VIDEO-KWA-VIJANA
This is the Redirect module that redirects the browser directly to the "http://www.ackyshine.com/videos" page.
VIDEO-KWA-VIJANA
By, Melkisedeck Shine.
Tags ๐ maajabu wanyama. Category ๐videos,: maajabu wanyama, Huyu mbuzi atakua kafantaje? cheki huyu jamaa anachoufanyia, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ ajali maajabu ndege. Category ๐videos,: ajali maajabu ndege, Cheki hii ndege ilivyowaka, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ mjusi wanyama. Category ๐videos,: mjusi wanyama, Angalia huyu mjusi anavyojivua gamba, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Duh usingizi ni noma, cheki huyu anavyosinzia, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Kweli bangi sio kitu cha kucheza, angalia ilivyomtuma huyu, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Huyu mwizi kaiba na yeye kaibiwa. Hapa mjanja ni nani?, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ chui wanyama. Category ๐videos,: chui wanyama, Cheki chui wakipiga wao kwa wao kinachotokea, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ maajabu simba wanyama. Category ๐videos,: maajabu simba wanyama, Cheki huyu simba anachokifanya, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ ngumi vichekesho. Category ๐videos,: ngumi vichekesho, Hizi ngumi ni balaa, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ michezo vichekesho. Category ๐videos,: michezo vichekesho, Hii chenza nyingine ya muziki ni ya kiajabu, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Huyu jamaa alikua anaokoa yai moja kaishia kupasua yote, tatizo mawenge, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ chui vichekesho wanyama. Category ๐videos,: chui vichekesho wanyama, Kilichotokea baada ya chui wa maonyesho kuvunja banda, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Huyu mama mziki umemkolea, angalia anachofanya, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ gari maajabu. Category ๐videos,: gari maajabu, Huyu dereva kwa kona hii aliyokata kweli ni mtaalamu, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ nyumbu simba wanyama. Category ๐videos,: nyumbu simba wanyama, Michezo ya simba na nyumbu, kimbiza nikukimbize, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Huu ulaji wa huyu ni noma, hata kama ni uroho huyu kazidi, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ maajabu simba wanyama. Category ๐videos,: maajabu simba wanyama, Ufugaji wa simba huu sasa, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Angalia huyu ng'ombe alichowafanyia hawa watoto waliotaka kumgeuza punda, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Mcheki huyu dada, mbwembwe na maringo vimemponza, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ gari michezo. Category ๐videos,: gari michezo, Mashindano ya magari ya hatari, ๐Angalia video hapa
.
.
Endelea kuperuzi;-๐
๐ฌ VIDEO-KWA-WAZEEโ
๐ฌ VIDEO-ZA-WANAWAKEโ
๐ฌ VIDEO-ZA-WANAUMEโ
๐ฌ VIDEO-ZA-WAKUBWAโ
๐ฌ VIDEO-ZA-VIJANAโ
๐ฌ VIDEOโ
๐ฌ VIDEOSโ
๐ฌ Pale unaposhindwa zoeziโ
๐ฌ Angalia huyu mwizi wa kondooโ
๐ฌ Fisi wanafanya yaoโ
๐ฌ Angalia hii sigara ya ajabuโ
๐ฌ Utaalamu wa kufunga taiโ
๐ฌ Makomando wakifanya yaoโ
Kwa nini Albino wanawekwa katika kundi la watu wenye ulemavu?
Tags๐ ajili akili albino ambao asiweze au dalili fulani hasa hawaoni hitilafu hutofautiana inayomwekea kama karibu katika kuanzia kufanikisha kundi kuona kutokuwa kutokuweza kwa la maana maisha mawingumawingu. mbali mipaka mtu mwili na ni nini shughuli tanzania ulemavu ulemavu? uwezo vizuri vizuri. wa wale wanashindwa wanatambuliwa wanawekwa wao wasioweza watu wenye ya yake yake. za wiki
Ulemavu maana yake ni hitilafu katika mwili au akili inayomwekea
mipaka mtu asiweze kufanikisha shughuli fulani katika maisha
yake. Albino wanatambuliwa kama watu wenye ulemavu Tanzania
hasa kwa ajili ya uwezo wao wa kutokuweza kuona vizuri. Dalili
za kutokuwa na uwezo wa kuona hutofautiana kuanzia wale
ambao hawaoni karibu, wasioweza kuona mbali na wale ambao
wanashindwa kuona vizuri au kuona mawingumawingu… soma zaidi
Tags๐ ajili akili albino ambao asiweze au dalili fulani hasa hawaoni hitilafu hutofautiana inayomwekea kama karibu katika kuanzia kufanikisha kundi kuona kutokuwa kutokuweza kwa la maana maisha mawingumawingu. mbali mipaka mtu mwili na ni nini shughuli tanzania ulemavu ulemavu? uwezo vizuri vizuri. wa wale wanashindwa wanatambuliwa wanawekwa wao wasioweza watu wenye ya yake yake. za wiki
Ulemavu maana yake ni hitilafu katika mwili au akili inayomwekea
mipaka mtu asiweze kufanikisha shughuli fulani katika maisha
yake. Albino wanatambuliwa kama watu wenye ulemavu Tanzania
hasa kwa ajili ya uwezo wao wa kutokuweza kuona vizuri. Dalili
za kutokuwa na uwezo wa kuona hutofautiana kuanzia wale
ambao hawaoni karibu, wasioweza kuona mbali na wale ambao
wanashindwa kuona vizuri au kuona mawingumawingu… soma zaidi
Watu 14 wauawa kwa risasi Marekani
Tags๐ 14 kwa marekani risasi watu wauawa habari
Polisi nchini Marekani imesema takriban watu 14 wameuawa na wengine 14 kujeruhiwa baada ya kupigwa risasi na watu wenye silaha katika mji wa San Bernadino mashariki mwa Los Angeles. Tukio hilo imetokea kwenye kituo cha huduma kwa watu wenye ulemavu na inawezekana lilihusisha watu watatu wenye silaha waliovalia kijeshi ambao wametoroka kwa gari… soma zaidi
Tags๐ 14 kwa marekani risasi watu wauawa habari
Polisi nchini Marekani imesema takriban watu 14 wameuawa na wengine 14 kujeruhiwa baada ya kupigwa risasi na watu wenye silaha katika mji wa San Bernadino mashariki mwa Los Angeles. Tukio hilo imetokea kwenye kituo cha huduma kwa watu wenye ulemavu na inawezekana lilihusisha watu watatu wenye silaha waliovalia kijeshi ambao wametoroka kwa gari… soma zaidi
Utani lakini umeelewa!!!
Tags๐ mahusiano
Mdada mmoja alitaka kujua kiasi gani
anapendwa na mume wake, hivyo akataka kujua
mumewe atafanya nini endapo ataamua
kuondoka na kumuacha!
Mwanamke huyo akaamua kuandika barua
inayosema "Samahani mume wangu, nimeamua
kuondoka na kwenda kuanza maisha mapya
mbali na wewe".. soma zaidi
Tags๐ mahusiano
Mdada mmoja alitaka kujua kiasi gani
anapendwa na mume wake, hivyo akataka kujua
mumewe atafanya nini endapo ataamua
kuondoka na kumuacha!
Mwanamke huyo akaamua kuandika barua
inayosema "Samahani mume wangu, nimeamua
kuondoka na kwenda kuanza maisha mapya
mbali na wewe".. soma zaidi
Je, watumiaji wa dawa za kulevya wanaweza kupata watoto?
Tags๐ wiki
Ndiyo, hii i ii inawezekana. Lakini ujue kwamba watu wanaotumia dawa za kulevya huwa dhaifu kisaikolojia na kiumbile kwa maana hiyo wanaweza wasiwe katika hali nzuri ya kupata watoto. Hawajali afya zao. Wanakosa hisia na hutumia muda mwingi kushiriki katika matumizi ya dawa za kulevya; pia hutumia fedha nyingi. Haya si mazingira mazuri ya kulea watoto… soma zaidi
Tags๐ wiki
Ndiyo, hii i ii inawezekana. Lakini ujue kwamba watu wanaotumia dawa za kulevya huwa dhaifu kisaikolojia na kiumbile kwa maana hiyo wanaweza wasiwe katika hali nzuri ya kupata watoto. Hawajali afya zao. Wanakosa hisia na hutumia muda mwingi kushiriki katika matumizi ya dawa za kulevya; pia hutumia fedha nyingi. Haya si mazingira mazuri ya kulea watoto… soma zaidi
Vyakula vya kukusaidia kupunguza uzito
Tags๐ afya mapishinalishe
Kuchagua vyakula sahihi kwa mlo wako inaweza kuwa changamoto na tungependa kuamini kwamba kupungua uzito ni jambo tu la kula kalori chache na kufanya mazoezi zaidi . Hata hivyo, si mara zote zoezi hili linakuwa rahisi. Kama ni lengo lako kupunguza uzito, kuchagua chakula gani ule ni muhimu kama kuchagua kiasi gani cha chakula ule… soma zaidi
Tags๐ afya mapishinalishe
Kuchagua vyakula sahihi kwa mlo wako inaweza kuwa changamoto na tungependa kuamini kwamba kupungua uzito ni jambo tu la kula kalori chache na kufanya mazoezi zaidi . Hata hivyo, si mara zote zoezi hili linakuwa rahisi. Kama ni lengo lako kupunguza uzito, kuchagua chakula gani ule ni muhimu kama kuchagua kiasi gani cha chakula ule… soma zaidi
Jinsi ya kutumia kondomu ya kike
Tags๐ jinsi kike kondomu kutumia ya wiki
Kondomu ya kike inafahamika kwa jina la โcareโ na โLady Petetaโ. Hapa Tanzania hazipatikani sehemu zote na bei yake ni kubwa kidogo.
Kondomu ya kike huingizwa ukeni kabla ya kujamiiana. Kama unatumia kondomu ya kike, chana kwa uangalifu pembezoni mwa pakiti. Kondomu ina pete mbili za plastiki na uwazi upande wa juu. Pete moja imelegea ni ndogo na iko kwa ndani, upande usio na uwazi. Pete ya pili ni kubwa zaidi, imeshikiliwa na iko upande wa tundu. Shikilia kondomu upande uliozibwa na minya pete ya ndani kwa dole gumba na kidole cha pili na cha kati. Mara nyingine inaweza ikakuponyoka, (kuteleza) lakini endelea kujaribu hadi umeiminya vizuri. Tafuta mkao mzuri na ingiza kondomu ya kike. Huku bado unaminya kwa vidole vyako iongoze kondomu ndani ya uke wako. Ukiiachia pete ya ndani itashikilia kondomu ndani ya uke. Sasa ingiza kidole chako kwenye kondomu, sukuma pete mpaka inapogota kwenye mlango wa uzazi.
Kondomu ya kike inaweza kuvaliwa saa kadhaa kabla ya kufanya ngono na pia inaweza kuvuliwa baada ya muda wa kufanyika ngono kupita. Ili kuhakikisha kuwa uume umeingia sehemu husika, msaidie mwenzi wako kuongoza uume kuingia kwenye uke ili usipenye pembeni.
Baada ya kujamiiana, vua kondomu kwa uangalifu. Tupa kondomu iliyotumika kwenye choo cha shimo au uichome. Usitupe kondomu iliyotumika ovyo.
Kama ilivyo kwa kondomu ya kiume, kondomu ya kike itatumika kwa mafanikio zaidi pale ambapo wahusikia wanakuwa na makubaliano na maelewano juu ya matumizi yake… soma zaidi
Tags๐ jinsi kike kondomu kutumia ya wiki
Kondomu ya kike inafahamika kwa jina la โcareโ na โLady Petetaโ. Hapa Tanzania hazipatikani sehemu zote na bei yake ni kubwa kidogo.
Kondomu ya kike huingizwa ukeni kabla ya kujamiiana. Kama unatumia kondomu ya kike, chana kwa uangalifu pembezoni mwa pakiti. Kondomu ina pete mbili za plastiki na uwazi upande wa juu. Pete moja imelegea ni ndogo na iko kwa ndani, upande usio na uwazi. Pete ya pili ni kubwa zaidi, imeshikiliwa na iko upande wa tundu. Shikilia kondomu upande uliozibwa na minya pete ya ndani kwa dole gumba na kidole cha pili na cha kati. Mara nyingine inaweza ikakuponyoka, (kuteleza) lakini endelea kujaribu hadi umeiminya vizuri. Tafuta mkao mzuri na ingiza kondomu ya kike. Huku bado unaminya kwa vidole vyako iongoze kondomu ndani ya uke wako. Ukiiachia pete ya ndani itashikilia kondomu ndani ya uke. Sasa ingiza kidole chako kwenye kondomu, sukuma pete mpaka inapogota kwenye mlango wa uzazi.
Kondomu ya kike inaweza kuvaliwa saa kadhaa kabla ya kufanya ngono na pia inaweza kuvuliwa baada ya muda wa kufanyika ngono kupita. Ili kuhakikisha kuwa uume umeingia sehemu husika, msaidie mwenzi wako kuongoza uume kuingia kwenye uke ili usipenye pembeni.
Baada ya kujamiiana, vua kondomu kwa uangalifu. Tupa kondomu iliyotumika kwenye choo cha shimo au uichome. Usitupe kondomu iliyotumika ovyo.
Kama ilivyo kwa kondomu ya kiume, kondomu ya kike itatumika kwa mafanikio zaidi pale ambapo wahusikia wanakuwa na makubaliano na maelewano juu ya matumizi yake… soma zaidi
Mtoa huduma wa afya anaweza kukataa kutibu?
Tags๐ afya ama amua anakataa anashikilia anaweza au basi haki hilo huduma iwapo jambo jaribu kama kijana kuhusu kukataa kukutibu kukutibu. kumtibu. kutibiwa kutibu? kutokutibu kuzungumza kwa lako. mhudumu mkubwa mtoa mtu mwingine na naye sababu sawa siyo tatizo uamuzi umuulize una unatafuta vile wa wake wewe ya yeye yoyote. za zungumza wiki
Siyo haki kwa mtoa huduma wa afya kukataa kumtibu.
Kama kijana, una haki sawa ya kutibiwa kama vile mtu yoyote.
Iwapo mtoa huduma anakataa kukutibu wewe, jaribu kuzungumza
naye kuhusu jambo hilo na umuulize sababu za kukataa kukutibu.
Iwapo yeye anashikilia uamuzi wa kutokutibu basi amua ama
unatafuta mhudumu mwingine au zungumza na mkubwa wake
kuhusu tatizo lako. Ni jambo la maana kuzungumza na rafiki
yako au mwone mtu unayemwamini akusaidie kutatua tatizo
lako… soma zaidi
Tags๐ afya ama amua anakataa anashikilia anaweza au basi haki hilo huduma iwapo jambo jaribu kama kijana kuhusu kukataa kukutibu kukutibu. kumtibu. kutibiwa kutibu? kutokutibu kuzungumza kwa lako. mhudumu mkubwa mtoa mtu mwingine na naye sababu sawa siyo tatizo uamuzi umuulize una unatafuta vile wa wake wewe ya yeye yoyote. za zungumza wiki
Siyo haki kwa mtoa huduma wa afya kukataa kumtibu.
Kama kijana, una haki sawa ya kutibiwa kama vile mtu yoyote.
Iwapo mtoa huduma anakataa kukutibu wewe, jaribu kuzungumza
naye kuhusu jambo hilo na umuulize sababu za kukataa kukutibu.
Iwapo yeye anashikilia uamuzi wa kutokutibu basi amua ama
unatafuta mhudumu mwingine au zungumza na mkubwa wake
kuhusu tatizo lako. Ni jambo la maana kuzungumza na rafiki
yako au mwone mtu unayemwamini akusaidie kutatua tatizo
lako… soma zaidi
Jinsi ya kulima mazao ya mikunde na nafaka
Tags๐ 1. 1.5 1.8 120 aina: hadi ina inakomaa jamii jumla. m mapema mbegu mikunde: mtama: na nafaka ni nyeupe. sifa siku tegemeo. urefu was ya za zake โข wiki
Yafuatayo ni maelezo ya jinsi ya kulima mazao ya mikunde na nafaka.. soma zaidi
Tags๐ 1. 1.5 1.8 120 aina: hadi ina inakomaa jamii jumla. m mapema mbegu mikunde: mtama: na nafaka ni nyeupe. sifa siku tegemeo. urefu was ya za zake โข wiki
Yafuatayo ni maelezo ya jinsi ya kulima mazao ya mikunde na nafaka.. soma zaidi
Misingi 6 ya kuwa na Amani na Furaha katika Maisha
Tags๐ mahusiano
HII NI MISINGI 6 YA KUWA AMANI NA FURAHA KATIKA MAISHA:.. soma zaidi
Tags๐ mahusiano
HII NI MISINGI 6 YA KUWA AMANI NA FURAHA KATIKA MAISHA:.. soma zaidi
Vyakula visivyotakiwa kipindi cha ujauzito
Tags๐ afya mapishinalishe
Ili mtoto azaliwe akiwa na afya njema pamoja na akili timamu, akiwa tumboni lazima alishwe lishe bora na mlo sahihi. Mwenye jukumu la kutoa lishe bora na sahihi kwa kiumbe kilichomo tumboni ni mama. Anatakiwa kujua aina ya vyakula anavyopaswa kula. Vivyo hivyo, anatakiwa kujua aina ya vyakula vya kuviepuka… soma zaidi
Tags๐ afya mapishinalishe
Ili mtoto azaliwe akiwa na afya njema pamoja na akili timamu, akiwa tumboni lazima alishwe lishe bora na mlo sahihi. Mwenye jukumu la kutoa lishe bora na sahihi kwa kiumbe kilichomo tumboni ni mama. Anatakiwa kujua aina ya vyakula anavyopaswa kula. Vivyo hivyo, anatakiwa kujua aina ya vyakula vya kuviepuka… soma zaidi
Tiba kwa kutumia maji
Tags๐ mapishinalishe
โญTiba kwa kutumia majiโญ
๐ง๐ง๐ง๐ง๐ง๐ง๐ง๐ง๐ง.. soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
โญTiba kwa kutumia majiโญ
๐ง๐ง๐ง๐ง๐ง๐ง๐ง๐ง๐ง.. soma zaidi
Jinsi ya kufanya nyuki waingie kwenye mzinga mpya
Tags๐ kilimonaufugaji
Ukitaka kuwavutia na kuingiza nyiki kwenye mzinga unatakiwa kufanya yafuatayo;.. soma zaidi
Tags๐ kilimonaufugaji
Ukitaka kuwavutia na kuingiza nyiki kwenye mzinga unatakiwa kufanya yafuatayo;.. soma zaidi
Mambo 6 ambayo ni siri ya mwanamke na sio rahisi kukwambia
Tags๐ mahusiano
Wanaume wengi hupenda kujua wao ni wangapi kuwa na mwanamke Fulani. Lakini mwanamke kamwe hawezi akakwambia wewe ni wa ngapi. Kumuuliza jambo hili kunamkera sana mwanamke na ndio maana mara nyingi hawezi akakwambia ukweli… soma zaidi
Tags๐ mahusiano
Wanaume wengi hupenda kujua wao ni wangapi kuwa na mwanamke Fulani. Lakini mwanamke kamwe hawezi akakwambia wewe ni wa ngapi. Kumuuliza jambo hili kunamkera sana mwanamke na ndio maana mara nyingi hawezi akakwambia ukweli… soma zaidi
Sababu, dalili, matibabu na kinga ya fangasi sehemu za siri kwa mwanamke
Tags๐ afya mapishinalishe
Fangasi ya ukeni husababishwa na fangasi aina ya Candida albicans. Ugonjwa huu huitwa vaginal candidiasis kwa kiingereza na ni kati ya magonjwa ambayo husumbua wanawake mara kwa mara… soma zaidi
Tags๐ afya mapishinalishe
Fangasi ya ukeni husababishwa na fangasi aina ya Candida albicans. Ugonjwa huu huitwa vaginal candidiasis kwa kiingereza na ni kati ya magonjwa ambayo husumbua wanawake mara kwa mara… soma zaidi
Nani anavalisha kondomu ya kiume, je ni mwanamke au mwanaume?
Tags๐ anavalisha au je kiume kondomu mwanamke mwanaume? nani ni ya wiki
Katika kufanya mapenzi iwe mwanaume anayeweka kondomu uumeni au iwe mwanamke anayeshugulika kuweka kondomu hii , itategemea na makubaliano ya hao wanaohusika. Wote wawili wanaweza kuivalisha , na pia wote wawili wanaweza kuinunua dukani… soma zaidi
Tags๐ anavalisha au je kiume kondomu mwanamke mwanaume? nani ni ya wiki
Katika kufanya mapenzi iwe mwanaume anayeweka kondomu uumeni au iwe mwanamke anayeshugulika kuweka kondomu hii , itategemea na makubaliano ya hao wanaohusika. Wote wawili wanaweza kuivalisha , na pia wote wawili wanaweza kuinunua dukani… soma zaidi
Jinsi ya kupika Mishkaki ya kuku
Tags๐ mapishinalishe
Kidali cha kuku 1 kikubwa
Swaum,tangawizi 1 kijiko cha chai
Limao 1/2
Pilipili ya unga 1/2 kijiko cha chai
Curry powder 1/2 kijiko
Paprika 1/2 kijiko cha chai
Hoho jekundu 1/2
Hoho la njano 1/2
Kitunguu 1/2
Chumvi
Olive oil.. soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Kidali cha kuku 1 kikubwa
Swaum,tangawizi 1 kijiko cha chai
Limao 1/2
Pilipili ya unga 1/2 kijiko cha chai
Curry powder 1/2 kijiko
Paprika 1/2 kijiko cha chai
Hoho jekundu 1/2
Hoho la njano 1/2
Kitunguu 1/2
Chumvi
Olive oil.. soma zaidi
Urusi yashambulia Islamic State
Tags๐ dhidi hewani ikiwa imesema imetekeleza islamic kali kufikia kuwa maeneo mashambulizi miongoni mwa na nchini ni sasa. shambulio state syria tagi: urusi wa wapiganaji ya yake yanayokaliwa yashambulia zaidi habari
Urusi imesema kuwa imetekeleza shambulio kali zaidi dhidi ya maeneo yanayokaliwa na wapiganaji wa Islamic State nchini Syria,ikiwa ni miongoni mwa mashambulizi yake ya hewani kufikia sasa.
Waziri wa ulinzi Sergei Shoigu,amethibitisha ripoti za Ufaransa na Marekani kwamba Moscow ilitumia mabomu ya masafa marefu na makombora .
Amesema kuwa ndege hiyo ilirusha makombora katika maeneo ya wapiganaji hao mjini Raqqa,ambao ndio ngome kuu ya wapiganaji hao na Deir ez Zor mashariki mwa Syria,huku mabomu yakilenga Kaskazini.
Awali rais Vladmir Putin alionya mashambulizi makali dhidi ya IS,kufuatia thibitisho kwamba ndege ya Urusi ilioanguka nchini Misri mwezi uliopita ilisababishwa na shambulizi la kigaidi.
Maafisa wa Urusi wanasema kuwa chembechembe za vilipuzi zilionekana katika mabaki ya ndege hiyo aina Airbus.
Abiria wote 224 walioabiri ndege hiyo ,wengi wao wakiwa watalii wa Urusi waliuawa.
Kundi la Islamic State limethibitisha kutekeleza shambulio hilo… soma zaidi
Tags๐ dhidi hewani ikiwa imesema imetekeleza islamic kali kufikia kuwa maeneo mashambulizi miongoni mwa na nchini ni sasa. shambulio state syria tagi: urusi wa wapiganaji ya yake yanayokaliwa yashambulia zaidi habari
Urusi imesema kuwa imetekeleza shambulio kali zaidi dhidi ya maeneo yanayokaliwa na wapiganaji wa Islamic State nchini Syria,ikiwa ni miongoni mwa mashambulizi yake ya hewani kufikia sasa.
Waziri wa ulinzi Sergei Shoigu,amethibitisha ripoti za Ufaransa na Marekani kwamba Moscow ilitumia mabomu ya masafa marefu na makombora .
Amesema kuwa ndege hiyo ilirusha makombora katika maeneo ya wapiganaji hao mjini Raqqa,ambao ndio ngome kuu ya wapiganaji hao na Deir ez Zor mashariki mwa Syria,huku mabomu yakilenga Kaskazini.
Awali rais Vladmir Putin alionya mashambulizi makali dhidi ya IS,kufuatia thibitisho kwamba ndege ya Urusi ilioanguka nchini Misri mwezi uliopita ilisababishwa na shambulizi la kigaidi.
Maafisa wa Urusi wanasema kuwa chembechembe za vilipuzi zilionekana katika mabaki ya ndege hiyo aina Airbus.
Abiria wote 224 walioabiri ndege hiyo ,wengi wao wakiwa watalii wa Urusi waliuawa.
Kundi la Islamic State limethibitisha kutekeleza shambulio hilo… soma zaidi
Mapishi ya Ugali Kwa Mchuzi Wa Kamba Wa Nazi, Kisamvu Na Kachumbari Ya Papa Mkavu
Tags๐ mapishinalishe
Maji - 4 vikombe kiasi inategemea na unga wenyewe… soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Maji - 4 vikombe kiasi inategemea na unga wenyewe… soma zaidi
MAGONJWA YA NJIA YA MKOJO KWA MSICHANA, UTI KWA MSICHANA
Tags๐ 60% duniani figo habari hawana haya haya. hupata huwapata inakadiliwa kati kuanzia kumi kutosha kuwa kwa magonjwa mara matatizo mfumo mkojo msichana na ni njia rika tagi: takribani vichanga vikongwe. wa wanaopata wanaume wanawake wasichana watu wazima wengi ya yanayowasumbua za zaidi zote wiki
Magonjwa ya mfumo wa njia ya mkojo na figo ni kati ya magonjwa yanayowasumbua wanawake wa rika zote kuanzia vichanga, wasichana, wanawake watu wazima na vikongwe. Matatizo haya huwapata wanawake takribani mara kumi zaidi ya wanaume na inakadiliwa kuwa takribani 60% ya wanawake duniani hupata matatizo haya.
Wanawake wengi wanaopata matatizo haya ya njia ya mkojo, hawana habari za kutosha na sahihi juu ya kinga na vyanzo vya matatizo haya yanayowasumbua mamilioni ya wanawake duniani. Hii huwafanya wengi wachelewe kupata huduma za matibau haraka na kwa usahihi, jambo ambalo huambatana na athari nyingi za kiafya na kiuchumi kwa wanawake na familia zao… soma zaidi
Tags๐ 60% duniani figo habari hawana haya haya. hupata huwapata inakadiliwa kati kuanzia kumi kutosha kuwa kwa magonjwa mara matatizo mfumo mkojo msichana na ni njia rika tagi: takribani vichanga vikongwe. wa wanaopata wanaume wanawake wasichana watu wazima wengi ya yanayowasumbua za zaidi zote wiki
Magonjwa ya mfumo wa njia ya mkojo na figo ni kati ya magonjwa yanayowasumbua wanawake wa rika zote kuanzia vichanga, wasichana, wanawake watu wazima na vikongwe. Matatizo haya huwapata wanawake takribani mara kumi zaidi ya wanaume na inakadiliwa kuwa takribani 60% ya wanawake duniani hupata matatizo haya.
Wanawake wengi wanaopata matatizo haya ya njia ya mkojo, hawana habari za kutosha na sahihi juu ya kinga na vyanzo vya matatizo haya yanayowasumbua mamilioni ya wanawake duniani. Hii huwafanya wengi wachelewe kupata huduma za matibau haraka na kwa usahihi, jambo ambalo huambatana na athari nyingi za kiafya na kiuchumi kwa wanawake na familia zao… soma zaidi
Haki za ujinsia na afya ya uzazi zinamhusu pia mtu anayeishi na ualbino?
Tags๐ afya anayeishi binadamu dhahiri haki haki. hasa haya hizi hizi: husika. inayokubaliana kama katika kimataifa kuanzia kuheshimiwa kuthaminiwa mataifa matamko mikataba msingi; mtu muhimu na nchi ni pia sheria siku ualbino? ujinsia ulimwenguni unayozaliwa. uzazi wote ya yameridhia yote za ziko zile zinamhusu zinawahusu zinazohusiana wiki
Haki za msingi; hasa zile zinazohusiana na kuthaminiwa na
kuheshimiwa kama binadamu zinawahusu binadamu wote
kuanzia siku unayozaliwa. Mataifa yote Ulimwenguni yameridhia
mikataba ya Kimataifa inayokubaliana na matamko haya ya
haki. Haki hizi ziko dhahiri katika sheria za nchi husika. Haki
muhimu za ujinsia na afya ya uzazi ni hizi:
โข Kupata habari juu ya ujinsia na mada zinazohusu afya ya
uzazi.
โข Mwanamke au mwanaume kuamua kwa uhuru na kuwajibika,
kama anataka kujamiiana lini na mtu gani… soma zaidi
Tags๐ afya anayeishi binadamu dhahiri haki haki. hasa haya hizi hizi: husika. inayokubaliana kama katika kimataifa kuanzia kuheshimiwa kuthaminiwa mataifa matamko mikataba msingi; mtu muhimu na nchi ni pia sheria siku ualbino? ujinsia ulimwenguni unayozaliwa. uzazi wote ya yameridhia yote za ziko zile zinamhusu zinawahusu zinazohusiana wiki
Haki za msingi; hasa zile zinazohusiana na kuthaminiwa na
kuheshimiwa kama binadamu zinawahusu binadamu wote
kuanzia siku unayozaliwa. Mataifa yote Ulimwenguni yameridhia
mikataba ya Kimataifa inayokubaliana na matamko haya ya
haki. Haki hizi ziko dhahiri katika sheria za nchi husika. Haki
muhimu za ujinsia na afya ya uzazi ni hizi:
โข Kupata habari juu ya ujinsia na mada zinazohusu afya ya
uzazi.
โข Mwanamke au mwanaume kuamua kwa uhuru na kuwajibika,
kama anataka kujamiiana lini na mtu gani… soma zaidi
Nifanye nini nikipata hamu ya kujamiiana?
Tags๐ wiki
Unapofikia ujana unaanza kuwa na hisia za upendo na kujisikia kupata mvuto au msisimko ambao sio wa kawaida. Jambo hili ni la kawaida kwa kijana yeyote anayekua. Ni dalili zinazoonyesha kwamba sasa unaingia utu uzima… soma zaidi
Tags๐ wiki
Unapofikia ujana unaanza kuwa na hisia za upendo na kujisikia kupata mvuto au msisimko ambao sio wa kawaida. Jambo hili ni la kawaida kwa kijana yeyote anayekua. Ni dalili zinazoonyesha kwamba sasa unaingia utu uzima… soma zaidi
Je, ni kweli kwamba kufanya ngono na bikira inaponyesha maambukizi?
Tags๐ wiki
Hapana, huwezi kupona Virusi vya UKIMWI au UKIMWI kwa kufanya ngono na bikira. Hakuna tiba ya maambukizi ya Virusi vya UKIMWI!
Pamoja na hayo, kama utakuwa na maambukizi ya magonjwa ya ngono, utaweka afya ya huyo bikira katika hatari kama ngono hiyo i tafanyika bila kinga… soma zaidi
Tags๐ wiki
Hapana, huwezi kupona Virusi vya UKIMWI au UKIMWI kwa kufanya ngono na bikira. Hakuna tiba ya maambukizi ya Virusi vya UKIMWI!
Pamoja na hayo, kama utakuwa na maambukizi ya magonjwa ya ngono, utaweka afya ya huyo bikira katika hatari kama ngono hiyo i tafanyika bila kinga… soma zaidi
Je, mvulana afanye nini ili kuzuia ndoto nyevu?
Tags๐ wiki
Ndoto nyevu ni kitu kinachowatokea vijana wakiwa usingizini. Haiwezekani kuzuiwa kwa sababu uko usingizini, lakini labda ingekuwa vizuri wewe kujiuliza kwa nini unataka kuzuia jambo hili, haswa ukizingatia kwamba ndoto nyevu hazidhuru afya yako kabisa na kwamba ni dalili kuwa sasa unakuwa mtu mzima, yaani mwanaume… soma zaidi
Tags๐ wiki
Ndoto nyevu ni kitu kinachowatokea vijana wakiwa usingizini. Haiwezekani kuzuiwa kwa sababu uko usingizini, lakini labda ingekuwa vizuri wewe kujiuliza kwa nini unataka kuzuia jambo hili, haswa ukizingatia kwamba ndoto nyevu hazidhuru afya yako kabisa na kwamba ni dalili kuwa sasa unakuwa mtu mzima, yaani mwanaume… soma zaidi
Faida za kula Tende kiafya
Tags๐ afya mapishinalishe
Zifutazo ni faida zitokanazo na ulaji wa tende;.. soma zaidi
Tags๐ afya mapishinalishe
Zifutazo ni faida zitokanazo na ulaji wa tende;.. soma zaidi
Nikishatambua kwamba nina mimba, nifanye nini?
Tags๐ wiki
Ukishatambua kwamba una mimba kuna mambo mbalimbali tofauti ya kufanya. Kwanza kabisa mweleze mwenzi wako na mshauriane hatua zipi mchukue. Pia, kwa msichana mdogo lazima uwaeleze wazazi wako. Siyo rahisi kuwaambia wazazi, kwa sababu hawatafurahi kuhusu ujumbe huu. Lakini uhusiano mzuri na wazazi unaweza kuwasaidia sana katika kulea mimba na baadaye mtoto.
Kwa upande wa kiafya ni muhimu sana kuanza kuhudhuria kliniki au hospitali mapema, yaani kabla ya mimba kufikisha miezi mitatu. Hii huwawezesha wataalamu kukupima na kukupa ufafanuzi kuhusu afya yako na maendeleo ya mimba. Vilevile wanaweza kugundua matatizo kama yatakuwepo na kukutibu mapema. Kwa usalama wako na usalama wa mtoto hakikisha kuyafuata maelekezo ya wataalamu kila mara.
Wasichana au wanawake wengine wanafikiria kutoa mimba mara tu wanapokuta wamepata mimba bila ya kupangilia. Kutoa mimba ni jambo la hatari sana na linaweza kuleta madhara kiafya kwa mwanamke, na hasa utoaji mimba unaofanywa na mtu ambaye hakusomea na pia katika mazingira yasio safi… soma zaidi
Tags๐ wiki
Ukishatambua kwamba una mimba kuna mambo mbalimbali tofauti ya kufanya. Kwanza kabisa mweleze mwenzi wako na mshauriane hatua zipi mchukue. Pia, kwa msichana mdogo lazima uwaeleze wazazi wako. Siyo rahisi kuwaambia wazazi, kwa sababu hawatafurahi kuhusu ujumbe huu. Lakini uhusiano mzuri na wazazi unaweza kuwasaidia sana katika kulea mimba na baadaye mtoto.
Kwa upande wa kiafya ni muhimu sana kuanza kuhudhuria kliniki au hospitali mapema, yaani kabla ya mimba kufikisha miezi mitatu. Hii huwawezesha wataalamu kukupima na kukupa ufafanuzi kuhusu afya yako na maendeleo ya mimba. Vilevile wanaweza kugundua matatizo kama yatakuwepo na kukutibu mapema. Kwa usalama wako na usalama wa mtoto hakikisha kuyafuata maelekezo ya wataalamu kila mara.
Wasichana au wanawake wengine wanafikiria kutoa mimba mara tu wanapokuta wamepata mimba bila ya kupangilia. Kutoa mimba ni jambo la hatari sana na linaweza kuleta madhara kiafya kwa mwanamke, na hasa utoaji mimba unaofanywa na mtu ambaye hakusomea na pia katika mazingira yasio safi… soma zaidi
Madhara ya kutumia dawa za kuzuia mimba wakati wa hatari
Tags๐ afya mapishinalishe
Watu wengi hasa vijana watakuwa wanafahamu dawa ambazo hutumiwa sana kuzuia ujauzito pale ambapo wapenzi wamejamiiana ndani ya siku za hatari. Ninazungumzia dawa za kuzuia mimba sio dawa za kupanga uzazi. Dawa hizi zipo za aina nyingi ambazo zitozitaja hapa siku ya leo. Endapo wawili hawa wanakuwa hawapo tayari kupata mtoto, na wanaona kwamba siku walizojamiiana zitapelekea mwanamke huyo kutunga mimba, basi anaweza kutumia dawa hizi ambazo zinaharibu mazingira au uwezekano wa mimba kutungwa… soma zaidi
Tags๐ afya mapishinalishe
Watu wengi hasa vijana watakuwa wanafahamu dawa ambazo hutumiwa sana kuzuia ujauzito pale ambapo wapenzi wamejamiiana ndani ya siku za hatari. Ninazungumzia dawa za kuzuia mimba sio dawa za kupanga uzazi. Dawa hizi zipo za aina nyingi ambazo zitozitaja hapa siku ya leo. Endapo wawili hawa wanakuwa hawapo tayari kupata mtoto, na wanaona kwamba siku walizojamiiana zitapelekea mwanamke huyo kutunga mimba, basi anaweza kutumia dawa hizi ambazo zinaharibu mazingira au uwezekano wa mimba kutungwa… soma zaidi
Roho Mtakatifu ni nani?
Tags๐ ' 'roho (matendo (waefeso (warumi (yohana 13). 13: 16: 2 27) 4 4). 5 16 26 8: :13). :3 :30) ana anaitwa anaongea anaongea. anapenda au biblia daima elimu hana hisia hizi inafundisha kama kamwe kuwa kuwabariki kweli mapenzi. mpya mtakatifu mtu mtu. mungu. na nani? nguvu ni nia roho shariti. sifa sio tagi: uaminifu. ukweli ukweli. uongo. usio uwezo. wa watu ya yeye yohana wiki
Biblia inafundisha kuwa Roho Mtakatifu ni Mungu. (Matendo 5 :3,4). Roho Mtakatifu sio nguvu mpya, nguvu au shariti. Yeye ni mtu. Kama mtu ana hisia (Waefeso 4 :30) , Nia ya elimu usio (Warumi 8: 26,27) na mapenzi. Yeye anaongea. (Matendo 13: 2, Yohana 16: 13). nguvu au nguvu hana sifa hizi na uwezo… soma zaidi
Tags๐ ' 'roho (matendo (waefeso (warumi (yohana 13). 13: 16: 2 27) 4 4). 5 16 26 8: :13). :3 :30) ana anaitwa anaongea anaongea. anapenda au biblia daima elimu hana hisia hizi inafundisha kama kamwe kuwa kuwabariki kweli mapenzi. mpya mtakatifu mtu mtu. mungu. na nani? nguvu ni nia roho shariti. sifa sio tagi: uaminifu. ukweli ukweli. uongo. usio uwezo. wa watu ya yeye yohana wiki
Biblia inafundisha kuwa Roho Mtakatifu ni Mungu. (Matendo 5 :3,4). Roho Mtakatifu sio nguvu mpya, nguvu au shariti. Yeye ni mtu. Kama mtu ana hisia (Waefeso 4 :30) , Nia ya elimu usio (Warumi 8: 26,27) na mapenzi. Yeye anaongea. (Matendo 13: 2, Yohana 16: 13). nguvu au nguvu hana sifa hizi na uwezo… soma zaidi
Jinsi ya kupika Mboga Za Majani Makavu (Aina Yoyote)
Tags๐ mapishinalishe
Mboga za majani makavu ยผ kg
Mafuta vijiko vikubwa 3-4
Karanga zilizosagwa kikombe ยฝ
Maziwa au tui la nazi kikombe 1
Kitunguu 1
Nyanya 2
Chumvi (kama kuna ulazima)
Maji baridi.. soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Mboga za majani makavu ยผ kg
Mafuta vijiko vikubwa 3-4
Karanga zilizosagwa kikombe ยฝ
Maziwa au tui la nazi kikombe 1
Kitunguu 1
Nyanya 2
Chumvi (kama kuna ulazima)
Maji baridi.. soma zaidi
Mambo ya Msingi kuyajua Ili uishi na watu vizuri
Tags๐ mahusiano
Nimezipenda hizi nasaha. Naamini na nyinyi wenzangu hamtakosa japo machache ya kujifunza:-
1. Epuka hasira za ovyo na kila mtu, kuwa msikivu kabla ya kukimbilia maamuzi (elewa kuwa ukiwa na hasira huwezi kupata suluhu ya jambo)
2. Usiwatendee wengine ubaya ukadhani kuwa utakuwa salama (ubaya hulipwa kwa ubaya, ipo siku ubaya wako kwa wengine utakurejea kama sio kuwarejea watu wa kizazi chako).. soma zaidi
Tags๐ mahusiano
Nimezipenda hizi nasaha. Naamini na nyinyi wenzangu hamtakosa japo machache ya kujifunza:-
1. Epuka hasira za ovyo na kila mtu, kuwa msikivu kabla ya kukimbilia maamuzi (elewa kuwa ukiwa na hasira huwezi kupata suluhu ya jambo)
2. Usiwatendee wengine ubaya ukadhani kuwa utakuwa salama (ubaya hulipwa kwa ubaya, ipo siku ubaya wako kwa wengine utakurejea kama sio kuwarejea watu wa kizazi chako).. soma zaidi
Kwa nini vijana wanakatazwa kujamiiana?
Tags๐ wiki
Ujana ni kipindi cha mabadiliko kutoka utotoni kuelekea utu uzima, wakati wa kipindi hiki kijana hupata mabadiliko ya kimwili, kiakili na kimtazamo. Mwili na akili hupevuka. Ni kipindi muhimu cha kuweka msingi wa maisha ya baadaye. Vijana wanakatazwa kujamiiana kwa sababu matatizo mengi yanaweza kutokea kutokana na tendo hilo… soma zaidi
Tags๐ wiki
Ujana ni kipindi cha mabadiliko kutoka utotoni kuelekea utu uzima, wakati wa kipindi hiki kijana hupata mabadiliko ya kimwili, kiakili na kimtazamo. Mwili na akili hupevuka. Ni kipindi muhimu cha kuweka msingi wa maisha ya baadaye. Vijana wanakatazwa kujamiiana kwa sababu matatizo mengi yanaweza kutokea kutokana na tendo hilo… soma zaidi
Wosia mzuri kwako
Tags๐ mahusiano
Wosia mzuri kwako:
1.USIMWAMINI MTU YEYOTE
2.ANAYESEMA ANAKUPENDA SANA MCHUNGUZE
KWA MAKINI.
3.ANAYEKULETEA HABARI ETI FULANI KASEMA
HIVI, FIKIRIA YEYE ALISEMA NINI… soma zaidi
Tags๐ mahusiano
Wosia mzuri kwako:
1.USIMWAMINI MTU YEYOTE
2.ANAYESEMA ANAKUPENDA SANA MCHUNGUZE
KWA MAKINI.
3.ANAYEKULETEA HABARI ETI FULANI KASEMA
HIVI, FIKIRIA YEYE ALISEMA NINI… soma zaidi
Jinsi ya kupika Biskuti Za Kopa Za Kunyunyuziwa Sukari Za Rangi
Tags๐ mapishinalishe
Unga vikombe 2 ยผ.. soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Unga vikombe 2 ยผ.. soma zaidi
Mapishi ya mboga ya mnavu
Tags๐ mapishinalishe
Mnavu mkono 1
Kitungu 1
Karoti 2
Maziwa kikombe 1
Mafuta vijiko viubwa 4
Karanga zilizosagwa kikombe 1
Chumvi kiasi ยฝ.. soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Mnavu mkono 1
Kitungu 1
Karoti 2
Maziwa kikombe 1
Mafuta vijiko viubwa 4
Karanga zilizosagwa kikombe 1
Chumvi kiasi ยฝ.. soma zaidi
Mapishi ya Chicken Curry
Tags๐ mapishinalishe
Leo wapendwa nitaenda kuzungumzia mapishi ya mchuzi wa kuku (chicken curry)… soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Leo wapendwa nitaenda kuzungumzia mapishi ya mchuzi wa kuku (chicken curry)… soma zaidi
Mapishi ya Chapati za maji za vitunguu
Tags๐ mapishinalishe
Unga wa ngano (plain flour) 1/4
Kitunguu kikubwa (chopped/slice onion) 1
Yai (egg) 1
Chumvi (salt)
Mafuta (cooking oil).. soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Unga wa ngano (plain flour) 1/4
Kitunguu kikubwa (chopped/slice onion) 1
Yai (egg) 1
Chumvi (salt)
Mafuta (cooking oil).. soma zaidi
Madhara ya kula yai bichi
Tags๐ mapishinalishe
Yai bichi linaweza kuwa na vijidudu viitwavyo kwa kitaalamu โSALMONELLAโ vinavyoweza kusababisha tumbo kuuma, kichefuchefu na pia kuharisha.
Vijidudu ya โSalmonellaโ vinaweza kusababisha madhara makubwa kwa watoto, wazee na wale wenye hali dhaifu ya kimwili kama wagonjwa wa UKIMWI… soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Yai bichi linaweza kuwa na vijidudu viitwavyo kwa kitaalamu โSALMONELLAโ vinavyoweza kusababisha tumbo kuuma, kichefuchefu na pia kuharisha.
Vijidudu ya โSalmonellaโ vinaweza kusababisha madhara makubwa kwa watoto, wazee na wale wenye hali dhaifu ya kimwili kama wagonjwa wa UKIMWI… soma zaidi
Soma hii! Mchagua nazi……
Tags๐ mahusiano
Hakuna mtu aliye mkamilifu kwa asilimia 100. (mfano).. soma zaidi
Tags๐ mahusiano
Hakuna mtu aliye mkamilifu kwa asilimia 100. (mfano).. soma zaidi
Mambo 10 yanayosababisha wanawake washindwe kupata mimba au wawe wagumba
Tags๐ afya mapishinalishe
Ugumba ni nini ?
Hii ni hali ya wapenzi au mke na mume kutopata ujauzito. Ugumba unaweza kua primary infertility yaani mtu hajawahi kubeba mimba kabisa tangu azaliwe au secondary infertility yaani mtu ambaye amewahi kuzaa lakini kwa sasa ameshindwa kubeba ujauzito. utafiti uanonyesha katika kila ndoa tano au mahusiano matano ya kimapenzi basi uhusiano mmoja una matatizo ya uzazi ya kushindwa kuzaa… soma zaidi
Tags๐ afya mapishinalishe
Ugumba ni nini ?
Hii ni hali ya wapenzi au mke na mume kutopata ujauzito. Ugumba unaweza kua primary infertility yaani mtu hajawahi kubeba mimba kabisa tangu azaliwe au secondary infertility yaani mtu ambaye amewahi kuzaa lakini kwa sasa ameshindwa kubeba ujauzito. utafiti uanonyesha katika kila ndoa tano au mahusiano matano ya kimapenzi basi uhusiano mmoja una matatizo ya uzazi ya kushindwa kuzaa… soma zaidi
Faida za kufanya Masaji kiafya
Tags๐ mapishinalishe
Masaji kushuka kwa homoni inayohusika na kupunguza maambukizi mbalimbali homoni ijulikanayo kama โcytokinesโ vile vile masaji inashusha homoni inayohusika na matendo ya mashari homoni ijulikanayo kama โcortisolโ… soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Masaji kushuka kwa homoni inayohusika na kupunguza maambukizi mbalimbali homoni ijulikanayo kama โcytokinesโ vile vile masaji inashusha homoni inayohusika na matendo ya mashari homoni ijulikanayo kama โcortisolโ… soma zaidi
Faida za mnyonyo na mazao yake
Tags๐ mapishinalishe
Nyonyo Mbarika (Castor)
Mnyony(KiSwahili) Erand (KiHindi) Kastorka(KiRusi) ni mmea wa jamii ya Mbono Kaburi, kwa
jina la kitaalamu Japtropha.. soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Nyonyo Mbarika (Castor)
Mnyony(KiSwahili) Erand (KiHindi) Kastorka(KiRusi) ni mmea wa jamii ya Mbono Kaburi, kwa
jina la kitaalamu Japtropha.. soma zaidi
Albino anaathirikaje na unyanyapaa na ubaguzi katika jamii?
Tags๐ albino albino. anaathirikaje au barabara daladala. hata hii hiyo huwaona ili inapelekea inawatenga jamii jamii? kama karibu katika kubadili kubagulliwa kuhusu kuimarisha kukaa kunyanyapaliwa kuwakwepa kuwekwa kwa matukio mengi na nao pembeni. tofauti ubaguzi uliopo unaosambazwa. unyanyapaa uongo upande usahihi usiyo uvumi wa wanaamini wanaweza wasikutane watu wengi wengine wiki
Watu wengi huwaona Albino kama watu tofauti na watu wengine
na kuwakwepa, wanaweza hata kubadili upande wa barabara
ili wasikutane nao au kukaa karibu nao katika daladala. Wengi
wanaamini katika uongo na uvumi unaosambazwa. Jamii inawatenga
katika matukio mengi na kwa hiyo kuimarisha uvumi usiyo na
usahihi uliopo kuhusu Albino. Hii inapelekea kunyanyapaliwa,
kubagulliwa na kuwekwa pembeni. Mbaya zaidi, ni kuwa ubaguzi
huu huchangia katika kushuka kujithamini kwa kijana Albino.
Akisha kuwa hajithamini ni vigumu kukubalika au kupata kazi. Kwa
hiyo, ubaguzi unaleta mzunguko wa madhara kwa Albino. Hitaji
muhimu kwa binadamu ni kupendwa, kukubalika na kutunzwa.
Kwani ualbino unatokea katika familia bila kutarajiwa. Kuwepo kwa
ualbino katika familia kunaweza kuwa kichocheo cha kukubalika
na kupendwa miongoni mwa ndugu, wazazi, mababu na mabibi.
Changamoto kubwa iliyopo Tanzania ni kupambana na unyanyapaa
na ubaguzi na kugombea haki sawa kwa ajili ya Albino… soma zaidi
Tags๐ albino albino. anaathirikaje au barabara daladala. hata hii hiyo huwaona ili inapelekea inawatenga jamii jamii? kama karibu katika kubadili kubagulliwa kuhusu kuimarisha kukaa kunyanyapaliwa kuwakwepa kuwekwa kwa matukio mengi na nao pembeni. tofauti ubaguzi uliopo unaosambazwa. unyanyapaa uongo upande usahihi usiyo uvumi wa wanaamini wanaweza wasikutane watu wengi wengine wiki
Watu wengi huwaona Albino kama watu tofauti na watu wengine
na kuwakwepa, wanaweza hata kubadili upande wa barabara
ili wasikutane nao au kukaa karibu nao katika daladala. Wengi
wanaamini katika uongo na uvumi unaosambazwa. Jamii inawatenga
katika matukio mengi na kwa hiyo kuimarisha uvumi usiyo na
usahihi uliopo kuhusu Albino. Hii inapelekea kunyanyapaliwa,
kubagulliwa na kuwekwa pembeni. Mbaya zaidi, ni kuwa ubaguzi
huu huchangia katika kushuka kujithamini kwa kijana Albino.
Akisha kuwa hajithamini ni vigumu kukubalika au kupata kazi. Kwa
hiyo, ubaguzi unaleta mzunguko wa madhara kwa Albino. Hitaji
muhimu kwa binadamu ni kupendwa, kukubalika na kutunzwa.
Kwani ualbino unatokea katika familia bila kutarajiwa. Kuwepo kwa
ualbino katika familia kunaweza kuwa kichocheo cha kukubalika
na kupendwa miongoni mwa ndugu, wazazi, mababu na mabibi.
Changamoto kubwa iliyopo Tanzania ni kupambana na unyanyapaa
na ubaguzi na kugombea haki sawa kwa ajili ya Albino… soma zaidi
Utayarishaji bora wa chakula
Tags๐ mapishinalishe
ยท Osha mikono yako kwa sabuni kabla na baada
ya kutayarisha chakula
ยท Tumia vyombo safi na sehemu safi kwa
kutayarisha na kula chakula
ยท Viporo vipashwe moto vizuri kabla ya kula
ยท Chemsha maji ya kunywa na kuyaacha jikoni
dakika kumi baada ya kuchemka.. soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
ยท Osha mikono yako kwa sabuni kabla na baada
ya kutayarisha chakula
ยท Tumia vyombo safi na sehemu safi kwa
kutayarisha na kula chakula
ยท Viporo vipashwe moto vizuri kabla ya kula
ยท Chemsha maji ya kunywa na kuyaacha jikoni
dakika kumi baada ya kuchemka.. soma zaidi
inawezekana msichana akapata mimba kabla ya kuvunja ungo
Tags๐ akapata anaweza dalili halikurutubishwa hedhi hiyo inawezekana kabla kokwa kuona kupata kupitia kusafiri kutoka kuvunja kwa kwamba kwanza. kwenye la lile linapevuka linatoka mara mimba mpaka msichana na ndani ni nini. pamoja pevu tumbo uhakika ukeni. ungo utajiuliza utando uzazi uzazi. wa ya yaani yai yenyewe wiki
msichana anaweza kupata mimba kabla ya kuvunja ungo, yaani kabla ya kuona hedhi kwa mara ya kwanza. Kwa uhakika utajiuliza kwa nini.
Kabla ya kuona hedhi, yai ndani ya kokwa linapevuka na kusafiri kutoka kwenye kokwa mpaka tumbo la uzazi. Hedhi yenyewe ni dalili kwamba lile yai pevu halikurutubishwa na kwa hiyo linatoka pamoja na utando wa tumbo la uzazi kupitia ukeni.
Kuna maana kwamba hata kama msichana hajavunja ungo, i inawezekana kwamba ndani ya tumbo lake yai limeshaanza kupevuka. Lile yai linaweza kurutubishwa na msichana anaweza kupata mimba, hata kama hajaona hedhi yake kwa mara ya kwanza… soma zaidi
Tags๐ akapata anaweza dalili halikurutubishwa hedhi hiyo inawezekana kabla kokwa kuona kupata kupitia kusafiri kutoka kuvunja kwa kwamba kwanza. kwenye la lile linapevuka linatoka mara mimba mpaka msichana na ndani ni nini. pamoja pevu tumbo uhakika ukeni. ungo utajiuliza utando uzazi uzazi. wa ya yaani yai yenyewe wiki
msichana anaweza kupata mimba kabla ya kuvunja ungo, yaani kabla ya kuona hedhi kwa mara ya kwanza. Kwa uhakika utajiuliza kwa nini.
Kabla ya kuona hedhi, yai ndani ya kokwa linapevuka na kusafiri kutoka kwenye kokwa mpaka tumbo la uzazi. Hedhi yenyewe ni dalili kwamba lile yai pevu halikurutubishwa na kwa hiyo linatoka pamoja na utando wa tumbo la uzazi kupitia ukeni.
Kuna maana kwamba hata kama msichana hajavunja ungo, i inawezekana kwamba ndani ya tumbo lake yai limeshaanza kupevuka. Lile yai linaweza kurutubishwa na msichana anaweza kupata mimba, hata kama hajaona hedhi yake kwa mara ya kwanza… soma zaidi
Je, ni kweli kuwa madhara ya uvutaji moshi wa sigara yako ni kidogo kuliko yale yatokananyo na kuvuta moshi kutoka kwa mvutaji a
Tags๐ a aina ambayo cha hadi hakuna itokanayo je jirani kama karibu kidogo kitu kuichuja. kuliko kuna kutoka kutumia kuvuta kuwa kwa kweli kwenye madhara madhara. mapafu mdomo moja moja. moshi mvutaji mwingine na ni nitasimama nyingi sababu sigara siyo sumu tagi: tumbaku una unaweza upande utapata utavuta uvutaji viungo vyako. wa ya yako yale yatokananyo za zote wiki
Uvutaji wa aina zote una madhara. Kama utavuta sigara na
kuvuta moshi kwa kutumia mdomo hadi kwenye mapafu yako
utapata madhara moja kwa moja kwenye viungo vyako.
Kama nitasimama karibu na mvutaji na kuvuta moshi, kuna
madhara ambayo siyo ya moja kwa moja. Kwa upande mwingine
kama jirani wa mvutaji unaweza kuvuta sumu nyingi itokanayo
na tumbaku kwa sababu hakuna kitu cha kuichuja. Sigara za
viwandani zina kishungi ambacho huchuja tindikali mbalimbali
zenye sumu, kama vile kaboni na asidi ya magamba ya miti,
ambazo zina madhara kwa mapafu… soma zaidi
Tags๐ a aina ambayo cha hadi hakuna itokanayo je jirani kama karibu kidogo kitu kuichuja. kuliko kuna kutoka kutumia kuvuta kuwa kwa kweli kwenye madhara madhara. mapafu mdomo moja moja. moshi mvutaji mwingine na ni nitasimama nyingi sababu sigara siyo sumu tagi: tumbaku una unaweza upande utapata utavuta uvutaji viungo vyako. wa ya yako yale yatokananyo za zote wiki
Uvutaji wa aina zote una madhara. Kama utavuta sigara na
kuvuta moshi kwa kutumia mdomo hadi kwenye mapafu yako
utapata madhara moja kwa moja kwenye viungo vyako.
Kama nitasimama karibu na mvutaji na kuvuta moshi, kuna
madhara ambayo siyo ya moja kwa moja. Kwa upande mwingine
kama jirani wa mvutaji unaweza kuvuta sumu nyingi itokanayo
na tumbaku kwa sababu hakuna kitu cha kuichuja. Sigara za
viwandani zina kishungi ambacho huchuja tindikali mbalimbali
zenye sumu, kama vile kaboni na asidi ya magamba ya miti,
ambazo zina madhara kwa mapafu… soma zaidi
Njia za kutibu shinikizo la chini la damu au presha ya kushuka
Tags๐ mapishinalishe
Nyia hizo ni kama ifuatavyo;.. soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Nyia hizo ni kama ifuatavyo;.. soma zaidi
UKWELI KUHUSU MSHAHARA
Tags๐ uchumi
1. Epuka kugeuza mshahara wako kuwa mali ya ukoo. Kamwe mshahara wako siyo mali ya ukoo. Siku utakapoacha kuufanya mshahara wako mali ya ukoo ndipo siku mshahara huo utakuwa mkubwa! Hapo ndipo mshahara utatosha… soma zaidi
Tags๐ uchumi
1. Epuka kugeuza mshahara wako kuwa mali ya ukoo. Kamwe mshahara wako siyo mali ya ukoo. Siku utakapoacha kuufanya mshahara wako mali ya ukoo ndipo siku mshahara huo utakuwa mkubwa! Hapo ndipo mshahara utatosha… soma zaidi
Habari na historia ya mji wa Korogwe
Tags๐ habari
Korogwe ni moja ya wilaya inayopatikana mkoani Tanga nchini Tanzania. Mji huu kihistoria ni moja ya miji ambayo ilijiwekea historia kubwa sana. Hauwezi kuzungunzia habari au historia ya Wazigua bila kutaja mji huu wa Korogwe. Kama tulivyokwisha fafanua kwenye makala ya Wazigua na mgawanyiko wao. Na miongoni mwa Wazigua waliogawanyika, tuliwazungumzia Waluvu… soma zaidi
Tags๐ habari
Korogwe ni moja ya wilaya inayopatikana mkoani Tanga nchini Tanzania. Mji huu kihistoria ni moja ya miji ambayo ilijiwekea historia kubwa sana. Hauwezi kuzungunzia habari au historia ya Wazigua bila kutaja mji huu wa Korogwe. Kama tulivyokwisha fafanua kwenye makala ya Wazigua na mgawanyiko wao. Na miongoni mwa Wazigua waliogawanyika, tuliwazungumzia Waluvu… soma zaidi
ukubwa wa kondomu
Tags๐ kondomu ukubwa wa wiki
Kuna aina kondomu za ukubwa mbalimbali. Kwa wastani ukubwa wa kondomu unafaa kwa wanaume watu wazima karibu wote na vijana balehe waliokomaa. Mara chache sana, kondomu ni ndogo kwa wanaume fulani, lakini wakati mwingine wanaume wanaringa tu kuwa na uume mkubwa au wanatumia kisingizio tu kwa sababu hawataki kutumia kondomu.
Kwa upande wa vijana, balehe kondomu zinaweza kuwa ndogo ukilinganisha na ukubwa wa uume wao. Kwa vijana, ambao uume bado mdogo, ni vizuri zaidi wangeacha kujamiiana badala yake watumie njia nyingine za kumaliza hamu ya kutaka kujamiiana kama vile kukumbatiana na kubusu… soma zaidi
Tags๐ kondomu ukubwa wa wiki
Kuna aina kondomu za ukubwa mbalimbali. Kwa wastani ukubwa wa kondomu unafaa kwa wanaume watu wazima karibu wote na vijana balehe waliokomaa. Mara chache sana, kondomu ni ndogo kwa wanaume fulani, lakini wakati mwingine wanaume wanaringa tu kuwa na uume mkubwa au wanatumia kisingizio tu kwa sababu hawataki kutumia kondomu.
Kwa upande wa vijana, balehe kondomu zinaweza kuwa ndogo ukilinganisha na ukubwa wa uume wao. Kwa vijana, ambao uume bado mdogo, ni vizuri zaidi wangeacha kujamiiana badala yake watumie njia nyingine za kumaliza hamu ya kutaka kujamiiana kama vile kukumbatiana na kubusu… soma zaidi
Jinsi ya kutibu chunusi kwa kutumia baking soda
Tags๐ kutibu-chunusi-kiasili mapishinalishe
Moja ya sababu za kutokea chunusi katika ngozi yako ni kuwepo kwa takataka au uchafu juu ya ngozi yako na njia rahisi ya kusafisha taka hizo ni kwa kutumia baking soda hivyo kuifanya ngozi ipumuwe vizuri… soma zaidi
Tags๐ kutibu-chunusi-kiasili mapishinalishe
Moja ya sababu za kutokea chunusi katika ngozi yako ni kuwepo kwa takataka au uchafu juu ya ngozi yako na njia rahisi ya kusafisha taka hizo ni kwa kutumia baking soda hivyo kuifanya ngozi ipumuwe vizuri… soma zaidi
Kama wewe ni mwalimu soma hii
Tags๐ mahusiano
Kuna mwalimu wa shule ya sekondari alikuwa amezoea kumchapa viboko mwanafunzi mmoja mchelewaji. Mwanafunzi huyu alikuwa akichelewa kipindi cha kwanza kila siku. Hivyo, siku ambazo mwalimu huyu alikuwa na kipindi cha kwanza, mwanafunzi huyu alikuwa anachapwa kwanza kabla ya kuingia darasani. Hali hii iliendelea kwa muda mrefu. Wiki moja ilipita bila yule mwanafunzi kuonekana shuleni… soma zaidi
Tags๐ mahusiano
Kuna mwalimu wa shule ya sekondari alikuwa amezoea kumchapa viboko mwanafunzi mmoja mchelewaji. Mwanafunzi huyu alikuwa akichelewa kipindi cha kwanza kila siku. Hivyo, siku ambazo mwalimu huyu alikuwa na kipindi cha kwanza, mwanafunzi huyu alikuwa anachapwa kwanza kabla ya kuingia darasani. Hali hii iliendelea kwa muda mrefu. Wiki moja ilipita bila yule mwanafunzi kuonekana shuleni… soma zaidi
Jinsi ya kupika Keki Ya Maboga
Tags๐ mapishinalishe
Unga wa ngano vikombe vikubwa 3
Boga lililopondwa kikombe 1
Baking powder vijiko vidogo
Sukari kikombe kikubwa 1
Blue band kikombe ยฝ
Vanilla kijiko kidogo 1
Mayai 2
Maji kiasi/ maziwa
(kama nilazima).. soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Unga wa ngano vikombe vikubwa 3
Boga lililopondwa kikombe 1
Baking powder vijiko vidogo
Sukari kikombe kikubwa 1
Blue band kikombe ยฝ
Vanilla kijiko kidogo 1
Mayai 2
Maji kiasi/ maziwa
(kama nilazima).. soma zaidi
Kwa nini vijana wengine Albino wanaanza kujamiiana katika umri mdogo?
Tags๐ albino ambazo anasa baadhi hizi kama kati katika kijana kuanza kuchezea. kujamiiana kuna kuwa kwa mdogo. mdogo? mkononi na ni nini nyingi saa sababu simu umri ushindani vijana vile vile: vitu vya wa wanaanza wengine ya zinamfanya โข wiki
Kuna sababu nyingi ambazo zinamfanya kijana kuanza kujamiiana
katika umri mdogo. Baadhi ya sababu hizi ni kama vile:
โข Ushindani kati ya vijana wa kuwa na vitu vya anasa kama
vile simu ya mkononi, saa na vitu vya kuchezea. Ama kutaka
mahitaji ya pesa kwa ajili ya kulipa ada ya shule.
โข Shinikizo kutoka kwa rika wa kumfanya mtu ajiingize kwenye
kujamiiana. Shinikizo rika unakuwa na nguvu zaidi kwa
kijana Albino kwani yeye tayari anajiona ametengwa na
hivyo kushawishika zaidi katika mambo wanayofanya wengine
ili akubalike na wanarika hao.
โข Kwa kuamini kwamba njia halisi ya kuonyesha mapenzi ni kujamiiana
na pia kulazimika kujamiiana hata kama ni kinyume
na matakwa yake kwa mtazamo kuwa haya ndio mapenzi ya
kweli… soma zaidi
Tags๐ albino ambazo anasa baadhi hizi kama kati katika kijana kuanza kuchezea. kujamiiana kuna kuwa kwa mdogo. mdogo? mkononi na ni nini nyingi saa sababu simu umri ushindani vijana vile vile: vitu vya wa wanaanza wengine ya zinamfanya โข wiki
Kuna sababu nyingi ambazo zinamfanya kijana kuanza kujamiiana
katika umri mdogo. Baadhi ya sababu hizi ni kama vile:
โข Ushindani kati ya vijana wa kuwa na vitu vya anasa kama
vile simu ya mkononi, saa na vitu vya kuchezea. Ama kutaka
mahitaji ya pesa kwa ajili ya kulipa ada ya shule.
โข Shinikizo kutoka kwa rika wa kumfanya mtu ajiingize kwenye
kujamiiana. Shinikizo rika unakuwa na nguvu zaidi kwa
kijana Albino kwani yeye tayari anajiona ametengwa na
hivyo kushawishika zaidi katika mambo wanayofanya wengine
ili akubalike na wanarika hao.
โข Kwa kuamini kwamba njia halisi ya kuonyesha mapenzi ni kujamiiana
na pia kulazimika kujamiiana hata kama ni kinyume
na matakwa yake kwa mtazamo kuwa haya ndio mapenzi ya
kweli… soma zaidi
Kwa watumiaji wa simu soma hii kwa usalama wako
Tags๐ habari
KUTOKA JESHI LA POLICE:
USALAMA WA MAISHA YAKO.
Tags๐ habari
KUTOKA JESHI LA POLICE:
USALAMA WA MAISHA YAKO.
- Usinunue simu za Android kwa mtu usiyemjua. Hiyo ni hatari kwani hujui huyo jamaa kaitoa wapi, mwisho wa siku unapewa kesi ya wizi au mauaji. Inawezekana simu hiyo iliibiwa kwa mtu aliyeuawa… soma zaidi
UBEBESHAJI WA MICHE YA MIKOROSHO
Tags๐ wiki
Ubebeshaji miche ya mikorosho ni moja ya mbinu muhimu katika uendelezaji wa zao la korosho kwa sababu ni teknolojia pekee inayohakikisha usahihi wa viwango vya uzalishaji wa aina ya mkorosho uliopandwa.
Kwa kutumia mbegu, huwezi kuwa na uhakika na uzalishaji wa aina ya mbegu ulioitumia kwa sababu kuna uwezekano mkubwa wa mbegu kubadilika tabia na kuwa tofauti na tabia ya mti mama.
Teknolojia ya ubebeshaji inamwezesha mkulima kutabiri mavuno na ubora wa korosho shambani mwake kama ukubwa wa korosho, sura yake, rangi, uzito na sifa zingine kulingana na mti mama… soma zaidi
Tags๐ wiki
Ubebeshaji miche ya mikorosho ni moja ya mbinu muhimu katika uendelezaji wa zao la korosho kwa sababu ni teknolojia pekee inayohakikisha usahihi wa viwango vya uzalishaji wa aina ya mkorosho uliopandwa.
Kwa kutumia mbegu, huwezi kuwa na uhakika na uzalishaji wa aina ya mbegu ulioitumia kwa sababu kuna uwezekano mkubwa wa mbegu kubadilika tabia na kuwa tofauti na tabia ya mti mama.
Teknolojia ya ubebeshaji inamwezesha mkulima kutabiri mavuno na ubora wa korosho shambani mwake kama ukubwa wa korosho, sura yake, rangi, uzito na sifa zingine kulingana na mti mama… soma zaidi
Jinsi ya Kulima karanga
Tags๐ (mashudu 1. 2. 3. ardhi binadamu bora cha chakula dodoma hili hustawi hutumika jinsi karanga katika kilimo kulima kurutubisha kusini kutoa kwa mafuta mafuta. majani) mashariki mazao mbali mikoa mojawapo morogoro. na na: nazo ni njia nyingine pamoja tagi: tanzania vile wanyama ya yanayotoa zaid zao wiki
Karanga ni mojawapo ya mazao yanayotoa mafuta. Katika Tanzania zao hili hustawi zaid katika mikoa ya Kusini Mashariki, Dodoma na Morogoro. Pamoja na kutoa mafuta vile vile zao hutumika kwa njia nyingine mbali mbali, nazo ni pamoja na:.. soma zaidi
Tags๐ (mashudu 1. 2. 3. ardhi binadamu bora cha chakula dodoma hili hustawi hutumika jinsi karanga katika kilimo kulima kurutubisha kusini kutoa kwa mafuta mafuta. majani) mashariki mazao mbali mikoa mojawapo morogoro. na na: nazo ni njia nyingine pamoja tagi: tanzania vile wanyama ya yanayotoa zaid zao wiki
Karanga ni mojawapo ya mazao yanayotoa mafuta. Katika Tanzania zao hili hustawi zaid katika mikoa ya Kusini Mashariki, Dodoma na Morogoro. Pamoja na kutoa mafuta vile vile zao hutumika kwa njia nyingine mbali mbali, nazo ni pamoja na:.. soma zaidi
Je, magonjwa ya zinaa yanaweza kuenea ukitoa uume kabla ya kumwaga mbegu?
Tags๐ hata je kabla kuenea kumwaga magonjwa mbegu mbegu? ndiyo ukitoa uume ya yanaweza zinaa wiki
Ndiyo, magonjwa ya zinaa yanaweza kuenea, hata ukitoa uume kabla ya kumwaga mbegu. Mwenye magonjwa ya zinaa mara nyingi ana michubuko midogo au vidonda sehemu za siri na wadudu wabaya wanaweza kutoka na kuingia mwilini kwa urahisi. Hivyo, maambukizi ya magonjwa ya zinaa yanaweza kutokea hata kabla ya kumwaga mbegu… soma zaidi
Tags๐ hata je kabla kuenea kumwaga magonjwa mbegu mbegu? ndiyo ukitoa uume ya yanaweza zinaa wiki
Ndiyo, magonjwa ya zinaa yanaweza kuenea, hata ukitoa uume kabla ya kumwaga mbegu. Mwenye magonjwa ya zinaa mara nyingi ana michubuko midogo au vidonda sehemu za siri na wadudu wabaya wanaweza kutoka na kuingia mwilini kwa urahisi. Hivyo, maambukizi ya magonjwa ya zinaa yanaweza kutokea hata kabla ya kumwaga mbegu… soma zaidi
Mambo ya kufanya baada ya kuhitimu elimu ya Chuo Kikuu
Tags๐ mahusiano
kwanza kabisa nikupongeze kwa hatua uliyofikia, najua umekumbana na vikwazo vingi lakini haukukata tamaa ndio maana umefikia hatua hiyo.
Mnamo mwaka 1975,Hayati Mwalimu J.K Nyerere wakati anakifungua rasmi chuo kikuu cha Dar es salaam alisema Maneno yafuatayo,.. soma zaidi
Tags๐ mahusiano
kwanza kabisa nikupongeze kwa hatua uliyofikia, najua umekumbana na vikwazo vingi lakini haukukata tamaa ndio maana umefikia hatua hiyo.
Mnamo mwaka 1975,Hayati Mwalimu J.K Nyerere wakati anakifungua rasmi chuo kikuu cha Dar es salaam alisema Maneno yafuatayo,.. soma zaidi