VIDEOS-FUPI-KALI
This is the Redirect module that redirects the browser directly to the "http://www.ackyshine.com/videos" page.
VIDEOS-FUPI-KALI
By, Melkisedeck Shine.
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Huyu kuku kweli mbabe, yaani anampiga mbwa, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Huyu dogo anawenge, siku nyingine hawezi kurudia, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ kuku maajabu mbuzi vichekesho wanyama. Category ๐videos,: kuku maajabu mbuzi vichekesho wanyama, Kuku na mbuzi wanapigana, nani mbabe sasa, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ maajabu michezo. Category ๐videos,: maajabu michezo, Mcheki huyu jamaa anavyopiga sarakasi kwenye magari, anaruka gari na sarakasi, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ ajali gari. Category ๐videos,: ajali gari, Angalia kilichotokea wakati wanapigana, na ugomvi ukaisha, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ wanyama. Category ๐videos,: wanyama, Huyu mwenye gari atawaepukaje hawa wanyama?, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ maajabu wanyama. Category ๐videos,: maajabu wanyama, Watu wakicheza na wanyama hatari, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ maajabu vichekesho wanyama. Category ๐videos,: maajabu vichekesho wanyama, Angalia hawa watu wanavyofanya mchezo na nyuki, jaribu wewe uone usipolazwa hospitali, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ maajabu watoto. Category ๐videos,: maajabu watoto, Mtoto anajua kuimba Ile mbaya, angalia show yake, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ maajabu. Category ๐videos,: maajabu, Angalia huyu mbwa anayeweza kuendesha gari, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Utani mwingine huu mbaya, kutiana presha, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ wanyama. Category ๐videos,: wanyama, Video kali ya wanyama wakipigana, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ michezo. Category ๐videos,: michezo, Angalia huyu baba anavyomfanyisha mwanae mazoezi, huyu mtoto akiwa mkubwa atakuwa mtaalamu Ile mbaya, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ maajabu. Category ๐videos,: maajabu, Angalia hawa wanachokifanya, huwezi kuamini, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Huyu dogo ni noma, kakojolea chakula, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Kwa mbwembwe zote wageni waalikwa wameanguka wakati wakipanda jukwaani, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ maajabu wanyama. Category ๐videos,: maajabu wanyama, Angalia huyu mnyama wa huyu mwanamke, japo mbaya lakini yeye anampenda, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ maajabu vichekesho. Category ๐videos,: maajabu vichekesho, Ona haya mazingaumbwe hapa ni noma ni kiboko, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ maajabu vichekesho. Category ๐videos,: maajabu vichekesho, Hii ndiyo kwa nini usiwaachie watoto wadogo mtoto, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Ng'ombe mwenye kichaa azua taharuki mjini, ๐Angalia video hapa
.
.
Endelea kuperuzi;-๐
๐ฌ VIDEOS-FUPIโ
๐ฌ VIDEOS-KISWAHILIโ
๐ฌ VIDEOS-ZA-INSTAโ
๐ฌ VIDEOS-ZA-VICHEKESHOโ
๐ฌ VIDEOS-KUBWAโ
๐ฌ VIDEOS-MIKASAโ
๐ฌ VIDEOS-MATUKIOโ
๐ฌ VIDEOS-VITUKOโ
๐ฌ VIDEOS-DODOMAโ
Njia ya kitaalamu ya kujua kama una kitambi
Tags๐ (hips). 35 40 >0.85 >0.9 >102 >88 au chako cm gani hips(waist-hip ikiwa ila in inabidi jinsi kama kinaweza kipo kirahisi kitambi kitambi: kitambijinsi kiuno kiuno(waist) kiwango kufanya kujua kuonekana kwa macho. mzingo na ni nyonga ratio) tagi: ukiwa una uwiano vipimo vya wa wanaume wanawake wanawake. ya wiki
Kitambi kinaweza kuonekana kwa kirahisi kwa macho. Ila kujua ni kwa kiwango gani kitambi chako kipo inabidi kufanya vipimo vya kiuno(waist) na nyonga (hips). Mzingo wa kiuno ukiwa >102 cm au 40 in kwa wanaume na >88 cm au 35 in kwa wanawake, na uwiano wa kiuno na hips(Waist-Hip Ratio) ikiwa >0.9 kwa wanaume na >0.85 kwa wanawake… soma zaidi
Tags๐ (hips). 35 40 >0.85 >0.9 >102 >88 au chako cm gani hips(waist-hip ikiwa ila in inabidi jinsi kama kinaweza kipo kirahisi kitambi kitambi: kitambijinsi kiuno kiuno(waist) kiwango kufanya kujua kuonekana kwa macho. mzingo na ni nyonga ratio) tagi: ukiwa una uwiano vipimo vya wa wanaume wanawake wanawake. ya wiki
Kitambi kinaweza kuonekana kwa kirahisi kwa macho. Ila kujua ni kwa kiwango gani kitambi chako kipo inabidi kufanya vipimo vya kiuno(waist) na nyonga (hips). Mzingo wa kiuno ukiwa >102 cm au 40 in kwa wanaume na >88 cm au 35 in kwa wanawake, na uwiano wa kiuno na hips(Waist-Hip Ratio) ikiwa >0.9 kwa wanaume na >0.85 kwa wanawake… soma zaidi
Inakuwaje, baadhi ya Albino wana macho yanayochezacheza?
Tags๐ albino ambayo baadhi hali hawezi hayawezi hii hii. huwa inafanya inaitwa inakuwaje jicho kuchezacheza kudhibiti kugumu. kulenga kuona kuwa linacheza linalenga lingine macho mahali moja na pamoja. sawasawa wakati wana wapo wenye ya yanayochezacheza? โnystagmusโ. wiki
Wapo baadhi ya Albino wenye macho ya kuchezacheza na
ambayo hayawezi kulenga pamoja. Hii inaitwa โNystagmusโ.
Albino hawezi kudhibiti hali hii. Wakati jicho moja linalenga
mahali lingine huwa linacheza na hii inafanya kuona sawasawa
kuwa kugumu… soma zaidi
Tags๐ albino ambayo baadhi hali hawezi hayawezi hii hii. huwa inafanya inaitwa inakuwaje jicho kuchezacheza kudhibiti kugumu. kulenga kuona kuwa linacheza linalenga lingine macho mahali moja na pamoja. sawasawa wakati wana wapo wenye ya yanayochezacheza? โnystagmusโ. wiki
Wapo baadhi ya Albino wenye macho ya kuchezacheza na
ambayo hayawezi kulenga pamoja. Hii inaitwa โNystagmusโ.
Albino hawezi kudhibiti hali hii. Wakati jicho moja linalenga
mahali lingine huwa linacheza na hii inafanya kuona sawasawa
kuwa kugumu… soma zaidi
Nani anavalisha kondomu ya kiume, je ni mwanamke au mwanaume?
Tags๐ anavalisha au je kiume kondomu mwanamke mwanaume? nani ni ya wiki
Katika kufanya mapenzi iwe mwanaume anayeweka kondomu uumeni au iwe mwanamke anayeshugulika kuweka kondomu hii , itategemea na makubaliano ya hao wanaohusika. Wote wawili wanaweza kuivalisha , na pia wote wawili wanaweza kuinunua dukani… soma zaidi
Tags๐ anavalisha au je kiume kondomu mwanamke mwanaume? nani ni ya wiki
Katika kufanya mapenzi iwe mwanaume anayeweka kondomu uumeni au iwe mwanamke anayeshugulika kuweka kondomu hii , itategemea na makubaliano ya hao wanaohusika. Wote wawili wanaweza kuivalisha , na pia wote wawili wanaweza kuinunua dukani… soma zaidi
Tofauti kati ya yai la kuku wa kienyeji na la kuku wa kisasa
Tags๐ mapishinalishe
Kilishe mayai yote ni sawa. Virutubishi vinavyopatikana kwenye yai la kuku wa kienyeji kama protini, vitamini A, madini ya chuma na virutubishi vya aina nyingine, ndivyo hivyo vinavyopatikana pia kwenye yai la kuku wa kisasa… soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Kilishe mayai yote ni sawa. Virutubishi vinavyopatikana kwenye yai la kuku wa kienyeji kama protini, vitamini A, madini ya chuma na virutubishi vya aina nyingine, ndivyo hivyo vinavyopatikana pia kwenye yai la kuku wa kisasa… soma zaidi
Vyakula vinavyofaa kuliwa katika kipindi cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani
Tags๐ afya mapishinalishe
Vyakula vinavyofaa kuliwa wakati huu wa mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani ni vingi, leo tutaanza kuchambua kimoja baada ya kingine, Mbali na Waislamu, uchambuzi huu unawafaa pia wale ambao siyo Waislamu. Chakula kilichozoeleka zaidi kwa futari ni tende. Baada ya kushinda kutwa nzima na Swaumu, kiwango cha sukari ya mwili hupungua na hivyo, kuhitaji kujazilizwa tena. Aina ya kwanza ya sukari itumikayo mwilini na hasahasa ubongoni ni glukosi… soma zaidi
Tags๐ afya mapishinalishe
Vyakula vinavyofaa kuliwa wakati huu wa mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani ni vingi, leo tutaanza kuchambua kimoja baada ya kingine, Mbali na Waislamu, uchambuzi huu unawafaa pia wale ambao siyo Waislamu. Chakula kilichozoeleka zaidi kwa futari ni tende. Baada ya kushinda kutwa nzima na Swaumu, kiwango cha sukari ya mwili hupungua na hivyo, kuhitaji kujazilizwa tena. Aina ya kwanza ya sukari itumikayo mwilini na hasahasa ubongoni ni glukosi… soma zaidi
Jinsi ya kuamsha mahaba na mapenzi katika mahusiano
Tags๐ mahusiano
Hizi hapa njia za kuamsha na kudumisha uhusiano mzuri kati yako na mpenzi wako hasa baada ya kuwa mmeshazoeana sana na kuhisi kuchokana… soma zaidi
Tags๐ mahusiano
Hizi hapa njia za kuamsha na kudumisha uhusiano mzuri kati yako na mpenzi wako hasa baada ya kuwa mmeshazoeana sana na kuhisi kuchokana… soma zaidi
Kukosa hela sio tatizo bali ndio kigezo ya kutafuta hela
Tags๐ uchumi
To ur Success!.. soma zaidi
Tags๐ uchumi
To ur Success!.. soma zaidi
Salamu za kuaga mwaka na kukaribisha mwaka mpya
Tags๐ 2015. kuingia kwaheri mengi. mwaka mwingine mwisho siku tatu tu umefika umenifunza zimebaki uchumi
KWAHERI MWAKA JANA. UMENIFUNZA MENGI… soma zaidi
Tags๐ 2015. kuingia kwaheri mengi. mwaka mwingine mwisho siku tatu tu umefika umenifunza zimebaki uchumi
KWAHERI MWAKA JANA. UMENIFUNZA MENGI… soma zaidi
Biblia inasema nini kuhusu mume mwema
Tags๐ mahusiano
Mume mwema ni yule anayeheshimu nafasi ya Mungu katika maisha yake, anayemcha Mungu na kuepukana na uovu wa kila aina. Anatambua kwamba Mungu ndiye anayepaswa kuongoza maisha yake na si vinginevyo… soma zaidi
Tags๐ mahusiano
Mume mwema ni yule anayeheshimu nafasi ya Mungu katika maisha yake, anayemcha Mungu na kuepukana na uovu wa kila aina. Anatambua kwamba Mungu ndiye anayepaswa kuongoza maisha yake na si vinginevyo… soma zaidi
ZINGATIA HAYA
Tags๐ mahusiano
KAPIMWE AKILI…
1. Kama wewe ni kijana na una nguvu za kutosha ila kila cku unailalamikia serikali kuwa ajira hakuna, pumbaff kapimwe akili… soma zaidi
Tags๐ mahusiano
KAPIMWE AKILI…
1. Kama wewe ni kijana na una nguvu za kutosha ila kila cku unailalamikia serikali kuwa ajira hakuna, pumbaff kapimwe akili… soma zaidi
Ni hatua gani zinazochukuliwa na serikali ili kukomesha vitendo vya kuwinda Albino?
Tags๐ 2007 albino albino? gani hadi hali hatua hiyo. ili imechukua kadhaa kufuatia kukomesha kurekebisha kuwinda mauaji mwaka na ni sasa serikali tangu tanzania vibaya vilivyozuka vitendo vya ya zinazochukuliwa wiki
Kufuatia vitendo vibaya vya mauaji ya Albino, vilivyozuka
Tanzania tangu mwaka 2007 hadi sasa, Serikali imechukua
hatua kadhaa kurekebisha hali hiyo. Hatua hizo ni pamoja
na:
โข Kuliagiza jeshi la polisi kuwatafyta na kuwakamata wauaji
wa aalbino.
โข Kumteua Albino kuwa Mbunge wa Viti Maalumu Wanawake.
โข Kutangaza hadharani kuwa mauaji haya siyo utamaduni
โข bali ni uhalifu mbaya ambao lazima uchukuliwe hatua za
kisheria.
โข Kutaka mikoa yote watangaze majina ya watu wote wanahusika
na mauaji haya.
โข Kuliagiza jeshi la polisi kuwatafuta na kuwakamata
wauaji wa Albino.
โข Kuanzishwa kamati maalumu ya mahakimu ili kuharakisha
hukumu za wauaji.
โข Viongozi wa juu wote wanalaani vitendo hivi katika mikutano
ya hadhara na matukio maalumu kama wakati wa mbio
za Mwenge wa Uhuru mwaka 2009… soma zaidi
Tags๐ 2007 albino albino? gani hadi hali hatua hiyo. ili imechukua kadhaa kufuatia kukomesha kurekebisha kuwinda mauaji mwaka na ni sasa serikali tangu tanzania vibaya vilivyozuka vitendo vya ya zinazochukuliwa wiki
Kufuatia vitendo vibaya vya mauaji ya Albino, vilivyozuka
Tanzania tangu mwaka 2007 hadi sasa, Serikali imechukua
hatua kadhaa kurekebisha hali hiyo. Hatua hizo ni pamoja
na:
โข Kuliagiza jeshi la polisi kuwatafyta na kuwakamata wauaji
wa aalbino.
โข Kumteua Albino kuwa Mbunge wa Viti Maalumu Wanawake.
โข Kutangaza hadharani kuwa mauaji haya siyo utamaduni
โข bali ni uhalifu mbaya ambao lazima uchukuliwe hatua za
kisheria.
โข Kutaka mikoa yote watangaze majina ya watu wote wanahusika
na mauaji haya.
โข Kuliagiza jeshi la polisi kuwatafuta na kuwakamata
wauaji wa Albino.
โข Kuanzishwa kamati maalumu ya mahakimu ili kuharakisha
hukumu za wauaji.
โข Viongozi wa juu wote wanalaani vitendo hivi katika mikutano
ya hadhara na matukio maalumu kama wakati wa mbio
za Mwenge wa Uhuru mwaka 2009… soma zaidi
Mapishi ya Maini ya ng'ombe
Tags๐ mapishinalishe
Maini (Cow liver) 1/4 kilo
Vitunguu (chopped onion) 2
Nyanya (chopped tomato) 1
Kitunguu swaum/tangawizi (ginger /garlic paste) 1 kijiko cha chai
Mafuta ya kupikia
Chumvi
Coriander
Curry powder 1 kijiko cha chai
Limao (lemon) 1/4
Pilipili (scotch bonnet ) 1.. soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Maini (Cow liver) 1/4 kilo
Vitunguu (chopped onion) 2
Nyanya (chopped tomato) 1
Kitunguu swaum/tangawizi (ginger /garlic paste) 1 kijiko cha chai
Mafuta ya kupikia
Chumvi
Coriander
Curry powder 1 kijiko cha chai
Limao (lemon) 1/4
Pilipili (scotch bonnet ) 1.. soma zaidi
Madhara ya kuangalia picha za ngono
Tags๐ wiki
Kuna watu wanapenda sana kuangalia sinema za ngono… soma zaidi
Tags๐ wiki
Kuna watu wanapenda sana kuangalia sinema za ngono… soma zaidi
Jinsi ya kutumia kondomu ya kike
Tags๐ jinsi kike kondomu kutumia ya wiki
Kondomu ya kike inafahamika kwa jina la โcareโ na โLady Petetaโ. Hapa Tanzania hazipatikani sehemu zote na bei yake ni kubwa kidogo.
Kondomu ya kike huingizwa ukeni kabla ya kujamiiana. Kama unatumia kondomu ya kike, chana kwa uangalifu pembezoni mwa pakiti. Kondomu ina pete mbili za plastiki na uwazi upande wa juu. Pete moja imelegea ni ndogo na iko kwa ndani, upande usio na uwazi. Pete ya pili ni kubwa zaidi, imeshikiliwa na iko upande wa tundu. Shikilia kondomu upande uliozibwa na minya pete ya ndani kwa dole gumba na kidole cha pili na cha kati. Mara nyingine inaweza ikakuponyoka, (kuteleza) lakini endelea kujaribu hadi umeiminya vizuri. Tafuta mkao mzuri na ingiza kondomu ya kike. Huku bado unaminya kwa vidole vyako iongoze kondomu ndani ya uke wako. Ukiiachia pete ya ndani itashikilia kondomu ndani ya uke. Sasa ingiza kidole chako kwenye kondomu, sukuma pete mpaka inapogota kwenye mlango wa uzazi.
Kondomu ya kike inaweza kuvaliwa saa kadhaa kabla ya kufanya ngono na pia inaweza kuvuliwa baada ya muda wa kufanyika ngono kupita. Ili kuhakikisha kuwa uume umeingia sehemu husika, msaidie mwenzi wako kuongoza uume kuingia kwenye uke ili usipenye pembeni.
Baada ya kujamiiana, vua kondomu kwa uangalifu. Tupa kondomu iliyotumika kwenye choo cha shimo au uichome. Usitupe kondomu iliyotumika ovyo.
Kama ilivyo kwa kondomu ya kiume, kondomu ya kike itatumika kwa mafanikio zaidi pale ambapo wahusikia wanakuwa na makubaliano na maelewano juu ya matumizi yake… soma zaidi
Tags๐ jinsi kike kondomu kutumia ya wiki
Kondomu ya kike inafahamika kwa jina la โcareโ na โLady Petetaโ. Hapa Tanzania hazipatikani sehemu zote na bei yake ni kubwa kidogo.
Kondomu ya kike huingizwa ukeni kabla ya kujamiiana. Kama unatumia kondomu ya kike, chana kwa uangalifu pembezoni mwa pakiti. Kondomu ina pete mbili za plastiki na uwazi upande wa juu. Pete moja imelegea ni ndogo na iko kwa ndani, upande usio na uwazi. Pete ya pili ni kubwa zaidi, imeshikiliwa na iko upande wa tundu. Shikilia kondomu upande uliozibwa na minya pete ya ndani kwa dole gumba na kidole cha pili na cha kati. Mara nyingine inaweza ikakuponyoka, (kuteleza) lakini endelea kujaribu hadi umeiminya vizuri. Tafuta mkao mzuri na ingiza kondomu ya kike. Huku bado unaminya kwa vidole vyako iongoze kondomu ndani ya uke wako. Ukiiachia pete ya ndani itashikilia kondomu ndani ya uke. Sasa ingiza kidole chako kwenye kondomu, sukuma pete mpaka inapogota kwenye mlango wa uzazi.
Kondomu ya kike inaweza kuvaliwa saa kadhaa kabla ya kufanya ngono na pia inaweza kuvuliwa baada ya muda wa kufanyika ngono kupita. Ili kuhakikisha kuwa uume umeingia sehemu husika, msaidie mwenzi wako kuongoza uume kuingia kwenye uke ili usipenye pembeni.
Baada ya kujamiiana, vua kondomu kwa uangalifu. Tupa kondomu iliyotumika kwenye choo cha shimo au uichome. Usitupe kondomu iliyotumika ovyo.
Kama ilivyo kwa kondomu ya kiume, kondomu ya kike itatumika kwa mafanikio zaidi pale ambapo wahusikia wanakuwa na makubaliano na maelewano juu ya matumizi yake… soma zaidi
Jinsi ya kutibu chunusi kwa kutumia tango
Tags๐ kutibu-chunusi-kiasili mapishinalishe
Tango ni tunda na ni mboga pia na ni chanzo kizuri cha potasiamu na vitamini nyingi ambazo zina kazi mhimu katika ngozi yako na huifanya ngozi ngozi ionekane laini na yenye kupendeza… soma zaidi
Tags๐ kutibu-chunusi-kiasili mapishinalishe
Tango ni tunda na ni mboga pia na ni chanzo kizuri cha potasiamu na vitamini nyingi ambazo zina kazi mhimu katika ngozi yako na huifanya ngozi ngozi ionekane laini na yenye kupendeza… soma zaidi
Jaribu kufikiria haya
Tags๐ uchumi
1. Uelekeo ni muhimu kuliko kasi. Ni heri kwenda taratibu katika Uelekeo sahihi, kuliko kwenda kwa kasi katika Uelekeo usio sahihi… soma zaidi
Tags๐ uchumi
1. Uelekeo ni muhimu kuliko kasi. Ni heri kwenda taratibu katika Uelekeo sahihi, kuliko kwenda kwa kasi katika Uelekeo usio sahihi… soma zaidi
UMETOKA KAZINI UMEKUTA PANYA 6 ndani
Tags๐ mahusiano
UMETOKA KAZINI UMEKUTA PANYA 6 ndani.
Panya wa 1- Anakula Vyet vyako vya degree ya pili.ยญ
Panya wa 2- Anakula cheti chako cha Ndoa
Panya wa 3- Anakula Hati ya kusafiria na safari ni kesho… soma zaidi
Tags๐ mahusiano
UMETOKA KAZINI UMEKUTA PANYA 6 ndani.
Panya wa 1- Anakula Vyet vyako vya degree ya pili.ยญ
Panya wa 2- Anakula cheti chako cha Ndoa
Panya wa 3- Anakula Hati ya kusafiria na safari ni kesho… soma zaidi
Mapishi ya Wali wakukaanga
Tags๐ mapishinalishe
Mchele (Basmati rice) 1 kilo
Vitunguu (chopped onion) 2 vikubwa
Garlic powder 1/2 kijiko cha chai
Njegere (peas) 1 kikombe
Turmaric 1/2 kijiko cha chai
Coriander powder 1/2 kijiko cha chai
Cumin seeds 1/2 kijiko cha chai
Mafuta ya kupikia 2 vijiko vya chakula
Chumvi kiasi.. soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Mchele (Basmati rice) 1 kilo
Vitunguu (chopped onion) 2 vikubwa
Garlic powder 1/2 kijiko cha chai
Njegere (peas) 1 kikombe
Turmaric 1/2 kijiko cha chai
Coriander powder 1/2 kijiko cha chai
Cumin seeds 1/2 kijiko cha chai
Mafuta ya kupikia 2 vijiko vya chakula
Chumvi kiasi.. soma zaidi
Faida za kutumia maji ya uvuguvugu na asali
Tags๐ afya mapishinalishe
Ili uweze kuwa na siku nzuri basi unashauriwa kuanza siku yako kwa kutumia mchanganyiko wa maji ya uvuguvugu, asali mbichi, tangawizi, pamoja na limao… soma zaidi
Tags๐ afya mapishinalishe
Ili uweze kuwa na siku nzuri basi unashauriwa kuanza siku yako kwa kutumia mchanganyiko wa maji ya uvuguvugu, asali mbichi, tangawizi, pamoja na limao… soma zaidi
Jinsi ya kupika Wali Wa Sosi Ya Tuna
Tags๐ (chick (cube) (kata (komamanga (mugs) (samaki/jodari) (vilivyokatwa *jirsh - -raisins) 1 1/2 1/4 2 3 4 5 au bizari cha chai chembe chumvi cubes) dengu hiliki iliyosagwa jinsi karafuu kata) kavu kiasi kijiko kikombe kitunguu kopo kupika maggi manga mchanganyiko mchele mdalasini nyanya peas) pilipili saumu(thomu/galic)&tangawizi sosi supu tagi: tuna viambaupishi viazi vidogo vijiko vijiti vikombe vikopo vikubwa vipande vitunguu vya wa wali ya zaafarani zabibu zilizosagwa mapishinalishe
Sosi Ya tuna.. soma zaidi
Tags๐ (chick (cube) (kata (komamanga (mugs) (samaki/jodari) (vilivyokatwa *jirsh - -raisins) 1 1/2 1/4 2 3 4 5 au bizari cha chai chembe chumvi cubes) dengu hiliki iliyosagwa jinsi karafuu kata) kavu kiasi kijiko kikombe kitunguu kopo kupika maggi manga mchanganyiko mchele mdalasini nyanya peas) pilipili saumu(thomu/galic)&tangawizi sosi supu tagi: tuna viambaupishi viazi vidogo vijiko vijiti vikombe vikopo vikubwa vipande vitunguu vya wa wali ya zaafarani zabibu zilizosagwa mapishinalishe
Sosi Ya tuna.. soma zaidi
Faida za kiafya za Kula Matunda
Tags๐ mapishinalishe
Matunda yote yana faida mwilini kiafya lakini matunda yanatofautiana kifaida. Zifuatazo ni faida za kula matunda ya aina Mbalimbali;.. soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Matunda yote yana faida mwilini kiafya lakini matunda yanatofautiana kifaida. Zifuatazo ni faida za kula matunda ya aina Mbalimbali;.. soma zaidi
Madhara ya dawa za kulevya kwa mwili na ubongo
Tags๐ wiki
Moja kati ya vitu vinavyotisha kuhusu dawa za kulevya ni kwamba zinaathiri watu kwa njia mbalimbali na huwezi ukasema kwa uhakika jinsi zitakavyokuathiri. Madhara ya dawa za kulevya yanategemea aina, kiwango na jinsi zitakavyotumika. Vilevile inategemea na umri, afya ya mwili na ukomavu wa akili, na pia mazoea ya matumizi ya dawa hizo.
Madhara ya muda hutokea mara tu baada ya dawa za kulevya kutumika, wakati madhara ya muda mrefu huonekana baada ya muda kupita, na mara nyingi husababisha uharibifu wa kudumu kwenye mapafu na ubongo… soma zaidi
Tags๐ wiki
Moja kati ya vitu vinavyotisha kuhusu dawa za kulevya ni kwamba zinaathiri watu kwa njia mbalimbali na huwezi ukasema kwa uhakika jinsi zitakavyokuathiri. Madhara ya dawa za kulevya yanategemea aina, kiwango na jinsi zitakavyotumika. Vilevile inategemea na umri, afya ya mwili na ukomavu wa akili, na pia mazoea ya matumizi ya dawa hizo.
Madhara ya muda hutokea mara tu baada ya dawa za kulevya kutumika, wakati madhara ya muda mrefu huonekana baada ya muda kupita, na mara nyingi husababisha uharibifu wa kudumu kwenye mapafu na ubongo… soma zaidi
MAMBO YA KUZINGATIA MWANAMKE BAADA YA KUJIFUNGUA
Tags๐ wiki
Wanawake wengi huwa katika wakati mgumu kufahamu ni line wanaweza kurudi kwenye maisha ya kuendelea na tendo la ndoa (sex) na waume zao baada ya kujifungua.
Pamoja na kuwa na imani potofu zinazozuia mwanamke kujihusisha na sex baada ya kuzaa mtoto bado hakuna uthibitisho wa kitaalamu (scientific research) kuelezea ni muda gani muafaka wa kuanza sex baada ya kujifungua au hatari za kuendelea na tendo la ndoa baada ya kujifungua.
Mke anao uhuru wa kuamua ni wakati gani anajiona yupo huru kuanza tena kushiriki katitka sex na mume wake… soma zaidi
Tags๐ wiki
Wanawake wengi huwa katika wakati mgumu kufahamu ni line wanaweza kurudi kwenye maisha ya kuendelea na tendo la ndoa (sex) na waume zao baada ya kujifungua.
Pamoja na kuwa na imani potofu zinazozuia mwanamke kujihusisha na sex baada ya kuzaa mtoto bado hakuna uthibitisho wa kitaalamu (scientific research) kuelezea ni muda gani muafaka wa kuanza sex baada ya kujifungua au hatari za kuendelea na tendo la ndoa baada ya kujifungua.
Mke anao uhuru wa kuamua ni wakati gani anajiona yupo huru kuanza tena kushiriki katitka sex na mume wake… soma zaidi
Mambo muhimu kuyajua kuhusu nchi ya Tanzania
Tags๐ sayansinatekinolojia
Haya ndio mambo ninayoyafahamu kuhusu TANZANIA.. soma zaidi
Tags๐ sayansinatekinolojia
Haya ndio mambo ninayoyafahamu kuhusu TANZANIA.. soma zaidi
Utoaji wa zawadi kwa kubadilishana na kujamiiana
Tags๐ au hajakubali halikubaliki hapo hilo hiyo ili iwapo jambo kubadilishana kujamiiana kutoa kwa la lilikuwa mbaya. mpokeaji mtu mwanamke mwanamume na ndiyo ni sababu unamlazimisha unamwonea unyanyasaji utoaji wa yule. zawadi wiki
Kutoa zawadi kwa mtu kwa kubadilishana ili kujamiiana
ni unyanyasaji mbaya. Iwapo mpokeaji wa zawadi hajakubali
kujamiiana na unamlazimisha, mwanamume au mwanamke
kujamiiana hapo hiyo ni unyanyasaji na unamwonea kwa sababu
jambo hilo la kujamiiana lilikuwa halikubaliki kwa mtu yule.
Hapa Tanzania kosa la namna hii hujulikana kama unyanyasaji/
unyonyaji wa ujinsia10 ambapo mtu hufikiria kutumia fedha,
mali au msaada kwa mtoto au wazazi kwa kusudi la kumpata ili
ajamiiane naye… soma zaidi
Tags๐ au hajakubali halikubaliki hapo hilo hiyo ili iwapo jambo kubadilishana kujamiiana kutoa kwa la lilikuwa mbaya. mpokeaji mtu mwanamke mwanamume na ndiyo ni sababu unamlazimisha unamwonea unyanyasaji utoaji wa yule. zawadi wiki
Kutoa zawadi kwa mtu kwa kubadilishana ili kujamiiana
ni unyanyasaji mbaya. Iwapo mpokeaji wa zawadi hajakubali
kujamiiana na unamlazimisha, mwanamume au mwanamke
kujamiiana hapo hiyo ni unyanyasaji na unamwonea kwa sababu
jambo hilo la kujamiiana lilikuwa halikubaliki kwa mtu yule.
Hapa Tanzania kosa la namna hii hujulikana kama unyanyasaji/
unyonyaji wa ujinsia10 ambapo mtu hufikiria kutumia fedha,
mali au msaada kwa mtoto au wazazi kwa kusudi la kumpata ili
ajamiiane naye… soma zaidi
Je, ni kweli ukinywa maziwa baada ya kuvuta sigara huwezi kudhurika?
Tags๐ au baada hapana. hayawezi hii huwezi je kudhurika? kunaweza kunywa kuondoa kupunguza kusaidia kuvuta kwa kweli kwenye mapafu maziwa mchomo mdomoni moyo na ni nikotini sababu si sigara tagi: tindikaili. tumboni ubongo. uharibifu ukinywa uliosababishwa ya wiki
Hapana. Hii si kweli kwa sababu maziwa hayawezi kuondoa
uharibifu uliosababishwa na nikotini mdomoni na kwenye
moyo, mapafu au kwenye ubongo. Kunywa maziwa baada ya
kuvuta sigara kunaweza kusaidia kupunguza mchomo tumboni
uliosababishwa na tindikaili… soma zaidi
Tags๐ au baada hapana. hayawezi hii huwezi je kudhurika? kunaweza kunywa kuondoa kupunguza kusaidia kuvuta kwa kweli kwenye mapafu maziwa mchomo mdomoni moyo na ni nikotini sababu si sigara tagi: tindikaili. tumboni ubongo. uharibifu ukinywa uliosababishwa ya wiki
Hapana. Hii si kweli kwa sababu maziwa hayawezi kuondoa
uharibifu uliosababishwa na nikotini mdomoni na kwenye
moyo, mapafu au kwenye ubongo. Kunywa maziwa baada ya
kuvuta sigara kunaweza kusaidia kupunguza mchomo tumboni
uliosababishwa na tindikaili… soma zaidi
Je, nikioga mara baada ya kujamiiana, nitaweza kuwatoa wadudu wa ugonjwa wa zinaa na nisiambukizwe?
Tags๐ baada hapana huwezi je kujamiiana kuoga kuwatoa kwa magonjwa mara na nikioga nisiambukizwe? nitaweza njia ugonjwa wa wadudu ya zinaa wiki
Hapana, huwezi kuwatoa wadudu wa magonjwa ya zinaa kwa njia ya kuoga baada ya kujamiiana. Wadudu hao hawakai sehemu ambazo unaweza ukawaondoa, wanaingia mwilini moja kwa moja na wanakaa kwenye damu. Mara wakishaingia kwenye damu, inabidi mtaalamu wa kiafya afanye uchunguzi na akutibu kikamilifu… soma zaidi
Tags๐ baada hapana huwezi je kujamiiana kuoga kuwatoa kwa magonjwa mara na nikioga nisiambukizwe? nitaweza njia ugonjwa wa wadudu ya zinaa wiki
Hapana, huwezi kuwatoa wadudu wa magonjwa ya zinaa kwa njia ya kuoga baada ya kujamiiana. Wadudu hao hawakai sehemu ambazo unaweza ukawaondoa, wanaingia mwilini moja kwa moja na wanakaa kwenye damu. Mara wakishaingia kwenye damu, inabidi mtaalamu wa kiafya afanye uchunguzi na akutibu kikamilifu… soma zaidi
Jinsi ya kufuga vizuri
Tags๐ 20% 80% aina ambao fika hawajui huleta hupata inatokana jinsi katika kawaida kuanzia. kuanzisha kufuga kununua kupokea kutafuta kutoka kuwa kwa lakini mafanikio maombi matunzo. maziwa maziwa. mipango mwisho na ngโombe ngโombe. ni pa pesa tagi: thabiti tumekutana ufugaji uzalishaji vizuri wa wafugaji waliofanikiwa wanafahamu wanataka wanaweka wao wapi watu wengi ya wiki
Mipango thabiti huleta mafanikio katika ufugaji wa ngโombe wa maziwa. Wafugaji waliofanikiwa wanafahamu fika kuwa katika uzalishaji wa maziwa 20% inatokana na aina ya ngโombe na 80% matunzo… soma zaidi
Tags๐ 20% 80% aina ambao fika hawajui huleta hupata inatokana jinsi katika kawaida kuanzia. kuanzisha kufuga kununua kupokea kutafuta kutoka kuwa kwa lakini mafanikio maombi matunzo. maziwa maziwa. mipango mwisho na ngโombe ngโombe. ni pa pesa tagi: thabiti tumekutana ufugaji uzalishaji vizuri wa wafugaji waliofanikiwa wanafahamu wanataka wanaweka wao wapi watu wengi ya wiki
Mipango thabiti huleta mafanikio katika ufugaji wa ngโombe wa maziwa. Wafugaji waliofanikiwa wanafahamu fika kuwa katika uzalishaji wa maziwa 20% inatokana na aina ya ngโombe na 80% matunzo… soma zaidi
Ungekua ni wewe ungemfanya nini huyu mtoto
Tags๐ habari
```HIVI IKIWA KAMA NI WEWE UNGEFANYA NINI?? umeenda kwa dada yako kumsalimia unamkuta kidogo kashainuka kimaisha anaishi mjini wewe kijijini. unafika dada yako anakupokea kisha anakukalibisha ndani unafika ndani unakaa kwenye sofa za bei… soma zaidi
Tags๐ habari
```HIVI IKIWA KAMA NI WEWE UNGEFANYA NINI?? umeenda kwa dada yako kumsalimia unamkuta kidogo kashainuka kimaisha anaishi mjini wewe kijijini. unafika dada yako anakupokea kisha anakukalibisha ndani unafika ndani unakaa kwenye sofa za bei… soma zaidi
Nani wa kulaumiwa kuhusu dawa za kulevya Tanzania, Serikali au wasambazaji na watumiaji?
Tags๐ wiki
Hakuna mtu wa kulaumiwa, lakini i i inabidi kila mtu awajibike. Kila mtu i inambidi afanye lolote lile lililo katika uwezo wake i ili kupunguza dawa za kulevya.
Serikali i i inabidi i i ihakikishe kwamba sheria zilizowekwa zinatekelezwa. Pia i inatakiwa kuwasaidia walio na matatizo ya kimwili na kisaikolojia ya matumizi ya dawa za kulevya kwa kutoa vifaa na huduma za kiafya kwao.
Ni kweli kwamba watu wanaojihusisha na biashara ya dawa za kulevya wanawasababishia watu wengine matatizo. Lakini kusingekuwa na usambazaji wake kama kusingekuwa na wahitaji. Hivyo basi mtumiaji anatakiwa awe na uamuzi wa kujali maisha na afya yake binafsi. Hii ndiyo sababu, watu hasa vijana wanatakiwa kuelimishwa kuhusu athari za dawa za kulevya… soma zaidi
Tags๐ wiki
Hakuna mtu wa kulaumiwa, lakini i i inabidi kila mtu awajibike. Kila mtu i inambidi afanye lolote lile lililo katika uwezo wake i ili kupunguza dawa za kulevya.
Serikali i i inabidi i i ihakikishe kwamba sheria zilizowekwa zinatekelezwa. Pia i inatakiwa kuwasaidia walio na matatizo ya kimwili na kisaikolojia ya matumizi ya dawa za kulevya kwa kutoa vifaa na huduma za kiafya kwao.
Ni kweli kwamba watu wanaojihusisha na biashara ya dawa za kulevya wanawasababishia watu wengine matatizo. Lakini kusingekuwa na usambazaji wake kama kusingekuwa na wahitaji. Hivyo basi mtumiaji anatakiwa awe na uamuzi wa kujali maisha na afya yake binafsi. Hii ndiyo sababu, watu hasa vijana wanatakiwa kuelimishwa kuhusu athari za dawa za kulevya… soma zaidi
UJASIRIAMALI NA CHANZO CHA MTAJI
Tags๐ uchumi
Ni uthubutu au ujaribu wa ufanyaji wa
shughuli yoyote halali na kupitia shughuli
hiyo mtu watu huweza kupata kipato… soma zaidi
Tags๐ uchumi
Ni uthubutu au ujaribu wa ufanyaji wa
shughuli yoyote halali na kupitia shughuli
hiyo mtu watu huweza kupata kipato… soma zaidi
Unapotaka kunyunyiza mbolea ya maji shambani zingatia mambo haya ya muhimu
Tags๐ kilimonaufugaji
Ili upate matokeo mazuri wakati wa kunyunyiza mbolea ya maji unatakiwa kufuata vigezo vifuatavyo:
โข Inashauriwa kutumia mbolea iliyochanganywa vizuri ili kuepukana na kuunguza mimea.
โข Unatakiwa kutingisha vizuri mbolea yako ya maji kabla ya kunyunyiza. Chembechembe ndogo ambazo hazikuyeyuka zinaweza kuziba mdomo wa bomba la kunyunyizia.
โข Matokeo mazuri yanaweza kupatikana endapo mbolea imechanganywa vizuri na kunyunyiziwa wakati hakuna upepo.
โข Unatakiwa kunyunyizia mbolea wakati wa asubuhi au jioni wakati hakuna joto na upepo ukiwa umepungua… soma zaidi
Tags๐ kilimonaufugaji
Ili upate matokeo mazuri wakati wa kunyunyiza mbolea ya maji unatakiwa kufuata vigezo vifuatavyo:
โข Inashauriwa kutumia mbolea iliyochanganywa vizuri ili kuepukana na kuunguza mimea.
โข Unatakiwa kutingisha vizuri mbolea yako ya maji kabla ya kunyunyiza. Chembechembe ndogo ambazo hazikuyeyuka zinaweza kuziba mdomo wa bomba la kunyunyizia.
โข Matokeo mazuri yanaweza kupatikana endapo mbolea imechanganywa vizuri na kunyunyiziwa wakati hakuna upepo.
โข Unatakiwa kunyunyizia mbolea wakati wa asubuhi au jioni wakati hakuna joto na upepo ukiwa umepungua… soma zaidi
Jinsi ya kuandaa Pilau ya sosi ya soya, nyama na mboga
Tags๐ mapishinalishe
Nyama isiyokuwa na mifupa - 1 ยฝ Lb(ratili)
Mchele wa Basmati (rowanisha) - 3 Magi
Vitunguu maji - 2
Mchanganyiko wa mboga za barafu - 1 Magi
(karoti, mahindi, njegere)
Pilipili Mbichi - 3
Pilipili mboga kijani na nyekundu - 1
Pilipili manga - ยฝ kijiko cha chai
Chumvi - Kiasi
Sosi ya soya (soy sauce) - 5 Vijiko vya supu
Kitunguu saumu(thomu/galic) na tangawizi iliyosagwa - 1 Kijiko cha supu
Mchanganyiko wa bizari (garam masala) - 1 Kijiko cha supu
Kotmiri iliyokatwa - ยฝ Kikombe
Mafuta ya kukaangia - Kiasi.. soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Nyama isiyokuwa na mifupa - 1 ยฝ Lb(ratili)
Mchele wa Basmati (rowanisha) - 3 Magi
Vitunguu maji - 2
Mchanganyiko wa mboga za barafu - 1 Magi
(karoti, mahindi, njegere)
Pilipili Mbichi - 3
Pilipili mboga kijani na nyekundu - 1
Pilipili manga - ยฝ kijiko cha chai
Chumvi - Kiasi
Sosi ya soya (soy sauce) - 5 Vijiko vya supu
Kitunguu saumu(thomu/galic) na tangawizi iliyosagwa - 1 Kijiko cha supu
Mchanganyiko wa bizari (garam masala) - 1 Kijiko cha supu
Kotmiri iliyokatwa - ยฝ Kikombe
Mafuta ya kukaangia - Kiasi.. soma zaidi
Mapishi ya Tambi za sukari
Tags๐ mapishinalishe
Tambi (spaghetti 1/2 ya packet)
Mafuta (vegetable oil)
Sukari (sugar 1/2 kikombe cha chai)
Hiliki (cardamon 1/2 kijiko cha chai)
Chumvi (salt 1/2 kijiko cha chai)
Tui la nazi (coconut oil 1 kikombe cha chai)
Maji kiasi.. soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Tambi (spaghetti 1/2 ya packet)
Mafuta (vegetable oil)
Sukari (sugar 1/2 kikombe cha chai)
Hiliki (cardamon 1/2 kijiko cha chai)
Chumvi (salt 1/2 kijiko cha chai)
Tui la nazi (coconut oil 1 kikombe cha chai)
Maji kiasi.. soma zaidi
Jinsi ya kupika pilau
Tags๐ ( ) 1 1/2 3 5 20 240 au basmati bay binzali cardamom cha chai cloves cumin dakika gram hiriki) jinsi karafuu kata katika kidogo kijiko kikubwa kitunguu kitunguu) kubwa kupika kwa leaf loweka mahitaji majani maji manjano) mbegu mchele mrefu nyanya nyembamba onions pilau powder seed) spring swaumu tagi: turmeric unga wa wowote ya za wiki
MAHITAJI
240 gram za mchele wa basmati au mchele wowote mrefu, Loweka katika maji kwa dakika 20
1 kijiko kidogo cha chai mbegu za binzali nyembamba ( cumin seed)
1 kitunguu kikubwa kata kata
1 Nyanya kubwa kata kata
3 spring onions ( majani ya kitunguu)
1 bay leaf.. soma zaidi
Tags๐ ( ) 1 1/2 3 5 20 240 au basmati bay binzali cardamom cha chai cloves cumin dakika gram hiriki) jinsi karafuu kata katika kidogo kijiko kikubwa kitunguu kitunguu) kubwa kupika kwa leaf loweka mahitaji majani maji manjano) mbegu mchele mrefu nyanya nyembamba onions pilau powder seed) spring swaumu tagi: turmeric unga wa wowote ya za wiki
MAHITAJI
240 gram za mchele wa basmati au mchele wowote mrefu, Loweka katika maji kwa dakika 20
1 kijiko kidogo cha chai mbegu za binzali nyembamba ( cumin seed)
1 kitunguu kikubwa kata kata
1 Nyanya kubwa kata kata
3 spring onions ( majani ya kitunguu)
1 bay leaf.. soma zaidi
Ulaji mzuri hupunguza uwezekano wa kupata shinikizo la chini la damu
Tags๐ tibu-shinikizo-chini mapishinalishe
Ni mhimu kula mlo kamili kila siku. Kula lishe duni kunaweza kupelekea kuzalishwa kwa damu isiyo na afya inayoleta shinikizo la damu… soma zaidi
Tags๐ tibu-shinikizo-chini mapishinalishe
Ni mhimu kula mlo kamili kila siku. Kula lishe duni kunaweza kupelekea kuzalishwa kwa damu isiyo na afya inayoleta shinikizo la damu… soma zaidi
Habari na historia ya mji wa Korogwe
Tags๐ habari
Korogwe ni moja ya wilaya inayopatikana mkoani Tanga nchini Tanzania. Mji huu kihistoria ni moja ya miji ambayo ilijiwekea historia kubwa sana. Hauwezi kuzungunzia habari au historia ya Wazigua bila kutaja mji huu wa Korogwe. Kama tulivyokwisha fafanua kwenye makala ya Wazigua na mgawanyiko wao. Na miongoni mwa Wazigua waliogawanyika, tuliwazungumzia Waluvu… soma zaidi
Tags๐ habari
Korogwe ni moja ya wilaya inayopatikana mkoani Tanga nchini Tanzania. Mji huu kihistoria ni moja ya miji ambayo ilijiwekea historia kubwa sana. Hauwezi kuzungunzia habari au historia ya Wazigua bila kutaja mji huu wa Korogwe. Kama tulivyokwisha fafanua kwenye makala ya Wazigua na mgawanyiko wao. Na miongoni mwa Wazigua waliogawanyika, tuliwazungumzia Waluvu… soma zaidi
Kurasa zote
Tags๐ chochote fundisha hapa huku husika jifunze jinsi karibu kirahisi. kiswahili kuandika kufundisha kuhariri kujua kurahisisha kurahisishia kusaidia kuweka kwenye mada mahali majadiliano mambo mbalimbali mtandao na ni nia pamoja tagi: tukiruhusu tunatamani ujifunze upatikanaji utafutaji wa watumiaji ya yetu zote wiki
< %%title_linked%%
[**[http://jinsi.wikidot.com/wiki:hhome soma zaidi**
Tags๐ chochote fundisha hapa huku husika jifunze jinsi karibu kirahisi. kiswahili kuandika kufundisha kuhariri kujua kurahisisha kurahisishia kusaidia kuweka kwenye mada mahali majadiliano mambo mbalimbali mtandao na ni nia pamoja tagi: tukiruhusu tunatamani ujifunze upatikanaji utafutaji wa watumiaji ya yetu zote wiki
< %%title_linked%%
[**[http://jinsi.wikidot.com/wiki:hhome soma zaidi**
HADITH: Hadithi ya kusisimua
Tags๐ mahusiano
Nilianza kujisikia vibaya hata kabla ya kufunga ndoa. Nakumbuka miezi mitatu kabla wakati tukiwa katika maandalizi maandalizi ya Bashiri kuja nyumbani kuleta mahari miguu ilianza kuuma kiasi cha kushindwa hata kutembea. Mama ainikanda mara kwa mara na ilikuwa ikivimba na kutoa maji kama vile jasho lakini la baridi… soma zaidi
Tags๐ mahusiano
Nilianza kujisikia vibaya hata kabla ya kufunga ndoa. Nakumbuka miezi mitatu kabla wakati tukiwa katika maandalizi maandalizi ya Bashiri kuja nyumbani kuleta mahari miguu ilianza kuuma kiasi cha kushindwa hata kutembea. Mama ainikanda mara kwa mara na ilikuwa ikivimba na kutoa maji kama vile jasho lakini la baridi… soma zaidi
Upendo wa kweli hauna sababu!
Tags๐ mahusiano
Hivi Mpenzi Hebu Niambie umenipendea nini mimi"""…Hamna Swali linalonishangazaga kama hili,halafu wadada wanalipenda balaa..Na sijui huwa wanataka tuwajibuje kwa mfano…Je niseme macho…Inye gwedegwede…Miguu yako yenye tege kama Boban..Nywele zako ndefu ama??Mbona mnatuforce tuwe waongo jamani?We Unapendwa inatosha shukuru Mungu unapendwa yaishe…. soma zaidi
Tags๐ mahusiano
Hivi Mpenzi Hebu Niambie umenipendea nini mimi"""…Hamna Swali linalonishangazaga kama hili,halafu wadada wanalipenda balaa..Na sijui huwa wanataka tuwajibuje kwa mfano…Je niseme macho…Inye gwedegwede…Miguu yako yenye tege kama Boban..Nywele zako ndefu ama??Mbona mnatuforce tuwe waongo jamani?We Unapendwa inatosha shukuru Mungu unapendwa yaishe…. soma zaidi
Msaada juu ya ukeketaji
Tags๐ akawa ambaye anaunga anaweza anayeaminika au desturi dini familia jamii juu katika kiongozi kukusaidia kumaliza kumtafuta kumwamini. kuzungumza kwamba la mawazo mbaya mkono mlezi msaada msaidizi msimamo mtu muuguzi mwalimu mwaminifu. mwenye mzazi mzima na ni pia rafiki tatizo ukajaribu ukamtafuta ukeketaji ukeketaji. unaweza wa wako wazazi ya yako wiki
Unaweza ukajaribu kuzungumza na wazazi wako kwamba
ukeketaji ni desturi mbaya, na pia unaweza ukamtafuta mtu
wa kukusaidia ambaye ni mwaminifu. Msaidizi anaweza akawa
rafiki, mlezi, mzazi au mtu mzima katika familia ambaye
unaweza kumwamini. Katika jamii yako unaweza kumtafuta
mwalimu anayeaminika, kiongozi wa dini au muuguzi ambaye
anaunga mkono mawazo yako na mwenye msimamo wa kumaliza
tatizo la ukeketaji… soma zaidi
Tags๐ akawa ambaye anaunga anaweza anayeaminika au desturi dini familia jamii juu katika kiongozi kukusaidia kumaliza kumtafuta kumwamini. kuzungumza kwamba la mawazo mbaya mkono mlezi msaada msaidizi msimamo mtu muuguzi mwalimu mwaminifu. mwenye mzazi mzima na ni pia rafiki tatizo ukajaribu ukamtafuta ukeketaji ukeketaji. unaweza wa wako wazazi ya yako wiki
Unaweza ukajaribu kuzungumza na wazazi wako kwamba
ukeketaji ni desturi mbaya, na pia unaweza ukamtafuta mtu
wa kukusaidia ambaye ni mwaminifu. Msaidizi anaweza akawa
rafiki, mlezi, mzazi au mtu mzima katika familia ambaye
unaweza kumwamini. Katika jamii yako unaweza kumtafuta
mwalimu anayeaminika, kiongozi wa dini au muuguzi ambaye
anaunga mkono mawazo yako na mwenye msimamo wa kumaliza
tatizo la ukeketaji… soma zaidi
MALEZI YA WATOTO
Tags๐ 1.8. adamu akamfanyia akasema alipomumba biblia haki hawa haya hili kama karibu katika kiafya kiakili kimwili. kiroho kitabia kulea kwa la linavyofundisha maana maisha malezi mkaongezeke. msaidizi mtoto mungu mungu. mwanzilishi mwanzo na namna ndie neno ni nini somo tagi: takatifu. tuliopewa tutaangalia tutajifunza uangalizi utangulizi wa wajibu wake watoto watoto. wazazi wetu ya yaani yatagusa zaeni wiki
Malezi ni uangalizi wa karibu wa wazazi kwa mtoto wake kiroho, kiafya, kiakili, kitabia, Mungu ndie mwanzilishi wa watoto. Mungu alipomumba adamu, akamfanyia msaidizi wake Hawa, akasema zaeni mkaongezeke. Mwanzo 1.8.
Katika somo hili tutajifunza namna ya kulea watoto wetu tuliopewa na Mungu. Malezi haya yatagusa maisha ya watoto ya kiroho na kimwili. Tutaangalia haki na wajibu wa mtoto kama Neno la Mungu linavyofundisha, yaani Biblia Takatifu. Kwa njia ya somo hili wazazi tunaweza kuutimiza mpango wa Mungu kupitia malezi bora ya kiroho na kimwili kwa watoto wetu, kwa kufanya kazi pamoja na Mungu. Katika Rum. 8:28 tunasoma: โNasi twajua ya kuwa katika mambo yote Mungu hufanya kazi pamoja na wale wampendao katika kuwapatia memaโฆโฆโฆโ Hii ni pamoja na kazi ya kulea watoto; Mungu hufanya kazi hiyo pamoja na sisi… soma zaidi
Tags๐ 1.8. adamu akamfanyia akasema alipomumba biblia haki hawa haya hili kama karibu katika kiafya kiakili kimwili. kiroho kitabia kulea kwa la linavyofundisha maana maisha malezi mkaongezeke. msaidizi mtoto mungu mungu. mwanzilishi mwanzo na namna ndie neno ni nini somo tagi: takatifu. tuliopewa tutaangalia tutajifunza uangalizi utangulizi wa wajibu wake watoto watoto. wazazi wetu ya yaani yatagusa zaeni wiki
Malezi ni uangalizi wa karibu wa wazazi kwa mtoto wake kiroho, kiafya, kiakili, kitabia, Mungu ndie mwanzilishi wa watoto. Mungu alipomumba adamu, akamfanyia msaidizi wake Hawa, akasema zaeni mkaongezeke. Mwanzo 1.8.
Katika somo hili tutajifunza namna ya kulea watoto wetu tuliopewa na Mungu. Malezi haya yatagusa maisha ya watoto ya kiroho na kimwili. Tutaangalia haki na wajibu wa mtoto kama Neno la Mungu linavyofundisha, yaani Biblia Takatifu. Kwa njia ya somo hili wazazi tunaweza kuutimiza mpango wa Mungu kupitia malezi bora ya kiroho na kimwili kwa watoto wetu, kwa kufanya kazi pamoja na Mungu. Katika Rum. 8:28 tunasoma: โNasi twajua ya kuwa katika mambo yote Mungu hufanya kazi pamoja na wale wampendao katika kuwapatia memaโฆโฆโฆโ Hii ni pamoja na kazi ya kulea watoto; Mungu hufanya kazi hiyo pamoja na sisi… soma zaidi
Kupima lishe au afya ya mtu
Tags๐ mapishinalishe
Hiki ni kipimo kinachotumika kuangalia uwiano wa urefu na uzito wa mtu, ni muhimu kuchukua vipimo kwa usahihi.Uwiano wa uzito katika Kilogramu na urefu katika mita hupatikana kwa kutumia kanuni ifuatayo:.. soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Hiki ni kipimo kinachotumika kuangalia uwiano wa urefu na uzito wa mtu, ni muhimu kuchukua vipimo kwa usahihi.Uwiano wa uzito katika Kilogramu na urefu katika mita hupatikana kwa kutumia kanuni ifuatayo:.. soma zaidi
Faida za kula karanga mbichi
Tags๐ afya mapishinalishe
Karanga ni muhimu sana katika afya ya mwili wa binadamu. Kiukweli karanga siyo chakula cha kupuuziwa iwapo utajua faida zake kama nitakavyokujuza leo katika makala haya… soma zaidi
Tags๐ afya mapishinalishe
Karanga ni muhimu sana katika afya ya mwili wa binadamu. Kiukweli karanga siyo chakula cha kupuuziwa iwapo utajua faida zake kama nitakavyokujuza leo katika makala haya… soma zaidi
Jinsi wadada wapumbavu wanavyokuwa
Tags๐ habari
Kuanzia miaka 14 hadi 18 anachezeana na wanafunzi wenzake huko hajui lolote kuhusu shule yeye ni kuoga na kupunguza skirts zake tu, mrembo wa shule, kichwani bila bila yaani tupu ( utupu ) anadhani alizaliwa vizuri zaidi ya wengine… soma zaidi
Tags๐ habari
Kuanzia miaka 14 hadi 18 anachezeana na wanafunzi wenzake huko hajui lolote kuhusu shule yeye ni kuoga na kupunguza skirts zake tu, mrembo wa shule, kichwani bila bila yaani tupu ( utupu ) anadhani alizaliwa vizuri zaidi ya wengine… soma zaidi
Je, mwanamke anajisikiaje akijamiiana na mwanaume aliyevaa kondomu au aliye โpekuโ?
Tags๐ akijamiiana aliye aliyevaa anajisikiaje asiyevaa au gani hatuwezi husikia je kondomu kusema mwanamke mwanaume na raha โpekuโ? wiki
Hatuwezi kusema mwanamke husikia raha gani akijamiiana na mwanaume aliyevaa kondomu au na mwanaume asiyevaa kondomu. Kila mtu ana upendeleo wake, lakini jambo la msingi katika kujamiiana ni hisia, hali ya kuelewana katika mapenzi na kiwango cha msisimko.
Wanawake wengine wanapendelea kujamiiana na mwanaume aliyevaa kondomu, kwa sababu hofu ya kupata mimba au kuambukizwa magonjwa ya zinaa haipo. Wanawake wengine wanapendelea kujamiiana bila kondomu. Lakini, pamoja na hatari ya kupata mimba, siku hizi kujamiiana bila kondomu kuna hatari ya kuambukizana magonjwa ya zinaa na hasa Virusi vya UKIMWI na UKIMWI. Kwa hiyo ni vizuri zaidi kutomwamini mtu yeyote mpaka mpimwe kliniki wote wawili kuwa ni wazima wa afya na kuendelea kuwa waaminifu wote wawili… soma zaidi
Tags๐ akijamiiana aliye aliyevaa anajisikiaje asiyevaa au gani hatuwezi husikia je kondomu kusema mwanamke mwanaume na raha โpekuโ? wiki
Hatuwezi kusema mwanamke husikia raha gani akijamiiana na mwanaume aliyevaa kondomu au na mwanaume asiyevaa kondomu. Kila mtu ana upendeleo wake, lakini jambo la msingi katika kujamiiana ni hisia, hali ya kuelewana katika mapenzi na kiwango cha msisimko.
Wanawake wengine wanapendelea kujamiiana na mwanaume aliyevaa kondomu, kwa sababu hofu ya kupata mimba au kuambukizwa magonjwa ya zinaa haipo. Wanawake wengine wanapendelea kujamiiana bila kondomu. Lakini, pamoja na hatari ya kupata mimba, siku hizi kujamiiana bila kondomu kuna hatari ya kuambukizana magonjwa ya zinaa na hasa Virusi vya UKIMWI na UKIMWI. Kwa hiyo ni vizuri zaidi kutomwamini mtu yeyote mpaka mpimwe kliniki wote wawili kuwa ni wazima wa afya na kuendelea kuwa waaminifu wote wawili… soma zaidi
Jinsi ya kulisha mbuzi wa maziwa
Tags๐ : aina basi chakula hali hii hivyo hula huwazuia jinsi katika kila kilicho kitakachotengeneza kuambukizwa kufahamu kula kulisha kumpa kuwa kuwalisha kwa kwenye mahali maziwa mbuzi mchanga minyoo muhimu muhimu: na ndicho ni o palipo sababu safi tagi: unachomlisha usiwaruhusu wa wako wanaopatikana ya wiki
Jinsi Ya Kuwalisha Mbuzi Wa Maziwa
Ni muhimu kufahamu kuwa chakula unachomlisha mbuzi wako ndicho kitakachotengeneza maziwa hivyo basi ni muhimu:.. soma zaidi
Tags๐ : aina basi chakula hali hii hivyo hula huwazuia jinsi katika kila kilicho kitakachotengeneza kuambukizwa kufahamu kula kulisha kumpa kuwa kuwalisha kwa kwenye mahali maziwa mbuzi mchanga minyoo muhimu muhimu: na ndicho ni o palipo sababu safi tagi: unachomlisha usiwaruhusu wa wako wanaopatikana ya wiki
Jinsi Ya Kuwalisha Mbuzi Wa Maziwa
Ni muhimu kufahamu kuwa chakula unachomlisha mbuzi wako ndicho kitakachotengeneza maziwa hivyo basi ni muhimu:.. soma zaidi
UBEBESHAJI WA MICHE YA MIKOROSHO
Tags๐ wiki
Ubebeshaji miche ya mikorosho ni moja ya mbinu muhimu katika uendelezaji wa zao la korosho kwa sababu ni teknolojia pekee inayohakikisha usahihi wa viwango vya uzalishaji wa aina ya mkorosho uliopandwa.
Kwa kutumia mbegu, huwezi kuwa na uhakika na uzalishaji wa aina ya mbegu ulioitumia kwa sababu kuna uwezekano mkubwa wa mbegu kubadilika tabia na kuwa tofauti na tabia ya mti mama.
Teknolojia ya ubebeshaji inamwezesha mkulima kutabiri mavuno na ubora wa korosho shambani mwake kama ukubwa wa korosho, sura yake, rangi, uzito na sifa zingine kulingana na mti mama… soma zaidi
Tags๐ wiki
Ubebeshaji miche ya mikorosho ni moja ya mbinu muhimu katika uendelezaji wa zao la korosho kwa sababu ni teknolojia pekee inayohakikisha usahihi wa viwango vya uzalishaji wa aina ya mkorosho uliopandwa.
Kwa kutumia mbegu, huwezi kuwa na uhakika na uzalishaji wa aina ya mbegu ulioitumia kwa sababu kuna uwezekano mkubwa wa mbegu kubadilika tabia na kuwa tofauti na tabia ya mti mama.
Teknolojia ya ubebeshaji inamwezesha mkulima kutabiri mavuno na ubora wa korosho shambani mwake kama ukubwa wa korosho, sura yake, rangi, uzito na sifa zingine kulingana na mti mama… soma zaidi
Mapishi ya viazi mbatata Vya Nazi Kwa Nyama Ya Ng'ombe
Tags๐ mapishinalishe
Mbatata / viazi - 2 kilo.. soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Mbatata / viazi - 2 kilo.. soma zaidi
Ujumbe kwa wadada
Tags๐ mahusiano
1. Ngono haimfanyi mwanaume asikuache, hata ukukuruke vipi, jikwatue kiasi gani kama hajaona quality za kuwa mke atakuacha tu.
2. Mwanaume anaekupata kwa vile alitumia pesa zake kwako hatakaa na wewe milele. Wanaume halisi hawawezi wakatoka na wanawake feki wanaopenda pesa. Ukibahatika sana atakufanya daraja la pili yaani mchepuko!.. soma zaidi
Tags๐ mahusiano
1. Ngono haimfanyi mwanaume asikuache, hata ukukuruke vipi, jikwatue kiasi gani kama hajaona quality za kuwa mke atakuacha tu.
2. Mwanaume anaekupata kwa vile alitumia pesa zake kwako hatakaa na wewe milele. Wanaume halisi hawawezi wakatoka na wanawake feki wanaopenda pesa. Ukibahatika sana atakufanya daraja la pili yaani mchepuko!.. soma zaidi
Je, mimi ni msichana Albino ninaweza kupata mimba kama nikijamiiana mara moja tu?
Tags๐ albino ana anaweza au bila gani inapokuja je kama kujali kujamiiana kupata kwa kwenye la mara mimba mimba. mimi moja msichana na ndiyo ngozi ngozi. ni nikijamiiana ninaweza rangi suala tu tu? ualbino ulemavu uwezekano wa wanafanana wanaoishi wasichana wasio weupe weusi wote ya wiki
Ndiyo msichana anaweza kupata mimba kwa kujamiiana mara
moja tu bila kujali ana rangi gani ya ngozi. Wasichana weupe,
weusi na wanaoishi na ualbino au wasio na ulemavu wa ngozi
wanafanana wote inapokuja kwenye suala la uwezekano wa
kupata mimba. Kinachobainisha/ kinachosababisha upatikanaji
wa mimba ni wakati tendo la kujamiiana linapofanywa na hatua
ya mzunguko wa hedhi. Kama yai lililopevuka kwa ajili ya
kurutubishwa litakuwa tayari basi ujauzito utatokea mara tu
baada ya mbegu ya mwanaume kuingia, (wakati wa kujamiiana).
Ujauzito unaweza kutokea hata kama msichana alikuwa bado
bikira na ni mara yake ya kwanza kujamiiana… soma zaidi
Tags๐ albino ana anaweza au bila gani inapokuja je kama kujali kujamiiana kupata kwa kwenye la mara mimba mimba. mimi moja msichana na ndiyo ngozi ngozi. ni nikijamiiana ninaweza rangi suala tu tu? ualbino ulemavu uwezekano wa wanafanana wanaoishi wasichana wasio weupe weusi wote ya wiki
Ndiyo msichana anaweza kupata mimba kwa kujamiiana mara
moja tu bila kujali ana rangi gani ya ngozi. Wasichana weupe,
weusi na wanaoishi na ualbino au wasio na ulemavu wa ngozi
wanafanana wote inapokuja kwenye suala la uwezekano wa
kupata mimba. Kinachobainisha/ kinachosababisha upatikanaji
wa mimba ni wakati tendo la kujamiiana linapofanywa na hatua
ya mzunguko wa hedhi. Kama yai lililopevuka kwa ajili ya
kurutubishwa litakuwa tayari basi ujauzito utatokea mara tu
baada ya mbegu ya mwanaume kuingia, (wakati wa kujamiiana).
Ujauzito unaweza kutokea hata kama msichana alikuwa bado
bikira na ni mara yake ya kwanza kujamiiana… soma zaidi
Vitu (6) sita usivyotakiwa kufanya kabla ya kulala
Tags๐ mahusiano
Saa ya mkononi ina madhara iwapo
utaivaa kwa muda mrefu,
wanasayansi
wanashauri sio sahihi kulala ukiwa
umevaa saa mkononi… soma zaidi
Tags๐ mahusiano
Saa ya mkononi ina madhara iwapo
utaivaa kwa muda mrefu,
wanasayansi
wanashauri sio sahihi kulala ukiwa
umevaa saa mkononi… soma zaidi
UMUHIMU WA BAADHI YA MATUNDA KWA MWILI WA BINADAMU
Tags๐ wiki
Makala hii inaeleza umuhimu wa matunda mbalimbali… soma zaidi
Tags๐ wiki
Makala hii inaeleza umuhimu wa matunda mbalimbali… soma zaidi
METHALI MIA SITA NA KUMI ZA KISWAHILI (610)
Tags๐ (610) 1. 2. 3. 4. 5. 6. 7. 8. 9. aanguaye aangukapo abebwaye adhabu adui afadhali ahadi aijuae asiye deni firauna. guu. huanguliwa. hujikaza. huvunjika kaburi kiswahili kuliko kumi la maiti. methali mia mkuu mnyanyue. mpende. mtu mtu. musa na ni sikia sita tagi: wa ya za wiki
METHALI MIA SITA NA KUMI (610)
1. Aanguaye huanguliwa.
2. Asiye sikia la mkuu, huvunjika guu.
3. Abebwaye hujikaza.
4. Adhabu ya kaburi aijuae maiti.
5. Adui aangukapo, mnyanyue.
6. Adui mpende.
7. Adui wa mtu ni mtu.
8. Afadhali ya Musa kuliko ya Firauna.
9. Ahadi ni deni.
10. Ajidhaniaye amesimama, aangalie asianguke.
11. Akiba haiozi.
12. Akili ni mali.
13. Akili ni nywele kila mtu ana zake.
14. Akili nyingi huondowa maarifa.
15. Akutukanae hakuchagulii tusi.
16. Akipenda chongo huita kengeza.
17. Akufaae kwa dhiki, ndiye rafiki.
18. Akufanyiaye ubaya, mlipe wema.
19. Akupaye kisogo si mwenzio.
20. Akutendaye mtende, mche asiyekutenda.
21. Alisifuye jua, limeuangaza.
22. Aliye juu msubiri chini.
23. Aliye kando, haangukiwi na mti.
24. Aliye kupa wewe kiti (kibao) ndiye aliye nipa mimi kumbi.
25. Aliye kutwika, ndiye atakaye kutua.
26. Akufukuzae hakwambii toka.
27. Aliyekupa mkeka ndiye aliyenipa kumbesa.
28. Amani haipatikani mpaka kwa ncha ya upanga.
29. Ana hasira za mkizi.
30. Anayekuja pasi na hodi, huondoka bila ya kuaga.
31. Angurumapo simba, mcheza ni nani?
32. Aninyimaye mbazi kanipunguzia mashuzi.
33. Apewaye ndiye aongezwaye.
34. Anaejipiga mwenyewe, halii.
35. Asifuye mvuwa imemnyea.
36. Asiye kubali kushindwa si mshindani.
37. Asiye kujua, hakuthamini.
38. Asiye kuwapo na lake halipo.
39. Asiye lelewa na mamae hulelewa na ulimwengu.
40. Asiye na mengi, ana machache.
41. Asiye uliza, hanalo ajifunzalo.
42. Asiyejua maana, haambiwi maana.
43. Atangaye na jua hujuwa.
44. Atangazaye mirimo, si mwana wa ruwari (Liwali).
45. Atekaye maji mtoni hatukani mamba.
46. Avumaye baharini papa kumbe wengi wapo.
47. Baada ya dhiki faraja.
48. Bahari hailindwi.
49. Bamba na waume ni bamba, hakuna bamba la mume.
50. Bandu bandu huisha gogo… soma zaidi
Tags๐ (610) 1. 2. 3. 4. 5. 6. 7. 8. 9. aanguaye aangukapo abebwaye adhabu adui afadhali ahadi aijuae asiye deni firauna. guu. huanguliwa. hujikaza. huvunjika kaburi kiswahili kuliko kumi la maiti. methali mia mkuu mnyanyue. mpende. mtu mtu. musa na ni sikia sita tagi: wa ya za wiki
METHALI MIA SITA NA KUMI (610)
1. Aanguaye huanguliwa.
2. Asiye sikia la mkuu, huvunjika guu.
3. Abebwaye hujikaza.
4. Adhabu ya kaburi aijuae maiti.
5. Adui aangukapo, mnyanyue.
6. Adui mpende.
7. Adui wa mtu ni mtu.
8. Afadhali ya Musa kuliko ya Firauna.
9. Ahadi ni deni.
10. Ajidhaniaye amesimama, aangalie asianguke.
11. Akiba haiozi.
12. Akili ni mali.
13. Akili ni nywele kila mtu ana zake.
14. Akili nyingi huondowa maarifa.
15. Akutukanae hakuchagulii tusi.
16. Akipenda chongo huita kengeza.
17. Akufaae kwa dhiki, ndiye rafiki.
18. Akufanyiaye ubaya, mlipe wema.
19. Akupaye kisogo si mwenzio.
20. Akutendaye mtende, mche asiyekutenda.
21. Alisifuye jua, limeuangaza.
22. Aliye juu msubiri chini.
23. Aliye kando, haangukiwi na mti.
24. Aliye kupa wewe kiti (kibao) ndiye aliye nipa mimi kumbi.
25. Aliye kutwika, ndiye atakaye kutua.
26. Akufukuzae hakwambii toka.
27. Aliyekupa mkeka ndiye aliyenipa kumbesa.
28. Amani haipatikani mpaka kwa ncha ya upanga.
29. Ana hasira za mkizi.
30. Anayekuja pasi na hodi, huondoka bila ya kuaga.
31. Angurumapo simba, mcheza ni nani?
32. Aninyimaye mbazi kanipunguzia mashuzi.
33. Apewaye ndiye aongezwaye.
34. Anaejipiga mwenyewe, halii.
35. Asifuye mvuwa imemnyea.
36. Asiye kubali kushindwa si mshindani.
37. Asiye kujua, hakuthamini.
38. Asiye kuwapo na lake halipo.
39. Asiye lelewa na mamae hulelewa na ulimwengu.
40. Asiye na mengi, ana machache.
41. Asiye uliza, hanalo ajifunzalo.
42. Asiyejua maana, haambiwi maana.
43. Atangaye na jua hujuwa.
44. Atangazaye mirimo, si mwana wa ruwari (Liwali).
45. Atekaye maji mtoni hatukani mamba.
46. Avumaye baharini papa kumbe wengi wapo.
47. Baada ya dhiki faraja.
48. Bahari hailindwi.
49. Bamba na waume ni bamba, hakuna bamba la mume.
50. Bandu bandu huisha gogo… soma zaidi
Jinsi ya kuepuka kunuka mdomo
Tags๐ mapishinalishe
JINSI YA KUEPUKA KUNUKA MDOMO
MUUNGWANA BLOG / 3 hours ago.. soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
JINSI YA KUEPUKA KUNUKA MDOMO
MUUNGWANA BLOG / 3 hours ago.. soma zaidi
Madhara ya kisukari kwa nguvu za kiume
Tags๐ afya mapishinalishe
Kulingana na baadhi ya chunguzi zilizofanywa na wanasayansi asilimia 60 โ 70 ya wanaume hupoteza nguvu za kiume kutokana na ugonjwa wa kisukari… soma zaidi
Tags๐ afya mapishinalishe
Kulingana na baadhi ya chunguzi zilizofanywa na wanasayansi asilimia 60 โ 70 ya wanaume hupoteza nguvu za kiume kutokana na ugonjwa wa kisukari… soma zaidi
Magonjwa ya zinaa yanavyoenea
Tags๐ hivyo. huambukizwa husababishwa kimwili kukutana kwa magonjwa mtu mwenye na vijidudu vya ya yanavyoenea zinaa wiki
Magonjwa ya zinaa husababishwa na vijidudu vya magonjwa na huambukizwa kwa kukutana kimwili na mtu mwenye vijidudu hivyo.
Katika Tanzania magonjwa haya yameenea sana haswa kwa vijana.. Hivyo kama una wasiwasi wewe au mpenzi uliyekutana naye kimwili kuwa na ugonjwa kama huo, muhimu mwende kupimwa. Magonjwa hayo yasipotibiwa kikamilifu yanaweza kuleta madhara makubwa. Magonjwa ya zinaa mara nyingi yanasababisha ugumba… soma zaidi
Tags๐ hivyo. huambukizwa husababishwa kimwili kukutana kwa magonjwa mtu mwenye na vijidudu vya ya yanavyoenea zinaa wiki
Magonjwa ya zinaa husababishwa na vijidudu vya magonjwa na huambukizwa kwa kukutana kimwili na mtu mwenye vijidudu hivyo.
Katika Tanzania magonjwa haya yameenea sana haswa kwa vijana.. Hivyo kama una wasiwasi wewe au mpenzi uliyekutana naye kimwili kuwa na ugonjwa kama huo, muhimu mwende kupimwa. Magonjwa hayo yasipotibiwa kikamilifu yanaweza kuleta madhara makubwa. Magonjwa ya zinaa mara nyingi yanasababisha ugumba… soma zaidi
Mahaba kwa wanawake wa siku hizi
Tags๐ mahusiano
Wanawake wengi siku hizi hawajui au hawataki kuonesha mahaba
Nimefanya kautafiti kangu kadogo nimegundua wanawake wengi siku hizi hawaonyeshi mahaba yani kwa ujumla hawako "Romantic". Wanawake wengi siku hizi akipata mwanaume anaona amepata mtu wa kumsaidia shida zake kwa hiyo hata akiwa ndani ya mahusiano anafikiria zaidi kutatuliwa shida zake kuliko mahusiano yenyewe… soma zaidi
Tags๐ mahusiano
Wanawake wengi siku hizi hawajui au hawataki kuonesha mahaba
Nimefanya kautafiti kangu kadogo nimegundua wanawake wengi siku hizi hawaonyeshi mahaba yani kwa ujumla hawako "Romantic". Wanawake wengi siku hizi akipata mwanaume anaona amepata mtu wa kumsaidia shida zake kwa hiyo hata akiwa ndani ya mahusiano anafikiria zaidi kutatuliwa shida zake kuliko mahusiano yenyewe… soma zaidi