga ya homa ya dengue, njia pekee ya kuepuka ugonjwa huu ni kuzuia kuumwa na mbu anayesambaza homa ya dengue… soma zaidi
Hizi ndizo sababu kwa nini ule Tende kipindi cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani
Tagsπ afya mapishinalishe
Kitaalamu chakula unachokula leo ndio kinaamua hali ya afya yako kwa siku za usoni. Na ni muhimu sana kuzingatia ulaji bora wa chakula na si kula ilimradi umekula. Wataalamu wa lishe wanatuambia kuwa ulaji unaofaa hutokana na kula chakula mchanganyiko kulingana na wakati… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Kitaalamu chakula unachokula leo ndio kinaamua hali ya afya yako kwa siku za usoni. Na ni muhimu sana kuzingatia ulaji bora wa chakula na si kula ilimradi umekula. Wataalamu wa lishe wanatuambia kuwa ulaji unaofaa hutokana na kula chakula mchanganyiko kulingana na wakati… soma zaidi
Je, uke wa mwanamke unaweza kupanuka kiasi gani?
Tagsπ wiki
Wakati wa kujifungua, uke wa mwanamke mzima hupanuka kuanzia kipenyo cha sentimeta kumi mpaka kumi na mbili i i ili kuruhusu kichwa cha mtoto kupita. Kwa kawaida, mwanamke anayejifungua, uke na mlango wa mfuko wa uzazi hupanuka vya kutosha… soma zaidi
Tagsπ wiki
Wakati wa kujifungua, uke wa mwanamke mzima hupanuka kuanzia kipenyo cha sentimeta kumi mpaka kumi na mbili i i ili kuruhusu kichwa cha mtoto kupita. Kwa kawaida, mwanamke anayejifungua, uke na mlango wa mfuko wa uzazi hupanuka vya kutosha… soma zaidi
Ushauri wa mapenzi
Tagsπ mahusiano
Kuachwa kusikupe Stress, Haijalishi umeachwa mara ngapi, Jali kile ulichojifunza kutoka kwa mtu aliyekuacha… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Kuachwa kusikupe Stress, Haijalishi umeachwa mara ngapi, Jali kile ulichojifunza kutoka kwa mtu aliyekuacha… soma zaidi
Magonjwa yatokanayo na sigara
Tagsπ aina baada haya huishia huo husababisha iliyomo kaboni katika kiungo kuathirika kuna kupumua kusabisha kutokana kuvuta kuyapata kwenye magonjwa malimbikizo mapafu. matatizo mbalimbali mengi moshi na ni rahisi sigara sigara. tagi: tindikali tumbaku ugumu unayoweza usaha utuvaji wa ya yatokanayo wiki
Kuna matatizo na magonjwa mengi na ya aina mbalimbali
unayoweza kuyapata kutokana na utuvaji wa sigara. Kiungo
rahisi kuathirika ni mapafu. Baada ya kuvuta huo moshi, kaboni
na tindikali iliyomo kwenye tumbaku huishia kwenye mapafu.
Malimbikizo haya ya kaboni na tindikali husababisha ugumu
katika kupumua na kusabisha usaha kwenye mapafu. Matatizo
haya ya mapafu humfanya mvutaji awe mwepesi kupata
maambukizo mengine.
Hii inaweza ikawa kikohozi sugu na pia inaweza kusababisha
nimonia (kichomi) pamoja na kifua kikuu na sarakani. Nikotini
vilevile ni mbaya kwa tumbo. Husababisha kupoteza hamu ya
kula na maumivu katika sehemu za chini ya tumbo… soma zaidi
Tagsπ aina baada haya huishia huo husababisha iliyomo kaboni katika kiungo kuathirika kuna kupumua kusabisha kutokana kuvuta kuyapata kwenye magonjwa malimbikizo mapafu. matatizo mbalimbali mengi moshi na ni rahisi sigara sigara. tagi: tindikali tumbaku ugumu unayoweza usaha utuvaji wa ya yatokanayo wiki
Kuna matatizo na magonjwa mengi na ya aina mbalimbali
unayoweza kuyapata kutokana na utuvaji wa sigara. Kiungo
rahisi kuathirika ni mapafu. Baada ya kuvuta huo moshi, kaboni
na tindikali iliyomo kwenye tumbaku huishia kwenye mapafu.
Malimbikizo haya ya kaboni na tindikali husababisha ugumu
katika kupumua na kusabisha usaha kwenye mapafu. Matatizo
haya ya mapafu humfanya mvutaji awe mwepesi kupata
maambukizo mengine.
Hii inaweza ikawa kikohozi sugu na pia inaweza kusababisha
nimonia (kichomi) pamoja na kifua kikuu na sarakani. Nikotini
vilevile ni mbaya kwa tumbo. Husababisha kupoteza hamu ya
kula na maumivu katika sehemu za chini ya tumbo… soma zaidi
Mapishi ya Ndizi na samaki
Tagsπ mapishinalishe
Ndizi laini (Matoke 6)
Viazi mbatata (potato 3)
Samaki wabichi wa wastani ( Fresh tilapia 2)
Kitunguu swaum (garlic 6 cloves)
Tangawizi (fresh ground ginger vijiko 2 vya chai)
Nyanya ya kopo (tin tomato 1/2 kopo)
Vitunguu (onion 1)
Pilipili (chilli 1 nzima)
Chumvi (salt to your taste)
Mafuta (vegetable oil)
Limao (lemon 1/2)
Curry powder (1/2 kijiko cha chai).. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Ndizi laini (Matoke 6)
Viazi mbatata (potato 3)
Samaki wabichi wa wastani ( Fresh tilapia 2)
Kitunguu swaum (garlic 6 cloves)
Tangawizi (fresh ground ginger vijiko 2 vya chai)
Nyanya ya kopo (tin tomato 1/2 kopo)
Vitunguu (onion 1)
Pilipili (chilli 1 nzima)
Chumvi (salt to your taste)
Mafuta (vegetable oil)
Limao (lemon 1/2)
Curry powder (1/2 kijiko cha chai).. soma zaidi
Kwa nini mara nyingine mimba inatungwa kwenye mrija wa kupitisha mayai badala ya kwenye tumbo la uzazi?
Tagsπ wiki
Mara nyingi utunguaji mimba nje ya mfuko wa uzazi hutokea kwa sababu ya maradhi kwenye via vya uzazi. Maradhi hayo huharibu mirija ya kupitisha mayai. Uharibifu huo hufanya yai lisiweze kufika kwenye mfuko wa mimba na mara nyingi unasababishwa na magonjwa ya zinaa. Kama mwanamke alikuwa na magonjwa ya zinaa uwezekano wa kutunga mimba kwenye mrija wa kupitia mayai unaongezeka.
Ikiwa unafikiri una mimba au iwapo una maumivu chini ya tumbo, unashauriwa uende kliniki kwa ajili ya uchunguzi.
Yai lililorutubishwa linapokaa kwenye mrija wa kupitisha mayai tunasema mimba i imetungwa nje ya mji wa mimbaβectopic pregnancyβ. Kwa maana hiyo basi,, ukuta mwembamba wa mrija utashindwa kutanuka kikamilifu i ili kubeba mimba i inayokua. Mrija hupasuka na damu kutoka. Ikitokea hali hii , lazima mwanamke aende hospitali kwa ajili ya kupasuliwa na pengine kuongezwa damu… soma zaidi
Tagsπ wiki
Mara nyingi utunguaji mimba nje ya mfuko wa uzazi hutokea kwa sababu ya maradhi kwenye via vya uzazi. Maradhi hayo huharibu mirija ya kupitisha mayai. Uharibifu huo hufanya yai lisiweze kufika kwenye mfuko wa mimba na mara nyingi unasababishwa na magonjwa ya zinaa. Kama mwanamke alikuwa na magonjwa ya zinaa uwezekano wa kutunga mimba kwenye mrija wa kupitia mayai unaongezeka.
Ikiwa unafikiri una mimba au iwapo una maumivu chini ya tumbo, unashauriwa uende kliniki kwa ajili ya uchunguzi.
Yai lililorutubishwa linapokaa kwenye mrija wa kupitisha mayai tunasema mimba i imetungwa nje ya mji wa mimbaβectopic pregnancyβ. Kwa maana hiyo basi,, ukuta mwembamba wa mrija utashindwa kutanuka kikamilifu i ili kubeba mimba i inayokua. Mrija hupasuka na damu kutoka. Ikitokea hali hii , lazima mwanamke aende hospitali kwa ajili ya kupasuliwa na pengine kuongezwa damu… soma zaidi
Jinsi ya kupika Roast ya biringanya na mayai
Tagsπ mapishinalishe
Mara nyingi biringanya hutumika kama kiungo cha nyongeza katika mchuzi. Hata hivyo, kiungo hiki kinaweza kupikwa chenyewe na kutoa mchuzi wenye ladha ya kipekee… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mara nyingi biringanya hutumika kama kiungo cha nyongeza katika mchuzi. Hata hivyo, kiungo hiki kinaweza kupikwa chenyewe na kutoa mchuzi wenye ladha ya kipekee… soma zaidi
Jinsi ya kufuga bata mzinga
Tagsπ bata bei cha chakula faida ghali gharama hali hawa hula huwa ili jinsi juu. kabla kadri kama kawaida kingi kuanza kubwa kufuga kuhakikisha kuku. kula kuliko kumpatia kutosha kuwa kuzaliana kwa lazima majani matunzo mfugaji mzinga na ndege ni sababu sehemu tagi: ufugaji uhuru ulishaji una virutubisho. wa wanahitaji wanavyokua ya yake zaidi. wiki
Ili kuzaliana na kumpatia mfugaji faida, bata mzinga wanahitaji matunzo ya hali ya juu. Kwa kawaida bata mzinga hula chakula kingi kuliko kuku. Bei yake ni ghali zaidi… soma zaidi
Tagsπ bata bei cha chakula faida ghali gharama hali hawa hula huwa ili jinsi juu. kabla kadri kama kawaida kingi kuanza kubwa kufuga kuhakikisha kuku. kula kuliko kumpatia kutosha kuwa kuzaliana kwa lazima majani matunzo mfugaji mzinga na ndege ni sababu sehemu tagi: ufugaji uhuru ulishaji una virutubisho. wa wanahitaji wanavyokua ya yake zaidi. wiki
Ili kuzaliana na kumpatia mfugaji faida, bata mzinga wanahitaji matunzo ya hali ya juu. Kwa kawaida bata mzinga hula chakula kingi kuliko kuku. Bei yake ni ghali zaidi… soma zaidi
Ualbino unarithiwa vipi?
Tagsπ (moja /asili akawa ana anaweza asili asili. atakuwa awe baba). cha dhoofu haiwezi hutoka inayafanana kabila kama kawaida kila kimoja kinasaba kuonyesha kutengeneza kutosha kuwa kwa lakini macho mama mbili moja mpaka mtu mwanadamu mwili na nazo ngozi ni nywele pamoja. peke rangi seli seti taarifa ualbino ualbino. una unarithiwa vinasaba vipi? vya wa wana wanaozaliwa wao watoto watu wazazi wengi ya yake yao. za wiki
Watoto wengi wanaozaliwa na ualbino, wazazi wao wana rangi
ya ngozi, nywele na macho inayafanana na watu wa kabila /asili
yao. Mwili wa kila mwanadamu una seti mbili za vinasaba (moja
hutoka kwa mama na moja hutoka kwa baba). Mtu anaweza
kuwa na rangi ya asili ya kawaida, lakini akawa na kinasaba cha
ualbino. Kama mtu ana kinasaba kimoja cha rangi ya asili na
kimoja cha ualbino atakuwa na taarifa za vinasaba vya kutosha
kutengeneza rangi ya asili. Kinasaba cha ualbino ni seli dhoofu
haiwezi peke yake kuonyesha ualbino mpaka mtu awe nazo
mbili kwa pamoja.
Kama wazazi wote wawili wana vinasaba vya ualbino na wote
hawaonyeshi ualbino, kuna uwezekano wa kupata mtoto Albino
kati ya mmoja katika wanne kwa kila mimba… soma zaidi
Tagsπ (moja /asili akawa ana anaweza asili asili. atakuwa awe baba). cha dhoofu haiwezi hutoka inayafanana kabila kama kawaida kila kimoja kinasaba kuonyesha kutengeneza kutosha kuwa kwa lakini macho mama mbili moja mpaka mtu mwanadamu mwili na nazo ngozi ni nywele pamoja. peke rangi seli seti taarifa ualbino ualbino. una unarithiwa vinasaba vipi? vya wa wana wanaozaliwa wao watoto watu wazazi wengi ya yake yao. za wiki
Watoto wengi wanaozaliwa na ualbino, wazazi wao wana rangi
ya ngozi, nywele na macho inayafanana na watu wa kabila /asili
yao. Mwili wa kila mwanadamu una seti mbili za vinasaba (moja
hutoka kwa mama na moja hutoka kwa baba). Mtu anaweza
kuwa na rangi ya asili ya kawaida, lakini akawa na kinasaba cha
ualbino. Kama mtu ana kinasaba kimoja cha rangi ya asili na
kimoja cha ualbino atakuwa na taarifa za vinasaba vya kutosha
kutengeneza rangi ya asili. Kinasaba cha ualbino ni seli dhoofu
haiwezi peke yake kuonyesha ualbino mpaka mtu awe nazo
mbili kwa pamoja.
Kama wazazi wote wawili wana vinasaba vya ualbino na wote
hawaonyeshi ualbino, kuna uwezekano wa kupata mtoto Albino
kati ya mmoja katika wanne kwa kila mimba… soma zaidi
Madhara ya kutumia dawa za kuzuia mimba wakati wa hatari
Tagsπ afya mapishinalishe
Watu wengi hasa vijana watakuwa wanafahamu dawa ambazo hutumiwa sana kuzuia ujauzito pale ambapo wapenzi wamejamiiana ndani ya siku za hatari. Ninazungumzia dawa za kuzuia mimba sio dawa za kupanga uzazi. Dawa hizi zipo za aina nyingi ambazo zitozitaja hapa siku ya leo. Endapo wawili hawa wanakuwa hawapo tayari kupata mtoto, na wanaona kwamba siku walizojamiiana zitapelekea mwanamke huyo kutunga mimba, basi anaweza kutumia dawa hizi ambazo zinaharibu mazingira au uwezekano wa mimba kutungwa… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Watu wengi hasa vijana watakuwa wanafahamu dawa ambazo hutumiwa sana kuzuia ujauzito pale ambapo wapenzi wamejamiiana ndani ya siku za hatari. Ninazungumzia dawa za kuzuia mimba sio dawa za kupanga uzazi. Dawa hizi zipo za aina nyingi ambazo zitozitaja hapa siku ya leo. Endapo wawili hawa wanakuwa hawapo tayari kupata mtoto, na wanaona kwamba siku walizojamiiana zitapelekea mwanamke huyo kutunga mimba, basi anaweza kutumia dawa hizi ambazo zinaharibu mazingira au uwezekano wa mimba kutungwa… soma zaidi
Matumizi ya mbaazi kama dawa
Tagsπ mapishinalishe
Mbaazi ni zao la chakula ambalo linalimwa sehemu nyingi sana hapa nchini, zao hili pia linaweza kutumika kama dawa kwa kutumia majani, mizizi na maua.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mbaazi ni zao la chakula ambalo linalimwa sehemu nyingi sana hapa nchini, zao hili pia linaweza kutumika kama dawa kwa kutumia majani, mizizi na maua.. soma zaidi
Jinsi ya kuandaa Wali Wa Hudhurungi Na Kabeji
Tagsπ mapishinalishe
Mchele wa hudhurungi (brown rice).. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mchele wa hudhurungi (brown rice).. soma zaidi
Elimu tuu haitoshi kukunufaisha maishani na kukupa mafanikio
Tagsπ uchumi
EMBU SOMA HII KWA MAKINI SJUI NI KWELI? USIMAINDI LAKINI MAANA ITAKUGUSA TUU. MAFANIKIO YA MAISHA SIO ELIMU TU, UTHUBUTU, KUJIAMINI NA UJASIRI WA MAAMUZI
βπ½Ukichunguza katika jamii, utabaini kuwa sehemu kubwa ya matajiri ni wale ambao wana elimu ndogo ama hawakusoma kabisa… soma zaidi
Tagsπ uchumi
EMBU SOMA HII KWA MAKINI SJUI NI KWELI? USIMAINDI LAKINI MAANA ITAKUGUSA TUU. MAFANIKIO YA MAISHA SIO ELIMU TU, UTHUBUTU, KUJIAMINI NA UJASIRI WA MAAMUZI
βπ½Ukichunguza katika jamii, utabaini kuwa sehemu kubwa ya matajiri ni wale ambao wana elimu ndogo ama hawakusoma kabisa… soma zaidi
Mapishi ya Sambusa za nyama
Tagsπ mapishinalishe
Nyama ya kusaga (minced beef 1/4 kilo)
Vitunguu maji vilivyokatwakatwa(diced onion 2 vikubwa )
Kitunguu swaum/ tangawizi (garlic and ginger paste 1 kijiko cha chakula)
Chumvi (salt)
Pilipili iliyokatwakatwa (scotch bonnet 1)
Limao (lemon 1/2)
Curry powder 1/2 kijiko cha chai
Cinnamon powder 1/4 kijiko cha chai
Coriander powder 1/4 kijiko cha chai
Cumin powder 1/4 kijiko cha chai
Unga wa ngano (all purpose flour kidogo)
Manda za kufungia (spring roll pastry)
Giligilani (fresh coriander kiasi)
Mafuta ya kukaangia.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Nyama ya kusaga (minced beef 1/4 kilo)
Vitunguu maji vilivyokatwakatwa(diced onion 2 vikubwa )
Kitunguu swaum/ tangawizi (garlic and ginger paste 1 kijiko cha chakula)
Chumvi (salt)
Pilipili iliyokatwakatwa (scotch bonnet 1)
Limao (lemon 1/2)
Curry powder 1/2 kijiko cha chai
Cinnamon powder 1/4 kijiko cha chai
Coriander powder 1/4 kijiko cha chai
Cumin powder 1/4 kijiko cha chai
Unga wa ngano (all purpose flour kidogo)
Manda za kufungia (spring roll pastry)
Giligilani (fresh coriander kiasi)
Mafuta ya kukaangia.. soma zaidi
Mapishi ya mboga mchanganyiko
Tagsπ mapishinalishe
Viazi ulaya 4 vya wastani
Hoho jekundu 1/2
Hoho la njano 1/2
Hoho la kiajani 1/2
Njegere 1 kikombe cha chai
Carrot 1 kubwa
Broccoli kidogo
Cauliflower kidogo
Kitunguu 1
Nyanya 1/2 kopo
Swaum/tangawizi 1 kijiko cha chakula
Curry power 1 kijiko cha chakula
Coriander powder 1 kijiko cha chai
Tarmaric 1/2 kijiko cha chai
Olive oil
Chumvi
1/4 ya limao.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Viazi ulaya 4 vya wastani
Hoho jekundu 1/2
Hoho la njano 1/2
Hoho la kiajani 1/2
Njegere 1 kikombe cha chai
Carrot 1 kubwa
Broccoli kidogo
Cauliflower kidogo
Kitunguu 1
Nyanya 1/2 kopo
Swaum/tangawizi 1 kijiko cha chakula
Curry power 1 kijiko cha chakula
Coriander powder 1 kijiko cha chai
Tarmaric 1/2 kijiko cha chai
Olive oil
Chumvi
1/4 ya limao.. soma zaidi
Jinsi ya kugundua upungufu wa virutubisho shambani
Tagsπ asili. au cha chini dalili: huathiriwa hukua hupungua jinsi kabichi kiasi kijani kiwango kuchanua kuchelewa. kugundua kutibu: kutosha kwa kwanza maharage mahindi majani maua mboga mbolea mchanganyiko mpauko. na ndiyo nitrogen njano. ongeza rangi sana shambani sukumawiki taabu tagi: upungufu virutubisho virutubishojinsi wa ya yanakuwa za wiki
Jinsi ya kugundua upungufu wa virutubisho.. soma zaidi
Tagsπ asili. au cha chini dalili: huathiriwa hukua hupungua jinsi kabichi kiasi kijani kiwango kuchanua kuchelewa. kugundua kutibu: kutosha kwa kwanza maharage mahindi majani maua mboga mbolea mchanganyiko mpauko. na ndiyo nitrogen njano. ongeza rangi sana shambani sukumawiki taabu tagi: upungufu virutubisho virutubishojinsi wa ya yanakuwa za wiki
Jinsi ya kugundua upungufu wa virutubisho.. soma zaidi
Jinsi ya Kulima karanga
Tagsπ (mashudu 1. 2. 3. ardhi binadamu bora cha chakula dodoma hili hustawi hutumika jinsi karanga katika kilimo kulima kurutubisha kusini kutoa kwa mafuta mafuta. majani) mashariki mazao mbali mikoa mojawapo morogoro. na na: nazo ni njia nyingine pamoja tagi: tanzania vile wanyama ya yanayotoa zaid zao wiki
Karanga ni mojawapo ya mazao yanayotoa mafuta. Katika Tanzania zao hili hustawi zaid katika mikoa ya Kusini Mashariki, Dodoma na Morogoro. Pamoja na kutoa mafuta vile vile zao hutumika kwa njia nyingine mbali mbali, nazo ni pamoja na:.. soma zaidi
Tagsπ (mashudu 1. 2. 3. ardhi binadamu bora cha chakula dodoma hili hustawi hutumika jinsi karanga katika kilimo kulima kurutubisha kusini kutoa kwa mafuta mafuta. majani) mashariki mazao mbali mikoa mojawapo morogoro. na na: nazo ni njia nyingine pamoja tagi: tanzania vile wanyama ya yanayotoa zaid zao wiki
Karanga ni mojawapo ya mazao yanayotoa mafuta. Katika Tanzania zao hili hustawi zaid katika mikoa ya Kusini Mashariki, Dodoma na Morogoro. Pamoja na kutoa mafuta vile vile zao hutumika kwa njia nyingine mbali mbali, nazo ni pamoja na:.. soma zaidi
Mwanamke akipenda amependa kweli
Tagsπ mahusiano
Mwanamke akikupenda anakuwa na furaha, anakuwa anajivunia kuwa na wewe, na hujihisi furaha kuongea na wewe.
Hupenda awe rafiki wa rafiki zako na ndugu zako, uvipendavyo na yeye atavipenda, atabadilisha mtindo wake wa maisha kuendana na mtindo wako… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Mwanamke akikupenda anakuwa na furaha, anakuwa anajivunia kuwa na wewe, na hujihisi furaha kuongea na wewe.
Hupenda awe rafiki wa rafiki zako na ndugu zako, uvipendavyo na yeye atavipenda, atabadilisha mtindo wake wa maisha kuendana na mtindo wako… soma zaidi
Afrika Kusini imetia saini makubaliano na Marekani kuruhusu Marekani kuuza kuku wake nchini humo
Tagsπ afrika baada biashara bidhaa hayo humo huo imetia inayopata kati kilimo kufuata kuku kuku. kuondoa kuruhusu kusimamisha kusini kutishia kuuza makubaliano manufaa marekani mataifa mgogoro na nchini saini tagi: wa wake wasiwasi ya yanatarajiwa za habari
Makubaliano hayo yanatarajiwa kuondoa wasiwasi kati ya mataifa hayo baada ya Marekani kutishia kusimamisha manufaa ya biashara za bidhaa za kilimo inayopata Afrika Kusini kufuata mgogoro huo wa kuku.
Afrika Kusini ina wasiwasi kwamba mlipuko wa ugonjwa wa homa ya kuku ambao umewaua takriban ndege milioni 50 huenda ikasababisha hatari ya kiafya miongoni mwa wanyama na binaadamu.
Kuku ni chakula kinachopendwa sana Afrika kusini na wakosoaji wana wasiwasi kwamba Marekani itapeleka kuku wa ziada katika taifa hilo,hatua ambayo wanasema itaathiri pakubwa bishara ya nyama hiyo nchini humo… soma zaidi
Tagsπ afrika baada biashara bidhaa hayo humo huo imetia inayopata kati kilimo kufuata kuku kuku. kuondoa kuruhusu kusimamisha kusini kutishia kuuza makubaliano manufaa marekani mataifa mgogoro na nchini saini tagi: wa wake wasiwasi ya yanatarajiwa za habari
Makubaliano hayo yanatarajiwa kuondoa wasiwasi kati ya mataifa hayo baada ya Marekani kutishia kusimamisha manufaa ya biashara za bidhaa za kilimo inayopata Afrika Kusini kufuata mgogoro huo wa kuku.
Afrika Kusini ina wasiwasi kwamba mlipuko wa ugonjwa wa homa ya kuku ambao umewaua takriban ndege milioni 50 huenda ikasababisha hatari ya kiafya miongoni mwa wanyama na binaadamu.
Kuku ni chakula kinachopendwa sana Afrika kusini na wakosoaji wana wasiwasi kwamba Marekani itapeleka kuku wa ziada katika taifa hilo,hatua ambayo wanasema itaathiri pakubwa bishara ya nyama hiyo nchini humo… soma zaidi
Je, mvulana afanye nini ili kuzuia ndoto nyevu?
Tagsπ wiki
Ndoto nyevu ni kitu kinachowatokea vijana wakiwa usingizini. Haiwezekani kuzuiwa kwa sababu uko usingizini, lakini labda ingekuwa vizuri wewe kujiuliza kwa nini unataka kuzuia jambo hili, haswa ukizingatia kwamba ndoto nyevu hazidhuru afya yako kabisa na kwamba ni dalili kuwa sasa unakuwa mtu mzima, yaani mwanaume… soma zaidi
Tagsπ wiki
Ndoto nyevu ni kitu kinachowatokea vijana wakiwa usingizini. Haiwezekani kuzuiwa kwa sababu uko usingizini, lakini labda ingekuwa vizuri wewe kujiuliza kwa nini unataka kuzuia jambo hili, haswa ukizingatia kwamba ndoto nyevu hazidhuru afya yako kabisa na kwamba ni dalili kuwa sasa unakuwa mtu mzima, yaani mwanaume… soma zaidi
Jinsi ya kulima muhogo
Tagsπ biashara. cahakula cha chini. hili huchanganya jinsi kama kipato kulima kunde kutupatia kwa la mazao mbaazi mengine muhimu muhogo mwingine n.k. na ni njugumawe sana tagi: tanzania umuhimu utangulizi vile wa wadogo wakati wakulima wengi wenye ya zaidi zao wiki
Utangulizi
Zao la muhogo ni muhimu sana kwa Tanzania zaidi kwa wakulima wadogo wenye kipato cha chini. Wakulima wengi huchanganya zao la muhogo na mazao mengine kama vile kunde, mbaazi, njugumawe, n.k. Umuhimu wa zao hili ni kutupatia cahakula na wakati mwingine kwa biashara. Kwa kanda ya kusini muhogo ni chakula kikuu ambacho kinachuku asilimia 75 ya chakula kwa maeneo yote yamikoa ya Lindi na Mtwara… soma zaidi
Tagsπ biashara. cahakula cha chini. hili huchanganya jinsi kama kipato kulima kunde kutupatia kwa la mazao mbaazi mengine muhimu muhogo mwingine n.k. na ni njugumawe sana tagi: tanzania umuhimu utangulizi vile wa wadogo wakati wakulima wengi wenye ya zaidi zao wiki
Utangulizi
Zao la muhogo ni muhimu sana kwa Tanzania zaidi kwa wakulima wadogo wenye kipato cha chini. Wakulima wengi huchanganya zao la muhogo na mazao mengine kama vile kunde, mbaazi, njugumawe, n.k. Umuhimu wa zao hili ni kutupatia cahakula na wakati mwingine kwa biashara. Kwa kanda ya kusini muhogo ni chakula kikuu ambacho kinachuku asilimia 75 ya chakula kwa maeneo yote yamikoa ya Lindi na Mtwara… soma zaidi
Kwanini Albino wanakuwa na mabaka meusi kwenye ngozi zao?
Tagsπ albino atajilinda au baada bila dhidi haijalindwa haina hiyo huonyesha huwasha ina inajitahidi inakuwa inatengeneza inaungua ipasavyo jinsi jua jua. kama kidogo kujilinda kupatwa kuuma. kuwa kwa kwanini kwenye lakini mabaka mabaka. meusi meusi1. mionzi na ngozi nyeusi pigimenti sana wanakuwa ya yake zao? wiki
Ngozi ya Albino haina jinsi ya kujilinda na mionzi ya jua. Inaungua
sana baada ya kupatwa na jua na ngozi huwasha na kuuma. Ngozi
ya Albino inajitahidi kujilinda na mionzi ya jua lakini ina pigimenti
nyeusi kidogo sana kwa hiyo inatengeneza mabaka meusi1. Kwa
hiyo, mabaka meusi huonyesha kuwa ngozi haijalindwa ipasavyo
dhidi ya jua. Kama Albino atajilinda na jua ngozi yake inakuwa na
mabaka kidogo sana au bila mabaka… soma zaidi
Tagsπ albino atajilinda au baada bila dhidi haijalindwa haina hiyo huonyesha huwasha ina inajitahidi inakuwa inatengeneza inaungua ipasavyo jinsi jua jua. kama kidogo kujilinda kupatwa kuuma. kuwa kwa kwanini kwenye lakini mabaka mabaka. meusi meusi1. mionzi na ngozi nyeusi pigimenti sana wanakuwa ya yake zao? wiki
Ngozi ya Albino haina jinsi ya kujilinda na mionzi ya jua. Inaungua
sana baada ya kupatwa na jua na ngozi huwasha na kuuma. Ngozi
ya Albino inajitahidi kujilinda na mionzi ya jua lakini ina pigimenti
nyeusi kidogo sana kwa hiyo inatengeneza mabaka meusi1. Kwa
hiyo, mabaka meusi huonyesha kuwa ngozi haijalindwa ipasavyo
dhidi ya jua. Kama Albino atajilinda na jua ngozi yake inakuwa na
mabaka kidogo sana au bila mabaka… soma zaidi
Jinsi ya kupika Pilau Ya Samaki WaTuna Na Mboga
Tagsπ (frozen (samaki/jodari) 1 2 3 6 barafu cha chembe chumvi garam jinsi karafuu kiasi kijiko kitungu kitunguu kopo kupika mafuta maji masala mbichi mboga mchanganyiko mchele mdalasini mug mugs na nyanya nzima pilau pilipili samaki saumu(thomu/galic) supu tagi: tangawizi tuna veg) viambaupishi viazi vijiko vijiti vya watuna ya za Β½ mapishinalishe
Mchele 2 Mugs.. soma zaidi
Tagsπ (frozen (samaki/jodari) 1 2 3 6 barafu cha chembe chumvi garam jinsi karafuu kiasi kijiko kitungu kitunguu kopo kupika mafuta maji masala mbichi mboga mchanganyiko mchele mdalasini mug mugs na nyanya nzima pilau pilipili samaki saumu(thomu/galic) supu tagi: tangawizi tuna veg) viambaupishi viazi vijiko vijiti vya watuna ya za Β½ mapishinalishe
Mchele 2 Mugs.. soma zaidi
Jinsi ya kutengeneza Labania Za Maziwa
Tagsπ mapishinalishe
Maziwa ya unga - 2 vikombe.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Maziwa ya unga - 2 vikombe.. soma zaidi
Matumizi ya ndizi yanafaida gani? Faida na umuhimu wa kula ndizi
Tagsπ wiki
Ndizi mbivu ni tunda ambalo linafahamika na kila mtu, lakini sina hakika kama watu wengi wanafahamu umuhimu na faida za tunda hili ambalo linapatikana kirahisi sana nchini. Bei yake ni kati ya shilingi 50 na 150 tu, kiwango cha pesa ambacho kila mtu anaweza kukimudu… soma zaidi
Tagsπ wiki
Ndizi mbivu ni tunda ambalo linafahamika na kila mtu, lakini sina hakika kama watu wengi wanafahamu umuhimu na faida za tunda hili ambalo linapatikana kirahisi sana nchini. Bei yake ni kati ya shilingi 50 na 150 tu, kiwango cha pesa ambacho kila mtu anaweza kukimudu… soma zaidi
Waliopitishwa kuwania uspika CCM
Tagsπ 15 2015 ambao bunge ccm cha dodoma halmashauri ili ilikuwa imewateua jamhuri kamati katika kikao kilichofanyika kumpata kura kuu kuwania la leo mgombea mjini moja muungano na nafasi novemba siku spika tagi: taifa tanzania. uspika wa wabunge waliopitishwa wana-ccm watakaopigiwa watatu wote ya habari
Kamati kuu ya halmashauri kuu ya Taifa ya CCM ilikuwa na kikao cha siku moja kilichofanyika leo Novemba 15, 2015 mjini Dodoma na imewateua wana-CCM watatu ambao watakaopigiwa kura na wabunge wote wa CCM ili kumpata mgombea wa CCM katika nafasi ya spika wa bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania… soma zaidi
Tagsπ 15 2015 ambao bunge ccm cha dodoma halmashauri ili ilikuwa imewateua jamhuri kamati katika kikao kilichofanyika kumpata kura kuu kuwania la leo mgombea mjini moja muungano na nafasi novemba siku spika tagi: taifa tanzania. uspika wa wabunge waliopitishwa wana-ccm watakaopigiwa watatu wote ya habari
Kamati kuu ya halmashauri kuu ya Taifa ya CCM ilikuwa na kikao cha siku moja kilichofanyika leo Novemba 15, 2015 mjini Dodoma na imewateua wana-CCM watatu ambao watakaopigiwa kura na wabunge wote wa CCM ili kumpata mgombea wa CCM katika nafasi ya spika wa bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania… soma zaidi
Kilimo cha nyanya
Tagsπ aina bora cha duniani. hutumika inayo karibu katika kila kilimo kuliwa kwa kwanza la limwa linalo mazao mboga mlo. na ni nyanya sana tagi: tanzania ukilinganisha wingi ya zalishwa zao zingine. wiki
Nyanya ni aina ya mboga inayo zalishwa kwa wingi sana duniani. Kwa Tanzania, nyanya ni zao la kwanza katika mazao ya mboga linalo limwa na kuliwa kwa wingi ukilinganisha na mboga zingine. Nyanya hutumika karibu Katika kila mlo. Kulingana na umuhimu wa zao hili kama chakula na pia kama zao linalomwingizia kipato Mkulima, kuna haja ya kutoa mafunzo kuhusu mbinu bora za uzalishaji wake. Pia kuna umuhimu wa kufundisha wakulima kutoka sehemu zingine wasiolima zao hili ili nao waweze kuzalisha nyanya na hivyo kuongeza idadi ya aina za mboga katika maeneo yao… soma zaidi
Tagsπ aina bora cha duniani. hutumika inayo karibu katika kila kilimo kuliwa kwa kwanza la limwa linalo mazao mboga mlo. na ni nyanya sana tagi: tanzania ukilinganisha wingi ya zalishwa zao zingine. wiki
Nyanya ni aina ya mboga inayo zalishwa kwa wingi sana duniani. Kwa Tanzania, nyanya ni zao la kwanza katika mazao ya mboga linalo limwa na kuliwa kwa wingi ukilinganisha na mboga zingine. Nyanya hutumika karibu Katika kila mlo. Kulingana na umuhimu wa zao hili kama chakula na pia kama zao linalomwingizia kipato Mkulima, kuna haja ya kutoa mafunzo kuhusu mbinu bora za uzalishaji wake. Pia kuna umuhimu wa kufundisha wakulima kutoka sehemu zingine wasiolima zao hili ili nao waweze kuzalisha nyanya na hivyo kuongeza idadi ya aina za mboga katika maeneo yao… soma zaidi
Punyeto kwa wanaume
Tagsπ punyeto mahusiano
Punyeto ( kwa wanaume ) ni kitendo
cha mwanaume, kujifikisha mwenyewe
kileleni kwa kujichua uume hadi
kumwaga mbegu za kiume. Uchunguzi
unaonyesha katika watu wa jinsia ya
kiume kumi wenye umri wa kuanzia
miaka 16 hadi 45, angalau wanne kati
yao wamewahi kupiga punyeto katika
kipindi fulani cha maisha yao, na wawili
kati yao wanajihusisha na upigaji
punyeto. Uzoefu unaonyesha, asilimia kubwa
ya wanaume wanao piga punyeto
huanza katika umri wa kubalehe
( miaka 14-16 ), wengine huachana na
tabia hiyo mara baada ya kupata
wapenzi wa kike ama kuoa na
wengine huendelea na tabia hiyo hata
baada ya kuoa… soma zaidi
Tagsπ punyeto mahusiano
Punyeto ( kwa wanaume ) ni kitendo
cha mwanaume, kujifikisha mwenyewe
kileleni kwa kujichua uume hadi
kumwaga mbegu za kiume. Uchunguzi
unaonyesha katika watu wa jinsia ya
kiume kumi wenye umri wa kuanzia
miaka 16 hadi 45, angalau wanne kati
yao wamewahi kupiga punyeto katika
kipindi fulani cha maisha yao, na wawili
kati yao wanajihusisha na upigaji
punyeto. Uzoefu unaonyesha, asilimia kubwa
ya wanaume wanao piga punyeto
huanza katika umri wa kubalehe
( miaka 14-16 ), wengine huachana na
tabia hiyo mara baada ya kupata
wapenzi wa kike ama kuoa na
wengine huendelea na tabia hiyo hata
baada ya kuoa… soma zaidi
Kilimo cha Mgagani
Tagsπ wiki
Mgagani (Cleome gynandra) au Spider plant kwa kingereza, ni mmea wa asili ya Afrika unaostawi vizuri kwa kumwagiliwa hapa afrika ya mashariki wakati wa joto. Pia huchumwa mashambani ikiwa imeota yenyewe zao hili hushambiliwa na magonjwa na wadudu mara chache. Majani na Matawi machanga yana virutubisho kuliko Sukuma wiki na kabichi. Mahitaji yake yanaongezeka kwenye miji midogo na mikubwa kila siku… soma zaidi
Tagsπ wiki
Mgagani (Cleome gynandra) au Spider plant kwa kingereza, ni mmea wa asili ya Afrika unaostawi vizuri kwa kumwagiliwa hapa afrika ya mashariki wakati wa joto. Pia huchumwa mashambani ikiwa imeota yenyewe zao hili hushambiliwa na magonjwa na wadudu mara chache. Majani na Matawi machanga yana virutubisho kuliko Sukuma wiki na kabichi. Mahitaji yake yanaongezeka kwenye miji midogo na mikubwa kila siku… soma zaidi
Je, watu wanaoishi na hali ya ualbino wanaweza kuzaa watoto bila matatizo?
Tagsπ / afya albino anaweza basi; bila hali hauingiliani hiyo huu je kuweza kuzaa kuzaa. kwa kwamba kwenye maana matatizo? mfumo na ngozi nzuri. siyo tu tuelewe ualbino uko ulemavu uwezo uzazi. via wa wanaoishi wanaweza watoto watu wenye ya wiki
Ulemavu wa watu wanaoishi na ualbino hauingiliani na uwezo
wa kuweza kuzaa. Tuelewe kwamba ulemavu huu uko tu kwenye
ngozi na siyo kwenye via / mfumo wa uzazi. Kwa maana hiyo
basi; Albino anaweza kuzaa watoto wenye afya nzuri. Pia
wanaweza kuzaa watoto wenye ngozi ya kawaida (blackii) kama
mzazi mwenzie hatakuwa amebeba vinasaba vya ualbino… soma zaidi
Tagsπ / afya albino anaweza basi; bila hali hauingiliani hiyo huu je kuweza kuzaa kuzaa. kwa kwamba kwenye maana matatizo? mfumo na ngozi nzuri. siyo tu tuelewe ualbino uko ulemavu uwezo uzazi. via wa wanaoishi wanaweza watoto watu wenye ya wiki
Ulemavu wa watu wanaoishi na ualbino hauingiliani na uwezo
wa kuweza kuzaa. Tuelewe kwamba ulemavu huu uko tu kwenye
ngozi na siyo kwenye via / mfumo wa uzazi. Kwa maana hiyo
basi; Albino anaweza kuzaa watoto wenye afya nzuri. Pia
wanaweza kuzaa watoto wenye ngozi ya kawaida (blackii) kama
mzazi mwenzie hatakuwa amebeba vinasaba vya ualbino… soma zaidi
Ukipenda Boga, penda na ua lake
Tagsπ akamuuliza akamwambia akiwa alifika ametoka ana boga haraka hema jiandae kabla kawaida kazini kuna kwenda lake: mbeya mke muda mwanaume na nini?? penda safiri tuna ua ukipenda wa wake ya mahusiano
mwanaume akiwa ana hema ametoka kazini
kabla ya muda wa kawaida,akamwambia mke
wake Jiandae haraka tuna safiri kwenda
mbeya,mke akamuuliza kuna nini??.. soma zaidi
Tagsπ akamuuliza akamwambia akiwa alifika ametoka ana boga haraka hema jiandae kabla kawaida kazini kuna kwenda lake: mbeya mke muda mwanaume na nini?? penda safiri tuna ua ukipenda wa wake ya mahusiano
mwanaume akiwa ana hema ametoka kazini
kabla ya muda wa kawaida,akamwambia mke
wake Jiandae haraka tuna safiri kwenda
mbeya,mke akamuuliza kuna nini??.. soma zaidi
Je, kama wazazi watawapa dawa watoto wao watashitakiwa kisheria?
Tagsπ wiki
Ndiyo, watashtakiwa! Wakati mwingine wazazi huwatuma
watoto wao kuchukua au kununua pombe au sigara na
hata dawa za kulevya. Utumiaji na usambazaji wa dawa za kulevya ni kinyume cha sheria nchini Tanzania na sio uamuzi binafsi wa kifamilia… soma zaidi
Tagsπ wiki
Ndiyo, watashtakiwa! Wakati mwingine wazazi huwatuma
watoto wao kuchukua au kununua pombe au sigara na
hata dawa za kulevya. Utumiaji na usambazaji wa dawa za kulevya ni kinyume cha sheria nchini Tanzania na sio uamuzi binafsi wa kifamilia… soma zaidi
Mambo 5 ya muhimu kuzingatia kuhusu mahali unapotaka kuweka mizinga ya nyuki
Tagsπ kilimonaufugaji
Ukitaka kujua kuwa eneo unalotaka kuweka mizinga ya nyuki ni sahihi unatakiwa kuzingatia yafuatayo:.. soma zaidi
Tagsπ kilimonaufugaji
Ukitaka kujua kuwa eneo unalotaka kuweka mizinga ya nyuki ni sahihi unatakiwa kuzingatia yafuatayo:.. soma zaidi
Nini kinachokufanya udhani utashindwa sasa
Tagsπ uchumi
Kwa mujibu wa Biologia, baada ya tendo la kukutana kimwili takribani mbegu milioni 200 hadi 300 hutolewa na mwanaume…halafu zote huanza kupiga mbizi kuogelea kwenye njia safarini kukutana na yai la kike… soma zaidi
Tagsπ uchumi
Kwa mujibu wa Biologia, baada ya tendo la kukutana kimwili takribani mbegu milioni 200 hadi 300 hutolewa na mwanaume…halafu zote huanza kupiga mbizi kuogelea kwenye njia safarini kukutana na yai la kike… soma zaidi
Je, sigara ni mojawapo ya dawa za kulevya?
Tagsπ ambayo dawa haramu hata hivyo hufanya husababisha iliyomo ina iwe je kulevya kulevya? kuwa kwa kwamba kwenye lakini maana mojawapo mtu ni nikotini sababu sigara siyo tegemezi. ya za wiki
Sigara siyo dawa za kulevya, kwa maana ya kwamba ni haramu,
lakini hata hivyo, sigara ina nikotini ambayo hufanya iwe dawa ya kulevya kwa sababu nikotini iliyomo kwenye sigara
husababisha mtu kuwa mtu tegemezi… soma zaidi
Tagsπ ambayo dawa haramu hata hivyo hufanya husababisha iliyomo ina iwe je kulevya kulevya? kuwa kwa kwamba kwenye lakini maana mojawapo mtu ni nikotini sababu sigara siyo tegemezi. ya za wiki
Sigara siyo dawa za kulevya, kwa maana ya kwamba ni haramu,
lakini hata hivyo, sigara ina nikotini ambayo hufanya iwe dawa ya kulevya kwa sababu nikotini iliyomo kwenye sigara
husababisha mtu kuwa mtu tegemezi… soma zaidi
Nimwambie nini mtu anayejaribu kunishawishi nijihusishe na makundi ya watu wanaokunywa pombe na wavutaji sigara?
Tagsπ anayejaribu au binafsi haki hapana. hivyo. hutaki huu jaribu kama kiafya. kuchukua kufanya kuhusu kujiunga kundi kunishawishi kunywa kusema kutovuta kuwa la lakini maamuzi maisha makundi mara mtu muhimu mzuri na ni nijihusishe nimwambie nini nyingine pia pombe sana sigara sigara? uamuzi umeamua vigumu vile wa wala wanaokunywa wanavyoruhusiwa watu wavutaji wavutao wazi wengine wenyewe. ya yako yao wiki
Kama umeamua kutovuta sigara wala kunywa pombe ni uamuzi
mzuri sana na wa kiafya. Ni haki yako binafsi kuchukua uamuzi
huu, kama vile watu wengine pia wanavyoruhusiwa kufanya
maamuzi kuhusu maisha yao wenyewe… soma zaidi
Tagsπ anayejaribu au binafsi haki hapana. hivyo. hutaki huu jaribu kama kiafya. kuchukua kufanya kuhusu kujiunga kundi kunishawishi kunywa kusema kutovuta kuwa la lakini maamuzi maisha makundi mara mtu muhimu mzuri na ni nijihusishe nimwambie nini nyingine pia pombe sana sigara sigara? uamuzi umeamua vigumu vile wa wala wanaokunywa wanavyoruhusiwa watu wavutaji wavutao wazi wengine wenyewe. ya yako yao wiki
Kama umeamua kutovuta sigara wala kunywa pombe ni uamuzi
mzuri sana na wa kiafya. Ni haki yako binafsi kuchukua uamuzi
huu, kama vile watu wengine pia wanavyoruhusiwa kufanya
maamuzi kuhusu maisha yao wenyewe… soma zaidi
Ni tahadhari gani nichukue ninapomhudumia mgonjwa wa UKIMWI?
Tagsπ wiki
Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI mara nyingi huenea sana kwa njia ya kujamii ana, na hauambukizwi kwa kumhudumia mtu mwenye maambukizi ya Virusi vya UKIMWI au UKIMWI. Hata hivyo ni muhimu kuwa mwangalifu na kuchukua tahadhari ili kuzuia kuambukizwa.
Ukimtibu vidonda vya mtu aliyeambukizwa na Virusi vya UKIMWI, ni vyema kuvaa mipira ya mikononi (glavu ) na daima ni vizuri kufunga kitambaa au plasta mahali penye jeraha. Vifaa vyenye ncha kali vinavyotumiwa na mtu mwenye maambukizi ya virusi vya UKIMWI, kwa mfano nyembe, kutunzwa sehemu ya pekee na visitumiwe na watu wengine.
Hatua hizi ni muhimu na za msingi kwa wahudumu wa watu wenye virusi vya UKIMWI i ili kuzuia yeye au watu wengine wasipate maambukizi ya virusi vya UKIMWI. Kama unamtunza / unamhudumia mtu aliyeambukizwa na Virusi vya UKIMWI na huna uhakika au una wasiwasi na tahadhari za kuchukua, unashauriwa kutafuta msaada kutoka kwa mtoa huduma wa afya i li akupe maelezo zaidi… soma zaidi
Tagsπ wiki
Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI mara nyingi huenea sana kwa njia ya kujamii ana, na hauambukizwi kwa kumhudumia mtu mwenye maambukizi ya Virusi vya UKIMWI au UKIMWI. Hata hivyo ni muhimu kuwa mwangalifu na kuchukua tahadhari ili kuzuia kuambukizwa.
Ukimtibu vidonda vya mtu aliyeambukizwa na Virusi vya UKIMWI, ni vyema kuvaa mipira ya mikononi (glavu ) na daima ni vizuri kufunga kitambaa au plasta mahali penye jeraha. Vifaa vyenye ncha kali vinavyotumiwa na mtu mwenye maambukizi ya virusi vya UKIMWI, kwa mfano nyembe, kutunzwa sehemu ya pekee na visitumiwe na watu wengine.
Hatua hizi ni muhimu na za msingi kwa wahudumu wa watu wenye virusi vya UKIMWI i ili kuzuia yeye au watu wengine wasipate maambukizi ya virusi vya UKIMWI. Kama unamtunza / unamhudumia mtu aliyeambukizwa na Virusi vya UKIMWI na huna uhakika au una wasiwasi na tahadhari za kuchukua, unashauriwa kutafuta msaada kutoka kwa mtoa huduma wa afya i li akupe maelezo zaidi… soma zaidi
Jinsi ya kutumia mashonanguo kama dawa ya kuzuia wadudu kwenye mimea
Tagsπ kilimonaufugaji
Tagsπ kilimonaufugaji
Mashonanguo kwa kiingereza ni Blackjack au kwa kisayansi yanajulikana kama (Bidens
pilosa)
Mashona nguo yanazuia wadudukama vile Vidukari, Siafu, bungo, katapila, chenene (crickets), nyenyere, siafu na inzi weupe… soma zaidi
Rais Dr.Magufuli ametekeleza kwa vitendo agizo alilolitoa kwa watanzania kufanya usafi
Tagsπ agizo alilolitoa ametekeleza dr.magufuli kufanya kwa rais usafi vitendo watanzania habari
Rais na amiri jeshi mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Pombe Magufuli ametekeleza kwa vitendo agizo alilolitoa kwa watanzania kushiriki katika shughuli za kuweka mazingira ya nchi safi kwa kufanya usafi katika maadhimisho ya uhuru wa Tanganyika Decembr 09… soma zaidi
Tagsπ agizo alilolitoa ametekeleza dr.magufuli kufanya kwa rais usafi vitendo watanzania habari
Rais na amiri jeshi mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Pombe Magufuli ametekeleza kwa vitendo agizo alilolitoa kwa watanzania kushiriki katika shughuli za kuweka mazingira ya nchi safi kwa kufanya usafi katika maadhimisho ya uhuru wa Tanganyika Decembr 09… soma zaidi
Kwa watumiaji wa simu soma hii kwa usalama wako
Tagsπ habari
KUTOKA JESHI LA POLICE:
USALAMA WA MAISHA YAKO.
Tagsπ habari
KUTOKA JESHI LA POLICE:
USALAMA WA MAISHA YAKO.
- Usinunue simu za Android kwa mtu usiyemjua. Hiyo ni hatari kwani hujui huyo jamaa kaitoa wapi, mwisho wa siku unapewa kesi ya wizi au mauaji. Inawezekana simu hiyo iliibiwa kwa mtu aliyeuawa… soma zaidi
Madhara ya dawa za kulevya kwa mwili na ubongo
Tagsπ wiki
Moja kati ya vitu vinavyotisha kuhusu dawa za kulevya ni kwamba zinaathiri watu kwa njia mbalimbali na huwezi ukasema kwa uhakika jinsi zitakavyokuathiri. Madhara ya dawa za kulevya yanategemea aina, kiwango na jinsi zitakavyotumika. Vilevile inategemea na umri, afya ya mwili na ukomavu wa akili, na pia mazoea ya matumizi ya dawa hizo.
Madhara ya muda hutokea mara tu baada ya dawa za kulevya kutumika, wakati madhara ya muda mrefu huonekana baada ya muda kupita, na mara nyingi husababisha uharibifu wa kudumu kwenye mapafu na ubongo… soma zaidi
Tagsπ wiki
Moja kati ya vitu vinavyotisha kuhusu dawa za kulevya ni kwamba zinaathiri watu kwa njia mbalimbali na huwezi ukasema kwa uhakika jinsi zitakavyokuathiri. Madhara ya dawa za kulevya yanategemea aina, kiwango na jinsi zitakavyotumika. Vilevile inategemea na umri, afya ya mwili na ukomavu wa akili, na pia mazoea ya matumizi ya dawa hizo.
Madhara ya muda hutokea mara tu baada ya dawa za kulevya kutumika, wakati madhara ya muda mrefu huonekana baada ya muda kupita, na mara nyingi husababisha uharibifu wa kudumu kwenye mapafu na ubongo… soma zaidi
USIKOSE: Hadithi inayogusa
Tagsπ mahusiano
Mtoto alifanya maamuzi ya kumpeleka baba yake ambaye alikuwa Mzee sana kwenye Makazi Maalum ya kulelea wazee ya Kanisa Katoliki iliyokuwa CHINI ya uratibu wa Padre. Alifanya hivyo Baada ya kushauriwa Na mkewe aliyekuwa akiona Ni kero kumlea baba Mkwe wake nyumbani kwao… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Mtoto alifanya maamuzi ya kumpeleka baba yake ambaye alikuwa Mzee sana kwenye Makazi Maalum ya kulelea wazee ya Kanisa Katoliki iliyokuwa CHINI ya uratibu wa Padre. Alifanya hivyo Baada ya kushauriwa Na mkewe aliyekuwa akiona Ni kero kumlea baba Mkwe wake nyumbani kwao… soma zaidi
Jinsi ya kulima mtama
Tagsπ aina ambayo bia cha haifai hali hata hutoa jinsi kama kilimo kuchemshwa kulima kuliwa kuoka kusagwa kustahimili kutengenezea kutumika kwa kwenye mazao mengi mikate mkubwa mtama mtamamtama na nafaka. nyingine nyinginezo tagi: uji ukame. ulivyo una unaweza uwezo vile vinywaji vitafunwa. wa ya za wiki
Mtama hutoa mazao mengi hata kwenye hali ambayo haifai kwa kilimo cha aina nyingine za mazao ya nafaka. Mtama una uwezo mkubwa wa kustahimili ukame… soma zaidi
Tagsπ aina ambayo bia cha haifai hali hata hutoa jinsi kama kilimo kuchemshwa kulima kuliwa kuoka kusagwa kustahimili kutengenezea kutumika kwa kwenye mazao mengi mikate mkubwa mtama mtamamtama na nafaka. nyingine nyinginezo tagi: uji ukame. ulivyo una unaweza uwezo vile vinywaji vitafunwa. wa ya za wiki
Mtama hutoa mazao mengi hata kwenye hali ambayo haifai kwa kilimo cha aina nyingine za mazao ya nafaka. Mtama una uwezo mkubwa wa kustahimili ukame… soma zaidi
Suluhisho rahisi la nguvu za kiume hili hapa
Tagsπ afya mapishinalishe
NI muujiza! Pengine hivyo ndivyo yeyote anaweza kusema pindi akisikia kwa mara ya kwanza juu ya namna mihogo mibichi na nazi kavu maarufu kama mbata vinavyoweza kuwasaidia watu kiafya, na hasa wanaume… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
NI muujiza! Pengine hivyo ndivyo yeyote anaweza kusema pindi akisikia kwa mara ya kwanza juu ya namna mihogo mibichi na nazi kavu maarufu kama mbata vinavyoweza kuwasaidia watu kiafya, na hasa wanaume… soma zaidi
mapenzi salama
Tagsπ bila busu hamu husika inaweza kama kuingiza kuingizwa kujamiiana kukumbatia kumaliza kunyonyana kupata kupiga kushikana kuwa maambukizi magonjwa mapenzi mikono mimba na ndimi ngono ni pamoja punyeto. salama tahadhari ukeni ukeni. ukimwi. uume virusi vitendo vya wa wasiwasi ya yale yanaweza yanayofanyika zinaa zinatumika. zisizotarajiwa wiki
Mapenzi salama ni yale yanayofanyika bila wasiwasi wa kupata mimba zisizotarajiwa, magonjwa ya zinaa pamoja na maambukizi ya virusi vya UKIMWI. Mapenzi salama yanaweza kuwa ni vitendo vya kumaliza hamu bila uume kuingizwa ukeni. Ngono ya kuingiza uume ukeni inaweza kuwa ngono salama kama tahadhari husika zinatumika.
Vitendo vya kumaliza hamu bila kujamiiana ni kupiga busu, kukumbatia, kunyonyana ndimi, kushikana mikono na kupiga punyeto. Matendo haya yote ni salama kabisa kuhusiana na mimba zisizotarajiwa na maambukizi ya virusi vya UKIMWI.
Ili kuhakikisha mnafanya mapenzi salama wakati mnahusisha mwingiliano kati ya uume na uke, lazima mchukue tahadhari. Tahadhari mojawapo ni uaminifu katika mapenzi, kwa maana wewe uwe mwaminifu na yeye awe mwaminifu. Lakini pia inabidi muwe na uhakika kwamba wote wawili hamjaambukizwa magonjwa wakati mnapojamiiana kwa mara ya kwanza. Tahadhari nyingine ni kutumia kondomu. Kondomu inazuia mimba pamoja na magonjwa ya zinaa. Kuwa mwaminifu pekee yake haitoshi kama mmoja wenu au wote wawili mliwahi kujihusisha na uhusiano wa kimapenzi ambao haukuwa salama. Kama kweli mnataka kuwa upande wa uhakika wote ni vyema kwenda kupima Virusi vya Ukimwi kwa hiari… soma zaidi
Tagsπ bila busu hamu husika inaweza kama kuingiza kuingizwa kujamiiana kukumbatia kumaliza kunyonyana kupata kupiga kushikana kuwa maambukizi magonjwa mapenzi mikono mimba na ndimi ngono ni pamoja punyeto. salama tahadhari ukeni ukeni. ukimwi. uume virusi vitendo vya wa wasiwasi ya yale yanaweza yanayofanyika zinaa zinatumika. zisizotarajiwa wiki
Mapenzi salama ni yale yanayofanyika bila wasiwasi wa kupata mimba zisizotarajiwa, magonjwa ya zinaa pamoja na maambukizi ya virusi vya UKIMWI. Mapenzi salama yanaweza kuwa ni vitendo vya kumaliza hamu bila uume kuingizwa ukeni. Ngono ya kuingiza uume ukeni inaweza kuwa ngono salama kama tahadhari husika zinatumika.
Vitendo vya kumaliza hamu bila kujamiiana ni kupiga busu, kukumbatia, kunyonyana ndimi, kushikana mikono na kupiga punyeto. Matendo haya yote ni salama kabisa kuhusiana na mimba zisizotarajiwa na maambukizi ya virusi vya UKIMWI.
Ili kuhakikisha mnafanya mapenzi salama wakati mnahusisha mwingiliano kati ya uume na uke, lazima mchukue tahadhari. Tahadhari mojawapo ni uaminifu katika mapenzi, kwa maana wewe uwe mwaminifu na yeye awe mwaminifu. Lakini pia inabidi muwe na uhakika kwamba wote wawili hamjaambukizwa magonjwa wakati mnapojamiiana kwa mara ya kwanza. Tahadhari nyingine ni kutumia kondomu. Kondomu inazuia mimba pamoja na magonjwa ya zinaa. Kuwa mwaminifu pekee yake haitoshi kama mmoja wenu au wote wawili mliwahi kujihusisha na uhusiano wa kimapenzi ambao haukuwa salama. Kama kweli mnataka kuwa upande wa uhakika wote ni vyema kwenda kupima Virusi vya Ukimwi kwa hiari… soma zaidi
Mapishi ya tambi za mayai
Tagsπ mapishinalishe
Tagsπ mapishinalishe
- Tambi Β½ paketi
- Vitunguu maji 2 vikubwa
- Karoti 1
- Hoho 1
- Vitunguu swaumu(kata vipande vidogo) kijiko 1 cha chakula
- Carry powder kijiko 1 cha chai
- Njegere zilizochemshwa Β½ kikombe
- Mafuta kwa kiasi upendacho
- Mayai 2
- Chumvi kwa ladha upendayo.. soma zaidi
Jinsi ya Kulima pilipili hoho
Tagsπ (lushoto) 0.2-0.4 2-20. amerika annum. arusha. asili bara bora capsicum cha hao hapa hekta hiki hili hilo hiyo. hoho hujishughulisha hulimwa iringa jina jinsi kampuni kati katika kilimo kinaendeshwa kitalaamu kulima kuna kusini. kwa la maeneo mbeya mikoa mkataba na nchini ni njia pia pili pilipili ruvuma tabora tagi: tanga ukubwa wa wadogo wakubwa wakulima wenye ya yenye zao wiki
KILIMO BORA CHA PILIPILI HOHO
Jina la kitalaamu la PILI PILI HOHO ni Capsicum annum. Asili ya zao hili ni bara la Amerika ya Kusini. Hapa nchini zao hili hulimwa katika mikoa ya Iringa, Tanga (Lushoto), Mbeya, Ruvuma, Tabora na Arusha. Kilimo hiki kinaendeshwa na wakulima wadogo katika maeneo yenye ukubwa wa kati ya hekta 0.2-0.4 pia kuna maeneo ya wakulima wakubwa wenye hekta kati ya 2-20. Wakulima hao hujishughulisha na kilimo cha zao hilo kwa njia ya mkataba na kampuni hiyo… soma zaidi
Tagsπ (lushoto) 0.2-0.4 2-20. amerika annum. arusha. asili bara bora capsicum cha hao hapa hekta hiki hili hilo hiyo. hoho hujishughulisha hulimwa iringa jina jinsi kampuni kati katika kilimo kinaendeshwa kitalaamu kulima kuna kusini. kwa la maeneo mbeya mikoa mkataba na nchini ni njia pia pili pilipili ruvuma tabora tagi: tanga ukubwa wa wadogo wakubwa wakulima wenye ya yenye zao wiki
KILIMO BORA CHA PILIPILI HOHO
Jina la kitalaamu la PILI PILI HOHO ni Capsicum annum. Asili ya zao hili ni bara la Amerika ya Kusini. Hapa nchini zao hili hulimwa katika mikoa ya Iringa, Tanga (Lushoto), Mbeya, Ruvuma, Tabora na Arusha. Kilimo hiki kinaendeshwa na wakulima wadogo katika maeneo yenye ukubwa wa kati ya hekta 0.2-0.4 pia kuna maeneo ya wakulima wakubwa wenye hekta kati ya 2-20. Wakulima hao hujishughulisha na kilimo cha zao hilo kwa njia ya mkataba na kampuni hiyo… soma zaidi