VIDEO-MIKASA
This is the Redirect module that redirects the browser directly to the "http://www.ackyshine.com/videos" page.
VIDEO-MIKASA
By, Melkisedeck Shine.
Tags π ajali bahari meli. Category πvideos,: ajali bahari meli, Angalia meli inavyokumbwa na dhoruba baharini, πAngalia video hapa
Tags π maajabu michezo. Category πvideos,: maajabu michezo, Ukisikia mtaalamu wa baisikeli ndio huyu, baisikeli inapaishwa yani, πAngalia video hapa
Tags π maajabu vichekesho. Category πvideos,: maajabu vichekesho, Huyu jamaa anaminguvu ni balaa, cheki anachofanya hapa, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Kilichomsibu dada huyu mpanda farasi, πAngalia video hapa
Tags π maajabu. Category πvideos,: maajabu, Angalia kinachotokea hapa, huto amini, πAngalia video hapa
Tags π maajabu nyoka wanyama. Category πvideos,: maajabu nyoka wanyama, Angalia hawa wananyonga huyu joka, duh! ni noma, πAngalia video hapa
Tags π pikipiki vichekesho. Category πvideos,: pikipiki vichekesho, Angalia hawa wanachofanya na hii pikipiki ya tairi moja, πAngalia video hapa
Tags π maajabu vichekesho. Category πvideos,: maajabu vichekesho, Hizi sherehe nyingine hizi ni funika, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Angalia huyu kilichompata baada ya Baiskeli yake kukatika Breki, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Huyu Mzee wa watu kashavurugwa tayari kwa anachofanya, πAngalia video hapa
Tags π harusi vichekesho. Category πvideos,: harusi vichekesho, Bibi harusi alivyoumbuka wakati akiingia kwenye harusi yake, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Huyu bodaboda ataua huyu mzee wa watu, πAngalia video hapa
Tags π ajali gari. Category πvideos,: ajali gari, Ajali ya gari ya ajabu, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Angalia kilichompata huyu jamaa, yaani pigo moja tuu mtu kule, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Pale mwanamke akivua makeup hiki ndicho hutokea, πAngalia video hapa
Tags π ajali pikipiki vichekesho. Category πvideos,: ajali pikipiki vichekesho, Sipati picha huyu jamaa akianguka na hii pikipiki hapa, πAngalia video hapa
Tags π maajabu. Category πvideos,: maajabu, Hizi mila nyingine ni balaa, cheki hawa watoto wanachofanyiwa, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Wanawake wengine ni shida, cheki anachofanya hapa sasa, πAngalia video hapa
.
.
Endelea kuperuzi;-π
π¬ VIDEO-MATUKIOβ
π¬ VIDEO-VITUKOβ
π¬ VIDEO-DODOMAβ
π¬ VIDEO-KENYAβ
π¬ VIDEO-MBEYAβ
π¬ VIDEO-DARβ
π¬ VIDEO-ARUSHAβ
π¬ VIDEO-TANZANIAβ
π¬ VIDEO-BONGOβ
π¬ VIDEO-TWEETERβ
π¬ VIDEO-MTANDAONIβ
π¬ VIDEO-ONLINEβ
π¬ VIDEO-FACEBOOKβ
π¬ VIDEO-INSTAβ
π¬ VIDEO-INSTAGRAMβ
π¬ VIDEO-ACKYSHINEβ
π¬ VIDEO-HOTSβ
π¬ VIDEO-BOMBAβ
π¬ VIDEO-MPYAβ
π¬ VIDEO-TUUβ
Jinsi ya kutengeneza Biskuti Za Chumvi
Tagsπ mapishinalishe
Unga - 3 Vikombe vya chai.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Unga - 3 Vikombe vya chai.. soma zaidi
Kwa nini watu wanapenda pesa
Tagsπ uchumi
Watu wengi tunapenda sana Pesa lakini hatuko tayari kuzifanyia Pesa kazi nikiwa na maana kutumia njia sahihi kuzipata na tunapozipata hatuna Akili ya kuweza kuwa nazo muda mrefu zisiondoke.
Kama tujuavyo katika maisha yetu haya Pesa ndio kila kitu,tunahitaji Pesa ili tuweze kufanya mambo mengi mazuri na makubwa.Kitu kinachotukwamisha hatujui tufanye nini ili tuweze kuzipata hizi Pesa na tunapozipata tunakosea tena cha kuzifanyia ili zisipotee tena au zisiishe… soma zaidi
Tagsπ uchumi
Watu wengi tunapenda sana Pesa lakini hatuko tayari kuzifanyia Pesa kazi nikiwa na maana kutumia njia sahihi kuzipata na tunapozipata hatuna Akili ya kuweza kuwa nazo muda mrefu zisiondoke.
Kama tujuavyo katika maisha yetu haya Pesa ndio kila kitu,tunahitaji Pesa ili tuweze kufanya mambo mengi mazuri na makubwa.Kitu kinachotukwamisha hatujui tufanye nini ili tuweze kuzipata hizi Pesa na tunapozipata tunakosea tena cha kuzifanyia ili zisipotee tena au zisiishe… soma zaidi
Tabia za kuepuka ili uweze kuwa tajiri
Tagsπ uchumi
UKIWA NA HIZI TABIA 9, JIANDAE KUFA MASKINI…………
By Kashindi Edson.. soma zaidi
Tagsπ uchumi
UKIWA NA HIZI TABIA 9, JIANDAE KUFA MASKINI…………
By Kashindi Edson.. soma zaidi
Kwa nini watu wengine hupenda kujamiiana na watu wa jinsi sawasawa? mapenzi ya jinsia moja
Tagsπ wiki
Ni vigumu kutoa jibu kamili kwa nini hisia hii i ii inatokea kwa watu wengine, kwa sababu wataalamu bado wanalifanyia utafiti… soma zaidi
Tagsπ wiki
Ni vigumu kutoa jibu kamili kwa nini hisia hii i ii inatokea kwa watu wengine, kwa sababu wataalamu bado wanalifanyia utafiti… soma zaidi
Hichi ndicho unatakiwa uwe nacho kulingana na umri wako
Tagsπ uchumi
20 - 25 =Iwe kama ni kielimu hujafikia malengo yako,sitisha mara moja tafuta kazi/biashara ya kufanya,pigana kufa na kupona ili kama vipi urudi shule kwa pesa yako… soma zaidi
Tagsπ uchumi
20 - 25 =Iwe kama ni kielimu hujafikia malengo yako,sitisha mara moja tafuta kazi/biashara ya kufanya,pigana kufa na kupona ili kama vipi urudi shule kwa pesa yako… soma zaidi
Faida za kula uyoga kiafya
Tagsπ afya mapishinalishe
Uyoga una vitamini na aina nyingi na madini. Virutubisho vilivyothibitishwa kuwemo kwenye uyoga ni pamoja na Vitamin B2, B3, B5, B6, B Complex pamoja na madini ya Potasiamu na Phosphorus… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Uyoga una vitamini na aina nyingi na madini. Virutubisho vilivyothibitishwa kuwemo kwenye uyoga ni pamoja na Vitamin B2, B3, B5, B6, B Complex pamoja na madini ya Potasiamu na Phosphorus… soma zaidi
Sababu za magonjwa ya figo na jinsi ya kuondokana na janga la magonjwa ya Figo
Tagsπ mapishinalishe
1.Usichelewe kwenda HAJA. Kutunza mkojo kweye kibofu chako kwa muda mrefu ni wazo baya. Kibofu kikijaa kinaweza kusababisha uharibifu. Mkojo ambao unakaa kwenye kibofu huzidisha bakteria haraka.
Mara mkojo unaporudi nyuma ya njia na Figo, sumu dutu husababisha maambukizi ya figo, pia njia ya mkojo na "nephritis", pamoja na "uremia". Wakati wito asili (unahisi mkojo) fanya hivyo haraka iwezekanavyo… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
1.Usichelewe kwenda HAJA. Kutunza mkojo kweye kibofu chako kwa muda mrefu ni wazo baya. Kibofu kikijaa kinaweza kusababisha uharibifu. Mkojo ambao unakaa kwenye kibofu huzidisha bakteria haraka.
Mara mkojo unaporudi nyuma ya njia na Figo, sumu dutu husababisha maambukizi ya figo, pia njia ya mkojo na "nephritis", pamoja na "uremia". Wakati wito asili (unahisi mkojo) fanya hivyo haraka iwezekanavyo… soma zaidi
Inatokeaje, katika baadhi ya mazingira baba anakataa kuwa mtoto si wake?
Tagsπ akimlaumu amekuwa ana anakataa anapomuona baadhi baba fulani inatokeaje katika kuwa kwamba mahusiano mama mazingira mtoto mzungu. na ngono ngozi nyeupe si wa wake wake? ya wiki
Katika mazingira fulani, baba anapomuona mtoto ana ngozi
nyeupe anakataa ya kwamba mtoto si wake akimlaumu mama wa
mtoto kuwa amekuwa na mahusiano ya ngono na mzungu. Huu
ni upuuzi kwa sababu kila mtu anajua kuwa watoto waliozaliwa
kutoka familia za watu weusi na wazungu siyo Albino kwa mfano
Rais wa Marekani Obama ni mtoto wa mama mzungu na baba
mweusi… soma zaidi
Tagsπ akimlaumu amekuwa ana anakataa anapomuona baadhi baba fulani inatokeaje katika kuwa kwamba mahusiano mama mazingira mtoto mzungu. na ngono ngozi nyeupe si wa wake wake? ya wiki
Katika mazingira fulani, baba anapomuona mtoto ana ngozi
nyeupe anakataa ya kwamba mtoto si wake akimlaumu mama wa
mtoto kuwa amekuwa na mahusiano ya ngono na mzungu. Huu
ni upuuzi kwa sababu kila mtu anajua kuwa watoto waliozaliwa
kutoka familia za watu weusi na wazungu siyo Albino kwa mfano
Rais wa Marekani Obama ni mtoto wa mama mzungu na baba
mweusi… soma zaidi
Rais wa Kenya amefanya mabadiliko katika Baraza lake la Mawaziri
Tagsπ amefanya baraza katika kenya la lake mabadiliko mawaziri rais wa habari
Rais Uhuru Kenyatta amechukua hatua hiyo siku moja tu baada ya kutangaza ufisadi kuwa tishio kwa usalama wa kitaifa. Rais Kenyatta amefanya mabadiliko katika baraza lake la mawaziri baada ya mawaziri sita kulazimika kujiondoa kutokana na wizara walizosimamia kuhusishwa na ufisadi huku wawili kati yao wakikabiliwa na kesi mahakamani.
Ni Mabadiliko yaliyotarajiwa hasa baada ya hatua ya aliyekuwa waziri wa Ugatuzi Anne Waiguru kujihuzulu mwishoni mwa juma kutokana na kile alichosema ni ushauri wa daktari wake- baada ya usumbufu aliopata wizara yake ilipohusishwa na sakata kadhaa za ufisadi.
Kwa mujibu wa katiba idadi ya mawaziri inapaswa kuwa kati ya kumi na wanne na ishirini na wawili- na hivyo kujiuzulu kwake kulisababisha idadi hiyo kupungua hadi kumi na tatu… soma zaidi
Tagsπ amefanya baraza katika kenya la lake mabadiliko mawaziri rais wa habari
Rais Uhuru Kenyatta amechukua hatua hiyo siku moja tu baada ya kutangaza ufisadi kuwa tishio kwa usalama wa kitaifa. Rais Kenyatta amefanya mabadiliko katika baraza lake la mawaziri baada ya mawaziri sita kulazimika kujiondoa kutokana na wizara walizosimamia kuhusishwa na ufisadi huku wawili kati yao wakikabiliwa na kesi mahakamani.
Ni Mabadiliko yaliyotarajiwa hasa baada ya hatua ya aliyekuwa waziri wa Ugatuzi Anne Waiguru kujihuzulu mwishoni mwa juma kutokana na kile alichosema ni ushauri wa daktari wake- baada ya usumbufu aliopata wizara yake ilipohusishwa na sakata kadhaa za ufisadi.
Kwa mujibu wa katiba idadi ya mawaziri inapaswa kuwa kati ya kumi na wanne na ishirini na wawili- na hivyo kujiuzulu kwake kulisababisha idadi hiyo kupungua hadi kumi na tatu… soma zaidi
Ilinde ndoto yako
Tagsπ uchumi
Ndoto ni nini?
Ndoto ambayo tunakwenda kuizungumzia sio ndoto unayoota ukiwa umelala ni ndoto ya mchana.
Ni kile kitu unachotamani kuja kukipata siku moja kabla hujaondoka duniani Ndoto inaweza kua katika makundi ya aina mbalimbali, unaweza kua na ndoto ya kuwa Rais, Mwimbaji bora, Mchezaji bora, Mwandishi Bora, Mfanyabiashara maarufu.
Vile vile unaweza kuwa na ndoto ya kumiliki vitu, nyumba nzuri ya kifahari sana labda ya milioni 300, Gari la kifahari sana, Unaweza kuwa na ndoto ya kumiliki utajiri au kuwa Bilionea,Kutembelea nchi fulani na kadhalika… soma zaidi
Tagsπ uchumi
Ndoto ni nini?
Ndoto ambayo tunakwenda kuizungumzia sio ndoto unayoota ukiwa umelala ni ndoto ya mchana.
Ni kile kitu unachotamani kuja kukipata siku moja kabla hujaondoka duniani Ndoto inaweza kua katika makundi ya aina mbalimbali, unaweza kua na ndoto ya kuwa Rais, Mwimbaji bora, Mchezaji bora, Mwandishi Bora, Mfanyabiashara maarufu.
Vile vile unaweza kuwa na ndoto ya kumiliki vitu, nyumba nzuri ya kifahari sana labda ya milioni 300, Gari la kifahari sana, Unaweza kuwa na ndoto ya kumiliki utajiri au kuwa Bilionea,Kutembelea nchi fulani na kadhalika… soma zaidi
Kunywa pombe Wakati wajawazito (Uhusiano wa pombe na mimba)
Tagsπ wiki
Kuna mengi ya habari utata na kwenda kinyume na kwenda karibu kuhusu kama au si wanawake wajawazito wanaweza mara kwa mara hutumia kiasi kidogo cha pombe. Baadhi ya madaktari kuwajulisha wagonjwa wao na si kunywa pombe yoyote wakati wa ujauzito bila kujali jinsi mbali pamoja wao ni. Madaktari wengine kuwaambia wagonjwa wao kwamba ni salama kula kiasi kidogo sana cha pombe wakati wa ujauzito. Ni rahisi kuwa kuchanganyikiwa na habari hii. Ni kweli kuna kiasi salama ya matumizi ya pombe wakati wa ujauzito?.. soma zaidi
Tagsπ wiki
Kuna mengi ya habari utata na kwenda kinyume na kwenda karibu kuhusu kama au si wanawake wajawazito wanaweza mara kwa mara hutumia kiasi kidogo cha pombe. Baadhi ya madaktari kuwajulisha wagonjwa wao na si kunywa pombe yoyote wakati wa ujauzito bila kujali jinsi mbali pamoja wao ni. Madaktari wengine kuwaambia wagonjwa wao kwamba ni salama kula kiasi kidogo sana cha pombe wakati wa ujauzito. Ni rahisi kuwa kuchanganyikiwa na habari hii. Ni kweli kuna kiasi salama ya matumizi ya pombe wakati wa ujauzito?.. soma zaidi
Vitu vinavyoweza kusababisha tatizo la mbegu chache na ugumba kwa ujumla kwa wanaume
Tagsπ mapishinalishe
Vifaa vingi vya kisasa vya kieletroniki vinasababisha kushuka kwa wingi na ubora wa mbegu kwa wanaume wengi miaka ya sasa kwani mionzi yake hupelekea joto lisilohitajika katika mifuko ya mbegu za kiume. Vifaa hivi ni pamoja na simu na Kompyuta… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Vifaa vingi vya kisasa vya kieletroniki vinasababisha kushuka kwa wingi na ubora wa mbegu kwa wanaume wengi miaka ya sasa kwani mionzi yake hupelekea joto lisilohitajika katika mifuko ya mbegu za kiume. Vifaa hivi ni pamoja na simu na Kompyuta… soma zaidi
Kwa nini vijana wengine Albino wanaanza kujamiiana katika umri mdogo?
Tagsπ albino ambazo anasa baadhi hizi kama kati katika kijana kuanza kuchezea. kujamiiana kuna kuwa kwa mdogo. mdogo? mkononi na ni nini nyingi saa sababu simu umri ushindani vijana vile vile: vitu vya wa wanaanza wengine ya zinamfanya β’ wiki
Kuna sababu nyingi ambazo zinamfanya kijana kuanza kujamiiana
katika umri mdogo. Baadhi ya sababu hizi ni kama vile:
β’ Ushindani kati ya vijana wa kuwa na vitu vya anasa kama
vile simu ya mkononi, saa na vitu vya kuchezea. Ama kutaka
mahitaji ya pesa kwa ajili ya kulipa ada ya shule.
β’ Shinikizo kutoka kwa rika wa kumfanya mtu ajiingize kwenye
kujamiiana. Shinikizo rika unakuwa na nguvu zaidi kwa
kijana Albino kwani yeye tayari anajiona ametengwa na
hivyo kushawishika zaidi katika mambo wanayofanya wengine
ili akubalike na wanarika hao.
β’ Kwa kuamini kwamba njia halisi ya kuonyesha mapenzi ni kujamiiana
na pia kulazimika kujamiiana hata kama ni kinyume
na matakwa yake kwa mtazamo kuwa haya ndio mapenzi ya
kweli… soma zaidi
Tagsπ albino ambazo anasa baadhi hizi kama kati katika kijana kuanza kuchezea. kujamiiana kuna kuwa kwa mdogo. mdogo? mkononi na ni nini nyingi saa sababu simu umri ushindani vijana vile vile: vitu vya wa wanaanza wengine ya zinamfanya β’ wiki
Kuna sababu nyingi ambazo zinamfanya kijana kuanza kujamiiana
katika umri mdogo. Baadhi ya sababu hizi ni kama vile:
β’ Ushindani kati ya vijana wa kuwa na vitu vya anasa kama
vile simu ya mkononi, saa na vitu vya kuchezea. Ama kutaka
mahitaji ya pesa kwa ajili ya kulipa ada ya shule.
β’ Shinikizo kutoka kwa rika wa kumfanya mtu ajiingize kwenye
kujamiiana. Shinikizo rika unakuwa na nguvu zaidi kwa
kijana Albino kwani yeye tayari anajiona ametengwa na
hivyo kushawishika zaidi katika mambo wanayofanya wengine
ili akubalike na wanarika hao.
β’ Kwa kuamini kwamba njia halisi ya kuonyesha mapenzi ni kujamiiana
na pia kulazimika kujamiiana hata kama ni kinyume
na matakwa yake kwa mtazamo kuwa haya ndio mapenzi ya
kweli… soma zaidi
Jinsi ya kulima karanga bora
Tagsπ ajili ambayo bora cha chakula chini duniani hulimwa jamii jinsi karanga katika kidogo kilimo kiwango kubwa kulima kunde kutokana kutokuwa kwa lengo likiwa maarufu mafuta magonjwa malisho mbegu mifugo. miongoni moja mvua mwa mzungunguko. na nchini ni pamoja sana tagi: tanzania teknolojia uhakika uhakika. uzalishaji wa wadudu wakulima ya za zao wiki
Ni moja ya jamii ya kunde, ambayo hulimwa lengo kubwa likiwa ni uzalishaji wa mafuta, chakula na malisho kwa ajili ya mifugo… soma zaidi
Tagsπ ajili ambayo bora cha chakula chini duniani hulimwa jamii jinsi karanga katika kidogo kilimo kiwango kubwa kulima kunde kutokana kutokuwa kwa lengo likiwa maarufu mafuta magonjwa malisho mbegu mifugo. miongoni moja mvua mwa mzungunguko. na nchini ni pamoja sana tagi: tanzania teknolojia uhakika uhakika. uzalishaji wa wadudu wakulima ya za zao wiki
Ni moja ya jamii ya kunde, ambayo hulimwa lengo kubwa likiwa ni uzalishaji wa mafuta, chakula na malisho kwa ajili ya mifugo… soma zaidi
Madhara ya kubana mkojo muda mrefu
Tagsπ afya mapishinalishe
Utakubaliana na mimi kwamba, kitendo cha mtu kubanwa na haja ndogo siyo kitu cha hiyari kwamba sasa mtu anaamua ngoja nibanwe na mkojo, hili ni jambo la asili na ni matokeo ya vyakula, matunda au vinywaji tunavyotumia. Kwa lugha nyingine tumekuwa tukiita kuwa ni wito wa asili au natureβs call… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Utakubaliana na mimi kwamba, kitendo cha mtu kubanwa na haja ndogo siyo kitu cha hiyari kwamba sasa mtu anaamua ngoja nibanwe na mkojo, hili ni jambo la asili na ni matokeo ya vyakula, matunda au vinywaji tunavyotumia. Kwa lugha nyingine tumekuwa tukiita kuwa ni wito wa asili au natureβs call… soma zaidi
Mapishi ya Pilau Ya Nafaka Na Nyama Ya Kusaga
Tagsπ mapishinalishe
Mchele - 3 vikombe.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mchele - 3 vikombe.. soma zaidi
Wasomi na ndoto za abunuasi
Tagsπ habari
Hebu vuta picha,namna ulivyosota kuipata hiyo degree yako. Miaka isiyopungua 16 imeteketea darasani! Umebeba vidumu na ufagio kama wafagiaji wa jiji ukiwa shule msingi. Umepiga jaramba maili kadhaa kuifata shule.Umekumbana na kashkashi za walimu "wanoko",ukiwaona tu bandama zilikuwa zinacheza "ndombolo" na tumbo liliunguruma kama jenereta la kiwanda… soma zaidi
Tagsπ habari
Hebu vuta picha,namna ulivyosota kuipata hiyo degree yako. Miaka isiyopungua 16 imeteketea darasani! Umebeba vidumu na ufagio kama wafagiaji wa jiji ukiwa shule msingi. Umepiga jaramba maili kadhaa kuifata shule.Umekumbana na kashkashi za walimu "wanoko",ukiwaona tu bandama zilikuwa zinacheza "ndombolo" na tumbo liliunguruma kama jenereta la kiwanda… soma zaidi
Namna ya kuondokana na tatizo la kunuka Kikwapa
Tagsπ afya mapishinalishe
Harafu ya jasho inakera, kibaya zaidi ni kuwa wewe mwenyewe husikii harufu hiyo ila wale walio karibu yako. Kwa upande mwingine kujaribu kuzuia kutoka jasho ni hatari kwa afya yako na kujaribu kuondoa harufu kwa kutumia pafyumu husababisha madhara mengine ya kiafya na kwa bahati mbaya perfume zina jaribu poteza harufu kwa mda mfupi tu na sio kutokomeza tatizo hilo… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Harafu ya jasho inakera, kibaya zaidi ni kuwa wewe mwenyewe husikii harufu hiyo ila wale walio karibu yako. Kwa upande mwingine kujaribu kuzuia kutoka jasho ni hatari kwa afya yako na kujaribu kuondoa harufu kwa kutumia pafyumu husababisha madhara mengine ya kiafya na kwa bahati mbaya perfume zina jaribu poteza harufu kwa mda mfupi tu na sio kutokomeza tatizo hilo… soma zaidi
Haki za ujinsia na afya ya uzazi zinamhusu pia mtu anayeishi na ualbino?
Tagsπ afya anayeishi binadamu dhahiri haki haki. hasa haya hizi hizi: husika. inayokubaliana kama katika kimataifa kuanzia kuheshimiwa kuthaminiwa mataifa matamko mikataba msingi; mtu muhimu na nchi ni pia sheria siku ualbino? ujinsia ulimwenguni unayozaliwa. uzazi wote ya yameridhia yote za ziko zile zinamhusu zinawahusu zinazohusiana wiki
Haki za msingi; hasa zile zinazohusiana na kuthaminiwa na
kuheshimiwa kama binadamu zinawahusu binadamu wote
kuanzia siku unayozaliwa. Mataifa yote Ulimwenguni yameridhia
mikataba ya Kimataifa inayokubaliana na matamko haya ya
haki. Haki hizi ziko dhahiri katika sheria za nchi husika. Haki
muhimu za ujinsia na afya ya uzazi ni hizi:
β’ Kupata habari juu ya ujinsia na mada zinazohusu afya ya
uzazi.
β’ Mwanamke au mwanaume kuamua kwa uhuru na kuwajibika,
kama anataka kujamiiana lini na mtu gani… soma zaidi
Tagsπ afya anayeishi binadamu dhahiri haki haki. hasa haya hizi hizi: husika. inayokubaliana kama katika kimataifa kuanzia kuheshimiwa kuthaminiwa mataifa matamko mikataba msingi; mtu muhimu na nchi ni pia sheria siku ualbino? ujinsia ulimwenguni unayozaliwa. uzazi wote ya yameridhia yote za ziko zile zinamhusu zinawahusu zinazohusiana wiki
Haki za msingi; hasa zile zinazohusiana na kuthaminiwa na
kuheshimiwa kama binadamu zinawahusu binadamu wote
kuanzia siku unayozaliwa. Mataifa yote Ulimwenguni yameridhia
mikataba ya Kimataifa inayokubaliana na matamko haya ya
haki. Haki hizi ziko dhahiri katika sheria za nchi husika. Haki
muhimu za ujinsia na afya ya uzazi ni hizi:
β’ Kupata habari juu ya ujinsia na mada zinazohusu afya ya
uzazi.
β’ Mwanamke au mwanaume kuamua kwa uhuru na kuwajibika,
kama anataka kujamiiana lini na mtu gani… soma zaidi
Mwanamke kuamka mapeme asubuhi kunapunguza uwezekano wa kupata saratani ya matiti
Tagsπ afya mapishinalishe
Kuamka asubuhi na mapema hupunguza uwezekano wa mwanamke kupata saratani ya matiti… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Kuamka asubuhi na mapema hupunguza uwezekano wa mwanamke kupata saratani ya matiti… soma zaidi
Kwa nini Albino tunaonekana kama mzigo katika familia zetu?
Tagsπ albino aliyo anahitaji au familia hali kama katika kawaida. kuchukizwa kujitambua kujua kukubali kulazimika kumwezesha kuonekana kupewa kuvumilia kuwa kwa maalumu maalumu. mahitaji matamshi matusi. msaada msingi mtoto mzigo na nayo. ndiyo ndugu ni nini pamoja tofauti tunaonekana uangalizi utani wa wakawa wanafamilia wanaohitaji wanaomba wanaotoa wanapaswa wanaweza watu wazazi wengine yao zetu? wiki
Watu wanaohitaji kupewa uangalizi maalumu wanaweza
kuonekana ni mzigo kwa kuwa wanaweza wakawa wanaomba
kupewa mahitaji au msaada maalumu tofauti na watu wengine
wa kawaida. Wazazi na wanafamilia wengine wanaweza
kuchukizwa na matamshi wanaotoa watu wengine pamoja na
kulazimika kuvumilia utani na matusi. Ndugu wanapaswa kujua
kwa nini ndugu yao Albino ni tofauti na kwa nini anahitaji
uangalizi maalumu.
Familia ndiyo msingi wa kumwezesha mtoto Albino kujitambua
na kukubali hali aliyo nayo. Familia inayoweza kumkubali mtoto
wao Albino inaneemeka na kuwa yenye furaha kwa sababu
mtoto Albino anakuwa kiungo maalumu katika familia, yaani
inaipa familia hali ya kuwa na nguvu yao iliyoungana… soma zaidi
Tagsπ albino aliyo anahitaji au familia hali kama katika kawaida. kuchukizwa kujitambua kujua kukubali kulazimika kumwezesha kuonekana kupewa kuvumilia kuwa kwa maalumu maalumu. mahitaji matamshi matusi. msaada msingi mtoto mzigo na nayo. ndiyo ndugu ni nini pamoja tofauti tunaonekana uangalizi utani wa wakawa wanafamilia wanaohitaji wanaomba wanaotoa wanapaswa wanaweza watu wazazi wengine yao zetu? wiki
Watu wanaohitaji kupewa uangalizi maalumu wanaweza
kuonekana ni mzigo kwa kuwa wanaweza wakawa wanaomba
kupewa mahitaji au msaada maalumu tofauti na watu wengine
wa kawaida. Wazazi na wanafamilia wengine wanaweza
kuchukizwa na matamshi wanaotoa watu wengine pamoja na
kulazimika kuvumilia utani na matusi. Ndugu wanapaswa kujua
kwa nini ndugu yao Albino ni tofauti na kwa nini anahitaji
uangalizi maalumu.
Familia ndiyo msingi wa kumwezesha mtoto Albino kujitambua
na kukubali hali aliyo nayo. Familia inayoweza kumkubali mtoto
wao Albino inaneemeka na kuwa yenye furaha kwa sababu
mtoto Albino anakuwa kiungo maalumu katika familia, yaani
inaipa familia hali ya kuwa na nguvu yao iliyoungana… soma zaidi
Kazi ya Roho Mtakatifu.
Tagsπ (yohana . 1. 2. 16 8). anauhakikishia bila dhambi habari haki hapo hawangeweza hayo hii hiyo hukumu inayokuja juu kama katika kazi kufanya kujitambua kumugeukia kutambua kutubu kuwa kwa la maalum mambo mawasiliano mtakatifu mtakatifu. mungu na neno ni roho ulimwengu upesi vile wanaositahili wao wao.na watu wenye ya yafuatayo. yaliyotajwa yeye wiki
Kazi ya Roho Mtakatifu… soma zaidi
Tagsπ (yohana . 1. 2. 16 8). anauhakikishia bila dhambi habari haki hapo hawangeweza hayo hii hiyo hukumu inayokuja juu kama katika kazi kufanya kujitambua kumugeukia kutambua kutubu kuwa kwa la maalum mambo mawasiliano mtakatifu mtakatifu. mungu na neno ni roho ulimwengu upesi vile wanaositahili wao wao.na watu wenye ya yafuatayo. yaliyotajwa yeye wiki
Kazi ya Roho Mtakatifu… soma zaidi
Mahitaji na Jinsi ya kupika chapati nzuri tamu za mayai (Pancakes) kwa ajili yako, familia au kuuza
Tagsπ chapati chapati_mayai familia kupika mapishi mayai vitafunwa wiki
Kuandaa Pancakes au chapati za mayai ni kama ifuatavyo;.. soma zaidi
Tagsπ chapati chapati_mayai familia kupika mapishi mayai vitafunwa wiki
Kuandaa Pancakes au chapati za mayai ni kama ifuatavyo;.. soma zaidi
Wakubwa tuu wataelewa!!!
Tagsπ mahusiano
Wanawake mmejaaliwa kuwa na LAPTOP zinazopendeza saanaa na laptop zenu zina port kwa ajili ya kuingizia EXTERNAL data msiruhusu kila FRASH DISK kuingia kwenye PORT zenu,Flash zingine zina VIRUS maana hamjui zimetoka wapi kwenye ma internet cafe TUNZENI laptop zenu mpaka mtakapo miliki FRASH DISK zenu ambazo mtakuwa mnauhakika kwamba hazina virus, na kama ushamiliki itunze vizuri usii na iwe kwa matumizi yako tuu vinginevyo… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Wanawake mmejaaliwa kuwa na LAPTOP zinazopendeza saanaa na laptop zenu zina port kwa ajili ya kuingizia EXTERNAL data msiruhusu kila FRASH DISK kuingia kwenye PORT zenu,Flash zingine zina VIRUS maana hamjui zimetoka wapi kwenye ma internet cafe TUNZENI laptop zenu mpaka mtakapo miliki FRASH DISK zenu ambazo mtakuwa mnauhakika kwamba hazina virus, na kama ushamiliki itunze vizuri usii na iwe kwa matumizi yako tuu vinginevyo… soma zaidi
MSICHANA NA UPUNGUFU WA KINGA MWILINI
Tagsπ 1980 afya bila binadamu cha hatari husaidia hutegemea katika kinga kiwango kugawanyika kupambana kupungukiwa kutokana maambukizo magonjwa. makundi makuu mawili mbalimbali. miaka msichana mwa mwanzoni mwili mwilini mwilini. na sababisha sababu ujio ukimwi unaweza upungufu vimelea vinavyo vinaweza virisi virusi vya vyanzo wa ya yaani yake wiki
Afya ya mwili wa binadamu hutegemea kiwango cha kinga mwilini. Kinga ya mwili husaidia mwili kupambana na vimelea hatari vinavyo sababisha magonjwa. Mwili wa binadamu unaweza kupungukiwa na kinga yake kutokana na sababu mbalimbali.
Kutokana na ujio wa virusi vya UKIMWI mwanzoni mwa miaka ya 1980, sababu ya vyanzo vya upungufu wa kinga mwilini vinaweza kugawanyika katika makundi makuu mawili yaani upungufu wa kinga mwilini kutokana na maambukizo ya virisi vya UKIMWI na upungufu wa kinga mwilini bila maambukizi ya virusi vya UKIMWI… soma zaidi
Tagsπ 1980 afya bila binadamu cha hatari husaidia hutegemea katika kinga kiwango kugawanyika kupambana kupungukiwa kutokana maambukizo magonjwa. makundi makuu mawili mbalimbali. miaka msichana mwa mwanzoni mwili mwilini mwilini. na sababisha sababu ujio ukimwi unaweza upungufu vimelea vinavyo vinaweza virisi virusi vya vyanzo wa ya yaani yake wiki
Afya ya mwili wa binadamu hutegemea kiwango cha kinga mwilini. Kinga ya mwili husaidia mwili kupambana na vimelea hatari vinavyo sababisha magonjwa. Mwili wa binadamu unaweza kupungukiwa na kinga yake kutokana na sababu mbalimbali.
Kutokana na ujio wa virusi vya UKIMWI mwanzoni mwa miaka ya 1980, sababu ya vyanzo vya upungufu wa kinga mwilini vinaweza kugawanyika katika makundi makuu mawili yaani upungufu wa kinga mwilini kutokana na maambukizo ya virisi vya UKIMWI na upungufu wa kinga mwilini bila maambukizi ya virusi vya UKIMWI… soma zaidi
Kama una miaka 24 hadi 29 huu ni ujumbe wako, Soma hii tafadhali
Tagsπ mahusiano
ITAKUSAIDIA KIJANA PLEASE ISOME NA UITAFAKARI SINTOFAHAMU MAISHANI KATI YA MIAKA 24 HADI 29
1. Umri mgumu zaidi katika maisha yako ni kati ya miaka 24 hadi 29 hivi. Presha ya kuwa mtu wa aina fulani au levo fulani ya maisha katika umri huo ni kubwa sana… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
ITAKUSAIDIA KIJANA PLEASE ISOME NA UITAFAKARI SINTOFAHAMU MAISHANI KATI YA MIAKA 24 HADI 29
1. Umri mgumu zaidi katika maisha yako ni kati ya miaka 24 hadi 29 hivi. Presha ya kuwa mtu wa aina fulani au levo fulani ya maisha katika umri huo ni kubwa sana… soma zaidi
Umri wa kuanza kutumia njia za uzazi wa mpango
Tagsπ anaweza au daktari hali huu ili inayofaa inazuia isiyotarajiwa kliniki kondomu kuamua kuanza kuhusu kupanga kupata kutumia kuwasaidia kuzuia kwa kwanza. kwenda magonjwa mara mbalimbali mimba mimba. mpango muda muuguzi mwanamke mwanaume mzuri na ni njia pamoja pia sababu ufafanuzi umri unaofaa unapojamiiana uzazi wa wakati ya yao. za zinaa. wiki
Muda unaofaa kutumia njia ya kupanga uzazi ni wakati unapojamiiana kwa mara ya kwanza. Huu ni wakati mzuri wa kutumia kondomu, kwa sababu kondomu inazuia kupata mimba isiyotarajiwa pamoja na magonjwa ya zinaa.
Huu pia ni muda mzuri wa kwenda kliniki ili kupata ufafanuzi kuhusu njia mbalimbali za kuzuia mimba. Daktari au muuguzi anaweza kuwasaidia mwanaume na mwanamke kuamua njia inayofaa kwa hali yao.
Mara nyingi, watu wanafikiri kwamba huduma ya uzazi wa mpango ni kwa wanawake ambao wameshaolewa, kwa mama wajawazito au wanawake waliozaa tu. Lakini si kweli. Hapa Tanzania, kisheria kila mtu aliyebalehe, iwe mvulana au msichana ana haki ya kupata huduma ya uzazi wa mpango… soma zaidi
Tagsπ anaweza au daktari hali huu ili inayofaa inazuia isiyotarajiwa kliniki kondomu kuamua kuanza kuhusu kupanga kupata kutumia kuwasaidia kuzuia kwa kwanza. kwenda magonjwa mara mbalimbali mimba mimba. mpango muda muuguzi mwanamke mwanaume mzuri na ni njia pamoja pia sababu ufafanuzi umri unaofaa unapojamiiana uzazi wa wakati ya yao. za zinaa. wiki
Muda unaofaa kutumia njia ya kupanga uzazi ni wakati unapojamiiana kwa mara ya kwanza. Huu ni wakati mzuri wa kutumia kondomu, kwa sababu kondomu inazuia kupata mimba isiyotarajiwa pamoja na magonjwa ya zinaa.
Huu pia ni muda mzuri wa kwenda kliniki ili kupata ufafanuzi kuhusu njia mbalimbali za kuzuia mimba. Daktari au muuguzi anaweza kuwasaidia mwanaume na mwanamke kuamua njia inayofaa kwa hali yao.
Mara nyingi, watu wanafikiri kwamba huduma ya uzazi wa mpango ni kwa wanawake ambao wameshaolewa, kwa mama wajawazito au wanawake waliozaa tu. Lakini si kweli. Hapa Tanzania, kisheria kila mtu aliyebalehe, iwe mvulana au msichana ana haki ya kupata huduma ya uzazi wa mpango… soma zaidi
Habari na historia ya Wazigua
Tagsπ habari
Habari za Wazigua, Wasambara na Wabondei. Ifahamike kuwa katika bara la Afrika, makablia yaliyo mengi ni kutoka familia lugha ya Wabantu. Licha ya kwamba makabila hayo yanaishi mbalimbali na kwa mtindo tofautitofauti, ukweli ni kwamba makabila haya yanafanana sana. Kwa mfano kuna mfanano mkubwa sana kati ya kabila la Wadogoni kutoka Afrika magharibi na kabila la Wamakonde kutoka kusini mwa Tanzania na kaskazini mwa Msumbiji… soma zaidi
Tagsπ habari
Habari za Wazigua, Wasambara na Wabondei. Ifahamike kuwa katika bara la Afrika, makablia yaliyo mengi ni kutoka familia lugha ya Wabantu. Licha ya kwamba makabila hayo yanaishi mbalimbali na kwa mtindo tofautitofauti, ukweli ni kwamba makabila haya yanafanana sana. Kwa mfano kuna mfanano mkubwa sana kati ya kabila la Wadogoni kutoka Afrika magharibi na kabila la Wamakonde kutoka kusini mwa Tanzania na kaskazini mwa Msumbiji… soma zaidi
Unamkabidhi Moyo kibaka wa mapenzi unategemea nini!!
Tagsπ mahusiano
Kibaka siku zote ni mtu mdokozi mdokozi yeye
anayakuwa kitu fasta na kusepa hana uwezo wa
kuja kuvunja nyumba yako na kuiba ila anaweza
kutoboa dirisha lako na kuiba simu, anaweza
kuruka ukuta na kuiba nguo.
Wapo vibaka wengi sana kwenye mapenzi siku
hizi
wao kazi yao ni kuonja onja miili ya watu kama
wanavyoonja mboga, yaani wao hawawezi
kudumu
katika mapenzi yupo na wewe siku kadhaa na
ndani ya siku hizo tayari anaanza kumfikiria mtu
mwingine… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Kibaka siku zote ni mtu mdokozi mdokozi yeye
anayakuwa kitu fasta na kusepa hana uwezo wa
kuja kuvunja nyumba yako na kuiba ila anaweza
kutoboa dirisha lako na kuiba simu, anaweza
kuruka ukuta na kuiba nguo.
Wapo vibaka wengi sana kwenye mapenzi siku
hizi
wao kazi yao ni kuonja onja miili ya watu kama
wanavyoonja mboga, yaani wao hawawezi
kudumu
katika mapenzi yupo na wewe siku kadhaa na
ndani ya siku hizo tayari anaanza kumfikiria mtu
mwingine… soma zaidi
Mapishi mazuri ya Chapati za maji
Tagsπ mapishinalishe
Unga wa ngano (plain flour) ( 1/4 kilo)
Yai (egg 1)
Sukari (sugar 1/4 kikombe cha chai)
Chumvi (salt 1/4 kijiko cha chai)
Hiliki (ground cardamon 1/4 kijiko cha chai)
Maji kiasi
Mafuta (vegetable oil).. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Unga wa ngano (plain flour) ( 1/4 kilo)
Yai (egg 1)
Sukari (sugar 1/4 kikombe cha chai)
Chumvi (salt 1/4 kijiko cha chai)
Hiliki (ground cardamon 1/4 kijiko cha chai)
Maji kiasi
Mafuta (vegetable oil).. soma zaidi
Je, ni sahihi kufanya mapenzi wakati mkeo akiwa na MIMBA?
Tagsπ wiki
Ni kawaida kwa mwanaadamu aliye mzima kupenda kuwa na mtoto, na kwa namna ya upekee katika kuumbwa kwa mwanaadamu, hakuna njia nyingine yoyote ile ambako mtoto anaweza kupatikana bila ya maingiliano ya kimwili baina ya watu wa jinsia mbili tofauti (ukiachilia mbali instances chache ambapo mambo ya test tube na artificial insemination hutumika)… soma zaidi
Tagsπ wiki
Ni kawaida kwa mwanaadamu aliye mzima kupenda kuwa na mtoto, na kwa namna ya upekee katika kuumbwa kwa mwanaadamu, hakuna njia nyingine yoyote ile ambako mtoto anaweza kupatikana bila ya maingiliano ya kimwili baina ya watu wa jinsia mbili tofauti (ukiachilia mbali instances chache ambapo mambo ya test tube na artificial insemination hutumika)… soma zaidi
Ugonjwa wa kichomi
Tagsπ ; au basi dalili kichomi kila kupatwa mara moja moyo. mrefu muda ni si tagi: ugonjwa ukipatwa vibaya. wa wakti ya za zaidi. Β chunguza mapishinalishe
Kichomi ni moja ya dalili za ugonjwa moyo. Kupatwa kichomi mara moja moja si vibaya.
Ukipatwa muda mrefu au kila wakti ; basi Β chunguza zaidi.
Kichomi husababishwa au kinaweza kuwa… soma zaidi
Tagsπ ; au basi dalili kichomi kila kupatwa mara moja moyo. mrefu muda ni si tagi: ugonjwa ukipatwa vibaya. wa wakti ya za zaidi. Β chunguza mapishinalishe
Kichomi ni moja ya dalili za ugonjwa moyo. Kupatwa kichomi mara moja moja si vibaya.
Ukipatwa muda mrefu au kila wakti ; basi Β chunguza zaidi.
Kichomi husababishwa au kinaweza kuwa… soma zaidi
Mapishi ya Wali maharage,mchuzi wa samaki na spinach
Tagsπ mapishinalishe
Mchele (rice 1/2 kilo)
Maharage yaliyochemshwa (boiled red kidney beans 1 kikombe cha chai)
Samaki waliokaangwa ( 2 fried fish)
Nyanya ya kopo (tin tomato 1/2 ya tin)
Vitunguu vilivyokatwa (onion 2)
Kitunguu swaum (garlic 3 cloves)
Tangawizi (ginger kiasi)
Limao (lemon 1/2)
Chumvi (salt)
Pilipili (scotch bonnet pepper 2)
Mafuta (vegetable oil)
Spinach
Tui la nazi (coconut milk 1 kikombe cha chai).. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mchele (rice 1/2 kilo)
Maharage yaliyochemshwa (boiled red kidney beans 1 kikombe cha chai)
Samaki waliokaangwa ( 2 fried fish)
Nyanya ya kopo (tin tomato 1/2 ya tin)
Vitunguu vilivyokatwa (onion 2)
Kitunguu swaum (garlic 3 cloves)
Tangawizi (ginger kiasi)
Limao (lemon 1/2)
Chumvi (salt)
Pilipili (scotch bonnet pepper 2)
Mafuta (vegetable oil)
Spinach
Tui la nazi (coconut milk 1 kikombe cha chai).. soma zaidi
Ushauri wangu kwa leo
Tagsπ uchumi
Kuna watu wengi sana huwa wanani-challenge ninaposema kwamba ni muhimu sana mtu kuishi katika kusudi la maisha yake. Na moja kati ya hoja zao ni kwamba haya maisha ya sasa mtu akisema aanze kutafuta kusudi la maisha yake atakufa maskini. Hivyo wanaonelea ni bora kufanya chochote kitakachotokea mbele yake ilimradi mwisho wa siku anapata pesa. Yaani anachagua kuwa mtumwa wa Pesa.. soma zaidi
Tagsπ uchumi
Kuna watu wengi sana huwa wanani-challenge ninaposema kwamba ni muhimu sana mtu kuishi katika kusudi la maisha yake. Na moja kati ya hoja zao ni kwamba haya maisha ya sasa mtu akisema aanze kutafuta kusudi la maisha yake atakufa maskini. Hivyo wanaonelea ni bora kufanya chochote kitakachotokea mbele yake ilimradi mwisho wa siku anapata pesa. Yaani anachagua kuwa mtumwa wa Pesa.. soma zaidi
MSONGO WA MAWAZO NA MFADHAIKO WA AKILI KWA MSICHANA
Tagsπ akili akili. au hali hatari hukabiliwa ili ilivyo kama kawaida kukabiliana kuvikwepa. kwa maisha mawazo mfadhaiko msichana msongo mwili mwitikio na ngumu.. ni pia rahisi sehemu siyo tagi: wa wasichana watu wengine ya wiki
Wasichana pia kama ilivyo kwa watu wengine, hukabiliwa na msongo wa mawazo na mfadhaiko wa akili. Msongo na mfadhaiko ni sehemu ya maisha na siyo rahisi kuvikwepa. Msongo wa mawazo ni mwitikio wa akili na mwili ili kukabiliana na hali ya hatari au hali ngumu..
Kwa kawaida msongo wa mawazo na mfadhaiko wa akili hutokana na tafsiri hasi ya akili ya mtu kwa jambo lolote linapompata au analowazia kuwa litampata. Kwa wasichana wa kizazi kipya vyanzo vya msongo na mfadhaiko wa akili vinaongezeka.
Wanafunzi wanaposhinikizwa sana kufaulu masomo hutumia muda mwingi kukaza sana fikra zao juu ya kazi za shule na kukosa usingizi wa kutosha. Mlundikano wa masomo mengi na kazi nyigi za kimasomo kama maandalizi ya wanafunzi kufaulu mitihani na kujitayarisha kwa ajili ya kupata kazi katika ulimwengu usio na ajira za kutosha, huongeza shinikizo, msongo na mfadhaiko kwa wasichana… soma zaidi
Tagsπ akili akili. au hali hatari hukabiliwa ili ilivyo kama kawaida kukabiliana kuvikwepa. kwa maisha mawazo mfadhaiko msichana msongo mwili mwitikio na ngumu.. ni pia rahisi sehemu siyo tagi: wa wasichana watu wengine ya wiki
Wasichana pia kama ilivyo kwa watu wengine, hukabiliwa na msongo wa mawazo na mfadhaiko wa akili. Msongo na mfadhaiko ni sehemu ya maisha na siyo rahisi kuvikwepa. Msongo wa mawazo ni mwitikio wa akili na mwili ili kukabiliana na hali ya hatari au hali ngumu..
Kwa kawaida msongo wa mawazo na mfadhaiko wa akili hutokana na tafsiri hasi ya akili ya mtu kwa jambo lolote linapompata au analowazia kuwa litampata. Kwa wasichana wa kizazi kipya vyanzo vya msongo na mfadhaiko wa akili vinaongezeka.
Wanafunzi wanaposhinikizwa sana kufaulu masomo hutumia muda mwingi kukaza sana fikra zao juu ya kazi za shule na kukosa usingizi wa kutosha. Mlundikano wa masomo mengi na kazi nyigi za kimasomo kama maandalizi ya wanafunzi kufaulu mitihani na kujitayarisha kwa ajili ya kupata kazi katika ulimwengu usio na ajira za kutosha, huongeza shinikizo, msongo na mfadhaiko kwa wasichana… soma zaidi
Vyakula vinavyosaidia kuongeza kinga ya mwili
Tagsπ afya mapishinalishe
Watu wengi tumekuwa tukijali kazi zetu za kila siku bila kujali hali ya afya zetu matokeo yake kumekuwa na ongezeko kubwa la vifo vya ghafla. Suala la kula pengine ndilo nguzo ya kwanza ya afya ya binadamu. Mwili ukiwa sawia bila shaka utaweza kufanya mambo yako yote, na usipokuwa sawa basi hutaweza kutimiza lengo lako lolote! Hivi ni vyakula kadhaa vinavyoweza kukusaidia kuongeza kinga ya mwili wako.. soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Watu wengi tumekuwa tukijali kazi zetu za kila siku bila kujali hali ya afya zetu matokeo yake kumekuwa na ongezeko kubwa la vifo vya ghafla. Suala la kula pengine ndilo nguzo ya kwanza ya afya ya binadamu. Mwili ukiwa sawia bila shaka utaweza kufanya mambo yako yote, na usipokuwa sawa basi hutaweza kutimiza lengo lako lolote! Hivi ni vyakula kadhaa vinavyoweza kukusaidia kuongeza kinga ya mwili wako.. soma zaidi
Ushauri wangu katika maisha
Tagsπ mahusiano
Kuna baadhi ya LEVEL huwezi kufika…Kuna MAFANIKIO huwezi kuyafikia…Kuna HELA huwezi kuzipata…Kama umezungukwa na watu BASIC…
Kuanzia asubuhi mpaka jioni wanaongelea WATU TU….Fulani kamegwa na yule……halafu yule naniliu saivi anatembea na yule ex wa nanii……Asubuhi mpaka jioni DISCUSSING PEOPLE…Hawa ndio watu BASIC…Hata siku 1 hawatakupa Ushauri kuhusu HOW TO REACH SOMEWHERE…NEVER.. soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Kuna baadhi ya LEVEL huwezi kufika…Kuna MAFANIKIO huwezi kuyafikia…Kuna HELA huwezi kuzipata…Kama umezungukwa na watu BASIC…
Kuanzia asubuhi mpaka jioni wanaongelea WATU TU….Fulani kamegwa na yule……halafu yule naniliu saivi anatembea na yule ex wa nanii……Asubuhi mpaka jioni DISCUSSING PEOPLE…Hawa ndio watu BASIC…Hata siku 1 hawatakupa Ushauri kuhusu HOW TO REACH SOMEWHERE…NEVER.. soma zaidi
Wanawake wavumilivu jamani
Tagsπ mahusiano
KUNA WANAWAKE WAVUMILIVU HUKU DUNIANI MFANO HAKUNA…… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
KUNA WANAWAKE WAVUMILIVU HUKU DUNIANI MFANO HAKUNA…… soma zaidi
Kwa nini wasichana wakiingia utu uzima damu zinaanza kutoka kwenye uke?
Tagsπ wiki
Kutoka damu (hedhi) kwa mara ya kwanza kunaitwa kuvunja ungo na hii ni dalili ya mtoto wa kike kuingia utu uzima,0 yaani kuwa mwanamke. Wasichana wanavunja ungo kati ya umri wa miaka 8 na umri wa miaka 18. Lakini, kuvunja ungo haina maana kwamba unahitaji kuanza kujamii ana. Kwa sababu ukijamii ana kuna hatari ya kupata mimba!.. soma zaidi
Tagsπ wiki
Kutoka damu (hedhi) kwa mara ya kwanza kunaitwa kuvunja ungo na hii ni dalili ya mtoto wa kike kuingia utu uzima,0 yaani kuwa mwanamke. Wasichana wanavunja ungo kati ya umri wa miaka 8 na umri wa miaka 18. Lakini, kuvunja ungo haina maana kwamba unahitaji kuanza kujamii ana. Kwa sababu ukijamii ana kuna hatari ya kupata mimba!.. soma zaidi
Matumizi ya Lozi na maziwa kutibu shinikizo la chini la damu
Tagsπ tibu-shinikizo-chini mapishinalishe
Unaweza kutumia Lozi na maziwa kutibu shinikizo la chini la damu kama ifuatavyo;.. soma zaidi
Tagsπ tibu-shinikizo-chini mapishinalishe
Unaweza kutumia Lozi na maziwa kutibu shinikizo la chini la damu kama ifuatavyo;.. soma zaidi
Soma kisa hiki utatambua kwa nini unatakiwa umsaidie ndugu na rafiki yako
Tagsπ habari
HABARI!
nyumba niliyo kuwa nikishi ilifikia kipindi nilitaka kufukuzwa Ndani kwa kutokulipa kodi. Nikaamua kuwashirikisha marafiki hata na boss wangu pia, wote wakaanza kunikwepa, hali nlivyoona hali hii nikaamua kushea na marafiki zangu Tatizo langu kwakupost Facebook kutafuta msaada, lakini nilicho kipata ni likes 2 "na comment "0.".. soma zaidi
Tagsπ habari
HABARI!
nyumba niliyo kuwa nikishi ilifikia kipindi nilitaka kufukuzwa Ndani kwa kutokulipa kodi. Nikaamua kuwashirikisha marafiki hata na boss wangu pia, wote wakaanza kunikwepa, hali nlivyoona hali hii nikaamua kushea na marafiki zangu Tatizo langu kwakupost Facebook kutafuta msaada, lakini nilicho kipata ni likes 2 "na comment "0.".. soma zaidi
Mapishi ya Ugali Kwa Mchuzi Wa Kamba Wa Nazi, Kisamvu Na Kachumbari Ya Papa Mkavu
Tagsπ mapishinalishe
Maji - 4 vikombe kiasi inategemea na unga wenyewe… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Maji - 4 vikombe kiasi inategemea na unga wenyewe… soma zaidi
Jinsi ya kulima guatemala
Tagsπ (tripsacum aina andersonii) au cha chakula guatemala hata haya hayatakiwi hii hivyo huweza imesambaa inahitaji kama katika kiangazi kiangazi. kiasi kibichi kijani kikubwa kipindi kubaki kulima kulimajinsi kutumika kwa lakini majani malisho mifugo mvua na pekee. tagi: tropiki. udongo ukanda unyevu wa wakati wenye wote ya yakiwa yanatumika ziada wiki
Majani haya yanatumika kama chakula cha ziada kwa mifugo wakati wa kiangazi, hayatakiwi kutumika kama malisho pekee… soma zaidi
Tagsπ (tripsacum aina andersonii) au cha chakula guatemala hata haya hayatakiwi hii hivyo huweza imesambaa inahitaji kama katika kiangazi kiangazi. kiasi kibichi kijani kikubwa kipindi kubaki kulima kulimajinsi kutumika kwa lakini majani malisho mifugo mvua na pekee. tagi: tropiki. udongo ukanda unyevu wa wakati wenye wote ya yakiwa yanatumika ziada wiki
Majani haya yanatumika kama chakula cha ziada kwa mifugo wakati wa kiangazi, hayatakiwi kutumika kama malisho pekee… soma zaidi
Dondoo!
Tagsπ habari
<Dharau zitaisha pale utakapoanza kujiheshimu.
<Ukahaba utaisha pale WANAUME watakapoacha
kuwa Wateja.
<UKIMWI utaisha pale utakapoacha NGONO.
<Michepuko itaisha pale utakapoacha kutongoza-
tongoza na <kujitongozesha-tongozesha ovyo
ovyo… soma zaidi
Tagsπ habari
<Dharau zitaisha pale utakapoanza kujiheshimu.
<Ukahaba utaisha pale WANAUME watakapoacha
kuwa Wateja.
<UKIMWI utaisha pale utakapoacha NGONO.
<Michepuko itaisha pale utakapoacha kutongoza-
tongoza na <kujitongozesha-tongozesha ovyo
ovyo… soma zaidi
Je, watumiaji wa dawa za kulevya wanaweza kupata watoto?
Tagsπ wiki
Ndiyo, hii i ii inawezekana. Lakini ujue kwamba watu wanaotumia dawa za kulevya huwa dhaifu kisaikolojia na kiumbile kwa maana hiyo wanaweza wasiwe katika hali nzuri ya kupata watoto. Hawajali afya zao. Wanakosa hisia na hutumia muda mwingi kushiriki katika matumizi ya dawa za kulevya; pia hutumia fedha nyingi. Haya si mazingira mazuri ya kulea watoto… soma zaidi
Tagsπ wiki
Ndiyo, hii i ii inawezekana. Lakini ujue kwamba watu wanaotumia dawa za kulevya huwa dhaifu kisaikolojia na kiumbile kwa maana hiyo wanaweza wasiwe katika hali nzuri ya kupata watoto. Hawajali afya zao. Wanakosa hisia na hutumia muda mwingi kushiriki katika matumizi ya dawa za kulevya; pia hutumia fedha nyingi. Haya si mazingira mazuri ya kulea watoto… soma zaidi
Jinsi ya kupika Mseto Kwa Mchuzi Wa Samaki Wa Nazi
Tagsπ mapishinalishe
Tanbihi: Kiasi ya vipimo inategemea wingi wa watu, unaweza kupunguza au kuongeza. Hiki ni kiasi cha watu 6 takriban… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Tanbihi: Kiasi ya vipimo inategemea wingi wa watu, unaweza kupunguza au kuongeza. Hiki ni kiasi cha watu 6 takriban… soma zaidi
Kwa nini watu wanaamini kuwa Albino hawana maambukizo ya Virusi vya UKIMWI (VVU)?
Tagsπ (vvu)? albino anaweza au bikira bila hawana hazina hilo hiyo huambukizwa ili imani inawezekana jambo jamii kabisa. katika kinga. kuendeleza kufanya kufuata kuhusu kujamiiana kukwepa kunakofanywa kupitia kupona kupotoshwa kuu kuwa kwa kweli maambukizo majimaji makusudi maovu. mapenzi matendo mfano; mlemavu msingi mtu mwili na ni nini njia potofu si ukimwi ukimwi. ukweli uongo virusi vvu vya wa wachache wanaamini wanaweza watu wowote wowote. ya yao za zisizo wiki
Imani hiyo si kweli kabisa. Inawezekana ni kupotoshwa kwa
makusudi wa ukweli kuhusu jambo hilo kunakofanywa na watu
wachache katika jamii ili kuendeleza matendo yao maovu. Watu
wanaweza kufuata imani potofu na zisizo na msingi wowote ili
kukwepa ukweli kuhusu VVU na UKIMWI. Kwa mfano; imani
kuwa mtu anaweza kupona UKIMWI kwa kufanya mapenzi na
bikira, mlemavu au Albino ni za uongo na hazina msingi wowote.
VVU huambukizwa kupitia majimaji ya mwili, na njia kuu ya
maambukizo ni kujamiiana bila kinga. Njia pekee za kuzuia
maambukizo ni kuacha kabisa kufanya ngono, kuwa na mpenzi
mmoja muaminifu au kutumia kondomu.Watu wanaoeneza imani hizi
potofu wanatafuta njia mbadala ya kuhalalisha tabia zao mbaya… soma zaidi
Tagsπ (vvu)? albino anaweza au bikira bila hawana hazina hilo hiyo huambukizwa ili imani inawezekana jambo jamii kabisa. katika kinga. kuendeleza kufanya kufuata kuhusu kujamiiana kukwepa kunakofanywa kupitia kupona kupotoshwa kuu kuwa kwa kweli maambukizo majimaji makusudi maovu. mapenzi matendo mfano; mlemavu msingi mtu mwili na ni nini njia potofu si ukimwi ukimwi. ukweli uongo virusi vvu vya wa wachache wanaamini wanaweza watu wowote wowote. ya yao za zisizo wiki
Imani hiyo si kweli kabisa. Inawezekana ni kupotoshwa kwa
makusudi wa ukweli kuhusu jambo hilo kunakofanywa na watu
wachache katika jamii ili kuendeleza matendo yao maovu. Watu
wanaweza kufuata imani potofu na zisizo na msingi wowote ili
kukwepa ukweli kuhusu VVU na UKIMWI. Kwa mfano; imani
kuwa mtu anaweza kupona UKIMWI kwa kufanya mapenzi na
bikira, mlemavu au Albino ni za uongo na hazina msingi wowote.
VVU huambukizwa kupitia majimaji ya mwili, na njia kuu ya
maambukizo ni kujamiiana bila kinga. Njia pekee za kuzuia
maambukizo ni kuacha kabisa kufanya ngono, kuwa na mpenzi
mmoja muaminifu au kutumia kondomu.Watu wanaoeneza imani hizi
potofu wanatafuta njia mbadala ya kuhalalisha tabia zao mbaya… soma zaidi
Ni katika umri gani vijana wana haki ya kujihusisha na mambo ya kujamiiana?
Tagsπ binafsi. gani hadhari haki hakikisha hakuna kama katika kondomu kuchukua kujamiiana kujamiiana. kujamiiana? kujihusisha kujikinga kukuamulia. kumbuka kutokana kutumia kwamba lakini maamuzi magonjwa mambo matokeo mimba mtu muhimu. mwenye mwenzi na ni uamuzi ukimwi. uliojulishwa umri unaelewa unapoamua usisahau usizotarajia vijana vile virusi vya wa wako wana wewe ya yeyote wiki
Kujamiiana ni uamuzi wa mtu binafsi. Ni uamuzi wako na hakuna
mtu yeyote mwenye haki ya kukuamulia. Lakini unapoamua
kujamiiana hakikisha kwamba ni maamuzi uliojulishwa na kwamba
unaelewa matokeo ya kujamiiana. Usisahau kuchukua hadhari
muhimu. kumbuka kutumia kondomu kujikinga wewe na mwenzi
wako kutokana na mimba usizotarajia na magonjwa kama vile
Virusi vya UKIMWI. Madhari mwili wako unaendelea kukua,
kujamiiana bila ya kondomu ni hatari zaidi kuliko mtu mzima,
kwa sababu maambukizo mengine haswa kwa vijana yanaweza
kukuletea matatizo kama vile ugumba baadaye katika maisha.
Pia jiulize mwenyewe kwa uangalifu kama kweli unataka
kujamiiana. Ni muhimu pia kujadiliana na mwenzi wako na kuwa
na hakika kama wote wawili mnataka kujamiiana. Usijamiiane
kwa sababu tu unafikiria kwamba watu wengine wanajamiiana
au unajitosa kwa kuwa unashawishiwa na marafiki au watu
wazima… soma zaidi
Tagsπ binafsi. gani hadhari haki hakikisha hakuna kama katika kondomu kuchukua kujamiiana kujamiiana. kujamiiana? kujihusisha kujikinga kukuamulia. kumbuka kutokana kutumia kwamba lakini maamuzi magonjwa mambo matokeo mimba mtu muhimu. mwenye mwenzi na ni uamuzi ukimwi. uliojulishwa umri unaelewa unapoamua usisahau usizotarajia vijana vile virusi vya wa wako wana wewe ya yeyote wiki
Kujamiiana ni uamuzi wa mtu binafsi. Ni uamuzi wako na hakuna
mtu yeyote mwenye haki ya kukuamulia. Lakini unapoamua
kujamiiana hakikisha kwamba ni maamuzi uliojulishwa na kwamba
unaelewa matokeo ya kujamiiana. Usisahau kuchukua hadhari
muhimu. kumbuka kutumia kondomu kujikinga wewe na mwenzi
wako kutokana na mimba usizotarajia na magonjwa kama vile
Virusi vya UKIMWI. Madhari mwili wako unaendelea kukua,
kujamiiana bila ya kondomu ni hatari zaidi kuliko mtu mzima,
kwa sababu maambukizo mengine haswa kwa vijana yanaweza
kukuletea matatizo kama vile ugumba baadaye katika maisha.
Pia jiulize mwenyewe kwa uangalifu kama kweli unataka
kujamiiana. Ni muhimu pia kujadiliana na mwenzi wako na kuwa
na hakika kama wote wawili mnataka kujamiiana. Usijamiiane
kwa sababu tu unafikiria kwamba watu wengine wanajamiiana
au unajitosa kwa kuwa unashawishiwa na marafiki au watu
wazima… soma zaidi
Siri 39 za kuwa Milionea, Jinsi ya kupata pesa na kuwa tajiri
Tagsπ uchumi
1. Tafuta fursa kila kona.
2. Tumia kipaji chako.
3. Kuwa na nidhamu katika fedha - matumizi mazuri ya pesa, nidhamu kwa watu wanaokuzunguka, usijikweze, usibague jamii, heshimu wote waliokaribu yako nk.
4. Kuwa na nidhamu katika afya yako: Afya ndio mtaji sahihi katika biashara yoyote - kuwa na mazoea ya kuangalia afya yako mara kwa mara nk… soma zaidi
Tagsπ uchumi
1. Tafuta fursa kila kona.
2. Tumia kipaji chako.
3. Kuwa na nidhamu katika fedha - matumizi mazuri ya pesa, nidhamu kwa watu wanaokuzunguka, usijikweze, usibague jamii, heshimu wote waliokaribu yako nk.
4. Kuwa na nidhamu katika afya yako: Afya ndio mtaji sahihi katika biashara yoyote - kuwa na mazoea ya kuangalia afya yako mara kwa mara nk… soma zaidi
Mapishi ya Mlenda wa bamia na nyanya chungu
Tagsπ mapishinalishe
Bamia (okra) 20
Nyanya chungu (garden eggs) 5
Magadi soda (Bicabonate soda) 1/4 ya kijiko cha chai
Nyanya (fresh tomato) 1
Chumvi (salt) kidogo
Pilipili 1/4.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Bamia (okra) 20
Nyanya chungu (garden eggs) 5
Magadi soda (Bicabonate soda) 1/4 ya kijiko cha chai
Nyanya (fresh tomato) 1
Chumvi (salt) kidogo
Pilipili 1/4.. soma zaidi
Madhara ya kumlaza mtoto kifudifudi, kumlaza kwa tumbo
Tagsπ afya mapishinalishe
Unafahamu nini kuhusu suala la kumlaza mwanao? Maana Mapokeo tuliyo yapokea enzi na enzi ni kuwa ukitaka mtoto wako alale bila kushtuka basi alalie tumbo. Bado watu wengi wanaendelea kufanya hivyo hata sasa hivi unaposoma makala haya… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Unafahamu nini kuhusu suala la kumlaza mwanao? Maana Mapokeo tuliyo yapokea enzi na enzi ni kuwa ukitaka mtoto wako alale bila kushtuka basi alalie tumbo. Bado watu wengi wanaendelea kufanya hivyo hata sasa hivi unaposoma makala haya… soma zaidi
Afya ya uzazi ni nini?
Tagsπ afya basi gani hali hiyo ina inahusiana kama katika kuamua kukidhi kuwa kwa kwamba lini maana maisha mambo mapenzi mfumo mtu muda na ni nini? pia uhuru ujinsia. usalama uwezo uzazi via vya wa wana wapate watoto watoto. watu watu. ya yanayojumuisha yao yote wiki
Afya ya uzazi inahusiana na mfumo wa uzazi wa mtu, na via
vya uzazi kwa watu. Kwa hali hiyo basi inahusiana na mambo
yote yanayojumuisha uzazi na ujinsia. Ina maana kuwa watu
wana uwezo wa kukidhi mapenzi na usalama katika maisha
yao, kwamba watu wana uwezo wa kuwa na watoto na pia wana
uhuru wa kuamua, kama lini na kwa muda gani wapate watoto.
Yaliyomo humu yanampa haki mwanamume na mwanamke kupewa
habari au kuelekezwa na kufikiwa na njia za uzazi wa mpango
ambazo ni salama, zinazofanya kazi, anazomudu kulipia na njia
zinazokubalika za uzazi wa mpango alizochagua na haki ya kuwa
na huduma za afya zinazofaa ambazo zitawawezesha wanawake
kuwa salama wakati wa ujazito na kujifungua… soma zaidi
Tagsπ afya basi gani hali hiyo ina inahusiana kama katika kuamua kukidhi kuwa kwa kwamba lini maana maisha mambo mapenzi mfumo mtu muda na ni nini? pia uhuru ujinsia. usalama uwezo uzazi via vya wa wana wapate watoto watoto. watu watu. ya yanayojumuisha yao yote wiki
Afya ya uzazi inahusiana na mfumo wa uzazi wa mtu, na via
vya uzazi kwa watu. Kwa hali hiyo basi inahusiana na mambo
yote yanayojumuisha uzazi na ujinsia. Ina maana kuwa watu
wana uwezo wa kukidhi mapenzi na usalama katika maisha
yao, kwamba watu wana uwezo wa kuwa na watoto na pia wana
uhuru wa kuamua, kama lini na kwa muda gani wapate watoto.
Yaliyomo humu yanampa haki mwanamume na mwanamke kupewa
habari au kuelekezwa na kufikiwa na njia za uzazi wa mpango
ambazo ni salama, zinazofanya kazi, anazomudu kulipia na njia
zinazokubalika za uzazi wa mpango alizochagua na haki ya kuwa
na huduma za afya zinazofaa ambazo zitawawezesha wanawake
kuwa salama wakati wa ujazito na kujifungua… soma zaidi
Mapishi ya Pilau Ya Nafaka Na Nyama Ya Kusaga
Tagsπ mapishinalishe
Mchele - 3 vikombe.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mchele - 3 vikombe.. soma zaidi
KAMA ULIZALIWA BAADA YA MWAKA 90 HAYA AMAMBO YALIKUPITA
Tagsπ mahusiano
1. Kupakwa GV kwenye kidonda
2. Kung'olewa jino kwa uzi
3. Ubwabwa kupikwa jumapili tu
4. Kidonda kuwekwa unga wa 'rangi mbili' a.k.a tetesakrin
5. Kupamba kadi na pamba sebuleni
6. Ukumbi wa sherehe kupambwa kwa toilet paper
7. Kunyolewa kwa mkasi.. soma zaidi
Tagsπ mahusiano
1. Kupakwa GV kwenye kidonda
2. Kung'olewa jino kwa uzi
3. Ubwabwa kupikwa jumapili tu
4. Kidonda kuwekwa unga wa 'rangi mbili' a.k.a tetesakrin
5. Kupamba kadi na pamba sebuleni
6. Ukumbi wa sherehe kupambwa kwa toilet paper
7. Kunyolewa kwa mkasi.. soma zaidi
Mambo ya kufanya unapostuka usiku ili kulinda afya yako
Tagsπ afya mapishinalishe
Kumekuwepo na tatizo la vifo vya ghafla sana tena kwa watu ambao wana afya njema na hii inatokana na kuamka ghafla usiku ambapo ubongo hukisa damu ya kutosha… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Kumekuwepo na tatizo la vifo vya ghafla sana tena kwa watu ambao wana afya njema na hii inatokana na kuamka ghafla usiku ambapo ubongo hukisa damu ya kutosha… soma zaidi
Sheria zinazohusiana na ndoa za kulazimishwa
Tagsπ 1971. ambao basi bunge haikuwa hiari hii hiyo iliyopitishwa inakataza inasema inatambua iwapo kama kati kuishi kulazimisha. kulazimishwa kwa kwamba mke mke. msingi mume muungano mwaka na nchini ndoa ndoa. ni sheria siyo tanzania wameamua ya yao za zinazohusiana wiki
Sheria ya msingi ya ndoa nchini Tanzania ni Sheria ya ndoa ya
Bunge, iliyopitishwa mwaka 1971. Sheria hii inakataza ndoa za
kulazimisha. Inatambua ndoa kama ni muungano kati ya mume
na mke ambao kwa hiari yao wameamua kuishi kama mume na
mke. Sheria hiyo inasema kwamba iwapo ndoa haikuwa ya hiari,
basi hiyo siyo ndoa. Sheria pia imefafanua utoaji wa adhabu
kwa watu wote wanaoshawishi au wanaolazimisha pande hizo
mbili kuingia katika ndoa bila hiari yao. Kwa hiyo mwathiriwa wa
ndoa ya kulazimishwa anatakiwa kutoa taarifa juu ya wale wote
waliomlazimisha katika ndoa kwa polisi ambaye atawashitaki
kwa kuwa hili ni kosa la jinai… soma zaidi
Tagsπ 1971. ambao basi bunge haikuwa hiari hii hiyo iliyopitishwa inakataza inasema inatambua iwapo kama kati kuishi kulazimisha. kulazimishwa kwa kwamba mke mke. msingi mume muungano mwaka na nchini ndoa ndoa. ni sheria siyo tanzania wameamua ya yao za zinazohusiana wiki
Sheria ya msingi ya ndoa nchini Tanzania ni Sheria ya ndoa ya
Bunge, iliyopitishwa mwaka 1971. Sheria hii inakataza ndoa za
kulazimisha. Inatambua ndoa kama ni muungano kati ya mume
na mke ambao kwa hiari yao wameamua kuishi kama mume na
mke. Sheria hiyo inasema kwamba iwapo ndoa haikuwa ya hiari,
basi hiyo siyo ndoa. Sheria pia imefafanua utoaji wa adhabu
kwa watu wote wanaoshawishi au wanaolazimisha pande hizo
mbili kuingia katika ndoa bila hiari yao. Kwa hiyo mwathiriwa wa
ndoa ya kulazimishwa anatakiwa kutoa taarifa juu ya wale wote
waliomlazimisha katika ndoa kwa polisi ambaye atawashitaki
kwa kuwa hili ni kosa la jinai… soma zaidi
Jinsi ya kutunza nyumba ya kuku ili kuzuia magonjwa
Tagsπ kuzuia_magonjwa_kuku kilimonaufugaji
1. Nyumba ya kuku iwe safi na kavu muda wote kuzuia ueneaji na kuzaliana kwa vijidudu vya magonjwa.. soma zaidi
Tagsπ kuzuia_magonjwa_kuku kilimonaufugaji
1. Nyumba ya kuku iwe safi na kavu muda wote kuzuia ueneaji na kuzaliana kwa vijidudu vya magonjwa.. soma zaidi
Jinsi ya Kulima karanga
Tagsπ (mashudu 1. 2. 3. ardhi binadamu bora cha chakula dodoma hili hustawi hutumika jinsi karanga katika kilimo kulima kurutubisha kusini kutoa kwa mafuta mafuta. majani) mashariki mazao mbali mikoa mojawapo morogoro. na na: nazo ni njia nyingine pamoja tagi: tanzania vile wanyama ya yanayotoa zaid zao wiki
Karanga ni mojawapo ya mazao yanayotoa mafuta. Katika Tanzania zao hili hustawi zaid katika mikoa ya Kusini Mashariki, Dodoma na Morogoro. Pamoja na kutoa mafuta vile vile zao hutumika kwa njia nyingine mbali mbali, nazo ni pamoja na:.. soma zaidi
Tagsπ (mashudu 1. 2. 3. ardhi binadamu bora cha chakula dodoma hili hustawi hutumika jinsi karanga katika kilimo kulima kurutubisha kusini kutoa kwa mafuta mafuta. majani) mashariki mazao mbali mikoa mojawapo morogoro. na na: nazo ni njia nyingine pamoja tagi: tanzania vile wanyama ya yanayotoa zaid zao wiki
Karanga ni mojawapo ya mazao yanayotoa mafuta. Katika Tanzania zao hili hustawi zaid katika mikoa ya Kusini Mashariki, Dodoma na Morogoro. Pamoja na kutoa mafuta vile vile zao hutumika kwa njia nyingine mbali mbali, nazo ni pamoja na:.. soma zaidi
Ushauri wa bure kwa wakaka na wadada
Tagsπ mahusiano
*_Kwa wale wadada ππΏππΏ ambao msione mkaka kasimama madhabahuni anahubiri, mmeshampenda…_*
πππ
π³π³π³
*_Kwenye NDOA hakuna π πΏπ πΏ kuhubiriana, na kama kupo ni robo ya robo ya NDOA, badili MTAZAMO π€π€_*.. soma zaidi
Tagsπ mahusiano
*_Kwa wale wadada ππΏππΏ ambao msione mkaka kasimama madhabahuni anahubiri, mmeshampenda…_*
πππ
π³π³π³
*_Kwenye NDOA hakuna π πΏπ πΏ kuhubiriana, na kama kupo ni robo ya robo ya NDOA, badili MTAZAMO π€π€_*.. soma zaidi