VIDEO-USIKU
This is the Redirect module that redirects the browser directly to the "http://www.ackyshine.com/videos" page.
VIDEO-USIKU
By, Melkisedeck Shine.
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Pale mwanamke akivua makeup hiki ndicho hutokea, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Huyu ng'ombe anayependa kupiga watu kawezwa kweli, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Huyu mwanamama ni hatari, cheki anachofanya hapa sasa, πAngalia video hapa
Tags π ajali punda vichekesho wanyama. Category πvideos,: ajali punda vichekesho wanyama, Angalia kilichompata huyu baada ya kutaka kumgeuza punda pikipiki, πAngalia video hapa
Tags π maajabu pikipiki vichekesho. Category πvideos,: maajabu pikipiki vichekesho, Pikipiki ya ajabu, ulishawahi kuona?, πAngalia video hapa
Tags π maajabu vichekesho. Category πvideos,: maajabu vichekesho, Huyu jogoo ni noma, mwangalie anavyovuta gari la kukokota, πAngalia video hapa
Tags π nyoka wanyama. Category πvideos,: nyoka wanyama, Nyoka na yeye kapatikana sasa, πAngalia video hapa
Tags π maajabu vichekesho. Category πvideos,: maajabu vichekesho, Huyu jamaa anaachia ushuzi kama gari vile, duh ni shida, πAngalia video hapa
Tags π maajabu. Category πvideos,: maajabu, Angalia hili gari lilivyofanywa chapati, πAngalia video hapa
Tags π maajabu vichekesho wanyama. Category πvideos,: maajabu vichekesho wanyama, Nguruwe wanauwawa vibaya, cheki huyu anachofanywa, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Hii ndiyo inathibitisha ule msemo ukitaka uzuri sharti udhurike, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Cheki hiki, hivi vyombo vingine vya usafiri ni majanga, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Hizi bahati mbaya nyingine jamani…, πAngalia video hapa
Tags π maajabu vichekesho. Category πvideos,: maajabu vichekesho, Hii ndiyo kwa nini usiwaachie watoto wadogo mtoto, πAngalia video hapa
Tags π simba wanyama. Category πvideos,: simba wanyama, Angalia huyu simba alivyokwama mguu kwenye pembe ya nyati, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Kilichompata huyu bonge hatarudia tena, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Haya mambo mengine huyawezi, waachie wenyewe, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Huyu ng'ombe anayependa kupiga watu kawezwa kweli, πAngalia video hapa
Tags π ajali. Category πvideos,: ajali, Mwanamke alivyookolewa baada ya gari yake kuzama kwenye maji, πAngalia video hapa
Tags π maajabu vichekesho. Category πvideos,: maajabu vichekesho, Hizi TV nyingine bwana za kiajabu, πAngalia video hapa
.
.
Endelea kuperuzi;-π
π¬ VIDEO-MAPEMAβ
π¬ VIDEO-TATAβ
π¬ VIDEO-KWA-WANAUMEβ
π¬ VIDEO-KWA-WANAWAKEβ
π¬ VIDEO-KWA-WAKUBWAβ
π¬ VIDEO-KWA-VIJANAβ
π¬ VIDEO-KWA-WAZEEβ
π¬ VIDEO-ZA-WANAWAKEβ
π¬ VIDEO-ZA-WANAUMEβ
π¬ VIDEO-ZA-WAKUBWAβ
π¬ VIDEO-ZA-VIJANAβ
π¬ VIDEOβ
π¬ VIDEOSβ
π¬ Pale unaposhindwa zoeziβ
π¬ Angalia huyu mwizi wa kondooβ
π¬ Fisi wanafanya yaoβ
π¬ Angalia hii sigara ya ajabuβ
Majuto ni mjukuu. Angalia kisa cha huyu dada
Tagsπ hadithi
Dada mmoja aliyejulikana kwa jina
la Angel, alikuwa anafanya
biashara ya kujiuza ili aweze
kuweka kitu tumboni mwake.
dada huyo alikuwa na wateja
wamaana na mapedeshee wengi
sana kwa hiyo kwa siku yeye
kuondoka na laki 4 au 5
ilikuwa ni kawaida sana… soma zaidi
Tagsπ hadithi
Dada mmoja aliyejulikana kwa jina
la Angel, alikuwa anafanya
biashara ya kujiuza ili aweze
kuweka kitu tumboni mwake.
dada huyo alikuwa na wateja
wamaana na mapedeshee wengi
sana kwa hiyo kwa siku yeye
kuondoka na laki 4 au 5
ilikuwa ni kawaida sana… soma zaidi
Mapishi ya Viazi, samaki na asparagus
Tagsπ mapishinalishe
Viazi (potato 1/2 kilo)
Samaki (fish 2)
Asparagus 8
Kitunguu kilichokatwa (chopped onion 1)
Kitunguu swaum kilichosagwa (garlic 4 cloves)
Tangawizi iliyosagwa kiasi (ginger paste)
Limao (lemon 1)
Giligilani iliyokatwakatwa (chopped coriander)
Curry powder (kijiko 1 cha chai)
Chumvi (salt)
Mafuta (vegetable oil).. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Viazi (potato 1/2 kilo)
Samaki (fish 2)
Asparagus 8
Kitunguu kilichokatwa (chopped onion 1)
Kitunguu swaum kilichosagwa (garlic 4 cloves)
Tangawizi iliyosagwa kiasi (ginger paste)
Limao (lemon 1)
Giligilani iliyokatwakatwa (chopped coriander)
Curry powder (kijiko 1 cha chai)
Chumvi (salt)
Mafuta (vegetable oil).. soma zaidi
Mapishi ya Wali Wa Nazi Wa Adesi, Bamia Na Mchuzi Wa Kamba
Tagsπ mapishinalishe
Mchele - 2 vikombe.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mchele - 2 vikombe.. soma zaidi
#Baraza la mawazili alilo tangaza Rais Magufuli
Tagsπ #baraza alilo la magufuli mawazili rais tangaza habari
Rais wa Tanzania John Magufuli ametangaza baraza lake la mawaziri ambalo kwa sasa lina mawaziri 19, ingawa wizara ni 18. Mawaziri sita kati ya hao ni wanawake. Dkt Magufuli amesema kuna nafasi nne za uwaziri ambazo bado anatafuta watu wanaofaa kuteuliwa… soma zaidi
Tagsπ #baraza alilo la magufuli mawazili rais tangaza habari
Rais wa Tanzania John Magufuli ametangaza baraza lake la mawaziri ambalo kwa sasa lina mawaziri 19, ingawa wizara ni 18. Mawaziri sita kati ya hao ni wanawake. Dkt Magufuli amesema kuna nafasi nne za uwaziri ambazo bado anatafuta watu wanaofaa kuteuliwa… soma zaidi
Vyakula vinavyofaa kuliwa katika kipindi cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani
Tagsπ afya mapishinalishe
Vyakula vinavyofaa kuliwa wakati huu wa mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani ni vingi, leo tutaanza kuchambua kimoja baada ya kingine, Mbali na Waislamu, uchambuzi huu unawafaa pia wale ambao siyo Waislamu. Chakula kilichozoeleka zaidi kwa futari ni tende. Baada ya kushinda kutwa nzima na Swaumu, kiwango cha sukari ya mwili hupungua na hivyo, kuhitaji kujazilizwa tena. Aina ya kwanza ya sukari itumikayo mwilini na hasahasa ubongoni ni glukosi… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Vyakula vinavyofaa kuliwa wakati huu wa mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani ni vingi, leo tutaanza kuchambua kimoja baada ya kingine, Mbali na Waislamu, uchambuzi huu unawafaa pia wale ambao siyo Waislamu. Chakula kilichozoeleka zaidi kwa futari ni tende. Baada ya kushinda kutwa nzima na Swaumu, kiwango cha sukari ya mwili hupungua na hivyo, kuhitaji kujazilizwa tena. Aina ya kwanza ya sukari itumikayo mwilini na hasahasa ubongoni ni glukosi… soma zaidi
Kutoa Mimba
Tagsπ akamwambia akina akiwa alienda anawasiwasi daktari huku kutoa kwa magonjwa mama mimba mmoja na wa ya mahusiano
Mama mmoja huku akiwa anawasiwasi alienda kwa daktari wa magonjwa ya akina mama na akamwambia
" mwanangu hajafikisha hata mwaka mmoja na mimi nimepata ujauzito tena"
Daktari akamwambia
"ni sawa, kwa hiyo unataka mimi nifanyeje?"
Mama akasema
"nakuomba unisaidie kutoa hii mimba na ninakutegemea mno daktari tafadhali nisaidie"
Daktari baada ya ukimya mfupi na kufikiri kidogo akamwambia yule mama
" Nadhani ninao msaada mzuri zaidi na ambao hautakuathiri kwa kwa namna yoyote kiafya".. soma zaidi
Tagsπ akamwambia akina akiwa alienda anawasiwasi daktari huku kutoa kwa magonjwa mama mimba mmoja na wa ya mahusiano
Mama mmoja huku akiwa anawasiwasi alienda kwa daktari wa magonjwa ya akina mama na akamwambia
" mwanangu hajafikisha hata mwaka mmoja na mimi nimepata ujauzito tena"
Daktari akamwambia
"ni sawa, kwa hiyo unataka mimi nifanyeje?"
Mama akasema
"nakuomba unisaidie kutoa hii mimba na ninakutegemea mno daktari tafadhali nisaidie"
Daktari baada ya ukimya mfupi na kufikiri kidogo akamwambia yule mama
" Nadhani ninao msaada mzuri zaidi na ambao hautakuathiri kwa kwa namna yoyote kiafya".. soma zaidi
Mapishi ya Samaki wa kupaka
Tagsπ mapishinalishe
Samaki (Tilapia 2)
Nyanya ya kopo (Tomato tin 1)
Kitunguu (Onion 1)
Tangawizi (ginger kiasi)
Kitunguu swaum (garlic clove )
Mafuta (Vegetable oil)
Pilipili (scotch bonnet pepper 1)
Tui la nazi zito (coconut milk 2 vikombe vya chai)
Curry powder 1/2 cha kijiko cha chai
Binzari nyembamba ya unga (ground cumin 1/2 kijiko cha chai
Binzari manjano (turmaric 1/2 kijiko cha chai
Chumvi (salt)
Limao (lemon 1)
Giligilani (fresh coriander).. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Samaki (Tilapia 2)
Nyanya ya kopo (Tomato tin 1)
Kitunguu (Onion 1)
Tangawizi (ginger kiasi)
Kitunguu swaum (garlic clove )
Mafuta (Vegetable oil)
Pilipili (scotch bonnet pepper 1)
Tui la nazi zito (coconut milk 2 vikombe vya chai)
Curry powder 1/2 cha kijiko cha chai
Binzari nyembamba ya unga (ground cumin 1/2 kijiko cha chai
Binzari manjano (turmaric 1/2 kijiko cha chai
Chumvi (salt)
Limao (lemon 1)
Giligilani (fresh coriander).. soma zaidi
Namna ya kujitibu chunusi kwa kutumia dawa ya meno au dawa ya mswaki
Tagsπ kutibu-chunusi-kiasili mapishinalishe
.. soma zaidi
Tagsπ kutibu-chunusi-kiasili mapishinalishe
.. soma zaidi
Jinsi ya kufanya nyuki waingie kwenye mzinga mpya
Tagsπ kilimonaufugaji
Ukitaka kuwavutia na kuingiza nyiki kwenye mzinga unatakiwa kufanya yafuatayo;.. soma zaidi
Tagsπ kilimonaufugaji
Ukitaka kuwavutia na kuingiza nyiki kwenye mzinga unatakiwa kufanya yafuatayo;.. soma zaidi
Vyakula vinavyosaidia macho kuongeza uwezo wa kuona
Tagsπ afya mapishinalishe
Je unakula chakula bora ambacho ni bora pia kwa ajili ya macho yako? Kula vizuri kuna manufaa mengi kwa ajili ya miili yetu; macho nayo yakiwemo. Kuna virutubisho mbalimbali vinavyohitajika kwenye macho kuliko tu vile vinavyofahamika na wengi vilivyoko kwenye karoti… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Je unakula chakula bora ambacho ni bora pia kwa ajili ya macho yako? Kula vizuri kuna manufaa mengi kwa ajili ya miili yetu; macho nayo yakiwemo. Kuna virutubisho mbalimbali vinavyohitajika kwenye macho kuliko tu vile vinavyofahamika na wengi vilivyoko kwenye karoti… soma zaidi
Njia za kuongeza wingi wa mbegu za kiume
Tagsπ mapishinalishe
Chakula unachokula kina mchango mkubwa katika kutibu tatizo hili. Vyakula vingi vya kisasa havina uwezo wa kuongeza uwingi wa mbegu… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Chakula unachokula kina mchango mkubwa katika kutibu tatizo hili. Vyakula vingi vya kisasa havina uwezo wa kuongeza uwingi wa mbegu… soma zaidi
UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Tagsπ wiki
Wanaume Wengi Hapa Duniani Huamini Kuwa, Mwanaume Hasa Ni Yule Anayeweza Kufanya Tendo Hilo Kwa Muda Mrefu Na Mara Nyingi Ndio Maana Vijana Wengi Utawasikia Wakijisifu Kuwa, Mpenzi Wake Hakulala Usiku Mzima Kutokana Na Dozi Ya Maana Aliyompa Na Ukimuuliza Mtu Wa Namna Hii Atakwambia Kuwa Alikwenda Mizunguko Sita Usiku Mzima… soma zaidi
Tagsπ wiki
Wanaume Wengi Hapa Duniani Huamini Kuwa, Mwanaume Hasa Ni Yule Anayeweza Kufanya Tendo Hilo Kwa Muda Mrefu Na Mara Nyingi Ndio Maana Vijana Wengi Utawasikia Wakijisifu Kuwa, Mpenzi Wake Hakulala Usiku Mzima Kutokana Na Dozi Ya Maana Aliyompa Na Ukimuuliza Mtu Wa Namna Hii Atakwambia Kuwa Alikwenda Mizunguko Sita Usiku Mzima… soma zaidi
Madhara ya kula yai bichi
Tagsπ mapishinalishe
Yai bichi linaweza kuwa na vijidudu viitwavyo kwa kitaalamu βSALMONELLAβ vinavyoweza kusababisha tumbo kuuma, kichefuchefu na pia kuharisha.
Vijidudu ya βSalmonellaβ vinaweza kusababisha madhara makubwa kwa watoto, wazee na wale wenye hali dhaifu ya kimwili kama wagonjwa wa UKIMWI… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Yai bichi linaweza kuwa na vijidudu viitwavyo kwa kitaalamu βSALMONELLAβ vinavyoweza kusababisha tumbo kuuma, kichefuchefu na pia kuharisha.
Vijidudu ya βSalmonellaβ vinaweza kusababisha madhara makubwa kwa watoto, wazee na wale wenye hali dhaifu ya kimwili kama wagonjwa wa UKIMWI… soma zaidi
Jinsi ya kutengeneza Cookies Za Tende Na Tangawizi
Tagsπ mapishinalishe
Unga vikombe vikombe 4.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Unga vikombe vikombe 4.. soma zaidi
Tunatofautiana matumizi ya muda
Tagsπ ambavyo mara matumizi muda ndivyo nyingi tunatofautiana vinavyowatoa vitu wanalalamikia watu wengine.. ya habari
Mara nyingi watu wanalalamikia vitu
ambavyo ndivyo vinavyowatoa wengine..
Tuna masaa 24 lakini baada ya kumaliza
siku kuna watu wanachekelea na wengi
wanalia⦠umetumiaje saa moja uliyoipata?.. soma zaidi
Tagsπ ambavyo mara matumizi muda ndivyo nyingi tunatofautiana vinavyowatoa vitu wanalalamikia watu wengine.. ya habari
Mara nyingi watu wanalalamikia vitu
ambavyo ndivyo vinavyowatoa wengine..
Tuna masaa 24 lakini baada ya kumaliza
siku kuna watu wanachekelea na wengi
wanalia⦠umetumiaje saa moja uliyoipata?.. soma zaidi
Madhara ya sigara na pombe kwa mtoto
Tagsπ bado hasa hatari hawatakiwi katika kijamii kisaikolojia. kuathirika kukua. kunywa kupata kuvuta kwa madhara maendeleo maisha miili mtoto na ndio pombe sababu sigara sigara! tagi: ubongo unywaji uvutaji wakaathiri wala wana wanaendelea wanaweza wapo watoto ya yao yatokanayo yote. zaidi wiki
Watoto hawatakiwi kunywa pombe wala kuvuta sigara!.. soma zaidi
Tagsπ bado hasa hatari hawatakiwi katika kijamii kisaikolojia. kuathirika kukua. kunywa kupata kuvuta kwa madhara maendeleo maisha miili mtoto na ndio pombe sababu sigara sigara! tagi: ubongo unywaji uvutaji wakaathiri wala wana wanaendelea wanaweza wapo watoto ya yao yatokanayo yote. zaidi wiki
Watoto hawatakiwi kunywa pombe wala kuvuta sigara!.. soma zaidi
Jinsi ya kuamsha mahaba na mapenzi katika mahusiano
Tagsπ mahusiano
Hizi hapa njia za kuamsha na kudumisha uhusiano mzuri kati yako na mpenzi wako hasa baada ya kuwa mmeshazoeana sana na kuhisi kuchokana… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Hizi hapa njia za kuamsha na kudumisha uhusiano mzuri kati yako na mpenzi wako hasa baada ya kuwa mmeshazoeana sana na kuhisi kuchokana… soma zaidi
Mambo yakuzingatia kabla ya kuingia kwenye ndoa
Tagsπ mahusiano
Ujumbe wangu kwako Leo: NI VEMA UKAYAJUA
HAYA KABLA YA KUINGIA KWENYE NDOA:
1. Sherehe ya Harusi ni ya siku moja tu, na Ndoa
ni ya maisha yote.
2. Mwanamume/Mwanamke aliyezoea kuchepuka
kabla ya Ndoa, ataendelea kuchepuka hata baada
ya Ndoa… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Ujumbe wangu kwako Leo: NI VEMA UKAYAJUA
HAYA KABLA YA KUINGIA KWENYE NDOA:
1. Sherehe ya Harusi ni ya siku moja tu, na Ndoa
ni ya maisha yote.
2. Mwanamume/Mwanamke aliyezoea kuchepuka
kabla ya Ndoa, ataendelea kuchepuka hata baada
ya Ndoa… soma zaidi
Jinsi ya kupika Wali Wa Samaki Na Mboga
Tagsπ mapishinalishe
Samaki wa sea bass vipande - 1 1/2 LB (Ratili)
Kitunguu saumu(thomu/galic) -1 Kijiko cha supu
pilipili mbichi iliyosagwa - 1 Kijiko cha chai
Bizari ya manjano au ya pilau - 1/2 Kijiko cha chai
Paprika ya unga au pilipili ya unga - 1 kijiko cha chai
Chumvi - Kiasi
Ndimu
Mafuta - 3 Vijiko vya supu.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Samaki wa sea bass vipande - 1 1/2 LB (Ratili)
Kitunguu saumu(thomu/galic) -1 Kijiko cha supu
pilipili mbichi iliyosagwa - 1 Kijiko cha chai
Bizari ya manjano au ya pilau - 1/2 Kijiko cha chai
Paprika ya unga au pilipili ya unga - 1 kijiko cha chai
Chumvi - Kiasi
Ndimu
Mafuta - 3 Vijiko vya supu.. soma zaidi
Jinsia ya mtoto angali mimba
Tagsπ wiki
Mwili wa mwanaume unatengeneza aina mbili za mbegu. Kuna mbegu zinazokua kuwa mtoto wa kiume na kuna mbegu zinazokua kuwa mtoto wa kike. Ile mbegu inayofika kwenye yai kwanza, inarutubisha yai na ni wakati uleule, jinsia ya mtoto i inatokea. Uwezekano wa kumpata mtoto wa kike au wa kiume unafanana, na hii ni kweli katika nchi zote duniani… soma zaidi
Tagsπ wiki
Mwili wa mwanaume unatengeneza aina mbili za mbegu. Kuna mbegu zinazokua kuwa mtoto wa kiume na kuna mbegu zinazokua kuwa mtoto wa kike. Ile mbegu inayofika kwenye yai kwanza, inarutubisha yai na ni wakati uleule, jinsia ya mtoto i inatokea. Uwezekano wa kumpata mtoto wa kike au wa kiume unafanana, na hii ni kweli katika nchi zote duniani… soma zaidi
Jeshi la polisi linafanya nini katika kukomesha mauaji na madhara yanayotendeka kwa Albino?
Tagsπ albino? hivyo jeshi katika kuchunguza kukomesha kuwafikisha kuwakama kwa la limeanza linafanya maalumu madhara masuala mauaji mbele mikakati na nini polisi sheria. tawahusika vitendo vya vyombo wote ya yanayohusu yanayotendeka yote wiki
Jeshi la polisi limeanza mikakati maalumu kuchunguza masuala
yote yanayohusu vitendo hivyo, kuwakama tawahusika wote
na kuwafikisha mbele ya vyombo vya sheria. Pia jeshi la Polisi
limeunda kikosi maalumu kwa ajili ya kushughulikia kwa haraka
kesi za Albino… soma zaidi
Tagsπ albino? hivyo jeshi katika kuchunguza kukomesha kuwafikisha kuwakama kwa la limeanza linafanya maalumu madhara masuala mauaji mbele mikakati na nini polisi sheria. tawahusika vitendo vya vyombo wote ya yanayohusu yanayotendeka yote wiki
Jeshi la polisi limeanza mikakati maalumu kuchunguza masuala
yote yanayohusu vitendo hivyo, kuwakama tawahusika wote
na kuwafikisha mbele ya vyombo vya sheria. Pia jeshi la Polisi
limeunda kikosi maalumu kwa ajili ya kushughulikia kwa haraka
kesi za Albino… soma zaidi
Jinsi ya kutengeneza Rock-cakes Za Njugu Na Matunda Makavu
Tagsπ mapishinalishe
Unga - 4 Vikombe.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Unga - 4 Vikombe.. soma zaidi
Haki za ujinsia na afya ya uzazi zinamhusu pia mtu anayeishi na ualbino?
Tagsπ afya anayeishi binadamu dhahiri haki haki. hasa haya hizi hizi: husika. inayokubaliana kama katika kimataifa kuanzia kuheshimiwa kuthaminiwa mataifa matamko mikataba msingi; mtu muhimu na nchi ni pia sheria siku ualbino? ujinsia ulimwenguni unayozaliwa. uzazi wote ya yameridhia yote za ziko zile zinamhusu zinawahusu zinazohusiana wiki
Haki za msingi; hasa zile zinazohusiana na kuthaminiwa na
kuheshimiwa kama binadamu zinawahusu binadamu wote
kuanzia siku unayozaliwa. Mataifa yote Ulimwenguni yameridhia
mikataba ya Kimataifa inayokubaliana na matamko haya ya
haki. Haki hizi ziko dhahiri katika sheria za nchi husika. Haki
muhimu za ujinsia na afya ya uzazi ni hizi:
β’ Kupata habari juu ya ujinsia na mada zinazohusu afya ya
uzazi.
β’ Mwanamke au mwanaume kuamua kwa uhuru na kuwajibika,
kama anataka kujamiiana lini na mtu gani… soma zaidi
Tagsπ afya anayeishi binadamu dhahiri haki haki. hasa haya hizi hizi: husika. inayokubaliana kama katika kimataifa kuanzia kuheshimiwa kuthaminiwa mataifa matamko mikataba msingi; mtu muhimu na nchi ni pia sheria siku ualbino? ujinsia ulimwenguni unayozaliwa. uzazi wote ya yameridhia yote za ziko zile zinamhusu zinawahusu zinazohusiana wiki
Haki za msingi; hasa zile zinazohusiana na kuthaminiwa na
kuheshimiwa kama binadamu zinawahusu binadamu wote
kuanzia siku unayozaliwa. Mataifa yote Ulimwenguni yameridhia
mikataba ya Kimataifa inayokubaliana na matamko haya ya
haki. Haki hizi ziko dhahiri katika sheria za nchi husika. Haki
muhimu za ujinsia na afya ya uzazi ni hizi:
β’ Kupata habari juu ya ujinsia na mada zinazohusu afya ya
uzazi.
β’ Mwanamke au mwanaume kuamua kwa uhuru na kuwajibika,
kama anataka kujamiiana lini na mtu gani… soma zaidi
Mapishi ya Wali Wa Mboga Na Samaki Wa Pink Salmon
Tagsπ mapishinalishe
Mchele 3 vikombe.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mchele 3 vikombe.. soma zaidi
Jinsi ya kutunza udongo
Tagsπ ambavyo baadhi hai hatua hewa hiyo. hufanya husaidia hutengeneza huu kaboni kazi kiasi kibiolojia. kikubwa kilimo kubwa kuchukua kuilisha kumengβenya kutunza kwa kwenye mabaki maisha mazingira mimea mtiririko na nguvu ni pamoja rutuba tagi: udongo udongo. udongojinsi uelewa unategemeana utunzaji uwepo virutubisho viumbe wa waliomo wengine. ya wiki
Uelewa wa maisha ya mimea husaidia kwa kiasi kikubwa kwa hatua ya kuchukua kuilisha mimea hiyo… soma zaidi
Tagsπ ambavyo baadhi hai hatua hewa hiyo. hufanya husaidia hutengeneza huu kaboni kazi kiasi kibiolojia. kikubwa kilimo kubwa kuchukua kuilisha kumengβenya kutunza kwa kwenye mabaki maisha mazingira mimea mtiririko na nguvu ni pamoja rutuba tagi: udongo udongo. udongojinsi uelewa unategemeana utunzaji uwepo virutubisho viumbe wa waliomo wengine. ya wiki
Uelewa wa maisha ya mimea husaidia kwa kiasi kikubwa kwa hatua ya kuchukua kuilisha mimea hiyo… soma zaidi
Dondoo Muhimu
Tagsπ habari
Tafadhali soma na uwapelekee wengine. Dr. Brian Berry wa Marekani amegundua kensa mpya kwa binadamu inayosababishwa na Silver Nitro Oxide. Unaponunua kadi ya simu usiichune kwa kucha kwani imo hiyo Silver Nitro Oxide na inaweza kusababisha kensa ya ngozi. Watumie ujumbe huu wale uwapendao… soma zaidi
Tagsπ habari
Tafadhali soma na uwapelekee wengine. Dr. Brian Berry wa Marekani amegundua kensa mpya kwa binadamu inayosababishwa na Silver Nitro Oxide. Unaponunua kadi ya simu usiichune kwa kucha kwani imo hiyo Silver Nitro Oxide na inaweza kusababisha kensa ya ngozi. Watumie ujumbe huu wale uwapendao… soma zaidi
Mtoa huduma wa afya anaweza kukataa kutibu?
Tagsπ afya ama amua anakataa anashikilia anaweza au basi haki hilo huduma iwapo jambo jaribu kama kijana kuhusu kukataa kukutibu kukutibu. kumtibu. kutibiwa kutibu? kutokutibu kuzungumza kwa lako. mhudumu mkubwa mtoa mtu mwingine na naye sababu sawa siyo tatizo uamuzi umuulize una unatafuta vile wa wake wewe ya yeye yoyote. za zungumza wiki
Siyo haki kwa mtoa huduma wa afya kukataa kumtibu.
Kama kijana, una haki sawa ya kutibiwa kama vile mtu yoyote.
Iwapo mtoa huduma anakataa kukutibu wewe, jaribu kuzungumza
naye kuhusu jambo hilo na umuulize sababu za kukataa kukutibu.
Iwapo yeye anashikilia uamuzi wa kutokutibu basi amua ama
unatafuta mhudumu mwingine au zungumza na mkubwa wake
kuhusu tatizo lako. Ni jambo la maana kuzungumza na rafiki
yako au mwone mtu unayemwamini akusaidie kutatua tatizo
lako… soma zaidi
Tagsπ afya ama amua anakataa anashikilia anaweza au basi haki hilo huduma iwapo jambo jaribu kama kijana kuhusu kukataa kukutibu kukutibu. kumtibu. kutibiwa kutibu? kutokutibu kuzungumza kwa lako. mhudumu mkubwa mtoa mtu mwingine na naye sababu sawa siyo tatizo uamuzi umuulize una unatafuta vile wa wake wewe ya yeye yoyote. za zungumza wiki
Siyo haki kwa mtoa huduma wa afya kukataa kumtibu.
Kama kijana, una haki sawa ya kutibiwa kama vile mtu yoyote.
Iwapo mtoa huduma anakataa kukutibu wewe, jaribu kuzungumza
naye kuhusu jambo hilo na umuulize sababu za kukataa kukutibu.
Iwapo yeye anashikilia uamuzi wa kutokutibu basi amua ama
unatafuta mhudumu mwingine au zungumza na mkubwa wake
kuhusu tatizo lako. Ni jambo la maana kuzungumza na rafiki
yako au mwone mtu unayemwamini akusaidie kutatua tatizo
lako… soma zaidi
Njia za kuongeza wingi wa mbegu za kiume
Tagsπ mapishinalishe
Chakula unachokula kina mchango mkubwa katika kutibu tatizo hili. Vyakula vingi vya kisasa havina uwezo wa kuongeza uwingi wa mbegu… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Chakula unachokula kina mchango mkubwa katika kutibu tatizo hili. Vyakula vingi vya kisasa havina uwezo wa kuongeza uwingi wa mbegu… soma zaidi
Mapishi ya Wali Wa Nazi Kwa Mchuzi Wa Samaki Na Rojo La Bilingani Na Viazi/Mbatata
Tagsπ mapishinalishe
Mpunga - 4 vikombe.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mpunga - 4 vikombe.. soma zaidi
Utu ni zaidi ya fedha ya heshima ya dunia
Tagsπ habari
Mwaka 1993 mwezi March Mpiga picha maarufu wa Africa kusini (PhotoJournalist) Kevin Carter alitembelea Nchi ya Sudan kwa ajili ya kupiga picha za habari kuhusiana na baa la njaa lililoikabili nchi hiyo… soma zaidi
Tagsπ habari
Mwaka 1993 mwezi March Mpiga picha maarufu wa Africa kusini (PhotoJournalist) Kevin Carter alitembelea Nchi ya Sudan kwa ajili ya kupiga picha za habari kuhusiana na baa la njaa lililoikabili nchi hiyo… soma zaidi
Jinsi ya kupika Wali Wa Samaki Na Mboga
Tagsπ mapishinalishe
Samaki wa sea bass vipande - 1 1/2 LB (Ratili)
Kitunguu saumu(thomu/galic) -1 Kijiko cha supu
pilipili mbichi iliyosagwa - 1 Kijiko cha chai
Bizari ya manjano au ya pilau - 1/2 Kijiko cha chai
Paprika ya unga au pilipili ya unga - 1 kijiko cha chai
Chumvi - Kiasi
Ndimu
Mafuta - 3 Vijiko vya supu.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Samaki wa sea bass vipande - 1 1/2 LB (Ratili)
Kitunguu saumu(thomu/galic) -1 Kijiko cha supu
pilipili mbichi iliyosagwa - 1 Kijiko cha chai
Bizari ya manjano au ya pilau - 1/2 Kijiko cha chai
Paprika ya unga au pilipili ya unga - 1 kijiko cha chai
Chumvi - Kiasi
Ndimu
Mafuta - 3 Vijiko vya supu.. soma zaidi
Je, mwanaume anaweza akajua kama amempa msichana mimba siku ileile walipojamiiana?
Tagsπ wiki
Hapana, hamna njia ya kufahamu kama amempa msichana mimba siku i ileile wanapojamii ana. Inachukua muda kwa mwili kuonyesha dalili za mimba.
Msichana akitaka kwenda kliniki kupimwa mkojo, kwanza ahesabu tarehe i ipi alikuwa anategemea kupata hedhi yake.
Kama anakosa hedhi katika muda aliotegemea, i itambidi aende kliniki. Mimba i inaonekana kwenye kipimo cha mkojo wakati ambapo mwanamke alitakiwa kwenda mwezini. Msichana akienda kupimwa mkojo kabla, hali halisi kuhusiana na ujauzito haiwezi kutambuliwa… soma zaidi
Tagsπ wiki
Hapana, hamna njia ya kufahamu kama amempa msichana mimba siku i ileile wanapojamii ana. Inachukua muda kwa mwili kuonyesha dalili za mimba.
Msichana akitaka kwenda kliniki kupimwa mkojo, kwanza ahesabu tarehe i ipi alikuwa anategemea kupata hedhi yake.
Kama anakosa hedhi katika muda aliotegemea, i itambidi aende kliniki. Mimba i inaonekana kwenye kipimo cha mkojo wakati ambapo mwanamke alitakiwa kwenda mwezini. Msichana akienda kupimwa mkojo kabla, hali halisi kuhusiana na ujauzito haiwezi kutambuliwa… soma zaidi
Jinsi ilivyo hatari kuchanganya mifugo maeneo hatarishi
Tagsπ aina ajili barabara hatari hatarishi hiyo. ilivyo inakabiliwa jinsi kama kondoo kuchanganya kutosha kuwa kwa lakini licha maeneo malisho mbalimbali mbuzi mifugo miongoni mkubwa mwa na nchi ngβombe ni sambamba tagi: tanzania ufugaji upungufu vile wa wingi ya zinazozalisha wiki
Licha ya kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazozalisha mifugo ya aina mbalimbali na kwa wingi kama vile ngβombe, mbuzi, kondoo lakini inakabiliwa na upungufu mkubwa wa maeneo ya ufugaji sambamba na malisho ya kutosha kwa ajili ya mifugo hiyo… soma zaidi
Tagsπ aina ajili barabara hatari hatarishi hiyo. ilivyo inakabiliwa jinsi kama kondoo kuchanganya kutosha kuwa kwa lakini licha maeneo malisho mbalimbali mbuzi mifugo miongoni mkubwa mwa na nchi ngβombe ni sambamba tagi: tanzania ufugaji upungufu vile wa wingi ya zinazozalisha wiki
Licha ya kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazozalisha mifugo ya aina mbalimbali na kwa wingi kama vile ngβombe, mbuzi, kondoo lakini inakabiliwa na upungufu mkubwa wa maeneo ya ufugaji sambamba na malisho ya kutosha kwa ajili ya mifugo hiyo… soma zaidi
Ujumbe kwa leo
Tagsπ uchumi
Kuna baadhi ya LEVEL huwezi kufika…Kuna MAFANIKIO huwezi kuyafikia…Kuna HELA huwezi kuzipata…Kama umezungukwa na watu BASIC…
Kuanzia asubuhi mpaka jioni wanaongelea WATU TU..Fulani kamegwa na yule..halafu yule naniliu saivi anatembea na yule ex wa nanii…Asubuhi mpaka jioni DISCUSSING PEOPLE…Hawa ndio watu BASIC…Hata siku 1 hawatakupa Ushauri kuhusu HOW TO REACH SOMEWHERE…NEVER.. soma zaidi
Tagsπ uchumi
Kuna baadhi ya LEVEL huwezi kufika…Kuna MAFANIKIO huwezi kuyafikia…Kuna HELA huwezi kuzipata…Kama umezungukwa na watu BASIC…
Kuanzia asubuhi mpaka jioni wanaongelea WATU TU..Fulani kamegwa na yule..halafu yule naniliu saivi anatembea na yule ex wa nanii…Asubuhi mpaka jioni DISCUSSING PEOPLE…Hawa ndio watu BASIC…Hata siku 1 hawatakupa Ushauri kuhusu HOW TO REACH SOMEWHERE…NEVER.. soma zaidi
Siku Nyerere alivyotinga Kizimbani akituhumiwa kuvamia Uganda Kijeshi
Tagsπ habari
WAKATI akiondoka Dar es Salaam kuelekea nchini Liberia kuhudhuria Mkutano wa 16 wa Wakuu wa nchi Huru za Kiafrika (OAU) uliopangwa kufanyika Julai 17, 1979, Rais wa Awamu ya kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, alifahamu fika, kwamba pasingekuwa na vigelegele kwake mjini Monrovia kwa kushinda vita dhidi ya nduli Idi Amin wa Uganda, aliyevamia nchi yake Oktoba 30, 1978, na yeye Mwalimu akalazimika kuingia vitani bila kupenda… soma zaidi
Tagsπ habari
WAKATI akiondoka Dar es Salaam kuelekea nchini Liberia kuhudhuria Mkutano wa 16 wa Wakuu wa nchi Huru za Kiafrika (OAU) uliopangwa kufanyika Julai 17, 1979, Rais wa Awamu ya kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, alifahamu fika, kwamba pasingekuwa na vigelegele kwake mjini Monrovia kwa kushinda vita dhidi ya nduli Idi Amin wa Uganda, aliyevamia nchi yake Oktoba 30, 1978, na yeye Mwalimu akalazimika kuingia vitani bila kupenda… soma zaidi
Kisa cha kusisimua: Funzo kwa mabinti
Tagsπ mahusiano
Kijana maskini na mwenye maisha duni alimpenda msichana mmoja
Baada ya kutumia muda mwingi kumfikiria msichana huyo,
Siku moja akaamua kumwita na kumwambia ukweli ya kwamba amempenda na angehitaji kumuoa… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Kijana maskini na mwenye maisha duni alimpenda msichana mmoja
Baada ya kutumia muda mwingi kumfikiria msichana huyo,
Siku moja akaamua kumwita na kumwambia ukweli ya kwamba amempenda na angehitaji kumuoa… soma zaidi
Kama una miaka 24 hadi 29 huu ni ujumbe wako, Soma hii tafadhali
Tagsπ mahusiano
ITAKUSAIDIA KIJANA PLEASE ISOME NA UITAFAKARI SINTOFAHAMU MAISHANI KATI YA MIAKA 24 HADI 29
1. Umri mgumu zaidi katika maisha yako ni kati ya miaka 24 hadi 29 hivi. Presha ya kuwa mtu wa aina fulani au levo fulani ya maisha katika umri huo ni kubwa sana… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
ITAKUSAIDIA KIJANA PLEASE ISOME NA UITAFAKARI SINTOFAHAMU MAISHANI KATI YA MIAKA 24 HADI 29
1. Umri mgumu zaidi katika maisha yako ni kati ya miaka 24 hadi 29 hivi. Presha ya kuwa mtu wa aina fulani au levo fulani ya maisha katika umri huo ni kubwa sana… soma zaidi
Je, watu wanaoishi na ualbino wanafanana wote?
Tagsπ aina albino cha hapana. hawafanani hawana hizi je kabisa kiasi kidogo kufuatana kwa mbalimbali melanini na nacho; tu. ualbino ualbino. walicho wamegundua wanafanana wanaoishi wanasayansi wanatofautiana wanayo watu wengine wote wote? za wiki
Hapana. Albino wote hawafanani, wanatofautiana kufuatana na
kiasi cha melanini walicho nacho; wengine hawana kabisa na
wengine wanayo kwa kiasi kidogo tu. Wanasayansi wamegundua
aina mbalimbali za ualbino. Kufuatana na aina hizi za ualbino.. soma zaidi
Tagsπ aina albino cha hapana. hawafanani hawana hizi je kabisa kiasi kidogo kufuatana kwa mbalimbali melanini na nacho; tu. ualbino ualbino. walicho wamegundua wanafanana wanaoishi wanasayansi wanatofautiana wanayo watu wengine wote wote? za wiki
Hapana. Albino wote hawafanani, wanatofautiana kufuatana na
kiasi cha melanini walicho nacho; wengine hawana kabisa na
wengine wanayo kwa kiasi kidogo tu. Wanasayansi wamegundua
aina mbalimbali za ualbino. Kufuatana na aina hizi za ualbino.. soma zaidi
KUHUSU WANAWAKE
Tagsπ mahusiano
"Nikufundishe nini mwanangu kuhusu wanawake? Baba yako nimezeeka ghafla nikiwa na ufahamu mdogo na mwanangu umeshakua kiasi cha kuhitaji elimu hii adhimu, nikupe neno gani?, labda hivi,.. soma zaidi
Tagsπ mahusiano
"Nikufundishe nini mwanangu kuhusu wanawake? Baba yako nimezeeka ghafla nikiwa na ufahamu mdogo na mwanangu umeshakua kiasi cha kuhitaji elimu hii adhimu, nikupe neno gani?, labda hivi,.. soma zaidi
Je, Tanzania kuna Albino wangapi?
Tagsπ 000 000- 000-20 000. 1 4 5 15 afrika albino aliyewahesabu. ambako au elfu haijulikani hakuna hapa hii idadi inakisiwa je kama kamili kati katika kubwa kufuatana kumi. kuna kusini kuwa kwani mara marekani mtu na namba nchi ni nigeria nne nyingine tafiti tano tanzania tanzania. tunapata ukilinganisha ulaya wangapi? wapatao watu ya wiki
Idadi kamili ya Albino Tanzania haijulikani kwani hakuna
aliyewahesabu. Inakisiwa kufuatana na tafiti katika nchi
nyingine kama Nigeria na Afrika Kusini kuwa mtu 1 kati ya
4,000- 5,000 ni Albino hapa Tanzania. Namba hii ni kubwa mara
nne au mara tano ukilinganisha na Ulaya au Marekani ambako
tunapata Albino 1 kati ya watu 15,000-20,000. Hapa Tanzania
inakisiwa kuwa kuna Albino wapatao elfu kumi… soma zaidi
Tagsπ 000 000- 000-20 000. 1 4 5 15 afrika albino aliyewahesabu. ambako au elfu haijulikani hakuna hapa hii idadi inakisiwa je kama kamili kati katika kubwa kufuatana kumi. kuna kusini kuwa kwani mara marekani mtu na namba nchi ni nigeria nne nyingine tafiti tano tanzania tanzania. tunapata ukilinganisha ulaya wangapi? wapatao watu ya wiki
Idadi kamili ya Albino Tanzania haijulikani kwani hakuna
aliyewahesabu. Inakisiwa kufuatana na tafiti katika nchi
nyingine kama Nigeria na Afrika Kusini kuwa mtu 1 kati ya
4,000- 5,000 ni Albino hapa Tanzania. Namba hii ni kubwa mara
nne au mara tano ukilinganisha na Ulaya au Marekani ambako
tunapata Albino 1 kati ya watu 15,000-20,000. Hapa Tanzania
inakisiwa kuwa kuna Albino wapatao elfu kumi… soma zaidi
Ni tahadhari gani nichukue ninapomhudumia mgonjwa wa UKIMWI?
Tagsπ wiki
Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI mara nyingi huenea sana kwa njia ya kujamii ana, na hauambukizwi kwa kumhudumia mtu mwenye maambukizi ya Virusi vya UKIMWI au UKIMWI. Hata hivyo ni muhimu kuwa mwangalifu na kuchukua tahadhari ili kuzuia kuambukizwa.
Ukimtibu vidonda vya mtu aliyeambukizwa na Virusi vya UKIMWI, ni vyema kuvaa mipira ya mikononi (glavu ) na daima ni vizuri kufunga kitambaa au plasta mahali penye jeraha. Vifaa vyenye ncha kali vinavyotumiwa na mtu mwenye maambukizi ya virusi vya UKIMWI, kwa mfano nyembe, kutunzwa sehemu ya pekee na visitumiwe na watu wengine.
Hatua hizi ni muhimu na za msingi kwa wahudumu wa watu wenye virusi vya UKIMWI i ili kuzuia yeye au watu wengine wasipate maambukizi ya virusi vya UKIMWI. Kama unamtunza / unamhudumia mtu aliyeambukizwa na Virusi vya UKIMWI na huna uhakika au una wasiwasi na tahadhari za kuchukua, unashauriwa kutafuta msaada kutoka kwa mtoa huduma wa afya i li akupe maelezo zaidi… soma zaidi
Tagsπ wiki
Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI mara nyingi huenea sana kwa njia ya kujamii ana, na hauambukizwi kwa kumhudumia mtu mwenye maambukizi ya Virusi vya UKIMWI au UKIMWI. Hata hivyo ni muhimu kuwa mwangalifu na kuchukua tahadhari ili kuzuia kuambukizwa.
Ukimtibu vidonda vya mtu aliyeambukizwa na Virusi vya UKIMWI, ni vyema kuvaa mipira ya mikononi (glavu ) na daima ni vizuri kufunga kitambaa au plasta mahali penye jeraha. Vifaa vyenye ncha kali vinavyotumiwa na mtu mwenye maambukizi ya virusi vya UKIMWI, kwa mfano nyembe, kutunzwa sehemu ya pekee na visitumiwe na watu wengine.
Hatua hizi ni muhimu na za msingi kwa wahudumu wa watu wenye virusi vya UKIMWI i ili kuzuia yeye au watu wengine wasipate maambukizi ya virusi vya UKIMWI. Kama unamtunza / unamhudumia mtu aliyeambukizwa na Virusi vya UKIMWI na huna uhakika au una wasiwasi na tahadhari za kuchukua, unashauriwa kutafuta msaada kutoka kwa mtoa huduma wa afya i li akupe maelezo zaidi… soma zaidi
Madhara ya Kuvaa viatu virefu wakati wa Ujauzito
Tagsπ afya mapishinalishe
Wakati wa ujauzito ni kipindi cha kubadili mambo mengi katika mfumo wa maisha wa mjamzito. Mjamzito anapaswa kubadili mambo mbalimbali ili kuhakikisha anakua na afya nzuri katika kipindi chote cha ujauzito na ili kuhakikisha kwamba atajifungua mtoto mwenye afya nzuri. Moja ya mambo makubwa ni pamoja na tabia ya kuvaa viatu vyenye visigino virefu. Mjamzito hashauriwi kuvaa viatu vyenye visigino virefu kutokana na athari zinazoweza kutokana na aina hizi za viatu… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Wakati wa ujauzito ni kipindi cha kubadili mambo mengi katika mfumo wa maisha wa mjamzito. Mjamzito anapaswa kubadili mambo mbalimbali ili kuhakikisha anakua na afya nzuri katika kipindi chote cha ujauzito na ili kuhakikisha kwamba atajifungua mtoto mwenye afya nzuri. Moja ya mambo makubwa ni pamoja na tabia ya kuvaa viatu vyenye visigino virefu. Mjamzito hashauriwi kuvaa viatu vyenye visigino virefu kutokana na athari zinazoweza kutokana na aina hizi za viatu… soma zaidi
Je, baada ya kutumia vidonge au sindano kwa muda mrefu, mwamamke akiacha kuzitumia hizo njia ataweza kupata mimba tena?
Tagsπ akiacha ataweza au baada hizo je kupata kutumia kuzitumia kwa mimba mrefu muda mwamamke njia sindano tena? vidonge ya wiki
Vidonge na sindano zinazuia mimba kwa kuzuia yai lisipevuke. Akitumia njia hizi za kuzuia mimba, mwanamke anaona hedhi yake kama kawaida, lakini hakuna yai linalokuwa limepevuka kwa ajili ya kurutubishwa.
Mara mwanamke akiacha kutumia vidonge, mayai hupevuka tena ndani ya kokwa na mwanamke huweza kupata mimba. Mwanamke aliyetumia sindano, anaweza akachukua muda kiasi kurudia hali yake ya uzazi. Kwa wanawake wengine inachukua miezi 12.
Muhimu ni kukumbuka kwamba sindano na vidonge siyo njia za kudumu za kuzuia mimba, hata kama itachukua muda fulani kurudia hali ya kawaida ya uzazi.. soma zaidi
Tagsπ akiacha ataweza au baada hizo je kupata kutumia kuzitumia kwa mimba mrefu muda mwamamke njia sindano tena? vidonge ya wiki
Vidonge na sindano zinazuia mimba kwa kuzuia yai lisipevuke. Akitumia njia hizi za kuzuia mimba, mwanamke anaona hedhi yake kama kawaida, lakini hakuna yai linalokuwa limepevuka kwa ajili ya kurutubishwa.
Mara mwanamke akiacha kutumia vidonge, mayai hupevuka tena ndani ya kokwa na mwanamke huweza kupata mimba. Mwanamke aliyetumia sindano, anaweza akachukua muda kiasi kurudia hali yake ya uzazi. Kwa wanawake wengine inachukua miezi 12.
Muhimu ni kukumbuka kwamba sindano na vidonge siyo njia za kudumu za kuzuia mimba, hata kama itachukua muda fulani kurudia hali ya kawaida ya uzazi.. soma zaidi
Madhara yanayotokea kwa unyanyasaji wa jinsia kwa mtu
Tagsπ humuumiza jinsia kijinsia kimwili kupona. kwa mabaya madhara majaribio mara matatizo matendo moja mrefu mtoto mtu muda mwathiriwa mwathiriwa. mwili na nyingi ubakaji ujinsia ukeketaji una unyanyasaji wa wanawake ya yanamhusu yanayochukua yanayotokea wiki
Unyanyasaji wa ujinsia una matatizo mabaya ya kimwili na
yanayochukua muda mrefu kwa mwathiriwa kupona. Unyanyasaji
wa jinsia mara nyingi humuumiza mwathiriwa, matendo ya
ubakaji, majaribio ya ubakaji, unyanyasaji wa kijinsia kwa mtoto,
na ukeketaji kwa wanawake yanamhusu moja kwa moja mwili
wa mwathiriwa. Mwathiriwa anaweza kupata maumivu makali
wakati wa kitendo, viungo vyake vya uzazi akiwa mwanamume
au mwanamke kuna uwezekano ukapata majeraha wakati wa
ubakaji. Zaidi ya hayo mbakaji anaweza kumuumiza mwathiriwa
katika sehemu nyingie za mwili. Na jambo baya zaidi ukatili
wa kijinsia wakati mwingine unaweza kusababisha ulemavu wa
maisha na mara nyingine hata kifo cha mwathiriwa. Ubakaji
unaweza kusababisha mimba, na uenezaji wa magonjwa hatari
kama Virusi vya Ukimwi.
Watoto wanadhuriwa zaidi na vitendo vya ukatili wa ujinsia
katika miili yao kwa sababu ukubwa wa viungo vyao vya sehemu
za siri ni vidogo kuliko vile vya watu wazima.
Athari za kisaikolojia kwa mwathiriwa pia ni hatari sana. Uonevu
wa ujinsia kwa mwathirika unaweza kusababisha kuchanganyikiwa
na kupata kiwewe na hali ya hatari sana inayoweza kusababisha
mtu akapata kichaa katika miezi ya kwanza. Baada ya uonevu
wa ujinsia na hata baada ya miaka, mwathiriwa bado atakuwa
na kumbukumbu ya maumivu aliyopata na hivyo kukumbuka
katika akili yake. Waathiriwa wengi wa ubakaji wana matatizo
ya kutokuwa na uhusiano mzuri wa kujamiiana, kwani kila mara
atahusisha kujamiiana na alipobakwa. Ndiyo maana waathiriwa
wa ubakaji wanahitaji msaada, uelewa na uvumilivu toka kwa
wazazi wao, wenzi wao na marafiki… soma zaidi
Tagsπ humuumiza jinsia kijinsia kimwili kupona. kwa mabaya madhara majaribio mara matatizo matendo moja mrefu mtoto mtu muda mwathiriwa mwathiriwa. mwili na nyingi ubakaji ujinsia ukeketaji una unyanyasaji wa wanawake ya yanamhusu yanayochukua yanayotokea wiki
Unyanyasaji wa ujinsia una matatizo mabaya ya kimwili na
yanayochukua muda mrefu kwa mwathiriwa kupona. Unyanyasaji
wa jinsia mara nyingi humuumiza mwathiriwa, matendo ya
ubakaji, majaribio ya ubakaji, unyanyasaji wa kijinsia kwa mtoto,
na ukeketaji kwa wanawake yanamhusu moja kwa moja mwili
wa mwathiriwa. Mwathiriwa anaweza kupata maumivu makali
wakati wa kitendo, viungo vyake vya uzazi akiwa mwanamume
au mwanamke kuna uwezekano ukapata majeraha wakati wa
ubakaji. Zaidi ya hayo mbakaji anaweza kumuumiza mwathiriwa
katika sehemu nyingie za mwili. Na jambo baya zaidi ukatili
wa kijinsia wakati mwingine unaweza kusababisha ulemavu wa
maisha na mara nyingine hata kifo cha mwathiriwa. Ubakaji
unaweza kusababisha mimba, na uenezaji wa magonjwa hatari
kama Virusi vya Ukimwi.
Watoto wanadhuriwa zaidi na vitendo vya ukatili wa ujinsia
katika miili yao kwa sababu ukubwa wa viungo vyao vya sehemu
za siri ni vidogo kuliko vile vya watu wazima.
Athari za kisaikolojia kwa mwathiriwa pia ni hatari sana. Uonevu
wa ujinsia kwa mwathirika unaweza kusababisha kuchanganyikiwa
na kupata kiwewe na hali ya hatari sana inayoweza kusababisha
mtu akapata kichaa katika miezi ya kwanza. Baada ya uonevu
wa ujinsia na hata baada ya miaka, mwathiriwa bado atakuwa
na kumbukumbu ya maumivu aliyopata na hivyo kukumbuka
katika akili yake. Waathiriwa wengi wa ubakaji wana matatizo
ya kutokuwa na uhusiano mzuri wa kujamiiana, kwani kila mara
atahusisha kujamiiana na alipobakwa. Ndiyo maana waathiriwa
wa ubakaji wanahitaji msaada, uelewa na uvumilivu toka kwa
wazazi wao, wenzi wao na marafiki… soma zaidi
Vijana wajiunga na al-Shabab Kenya
Tagsπ habari
Polisi nchini Kenya wamewalaumu viongozi watatu wa kiislamu kwa kuwashawishi vijana wakiwemo wanafunzi wa vyuo vikuu kujiunga na kundi la kiislamu la al-Shabab.
Polisi wanadai kuwa viongozi hao wa kiislamu walivuka mpaka na kuingia nchini Somalia yalipo makao makuu ya al Shabab ambapo huwashawishi vijana hao kupitia kwa mitandao… soma zaidi
Tagsπ habari
Polisi nchini Kenya wamewalaumu viongozi watatu wa kiislamu kwa kuwashawishi vijana wakiwemo wanafunzi wa vyuo vikuu kujiunga na kundi la kiislamu la al-Shabab.
Polisi wanadai kuwa viongozi hao wa kiislamu walivuka mpaka na kuingia nchini Somalia yalipo makao makuu ya al Shabab ambapo huwashawishi vijana hao kupitia kwa mitandao… soma zaidi
FAIDA ZA MATUMIZI YA TENDE
Tagsπ wiki
1. Ukila tende mara kwa mara, mwili wako utapata aina mbalimbali za madini na vitamin za kutosha, ambazo zinapatikana kwenye tunda hili maarufu duniani. Katika tende kuna kiasi kidogo tu cha mafuta (fat) na haina lehemu (kolestrol)… soma zaidi
Tagsπ wiki
1. Ukila tende mara kwa mara, mwili wako utapata aina mbalimbali za madini na vitamin za kutosha, ambazo zinapatikana kwenye tunda hili maarufu duniani. Katika tende kuna kiasi kidogo tu cha mafuta (fat) na haina lehemu (kolestrol)… soma zaidi
Sheria zinazohusiana na ndoa za kulazimishwa
Tagsπ 1971. ambao basi bunge haikuwa hiari hii hiyo iliyopitishwa inakataza inasema inatambua iwapo kama kati kuishi kulazimisha. kulazimishwa kwa kwamba mke mke. msingi mume muungano mwaka na nchini ndoa ndoa. ni sheria siyo tanzania wameamua ya yao za zinazohusiana wiki
Sheria ya msingi ya ndoa nchini Tanzania ni Sheria ya ndoa ya
Bunge, iliyopitishwa mwaka 1971. Sheria hii inakataza ndoa za
kulazimisha. Inatambua ndoa kama ni muungano kati ya mume
na mke ambao kwa hiari yao wameamua kuishi kama mume na
mke. Sheria hiyo inasema kwamba iwapo ndoa haikuwa ya hiari,
basi hiyo siyo ndoa. Sheria pia imefafanua utoaji wa adhabu
kwa watu wote wanaoshawishi au wanaolazimisha pande hizo
mbili kuingia katika ndoa bila hiari yao. Kwa hiyo mwathiriwa wa
ndoa ya kulazimishwa anatakiwa kutoa taarifa juu ya wale wote
waliomlazimisha katika ndoa kwa polisi ambaye atawashitaki
kwa kuwa hili ni kosa la jinai… soma zaidi
Tagsπ 1971. ambao basi bunge haikuwa hiari hii hiyo iliyopitishwa inakataza inasema inatambua iwapo kama kati kuishi kulazimisha. kulazimishwa kwa kwamba mke mke. msingi mume muungano mwaka na nchini ndoa ndoa. ni sheria siyo tanzania wameamua ya yao za zinazohusiana wiki
Sheria ya msingi ya ndoa nchini Tanzania ni Sheria ya ndoa ya
Bunge, iliyopitishwa mwaka 1971. Sheria hii inakataza ndoa za
kulazimisha. Inatambua ndoa kama ni muungano kati ya mume
na mke ambao kwa hiari yao wameamua kuishi kama mume na
mke. Sheria hiyo inasema kwamba iwapo ndoa haikuwa ya hiari,
basi hiyo siyo ndoa. Sheria pia imefafanua utoaji wa adhabu
kwa watu wote wanaoshawishi au wanaolazimisha pande hizo
mbili kuingia katika ndoa bila hiari yao. Kwa hiyo mwathiriwa wa
ndoa ya kulazimishwa anatakiwa kutoa taarifa juu ya wale wote
waliomlazimisha katika ndoa kwa polisi ambaye atawashitaki
kwa kuwa hili ni kosa la jinai… soma zaidi
Jinsi ya kutenganeza mbolea ya maji
Tagsπ anaweza awe endapo fosiforasi gharama haijawa haipati hali haraka hilo ina inahitaji inaweza ishara jambo kabla kawaida kipato kubadili kugundua kukuonyesha kuongeza kupunguza kutatua kutenganeza kutengeneza kutosha. kuwa kwa kwenye la lazima madini majani maji mavuno mbaya. mbolea mboleajinsi mimea mimea. mkulima mwenyewe. na ni nini. nitrojen pamoja rahisi rangi rutuba sana tagi: tatizo tayari tosha udongo upungufu virutubisho virutubisho. vya wa ya wiki
Mkulima anaweza kupunguza gharama, kuongeza rutuba kwenye udongo, mavuno pamoja na kipato kwa kutengeneza mbolea mwenyewe… soma zaidi
Tagsπ anaweza awe endapo fosiforasi gharama haijawa haipati hali haraka hilo ina inahitaji inaweza ishara jambo kabla kawaida kipato kubadili kugundua kukuonyesha kuongeza kupunguza kutatua kutenganeza kutengeneza kutosha. kuwa kwa kwenye la lazima madini majani maji mavuno mbaya. mbolea mboleajinsi mimea mimea. mkulima mwenyewe. na ni nini. nitrojen pamoja rahisi rangi rutuba sana tagi: tatizo tayari tosha udongo upungufu virutubisho virutubisho. vya wa ya wiki
Mkulima anaweza kupunguza gharama, kuongeza rutuba kwenye udongo, mavuno pamoja na kipato kwa kutengeneza mbolea mwenyewe… soma zaidi
Matumizi ya Lozi na maziwa kutibu shinikizo la chini la damu
Tagsπ tibu-shinikizo-chini mapishinalishe
Unaweza kutumia Lozi na maziwa kutibu shinikizo la chini la damu kama ifuatavyo;.. soma zaidi
Tagsπ tibu-shinikizo-chini mapishinalishe
Unaweza kutumia Lozi na maziwa kutibu shinikizo la chini la damu kama ifuatavyo;.. soma zaidi
Kwa nini Albino wanawekwa katika kundi la watu wenye ulemavu?
Tagsπ ajili akili albino ambao asiweze au dalili fulani hasa hawaoni hitilafu hutofautiana inayomwekea kama karibu katika kuanzia kufanikisha kundi kuona kutokuwa kutokuweza kwa la maana maisha mawingumawingu. mbali mipaka mtu mwili na ni nini shughuli tanzania ulemavu ulemavu? uwezo vizuri vizuri. wa wale wanashindwa wanatambuliwa wanawekwa wao wasioweza watu wenye ya yake yake. za wiki
Ulemavu maana yake ni hitilafu katika mwili au akili inayomwekea
mipaka mtu asiweze kufanikisha shughuli fulani katika maisha
yake. Albino wanatambuliwa kama watu wenye ulemavu Tanzania
hasa kwa ajili ya uwezo wao wa kutokuweza kuona vizuri. Dalili
za kutokuwa na uwezo wa kuona hutofautiana kuanzia wale
ambao hawaoni karibu, wasioweza kuona mbali na wale ambao
wanashindwa kuona vizuri au kuona mawingumawingu… soma zaidi
Tagsπ ajili akili albino ambao asiweze au dalili fulani hasa hawaoni hitilafu hutofautiana inayomwekea kama karibu katika kuanzia kufanikisha kundi kuona kutokuwa kutokuweza kwa la maana maisha mawingumawingu. mbali mipaka mtu mwili na ni nini shughuli tanzania ulemavu ulemavu? uwezo vizuri vizuri. wa wale wanashindwa wanatambuliwa wanawekwa wao wasioweza watu wenye ya yake yake. za wiki
Ulemavu maana yake ni hitilafu katika mwili au akili inayomwekea
mipaka mtu asiweze kufanikisha shughuli fulani katika maisha
yake. Albino wanatambuliwa kama watu wenye ulemavu Tanzania
hasa kwa ajili ya uwezo wao wa kutokuweza kuona vizuri. Dalili
za kutokuwa na uwezo wa kuona hutofautiana kuanzia wale
ambao hawaoni karibu, wasioweza kuona mbali na wale ambao
wanashindwa kuona vizuri au kuona mawingumawingu… soma zaidi
Watu wafanye nini iwapo wamelazimishwa kufunga ndoa na mtu wasiyemtaka?
Tagsπ (kuoa/kuolewa) ambaye amelazimishwa hali hampendi hatua heshima hili hiyo hiyo. hukubaliani iwapo jadiliana katika kufunga kuingia kukataa kuonyesha kwa kwanza msichana/ mtu mvulana na ndoa ni nini suala waeleze wafanye wako. wamelazimishwa wasiyemtaka? watu wazazi wazi wazi. ya wiki
Iwapo mtu amelazimishwa
kuingia katika hali ya ndoa
(kuoa/kuolewa) na msichana/
mvulana ambaye hampendi,
hatua ya kwanza ni kukataa
ndoa hiyo na kuonyesha wazi
wazi. Jadiliana suala hili na
wazazi wako. Waeleze kwa
heshima kwa nini hukubaliani
na ndoa hiyo… soma zaidi
Tagsπ (kuoa/kuolewa) ambaye amelazimishwa hali hampendi hatua heshima hili hiyo hiyo. hukubaliani iwapo jadiliana katika kufunga kuingia kukataa kuonyesha kwa kwanza msichana/ mtu mvulana na ndoa ni nini suala waeleze wafanye wako. wamelazimishwa wasiyemtaka? watu wazazi wazi wazi. ya wiki
Iwapo mtu amelazimishwa
kuingia katika hali ya ndoa
(kuoa/kuolewa) na msichana/
mvulana ambaye hampendi,
hatua ya kwanza ni kukataa
ndoa hiyo na kuonyesha wazi
wazi. Jadiliana suala hili na
wazazi wako. Waeleze kwa
heshima kwa nini hukubaliani
na ndoa hiyo… soma zaidi
Kwa nini nao watu wanaishi kwenye ndoa wanapata maambukizi ya virusi vya UKIMWI na UKIMWI?
Tagsπ wiki
Kuna sababu kuu mbili i kwa wana ndoa kupata maambukizi i ya Virusi vya UKIMWI na UKIMWI.
Kwanza, i inawezekana kuwa mmoja kati yao alikuwa tayari na maambukizi ya Virusi vya UKIMWI kabla ya siku ya kuoana. Kwani hata mtu aliyeambukizwa na Virusi vya UKIMWI anaweza kuonekana mwenye afya nzuri i na kuwa navyo mwilini siku ya harusi. Hii ni pale ambapo awali alifanya ngono na mtu aliyeambukizwa Virusi i ama alivipata kwa kupitia njia nyingine kwa mfano, njia ya damu i siyo salama..
Kama mtu aliwahi kufanya ngono kabla, njia pekee ya kuhakikisha kuwa hana virusi kabla ya kufunga ndoa ni kwenda kupima damu.
Pili, wanandoa hao wanaweza kuambukizwa baada ya kufunga ndoa, pale ambapo mwenzi mmoja atafanya mapenzi na mtu mwingine. Kama mmoja wao au wote wawili watafanya ngono na mpenzi mwingine (mahusiano nje ya ndoa) wanaweza kupata maambukizi ya Virusi vya UKIMWI… soma zaidi
Tagsπ wiki
Kuna sababu kuu mbili i kwa wana ndoa kupata maambukizi i ya Virusi vya UKIMWI na UKIMWI.
Kwanza, i inawezekana kuwa mmoja kati yao alikuwa tayari na maambukizi ya Virusi vya UKIMWI kabla ya siku ya kuoana. Kwani hata mtu aliyeambukizwa na Virusi vya UKIMWI anaweza kuonekana mwenye afya nzuri i na kuwa navyo mwilini siku ya harusi. Hii ni pale ambapo awali alifanya ngono na mtu aliyeambukizwa Virusi i ama alivipata kwa kupitia njia nyingine kwa mfano, njia ya damu i siyo salama..
Kama mtu aliwahi kufanya ngono kabla, njia pekee ya kuhakikisha kuwa hana virusi kabla ya kufunga ndoa ni kwenda kupima damu.
Pili, wanandoa hao wanaweza kuambukizwa baada ya kufunga ndoa, pale ambapo mwenzi mmoja atafanya mapenzi na mtu mwingine. Kama mmoja wao au wote wawili watafanya ngono na mpenzi mwingine (mahusiano nje ya ndoa) wanaweza kupata maambukizi ya Virusi vya UKIMWI… soma zaidi
Wadada haya ndiyo yalikua mapenzi ya kweli
Tagsπ mahusiano
Ladies jaribu kuchukua hata dakika mbili kuwakumbuka na kuwaombea mema huko walipo wale watu mliokua mna date nao wakati mko secondary …anakupenda bila make up.. Bila mawigi.. Bila kusuka.. Umenyoa kichwa kama baba ako.. Unashinda na sketi jekundu lina marinda miezi 6 alafu oversize… Shape haieleweki haionekani.. Umekonda.. Unakula ugali na maharage ya wadudu ila yeye yuko bega kwa bega na wewe.. Yale ndio yaliitwa True Love sasa…. soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Ladies jaribu kuchukua hata dakika mbili kuwakumbuka na kuwaombea mema huko walipo wale watu mliokua mna date nao wakati mko secondary …anakupenda bila make up.. Bila mawigi.. Bila kusuka.. Umenyoa kichwa kama baba ako.. Unashinda na sketi jekundu lina marinda miezi 6 alafu oversize… Shape haieleweki haionekani.. Umekonda.. Unakula ugali na maharage ya wadudu ila yeye yuko bega kwa bega na wewe.. Yale ndio yaliitwa True Love sasa…. soma zaidi
Rais wa Kenya amefanya mabadiliko katika Baraza lake la Mawaziri
Tagsπ amefanya baraza katika kenya la lake mabadiliko mawaziri rais wa habari
Rais Uhuru Kenyatta amechukua hatua hiyo siku moja tu baada ya kutangaza ufisadi kuwa tishio kwa usalama wa kitaifa. Rais Kenyatta amefanya mabadiliko katika baraza lake la mawaziri baada ya mawaziri sita kulazimika kujiondoa kutokana na wizara walizosimamia kuhusishwa na ufisadi huku wawili kati yao wakikabiliwa na kesi mahakamani.
Ni Mabadiliko yaliyotarajiwa hasa baada ya hatua ya aliyekuwa waziri wa Ugatuzi Anne Waiguru kujihuzulu mwishoni mwa juma kutokana na kile alichosema ni ushauri wa daktari wake- baada ya usumbufu aliopata wizara yake ilipohusishwa na sakata kadhaa za ufisadi.
Kwa mujibu wa katiba idadi ya mawaziri inapaswa kuwa kati ya kumi na wanne na ishirini na wawili- na hivyo kujiuzulu kwake kulisababisha idadi hiyo kupungua hadi kumi na tatu… soma zaidi
Tagsπ amefanya baraza katika kenya la lake mabadiliko mawaziri rais wa habari
Rais Uhuru Kenyatta amechukua hatua hiyo siku moja tu baada ya kutangaza ufisadi kuwa tishio kwa usalama wa kitaifa. Rais Kenyatta amefanya mabadiliko katika baraza lake la mawaziri baada ya mawaziri sita kulazimika kujiondoa kutokana na wizara walizosimamia kuhusishwa na ufisadi huku wawili kati yao wakikabiliwa na kesi mahakamani.
Ni Mabadiliko yaliyotarajiwa hasa baada ya hatua ya aliyekuwa waziri wa Ugatuzi Anne Waiguru kujihuzulu mwishoni mwa juma kutokana na kile alichosema ni ushauri wa daktari wake- baada ya usumbufu aliopata wizara yake ilipohusishwa na sakata kadhaa za ufisadi.
Kwa mujibu wa katiba idadi ya mawaziri inapaswa kuwa kati ya kumi na wanne na ishirini na wawili- na hivyo kujiuzulu kwake kulisababisha idadi hiyo kupungua hadi kumi na tatu… soma zaidi
Mapishi ya Haliym Ya Nyama Mbuzi -Bokoboko La Pakistan
Tagsπ mapishinalishe
Nyama ya mbuzi au ngβombe ya mafupa - 2 LB.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Nyama ya mbuzi au ngβombe ya mafupa - 2 LB.. soma zaidi
Tofauti kati ya mwanamme anayetaka kukuoa na anayetaka kukuchezea na kukupotezea muda
Tagsπ mahusiano wanawake wiki
Mwanaume Ambaye Ana Malengo Ya Kuoa Hubadilika Kitabia. Muda Mwingi Hutaka Kuonekana Mtu Mzima Mwenye Sifa Nzuri. Hatakuwa Mtu Wa Kulewa Kupita Kiasi Na Kutapanya Mali Na Wanawake Wengine. Tabia Zake Mbaya Za Zamani Ataziacha.. soma zaidi
Tagsπ mahusiano wanawake wiki
Mwanaume Ambaye Ana Malengo Ya Kuoa Hubadilika Kitabia. Muda Mwingi Hutaka Kuonekana Mtu Mzima Mwenye Sifa Nzuri. Hatakuwa Mtu Wa Kulewa Kupita Kiasi Na Kutapanya Mali Na Wanawake Wengine. Tabia Zake Mbaya Za Zamani Ataziacha.. soma zaidi