VIDEO-ZA-VICHEKESHO
By, Melkisedeck Shine.
Tags π simba wanyama. Category πvideos,: simba wanyama, Huyu kweli katisha, cheki anachofanya na hawa simba wake, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Huyu mtoto ni shida! Anapanga mbuzi kama farasi! Mcheki hapa, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Kilichompata huyu bonge hatarudia tena, πAngalia video hapa
Tags π nyani vichekesho. Category πvideos,: nyani vichekesho, Mwangalie huyu nyani anachokifanya sasa, ka vile mtu, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Wazee wengine ni hatari, mwangalie huyu mzee anachoufanyia huu mdoli, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Jamaa alichofanyiwa hata sahau, pikipiki yake imegeuzwa dumu kichawi, wachawi noma, πAngalia video hapa
Tags π changamoto michezo. Category πvideos,: changamoto michezo, Angalia huyu alivyokomaa, πAngalia video hapa
Tags π ajali gari maajabu. Category πvideos,: ajali gari maajabu, Huyu mtoto na yeye anataka kuendesha kigari chake kwenye main road, πAngalia video hapa
Tags π michezo muziki watoto. Category πvideos,: michezo muziki watoto, Watoto wenye vipaji vya kucheza mziki, πAngalia video hapa
Tags π maajabu mbwa. Category πvideos,: maajabu mbwa, Angalia hili bonge la jibwa lilivyo na hasira, πAngalia video hapa
Tags π maajabu. Category πvideos,: maajabu, Haya maamuzi ya huyu jamaa ni magumu kweli, πAngalia video hapa
Tags π nguruwe vichekesho. Category πvideos,: nguruwe vichekesho, Kilichompata huyu mtoto baada ya kupanda nguruwe kama farasi, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho wanawake. Category πvideos,: vichekesho wanawake, Dawa ya wanaume wanaopenda kuwachabo wanawake ndio hii, πAngalia video hapa
Tags π maajabu vichekesho. Category πvideos,: maajabu vichekesho, Hawa majamaa walijua ni utani kumbe kweli ni wameona mzimu, πAngalia video hapa
Tags π ajali pikipiki. Category πvideos,: ajali pikipiki, Hii ni miongoni mwa ajali mbaya ya pikipiki kuwahi kutokea, πAngalia video hapa
Tags π maajabu nyoka wanyama. Category πvideos,: maajabu nyoka wanyama, Angalia hawa wananyonga huyu joka, duh! ni noma, πAngalia video hapa
Tags π maajabu paka wanyama. Category πvideos,: maajabu paka wanyama, Mcheki huyu Paka, jiulize kaingizaje kichwa kwenye hii chupa, πAngalia video hapa
Tags π paka vichekesho wanyama. Category πvideos,: paka vichekesho wanyama, Angalia haka kapaka kanachofanya, Kasumbufu kweli, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Cheki huyu mtoto alichomfanyia baba yake, πAngalia video hapa
Tags π maajabu michezo. Category πvideos,: maajabu michezo, Kipaji ni kipaji tuu, huyu japo kilema lakini mtaalamu wa mpira, πAngalia video hapa
.
.
Endelea kuperuzi;-π
π¬ VIDEO-ZA-INSTAβ
π¬ VIDEO-KISWAHILIβ
π¬ VIDEO-FUPIβ
π¬ VIDEO-FUPI-KALIβ
π¬ VIDEO-SASAβ
π¬ VIDEO-ASUBUHIβ
π¬ VIDEO-MCHANAβ
π¬ VIDEO-JIONIβ
π¬ VIDEO-USIKUβ
π¬ VIDEO-MAPEMAβ
π¬ VIDEO-TATAβ
π¬ VIDEO-KWA-WANAUMEβ
π¬ VIDEO-KWA-WANAWAKEβ
π¬ VIDEO-KWA-WAKUBWAβ
π¬ VIDEO-KWA-VIJANAβ
π¬ VIDEO-KWA-WAZEEβ
π¬ VIDEO-ZA-WANAWAKEβ
π¬ VIDEO-ZA-WANAUMEβ
π¬ VIDEO-ZA-WAKUBWAβ
π¬ VIDEO-ZA-VIJANAβ
Tagsπ (cucumber) ardhini arusha biashara chakula. cucumber fito hata hili huoza. hustawi jinsi katika kilimanjaro kulima kulimwa kuwekea kwa kwani la matango matunda mazao mboga mikoa muhimu na nchini ni nje pia pwani. tagi: tanga tanzania tanzania. vizuri wingi ya yake yakilala zao wiki
Matango (cucumber) ni zao muhimu katika mazao ya mboga na matunda nchini Tanzania na hata nje ya Tanzania. Ni vizuri kuwekea matango fito kwani matunda yake yakilala ardhini huoza. Hili ni zao la biashara, pia chakula. Zao hili hustawi na kulimwa kwa wingi katika mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Tanga na Pwani… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mchele (rice 1/2 kilo)
Nyama (beef 1/2 kilo)
Vitunguu (onion 2)
Kitunguu swaum (garlic 1 kijiko cha chai)
Tangawizi (ginger 1 kijiko cha chai)
Maziwa mgando (yogurt 1 kikombe cha chai)
Hiliki nzima (cardamon 6)
Amdalasini nzima (cinamon stick 2)
Karafuu nzima (cloves 6)
Pilipili mtama nzima (black pepper 8)
Curry powder 1/2 kijiko cha chai
Binzari manjano (turmaric 1/2 kijiko cha chai)
Binzari nyembamba nzima (cumin 1/4 kijiko cha chai)
Chumvi (salt)
Mafuta (vegetable oil).. soma zaidi
Tagsπ wiki
Si rahisi kusema ni kitendo kipi kilicho cha kawaida na kisicho cha kawaida. Kulamba ni jambo linalofanyika.. soma zaidi
Tagsπ afya ama amua anakataa anashikilia anaweza au basi haki hilo huduma iwapo jambo jaribu kama kijana kuhusu kukataa kukutibu kukutibu. kumtibu. kutibiwa kutibu? kutokutibu kuzungumza kwa lako. mhudumu mkubwa mtoa mtu mwingine na naye sababu sawa siyo tatizo uamuzi umuulize una unatafuta vile wa wake wewe ya yeye yoyote. za zungumza wiki
Siyo haki kwa mtoa huduma wa afya kukataa kumtibu.
Kama kijana, una haki sawa ya kutibiwa kama vile mtu yoyote.
Iwapo mtoa huduma anakataa kukutibu wewe, jaribu kuzungumza
naye kuhusu jambo hilo na umuulize sababu za kukataa kukutibu.
Iwapo yeye anashikilia uamuzi wa kutokutibu basi amua ama
unatafuta mhudumu mwingine au zungumza na mkubwa wake
kuhusu tatizo lako. Ni jambo la maana kuzungumza na rafiki
yako au mwone mtu unayemwamini akusaidie kutatua tatizo
lako… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Mayai ni kitu kilichozoeleka na kinachopatikana kwa gharama nafuu. Kutokana na kuzoeleka huku watu wengi wamekuwa wakipuuza umuhimu au nafasi ya mayai katika afya zao. Pengine kupuuza huku kunatokana na mazoea au ukosefu wa elimu juu ya faida zinazopatikana kutokana na ulaji wa mayai… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Nichukue wasaa huu kukuarika rasmi ewe mpenzi na mfuatiliaji wa blog hii ya Muungwana blog, naomba nichukue walau dakika zako chache niweze kukueleza kinagaubaga ni kwa jinsi gani unaweza kupunguza mwili wako kwa kutumia hatua zifuatavyo:.. soma zaidi
Tagsπ habari
Umoja usio rasmi wa vyama vinne vya upinzani nchini Tanzania unajulikana kwa jina la Katiba ya Wananchi (UKAWA), baada ya kusubiri kwa muda hatimaye umemtangaza Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa kuwa mgombea wake wa urais.
Lowassa anagombea kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), huku vyama vingine vitatu vikimuunga mkono. Hii inatokana na sheria za Tanzania ambayo haitambui umoja wa vyama.
Kabla ya kujiengua chama Tawala chama cha Mapinduzi CCM, Edward Lowassa amekuwa mwanachama wa CCM kwa muda wa miaka 38, ambapo alijiunga na chama hicho mara tu baada ya kumaliza elimu yake ya chuo kikuu mwaka 1977.
Hatua ya mwanasiasa huyo mashuhuri nchini Tanzania kuamua kujiunga na chama cha upinzani Chadema, ikiwa imebaki miezi mitatu tu kuelekea uchaguzi mkuu, kumebadilisha kabisa upepo wa kisiasa nchini Tanzania, na hasa uchaguzi mkuu ujao… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Kuku wa kienyeji (boiler chicken 1)
Mchele (rice 1/2 kilo)
Nyanya ya kopo (tin tomato 1)
Vitunguu (onion 2)
Vitunguu swaum (garlic cloves 6)
Tangawizi (ginger)
Carry powder
Binzari ya njano (Turmaric 1/2)
Njegere(peas 1/2kikombe)
Carrot iliyokwanguliwa 1
Limao (lemon 1)
Bilinganya (aubergine 1)
Chumvi
Pilipili (scotch bonnet pepper)
Mafuta (vegetable oil).. soma zaidi
Tagsπ kutibu-chunusi-kiasili mapishinalishe
Mchanganyiko wa chumvi na mafuta ya zeituni (olive oil) ni dawa nyingine inayotibu chunusi. Mafuta ya zeituni yandhibiti bakteria na huondoa sumu vitu ambavyo vinafanya kuwa dawa nzuri kutibu chunusi na matokeo ya chunusi… soma zaidi
Tagsπ 167615paris-web2-tmagarticle.jpg&width=600 akihutubia aliapa alisema ametangaza bunge cha dhidi francois hapo hii hilo. hollande huyo iko islamic italiangamiza jana kikundi kimataifa kiongozi kudhibiti kuhutubiwa kundi kutaundwa kuwa kwa kwamba kwanza kwenye mabaraza mara mawili miaka mipaka. mmoja. muungano na nchi ndani ni rais sita state tagi: ufaransa ulinzi vikosi vita vitaimarishwa vya wa wakati wapiganaji ya yake habari
Akihutubia mabaraza mawili ya bunge hapo jana HOLLANDE aliapa kuwa UFARANSA italiangamiza kundi hilo… soma zaidi
Tagsπ wiki
Wataalamu wanashauri kwamba msichana anastahili kuanza kubeba mimba kuanzia umri wa miaka 18 hadi 20. Kabla ya umri huu, mwili wa msichana bado haujakomaa vizuri. Viungo vya uzazi bado ni vidogo na ngozi ni laini. Vilevile mfupa wa nyonga bado mwembamba kiasi cha kumwezesha mtoto kupitia wakati wa kuzaliwa.
Wasichana chini ya miaka 18 wana uwezekano mkubwa zaidi wa kupata matatizo, hasa wakati wa kujifungua. Matatizo hayo ni pamoja na mapigo ya moyo kuwa juu, kuumwa uchungu kwa muda mrefu, kukwama kwa mtoto, kujifungua kwa njia ya operesheni, kujifungua kabla ya wakati na watoto kuzaliwa na uzito mdogo. Mwili huwa na mahitaji makubwa wakati wa ujauzito na kujifungua na mwili wa wasichana wenye umri chini ya miaka 18 huwa haujakomaa vya kutosha kwa kazi ya kubeba mimba.
Mbali ya shida za kiafya, kuna matatizo mengine yatokanayo na kupata mimba mapema. Mara nyingi msichana na mwenzie wanakuwa bado wanasoma shule, msichana hufukuzwa shule na hata hutengwa katika jamii . Vijana mara nyingi hawana mapato ya kumlea na kumtunza mtoto, na mahali pa kuishi huwa hawana. Vilevile mvulana mara nyingi hayuko tayari kuchukua jukumu la kuwa baba. Kwa sababu hizi zote, ni vizuri zaidi mimba zitungwe baada ya msichana kufikia umri wa miaka 18… soma zaidi
Tagsπ ana hazina hufa i inashauriwa inayopenya kazi kiume kujamii kupitia kutoka kutunga kwa kwamba kweli kwenye mbegu mimba moja na ni nyingine sababu sehemu tena. tu ukeni uzazi. vizuri wa wakati wanapomaliza wapi? wasafishe watu ya yai yai. za zao zilizosalia zinaenda wiki
Ni kweli kwamba wakati wa kujamii ana na kutunga mimba ni mbegu moja tu ya kiume i inayopenya kwenye yai. Mbegu zilizosalia hufa na kutoka kwa kupitia ukeni kwa sababu hazina kazi tena. Inashauriwa kwamba watu wanapomaliza kujamii ana, wasafishe vizuri sehemu zao za uzazi… soma zaidi
Tagsπ uchumi
Kwa mujibu wa Biologia, baada ya tendo la kukutana kimwili takribani mbegu milioni 200 hadi 300 hutolewa na mwanaume…halafu zote huanza kupiga mbizi kuogelea kwenye njia safarini kukutana na yai la kike… soma zaidi
Tagsπ ambayo chakula damu damu? haiongezi huvuruga inasaidia je kama kiasi kinga kuimarisha kuingia kujikinga kupita kutoka kwa kwamba kweli. kwenye madini magonjwa maradhi muhimu mwili mwilini. na nguvu. ni pamoja pombe si tagi: ufyonzaji ukimwi. ukinywa ukweli unaongeza unywaji vitamini wa wala ya wiki
Si kweli.
Pombe haiongezi damu, vitamini wala nguvu. Ukweli ni kwamba unywaji pombe kupita kiasi huvuruga ufyonzaji wa vitamini na madini kutoka kwenye chakula kuingia mwilini… soma zaidi
Tagsπ wiki
Vituo vyenye utaalamu na katika hospitali i au Taasisis kama vile Shirika la Amref au CCBRT wana uwezo wa kutoa ushauri nasaha na vipimo vya kuaminika. Ushauri nasaha unakusaidia wewe kuelewa kipimo hicho ni cha nini, ni majibu gani yanayoweza kupatikana au kutopatikana. Upimaji huu hufanywa kwa siri, ni wewe tu pekee yako unaweza kupewa majibu. Katika miji mingi, vituo vya ANGAZA vipo na pia vituo hivi hutoa huduma rafiki kwa vijana.
Huduma za upimaji hazipatikani kwa urahisi sehemu za vijijini kwa sababu vyombo vinavyotumika katika upimaji ni vya gharama kubwa na vinahitaji umeme na uangalizi mkubwa. Mpaka sasa huduma hizi zinapatikana katika hospitali na kwa baadhi ya mashirika yanayojishughulisha na maambukizi ya Virusi vya UKIMWI na UKIMWI.
Jambo nzuri ni wewe kuuliza habari zaidi katika kituo cha afya kilicho karibu nawe… soma zaidi
Tagsπ wiki
Ndiyo, mwanamke anaweza kufikia mshindo wakati wa kujamiiana. Dalili ya mwanamke kufikia mshindo katika kujamiiana ni ile hali ya pekee ya kujisikia vizuri kimwili. Tofauti na mwanaume, anapofikia mshindo mwanamke hakojoi kitu chochote… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Wanawake wengi siku hizi hawajui au hawataki kuonesha mahaba
Nimefanya kautafiti kangu kadogo nimegundua wanawake wengi siku hizi hawaonyeshi mahaba yani kwa ujumla hawako "Romantic". Wanawake wengi siku hizi akipata mwanaume anaona amepata mtu wa kumsaidia shida zake kwa hiyo hata akiwa ndani ya mahusiano anafikiria zaidi kutatuliwa shida zake kuliko mahusiano yenyewe… soma zaidi
Tagsπ aina anakuwa au duniani. hii i ile inakuwaje inarutubisha inatokea. inayofika jinsia katika kike kike. kiume kiume? kumpata kuna kuwa kwanza kweli kwenye mbegu mbegu. mbili mtoto mwanaume mwili na nchi ni uleule unafanana unatengeneza uwezekano wa wakati ya yai za zinazokua zote wiki
Mwili wa mwanaume unatengeneza aina mbili za mbegu. Kuna mbegu zinazokua kuwa mtoto wa kiume na kuna mbegu zinazokua kuwa mtoto wa kike. Ile mbegu inayofika kwenye yai kwanza, inarutubisha yai na ni wakati uleule, jinsia ya mtoto i inatokea. Uwezekano wa kumpata mtoto wa kike au wa kiume unafanana, na hii ni kweli katika nchi zote duniani… soma zaidi
Tagsπ anaweza awe endapo fosiforasi gharama haijawa haipati hali haraka hilo ina inahitaji inaweza ishara jambo kabla kawaida kipato kubadili kugundua kukuonyesha kuongeza kupunguza kutatua kutenganeza kutengeneza kutosha. kuwa kwa kwenye la lazima madini majani maji mavuno mbaya. mbolea mboleajinsi mimea mimea. mkulima mwenyewe. na ni nini. nitrojen pamoja rahisi rangi rutuba sana tagi: tatizo tayari tosha udongo upungufu virutubisho virutubisho. vya wa ya wiki
Mkulima anaweza kupunguza gharama, kuongeza rutuba kwenye udongo, mavuno pamoja na kipato kwa kutengeneza mbolea mwenyewe… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mchele - 3 vikombe.. soma zaidi
Tagsπ wiki
Hakuna mtu wa kulaumiwa, lakini i i inabidi kila mtu awajibike. Kila mtu i inambidi afanye lolote lile lililo katika uwezo wake i ili kupunguza dawa za kulevya.
Serikali i i inabidi i i ihakikishe kwamba sheria zilizowekwa zinatekelezwa. Pia i inatakiwa kuwasaidia walio na matatizo ya kimwili na kisaikolojia ya matumizi ya dawa za kulevya kwa kutoa vifaa na huduma za kiafya kwao.
Ni kweli kwamba watu wanaojihusisha na biashara ya dawa za kulevya wanawasababishia watu wengine matatizo. Lakini kusingekuwa na usambazaji wake kama kusingekuwa na wahitaji. Hivyo basi mtumiaji anatakiwa awe na uamuzi wa kujali maisha na afya yake binafsi. Hii ndiyo sababu, watu hasa vijana wanatakiwa kuelimishwa kuhusu athari za dawa za kulevya… soma zaidi
Tagsπ wiki
Kwa kawaida mtu anapoamua kwenda kupima mara nyingi anakuwa na sababu za kumfanya ahisi kuwa au kutokuwa na maambukizi ya Virusi vya UKIMWI. Kwa hiyo mtu akipata jibu kuwa hana maambukizi ya Virusi vya UKIMWI, i itabidi ajiulize huo wasiwasi ulitokea wapi.
Pale mtu anapojua ni kitu gani kilimfanya aende kupima, ni vyema mtu huyo kukaa mbali / kuacha kurudia hilo jambo au tabia i iliyomweka katika hatari ya kupata maambukizi ya Virusi vya UKIMWI na UKIMWI. Kwa mfano, kama alifanya ngono na mtu zaidi ya mmoja na kwa nyakati zote hakutumia kondomu. Baada ya kupima, mtu huyu anatakiwa aache tabia ya kuwa na wapenzi wengi na pia awe anatumia kondomu kujikinga dhidi ya maambukizi ya Virusi vya UKIMWI na UKIMWI. Ni muhimu kuchukua tahadhari zote i ili kujikinga na maambukizi ya Virusi na UKIMWI na UKIMWI… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Unaweza kutibu chunusi bila kwenda hospitalini kama ifuatavyo;.. soma zaidi
Tagsπ habari
Nimekopi sehemu wacha nipesti humuπππ
ππΎππΎππΎππΎππΎππΎππΎππΎ
Naipenda hii!Maajabu yetu Waafrika tuyafanyayo kwa jina la "UTAMADUNI WETU".. soma zaidi
Tagsπ anayeanza inayofaa kijana kujamiiana kuzuia kwa mimba njia ya wiki
Kila njia ya kuzuia mimba ina faida na hasara zake. Kwa mfano faida ya vidonge ni kwamba kama mwanamke atavimeza kila siku, hakuna haja ya kufanya chochote wakati wa kujamiiana. Matatizo ya vidonge ni kwamba mwanamke anahitaji kufikiria kuvinywa kila siku. Kondomu, kwa mfano ina faida kwamba pamoja na mimba inazuia magonjwa ya zinaa, lakini kasoro yake ni kwamba unahitaji kuivaa wakati wa kujamiiana.
Hakika, ushauri wa sasa ni kuwa kondomu ndiyo njia bora zaidi kwani ni njia pekee inayozuia kwa pamoja mimba zisizotarajiwa na maambukizi ya magonjwa yatokananyo na kujamiiana… soma zaidi
Tagsπ aelewe akili alipo. ametoka au duniani gani hali hapa hapo hisia ile inavyoathiri jinsi kama kichocheo kila kuelewa kujitambua kunamfanya kusudi kutambua kuwa kwa kwamba maamuzi mambo mihemuko msichana mtu mwili mwingine. mwitikio na ndani ni nini nje pekee tofauti ubaya udhaifu unayoyapenda usiyoyapenda. utendaji uwe uwezo wa wako wako. wapi wema wewe wewe. ya yako.. yale yanayofanya yeye yuko yupo wiki
ni ile hali ya mtu kuelewa kwamba yeye yupo kama yeye tofauti na mtu mwingine. Ni kuelewa kuwa wewe ni wa pekee, kutambua mambo yanayofanya wewe uwe wewe. Ni kutambua uwezo na udhaifu wako. Kutambua yale unayoyapenda na yale usiyoyapenda. Kuelewa mwitikio wako kwa kila kichocheo ndani na nje ya mwili wako. Kuelewa jinsi hisia na mihemuko inavyoathiri kwa wema au kwa ubaya, utendaji wa akili na maamuzi yako..
Kujitambua kunamfanya mtu aelewe ametoka wapi, kwa nini yuko hapa duniani na kwa kusudi gani yuko hapo alipo. Kujitambua hutoa fursa ya mtu kutambua nguvu zake za ndani na vipaji alivyonavyo, husaidia mtu kujipenda, kujithamini na kujikubali jinsi alivyo na kumuwezesha kufanya mambo kadhaa ili kuboresha hali ya maisha kwa kufanya uchaguzi sahihi. Kujitambua ndiyo kazi inayostahiki kupewa kipaumbele cha kwanza katika utunzaji wa afya, uzuri na urembo wa msichana… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Matunda ni mojawapo wa kundi la vyakula, ni muhimu sana kwa afya bora. Matunda yakitengenezwa vizuri yanavutia sana na yanakuwa ni chakula kizuri sana… soma zaidi
Tagsπ wiki
Lengo kuu la kujamiiana ni kutafuta watoto. Lakini si sababu pekee. Sababu hizo ni pamoja na;.. soma zaidi
Tagsπ wiki
Endapo rafiki au jamaa anaomba msaada wa kuacha kutumia dawa za kulevya unaweza kumsaidia kwa kumpatia nasaha. Jitahidi kumpatia taarifa zote muhimu kuhusu dawa za kulevya. Muhimu zaidi mweleze athari za matumizi ya dawa hizo. Hata wazazi unaweza kuwapatia ushauri endapo watatambua umuhimu wako wa kujali.
Wakati mwingine waathirika wa dawa za kulevya hawako tayari kusikiliza ushauri na msaada wako. Inaweza kutokea muathirika akawa na hasira na hata kuvunja urafiki wenu na hata kufa. Usijilaumu!!! Kwa sababu ulijitahidi kumsaidia kadri ya uwezo wako. Wakati mwingine ni vyema kuvunja urafiki kwa usalama wako na kwa faida ya rafiki yako. Rafiki huyo anaweza kugundua kuwa utumiaji wa dawa za kulevya unamletea mwisho mbaya na hatimaye kuchukua uamuzi wa kueleza matatizo yake.
Kama itatokea rafiki au ndugu yako ambaye ni teja ameathirika sana kiafya usijaribu kumsaidia peke yako. Inaweza kuwa muhimu kumtafutia msaada wa kitaalamu kutoka kwa mtaalamu… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Nyama ya nβgombe ya mifupa - 3 lb.. soma zaidi
Tagsπ wiki
Ujana ni kipindi cha mabadiliko kutoka utotoni kuelekea utu uzima, wakati wa kipindi hiki kijana hupata mabadiliko ya kimwili, kiakili na kimtazamo. Mwili na akili hupevuka. Ni kipindi muhimu cha kuweka msingi wa maisha ya baadaye. Vijana wanakatazwa kujamiiana kwa sababu matatizo mengi yanaweza kutokea kutokana na tendo hilo… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Miguu ya kuku (chicken legs) 10
Kitunguu swaum na tangawizi (ginger & garlic paste) 1 kijiko cha chakula
Limao (lemon) 1
Pilipili iliyosagwa (ground scotch bonnet) 1/2
Giligilani iliyokatwakatwa (chopped coriander) kiasi
Chumvi (salt) kiasi
Mafuta ya kukaangia (veg oil).. soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Kuna story moja ya kweli kabisa binti alikuwa anamnywesha viroba mtoto wa bosi wake. Ni hivi mabosi ni wafanyakazi hivyo binti alikuwa anabaki na mtoto peke yake. Baada ya muda alipata rafiki ambaye alimshswishi kuingia ktk mahusiano ya kimapenzi… soma zaidi
Tagsπ wiki
Mtu anayeishi na virusi vya UKIMWI na UKIMWI anahitaji ushauri na mara pale atakapohisi unamjali i i i i i i i ( unamheshimu) na kumjali, uzito wa ugonjwa unakuwa mwepesi. Mtu mwenye UKIMWI ni mgonjwa kama wagonjwa wengine, i isipokuwa anahitaji faraja zaidi kwa sababu ugonjwa wake hauna tiba.
Matunzo sahihi i kwa watu wanaoishi na Virusi vya UKIMWI na UKIMWI ni muhimu, Mtu anayeishi na Virusi vya UKIMWI apate lishe bora i ili aweze kuimarisha afya yake na awe msafi wa mwili, nguo, nyumba na vyakula. Pia apatiwe matibabu haraka na kwa ukamilifu kwa maradhi yote yatakayojitokeza na asaidiwe kufanya kazi nzito.
Mtu anayeishi na Virusi vya UKIMWI na UKIMWI ana haki za binadamu kama binadamu wengine. Kumbuka kwamba rafiki au ndugu yako mwenye Virusi vya UKIMWI na UKIMWI bado ni rafiki au ndugu yako!.. soma zaidi
Tagsπ afya akina aliye ambao atavuta au damu hawatakiwi hunywa hurutubishwa hushambulia illiyopo inapoingia itamfikia je kama katika kiasi kukua kunywa kupita kupitia kuvuta kwa kwenye maisha mama mama. moyo mtoto na nini pia. pombe pombe? sigara sumu tumboni tumboni. ubongo uendeleao wa wajawazito wakiwa wanahatarisha wanaokunywa wanawake ya yake wiki
Wanawake wajawazito ambao hunywa pombe au kuvuta sigara
wanahatarisha afya na maisha ya mtoto aliye tumboni. Mtoto aliye
tumboni hurutubishwa kupitia damu ya mama. Kama mama atavuta
sigara au kunywa pombe, sumu illiyopo katika sigara au pombe
inapoingia kwenye damu yake itamfikia mtoto pia. Pombe hushambulia
moyo uendeleao kukua na ubongo wa mtoto aliye tumboni.
Akina mama wanaokunywa kupita kiasi wakiwa wajawazito
wanaweza kupata watoto wenye magonjwa ya moyo au mtindio
wa akili, kwa sababu chembechembe za ubongo hazikui vizuri.
Mara nyingi watoto huzaliwa na upungufu katika mwonekano
wa sura. Kwa mtoto pombe ni sumu kali, hata kama ni kwa kiasi
kidogo, itamdhuru… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Wakati mwingine mtu unakuwa umechoka na usingependa kupoteza muda jikoni, so mlo wa chapchap unakuwa ni wazo zuri, Mlo huu ni rahisi kuuanda na hata haikuchukui zaidi ya dakika ishirini chakula kinakuwa tayari mezani… soma zaidi
Tagsπ (2) (2). (broiler) *eneo 100 dogo. eneo huu jinsi katika kufugakuku kuku kwa la linalohitajika maana mbili mbili(2) mita moja(1). na ni nyama tagi: tija ufugaji upana urefu wa wenye ya wiki
UFUGAJI WA KUKU WA NYAMA (BROILER) 100 KATIKA ENEO LA MITA MBILI (2)… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
KATIKA uhusiano wa kimapenzi yapo maneno mawili yenye thamani kubwa na yenye kubeba ujumbe mzito wa kimapenzi kwa mpenzi umpendaye kwa dhati, maneno hayo ni, 'nakupenda' na 'nitakuoa'… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Mwanamke anayekupenda lakini hawezi kukwa mbia huwa anafanya mambo kukupima kama na wewe unampenda. Mfano wa mambo hayo ni kujifanya anaumwa na kuangalia wewe kiasi gani unamjali na kiasi gani utahangaika kwa ajili yake… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Samaki wa sea bass vipande - 1 1/2 LB (Ratili)
Kitunguu saumu(thomu/galic) -1 Kijiko cha supu
pilipili mbichi iliyosagwa - 1 Kijiko cha chai
Bizari ya manjano au ya pilau - 1/2 Kijiko cha chai
Paprika ya unga au pilipili ya unga - 1 kijiko cha chai
Chumvi - Kiasi
Ndimu
Mafuta - 3 Vijiko vya supu.. soma zaidi
Tagsπ agizo alphonce chadema kesi kuagwa kufungua kupinga kuzui la mawazo mwili polisi tanzania: wa habari
Baada ya zoezi la kuuaga mwili wa aliyekuwa mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo (Chadema) mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo kushindikana kutokana na jeshi la polisi mkoani Mwanza kupiga marufuku mikusanyiko ya wanachama na wafuasi wa chama hicho kwa madai ya kuwepo kwa ugonjwa wa kipindupindu jijini Mwanza, hatimaye viongozi wakuu wa kitaifa wa Chadema pamoja na familia ya marehemu wameamua kwenda mahakamani kutafuta haki yao ya kisheria… soma zaidi
Tagsπ akamuuliza akamwambia akiwa alifika ametoka ana boga haraka hema jiandae kabla kawaida kazini kuna kwenda lake: mbeya mke muda mwanaume na nini?? penda safiri tuna ua ukipenda wa wake ya mahusiano
mwanaume akiwa ana hema ametoka kazini
kabla ya muda wa kawaida,akamwambia mke
wake Jiandae haraka tuna safiri kwenda
mbeya,mke akamuuliza kuna nini??.. soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Wanandoa walizoea kudanganyana. Siku moja mke alilala nje aliporudi nyumbani mmewe akamuuliza ulilala wapi. Mke akasema alilala kwa rafiki yake wa kike. Mme akawapigia simu marafiki 10 wa mke wake na wote wakasema hakulala kwao… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Maini (Cow liver) 1/4 kilo
Vitunguu (chopped onion) 2
Nyanya (chopped tomato) 1
Kitunguu swaum/tangawizi (ginger /garlic paste) 1 kijiko cha chai
Mafuta ya kupikia
Chumvi
Coriander
Curry powder 1 kijiko cha chai
Limao (lemon) 1/4
Pilipili (scotch bonnet ) 1.. soma zaidi
Tagsπ wiki
UTANGULIZI
βUfugaji wa Nguruwe ni lazima uwe wa kisasa ili kupata mazao bora. Unaweza kupata kila unachohitaji wewe, familia na hata ndugu zako kutokana na ufugaji wa nguruweβ, anasema Bwana Lomaiyani Molel kutoka Arusha. Jamii nyingi hapa Tanzania huchukulia nguruwe kama mnyama mchafu na asiyefaa kuwa karibu naye na hata kwa matumizi kama lishe. Zaidi, nyama yake inapendwa na haina madhara kwa afya na inapendekezwa kuliwa zaidi kuliko nyama nyekundu. Unaweza kuanzisha mradi wa nguruwe kwa gharama ndogo lakini baada ya kipindi cha miezi tisa tu ukaanza kujipatia kipato kutokana na ufugaji huo.
UfugajiKwa kawaida nguruwe wanafugwa na watu wa kada zote, wafugaji wadogo wadogo na hata wakubwa. Aina hii ya ufugaji huweza kumpatia mkulima kipato pamoja na lishe kwa familia, na hauhitaji gharama kubwa… soma zaidi
Tagsπ habari
HABARI!
nyumba niliyo kuwa nikishi ilifikia kipindi nilitaka kufukuzwa Ndani kwa kutokulipa kodi. Nikaamua kuwashirikisha marafiki hata na boss wangu pia, wote wakaanza kunikwepa, hali nlivyoona hali hii nikaamua kushea na marafiki zangu Tatizo langu kwakupost Facebook kutafuta msaada, lakini nilicho kipata ni likes 2 "na comment "0.".. soma zaidi
Tagsπ habari
Polisi nchini Kenya wamewalaumu viongozi watatu wa kiislamu kwa kuwashawishi vijana wakiwemo wanafunzi wa vyuo vikuu kujiunga na kundi la kiislamu la al-Shabab.
Polisi wanadai kuwa viongozi hao wa kiislamu walivuka mpaka na kuingia nchini Somalia yalipo makao makuu ya al Shabab ambapo huwashawishi vijana hao kupitia kwa mitandao… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mchele wa pishori (basmati) - 4.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mgagani mkono 1
Mafuta vijiko vikubwa 4
Karanga zilizosagwa kikombe Β½
Maji kikombe 1
Kitunguu 1
Karoti 2
Maziwa kikombe 1
Chumvi kiasi.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Unga wa ulezi (millet flour vijiko 3 vya chakula)
Maziwa fresh (milk 1/2 kikombe)
Sukari (sugar 1/4 ya kikombe cha chai)
Siagi (butter kijiko 1 cha chakula)
Maji (vikombe 4 vya chai) (serving ya watu wawili).. soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Inasemwa kuwa βwewe ni kile unachokulaβ kwa kumaanisha kuwa mwonekano wetu na afya ya mwili na akili unajengwa na chakula tunachokula. Madhara ya chakula chetu tunachotumia yako pia katika ngozi. Kuna vyakula vinavyozeesha ngozi kwa haraka na ni budi kuvijua na kuviepuka… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Unga wa mahindi/sembe - 4.. soma zaidi
Tagsπ wiki
Mgagani (Cleome gynandra) au Spider plant kwa kingereza, ni mmea wa asili ya Afrika unaostawi vizuri kwa kumwagiliwa hapa afrika ya mashariki wakati wa joto. Pia huchumwa mashambani ikiwa imeota yenyewe zao hili hushambiliwa na magonjwa na wadudu mara chache. Majani na Matawi machanga yana virutubisho kuliko Sukuma wiki na kabichi. Mahitaji yake yanaongezeka kwenye miji midogo na mikubwa kila siku… soma zaidi
Tagsπ kutibu-chunusi-kiasili mapishinalishe
Dawa nyingine madhubuti ya chunusi ni papai. Tunda hili ni moja ya matunda yanayotumika kwa ajili ya urembo hasa kwa wanawake… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Maini ya kuku 1/2 kilo
Vitunguu vikubwa 2
Hoho 1
Pilipil 1
Limao 1/2
Swaum/tangawizi 1 kijiko cha chai
Curry powder 1/2 kijiko cha chai
Mafuta ya kupikia.. soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Lameck alikuwa akiendesha gari kwa kasi sana alipokutana na akina Mama watatu ambao walinyoosha mkono kumuomba lift, ingawa alikua na haraka lakini aliwaonea huruma na kusimama, sehemu waliyokuwa ilikuwa ni kichakani na kwakuwa alikuwa peke yake hakuona sababu ya kuwanyima lift… soma zaidi
Tagsπ achangie aina aliye bahati fulani gani. hakuna hamna hana husababisha i inategemea je jinsia juu kama kike kiume. kosa kuhakikisha kupanga kutokea kuzaa kwa la mbegu mbegu. mbili moja mtoto mtoto. mwanamke mwanaume mwenye na nani? ndiye ni nyingine sababu tu tulivyoona uwezekano uwezo wa wanapata watoto ya za wiki
Hakuna mwenye kosa, kwa sababu jinsia ya mtoto i inategemea na bahati na hamna uwezekano wa kupanga kuzaa aina fulani ya mtoto. Tulivyoona juu ni mwanaume ndiye aliye na aina mbili za mbegu. Aina moja husababisha kutokea mtoto wa kike na aina nyingine mtoto wa kiume. Mwanaume hana uwezo wa kuhakikisha achangie aina ya mbegu gani. Kwa hiyo, hata kama ni mwanaume anayeyakinisha jinsia ya mtoto, hana kosa, kwa sababu hana uwezo wa kuamua achangie mbegu ya aina gani… soma zaidi
Tagsπ uchumi
Mahindi ni miongon mwa mazao makuu ya chakula hapa nchin Tanzania na ulimwa karibu kila mkoa. Ulimwa zaidi nyanda za juu kusini katika mikoa ya Mbeya, Iringa, Ruvuma, Njimbe na Katavi. Pia mikoa ya Morogoro Mwanza Dodoma Shinyanga Arusha Tanga na mikoa mingine. Kwakua ni zao la biashara hivyo karibu kila mkoa unalima zao hili… soma zaidi