VIDEO-MTANDAONI
This is the Redirect module that redirects the browser directly to the "http://www.ackyshine.com/videos" page.
VIDEO-MTANDAONI
By, Melkisedeck Shine.
Tags π ajali pikipiki. Category πvideos,: ajali pikipiki, Angalia huyu alivyogongwa kiajabu, kajigongesha mwenyewe, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Ukisikia ulofa ndio huu, huyu ndiyo mume bwege sasa, πAngalia video hapa
Tags π paka vichekesho. Category πvideos,: paka vichekesho, Angalia hawa watakachokipata hapa baada ya kufungua kwa makini, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Cheki huyu jamaa Kawa kama katuni, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Wazee wengine wahuni sana, mwangalie huyu mzee anachomfanyia huyu bibi wa watu, πAngalia video hapa
Tags π maajabu. Category πvideos,: maajabu, Angalia huyu alivyoponea chupu chupu kugongwa na gari, πAngalia video hapa
Tags π maajabu. Category πvideos,: maajabu, Ona mguu wa huyu Dada anavyouweka, πAngalia video hapa
Tags π ajali vichekesho. Category πvideos,: ajali vichekesho, Angalia huyu dogo baisikeli yake ilichomfanya, πAngalia video hapa
Tags π maajabu. Category πvideos,: maajabu, Huyu jamaa kabuni chombo kipya cha kusafiria, πAngalia video hapa
Tags π simba wanyama. Category πvideos,: simba wanyama, Angalia huyu simba alivyokwama mguu kwenye pembe ya nyati, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Tamaa nyingine bwana, huyu jamaa kazidi sasa, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Amakweli pombe sio chai, angalia ilichomfanya huyu, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Huyu ng'ombe anayependa kupiga watu kawezwa kweli, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Angalia kilichompata huyu jamaa, yaani pigo moja tuu mtu kule, πAngalia video hapa
Tags π nyoka panya wanyama. Category πvideos,: nyoka panya wanyama, Angalia huyu nyoka anavyomeza, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Huyu bodaboda leo kapatikana, hapa ndipo mtu unakimbia abiria, πAngalia video hapa
Tags π maajabu mbwa. Category πvideos,: maajabu mbwa, Jinsi mbwa wanavyouzwa kama kitoweo kwa wachina, πAngalia video hapa
Tags π sifa vichekesho. Category πvideos,: sifa vichekesho, Pale sifa zinapozidi ndio kinachotokea hivi, πAngalia video hapa
Tags π gari maajabu michezo. Category πvideos,: gari maajabu michezo, Cheki dereva wa hili gari anachokifanya, πAngalia video hapa
Tags π ajali gari michezo. Category πvideos,: ajali gari michezo, Michezo hatari ya magari, πAngalia video hapa
.
.
Endelea kuperuzi;-π
π¬ VIDEO-ONLINEβ
π¬ VIDEO-FACEBOOKβ
π¬ VIDEO-INSTAβ
π¬ VIDEO-INSTAGRAMβ
π¬ VIDEO-ACKYSHINEβ
π¬ VIDEO-HOTSβ
π¬ VIDEO-BOMBAβ
π¬ VIDEO-MPYAβ
π¬ VIDEO-TUUβ
π¬ VIDEO-MOTOMOTOβ
π¬ VIDEO-KALI-LEOβ
π¬ Meli inavyoingizwa bahariniβ
Jinsi ya kufanya kupunguza mwili kwa kupanga ulaji wa chakula
Tagsπ afya mapishinalishe
Ulaji wa vyakula vingi vya wanga na mafuta ni chanzo kikubwa cha unene na uzito kuongezeka. Vyakula kama ugali,wali,mkate mweupe,bia na pombe za kienyeji zinazotokana na wanga (kimea) huchangia kuongezeka kwa uzito. Matumizi ya aina hii ya chakula ni muhimu kupunguzwa katika mlo wako… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Ulaji wa vyakula vingi vya wanga na mafuta ni chanzo kikubwa cha unene na uzito kuongezeka. Vyakula kama ugali,wali,mkate mweupe,bia na pombe za kienyeji zinazotokana na wanga (kimea) huchangia kuongezeka kwa uzito. Matumizi ya aina hii ya chakula ni muhimu kupunguzwa katika mlo wako… soma zaidi
Faida za kiafya za Kula Matunda
Tagsπ mapishinalishe
Matunda yote yana faida mwilini kiafya lakini matunda yanatofautiana kifaida. Zifuatazo ni faida za kula matunda ya aina Mbalimbali;.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Matunda yote yana faida mwilini kiafya lakini matunda yanatofautiana kifaida. Zifuatazo ni faida za kula matunda ya aina Mbalimbali;.. soma zaidi
Madhara ya kutumia dawa za kuzuia mimba wakati wa hatari
Tagsπ afya mapishinalishe
Watu wengi hasa vijana watakuwa wanafahamu dawa ambazo hutumiwa sana kuzuia ujauzito pale ambapo wapenzi wamejamiiana ndani ya siku za hatari. Ninazungumzia dawa za kuzuia mimba sio dawa za kupanga uzazi. Dawa hizi zipo za aina nyingi ambazo zitozitaja hapa siku ya leo. Endapo wawili hawa wanakuwa hawapo tayari kupata mtoto, na wanaona kwamba siku walizojamiiana zitapelekea mwanamke huyo kutunga mimba, basi anaweza kutumia dawa hizi ambazo zinaharibu mazingira au uwezekano wa mimba kutungwa… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Watu wengi hasa vijana watakuwa wanafahamu dawa ambazo hutumiwa sana kuzuia ujauzito pale ambapo wapenzi wamejamiiana ndani ya siku za hatari. Ninazungumzia dawa za kuzuia mimba sio dawa za kupanga uzazi. Dawa hizi zipo za aina nyingi ambazo zitozitaja hapa siku ya leo. Endapo wawili hawa wanakuwa hawapo tayari kupata mtoto, na wanaona kwamba siku walizojamiiana zitapelekea mwanamke huyo kutunga mimba, basi anaweza kutumia dawa hizi ambazo zinaharibu mazingira au uwezekano wa mimba kutungwa… soma zaidi
Jinsi ya kupika Mkate wa sinia
Tagsπ mapishinalishe
Unga wa mchele (rice flour 2 vikombe vya chai)
Sukari (sugar 3/4 ya kikombe cha chai)
Hamira (dried yeast 3/4 kijiko cha chakula)
Hiliki (cardamon powder 1/2 kijiko cha chai)
Ute wa yai 1(egg white)
Tui la nazi (coconut milk kikombe 1 na 1/2 cha chai)
Mafuta (vegetable oil).. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Unga wa mchele (rice flour 2 vikombe vya chai)
Sukari (sugar 3/4 ya kikombe cha chai)
Hamira (dried yeast 3/4 kijiko cha chakula)
Hiliki (cardamon powder 1/2 kijiko cha chai)
Ute wa yai 1(egg white)
Tui la nazi (coconut milk kikombe 1 na 1/2 cha chai)
Mafuta (vegetable oil).. soma zaidi
Inakuwaje mtoto anakuwa wa kike au wa kiume?
Tagsπ aina anakuwa au duniani. hii i ile inakuwaje inarutubisha inatokea. inayofika jinsia katika kike kike. kiume kiume? kumpata kuna kuwa kwanza kweli kwenye mbegu mbegu. mbili mtoto mwanaume mwili na nchi ni uleule unafanana unatengeneza uwezekano wa wakati ya yai za zinazokua zote wiki
Mwili wa mwanaume unatengeneza aina mbili za mbegu. Kuna mbegu zinazokua kuwa mtoto wa kiume na kuna mbegu zinazokua kuwa mtoto wa kike. Ile mbegu inayofika kwenye yai kwanza, inarutubisha yai na ni wakati uleule, jinsia ya mtoto i inatokea. Uwezekano wa kumpata mtoto wa kike au wa kiume unafanana, na hii ni kweli katika nchi zote duniani… soma zaidi
Tagsπ aina anakuwa au duniani. hii i ile inakuwaje inarutubisha inatokea. inayofika jinsia katika kike kike. kiume kiume? kumpata kuna kuwa kwanza kweli kwenye mbegu mbegu. mbili mtoto mwanaume mwili na nchi ni uleule unafanana unatengeneza uwezekano wa wakati ya yai za zinazokua zote wiki
Mwili wa mwanaume unatengeneza aina mbili za mbegu. Kuna mbegu zinazokua kuwa mtoto wa kiume na kuna mbegu zinazokua kuwa mtoto wa kike. Ile mbegu inayofika kwenye yai kwanza, inarutubisha yai na ni wakati uleule, jinsia ya mtoto i inatokea. Uwezekano wa kumpata mtoto wa kike au wa kiume unafanana, na hii ni kweli katika nchi zote duniani… soma zaidi
Vitu vinavyoweza kusababisha tatizo la mbegu chache na ugumba kwa ujumla kwa wanaume
Tagsπ mapishinalishe
Vifaa vingi vya kisasa vya kieletroniki vinasababisha kushuka kwa wingi na ubora wa mbegu kwa wanaume wengi miaka ya sasa kwani mionzi yake hupelekea joto lisilohitajika katika mifuko ya mbegu za kiume. Vifaa hivi ni pamoja na simu na Kompyuta… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Vifaa vingi vya kisasa vya kieletroniki vinasababisha kushuka kwa wingi na ubora wa mbegu kwa wanaume wengi miaka ya sasa kwani mionzi yake hupelekea joto lisilohitajika katika mifuko ya mbegu za kiume. Vifaa hivi ni pamoja na simu na Kompyuta… soma zaidi
Je, kuna dawa yoyote ya kutibu ugumba?
Tagsπ wiki
Hakuna jibu la ujumla kwa swali hili, kwa sababu tiba ya ugumba inategemea chanzo maalum cha ugumba huo kwa mhusika. Kuna matatizo ya ugumba ambayo yanaweza kutibiwa, lakini mara nyingi ni vigumu au hata haiwezekani kumtibu mwanaume au mwanamke mgumba.
Kwanza kabisa, lazima daktari atafute sababu za ugumba kwa kufanya uchunguzi wa kitaalamu kwa mwanamke na mwanaume. Baada ya uchunguzi daktari anaweza akawashauri kuhusu uwezekano wa kuwatibu. Mara nyingine tiba ni rahisi, lakini matatizo mengine ni mazito na ni vigumu au haiwezekani kuyatibu… soma zaidi
Tagsπ wiki
Hakuna jibu la ujumla kwa swali hili, kwa sababu tiba ya ugumba inategemea chanzo maalum cha ugumba huo kwa mhusika. Kuna matatizo ya ugumba ambayo yanaweza kutibiwa, lakini mara nyingi ni vigumu au hata haiwezekani kumtibu mwanaume au mwanamke mgumba.
Kwanza kabisa, lazima daktari atafute sababu za ugumba kwa kufanya uchunguzi wa kitaalamu kwa mwanamke na mwanaume. Baada ya uchunguzi daktari anaweza akawashauri kuhusu uwezekano wa kuwatibu. Mara nyingine tiba ni rahisi, lakini matatizo mengine ni mazito na ni vigumu au haiwezekani kuyatibu… soma zaidi
Aina ya vyakula vinavyotakiwa kwa wajawazito
Tagsπ afya mapishinalishe
Kwa ajili afya ya mama na mtoto ni muhimu sana, mwanamke anatakiwa apate chakula bora kilicho na madini yote kama vitamini na protini. Mama mjamzito anatakiwa apate gramu 100 za protini kila siku. Ifuatayo ni mlo kamili anaotakiwa apate mama mjamzito kila siku ya ujauzito wake kwa afya bora… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Kwa ajili afya ya mama na mtoto ni muhimu sana, mwanamke anatakiwa apate chakula bora kilicho na madini yote kama vitamini na protini. Mama mjamzito anatakiwa apate gramu 100 za protini kila siku. Ifuatayo ni mlo kamili anaotakiwa apate mama mjamzito kila siku ya ujauzito wake kwa afya bora… soma zaidi
Faida za kula mayai asubuhi
Tagsπ afya mapishinalishe
Mayai ni kitu kilichozoeleka na kinachopatikana kwa gharama nafuu. Kutokana na kuzoeleka huku watu wengi wamekuwa wakipuuza umuhimu au nafasi ya mayai katika afya zao. Pengine kupuuza huku kunatokana na mazoea au ukosefu wa elimu juu ya faida zinazopatikana kutokana na ulaji wa mayai… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Mayai ni kitu kilichozoeleka na kinachopatikana kwa gharama nafuu. Kutokana na kuzoeleka huku watu wengi wamekuwa wakipuuza umuhimu au nafasi ya mayai katika afya zao. Pengine kupuuza huku kunatokana na mazoea au ukosefu wa elimu juu ya faida zinazopatikana kutokana na ulaji wa mayai… soma zaidi
Mambo ya Msingi kuyajua kuhusu Ugonjwa wa Kipindupindu
Tagsπ afya mapishinalishe
Mojawapo kati ya magonjwa yanayohusishwa na umaskini na uchafu wa kupindukia ni ugonjwa wa Kipindupindu. Inaripotiwa kuwa Kipingupindu ni miongoni mwa magonjwa ambayo huathiri jamii maskini zaidi kwa kiasi kikubwa hasa hasa kwenye nchi zinazoendelea, kiasi kwamba Shirika la Afya Duniani (WHO) limeuweka ugonjwa huu kama mojawapo ya viashiria vya maendeleo ya jamii husika… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Mojawapo kati ya magonjwa yanayohusishwa na umaskini na uchafu wa kupindukia ni ugonjwa wa Kipindupindu. Inaripotiwa kuwa Kipingupindu ni miongoni mwa magonjwa ambayo huathiri jamii maskini zaidi kwa kiasi kikubwa hasa hasa kwenye nchi zinazoendelea, kiasi kwamba Shirika la Afya Duniani (WHO) limeuweka ugonjwa huu kama mojawapo ya viashiria vya maendeleo ya jamii husika… soma zaidi
Je, watu wanaoishi na ualbino wanafanana wote?
Tagsπ aina albino cha hapana. hawafanani hawana hizi je kabisa kiasi kidogo kufuatana kwa mbalimbali melanini na nacho; tu. ualbino ualbino. walicho wamegundua wanafanana wanaoishi wanasayansi wanatofautiana wanayo watu wengine wote wote? za wiki
Hapana. Albino wote hawafanani, wanatofautiana kufuatana na
kiasi cha melanini walicho nacho; wengine hawana kabisa na
wengine wanayo kwa kiasi kidogo tu. Wanasayansi wamegundua
aina mbalimbali za ualbino. Kufuatana na aina hizi za ualbino.. soma zaidi
Tagsπ aina albino cha hapana. hawafanani hawana hizi je kabisa kiasi kidogo kufuatana kwa mbalimbali melanini na nacho; tu. ualbino ualbino. walicho wamegundua wanafanana wanaoishi wanasayansi wanatofautiana wanayo watu wengine wote wote? za wiki
Hapana. Albino wote hawafanani, wanatofautiana kufuatana na
kiasi cha melanini walicho nacho; wengine hawana kabisa na
wengine wanayo kwa kiasi kidogo tu. Wanasayansi wamegundua
aina mbalimbali za ualbino. Kufuatana na aina hizi za ualbino.. soma zaidi
Mapishi ya Pilau Ya Nyama Ya Ng'ombe Na Nyanya
Tagsπ mapishinalishe
Mchele (Basmati) - 3 vikombe.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mchele (Basmati) - 3 vikombe.. soma zaidi
Wakubwa tuu wataelewa!!!
Tagsπ mahusiano
Wanawake mmejaaliwa kuwa na LAPTOP zinazopendeza saanaa na laptop zenu zina port kwa ajili ya kuingizia EXTERNAL data msiruhusu kila FRASH DISK kuingia kwenye PORT zenu,Flash zingine zina VIRUS maana hamjui zimetoka wapi kwenye ma internet cafe TUNZENI laptop zenu mpaka mtakapo miliki FRASH DISK zenu ambazo mtakuwa mnauhakika kwamba hazina virus, na kama ushamiliki itunze vizuri usii na iwe kwa matumizi yako tuu vinginevyo… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Wanawake mmejaaliwa kuwa na LAPTOP zinazopendeza saanaa na laptop zenu zina port kwa ajili ya kuingizia EXTERNAL data msiruhusu kila FRASH DISK kuingia kwenye PORT zenu,Flash zingine zina VIRUS maana hamjui zimetoka wapi kwenye ma internet cafe TUNZENI laptop zenu mpaka mtakapo miliki FRASH DISK zenu ambazo mtakuwa mnauhakika kwamba hazina virus, na kama ushamiliki itunze vizuri usii na iwe kwa matumizi yako tuu vinginevyo… soma zaidi
Mapishi ya Pilau Ya Nyama Ng'ombe Karoti Na Zabibu
Tagsπ mapishinalishe
Nyama ngβombe ya mifupa ilokatwa vipande - 1 kilo.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Nyama ngβombe ya mifupa ilokatwa vipande - 1 kilo.. soma zaidi
Jinsi ya kupika vitumbua vizuri vitamu kwa ajili yako na familia yako kama kitafunwa cha asubuhi au wakati wowote
Tagsπ mapishi vitafunwa vitumbua wiki
Vitumbua ni vitafunwa vizuri na vinavyopendwa na wengi lakini ni wengi wasiojua kupika vitumbua japokua wanavipenda sana. Leo nimekuandalia namna rahisi ya kupika vitumbua kama ifuatavyo;.. soma zaidi
Tagsπ mapishi vitafunwa vitumbua wiki
Vitumbua ni vitafunwa vizuri na vinavyopendwa na wengi lakini ni wengi wasiojua kupika vitumbua japokua wanavipenda sana. Leo nimekuandalia namna rahisi ya kupika vitumbua kama ifuatavyo;.. soma zaidi
Sababu, dalili, matibabu na kinga ya fangasi sehemu za siri kwa mwanamke
Tagsπ afya mapishinalishe
Fangasi ya ukeni husababishwa na fangasi aina ya Candida albicans. Ugonjwa huu huitwa vaginal candidiasis kwa kiingereza na ni kati ya magonjwa ambayo husumbua wanawake mara kwa mara… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Fangasi ya ukeni husababishwa na fangasi aina ya Candida albicans. Ugonjwa huu huitwa vaginal candidiasis kwa kiingereza na ni kati ya magonjwa ambayo husumbua wanawake mara kwa mara… soma zaidi
JINSI YA KUJIOKOA IKITOKEA DHARURA YA MOTO NDANI
Tagsπ sayansinatekinolojia
Inapotokea dharura ya moto ndani ya nyumba:
1 - Kitu cha muhimu ni kutoka nje salama haraka iwezekanavyo (as soon as possible)… soma zaidi
Tagsπ sayansinatekinolojia
Inapotokea dharura ya moto ndani ya nyumba:
1 - Kitu cha muhimu ni kutoka nje salama haraka iwezekanavyo (as soon as possible)… soma zaidi
Dalili na matibabu ya tatizo la upungufu wa damu
Tagsπ afya mapishinalishe
Upungufu wa damu ni tatizo linalosababishwa na kupoteza damu nyingi, kupungua kwa uzalishaji wa chembe hai za da damu na uharibifu wa chembe za damu kutokana na matatizo na magonjwa mbali mbali seli mundu, ujauzito, hedhi nzito, kurithi, magonjwa sugu na Lishe duni yenye ukosefu wa madini ya folic, chuma na vitamini B12… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Upungufu wa damu ni tatizo linalosababishwa na kupoteza damu nyingi, kupungua kwa uzalishaji wa chembe hai za da damu na uharibifu wa chembe za damu kutokana na matatizo na magonjwa mbali mbali seli mundu, ujauzito, hedhi nzito, kurithi, magonjwa sugu na Lishe duni yenye ukosefu wa madini ya folic, chuma na vitamini B12… soma zaidi
Je, ni lazima kumeza vidonge vya kuzuia mimba siku zote, hata zile siku nisipojamiiana?
Tagsπ hata je kumeza kuzuia lazima mimba ni nisipojamiiana? siku vidonge vya zile zote wiki
Ndiyo, vidonge vya kuzuia mimba ni lazima vimezwe kila siku hata kama hufanyi ngono siku hiyo. Kuna aina ya vidonge vya kuzuia mimba inayokuja katika pakiti yenye vidonge 21 na kuna inayokuja katika pakiti ya vidonge 28. Iwapo utapewa ile ya vidonge 21 utapumzika kunywa siku 7 katika mwezi. Iwapo utapewa ile ya vidonge 28, itabidi kumeza kidonge kimoja kila siku, hata siku za hedhi. Ili kuhakikisha vidonge vya kuzuia mimba vinafanya kazi sawasawa, mwulize yule aliyekushauri kutumia vidonge hivyo jinsi ya kuvimeza.
Kama mwanamke akisahau kunywa kidonge hata kama ni siku moja kuna uwezekano wa kupata mimba. Anaposahau kumeza vidonge, ni vizuri zaidi watumie kondom wakati wa kujamiiana kwa kuhakikisha kutopata mimba. Hii inahusika vilevile kama mwanamke ameharisha au ametapika katika kipindi cha saa 4 tangu ameze vidonge. Kama mwanamke anashindwa kukumbuka kunywa vidonge mara kwa mara, ni vizuri zaidi apate ushauri kutoka kwenye kliniki ya uzazi wa mpango kutumia njia nyingine ya kuzuia mimba… soma zaidi
Tagsπ hata je kumeza kuzuia lazima mimba ni nisipojamiiana? siku vidonge vya zile zote wiki
Ndiyo, vidonge vya kuzuia mimba ni lazima vimezwe kila siku hata kama hufanyi ngono siku hiyo. Kuna aina ya vidonge vya kuzuia mimba inayokuja katika pakiti yenye vidonge 21 na kuna inayokuja katika pakiti ya vidonge 28. Iwapo utapewa ile ya vidonge 21 utapumzika kunywa siku 7 katika mwezi. Iwapo utapewa ile ya vidonge 28, itabidi kumeza kidonge kimoja kila siku, hata siku za hedhi. Ili kuhakikisha vidonge vya kuzuia mimba vinafanya kazi sawasawa, mwulize yule aliyekushauri kutumia vidonge hivyo jinsi ya kuvimeza.
Kama mwanamke akisahau kunywa kidonge hata kama ni siku moja kuna uwezekano wa kupata mimba. Anaposahau kumeza vidonge, ni vizuri zaidi watumie kondom wakati wa kujamiiana kwa kuhakikisha kutopata mimba. Hii inahusika vilevile kama mwanamke ameharisha au ametapika katika kipindi cha saa 4 tangu ameze vidonge. Kama mwanamke anashindwa kukumbuka kunywa vidonge mara kwa mara, ni vizuri zaidi apate ushauri kutoka kwenye kliniki ya uzazi wa mpango kutumia njia nyingine ya kuzuia mimba… soma zaidi
Mwanamke akipenda amependa kweli
Tagsπ mahusiano
Mwanamke akikupenda anakuwa na furaha, anakuwa anajivunia kuwa na wewe, na hujihisi furaha kuongea na wewe.
Hupenda awe rafiki wa rafiki zako na ndugu zako, uvipendavyo na yeye atavipenda, atabadilisha mtindo wake wa maisha kuendana na mtindo wako… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Mwanamke akikupenda anakuwa na furaha, anakuwa anajivunia kuwa na wewe, na hujihisi furaha kuongea na wewe.
Hupenda awe rafiki wa rafiki zako na ndugu zako, uvipendavyo na yeye atavipenda, atabadilisha mtindo wake wa maisha kuendana na mtindo wako… soma zaidi
Vyakula vinavyofaa kutumiwa kwa mtu mwenye kisukari aina ya kwanza
Tagsπ mapishinalishe
Vyakula hivyo ni;.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Vyakula hivyo ni;.. soma zaidi
Je, Albino abadili/ageuze nywele rangi (die) au avae nywele bandia (wigi)?
Tagsπ (die) (wigi)? abadili/ageuze albino anavyopendelea. asilia au avae baadhi bandia hali hili hupendelea jambo je kadri kahawia kama katika kila kuacha kujisikia kuvaa kuwa kuzigeuza kwa la litatagemea msingi mtu na ndivyo ni nyeupe nyeupe. nyeusi nywele rangi suala ukijipenda unavyojisikia utakavyojiamini vizuri vizuri. walivyozaliwa wanapendelea watakupenda. watu wengine wewe ya zao zenye wiki
Suala hili litatagemea na kila mtu anavyopendelea. Baadhi ya
watu hupendelea kuacha nywele zao katika hali asilia kama
walivyozaliwa, wengine wanapendelea kuzigeuza rangi kuwa
nyeupe au nyeusi na wengine wanapendelea kuvaa nywele bandia
zenye rangi nyeusi, kahawia au nyeupe. Jambo la msingi ni
wewe kujisikia vizuri. Kwa kadri unavyojisikia vizuri ni ndivyo
utakavyojiamini na ukijipenda na wengine watakupenda… soma zaidi
Tagsπ (die) (wigi)? abadili/ageuze albino anavyopendelea. asilia au avae baadhi bandia hali hili hupendelea jambo je kadri kahawia kama katika kila kuacha kujisikia kuvaa kuwa kuzigeuza kwa la litatagemea msingi mtu na ndivyo ni nyeupe nyeupe. nyeusi nywele rangi suala ukijipenda unavyojisikia utakavyojiamini vizuri vizuri. walivyozaliwa wanapendelea watakupenda. watu wengine wewe ya zao zenye wiki
Suala hili litatagemea na kila mtu anavyopendelea. Baadhi ya
watu hupendelea kuacha nywele zao katika hali asilia kama
walivyozaliwa, wengine wanapendelea kuzigeuza rangi kuwa
nyeupe au nyeusi na wengine wanapendelea kuvaa nywele bandia
zenye rangi nyeusi, kahawia au nyeupe. Jambo la msingi ni
wewe kujisikia vizuri. Kwa kadri unavyojisikia vizuri ni ndivyo
utakavyojiamini na ukijipenda na wengine watakupenda… soma zaidi
Mapishi ya Wali Wa Kichina Wa Kamba Na Kuku
Tagsπ mapishinalishe
Mchele wa pishori (basmati) - 4.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mchele wa pishori (basmati) - 4.. soma zaidi
Je unajua haya mambo yanashangaza?
Tagsπ habari
Unatoa Makamasi Kwa Kutumia Kitambaa Halafu Unarudisha Kitambaa Mfukoni, Ili Iweje?
…'
Unanunua Ndizi Mbivu Halaf Unaosha Vizuri Ganda La Nje Then Unamenya Unalitupa Ganda, Uliosha Ili Iweje??.. soma zaidi
Tagsπ habari
Unatoa Makamasi Kwa Kutumia Kitambaa Halafu Unarudisha Kitambaa Mfukoni, Ili Iweje?
…'
Unanunua Ndizi Mbivu Halaf Unaosha Vizuri Ganda La Nje Then Unamenya Unalitupa Ganda, Uliosha Ili Iweje??.. soma zaidi
Kwa nini watu wasio na ualbino wanaogopa kuoa Albino kwa imani kuwa watawazalia watoto Albino?
Tagsπ albino albino? imani kuoa kuwa kwa na nini ualbino wanaogopa wasio watawazalia watoto watu wiki
Ualbino ni hali ya
kurithi, hii inamaanisha
kuwa unapata ualbino
kutoka kwa wazazi
wako. Watu wawili
weusi wanaweza kupata
Albino endapo kila
mmoja wao atakuwa
na kinasaba cha ualbino.
Hali hii huwezi kuiona
au kuijua. Unaweza tu
kuitambua baada ya
kujifungua. Takribani
mtu mmoja katika watu
70 ana kinasaba cha
ualbino lakini si rahisi
kujua ni nani anacho.
Endapo Albino ataoa
mwanamke mweusi,
uwezekano wa kuzaa
Albino ni mdogo sana.
Albino wengi waliooa au
kuolewa na watu weusi
wamepata watoto
ambao ni weusi… soma zaidi
Tagsπ albino albino? imani kuoa kuwa kwa na nini ualbino wanaogopa wasio watawazalia watoto watu wiki
Ualbino ni hali ya
kurithi, hii inamaanisha
kuwa unapata ualbino
kutoka kwa wazazi
wako. Watu wawili
weusi wanaweza kupata
Albino endapo kila
mmoja wao atakuwa
na kinasaba cha ualbino.
Hali hii huwezi kuiona
au kuijua. Unaweza tu
kuitambua baada ya
kujifungua. Takribani
mtu mmoja katika watu
70 ana kinasaba cha
ualbino lakini si rahisi
kujua ni nani anacho.
Endapo Albino ataoa
mwanamke mweusi,
uwezekano wa kuzaa
Albino ni mdogo sana.
Albino wengi waliooa au
kuolewa na watu weusi
wamepata watoto
ambao ni weusi… soma zaidi
Mama mwenye virusi vya UKIMWI na UKIMWI, anaweza kuzaa mtoto?
Tagsπ wiki
Mama mwenye virusi vya UKIMWI na UKIMWI, anaweza kuzaa mtoto? Na anaweza kumwambukiza mtoto aliye tumboni au wakati wa kumnyonyesha?
Ndiyo, mama mwenye virusi vya UKIMWI na UKIMWI anaweza kubeba mimba kama mwanamke mwingine yeyote. Ila ni muhimu kukumbuka kwamba kuna uwezekano wa mtoto kuambukizwa na Virusi vya UKIMWI… soma zaidi
Tagsπ wiki
Mama mwenye virusi vya UKIMWI na UKIMWI, anaweza kuzaa mtoto? Na anaweza kumwambukiza mtoto aliye tumboni au wakati wa kumnyonyesha?
Ndiyo, mama mwenye virusi vya UKIMWI na UKIMWI anaweza kubeba mimba kama mwanamke mwingine yeyote. Ila ni muhimu kukumbuka kwamba kuna uwezekano wa mtoto kuambukizwa na Virusi vya UKIMWI… soma zaidi
Je, ni kweli kuwa madhara ya uvutaji moshi wa sigara yako ni kidogo kuliko yale yatokananyo na kuvuta moshi kutoka kwa mvutaji a
Tagsπ a aina ambayo cha hadi hakuna itokanayo je jirani kama karibu kidogo kitu kuichuja. kuliko kuna kutoka kutumia kuvuta kuwa kwa kweli kwenye madhara madhara. mapafu mdomo moja moja. moshi mvutaji mwingine na ni nitasimama nyingi sababu sigara siyo sumu tagi: tumbaku una unaweza upande utapata utavuta uvutaji viungo vyako. wa ya yako yale yatokananyo za zote wiki
Uvutaji wa aina zote una madhara. Kama utavuta sigara na
kuvuta moshi kwa kutumia mdomo hadi kwenye mapafu yako
utapata madhara moja kwa moja kwenye viungo vyako.
Kama nitasimama karibu na mvutaji na kuvuta moshi, kuna
madhara ambayo siyo ya moja kwa moja. Kwa upande mwingine
kama jirani wa mvutaji unaweza kuvuta sumu nyingi itokanayo
na tumbaku kwa sababu hakuna kitu cha kuichuja. Sigara za
viwandani zina kishungi ambacho huchuja tindikali mbalimbali
zenye sumu, kama vile kaboni na asidi ya magamba ya miti,
ambazo zina madhara kwa mapafu… soma zaidi
Tagsπ a aina ambayo cha hadi hakuna itokanayo je jirani kama karibu kidogo kitu kuichuja. kuliko kuna kutoka kutumia kuvuta kuwa kwa kweli kwenye madhara madhara. mapafu mdomo moja moja. moshi mvutaji mwingine na ni nitasimama nyingi sababu sigara siyo sumu tagi: tumbaku una unaweza upande utapata utavuta uvutaji viungo vyako. wa ya yako yale yatokananyo za zote wiki
Uvutaji wa aina zote una madhara. Kama utavuta sigara na
kuvuta moshi kwa kutumia mdomo hadi kwenye mapafu yako
utapata madhara moja kwa moja kwenye viungo vyako.
Kama nitasimama karibu na mvutaji na kuvuta moshi, kuna
madhara ambayo siyo ya moja kwa moja. Kwa upande mwingine
kama jirani wa mvutaji unaweza kuvuta sumu nyingi itokanayo
na tumbaku kwa sababu hakuna kitu cha kuichuja. Sigara za
viwandani zina kishungi ambacho huchuja tindikali mbalimbali
zenye sumu, kama vile kaboni na asidi ya magamba ya miti,
ambazo zina madhara kwa mapafu… soma zaidi
Kupima lishe au afya ya mtu
Tagsπ mapishinalishe
Hiki ni kipimo kinachotumika kuangalia uwiano wa urefu na uzito wa mtu, ni muhimu kuchukua vipimo kwa usahihi.Uwiano wa uzito katika Kilogramu na urefu katika mita hupatikana kwa kutumia kanuni ifuatayo:.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Hiki ni kipimo kinachotumika kuangalia uwiano wa urefu na uzito wa mtu, ni muhimu kuchukua vipimo kwa usahihi.Uwiano wa uzito katika Kilogramu na urefu katika mita hupatikana kwa kutumia kanuni ifuatayo:.. soma zaidi
Je, mtu anaweza kuambukizwa virusi vya UKIMWI na UKIMWI iwapo atavaliana nguo na mtu mwenye Virusi vya UKIMWI na UKIMWI?
Tagsπ wiki
Hapana, Virusi vya UKIMWI na UKIMWI hauambukizwi kwa kuvaliana nguo na mgonjwa, kwa sababu vijidudu vya UKIMWI vinakufa baada ya muda mfupi vikiwa hewani. Hata hivyo, kufuatana na kanuni za usafi, ni vizuri zaidi kuvaa nguo zilizofuliwa na kupigwa pasi… soma zaidi
Tagsπ wiki
Hapana, Virusi vya UKIMWI na UKIMWI hauambukizwi kwa kuvaliana nguo na mgonjwa, kwa sababu vijidudu vya UKIMWI vinakufa baada ya muda mfupi vikiwa hewani. Hata hivyo, kufuatana na kanuni za usafi, ni vizuri zaidi kuvaa nguo zilizofuliwa na kupigwa pasi… soma zaidi
Ni hatua zipi zinazochukuliwa na Serikali kuhusu matumizi na biashara haramu ya dawa za kulevya?
Tagsπ wiki
Serikali i i inatambua kukua kwa tatizo la dawa za kulevya nchini, kwani dawa za kulevya nyingi zinazotumika zinapitishwa na kuingizwa kwa magendo nchini. Kutokana na hali hii serikali imepitisha sheria kuhusu tuhuma za dawa za kulevya yaani Sheria ya Kuzuia Matumizi ya Dawa za Kulevya ya mwaka 1995… soma zaidi
Tagsπ wiki
Serikali i i inatambua kukua kwa tatizo la dawa za kulevya nchini, kwani dawa za kulevya nyingi zinazotumika zinapitishwa na kuingizwa kwa magendo nchini. Kutokana na hali hii serikali imepitisha sheria kuhusu tuhuma za dawa za kulevya yaani Sheria ya Kuzuia Matumizi ya Dawa za Kulevya ya mwaka 1995… soma zaidi
Madhara ya kula yai bichi
Tagsπ mapishinalishe
Yai bichi linaweza kuwa na vijidudu viitwavyo kwa kitaalamu βSALMONELLAβ vinavyoweza kusababisha tumbo kuuma, kichefuchefu na pia kuharisha.
Vijidudu ya βSalmonellaβ vinaweza kusababisha madhara makubwa kwa watoto, wazee na wale wenye hali dhaifu ya kimwili kama wagonjwa wa UKIMWI… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Yai bichi linaweza kuwa na vijidudu viitwavyo kwa kitaalamu βSALMONELLAβ vinavyoweza kusababisha tumbo kuuma, kichefuchefu na pia kuharisha.
Vijidudu ya βSalmonellaβ vinaweza kusababisha madhara makubwa kwa watoto, wazee na wale wenye hali dhaifu ya kimwili kama wagonjwa wa UKIMWI… soma zaidi
Je,mwanaume akitoa uume nje ya uke kabla ya kumwaga shahawa anaweza kuambukizwa yeye au mwanamke na Virusi vya UKIMWI na UKIMWI?
Tagsπ wiki
.. soma zaidi
Tagsπ wiki
.. soma zaidi
Kwa nini watu wanaamini kuwa Albino hawana maambukizo ya Virusi vya UKIMWI (VVU)?
Tagsπ (vvu)? albino anaweza au bikira bila hawana hazina hilo hiyo huambukizwa ili imani inawezekana jambo jamii kabisa. katika kinga. kuendeleza kufanya kufuata kuhusu kujamiiana kukwepa kunakofanywa kupitia kupona kupotoshwa kuu kuwa kwa kweli maambukizo majimaji makusudi maovu. mapenzi matendo mfano; mlemavu msingi mtu mwili na ni nini njia potofu si ukimwi ukimwi. ukweli uongo virusi vvu vya wa wachache wanaamini wanaweza watu wowote wowote. ya yao za zisizo wiki
Imani hiyo si kweli kabisa. Inawezekana ni kupotoshwa kwa
makusudi wa ukweli kuhusu jambo hilo kunakofanywa na watu
wachache katika jamii ili kuendeleza matendo yao maovu. Watu
wanaweza kufuata imani potofu na zisizo na msingi wowote ili
kukwepa ukweli kuhusu VVU na UKIMWI. Kwa mfano; imani
kuwa mtu anaweza kupona UKIMWI kwa kufanya mapenzi na
bikira, mlemavu au Albino ni za uongo na hazina msingi wowote.
VVU huambukizwa kupitia majimaji ya mwili, na njia kuu ya
maambukizo ni kujamiiana bila kinga. Njia pekee za kuzuia
maambukizo ni kuacha kabisa kufanya ngono, kuwa na mpenzi
mmoja muaminifu au kutumia kondomu.Watu wanaoeneza imani hizi
potofu wanatafuta njia mbadala ya kuhalalisha tabia zao mbaya… soma zaidi
Tagsπ (vvu)? albino anaweza au bikira bila hawana hazina hilo hiyo huambukizwa ili imani inawezekana jambo jamii kabisa. katika kinga. kuendeleza kufanya kufuata kuhusu kujamiiana kukwepa kunakofanywa kupitia kupona kupotoshwa kuu kuwa kwa kweli maambukizo majimaji makusudi maovu. mapenzi matendo mfano; mlemavu msingi mtu mwili na ni nini njia potofu si ukimwi ukimwi. ukweli uongo virusi vvu vya wa wachache wanaamini wanaweza watu wowote wowote. ya yao za zisizo wiki
Imani hiyo si kweli kabisa. Inawezekana ni kupotoshwa kwa
makusudi wa ukweli kuhusu jambo hilo kunakofanywa na watu
wachache katika jamii ili kuendeleza matendo yao maovu. Watu
wanaweza kufuata imani potofu na zisizo na msingi wowote ili
kukwepa ukweli kuhusu VVU na UKIMWI. Kwa mfano; imani
kuwa mtu anaweza kupona UKIMWI kwa kufanya mapenzi na
bikira, mlemavu au Albino ni za uongo na hazina msingi wowote.
VVU huambukizwa kupitia majimaji ya mwili, na njia kuu ya
maambukizo ni kujamiiana bila kinga. Njia pekee za kuzuia
maambukizo ni kuacha kabisa kufanya ngono, kuwa na mpenzi
mmoja muaminifu au kutumia kondomu.Watu wanaoeneza imani hizi
potofu wanatafuta njia mbadala ya kuhalalisha tabia zao mbaya… soma zaidi
SHAIRI: Kama mnataka mali, mtaipata shambani.
Tagsπ sayansinatekinolojia
1. Karudi baba mmoja,
toka safari ya mbali,
Kavimba yote mapaja,
na kutetemeka mwili,
Watoto wake wakaja,
ili kumtaka hali,
Wakataka na kauli iwafae maishani… soma zaidi
Tagsπ sayansinatekinolojia
1. Karudi baba mmoja,
toka safari ya mbali,
Kavimba yote mapaja,
na kutetemeka mwili,
Watoto wake wakaja,
ili kumtaka hali,
Wakataka na kauli iwafae maishani… soma zaidi
Faida za kila kitu kwenye mti wa papai
Tagsπ afya mapishinalishe
Watu wengi hulitumia tunda la papai kwa sababu ya utamu wake. Hata hivyo mbali na kuwa na ladha nzuri, tunda la papai lina faida lukuki kwa afya ya mwanadamu… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Watu wengi hulitumia tunda la papai kwa sababu ya utamu wake. Hata hivyo mbali na kuwa na ladha nzuri, tunda la papai lina faida lukuki kwa afya ya mwanadamu… soma zaidi
Kwa nini mwanaume akiona mapaja ya mwanamke uume wake husimama?
Tagsπ wiki
Mapaja na nyonga ni sehemu ya mwili i i iliyo karibu na viungo vya uzazi vya mwanamke. Kwa sababu ya mvuto wa kijinsia kati ya mwanaume na mwanamke, ambao ni wa asili, mwanaume anapoona kilicho na uhusiano wa karibu na viungo vya uzazi au viungo vyenyewe hupata msisimko… soma zaidi
Tagsπ wiki
Mapaja na nyonga ni sehemu ya mwili i i iliyo karibu na viungo vya uzazi vya mwanamke. Kwa sababu ya mvuto wa kijinsia kati ya mwanaume na mwanamke, ambao ni wa asili, mwanaume anapoona kilicho na uhusiano wa karibu na viungo vya uzazi au viungo vyenyewe hupata msisimko… soma zaidi
Siri 39 za kuwa Milionea, Jinsi ya kupata pesa na kuwa tajiri
Tagsπ uchumi
1. Tafuta fursa kila kona.
2. Tumia kipaji chako.
3. Kuwa na nidhamu katika fedha - matumizi mazuri ya pesa, nidhamu kwa watu wanaokuzunguka, usijikweze, usibague jamii, heshimu wote waliokaribu yako nk.
4. Kuwa na nidhamu katika afya yako: Afya ndio mtaji sahihi katika biashara yoyote - kuwa na mazoea ya kuangalia afya yako mara kwa mara nk… soma zaidi
Tagsπ uchumi
1. Tafuta fursa kila kona.
2. Tumia kipaji chako.
3. Kuwa na nidhamu katika fedha - matumizi mazuri ya pesa, nidhamu kwa watu wanaokuzunguka, usijikweze, usibague jamii, heshimu wote waliokaribu yako nk.
4. Kuwa na nidhamu katika afya yako: Afya ndio mtaji sahihi katika biashara yoyote - kuwa na mazoea ya kuangalia afya yako mara kwa mara nk… soma zaidi
Hatua za jinsi ya kuanzisha mradi wa nyuki
Tagsπ baina eneo hatua jinsi katika kazi kuanzisha kufuatwa kupata kwanza lako.zungumza mikakati mradi mwanadamu na nao ni nyuki nyuki. nyuki.andamana tagi: ufahamu ufugaji uhusiano unapoanzisha wa wakifanya wale wanaojihusisha ya za zinazostahili wiki
Hatua zinazostahili kufuatwa unapoanzisha mradi wa ufugaji wa nyuki.. soma zaidi
Tagsπ baina eneo hatua jinsi katika kazi kuanzisha kufuatwa kupata kwanza lako.zungumza mikakati mradi mwanadamu na nao ni nyuki nyuki. nyuki.andamana tagi: ufahamu ufugaji uhusiano unapoanzisha wa wakifanya wale wanaojihusisha ya za zinazostahili wiki
Hatua zinazostahili kufuatwa unapoanzisha mradi wa ufugaji wa nyuki.. soma zaidi
Jinsi ya kupika Biskuti Za Kopa Za Kunyunyuziwa Sukari Za Rangi
Tagsπ mapishinalishe
Unga vikombe 2 ΒΌ.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Unga vikombe 2 ΒΌ.. soma zaidi
Jinsi ya kutibu chunusi kwa mdalasini na asali
Tagsπ kutibu-chunusi-kiasili mapishinalishe
.. soma zaidi
Tagsπ kutibu-chunusi-kiasili mapishinalishe
.. soma zaidi
Jinsi ya kuzuia magonjwa ya kuku
Tagsπ ambayo anaposhtuliwa anatakiwa au awezavyo chakula faida hata hivyo huo huo. huonekana hupunguza kadri katika kienyeji. kisasa kubwa kuku kuku. kununua kupata kutokana kuua kuwepo kuzuia kwenda lakini mabanda magonjwa mambo mfugaji mifugo mkulima mlipuko mpaka mradi na pamoja sawa shambulizi. tagi: ufugaji ulishaji ulishajijinsi una unalenga unapoanza uwekezaji uwezekano uzalishaji wa wafugaji wakitarajia wakiwekeza wamekuwa wanajenga wengi ya wiki
Ufugaji wa kuku una faida kubwa, lakini mkulima anatakiwa kuzuia kadri awezavyo uwezekano wa kuwepo magonjwa shambulizi… soma zaidi
Tagsπ ambayo anaposhtuliwa anatakiwa au awezavyo chakula faida hata hivyo huo huo. huonekana hupunguza kadri katika kienyeji. kisasa kubwa kuku kuku. kununua kupata kutokana kuua kuwepo kuzuia kwenda lakini mabanda magonjwa mambo mfugaji mifugo mkulima mlipuko mpaka mradi na pamoja sawa shambulizi. tagi: ufugaji ulishaji ulishajijinsi una unalenga unapoanza uwekezaji uwezekano uzalishaji wa wafugaji wakitarajia wakiwekeza wamekuwa wanajenga wengi ya wiki
Ufugaji wa kuku una faida kubwa, lakini mkulima anatakiwa kuzuia kadri awezavyo uwezekano wa kuwepo magonjwa shambulizi… soma zaidi
MAGONJWA YA NJIA YA MKOJO KWA MSICHANA, UTI KWA MSICHANA
Tagsπ 60% duniani figo habari hawana haya haya. hupata huwapata inakadiliwa kati kuanzia kumi kutosha kuwa kwa magonjwa mara matatizo mfumo mkojo msichana na ni njia rika tagi: takribani vichanga vikongwe. wa wanaopata wanaume wanawake wasichana watu wazima wengi ya yanayowasumbua za zaidi zote wiki
Magonjwa ya mfumo wa njia ya mkojo na figo ni kati ya magonjwa yanayowasumbua wanawake wa rika zote kuanzia vichanga, wasichana, wanawake watu wazima na vikongwe. Matatizo haya huwapata wanawake takribani mara kumi zaidi ya wanaume na inakadiliwa kuwa takribani 60% ya wanawake duniani hupata matatizo haya.
Wanawake wengi wanaopata matatizo haya ya njia ya mkojo, hawana habari za kutosha na sahihi juu ya kinga na vyanzo vya matatizo haya yanayowasumbua mamilioni ya wanawake duniani. Hii huwafanya wengi wachelewe kupata huduma za matibau haraka na kwa usahihi, jambo ambalo huambatana na athari nyingi za kiafya na kiuchumi kwa wanawake na familia zao… soma zaidi
Tagsπ 60% duniani figo habari hawana haya haya. hupata huwapata inakadiliwa kati kuanzia kumi kutosha kuwa kwa magonjwa mara matatizo mfumo mkojo msichana na ni njia rika tagi: takribani vichanga vikongwe. wa wanaopata wanaume wanawake wasichana watu wazima wengi ya yanayowasumbua za zaidi zote wiki
Magonjwa ya mfumo wa njia ya mkojo na figo ni kati ya magonjwa yanayowasumbua wanawake wa rika zote kuanzia vichanga, wasichana, wanawake watu wazima na vikongwe. Matatizo haya huwapata wanawake takribani mara kumi zaidi ya wanaume na inakadiliwa kuwa takribani 60% ya wanawake duniani hupata matatizo haya.
Wanawake wengi wanaopata matatizo haya ya njia ya mkojo, hawana habari za kutosha na sahihi juu ya kinga na vyanzo vya matatizo haya yanayowasumbua mamilioni ya wanawake duniani. Hii huwafanya wengi wachelewe kupata huduma za matibau haraka na kwa usahihi, jambo ambalo huambatana na athari nyingi za kiafya na kiuchumi kwa wanawake na familia zao… soma zaidi
Jinsi ya kupata Mpenzi wa Kweli
Tagsπ mahusiano
Ni vibaya pia kwa mwanaume wako kusema anaupenda mchezo fulani kama anavyokupenda! Au ukiwa na msongo wa mawazo, usinase kwenye mtego wa mapenzi kwa kudhani unaweza kuwa tiba. Ni vizuri zaidi kutafuta mwanaume ambaye hahitaji utabibu… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Ni vibaya pia kwa mwanaume wako kusema anaupenda mchezo fulani kama anavyokupenda! Au ukiwa na msongo wa mawazo, usinase kwenye mtego wa mapenzi kwa kudhani unaweza kuwa tiba. Ni vizuri zaidi kutafuta mwanaume ambaye hahitaji utabibu… soma zaidi
Mapishi ya Ugali Kwa Mchuzi Wa Kamba Wa Nazi, Kisamvu Na Kachumbari Ya Papa Mkavu
Tagsπ mapishinalishe
Maji - 4 vikombe kiasi inategemea na unga wenyewe… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Maji - 4 vikombe kiasi inategemea na unga wenyewe… soma zaidi
Jinsi ya kufuga samaki kwenye bwawa
Tagsπ bunju bwawa chumvi dar es huu.β-angela jinsi kiasi. kibiashara. kisima kuanza kufuga kupata kwenye maelezo maeneo maji na napenda ni ningependa salaam salaam. samaki shamba tagi: ufugaji uhakika ya yana yatakayoniwezesha zaidi βnina wiki
βNina shamba maeneo ya Bunju Dar es salaam. Ningependa kufuga samaki kibiashara. Maji ya uhakika ni ya kisima na yana chumvi kiasi. Napenda kupata maelezo zaidi yatakayoniwezesha kuanza ufugaji huu.β-Angela,Dar es Salaam.. soma zaidi
Tagsπ bunju bwawa chumvi dar es huu.β-angela jinsi kiasi. kibiashara. kisima kuanza kufuga kupata kwenye maelezo maeneo maji na napenda ni ningependa salaam salaam. samaki shamba tagi: ufugaji uhakika ya yana yatakayoniwezesha zaidi βnina wiki
βNina shamba maeneo ya Bunju Dar es salaam. Ningependa kufuga samaki kibiashara. Maji ya uhakika ni ya kisima na yana chumvi kiasi. Napenda kupata maelezo zaidi yatakayoniwezesha kuanza ufugaji huu.β-Angela,Dar es Salaam.. soma zaidi
Sababu 5 zinazosababisha wanawake warembo wazuri wasiolewe
Tagsπ mahusiano
Wanawake wengi warembo husalia peke yao na kufa katika hali hiyo kutokana na sababu tofauti… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Wanawake wengi warembo husalia peke yao na kufa katika hali hiyo kutokana na sababu tofauti… soma zaidi
Mapishi ya viazi mbatata Vya Nazi Kwa Nyama Ya Ng'ombe
Tagsπ mapishinalishe
Mbatata / viazi - 2 kilo.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mbatata / viazi - 2 kilo.. soma zaidi
Kurasa zote
Tagsπ chochote fundisha hapa huku husika jifunze jinsi karibu kirahisi. kiswahili kuandika kufundisha kuhariri kujua kurahisisha kurahisishia kusaidia kuweka kwenye mada mahali majadiliano mambo mbalimbali mtandao na ni nia pamoja tagi: tukiruhusu tunatamani ujifunze upatikanaji utafutaji wa watumiaji ya yetu zote wiki
< %%title_linked%%
[**[http://jinsi.wikidot.com/wiki:hhome soma zaidi**
Tagsπ chochote fundisha hapa huku husika jifunze jinsi karibu kirahisi. kiswahili kuandika kufundisha kuhariri kujua kurahisisha kurahisishia kusaidia kuweka kwenye mada mahali majadiliano mambo mbalimbali mtandao na ni nia pamoja tagi: tukiruhusu tunatamani ujifunze upatikanaji utafutaji wa watumiaji ya yetu zote wiki
< %%title_linked%%
[**[http://jinsi.wikidot.com/wiki:hhome soma zaidi**
NJIA ZA KUONDOA KITAMBI
Tagsπ hii hivyo husaidia kiafya kitambi kitambi. kitambi: kuacha kula kuondoa kupunguza kutengeneza kutoa kutumia mafuta mlo msingi mwili mwilini mzuri na ndio nguvu njia nyingi sana sukari tagi: ufunguo uzito vinavyotia vyakula vyenye wa yaliyo za wiki
Mlo mzuri kiafya ndio ufunguo wa kupunguza uzito na kutoa kitambi. Kuacha kula vyakula vinavyotia nguvu sana, vyenye mafuta na sukari nyingi ndio msingi wa kuondoa kitambi. Hii husaidia mwili kutumia mafuta yaliyo mwilini kutengeneza nguvu hivyo kupunguza mafuta na kuondoa kitambi. Aidha, punguza matumizi ya vinywaji vyenye sukari kwa wingi na tumia samaki badala ya nyama… soma zaidi
Tagsπ hii hivyo husaidia kiafya kitambi kitambi. kitambi: kuacha kula kuondoa kupunguza kutengeneza kutoa kutumia mafuta mlo msingi mwili mwilini mzuri na ndio nguvu njia nyingi sana sukari tagi: ufunguo uzito vinavyotia vyakula vyenye wa yaliyo za wiki
Mlo mzuri kiafya ndio ufunguo wa kupunguza uzito na kutoa kitambi. Kuacha kula vyakula vinavyotia nguvu sana, vyenye mafuta na sukari nyingi ndio msingi wa kuondoa kitambi. Hii husaidia mwili kutumia mafuta yaliyo mwilini kutengeneza nguvu hivyo kupunguza mafuta na kuondoa kitambi. Aidha, punguza matumizi ya vinywaji vyenye sukari kwa wingi na tumia samaki badala ya nyama… soma zaidi
Njia nne za kuzuia maambukizi ya HIV katika watoto wachanga na wadogo
Tagsπ ke kenya kuzuia maambukizi tanzania tz ueneaji ug uganda ukimwi vvu wachanga wadogo watoto wiki
1. Zuia maambukizi ya HIV katika wanawake wanaoweza kupata
watoto.
2. Zuia ujauzito usiokusudiwa kati ya wanawake wanaoishi na HIV… soma zaidi
Tagsπ ke kenya kuzuia maambukizi tanzania tz ueneaji ug uganda ukimwi vvu wachanga wadogo watoto wiki
1. Zuia maambukizi ya HIV katika wanawake wanaoweza kupata
watoto.
2. Zuia ujauzito usiokusudiwa kati ya wanawake wanaoishi na HIV… soma zaidi
Sababu na tiba ya tatizo la kukoroma usiku
Tagsπ afya mapishinalishe
Kukoroma ni tatizo linalowapata watu wengi wakati wanapolala ambalo linaweza kuwatokea watu wa kila umri ingawa hutokea mara nyingi kwa wanaume au watu wanene. Kukoroma huzidi kwa kadri umri unavyoongezeka na asilimia 54 ya watu wazima hukoroma baadhi ya wakati huku asilimia 25 ya wengine wakiwa na tabia ya kukoroma kila wakati. Kukoroma baadhi ya wakati kwa kawaida sio tatizo kubwa na mara nyingi huleta tu karaha kwa mtu anayelala karibu na mkoromaji… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Kukoroma ni tatizo linalowapata watu wengi wakati wanapolala ambalo linaweza kuwatokea watu wa kila umri ingawa hutokea mara nyingi kwa wanaume au watu wanene. Kukoroma huzidi kwa kadri umri unavyoongezeka na asilimia 54 ya watu wazima hukoroma baadhi ya wakati huku asilimia 25 ya wengine wakiwa na tabia ya kukoroma kila wakati. Kukoroma baadhi ya wakati kwa kawaida sio tatizo kubwa na mara nyingi huleta tu karaha kwa mtu anayelala karibu na mkoromaji… soma zaidi
Jifunze kitu kupitia kisa hiki cha mume na mke
Tagsπ mahusiano
Mwanaume mmoja alimuoa mwanamke mrembo. Alikuwa akimpenda sana. Siku moja mwanamke alipatwa na maradhi ya ngozi. Kidogokidogo alianza kupoteza urembo wake.
.
.
… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Mwanaume mmoja alimuoa mwanamke mrembo. Alikuwa akimpenda sana. Siku moja mwanamke alipatwa na maradhi ya ngozi. Kidogokidogo alianza kupoteza urembo wake.
.
.
… soma zaidi
Ushauri wangu katika maisha
Tagsπ mahusiano
Kuna baadhi ya LEVEL huwezi kufika…Kuna MAFANIKIO huwezi kuyafikia…Kuna HELA huwezi kuzipata…Kama umezungukwa na watu BASIC…
Kuanzia asubuhi mpaka jioni wanaongelea WATU TU….Fulani kamegwa na yule……halafu yule naniliu saivi anatembea na yule ex wa nanii……Asubuhi mpaka jioni DISCUSSING PEOPLE…Hawa ndio watu BASIC…Hata siku 1 hawatakupa Ushauri kuhusu HOW TO REACH SOMEWHERE…NEVER.. soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Kuna baadhi ya LEVEL huwezi kufika…Kuna MAFANIKIO huwezi kuyafikia…Kuna HELA huwezi kuzipata…Kama umezungukwa na watu BASIC…
Kuanzia asubuhi mpaka jioni wanaongelea WATU TU….Fulani kamegwa na yule……halafu yule naniliu saivi anatembea na yule ex wa nanii……Asubuhi mpaka jioni DISCUSSING PEOPLE…Hawa ndio watu BASIC…Hata siku 1 hawatakupa Ushauri kuhusu HOW TO REACH SOMEWHERE…NEVER.. soma zaidi
Urusi yashambulia Islamic State
Tagsπ dhidi hewani ikiwa imesema imetekeleza islamic kali kufikia kuwa maeneo mashambulizi miongoni mwa na nchini ni sasa. shambulio state syria tagi: urusi wa wapiganaji ya yake yanayokaliwa yashambulia zaidi habari
Urusi imesema kuwa imetekeleza shambulio kali zaidi dhidi ya maeneo yanayokaliwa na wapiganaji wa Islamic State nchini Syria,ikiwa ni miongoni mwa mashambulizi yake ya hewani kufikia sasa.
Waziri wa ulinzi Sergei Shoigu,amethibitisha ripoti za Ufaransa na Marekani kwamba Moscow ilitumia mabomu ya masafa marefu na makombora .
Amesema kuwa ndege hiyo ilirusha makombora katika maeneo ya wapiganaji hao mjini Raqqa,ambao ndio ngome kuu ya wapiganaji hao na Deir ez Zor mashariki mwa Syria,huku mabomu yakilenga Kaskazini.
Awali rais Vladmir Putin alionya mashambulizi makali dhidi ya IS,kufuatia thibitisho kwamba ndege ya Urusi ilioanguka nchini Misri mwezi uliopita ilisababishwa na shambulizi la kigaidi.
Maafisa wa Urusi wanasema kuwa chembechembe za vilipuzi zilionekana katika mabaki ya ndege hiyo aina Airbus.
Abiria wote 224 walioabiri ndege hiyo ,wengi wao wakiwa watalii wa Urusi waliuawa.
Kundi la Islamic State limethibitisha kutekeleza shambulio hilo… soma zaidi
Tagsπ dhidi hewani ikiwa imesema imetekeleza islamic kali kufikia kuwa maeneo mashambulizi miongoni mwa na nchini ni sasa. shambulio state syria tagi: urusi wa wapiganaji ya yake yanayokaliwa yashambulia zaidi habari
Urusi imesema kuwa imetekeleza shambulio kali zaidi dhidi ya maeneo yanayokaliwa na wapiganaji wa Islamic State nchini Syria,ikiwa ni miongoni mwa mashambulizi yake ya hewani kufikia sasa.
Waziri wa ulinzi Sergei Shoigu,amethibitisha ripoti za Ufaransa na Marekani kwamba Moscow ilitumia mabomu ya masafa marefu na makombora .
Amesema kuwa ndege hiyo ilirusha makombora katika maeneo ya wapiganaji hao mjini Raqqa,ambao ndio ngome kuu ya wapiganaji hao na Deir ez Zor mashariki mwa Syria,huku mabomu yakilenga Kaskazini.
Awali rais Vladmir Putin alionya mashambulizi makali dhidi ya IS,kufuatia thibitisho kwamba ndege ya Urusi ilioanguka nchini Misri mwezi uliopita ilisababishwa na shambulizi la kigaidi.
Maafisa wa Urusi wanasema kuwa chembechembe za vilipuzi zilionekana katika mabaki ya ndege hiyo aina Airbus.
Abiria wote 224 walioabiri ndege hiyo ,wengi wao wakiwa watalii wa Urusi waliuawa.
Kundi la Islamic State limethibitisha kutekeleza shambulio hilo… soma zaidi
Aina kuu ya mizinga bora ya nyuki kwa ajili ya kupata asali nyingi
Tagsπ kilimonaufugaji
Hii ni aina ya mizinga inayotumika sana na wengi. Gharama yake ni ndogo kiasi kulinganisha na mingine. Ni aina nzuri sana kwa mtu anaeanza ufugaji wa nyuki kwa kuwa ni wa gharama nafuu. Mfugaji wa nyuki anaweza kutengeneza mzinga Yya aina hii mwenyewe kama ana utaalamu wa useremala… soma zaidi
Tagsπ kilimonaufugaji
Hii ni aina ya mizinga inayotumika sana na wengi. Gharama yake ni ndogo kiasi kulinganisha na mingine. Ni aina nzuri sana kwa mtu anaeanza ufugaji wa nyuki kwa kuwa ni wa gharama nafuu. Mfugaji wa nyuki anaweza kutengeneza mzinga Yya aina hii mwenyewe kama ana utaalamu wa useremala… soma zaidi
Mizigo tuliyoibeba ambayo haina faida
Tagsπ uchumi
1.π₯Umejipa jukumu la kuwa "mpelelezi" wa maisha ya wengine na umesahau maisha yako… soma zaidi
Tagsπ uchumi
1.π₯Umejipa jukumu la kuwa "mpelelezi" wa maisha ya wengine na umesahau maisha yako… soma zaidi
Kisa cha baba mzee na mwanae
Tagsπ hadithi
Mtoto alifanya maamuzi ya kumpeleka baba yake ambaye alikuwa Mzee sana kwenye Makazi Maalum ya kulelea wazee ya Kanisa Katoliki iliyokuwa CHINI ya uratibu wa Padre. Alifanya hivyo Baada ya kushauriwa Na mkewe aliyekuwa akiona Ni kero kumlea baba Mkwe wake nyumbani kwao… soma zaidi
Tagsπ hadithi
Mtoto alifanya maamuzi ya kumpeleka baba yake ambaye alikuwa Mzee sana kwenye Makazi Maalum ya kulelea wazee ya Kanisa Katoliki iliyokuwa CHINI ya uratibu wa Padre. Alifanya hivyo Baada ya kushauriwa Na mkewe aliyekuwa akiona Ni kero kumlea baba Mkwe wake nyumbani kwao… soma zaidi
Waziri mkuu wa Ufaransa,Manuel Valls, amesema kwamba Magaidi walijifanya wahamiaji
Tagsπ alipokuwa amesema ameyasema anazungumza hayo hilo katika kwamba magaidi manuel mapema. mkuu na nchi runinga tagi: taifa ubelgiji ufaransa ugaidi valls wa wahamiaji wahusika wakati walijifanya walikuwemo waziri wengine ya za habari
Ameyasema hayo wakati alipokuwa anazungumza katika runinga ya taifa hilo na kwamba wahusika wengine wa ugaidi walikuwemo katika nchi za Ufaransa na Ubelgiji mapema.
Aidha aliongeza kuwa haikufahamika mara moja kwamba kulikuwa na makundi ya namna hiyo kwa ukubwa wake ,ama mshukiwa Salah Abdeslam, ambaye ndiye hasa kielelezo cha mwanamume anayesakwa zaidi kimataifa na haikujulikana kama alikuwa Ubelgiji ama Ufaransa… soma zaidi
Tagsπ alipokuwa amesema ameyasema anazungumza hayo hilo katika kwamba magaidi manuel mapema. mkuu na nchi runinga tagi: taifa ubelgiji ufaransa ugaidi valls wa wahamiaji wahusika wakati walijifanya walikuwemo waziri wengine ya za habari
Ameyasema hayo wakati alipokuwa anazungumza katika runinga ya taifa hilo na kwamba wahusika wengine wa ugaidi walikuwemo katika nchi za Ufaransa na Ubelgiji mapema.
Aidha aliongeza kuwa haikufahamika mara moja kwamba kulikuwa na makundi ya namna hiyo kwa ukubwa wake ,ama mshukiwa Salah Abdeslam, ambaye ndiye hasa kielelezo cha mwanamume anayesakwa zaidi kimataifa na haikujulikana kama alikuwa Ubelgiji ama Ufaransa… soma zaidi
Je, pombe ni moja ya sababu za kuenea kwa Virusi vya UKIMWI na VVU au magonjwa mengine yatokanayo na kujamiiana?
Tagsπ afya ambao au familia. hali hatari hawafahamu haya. husababisha husahau huwaweka je katika kondomu kubwa kuenea kueneza kufanya kujamiiana. kujamiiana? kujilinda kupata kupindukia kusahau kutumia kuwa kwa mabaya magonjwa majukumu mapenzi matumizi mengine moja na ndiyo ni pia pombe sababu tabia ukimwi ulevi virusi vvu vya wao wapenzi watu wengi wenyewe ya yanayosababisha yao yatokanayo za zao. wiki
Matumizi mabaya ya pombe ndiyo yanayosababisha kuenea kwa
VVU au magonjwa mengine yatokanayo na kujamiiana. Tabia
ya ulevi ya kupindukia huwaweka watu katika hatari kubwa ya
kupata na kueneza magonjwa haya.
Pombe husababisha watu kusahau hatari ya kuwa na wapenzi
wengi na pia kufanya mapenzi na watu ambao hawafahamu hali
za afya zao. Husahau kujilinda wao wenyewe na wapenzi wao, kwa
kutumia kondomu na kusahau majukumu yao ya familia… soma zaidi
Tagsπ afya ambao au familia. hali hatari hawafahamu haya. husababisha husahau huwaweka je katika kondomu kubwa kuenea kueneza kufanya kujamiiana. kujamiiana? kujilinda kupata kupindukia kusahau kutumia kuwa kwa mabaya magonjwa majukumu mapenzi matumizi mengine moja na ndiyo ni pia pombe sababu tabia ukimwi ulevi virusi vvu vya wao wapenzi watu wengi wenyewe ya yanayosababisha yao yatokanayo za zao. wiki
Matumizi mabaya ya pombe ndiyo yanayosababisha kuenea kwa
VVU au magonjwa mengine yatokanayo na kujamiiana. Tabia
ya ulevi ya kupindukia huwaweka watu katika hatari kubwa ya
kupata na kueneza magonjwa haya.
Pombe husababisha watu kusahau hatari ya kuwa na wapenzi
wengi na pia kufanya mapenzi na watu ambao hawafahamu hali
za afya zao. Husahau kujilinda wao wenyewe na wapenzi wao, kwa
kutumia kondomu na kusahau majukumu yao ya familia… soma zaidi