VIDEOS-BOMBA
This is the Redirect module that redirects the browser directly to the "http://www.ackyshine.com/videos" page.
VIDEOS-BOMBA
By, Melkisedeck Shine.
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Mazoea mabaya eti, mcheki huyu, πAngalia video hapa
Tags π michezo vichekesho watoto. Category πvideos,: michezo vichekesho watoto, Duh! Haka kamchezo ka hawa watoto ukitoka hapo ujue unaugulia maumivu, πAngalia video hapa
Tags π paka vichekesho. Category πvideos,: paka vichekesho, Angalia hawa watakachokipata hapa baada ya kufungua kwa makini, πAngalia video hapa
Tags π michezo. Category πvideos,: michezo, Mtaalamu wa kuruka vikwazo, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Cheki huyu alivyomtishia mwenzake na Karai, πAngalia video hapa
Tags π maajabu vichekesho wezi. Category πvideos,: maajabu vichekesho wezi, Angalia huyu dereva wa pikipiki huruma yake ilivyomponza, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Ukisikia ulofa ndio huu, huyu ndiyo mume bwege sasa, πAngalia video hapa
Tags π ajali pikipiki vichekesho. Category πvideos,: ajali pikipiki vichekesho, Pale sifa zikizidi hiki ndicho hutokea, πAngalia video hapa
Tags π michezo vichekesho. Category πvideos,: michezo vichekesho, Ukita kuruka angani…. Agana na nyonga. Cheki huyu hajaagana na nyonga kikampata hiki, πAngalia video hapa
Tags π maajabu mazingaumbwe. Category πvideos,: maajabu mazingaumbwe, Ukisikia mazingaumbwe haya ndiyo yenyewe, jamaa kajitenganisha miguu na kiwiliwili, πAngalia video hapa
Tags π maajabu michezo. Category πvideos,: maajabu michezo, Mtu mwenye uwezo wa kunawa uso kwa kutumia miguu, mcheki hapa, πAngalia video hapa
Tags π ajali umeme. Category πvideos,: ajali umeme, Kilichompata fundi umeme baada ya kuzidisha mbwe mbwe kazini, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Wanaume wengine wana shida, cheki huyu alichofanyiwa na huyu mwanamke baada ya kumchokoza, πAngalia video hapa
Tags π ajali. Category πvideos,: ajali, Angalia haya Matukio yalivyofwatana, πAngalia video hapa
Tags π michezo vichekesho. Category πvideos,: michezo vichekesho, Vita ya kweli ya ngumi ndio hii sasa, πAngalia video hapa
Tags π maajabu. Category πvideos,: maajabu, Huyu anajua kulenga Ile mbaya, unaweza hii?, πAngalia video hapa
Tags π fisi wanyama. Category πvideos,: fisi wanyama, Fisi wanafanya yao, πAngalia video hapa
Tags π tumbili vichekesho wanyama. Category πvideos,: tumbili vichekesho wanyama, Haka katumbili kanawaambia Hawa watoto 'nikuneni tena', πAngalia video hapa
Tags π kobe mamba wanyama. Category πvideos,: kobe mamba wanyama, Kumbe Kobe na mamba wanaweza kukaa pamoja, πAngalia video hapa
Tags π gari nyoka wanyama. Category πvideos,: gari nyoka wanyama, Bonge la nyoka lilivyojibanza kwenye gari, πAngalia video hapa
.
.
Endelea kuperuzi;-π
π¬ VIDEOS-MPYAβ
π¬ VIDEOS-ZA-KUCHEKESHAβ
π¬ VIDEOS-ZA-BURUDANIβ
π¬ VIDEOS-TUUβ
π¬ VIDEOS-MOTOMOTOβ
π¬ VIDEOS-KALI-LEOβ
π¬ VIDEOS-KALI-SANAβ
π¬ VIDEOS-KALIβ
π¬ Hapa nani kawezwa zaidiβ
π¬ Mtaalamu wa kuruka vikwazoβ
π¬ VIDEO-KUBWAβ
π¬ VIDEO-ZA-KUCHEKESHAβ
Mapishi ya Chapati za maji za vitunguu
Tagsπ mapishinalishe
Unga wa ngano (plain flour) 1/4
Kitunguu kikubwa (chopped/slice onion) 1
Yai (egg) 1
Chumvi (salt)
Mafuta (cooking oil).. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Unga wa ngano (plain flour) 1/4
Kitunguu kikubwa (chopped/slice onion) 1
Yai (egg) 1
Chumvi (salt)
Mafuta (cooking oil).. soma zaidi
Inakuaje mwanaume anaonyesha dalili za magonjwa ya zinaa zaidi kuliko mwanamke?
Tagsπ wiki
Wanaume mara nyingi huambukizwa sehemu za mrija wa mkojo. Katika sehemu hizi ni rahisi kusikia mwasho au maumivu zaidi kuliko kwenye via vya uzazi vya ndani vya mwanamke. Hasa wakati wa kukojoa, chumvichumvi iliyo kwenye mkojo inagusa vidonda ndani ya mrija. Hivyo, ni rahisi zaidi kwa mwanaume kujua kuwa ameambukizwa.
Vilevile mwanaume akiambukizwa na magonjwa haya, sehemu ya mbele ya njia ya mkojo inashambuliwa na huanza kutoa usaha mzito. Lakini uke wa mwanamke hutoa kemikali ambazo hufanya wadudu kutoweza kushambulia kwa haraka, na dalili hazionekani kwa urahisi. Bahati mbaya, kemikali hizi hazizuii kuingia kwa ugonjwa, lakini dalili huchelewa kuonekana.
Usisahau kwamba kama mwanaume anajitambua kuwa na dalili za kuumwa magonjwa ya zinaa, mpenzi wake pia anatakiwa kwenda kliniki ili apate uchunguzi na tiba… soma zaidi
Tagsπ wiki
Wanaume mara nyingi huambukizwa sehemu za mrija wa mkojo. Katika sehemu hizi ni rahisi kusikia mwasho au maumivu zaidi kuliko kwenye via vya uzazi vya ndani vya mwanamke. Hasa wakati wa kukojoa, chumvichumvi iliyo kwenye mkojo inagusa vidonda ndani ya mrija. Hivyo, ni rahisi zaidi kwa mwanaume kujua kuwa ameambukizwa.
Vilevile mwanaume akiambukizwa na magonjwa haya, sehemu ya mbele ya njia ya mkojo inashambuliwa na huanza kutoa usaha mzito. Lakini uke wa mwanamke hutoa kemikali ambazo hufanya wadudu kutoweza kushambulia kwa haraka, na dalili hazionekani kwa urahisi. Bahati mbaya, kemikali hizi hazizuii kuingia kwa ugonjwa, lakini dalili huchelewa kuonekana.
Usisahau kwamba kama mwanaume anajitambua kuwa na dalili za kuumwa magonjwa ya zinaa, mpenzi wake pia anatakiwa kwenda kliniki ili apate uchunguzi na tiba… soma zaidi
Mapishi ya Ugali, dagaa (wabichi) na matembele
Tagsπ mapishinalishe
Dagaa wabichi (Fresh anchovies packet 1)
Unga wa ugali (corn meal flour 1/4 kilo) (unaweza kutumia unga wa choice uipendayo)
Matembele ya kukaushwa (dried sweet potato leaves, handful)
Nyanya ya kopo (tin tomato 1)
Kitunguu maji (onion 2)
Limao (lemon 1/4)
Pilipili mbuzi nzima bila kukata (scotch bonnet pepper1, do not chop)
Chumvi (salt 1/2 ya kijiko cha chai)
Mafuta (vegetable oil)
Hoho (green pepper 1)
Kitunguu swaum (garlic 5 cloves)
Tangawizi (ginger 1 kijiko cha chai)
Binzari ya curry (Curry powder 1/2 kijiko cha chai).. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Dagaa wabichi (Fresh anchovies packet 1)
Unga wa ugali (corn meal flour 1/4 kilo) (unaweza kutumia unga wa choice uipendayo)
Matembele ya kukaushwa (dried sweet potato leaves, handful)
Nyanya ya kopo (tin tomato 1)
Kitunguu maji (onion 2)
Limao (lemon 1/4)
Pilipili mbuzi nzima bila kukata (scotch bonnet pepper1, do not chop)
Chumvi (salt 1/2 ya kijiko cha chai)
Mafuta (vegetable oil)
Hoho (green pepper 1)
Kitunguu swaum (garlic 5 cloves)
Tangawizi (ginger 1 kijiko cha chai)
Binzari ya curry (Curry powder 1/2 kijiko cha chai).. soma zaidi
Je, inawezekana kuwa ni hatari kutumia Valium au Klorokwini au dawa nyingine ambazo zinapatikana katika maduka ya dawa?
Tagsπ wiki
Ndiyo! Dawa yoyote i itakayotumiwa pasipo mahitaji sahihi au kwa kipimo zaidi ya kinachopendekezwa i inaweza kuwa hatari na pengine husababisa kifo. Mara zote sikiliza kwa makini maelekezo yatolewayo na madaktari au wauzaji wa dawa. Usichanganye dawa na pombe au dawa nyingine kwani kwa hakika kufanya hivyo ni hatari… soma zaidi
Tagsπ wiki
Ndiyo! Dawa yoyote i itakayotumiwa pasipo mahitaji sahihi au kwa kipimo zaidi ya kinachopendekezwa i inaweza kuwa hatari na pengine husababisa kifo. Mara zote sikiliza kwa makini maelekezo yatolewayo na madaktari au wauzaji wa dawa. Usichanganye dawa na pombe au dawa nyingine kwani kwa hakika kufanya hivyo ni hatari… soma zaidi
Kutoa Mimba
Tagsπ akamwambia akina akiwa alienda anawasiwasi daktari huku kutoa kwa magonjwa mama mimba mmoja na wa ya mahusiano
Mama mmoja huku akiwa anawasiwasi alienda kwa daktari wa magonjwa ya akina mama na akamwambia
" mwanangu hajafikisha hata mwaka mmoja na mimi nimepata ujauzito tena"
Daktari akamwambia
"ni sawa, kwa hiyo unataka mimi nifanyeje?"
Mama akasema
"nakuomba unisaidie kutoa hii mimba na ninakutegemea mno daktari tafadhali nisaidie"
Daktari baada ya ukimya mfupi na kufikiri kidogo akamwambia yule mama
" Nadhani ninao msaada mzuri zaidi na ambao hautakuathiri kwa kwa namna yoyote kiafya".. soma zaidi
Tagsπ akamwambia akina akiwa alienda anawasiwasi daktari huku kutoa kwa magonjwa mama mimba mmoja na wa ya mahusiano
Mama mmoja huku akiwa anawasiwasi alienda kwa daktari wa magonjwa ya akina mama na akamwambia
" mwanangu hajafikisha hata mwaka mmoja na mimi nimepata ujauzito tena"
Daktari akamwambia
"ni sawa, kwa hiyo unataka mimi nifanyeje?"
Mama akasema
"nakuomba unisaidie kutoa hii mimba na ninakutegemea mno daktari tafadhali nisaidie"
Daktari baada ya ukimya mfupi na kufikiri kidogo akamwambia yule mama
" Nadhani ninao msaada mzuri zaidi na ambao hautakuathiri kwa kwa namna yoyote kiafya".. soma zaidi
Sababu, dalili na jinsi ya kujikinga na tatizo la kiungulia kwa wanawake wajawazito
Tagsπ afya mapishinalishe
Hii ni hali inayowakumba mama wajawazito walio wengi. Inaweza kutokea kipindi chochote cha ujauzito ila mara nyingi hutokea katika umri wa mimba kuanzia miezi mitatu… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Hii ni hali inayowakumba mama wajawazito walio wengi. Inaweza kutokea kipindi chochote cha ujauzito ila mara nyingi hutokea katika umri wa mimba kuanzia miezi mitatu… soma zaidi
Je, kuna vipimo ambavyo vinaweza kugundua hali ya kuwepo kwa ualbino wakati kichanga kikiwa bado tumboni?
Tagsπ albino. ambavyo amebeba bado cha hakuna hali hayo inayofuatia je kama kichanga kikiwa kinachovuta kinasaba kipimo kitakuwa kugundua kujua kuna kuona kuonyesha kupima kutumia kuwepo kuwezesha kwa kwenye lakini maalamu maji majimaji mama mimba mjamzito mji mtoto na rahisi tumboni? ualbino ualbino. upo uwezekano vinaweza vipimo wa wakati wamepata watakuwa wazazi ya yaliyo wiki
Hakuna kipimo rahisi cha kuwezesha kuonyesha kama mama
mjamzito amebeba kinasaba cha ualbino. Lakini uwezekano upo,
kama wazazi watakuwa wamepata mtoto Albino. Uwezekano wa
kujua kama mimba inayofuatia kichanga kitakuwa na ualbino kwa
kutumia kipimo maalamu kinachovuta maji yaliyo kwenye mji wa
mimba na kupima hayo majimaji kuona kama kuna kinasaba cha
Albino. Hata hivyo, vipimo hivi ni vya gharama kubwa na kwa
kiasi kikubwa kwa sasa vinapatikana, katika hospitali kubwa
maalumu za nchi zilizoendelea (Ulaya, Marekani na kadhalika)… soma zaidi
Tagsπ albino. ambavyo amebeba bado cha hakuna hali hayo inayofuatia je kama kichanga kikiwa kinachovuta kinasaba kipimo kitakuwa kugundua kujua kuna kuona kuonyesha kupima kutumia kuwepo kuwezesha kwa kwenye lakini maalamu maji majimaji mama mimba mjamzito mji mtoto na rahisi tumboni? ualbino ualbino. upo uwezekano vinaweza vipimo wa wakati wamepata watakuwa wazazi ya yaliyo wiki
Hakuna kipimo rahisi cha kuwezesha kuonyesha kama mama
mjamzito amebeba kinasaba cha ualbino. Lakini uwezekano upo,
kama wazazi watakuwa wamepata mtoto Albino. Uwezekano wa
kujua kama mimba inayofuatia kichanga kitakuwa na ualbino kwa
kutumia kipimo maalamu kinachovuta maji yaliyo kwenye mji wa
mimba na kupima hayo majimaji kuona kama kuna kinasaba cha
Albino. Hata hivyo, vipimo hivi ni vya gharama kubwa na kwa
kiasi kikubwa kwa sasa vinapatikana, katika hospitali kubwa
maalumu za nchi zilizoendelea (Ulaya, Marekani na kadhalika)… soma zaidi
USIPITE BILA KUSOMA HII
Tagsπ mahusiano
Siku moja jioni katika mji flani, kulikuwa na basi likisafiri kutoka mji huo kuelekea mji mwingine. Lilikuwa ni basi kubwa na limejaa abiria. Wakati wakiendelea na safari, ghafla, mvua kubwa iliyoambatana na radi ikaanza kunyesha. Dereva hakuogopa, wala abiria, wakaendelea na safari. Mara wakati wanaenda, radi ikaanza kufuatilia gari. Kila wakienda, radi inapiga karibu na basi kana kwamba inalifuata basi. Likisimama, radi inapiga pembezoni mwa basi… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Siku moja jioni katika mji flani, kulikuwa na basi likisafiri kutoka mji huo kuelekea mji mwingine. Lilikuwa ni basi kubwa na limejaa abiria. Wakati wakiendelea na safari, ghafla, mvua kubwa iliyoambatana na radi ikaanza kunyesha. Dereva hakuogopa, wala abiria, wakaendelea na safari. Mara wakati wanaenda, radi ikaanza kufuatilia gari. Kila wakienda, radi inapiga karibu na basi kana kwamba inalifuata basi. Likisimama, radi inapiga pembezoni mwa basi… soma zaidi
Jinsi ya Kulima karoti
Tagsπ asili bahati dawa gani hakuna halikadhalika hii jinsi karoti karoti. kiasi kikubwa. kivuli kuathiri kubwa kulima kupalilia kupambana kutumia kutumika kuua kuulia kuwa kuweka kuweza kwa lakini linalokuwa magugu magugu. magugu? majani mapana mavuno mazao mbali mbaya mikono na ni nimepanda ninazoweza pia pia. sababu si sitaki tagi: taratibu tatizo viini vinavyoweza vinaweza viwandani vyovyote wadudu. wazi ya yake yasipodhibitiwa yataathiri za zao wiki
Nimepanda karoti lakini sitaki kutumia dawa za viwandani kuua magugu mbali na kupalilia kwa mikono ni dawa gani za asili ninazoweza kutumia kuua magugu?.. soma zaidi
Tagsπ asili bahati dawa gani hakuna halikadhalika hii jinsi karoti karoti. kiasi kikubwa. kivuli kuathiri kubwa kulima kupalilia kupambana kutumia kutumika kuua kuulia kuwa kuweka kuweza kwa lakini linalokuwa magugu magugu. magugu? majani mapana mavuno mazao mbali mbaya mikono na ni nimepanda ninazoweza pia pia. sababu si sitaki tagi: taratibu tatizo viini vinavyoweza vinaweza viwandani vyovyote wadudu. wazi ya yake yasipodhibitiwa yataathiri za zao wiki
Nimepanda karoti lakini sitaki kutumia dawa za viwandani kuua magugu mbali na kupalilia kwa mikono ni dawa gani za asili ninazoweza kutumia kuua magugu?.. soma zaidi
Ujinga tunaofanya na kusingizia mila zetu
Tagsπ habari
1- Tunamjali sana marehemu kuliko mgonjwa au mtu alie hai.. soma zaidi
Tagsπ habari
1- Tunamjali sana marehemu kuliko mgonjwa au mtu alie hai.. soma zaidi
Mapishi ya Chai ya maziwa, mandazi, uyoga na mayai
Tagsπ mapishinalishe
Mandazi (angalia jinsi ya kupika katika recipe ya mandazi ya nyuma)
Uyoga (mashroom kikombe 1 cha chai)
Mayai (eggs 4)
Hoho (greenpepper 1/4 ya hoho)
Nyanya (fresh tomato 1)
Kitunguu (onion 1/4 ya kitunguu)
Chumvi (salt)
Mafuta (vegetable oil)
Hiliki nzima (cardamon 4)
Masala ya chai (tea masala 1 kijiko cha chai)
Pilipili mtama iliyosagwa (ground black pepper 1/4 ya kijiko cha chai)
Maziwa (fresh milk 1 kikombe cha chai)
Majani ya chai (tea leaves)
Maji kiasi.
Sukari (sugar).. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mandazi (angalia jinsi ya kupika katika recipe ya mandazi ya nyuma)
Uyoga (mashroom kikombe 1 cha chai)
Mayai (eggs 4)
Hoho (greenpepper 1/4 ya hoho)
Nyanya (fresh tomato 1)
Kitunguu (onion 1/4 ya kitunguu)
Chumvi (salt)
Mafuta (vegetable oil)
Hiliki nzima (cardamon 4)
Masala ya chai (tea masala 1 kijiko cha chai)
Pilipili mtama iliyosagwa (ground black pepper 1/4 ya kijiko cha chai)
Maziwa (fresh milk 1 kikombe cha chai)
Majani ya chai (tea leaves)
Maji kiasi.
Sukari (sugar).. soma zaidi
Jifunze kitu kupitia kisa hiki cha boss na mwajiri wake
Tagsπ uchumi
Duna Lawrence (78) ni raia wa Togo ambaye alijitosa kwenda nchini Ujerumani kutafuta maisha mwanzoni mwa miaka ya 80. Baada ya kufika huko, alipata kazi, akawa muaminifu kwa Bosi wake ili aweze kupata mafanikio… soma zaidi
Tagsπ uchumi
Duna Lawrence (78) ni raia wa Togo ambaye alijitosa kwenda nchini Ujerumani kutafuta maisha mwanzoni mwa miaka ya 80. Baada ya kufika huko, alipata kazi, akawa muaminifu kwa Bosi wake ili aweze kupata mafanikio… soma zaidi
Wakaka hili lenu sasa!
Tagsπ mahusiano
Wakaka acheni ujinga, ukitaka dem wa peke yako mgharamie nakwambia wanawake asilimia kubwa hukumbuka fadhila za mtu anayemgharamikia kuliko wanaume zao… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Wakaka acheni ujinga, ukitaka dem wa peke yako mgharamie nakwambia wanawake asilimia kubwa hukumbuka fadhila za mtu anayemgharamikia kuliko wanaume zao… soma zaidi
mapenzi salama
Tagsπ bila busu hamu husika inaweza kama kuingiza kuingizwa kujamiiana kukumbatia kumaliza kunyonyana kupata kupiga kushikana kuwa maambukizi magonjwa mapenzi mikono mimba na ndimi ngono ni pamoja punyeto. salama tahadhari ukeni ukeni. ukimwi. uume virusi vitendo vya wa wasiwasi ya yale yanaweza yanayofanyika zinaa zinatumika. zisizotarajiwa wiki
Mapenzi salama ni yale yanayofanyika bila wasiwasi wa kupata mimba zisizotarajiwa, magonjwa ya zinaa pamoja na maambukizi ya virusi vya UKIMWI. Mapenzi salama yanaweza kuwa ni vitendo vya kumaliza hamu bila uume kuingizwa ukeni. Ngono ya kuingiza uume ukeni inaweza kuwa ngono salama kama tahadhari husika zinatumika.
Vitendo vya kumaliza hamu bila kujamiiana ni kupiga busu, kukumbatia, kunyonyana ndimi, kushikana mikono na kupiga punyeto. Matendo haya yote ni salama kabisa kuhusiana na mimba zisizotarajiwa na maambukizi ya virusi vya UKIMWI.
Ili kuhakikisha mnafanya mapenzi salama wakati mnahusisha mwingiliano kati ya uume na uke, lazima mchukue tahadhari. Tahadhari mojawapo ni uaminifu katika mapenzi, kwa maana wewe uwe mwaminifu na yeye awe mwaminifu. Lakini pia inabidi muwe na uhakika kwamba wote wawili hamjaambukizwa magonjwa wakati mnapojamiiana kwa mara ya kwanza. Tahadhari nyingine ni kutumia kondomu. Kondomu inazuia mimba pamoja na magonjwa ya zinaa. Kuwa mwaminifu pekee yake haitoshi kama mmoja wenu au wote wawili mliwahi kujihusisha na uhusiano wa kimapenzi ambao haukuwa salama. Kama kweli mnataka kuwa upande wa uhakika wote ni vyema kwenda kupima Virusi vya Ukimwi kwa hiari… soma zaidi
Tagsπ bila busu hamu husika inaweza kama kuingiza kuingizwa kujamiiana kukumbatia kumaliza kunyonyana kupata kupiga kushikana kuwa maambukizi magonjwa mapenzi mikono mimba na ndimi ngono ni pamoja punyeto. salama tahadhari ukeni ukeni. ukimwi. uume virusi vitendo vya wa wasiwasi ya yale yanaweza yanayofanyika zinaa zinatumika. zisizotarajiwa wiki
Mapenzi salama ni yale yanayofanyika bila wasiwasi wa kupata mimba zisizotarajiwa, magonjwa ya zinaa pamoja na maambukizi ya virusi vya UKIMWI. Mapenzi salama yanaweza kuwa ni vitendo vya kumaliza hamu bila uume kuingizwa ukeni. Ngono ya kuingiza uume ukeni inaweza kuwa ngono salama kama tahadhari husika zinatumika.
Vitendo vya kumaliza hamu bila kujamiiana ni kupiga busu, kukumbatia, kunyonyana ndimi, kushikana mikono na kupiga punyeto. Matendo haya yote ni salama kabisa kuhusiana na mimba zisizotarajiwa na maambukizi ya virusi vya UKIMWI.
Ili kuhakikisha mnafanya mapenzi salama wakati mnahusisha mwingiliano kati ya uume na uke, lazima mchukue tahadhari. Tahadhari mojawapo ni uaminifu katika mapenzi, kwa maana wewe uwe mwaminifu na yeye awe mwaminifu. Lakini pia inabidi muwe na uhakika kwamba wote wawili hamjaambukizwa magonjwa wakati mnapojamiiana kwa mara ya kwanza. Tahadhari nyingine ni kutumia kondomu. Kondomu inazuia mimba pamoja na magonjwa ya zinaa. Kuwa mwaminifu pekee yake haitoshi kama mmoja wenu au wote wawili mliwahi kujihusisha na uhusiano wa kimapenzi ambao haukuwa salama. Kama kweli mnataka kuwa upande wa uhakika wote ni vyema kwenda kupima Virusi vya Ukimwi kwa hiari… soma zaidi
Mapishi ya Kidheri - Makande
Tagsπ mapishinalishe
Nyama (kata vipande vidogodogo) - Β½ kilo.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Nyama (kata vipande vidogodogo) - Β½ kilo.. soma zaidi
Jinsi ya kujua kama una Mimba: Dalili za kwanza kabisa za Ujauzito
Tagsπ afya mapishinalishe
Mwanamke anapopata ujauzito kwa kawaida huwa anaanza kuona dalili ambazo si za kawaida. Na ni wakati huo ambao ni muafaka kwake kuanza kuuchunguza mwili wake… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Mwanamke anapopata ujauzito kwa kawaida huwa anaanza kuona dalili ambazo si za kawaida. Na ni wakati huo ambao ni muafaka kwake kuanza kuuchunguza mwili wake… soma zaidi
Jinsi Muda Unavyopotea, Jifunze kitu hapa
Tagsπ uchumi
Kila mtu ambaye ni hai amepewa muda Wa masaa 24 kila siku,168 kwa wiki,672 kwa mwezi,8064 kwa miezi 12 au kwa mwaka… soma zaidi
Tagsπ uchumi
Kila mtu ambaye ni hai amepewa muda Wa masaa 24 kila siku,168 kwa wiki,672 kwa mwezi,8064 kwa miezi 12 au kwa mwaka… soma zaidi
Jinsi ya kutunza udongo
Tagsπ ambavyo baadhi hai hatua hewa hiyo. hufanya husaidia hutengeneza huu kaboni kazi kiasi kibiolojia. kikubwa kilimo kubwa kuchukua kuilisha kumengβenya kutunza kwa kwenye mabaki maisha mazingira mimea mtiririko na nguvu ni pamoja rutuba tagi: udongo udongo. udongojinsi uelewa unategemeana utunzaji uwepo virutubisho viumbe wa waliomo wengine. ya wiki
Uelewa wa maisha ya mimea husaidia kwa kiasi kikubwa kwa hatua ya kuchukua kuilisha mimea hiyo… soma zaidi
Tagsπ ambavyo baadhi hai hatua hewa hiyo. hufanya husaidia hutengeneza huu kaboni kazi kiasi kibiolojia. kikubwa kilimo kubwa kuchukua kuilisha kumengβenya kutunza kwa kwenye mabaki maisha mazingira mimea mtiririko na nguvu ni pamoja rutuba tagi: udongo udongo. udongojinsi uelewa unategemeana utunzaji uwepo virutubisho viumbe wa waliomo wengine. ya wiki
Uelewa wa maisha ya mimea husaidia kwa kiasi kikubwa kwa hatua ya kuchukua kuilisha mimea hiyo… soma zaidi
Tofauti ya VVU na UKIMWI
Tagsπ wiki
Neno VVU ni i virusi au vijidudu vinavyosababisha ugonjwa wa UKIMWI. Neno hili kwa lugha ya Kii ngereza ni HIV yaani βHuman Immunodeficiency Virusβ. UKIMWI ni kifupi cha maneno matatu ambayo ni Upungufu wa Kinga Mwilini. Kwa Kii ngereza jina la UKIMWI AIDS ambacho kirefu chake ni βAcquired Immune Deficiency Syndromeβ. Neno UKIMWI tayari linaonyesha tayari aina ya ugonjwa, i ikii manisha kuwa mwili umepungua uwezo wake wa kinga kwa maradhi mbalimbali mwilini. Dalili za upungufu huu ukianza kujitokeza basi maradhi haya huitwa UKIMWI.
Tofauti kati ya VVU na UKIMWI ni kuwa mtu aliyeambukizwa VVU bado anaweza kuonekana mzima wa afya. Pamoja na kuwa virusi hivyo vitaonenekana katika damu yake, ni kwamba virusi hivyo vitakuwa havijaanza bado kushambulia chembechembe nyeupe za damu. Kwa upande mwingine kinga ya mwili ya mtu anayeumwa UKIMWI i itakuwa tayari i i imepungua. Mwili wake utaanza kuugua magonjwa nyemelezi. Magonjwa nyemelezi hupata nafasi ya kushambulia mwili huu ambao tayari kinga imepungua. Watu wnaoumwa UKIMWI wanaweza kupungua uzito wa mwili, kuharisha au kupata matatizo ya ngozi. Hata hivyo maradhi haya siyo lazima yatokane na kuwa na VVU. Ili kuwa na uhakika, onana na mtaalamu yaani dakatari wako… soma zaidi
Tagsπ wiki
Neno VVU ni i virusi au vijidudu vinavyosababisha ugonjwa wa UKIMWI. Neno hili kwa lugha ya Kii ngereza ni HIV yaani βHuman Immunodeficiency Virusβ. UKIMWI ni kifupi cha maneno matatu ambayo ni Upungufu wa Kinga Mwilini. Kwa Kii ngereza jina la UKIMWI AIDS ambacho kirefu chake ni βAcquired Immune Deficiency Syndromeβ. Neno UKIMWI tayari linaonyesha tayari aina ya ugonjwa, i ikii manisha kuwa mwili umepungua uwezo wake wa kinga kwa maradhi mbalimbali mwilini. Dalili za upungufu huu ukianza kujitokeza basi maradhi haya huitwa UKIMWI.
Tofauti kati ya VVU na UKIMWI ni kuwa mtu aliyeambukizwa VVU bado anaweza kuonekana mzima wa afya. Pamoja na kuwa virusi hivyo vitaonenekana katika damu yake, ni kwamba virusi hivyo vitakuwa havijaanza bado kushambulia chembechembe nyeupe za damu. Kwa upande mwingine kinga ya mwili ya mtu anayeumwa UKIMWI i itakuwa tayari i i imepungua. Mwili wake utaanza kuugua magonjwa nyemelezi. Magonjwa nyemelezi hupata nafasi ya kushambulia mwili huu ambao tayari kinga imepungua. Watu wnaoumwa UKIMWI wanaweza kupungua uzito wa mwili, kuharisha au kupata matatizo ya ngozi. Hata hivyo maradhi haya siyo lazima yatokane na kuwa na VVU. Ili kuwa na uhakika, onana na mtaalamu yaani dakatari wako… soma zaidi
Job Ole Ndugai ndie spika mpya wa bunge la Tanzania
Tagsπ 100 alikuwa anatarajiwa bunge hilo. idadi ikiwa job katika kubwa kuchaguliwa kuliongoza kutoka kuwahi la lenye lililokamilika. mpya naibu ndie ndio ndugai ole spika tagi: tanzania upinzani wa wabunge ya zaidi habari
Alikuwa naibu wa spika wa bunge lililokamilika… soma zaidi
Tagsπ 100 alikuwa anatarajiwa bunge hilo. idadi ikiwa job katika kubwa kuchaguliwa kuliongoza kutoka kuwahi la lenye lililokamilika. mpya naibu ndie ndio ndugai ole spika tagi: tanzania upinzani wa wabunge ya zaidi habari
Alikuwa naibu wa spika wa bunge lililokamilika… soma zaidi
Je, kuna njia salama ya kutoa mimba?
Tagsπ wiki
Hatari inategemea na mazingira ambapo mimba inatolewa. Kama ni hospitalini na i inatolewa na mtaalamu aliyesomea na kama mazingira na vifaa ni safi, uwezekano wa kutoa mimba salama ni mkubwa. Lakini, hata katika mazingira hayo, shida zinaweza kutokea… soma zaidi
Tagsπ wiki
Hatari inategemea na mazingira ambapo mimba inatolewa. Kama ni hospitalini na i inatolewa na mtaalamu aliyesomea na kama mazingira na vifaa ni safi, uwezekano wa kutoa mimba salama ni mkubwa. Lakini, hata katika mazingira hayo, shida zinaweza kutokea… soma zaidi
Babe anatakiwa awe mshamba kidogo kama hivi..
Tagsπ mahusiano
βββbabe anatakiwa kuwa mshamba kidogo… Siyo unadate binti anajua mpaka Lukaku alifunga mabao mangapi msimu uliopita??…
Demu unakaa naye anamjua Boro Yanki, Van Dame, Bill Branks…. Anakuadithia "anodi ya jini mwanzo mwisho"…
Yaani huna hata kipya cha kumfundisha…
Binti anatakiwa ukimuuliza "Bebi unamjua Rooney?? " anakujibu "Namsikia tuu.. Hivi ameimba wimbo gani?? ".. soma zaidi
Tagsπ mahusiano
βββbabe anatakiwa kuwa mshamba kidogo… Siyo unadate binti anajua mpaka Lukaku alifunga mabao mangapi msimu uliopita??…
Demu unakaa naye anamjua Boro Yanki, Van Dame, Bill Branks…. Anakuadithia "anodi ya jini mwanzo mwisho"…
Yaani huna hata kipya cha kumfundisha…
Binti anatakiwa ukimuuliza "Bebi unamjua Rooney?? " anakujibu "Namsikia tuu.. Hivi ameimba wimbo gani?? ".. soma zaidi
Jinsi ya kutengeneza Labania Za Maziwa
Tagsπ mapishinalishe
Maziwa ya unga - 2 vikombe.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Maziwa ya unga - 2 vikombe.. soma zaidi
Ujumbe kwa mabinti kuhusu uvaaji
Tagsπ mahusiano
Familia Kwanza: Wasichana wawili waliwasili kwenye Kikao huku wamevaa nguo ambazo zilikuwa zikionyesha miili yao… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Familia Kwanza: Wasichana wawili waliwasili kwenye Kikao huku wamevaa nguo ambazo zilikuwa zikionyesha miili yao… soma zaidi
Kwa nini siku hizi kuna tofauti ya wanaume katika jamii kuwa wazi/tayari kuwa na uhusiano na wanawake Albino?
Tagsπ albino? anakupenda anasema anathamini anayesema dini enye hawa hayabagui hisia hiyo hizi inawezekana jamii kabila katika kawaida kuna kuwa kwa kweli lako maana mapenzi matokeo muhimu mvuto. na ni nini penzi pia rangi. siku tofauti ualbino. uhakika uhusiano ukweli unalomwonyesha. wala wamevutiwa wanaume wanawake wazi/tayari ya za zaidi wiki
Mapenzi ya kweli hayabagui dini, kabila wala rangi. Kwa
kawaida, mapenzi ni matokeo ya hisia za mvuto. Kwa maana
hiyo, inawezekana kweli wanaume hawa wamevutiwa na hawa
wanawake enye ualbino. Ni muhimu pia kuwa na uhakika kuwa
anayesema anakupenda, anasema ukweli na zaidi anathamini
penzi lako unalomwonyesha. Pia katika jamii kuna imani kuwa
karibu na Albino kunaongeza bahati ya kutajirika… soma zaidi
Tagsπ albino? anakupenda anasema anathamini anayesema dini enye hawa hayabagui hisia hiyo hizi inawezekana jamii kabila katika kawaida kuna kuwa kwa kweli lako maana mapenzi matokeo muhimu mvuto. na ni nini penzi pia rangi. siku tofauti ualbino. uhakika uhusiano ukweli unalomwonyesha. wala wamevutiwa wanaume wanawake wazi/tayari ya za zaidi wiki
Mapenzi ya kweli hayabagui dini, kabila wala rangi. Kwa
kawaida, mapenzi ni matokeo ya hisia za mvuto. Kwa maana
hiyo, inawezekana kweli wanaume hawa wamevutiwa na hawa
wanawake enye ualbino. Ni muhimu pia kuwa na uhakika kuwa
anayesema anakupenda, anasema ukweli na zaidi anathamini
penzi lako unalomwonyesha. Pia katika jamii kuna imani kuwa
karibu na Albino kunaongeza bahati ya kutajirika… soma zaidi
Athari za Moshi wa sigara kwa mtoto
Tagsπ afya mapishinalishe
Utafiti uliofanyika nchini Marekani umebaini kwamba watu wazima wasiovuta sigara lakini walipokuwa watoto wazazi wao walivuta sigara mbele yao,wana hatari kubwa zaidi ya kufa kutokana na maradhi ya mapafu… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Utafiti uliofanyika nchini Marekani umebaini kwamba watu wazima wasiovuta sigara lakini walipokuwa watoto wazazi wao walivuta sigara mbele yao,wana hatari kubwa zaidi ya kufa kutokana na maradhi ya mapafu… soma zaidi
Ubakaji
Tagsπ ambapo anatumia huadhibiwa i jinai katika kisheria. kosa kuonyesha kutumia la mbakaji na ngono nguvu ni nini? tendo ubabe ubakaji wake. wiki
Ubakaji ni tendo la kutumia nguvu katika ngono ambapo mbakaji anatumia nguvu kuonyesha ubabe wake. Ubakaji ni kosa la jinai i na huadhibiwa kisheria.
Kama mtu hayuko tayari kufanya ngono na analazimishwa kukubali kufanya hivyo hii , i inahesabiwa kama ubakaji, hata kama anayekulazimisha ni rafiki, ndugu, jirani, mume au mtu usiyefahamiana naye… soma zaidi
Tagsπ ambapo anatumia huadhibiwa i jinai katika kisheria. kosa kuonyesha kutumia la mbakaji na ngono nguvu ni nini? tendo ubabe ubakaji wake. wiki
Ubakaji ni tendo la kutumia nguvu katika ngono ambapo mbakaji anatumia nguvu kuonyesha ubabe wake. Ubakaji ni kosa la jinai i na huadhibiwa kisheria.
Kama mtu hayuko tayari kufanya ngono na analazimishwa kukubali kufanya hivyo hii , i inahesabiwa kama ubakaji, hata kama anayekulazimisha ni rafiki, ndugu, jirani, mume au mtu usiyefahamiana naye… soma zaidi
Jinsi ya kupika Mishkaki ya kuku
Tagsπ mapishinalishe
Kidali cha kuku 1 kikubwa
Swaum,tangawizi 1 kijiko cha chai
Limao 1/2
Pilipili ya unga 1/2 kijiko cha chai
Curry powder 1/2 kijiko
Paprika 1/2 kijiko cha chai
Hoho jekundu 1/2
Hoho la njano 1/2
Kitunguu 1/2
Chumvi
Olive oil.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Kidali cha kuku 1 kikubwa
Swaum,tangawizi 1 kijiko cha chai
Limao 1/2
Pilipili ya unga 1/2 kijiko cha chai
Curry powder 1/2 kijiko
Paprika 1/2 kijiko cha chai
Hoho jekundu 1/2
Hoho la njano 1/2
Kitunguu 1/2
Chumvi
Olive oil.. soma zaidi
Jinsi ya kufuga mbuzi kisasa
Tagsπ 1: ajili asili bora hayo jinsi kufuga kulingana kutumia kwa madume majike maziwa: mbuzi na nyama sifa tagi: uboreshaji uchaguzi upandishaji. wa ya yanachaguliwa zifuatazo: β’ wiki
Kufuga Mbuzi Kisasa ni kama Ifuatavyo;.. soma zaidi
Tagsπ 1: ajili asili bora hayo jinsi kufuga kulingana kutumia kwa madume majike maziwa: mbuzi na nyama sifa tagi: uboreshaji uchaguzi upandishaji. wa ya yanachaguliwa zifuatazo: β’ wiki
Kufuga Mbuzi Kisasa ni kama Ifuatavyo;.. soma zaidi
Jinsi ya kupika Wali Wa Kichina wa mboga mboga Na Mayai
Tagsπ mapishinalishe
Tagsπ mapishinalishe
- Mchele (Basmati) - 3 vikombe
- Mbogamboga za barafu (karot, njegere, spring beans na mahindi) - 1 kikombe
- Kuku Kidari - 1 LB (ratili)
- Mayai - 2 mayai
- Vitunguu (vikubwa) - 2 au 3 vidogo
- Pili pili manga - 1 kijiko cha chai
- Paprika - 1 kijiko cha chai
- Chumvi - Kiasi
- Mafuta - 1/3 kikombe cha chai
- Kitunguu saumu(thomu/galic) - 1 kijiko cha supu
- Tangawizi - 1 kijiko cha chai
- Kidonge cha supu - 1
- Soy sauce - 2 vijiko vya supu.. soma zaidi
Mchumba anayefaa kufunga naye ndoa
Tagsπ mahusiano
Maisha ya ndoa yanahitaji maandalizi mazuri, kama waswahili wasemavyo nyote njema huonekana asubuhi, asubuhi ya maisha ya ndoa ni kipindi cha uchumba. Ndugu zangu, kipindi cha uchumba ni lazima tukitumie vizuri na kwa makini na kila jambo, ukitambua hakuna jambo dogo wa kubwa, kila jambo uliangalie katika mapana yake na katika uzito wake… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Maisha ya ndoa yanahitaji maandalizi mazuri, kama waswahili wasemavyo nyote njema huonekana asubuhi, asubuhi ya maisha ya ndoa ni kipindi cha uchumba. Ndugu zangu, kipindi cha uchumba ni lazima tukitumie vizuri na kwa makini na kila jambo, ukitambua hakuna jambo dogo wa kubwa, kila jambo uliangalie katika mapana yake na katika uzito wake… soma zaidi
Mapishi ya Wali Wa Karoti Na Kuku Wa Kukaanga
Tagsπ mapishinalishe
Mchele wa Basmati/Pishori - 1 kilo moja.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mchele wa Basmati/Pishori - 1 kilo moja.. soma zaidi
Faida za kula ukwaju
Tagsπ afya mapishinalishe
Ukwaju ni tunda maarufu sana ambalo hupatikana katika maeneo yenye uoto wa kitropiki. Kwa kingereza hujulikana kama tamarind, na kwa kitaalamu (botanical name) huitwa tamarindus indica, waarabu huita tamru alhind. Katika baadhi ya maeneo hutumiwa kama kiungo katika mboga… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Ukwaju ni tunda maarufu sana ambalo hupatikana katika maeneo yenye uoto wa kitropiki. Kwa kingereza hujulikana kama tamarind, na kwa kitaalamu (botanical name) huitwa tamarindus indica, waarabu huita tamru alhind. Katika baadhi ya maeneo hutumiwa kama kiungo katika mboga… soma zaidi
Mambo 7 ambayo mwanamme hapaswi kumfanyia mke wake
Tagsπ mahusiano
Mambo 7 ambayo mwanaume apaswi kumfanyia mke wake..
1. Usimpige.
2. Usimtukane na kumshushia heshima… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Mambo 7 ambayo mwanaume apaswi kumfanyia mke wake..
1. Usimpige.
2. Usimtukane na kumshushia heshima… soma zaidi
Sifa 15 za kijana ambaye hajakomaa kwa ajili ya ndoa
Tagsπ mahusiano
1. Anaigiza maisha. Anataka kuonekana amefanikiwa kimaisha, hajui kuwa anajidanganya mwenyewe.
2. Hana mipango inayoeleweka, anajua kuzungumza lakini matendo ni sifuri, hajui kwamba kuanza mahusiano ni kubeba majukum… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
1. Anaigiza maisha. Anataka kuonekana amefanikiwa kimaisha, hajui kuwa anajidanganya mwenyewe.
2. Hana mipango inayoeleweka, anajua kuzungumza lakini matendo ni sifuri, hajui kwamba kuanza mahusiano ni kubeba majukum… soma zaidi
Bikira na ubikira
Tagsπ wiki
Ubikira ni nini?: Maana halisi ya neno βbikiraβ ni mwanamke au mwanaume ambaye hajawahi kabisa kujamii ana. Kujamii ana hapa i ina maana kwamba uume wa mwanaume unaingia katika uke wa mwanamke… soma zaidi
Tagsπ wiki
Ubikira ni nini?: Maana halisi ya neno βbikiraβ ni mwanamke au mwanaume ambaye hajawahi kabisa kujamii ana. Kujamii ana hapa i ina maana kwamba uume wa mwanaume unaingia katika uke wa mwanamke… soma zaidi
Matumizi ya Tangawizi kutibu shinikizo la chini la damu
Tagsπ tibu-shinikizo-chini mapishinalishe
Hatua za kufuata.. soma zaidi
Tagsπ tibu-shinikizo-chini mapishinalishe
Hatua za kufuata.. soma zaidi
Kwa nini watu wanapenda pesa
Tagsπ uchumi
Watu wengi tunapenda sana Pesa lakini hatuko tayari kuzifanyia Pesa kazi nikiwa na maana kutumia njia sahihi kuzipata na tunapozipata hatuna Akili ya kuweza kuwa nazo muda mrefu zisiondoke.
Kama tujuavyo katika maisha yetu haya Pesa ndio kila kitu,tunahitaji Pesa ili tuweze kufanya mambo mengi mazuri na makubwa.Kitu kinachotukwamisha hatujui tufanye nini ili tuweze kuzipata hizi Pesa na tunapozipata tunakosea tena cha kuzifanyia ili zisipotee tena au zisiishe… soma zaidi
Tagsπ uchumi
Watu wengi tunapenda sana Pesa lakini hatuko tayari kuzifanyia Pesa kazi nikiwa na maana kutumia njia sahihi kuzipata na tunapozipata hatuna Akili ya kuweza kuwa nazo muda mrefu zisiondoke.
Kama tujuavyo katika maisha yetu haya Pesa ndio kila kitu,tunahitaji Pesa ili tuweze kufanya mambo mengi mazuri na makubwa.Kitu kinachotukwamisha hatujui tufanye nini ili tuweze kuzipata hizi Pesa na tunapozipata tunakosea tena cha kuzifanyia ili zisipotee tena au zisiishe… soma zaidi
Misingi 6 ya kuwa na Amani na Furaha katika Maisha
Tagsπ mahusiano
HII NI MISINGI 6 YA KUWA AMANI NA FURAHA KATIKA MAISHA:.. soma zaidi
Tagsπ mahusiano
HII NI MISINGI 6 YA KUWA AMANI NA FURAHA KATIKA MAISHA:.. soma zaidi
Urusi yashambulia Islamic State
Tagsπ dhidi hewani ikiwa imesema imetekeleza islamic kali kufikia kuwa maeneo mashambulizi miongoni mwa na nchini ni sasa. shambulio state syria tagi: urusi wa wapiganaji ya yake yanayokaliwa yashambulia zaidi habari
Urusi imesema kuwa imetekeleza shambulio kali zaidi dhidi ya maeneo yanayokaliwa na wapiganaji wa Islamic State nchini Syria,ikiwa ni miongoni mwa mashambulizi yake ya hewani kufikia sasa.
Waziri wa ulinzi Sergei Shoigu,amethibitisha ripoti za Ufaransa na Marekani kwamba Moscow ilitumia mabomu ya masafa marefu na makombora .
Amesema kuwa ndege hiyo ilirusha makombora katika maeneo ya wapiganaji hao mjini Raqqa,ambao ndio ngome kuu ya wapiganaji hao na Deir ez Zor mashariki mwa Syria,huku mabomu yakilenga Kaskazini.
Awali rais Vladmir Putin alionya mashambulizi makali dhidi ya IS,kufuatia thibitisho kwamba ndege ya Urusi ilioanguka nchini Misri mwezi uliopita ilisababishwa na shambulizi la kigaidi.
Maafisa wa Urusi wanasema kuwa chembechembe za vilipuzi zilionekana katika mabaki ya ndege hiyo aina Airbus.
Abiria wote 224 walioabiri ndege hiyo ,wengi wao wakiwa watalii wa Urusi waliuawa.
Kundi la Islamic State limethibitisha kutekeleza shambulio hilo… soma zaidi
Tagsπ dhidi hewani ikiwa imesema imetekeleza islamic kali kufikia kuwa maeneo mashambulizi miongoni mwa na nchini ni sasa. shambulio state syria tagi: urusi wa wapiganaji ya yake yanayokaliwa yashambulia zaidi habari
Urusi imesema kuwa imetekeleza shambulio kali zaidi dhidi ya maeneo yanayokaliwa na wapiganaji wa Islamic State nchini Syria,ikiwa ni miongoni mwa mashambulizi yake ya hewani kufikia sasa.
Waziri wa ulinzi Sergei Shoigu,amethibitisha ripoti za Ufaransa na Marekani kwamba Moscow ilitumia mabomu ya masafa marefu na makombora .
Amesema kuwa ndege hiyo ilirusha makombora katika maeneo ya wapiganaji hao mjini Raqqa,ambao ndio ngome kuu ya wapiganaji hao na Deir ez Zor mashariki mwa Syria,huku mabomu yakilenga Kaskazini.
Awali rais Vladmir Putin alionya mashambulizi makali dhidi ya IS,kufuatia thibitisho kwamba ndege ya Urusi ilioanguka nchini Misri mwezi uliopita ilisababishwa na shambulizi la kigaidi.
Maafisa wa Urusi wanasema kuwa chembechembe za vilipuzi zilionekana katika mabaki ya ndege hiyo aina Airbus.
Abiria wote 224 walioabiri ndege hiyo ,wengi wao wakiwa watalii wa Urusi waliuawa.
Kundi la Islamic State limethibitisha kutekeleza shambulio hilo… soma zaidi
Watu wanaamini kuwa Albino wana joto katika mapenzi kuliko watu weusi, Je, hiyo ni kweli?
Tagsπ albino hiyo je joto katika kuliko kuwa kweli? mapenzi ni wana wanaamini watu weusi wiki
Hii siyo kweli,
tofauti
baina ya Albino
na mtu a s i
ekuwa na ualbino
i m e e l e z w a
hapo mwanzoni
ambapo tofauti
ipo tu kwenye
muonekano wa
rangi ya ngozi,
nywele n a macho. Mifumo yao yote mingine ya mwili iko sawa na watu
wasio na ualbino.
Watu wanaweza tu kuanzisha uvumi kama huo popote pale.
Ipo pia mifano kama: Wajerumani wanaamini kuwa Wafaransa
wana joto katika mapenzi, Wazungu pia huamini kuwa Waafrika
wana joto n.k. Hizo ni hisia tu na siyo ukweli. Katika jamii wapo
watu ambao wanapenda kufanya ngono sana, wapo wa wastani
na wapo wale ambao hawajisikii msukumo wa kujamiiana. Uvumi
huu unatokana na mawazo ya kifikra na siyo ukweli halisi… soma zaidi
Tagsπ albino hiyo je joto katika kuliko kuwa kweli? mapenzi ni wana wanaamini watu weusi wiki
Hii siyo kweli,
tofauti
baina ya Albino
na mtu a s i
ekuwa na ualbino
i m e e l e z w a
hapo mwanzoni
ambapo tofauti
ipo tu kwenye
muonekano wa
rangi ya ngozi,
nywele n a macho. Mifumo yao yote mingine ya mwili iko sawa na watu
wasio na ualbino.
Watu wanaweza tu kuanzisha uvumi kama huo popote pale.
Ipo pia mifano kama: Wajerumani wanaamini kuwa Wafaransa
wana joto katika mapenzi, Wazungu pia huamini kuwa Waafrika
wana joto n.k. Hizo ni hisia tu na siyo ukweli. Katika jamii wapo
watu ambao wanapenda kufanya ngono sana, wapo wa wastani
na wapo wale ambao hawajisikii msukumo wa kujamiiana. Uvumi
huu unatokana na mawazo ya kifikra na siyo ukweli halisi… soma zaidi
Ni katika umri gani vijana wana haki ya kutumia huduma za afya ya uzazi na njia za uzazi wa mpango?
Tagsπ afya cha gani haki hakuna hasa huduma iwapo juu katika kiwango kuanza kujamiiana kupata kutumia kwa kwanza kwenye masuala mbalimbali mpango. mpango? na ni njia pale pamoja uende ujinsia umeamua umri unapoona unatakiwa unazihitaji. ushauri uzazi vijana wa wana ya za wiki
Hakuna kiwango cha umri kwa kutumia huduma za afya ya uzazi
na njia za uzazi wa mpango. Unatakiwa kuanza kutumia huduma
za afya ya uzazi pale unapoona unazihitaji. Na hasa iwapo
umeamua kujamiiana, unatakiwa uende kwanza kwenye huduma
za afya ya uzazi, na kupata ushauri juu ya ujinsia na masuala
ya afya ya uzazi pamoja na njia mbalimbali za uzazi wa mpango.
Vijana kisheria wamepewa haki ya kutumia njia za uzazi wa
mpango.
Nchini Tanzania kuna sera ya idadi ya watu ya mwaka 1992.2
ambapo kati ya mambo mengine inalenga katika kuandaa
vijana, kabla ya kuingia katika maisha ya ndoa wawe wazazi
wanaowajibika kwa kuinua kiwango cha elimu ya familia.
Sera hii inazungumzia uanzishwaji wa huduma za afya ya uzazi
ambayo itakidhi mahitaji ya vijana na inawahakikishia vijana
kupata huduma za afya ya uzazi kwa urahisi bila pingamizi
katika umri wowote.
Baadhi ya watu wanafikiri kuwa huduma za uzazi wa mpango ni
kwa watu walio kwenye ndoa. Hii si kweli, mtu yoyote anaruhusiwa
kutumia huduma za uzazi wa mpango na kupata njia mbalimbali
za uzazi wa mpango. Vijana3 wanafaidika na kuwa na haki sawa
kama watu wazima walio kwenye ndoa. Huduma za kinga kama
vile ushauri juu ya mafunzo ya afya ya uzazi na vilevile kondomu
ni njia za kuzuia mimba zinapatikana bure katika vituo vya afya
vya serikali hapa Tanzania… soma zaidi
Tagsπ afya cha gani haki hakuna hasa huduma iwapo juu katika kiwango kuanza kujamiiana kupata kutumia kwa kwanza kwenye masuala mbalimbali mpango. mpango? na ni njia pale pamoja uende ujinsia umeamua umri unapoona unatakiwa unazihitaji. ushauri uzazi vijana wa wana ya za wiki
Hakuna kiwango cha umri kwa kutumia huduma za afya ya uzazi
na njia za uzazi wa mpango. Unatakiwa kuanza kutumia huduma
za afya ya uzazi pale unapoona unazihitaji. Na hasa iwapo
umeamua kujamiiana, unatakiwa uende kwanza kwenye huduma
za afya ya uzazi, na kupata ushauri juu ya ujinsia na masuala
ya afya ya uzazi pamoja na njia mbalimbali za uzazi wa mpango.
Vijana kisheria wamepewa haki ya kutumia njia za uzazi wa
mpango.
Nchini Tanzania kuna sera ya idadi ya watu ya mwaka 1992.2
ambapo kati ya mambo mengine inalenga katika kuandaa
vijana, kabla ya kuingia katika maisha ya ndoa wawe wazazi
wanaowajibika kwa kuinua kiwango cha elimu ya familia.
Sera hii inazungumzia uanzishwaji wa huduma za afya ya uzazi
ambayo itakidhi mahitaji ya vijana na inawahakikishia vijana
kupata huduma za afya ya uzazi kwa urahisi bila pingamizi
katika umri wowote.
Baadhi ya watu wanafikiri kuwa huduma za uzazi wa mpango ni
kwa watu walio kwenye ndoa. Hii si kweli, mtu yoyote anaruhusiwa
kutumia huduma za uzazi wa mpango na kupata njia mbalimbali
za uzazi wa mpango. Vijana3 wanafaidika na kuwa na haki sawa
kama watu wazima walio kwenye ndoa. Huduma za kinga kama
vile ushauri juu ya mafunzo ya afya ya uzazi na vilevile kondomu
ni njia za kuzuia mimba zinapatikana bure katika vituo vya afya
vya serikali hapa Tanzania… soma zaidi
Badilisha fikra zako
Tagsπ badilisha fikra haraka huu kwa mawazo mazoeaβ¦ mpya mwaka ni tagi: usiishi yako zako habari
BADILISHA MAWAZO YAKO HARAKA HUU NI MWAKA MPYA USIISHI KWA MAZOEA…………. soma zaidi
Tagsπ badilisha fikra haraka huu kwa mawazo mazoeaβ¦ mpya mwaka ni tagi: usiishi yako zako habari
BADILISHA MAWAZO YAKO HARAKA HUU NI MWAKA MPYA USIISHI KWA MAZOEA…………. soma zaidi
MADHARA YA KUPIGA PUNYETO
Tagsπ punyeto wiki
Hili ni tatizo linalowakabili watu wengi sana na hili pia hutokana na watu hao kuwa na mchezo wa kupiga punyeto hapo awali au hata muda huu. Na hivyo hukosa nguvu za kiume na kuwafanya wakose heshima ndani ya ndoa… soma zaidi
Tagsπ punyeto wiki
Hili ni tatizo linalowakabili watu wengi sana na hili pia hutokana na watu hao kuwa na mchezo wa kupiga punyeto hapo awali au hata muda huu. Na hivyo hukosa nguvu za kiume na kuwafanya wakose heshima ndani ya ndoa… soma zaidi
Soma Kisha Jifunze
Tagsπ mahusiano
Jamaa kam2mia dem wake elfu 2
#M-PESA,demu kuona sms ya
Tigo pesa akafurah lakin ile kufungua
akakta
buk 2
akaamua kumpigia jamaa cm!!.. soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Jamaa kam2mia dem wake elfu 2
#M-PESA,demu kuona sms ya
Tigo pesa akafurah lakin ile kufungua
akakta
buk 2
akaamua kumpigia jamaa cm!!.. soma zaidi
Mapishi mazuri ya Wali Wa Kukaanga Kwa Kidari Cha Kuku
Tagsπ mapishinalishe
Vipimo vya Wali:.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Vipimo vya Wali:.. soma zaidi
MALEZI YA WATOTO
Tagsπ 1.8. adamu akamfanyia akasema alipomumba biblia haki hawa haya hili kama karibu katika kiafya kiakili kimwili. kiroho kitabia kulea kwa la linavyofundisha maana maisha malezi mkaongezeke. msaidizi mtoto mungu mungu. mwanzilishi mwanzo na namna ndie neno ni nini somo tagi: takatifu. tuliopewa tutaangalia tutajifunza uangalizi utangulizi wa wajibu wake watoto watoto. wazazi wetu ya yaani yatagusa zaeni wiki
Malezi ni uangalizi wa karibu wa wazazi kwa mtoto wake kiroho, kiafya, kiakili, kitabia, Mungu ndie mwanzilishi wa watoto. Mungu alipomumba adamu, akamfanyia msaidizi wake Hawa, akasema zaeni mkaongezeke. Mwanzo 1.8.
Katika somo hili tutajifunza namna ya kulea watoto wetu tuliopewa na Mungu. Malezi haya yatagusa maisha ya watoto ya kiroho na kimwili. Tutaangalia haki na wajibu wa mtoto kama Neno la Mungu linavyofundisha, yaani Biblia Takatifu. Kwa njia ya somo hili wazazi tunaweza kuutimiza mpango wa Mungu kupitia malezi bora ya kiroho na kimwili kwa watoto wetu, kwa kufanya kazi pamoja na Mungu. Katika Rum. 8:28 tunasoma: βNasi twajua ya kuwa katika mambo yote Mungu hufanya kazi pamoja na wale wampendao katika kuwapatia memaβ¦β¦β¦β Hii ni pamoja na kazi ya kulea watoto; Mungu hufanya kazi hiyo pamoja na sisi… soma zaidi
Tagsπ 1.8. adamu akamfanyia akasema alipomumba biblia haki hawa haya hili kama karibu katika kiafya kiakili kimwili. kiroho kitabia kulea kwa la linavyofundisha maana maisha malezi mkaongezeke. msaidizi mtoto mungu mungu. mwanzilishi mwanzo na namna ndie neno ni nini somo tagi: takatifu. tuliopewa tutaangalia tutajifunza uangalizi utangulizi wa wajibu wake watoto watoto. wazazi wetu ya yaani yatagusa zaeni wiki
Malezi ni uangalizi wa karibu wa wazazi kwa mtoto wake kiroho, kiafya, kiakili, kitabia, Mungu ndie mwanzilishi wa watoto. Mungu alipomumba adamu, akamfanyia msaidizi wake Hawa, akasema zaeni mkaongezeke. Mwanzo 1.8.
Katika somo hili tutajifunza namna ya kulea watoto wetu tuliopewa na Mungu. Malezi haya yatagusa maisha ya watoto ya kiroho na kimwili. Tutaangalia haki na wajibu wa mtoto kama Neno la Mungu linavyofundisha, yaani Biblia Takatifu. Kwa njia ya somo hili wazazi tunaweza kuutimiza mpango wa Mungu kupitia malezi bora ya kiroho na kimwili kwa watoto wetu, kwa kufanya kazi pamoja na Mungu. Katika Rum. 8:28 tunasoma: βNasi twajua ya kuwa katika mambo yote Mungu hufanya kazi pamoja na wale wampendao katika kuwapatia memaβ¦β¦β¦β Hii ni pamoja na kazi ya kulea watoto; Mungu hufanya kazi hiyo pamoja na sisi… soma zaidi
NJIA ZA KUONDOA KITAMBI
Tagsπ hii hivyo husaidia kiafya kitambi kitambi. kitambi: kuacha kula kuondoa kupunguza kutengeneza kutoa kutumia mafuta mlo msingi mwili mwilini mzuri na ndio nguvu njia nyingi sana sukari tagi: ufunguo uzito vinavyotia vyakula vyenye wa yaliyo za wiki
Mlo mzuri kiafya ndio ufunguo wa kupunguza uzito na kutoa kitambi. Kuacha kula vyakula vinavyotia nguvu sana, vyenye mafuta na sukari nyingi ndio msingi wa kuondoa kitambi. Hii husaidia mwili kutumia mafuta yaliyo mwilini kutengeneza nguvu hivyo kupunguza mafuta na kuondoa kitambi. Aidha, punguza matumizi ya vinywaji vyenye sukari kwa wingi na tumia samaki badala ya nyama… soma zaidi
Tagsπ hii hivyo husaidia kiafya kitambi kitambi. kitambi: kuacha kula kuondoa kupunguza kutengeneza kutoa kutumia mafuta mlo msingi mwili mwilini mzuri na ndio nguvu njia nyingi sana sukari tagi: ufunguo uzito vinavyotia vyakula vyenye wa yaliyo za wiki
Mlo mzuri kiafya ndio ufunguo wa kupunguza uzito na kutoa kitambi. Kuacha kula vyakula vinavyotia nguvu sana, vyenye mafuta na sukari nyingi ndio msingi wa kuondoa kitambi. Hii husaidia mwili kutumia mafuta yaliyo mwilini kutengeneza nguvu hivyo kupunguza mafuta na kuondoa kitambi. Aidha, punguza matumizi ya vinywaji vyenye sukari kwa wingi na tumia samaki badala ya nyama… soma zaidi
Website Kwa Wakatoliki | Blog huru ya wakatoliki
Tagsπ wiki
[**[http://jinsi.wikidot.com/wiki:blog-huru-ya-wakatoliki soma zaidi**
Tagsπ wiki
[**[http://jinsi.wikidot.com/wiki:blog-huru-ya-wakatoliki soma zaidi**
Mbinu 5 za kukunufaisha maishani
Tagsπ uchumi
Mbinu 5 za kukufanikisha maishani Unaweza ukawa upo kwenye hali ya kulalamika maisha yako ni magumu na unashangaa kwa nini hufanikiwi katika maisha yako kama jinsi unavyotaka wewe. Hali hii inaweza ikawa inakuumiza pengine kila ukiangalia rafiki zako ama maisha ya wengine yanavyozidi kuwa mazuri, wakati wewe upo katika hali ngumu. Na pengine umekuwa ukijiuliza nini siri kubwa ya mafanikio yao ambayo wanaitumia ambayo wewe huna. Kutokana na hali hiyo umekuwa ukijilaumu kujilaumu na kujiuliza kwanini nyingi ambazo hazina majibu. Kitu usichokijua watu hawa huwa wanatumia mbinu fulani kufanikiwa. Kawaida, katika maisha kama ulivyomchezo wa miguu, au michezo mingine mara nyingi huwa zipo mbinu za kufanikisha kile tunachokifanya. Mbinu hizi huweza kutambulika kama sheria, kanuni, au siri lakini zote hulenga kukufanikisha kama unataka mafanikio ya kweli. Mbinu hizi zinapotumiwa kwa bahati mbaya au nzuri huwa hazifanyi ubaguzi zinamwendea yoyote na kuleta matunda unayoyataka. Hata kama ikitokea umezitumia mbinu hizi kwa bahati mbaya bila kujijua ni lazima utafanikiwa katika maisha yako. Mbinu hizi ndizo wanazozitumia wengi wenye mafanikio na kuwafanikisha, ingawa huwa sio kwao kuwa rahisi kukwambia mbinu hizo. Haijalishi unaishi kwa sasa maisha gani au upo kwenye matatizo mengi vipi, ukizitumia mbinu hizi, zitakufanikisha na kukupa maisha ya mafanikio unayoyataka. Acha kulalamika tena na kuishi bila amani. Sasa unaweza ukawa na mafanikio makubwa kama hao unaowaona wamefanikiwa, ikiwa utatumia mbinu hizi kukufanikisha. Unajua mbinu hizi ni mbinu zipi?.. soma zaidi
Tagsπ uchumi
Mbinu 5 za kukufanikisha maishani Unaweza ukawa upo kwenye hali ya kulalamika maisha yako ni magumu na unashangaa kwa nini hufanikiwi katika maisha yako kama jinsi unavyotaka wewe. Hali hii inaweza ikawa inakuumiza pengine kila ukiangalia rafiki zako ama maisha ya wengine yanavyozidi kuwa mazuri, wakati wewe upo katika hali ngumu. Na pengine umekuwa ukijiuliza nini siri kubwa ya mafanikio yao ambayo wanaitumia ambayo wewe huna. Kutokana na hali hiyo umekuwa ukijilaumu kujilaumu na kujiuliza kwanini nyingi ambazo hazina majibu. Kitu usichokijua watu hawa huwa wanatumia mbinu fulani kufanikiwa. Kawaida, katika maisha kama ulivyomchezo wa miguu, au michezo mingine mara nyingi huwa zipo mbinu za kufanikisha kile tunachokifanya. Mbinu hizi huweza kutambulika kama sheria, kanuni, au siri lakini zote hulenga kukufanikisha kama unataka mafanikio ya kweli. Mbinu hizi zinapotumiwa kwa bahati mbaya au nzuri huwa hazifanyi ubaguzi zinamwendea yoyote na kuleta matunda unayoyataka. Hata kama ikitokea umezitumia mbinu hizi kwa bahati mbaya bila kujijua ni lazima utafanikiwa katika maisha yako. Mbinu hizi ndizo wanazozitumia wengi wenye mafanikio na kuwafanikisha, ingawa huwa sio kwao kuwa rahisi kukwambia mbinu hizo. Haijalishi unaishi kwa sasa maisha gani au upo kwenye matatizo mengi vipi, ukizitumia mbinu hizi, zitakufanikisha na kukupa maisha ya mafanikio unayoyataka. Acha kulalamika tena na kuishi bila amani. Sasa unaweza ukawa na mafanikio makubwa kama hao unaowaona wamefanikiwa, ikiwa utatumia mbinu hizi kukufanikisha. Unajua mbinu hizi ni mbinu zipi?.. soma zaidi
Umuhimu wa kupata chanjo
Tagsπ afya mapishinalishe
Siku zote sisi wanadamu huwa tunaambizana kuwa, kinga ni bora kuliko tiba, tukiwa na maana kwamba, ni vyema mtu ukachukua tahadhari mapema kabla haujafikwa na jambo au tatizo fulani… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Siku zote sisi wanadamu huwa tunaambizana kuwa, kinga ni bora kuliko tiba, tukiwa na maana kwamba, ni vyema mtu ukachukua tahadhari mapema kabla haujafikwa na jambo au tatizo fulani… soma zaidi
Je, ni kweli au si kweli kuwa Wadada waliosoma sana hawana sifa ya kuwa mke
Tagsπ mahusiano
Halina ukweli kwa sehemu, na lina ukweli kwa sehemu. Ni hivi : ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
Shule inamfanya mtu awe overconfidence na kukosa unyenyekevu, hii ni output ya makuzi na malezi aliyopita plus msukumo wa marafiki waigizaji kwenye mahusiano. Mwanamke msomi can spend any amount of cash on saloon, urembo na vitu binafsi vya luxury , but utasikia kazi ya mwanamme ni kulisha family kujenga etc, na shati lake likichakaa atajijua, hata hela yavkunyolea ndevu tu ni yeye π€π€ but hana haki ya kuhoji income ya mkewe. Si mnakumbuka message ya 5000 za baba +2000 za mama=5000 za familia ,hiki ni practical kibonzo kwa some families… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Halina ukweli kwa sehemu, na lina ukweli kwa sehemu. Ni hivi : ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
Shule inamfanya mtu awe overconfidence na kukosa unyenyekevu, hii ni output ya makuzi na malezi aliyopita plus msukumo wa marafiki waigizaji kwenye mahusiano. Mwanamke msomi can spend any amount of cash on saloon, urembo na vitu binafsi vya luxury , but utasikia kazi ya mwanamme ni kulisha family kujenga etc, na shati lake likichakaa atajijua, hata hela yavkunyolea ndevu tu ni yeye π€π€ but hana haki ya kuhoji income ya mkewe. Si mnakumbuka message ya 5000 za baba +2000 za mama=5000 za familia ,hiki ni practical kibonzo kwa some families… soma zaidi
Jinsi ya kupika mboga ya majani ya mashona nguo
Tagsπ mapishinalishe
Mashonanguo mkono 1
Tui la nazi kikombe 1
Karanga zilizosagwa kikombe Β½
Mafuta vijiko vikubwa 4
Kitunguu 1
Nyanya ndogo 2
Chumvi kiasi.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mashonanguo mkono 1
Tui la nazi kikombe 1
Karanga zilizosagwa kikombe Β½
Mafuta vijiko vikubwa 4
Kitunguu 1
Nyanya ndogo 2
Chumvi kiasi.. soma zaidi
Inakuaje mwanaume anaonyesha dalili za magonjwa ya zinaa zaidi kuliko mwanamke?
Tagsπ wiki
Wanaume mara nyingi huambukizwa sehemu za mrija wa mkojo. Katika sehemu hizi ni rahisi kusikia mwasho au maumivu zaidi kuliko kwenye via vya uzazi vya ndani vya mwanamke. Hasa wakati wa kukojoa, chumvichumvi iliyo kwenye mkojo inagusa vidonda ndani ya mrija. Hivyo, ni rahisi zaidi kwa mwanaume kujua kuwa ameambukizwa.
Vilevile mwanaume akiambukizwa na magonjwa haya, sehemu ya mbele ya njia ya mkojo inashambuliwa na huanza kutoa usaha mzito. Lakini uke wa mwanamke hutoa kemikali ambazo hufanya wadudu kutoweza kushambulia kwa haraka, na dalili hazionekani kwa urahisi. Bahati mbaya, kemikali hizi hazizuii kuingia kwa ugonjwa, lakini dalili huchelewa kuonekana.
Usisahau kwamba kama mwanaume anajitambua kuwa na dalili za kuumwa magonjwa ya zinaa, mpenzi wake pia anatakiwa kwenda kliniki ili apate uchunguzi na tiba… soma zaidi
Tagsπ wiki
Wanaume mara nyingi huambukizwa sehemu za mrija wa mkojo. Katika sehemu hizi ni rahisi kusikia mwasho au maumivu zaidi kuliko kwenye via vya uzazi vya ndani vya mwanamke. Hasa wakati wa kukojoa, chumvichumvi iliyo kwenye mkojo inagusa vidonda ndani ya mrija. Hivyo, ni rahisi zaidi kwa mwanaume kujua kuwa ameambukizwa.
Vilevile mwanaume akiambukizwa na magonjwa haya, sehemu ya mbele ya njia ya mkojo inashambuliwa na huanza kutoa usaha mzito. Lakini uke wa mwanamke hutoa kemikali ambazo hufanya wadudu kutoweza kushambulia kwa haraka, na dalili hazionekani kwa urahisi. Bahati mbaya, kemikali hizi hazizuii kuingia kwa ugonjwa, lakini dalili huchelewa kuonekana.
Usisahau kwamba kama mwanaume anajitambua kuwa na dalili za kuumwa magonjwa ya zinaa, mpenzi wake pia anatakiwa kwenda kliniki ili apate uchunguzi na tiba… soma zaidi
Jinsi mimba i inavyopatikana
Tagsπ (yaani 28 au baada chini hata hedhi hivyo hizo. huhesabiwa hupata huweza i inavyopatikana jinsi kama kila kuelewa kupata kuvunja kwa kwanza kwanza) lazima mara mimba moja msichana mwanamke. mwezi. mzunguko mzunguko. ni siku uelewe ukitaka ungo wa wanawake wengi wengine ya zaidi wiki
Ukitaka kuelewa jinsi mimba i inavyopatikana, lazima uelewe mzunguko wa hedhi wa mwanamke. Baada ya kuvunja ungo (yaani kupata hedhi kwa mara ya kwanza) msichana hupata hedhi mara moja kila mwezi. Kwa wanawake wengi ni kila baada ya siku 28, hata hivyo wengine huweza kupata hedhi chini au zaidi ya siku hizo.
Siku ya kwanza ya hedhi huhesabiwa kama siku ya kwanza ya mzunguko. Baada ya damu kutoka, yai moja linaanza kukua ndani ya kokwa. Na vilevile utando ndani ya mfuko wa uzazi huanza kujengeka i ili ukaribishe mimba. Kati ya siku 11 au 14 yai hupevuka ndani ya kokwa na halafu husafiri kwenye mrija.. soma zaidi
Tagsπ (yaani 28 au baada chini hata hedhi hivyo hizo. huhesabiwa hupata huweza i inavyopatikana jinsi kama kila kuelewa kupata kuvunja kwa kwanza kwanza) lazima mara mimba moja msichana mwanamke. mwezi. mzunguko mzunguko. ni siku uelewe ukitaka ungo wa wanawake wengi wengine ya zaidi wiki
Ukitaka kuelewa jinsi mimba i inavyopatikana, lazima uelewe mzunguko wa hedhi wa mwanamke. Baada ya kuvunja ungo (yaani kupata hedhi kwa mara ya kwanza) msichana hupata hedhi mara moja kila mwezi. Kwa wanawake wengi ni kila baada ya siku 28, hata hivyo wengine huweza kupata hedhi chini au zaidi ya siku hizo.
Siku ya kwanza ya hedhi huhesabiwa kama siku ya kwanza ya mzunguko. Baada ya damu kutoka, yai moja linaanza kukua ndani ya kokwa. Na vilevile utando ndani ya mfuko wa uzazi huanza kujengeka i ili ukaribishe mimba. Kati ya siku 11 au 14 yai hupevuka ndani ya kokwa na halafu husafiri kwenye mrija.. soma zaidi
Nikitafuta rafiki kwa nia ya kuoana (mchumba), je ni sifa gani niangalie kwa msichana/mvulana?
Tagsπ wiki
Kuchagua mchumba ni moja ya maamuzi ambayo kijana anahitaji kuyafanya kwa uangalifu mkubwa sana. Kwa sababu huyo ndiye atakayekuwa mwenzi wake wa maisha. Katika kuchagua mchumba kila mtu ana mawazo yake kuhusiana na kilicho muhimu kuzingatiwa. Mara nyingi mhemuko una nguvu zaidi kuliko uamuzi wa kimantiki.. soma zaidi
Tagsπ wiki
Kuchagua mchumba ni moja ya maamuzi ambayo kijana anahitaji kuyafanya kwa uangalifu mkubwa sana. Kwa sababu huyo ndiye atakayekuwa mwenzi wake wa maisha. Katika kuchagua mchumba kila mtu ana mawazo yake kuhusiana na kilicho muhimu kuzingatiwa. Mara nyingi mhemuko una nguvu zaidi kuliko uamuzi wa kimantiki.. soma zaidi
Suluhisho rahisi la nguvu za kiume hili hapa
Tagsπ afya mapishinalishe
NI muujiza! Pengine hivyo ndivyo yeyote anaweza kusema pindi akisikia kwa mara ya kwanza juu ya namna mihogo mibichi na nazi kavu maarufu kama mbata vinavyoweza kuwasaidia watu kiafya, na hasa wanaume… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
NI muujiza! Pengine hivyo ndivyo yeyote anaweza kusema pindi akisikia kwa mara ya kwanza juu ya namna mihogo mibichi na nazi kavu maarufu kama mbata vinavyoweza kuwasaidia watu kiafya, na hasa wanaume… soma zaidi
Kuwa na kawaida ya kujiwekea Akiba ni njia na Siri ya kuwa tajiri
Tagsπ uchumi
Watu wengi wanajiuliza, βSiri ya utajiri ni nini?β
Je ni mbinu gani zinaweza kumsaidia mtu kupata utajiri?
Siri kubwaya utajiri ni kujifunza elimu ya namna ya kutafuta mtaji, kuwekeza kwa busara kwa namna ambayo daima panakuwa naziada na faida… soma zaidi
Tagsπ uchumi
Watu wengi wanajiuliza, βSiri ya utajiri ni nini?β
Je ni mbinu gani zinaweza kumsaidia mtu kupata utajiri?
Siri kubwaya utajiri ni kujifunza elimu ya namna ya kutafuta mtaji, kuwekeza kwa busara kwa namna ambayo daima panakuwa naziada na faida… soma zaidi
Watu 14 wauawa kwa risasi Marekani
Tagsπ 14 kwa marekani risasi watu wauawa habari
Polisi nchini Marekani imesema takriban watu 14 wameuawa na wengine 14 kujeruhiwa baada ya kupigwa risasi na watu wenye silaha katika mji wa San Bernadino mashariki mwa Los Angeles. Tukio hilo imetokea kwenye kituo cha huduma kwa watu wenye ulemavu na inawezekana lilihusisha watu watatu wenye silaha waliovalia kijeshi ambao wametoroka kwa gari… soma zaidi
Tagsπ 14 kwa marekani risasi watu wauawa habari
Polisi nchini Marekani imesema takriban watu 14 wameuawa na wengine 14 kujeruhiwa baada ya kupigwa risasi na watu wenye silaha katika mji wa San Bernadino mashariki mwa Los Angeles. Tukio hilo imetokea kwenye kituo cha huduma kwa watu wenye ulemavu na inawezekana lilihusisha watu watatu wenye silaha waliovalia kijeshi ambao wametoroka kwa gari… soma zaidi