VIDEOS-HOTS
This is the Redirect module that redirects the browser directly to the "http://www.ackyshine.com/videos" page.
VIDEOS-HOTS
By, Melkisedeck Shine.
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Ukisikia ulofa ndio huu wa huyu, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Angalia hii familia ya mazombi wanapiga misele town, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Hapa nani kawezwa zaidi, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Video kali ya vituko vya Mkude Simba, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ ajali gari. Category ๐videos,: ajali gari, Ajali za magari za kutisha, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ ajali vichekesho. Category ๐videos,: ajali vichekesho, Utani mwingine mbaya, ona mwenzio kilichomkuta, kaishia kupigwa risasi, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ michezo pikipiki. Category ๐videos,: michezo pikipiki, Mashindano ya pikipiki kwenye maji, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ mbwa vichekesho. Category ๐videos,: mbwa vichekesho, Huyu ana sura mbaya, cheki anavyokula sasa, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Angalia huyu bonge anavyocheza mziki, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Angalia huyu mwanamke alichokifanya sasa, kawa kama mtoto, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ wanyama. Category ๐videos,: wanyama, Video kali ya wanyama wakipigana, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ michezo vichekesho. Category ๐videos,: michezo vichekesho, Hawa wataalamu wa kucheza mziki wa dansi, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ gari maajabu vichekesho. Category ๐videos,: gari maajabu vichekesho, MAAJABU: Hili gari ni kiboko, angalia lilivyobeba watu wengi, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ maajabu wanyama. Category ๐videos,: maajabu wanyama, Wanyama wenye akili ya kufundishwa, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ mbwa vichekesho. Category ๐videos,: mbwa vichekesho, Mbwa wakiwa kwenye mapozi yao ka watu vile, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ faru wanyama. Category ๐videos,: faru wanyama, Angalia huyi faru alivyolifanya hili gari, ungekuwa ndio wewe upo ndani ya gari ungefanyaje?, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ gari michezo. Category ๐videos,: gari michezo, Mashindano ya magari ya hatari, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ maajabu simba wanyama. Category ๐videos,: maajabu simba wanyama, Hawa watu wanafuga simba kama kuku, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ maajabu vichekesho. Category ๐videos,: maajabu vichekesho, HATARI: Mrembo anaingizwa kwenye tenki lililojazwa nyoka, angalia anachofanya sasa, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Jinsi Wasichana Kutoka maeneo mbalimbali wanavyokula Ice cream, ๐Angalia video hapa
.
.
Endelea kuperuzi;-๐
๐ฌ VIDEOS-BOMBAโ
๐ฌ VIDEOS-MPYAโ
๐ฌ VIDEOS-ZA-KUCHEKESHAโ
๐ฌ VIDEOS-ZA-BURUDANIโ
๐ฌ VIDEOS-TUUโ
๐ฌ VIDEOS-MOTOMOTOโ
๐ฌ VIDEOS-KALI-LEOโ
๐ฌ VIDEOS-KALI-SANAโ
๐ฌ VIDEOS-KALIโ
๐ฌ Hapa nani kawezwa zaidiโ
๐ฌ Mtaalamu wa kuruka vikwazoโ
๐ฌ VIDEO-KUBWAโ
Mambo usiyoyajua kuhusu ugonjwa wa Pumu
Tags๐ mapishinalishe
Asthma /pumu ni ugonjwa sugu ambao huathiri njia ya hewa ambazo huingiza na kutoa hewa katika mapafu, pia hufanya kuta za ndani ya njia ya hewa kuvimba na hivyo hupunguza kiasi cha hewa kinachoingia na kutoka ktk mapafu, Hali hii husababisha mgonjwa kutoa mlio kama wa filimbi/mluzi wakati wa kupumua, kifua kubana, kushindwa kupumua vizuri na kukohoa sana, watu wa pumu huwa na dalil hizo nyakat za usiku na asubuhi sana pia ugonjwa huu huwaathiri watu wa Rika zote ingawaje Mara nying huwaathiri watoto kwa sababu huanza utoton na hivyo takriban MILION 6 ya watoto wanaumwa pumu na watu takriban 255,000 hufa kila mwaka kwa ugonjwa huu… soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Asthma /pumu ni ugonjwa sugu ambao huathiri njia ya hewa ambazo huingiza na kutoa hewa katika mapafu, pia hufanya kuta za ndani ya njia ya hewa kuvimba na hivyo hupunguza kiasi cha hewa kinachoingia na kutoka ktk mapafu, Hali hii husababisha mgonjwa kutoa mlio kama wa filimbi/mluzi wakati wa kupumua, kifua kubana, kushindwa kupumua vizuri na kukohoa sana, watu wa pumu huwa na dalil hizo nyakat za usiku na asubuhi sana pia ugonjwa huu huwaathiri watu wa Rika zote ingawaje Mara nying huwaathiri watoto kwa sababu huanza utoton na hivyo takriban MILION 6 ya watoto wanaumwa pumu na watu takriban 255,000 hufa kila mwaka kwa ugonjwa huu… soma zaidi
Ulaji mzuri hupunguza uwezekano wa kupata shinikizo la chini la damu
Tags๐ tibu-shinikizo-chini mapishinalishe
Ni mhimu kula mlo kamili kila siku. Kula lishe duni kunaweza kupelekea kuzalishwa kwa damu isiyo na afya inayoleta shinikizo la damu… soma zaidi
Tags๐ tibu-shinikizo-chini mapishinalishe
Ni mhimu kula mlo kamili kila siku. Kula lishe duni kunaweza kupelekea kuzalishwa kwa damu isiyo na afya inayoleta shinikizo la damu… soma zaidi
Tatizo la maumivu wakati na baada ya kufanya mapenzi
Tags๐ afya mapishinalishe
Wakati wa kufanya tendo la ndoa wapo baadhi ya watu hupatwa na maumivu wakati au baada ya kushiriki tendo, Maumivu haya yaweza kuwa;- Wakati tu uume unaingia,
Unapoingiza kitu chochote hata kidole, Wakati uume ukiwa ndani na Maumivu ya kupita (throbbing pain) yanayodumu masaa kadhaa baada ya tendo… soma zaidi
Tags๐ afya mapishinalishe
Wakati wa kufanya tendo la ndoa wapo baadhi ya watu hupatwa na maumivu wakati au baada ya kushiriki tendo, Maumivu haya yaweza kuwa;- Wakati tu uume unaingia,
Unapoingiza kitu chochote hata kidole, Wakati uume ukiwa ndani na Maumivu ya kupita (throbbing pain) yanayodumu masaa kadhaa baada ya tendo… soma zaidi
Mambo ya kuzingatia unapokua umewekwa chini ya ulinzi na polisi
Tags๐ sayansinatekinolojia
IMEANDALIWA NA MAWAKILI… soma zaidi
Tags๐ sayansinatekinolojia
IMEANDALIWA NA MAWAKILI… soma zaidi
MALEZI YA WATOTO
Tags๐ 1.8. adamu akamfanyia akasema alipomumba biblia haki hawa haya hili kama karibu katika kiafya kiakili kimwili. kiroho kitabia kulea kwa la linavyofundisha maana maisha malezi mkaongezeke. msaidizi mtoto mungu mungu. mwanzilishi mwanzo na namna ndie neno ni nini somo tagi: takatifu. tuliopewa tutaangalia tutajifunza uangalizi utangulizi wa wajibu wake watoto watoto. wazazi wetu ya yaani yatagusa zaeni wiki
Malezi ni uangalizi wa karibu wa wazazi kwa mtoto wake kiroho, kiafya, kiakili, kitabia, Mungu ndie mwanzilishi wa watoto. Mungu alipomumba adamu, akamfanyia msaidizi wake Hawa, akasema zaeni mkaongezeke. Mwanzo 1.8.
Katika somo hili tutajifunza namna ya kulea watoto wetu tuliopewa na Mungu. Malezi haya yatagusa maisha ya watoto ya kiroho na kimwili. Tutaangalia haki na wajibu wa mtoto kama Neno la Mungu linavyofundisha, yaani Biblia Takatifu. Kwa njia ya somo hili wazazi tunaweza kuutimiza mpango wa Mungu kupitia malezi bora ya kiroho na kimwili kwa watoto wetu, kwa kufanya kazi pamoja na Mungu. Katika Rum. 8:28 tunasoma: โNasi twajua ya kuwa katika mambo yote Mungu hufanya kazi pamoja na wale wampendao katika kuwapatia memaโฆโฆโฆโ Hii ni pamoja na kazi ya kulea watoto; Mungu hufanya kazi hiyo pamoja na sisi… soma zaidi
Tags๐ 1.8. adamu akamfanyia akasema alipomumba biblia haki hawa haya hili kama karibu katika kiafya kiakili kimwili. kiroho kitabia kulea kwa la linavyofundisha maana maisha malezi mkaongezeke. msaidizi mtoto mungu mungu. mwanzilishi mwanzo na namna ndie neno ni nini somo tagi: takatifu. tuliopewa tutaangalia tutajifunza uangalizi utangulizi wa wajibu wake watoto watoto. wazazi wetu ya yaani yatagusa zaeni wiki
Malezi ni uangalizi wa karibu wa wazazi kwa mtoto wake kiroho, kiafya, kiakili, kitabia, Mungu ndie mwanzilishi wa watoto. Mungu alipomumba adamu, akamfanyia msaidizi wake Hawa, akasema zaeni mkaongezeke. Mwanzo 1.8.
Katika somo hili tutajifunza namna ya kulea watoto wetu tuliopewa na Mungu. Malezi haya yatagusa maisha ya watoto ya kiroho na kimwili. Tutaangalia haki na wajibu wa mtoto kama Neno la Mungu linavyofundisha, yaani Biblia Takatifu. Kwa njia ya somo hili wazazi tunaweza kuutimiza mpango wa Mungu kupitia malezi bora ya kiroho na kimwili kwa watoto wetu, kwa kufanya kazi pamoja na Mungu. Katika Rum. 8:28 tunasoma: โNasi twajua ya kuwa katika mambo yote Mungu hufanya kazi pamoja na wale wampendao katika kuwapatia memaโฆโฆโฆโ Hii ni pamoja na kazi ya kulea watoto; Mungu hufanya kazi hiyo pamoja na sisi… soma zaidi
Jinsi ilivyo hatari kumfunga mbuzi kamba shingoni
Tags๐ bidii bora dhahiri dhahiri. hari hatari hawazingatii hiyo ilivyo jinsi kamba kanuni kazi kumfunga kutokana kuwa makubwa matumaini mbuzi mifugo mzuri na ni pamoja pia sana shingoni tagi: ufugaji utunzaji uzalishaji wa wafugaji wamekuwa wana wengi ya yao yao. za zao. wiki
Ni dhahiri kuwa wafugaji wengi wana bidii sana na kuwa na matumaini makubwa kutokana na kazi zao. Hari ya kuwa na uzalishaji mzuri kutokana na mifugo yao pia ni dhahiri… soma zaidi
Tags๐ bidii bora dhahiri dhahiri. hari hatari hawazingatii hiyo ilivyo jinsi kamba kanuni kazi kumfunga kutokana kuwa makubwa matumaini mbuzi mifugo mzuri na ni pamoja pia sana shingoni tagi: ufugaji utunzaji uzalishaji wa wafugaji wamekuwa wana wengi ya yao yao. za zao. wiki
Ni dhahiri kuwa wafugaji wengi wana bidii sana na kuwa na matumaini makubwa kutokana na kazi zao. Hari ya kuwa na uzalishaji mzuri kutokana na mifugo yao pia ni dhahiri… soma zaidi
Mambo 5 ya muhimu kuzingatia kuhusu mahali unapotaka kuweka mizinga ya nyuki
Tags๐ kilimonaufugaji
Ukitaka kujua kuwa eneo unalotaka kuweka mizinga ya nyuki ni sahihi unatakiwa kuzingatia yafuatayo:.. soma zaidi
Tags๐ kilimonaufugaji
Ukitaka kujua kuwa eneo unalotaka kuweka mizinga ya nyuki ni sahihi unatakiwa kuzingatia yafuatayo:.. soma zaidi
Vyakula vinavyoongoza kuongeza akili kwenye ubongo
Tags๐ mapishinalishe
BILA shaka ubongo ni miongoni mwa viungo muhimu vya binadamu lakini ni watu wachache sana wanaoutilia maanani. Ubongo ndiyo kiungo kinachohusika na utendaji kazi wote wa mwili na ndiyo unaowezesha mwili kuishi maisha ya furaha au karaha… soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
BILA shaka ubongo ni miongoni mwa viungo muhimu vya binadamu lakini ni watu wachache sana wanaoutilia maanani. Ubongo ndiyo kiungo kinachohusika na utendaji kazi wote wa mwili na ndiyo unaowezesha mwili kuishi maisha ya furaha au karaha… soma zaidi
Kwa nini watu wanaotumia dawa za kulevya hukonda?
Tags๐ wiki
Dawa za kulevya huharibu ufanyaji kaza wa kawaida wa mfumo wa mwili hasa tumbo na utumbo wa watumiaji
hushindwa kufyonza virutubisho vidogo kama vile
vitamini, madini kutoka kwenye chakula na kwenda kwenye mfumo wa damu. Hiki ndicho kinachowafanya wakonde. Isitoshe, hupunguza uwezo wa mwili kujikinga na maradhi na hivyo huuweka mwili katika hatari ya kuambukizwa na magonjwa likiwemo gonjwa hatari la UKIMWI… soma zaidi
Tags๐ wiki
Dawa za kulevya huharibu ufanyaji kaza wa kawaida wa mfumo wa mwili hasa tumbo na utumbo wa watumiaji
hushindwa kufyonza virutubisho vidogo kama vile
vitamini, madini kutoka kwenye chakula na kwenda kwenye mfumo wa damu. Hiki ndicho kinachowafanya wakonde. Isitoshe, hupunguza uwezo wa mwili kujikinga na maradhi na hivyo huuweka mwili katika hatari ya kuambukizwa na magonjwa likiwemo gonjwa hatari la UKIMWI… soma zaidi
Jinsi ya kutibu chunusi kwa Siki ya tufaa
Tags๐ kutibu-chunusi-kiasili mapishinalishe
Siki ya tufaa (Apple cider vinegar) ni moja kati ya dawa zinazojulikana katika kutibu chunusi ahsante kwa uwezo wake wa kurudishia tindikali katika ngozi. Bakteria wabaya, mafuta na uchafu mwingine wowote utaondoka juu ya ngozi yako bila kupenda ukitumia dawa hii… soma zaidi
Tags๐ kutibu-chunusi-kiasili mapishinalishe
Siki ya tufaa (Apple cider vinegar) ni moja kati ya dawa zinazojulikana katika kutibu chunusi ahsante kwa uwezo wake wa kurudishia tindikali katika ngozi. Bakteria wabaya, mafuta na uchafu mwingine wowote utaondoka juu ya ngozi yako bila kupenda ukitumia dawa hii… soma zaidi
Jinsi ya kupika Mkate wa sinia
Tags๐ mapishinalishe
Unga wa mchele (rice flour 2 vikombe vya chai)
Sukari (sugar 3/4 ya kikombe cha chai)
Hamira (dried yeast 3/4 kijiko cha chakula)
Hiliki (cardamon powder 1/2 kijiko cha chai)
Ute wa yai 1(egg white)
Tui la nazi (coconut milk kikombe 1 na 1/2 cha chai)
Mafuta (vegetable oil).. soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Unga wa mchele (rice flour 2 vikombe vya chai)
Sukari (sugar 3/4 ya kikombe cha chai)
Hamira (dried yeast 3/4 kijiko cha chakula)
Hiliki (cardamon powder 1/2 kijiko cha chai)
Ute wa yai 1(egg white)
Tui la nazi (coconut milk kikombe 1 na 1/2 cha chai)
Mafuta (vegetable oil).. soma zaidi
Je, mtu anaweza kuambukizwa virusi vya UKIMWI na UKIMWI iwapo atavaliana nguo na mtu mwenye Virusi vya UKIMWI na UKIMWI?
Tags๐ wiki
Hapana, Virusi vya UKIMWI na UKIMWI hauambukizwi kwa kuvaliana nguo na mgonjwa, kwa sababu vijidudu vya UKIMWI vinakufa baada ya muda mfupi vikiwa hewani. Hata hivyo, kufuatana na kanuni za usafi, ni vizuri zaidi kuvaa nguo zilizofuliwa na kupigwa pasi… soma zaidi
Tags๐ wiki
Hapana, Virusi vya UKIMWI na UKIMWI hauambukizwi kwa kuvaliana nguo na mgonjwa, kwa sababu vijidudu vya UKIMWI vinakufa baada ya muda mfupi vikiwa hewani. Hata hivyo, kufuatana na kanuni za usafi, ni vizuri zaidi kuvaa nguo zilizofuliwa na kupigwa pasi… soma zaidi
Inatokeaje, katika baadhi ya mazingira baba anakataa kuwa mtoto si wake?
Tags๐ akimlaumu amekuwa ana anakataa anapomuona baadhi baba fulani inatokeaje katika kuwa kwamba mahusiano mama mazingira mtoto mzungu. na ngono ngozi nyeupe si wa wake wake? ya wiki
Katika mazingira fulani, baba anapomuona mtoto ana ngozi
nyeupe anakataa ya kwamba mtoto si wake akimlaumu mama wa
mtoto kuwa amekuwa na mahusiano ya ngono na mzungu. Huu
ni upuuzi kwa sababu kila mtu anajua kuwa watoto waliozaliwa
kutoka familia za watu weusi na wazungu siyo Albino kwa mfano
Rais wa Marekani Obama ni mtoto wa mama mzungu na baba
mweusi… soma zaidi
Tags๐ akimlaumu amekuwa ana anakataa anapomuona baadhi baba fulani inatokeaje katika kuwa kwamba mahusiano mama mazingira mtoto mzungu. na ngono ngozi nyeupe si wa wake wake? ya wiki
Katika mazingira fulani, baba anapomuona mtoto ana ngozi
nyeupe anakataa ya kwamba mtoto si wake akimlaumu mama wa
mtoto kuwa amekuwa na mahusiano ya ngono na mzungu. Huu
ni upuuzi kwa sababu kila mtu anajua kuwa watoto waliozaliwa
kutoka familia za watu weusi na wazungu siyo Albino kwa mfano
Rais wa Marekani Obama ni mtoto wa mama mzungu na baba
mweusi… soma zaidi
Jinsi ya kupika kisamvu bila nazi
Tags๐ mapishinalishe
Kisamvu ni aina ya mboga ya majani inayopatikana kwa wingi na kwa urahisi katika mikoa takriban yote nchini Tanzania.
Pia aina hii ya mboga hupikwa katika mapishi ya aina mbalimbali kulingana na mahitaji ya mpishi… soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Kisamvu ni aina ya mboga ya majani inayopatikana kwa wingi na kwa urahisi katika mikoa takriban yote nchini Tanzania.
Pia aina hii ya mboga hupikwa katika mapishi ya aina mbalimbali kulingana na mahitaji ya mpishi… soma zaidi
Ukeketaji ni nini?
Tags๐ au baadhi hufanyika huu jamii kabisa. katika kike. kisimi kuondolewa kutahiriwa kwa maisha mashavu miezi msichana mtoto mwanamke. mwanzo mwingine na ndani ndiyo ni nini? nje sehemu uekeketaji uke ukeketaji umri uzazi viungo vya wa wakati ya yaani yanakatwa za wiki
Katika baadhi za jamii viungo vya uzazi vya nje vya msichana,
yaani kisimi au sehemu ya ndani na nje ya mashavu ya uke
yanakatwa na kuondolewa kabisa. Huu ndiyo ukeketaji au
kutahiriwa kwa mwanamke.
Wakati mwingine uekeketaji hufanyika katika umri wa miezi ya
mwanzo ya maisha ya mtoto wa kike. Mara kwa mara kutahiriwa
kwa wanawake hufanyika wakati msichana anapofikia utu uzima
au kuadhimisha na kuvuka kutoka utoto kuingia utu uzima.
Mara nyingine ukeketaji ni sehemu ya unyago na kuadhimia kwa
msichana kujifunza jinsi ya kuwa mtu mzima.
Kuna aina mbalimbali za ukeketaji:
1 Sehemu ya ngozi inayofunika kisimi huwa inaondolewa.
Mara nyingine kisimi au eneo lake hukatwa pia. Watu
wengi huita aina hii sunna.
2 Kisimi pamoja na sehemu za mashavu ya ndani
hutolewa.
3 Sehemu yote au baadhi ya viungo vya nje hutolewa na
uke hufungwa kwa kushona. Hii huacha sehemu ndogo
ya tundu ambapo mkojo na damu ya mwezi (hedhi)
hupita. Aina hii huitwa mfyato (Infibulation).
4 Aina yeyote ya kuchezea kwa lengo la kuharibu
sehemu yoyote ya viungo vya nje kama vile kutia vitu
vyenye madhara kwenye uke, kurefusha mashavu au
kisimi kwa kuvivuta au kutoboatoboa… soma zaidi
Tags๐ au baadhi hufanyika huu jamii kabisa. katika kike. kisimi kuondolewa kutahiriwa kwa maisha mashavu miezi msichana mtoto mwanamke. mwanzo mwingine na ndani ndiyo ni nini? nje sehemu uekeketaji uke ukeketaji umri uzazi viungo vya wa wakati ya yaani yanakatwa za wiki
Katika baadhi za jamii viungo vya uzazi vya nje vya msichana,
yaani kisimi au sehemu ya ndani na nje ya mashavu ya uke
yanakatwa na kuondolewa kabisa. Huu ndiyo ukeketaji au
kutahiriwa kwa mwanamke.
Wakati mwingine uekeketaji hufanyika katika umri wa miezi ya
mwanzo ya maisha ya mtoto wa kike. Mara kwa mara kutahiriwa
kwa wanawake hufanyika wakati msichana anapofikia utu uzima
au kuadhimisha na kuvuka kutoka utoto kuingia utu uzima.
Mara nyingine ukeketaji ni sehemu ya unyago na kuadhimia kwa
msichana kujifunza jinsi ya kuwa mtu mzima.
Kuna aina mbalimbali za ukeketaji:
1 Sehemu ya ngozi inayofunika kisimi huwa inaondolewa.
Mara nyingine kisimi au eneo lake hukatwa pia. Watu
wengi huita aina hii sunna.
2 Kisimi pamoja na sehemu za mashavu ya ndani
hutolewa.
3 Sehemu yote au baadhi ya viungo vya nje hutolewa na
uke hufungwa kwa kushona. Hii huacha sehemu ndogo
ya tundu ambapo mkojo na damu ya mwezi (hedhi)
hupita. Aina hii huitwa mfyato (Infibulation).
4 Aina yeyote ya kuchezea kwa lengo la kuharibu
sehemu yoyote ya viungo vya nje kama vile kutia vitu
vyenye madhara kwenye uke, kurefusha mashavu au
kisimi kwa kuvivuta au kutoboatoboa… soma zaidi
Kwa nini pombe na sigara bado zinatangazwa wakati zina madhara?
Tags๐ afya au bado biashara bidhaa faida hizi hizi. iamue ina inapata inatakiwa kati katika kibiashara kodi. kuamua kulinda kupitia kutangazwa kutokana kuuzwa kuwepo kuzalishwa kwa la? litokalo madhara? makampuni matangazo mgumu na nini pamoja pato pia pombe sababu serikali shinikizo sigara sigara. tumbaku unaipatia ushuru uuzaji viwanda wakati wake wakulima wanapata wanataka watu wauzaji wenye ya yanayotengeneza yenyewe za zina zinatangazwa zitangazwe wiki
Serikali inatakiwa iamue kuwepo kwa matangazo ya biashara
ya pombe na sigara au la? Serikali ina wakati mgumu katika
kuamua kati ya kulinda afya za watu na shinikizo litokalo
kwa wakulima pamoja na makampuni yanayotengeneza pombe
na sigara. Wenye viwanda na wauzaji wanataka bidhaa hizi
zitangazwe kibiashara kwa sababu wanapata pato kutokana na
kuzalishwa na kuuzwa kwa bidhaa hizi. Serikali yenyewe pia
inapata faida kutokana na kutangazwa kwa tumbaku na pombe
kwa sababu uuzaji wake unaipatia serikali ushuru kupitia kodi.
Nchini Tanzania serikali imeamua kuwa matangazo ya biashara
ya sigara yawe na onyo lisemalo,โUvutaji wa sigara ni hatari kwa
afya yakoโ. Hii inawajulisha wavutaji wa sigara kuhusu hatari
za uvutaji wa sigara na kuacha kila mtu ajiamulie mwenyewe… soma zaidi
Tags๐ afya au bado biashara bidhaa faida hizi hizi. iamue ina inapata inatakiwa kati katika kibiashara kodi. kuamua kulinda kupitia kutangazwa kutokana kuuzwa kuwepo kuzalishwa kwa la? litokalo madhara? makampuni matangazo mgumu na nini pamoja pato pia pombe sababu serikali shinikizo sigara sigara. tumbaku unaipatia ushuru uuzaji viwanda wakati wake wakulima wanapata wanataka watu wauzaji wenye ya yanayotengeneza yenyewe za zina zinatangazwa zitangazwe wiki
Serikali inatakiwa iamue kuwepo kwa matangazo ya biashara
ya pombe na sigara au la? Serikali ina wakati mgumu katika
kuamua kati ya kulinda afya za watu na shinikizo litokalo
kwa wakulima pamoja na makampuni yanayotengeneza pombe
na sigara. Wenye viwanda na wauzaji wanataka bidhaa hizi
zitangazwe kibiashara kwa sababu wanapata pato kutokana na
kuzalishwa na kuuzwa kwa bidhaa hizi. Serikali yenyewe pia
inapata faida kutokana na kutangazwa kwa tumbaku na pombe
kwa sababu uuzaji wake unaipatia serikali ushuru kupitia kodi.
Nchini Tanzania serikali imeamua kuwa matangazo ya biashara
ya sigara yawe na onyo lisemalo,โUvutaji wa sigara ni hatari kwa
afya yakoโ. Hii inawajulisha wavutaji wa sigara kuhusu hatari
za uvutaji wa sigara na kuacha kila mtu ajiamulie mwenyewe… soma zaidi
Nikitafuta rafiki kwa nia ya kuoana (mchumba), je ni sifa gani niangalie kwa msichana/mvulana?
Tags๐ wiki
Kuchagua mchumba ni moja ya maamuzi ambayo kijana anahitaji kuyafanya kwa uangalifu mkubwa sana. Kwa sababu huyo ndiye atakayekuwa mwenzi wake wa maisha. Katika kuchagua mchumba kila mtu ana mawazo yake kuhusiana na kilicho muhimu kuzingatiwa. Mara nyingi mhemuko una nguvu zaidi kuliko uamuzi wa kimantiki.. soma zaidi
Tags๐ wiki
Kuchagua mchumba ni moja ya maamuzi ambayo kijana anahitaji kuyafanya kwa uangalifu mkubwa sana. Kwa sababu huyo ndiye atakayekuwa mwenzi wake wa maisha. Katika kuchagua mchumba kila mtu ana mawazo yake kuhusiana na kilicho muhimu kuzingatiwa. Mara nyingi mhemuko una nguvu zaidi kuliko uamuzi wa kimantiki.. soma zaidi
Mapishi ya Wali Mweupe Kwa Mchuzi Wa Kuku Wa Balti
Tags๐ mapishinalishe
Kuku 1 mkate vipande vipande.. soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Kuku 1 mkate vipande vipande.. soma zaidi
Madhara yanayotokea kwa unyanyasaji wa jinsia kwa mtu
Tags๐ humuumiza jinsia kijinsia kimwili kupona. kwa mabaya madhara majaribio mara matatizo matendo moja mrefu mtoto mtu muda mwathiriwa mwathiriwa. mwili na nyingi ubakaji ujinsia ukeketaji una unyanyasaji wa wanawake ya yanamhusu yanayochukua yanayotokea wiki
Unyanyasaji wa ujinsia una matatizo mabaya ya kimwili na
yanayochukua muda mrefu kwa mwathiriwa kupona. Unyanyasaji
wa jinsia mara nyingi humuumiza mwathiriwa, matendo ya
ubakaji, majaribio ya ubakaji, unyanyasaji wa kijinsia kwa mtoto,
na ukeketaji kwa wanawake yanamhusu moja kwa moja mwili
wa mwathiriwa. Mwathiriwa anaweza kupata maumivu makali
wakati wa kitendo, viungo vyake vya uzazi akiwa mwanamume
au mwanamke kuna uwezekano ukapata majeraha wakati wa
ubakaji. Zaidi ya hayo mbakaji anaweza kumuumiza mwathiriwa
katika sehemu nyingie za mwili. Na jambo baya zaidi ukatili
wa kijinsia wakati mwingine unaweza kusababisha ulemavu wa
maisha na mara nyingine hata kifo cha mwathiriwa. Ubakaji
unaweza kusababisha mimba, na uenezaji wa magonjwa hatari
kama Virusi vya Ukimwi.
Watoto wanadhuriwa zaidi na vitendo vya ukatili wa ujinsia
katika miili yao kwa sababu ukubwa wa viungo vyao vya sehemu
za siri ni vidogo kuliko vile vya watu wazima.
Athari za kisaikolojia kwa mwathiriwa pia ni hatari sana. Uonevu
wa ujinsia kwa mwathirika unaweza kusababisha kuchanganyikiwa
na kupata kiwewe na hali ya hatari sana inayoweza kusababisha
mtu akapata kichaa katika miezi ya kwanza. Baada ya uonevu
wa ujinsia na hata baada ya miaka, mwathiriwa bado atakuwa
na kumbukumbu ya maumivu aliyopata na hivyo kukumbuka
katika akili yake. Waathiriwa wengi wa ubakaji wana matatizo
ya kutokuwa na uhusiano mzuri wa kujamiiana, kwani kila mara
atahusisha kujamiiana na alipobakwa. Ndiyo maana waathiriwa
wa ubakaji wanahitaji msaada, uelewa na uvumilivu toka kwa
wazazi wao, wenzi wao na marafiki… soma zaidi
Tags๐ humuumiza jinsia kijinsia kimwili kupona. kwa mabaya madhara majaribio mara matatizo matendo moja mrefu mtoto mtu muda mwathiriwa mwathiriwa. mwili na nyingi ubakaji ujinsia ukeketaji una unyanyasaji wa wanawake ya yanamhusu yanayochukua yanayotokea wiki
Unyanyasaji wa ujinsia una matatizo mabaya ya kimwili na
yanayochukua muda mrefu kwa mwathiriwa kupona. Unyanyasaji
wa jinsia mara nyingi humuumiza mwathiriwa, matendo ya
ubakaji, majaribio ya ubakaji, unyanyasaji wa kijinsia kwa mtoto,
na ukeketaji kwa wanawake yanamhusu moja kwa moja mwili
wa mwathiriwa. Mwathiriwa anaweza kupata maumivu makali
wakati wa kitendo, viungo vyake vya uzazi akiwa mwanamume
au mwanamke kuna uwezekano ukapata majeraha wakati wa
ubakaji. Zaidi ya hayo mbakaji anaweza kumuumiza mwathiriwa
katika sehemu nyingie za mwili. Na jambo baya zaidi ukatili
wa kijinsia wakati mwingine unaweza kusababisha ulemavu wa
maisha na mara nyingine hata kifo cha mwathiriwa. Ubakaji
unaweza kusababisha mimba, na uenezaji wa magonjwa hatari
kama Virusi vya Ukimwi.
Watoto wanadhuriwa zaidi na vitendo vya ukatili wa ujinsia
katika miili yao kwa sababu ukubwa wa viungo vyao vya sehemu
za siri ni vidogo kuliko vile vya watu wazima.
Athari za kisaikolojia kwa mwathiriwa pia ni hatari sana. Uonevu
wa ujinsia kwa mwathirika unaweza kusababisha kuchanganyikiwa
na kupata kiwewe na hali ya hatari sana inayoweza kusababisha
mtu akapata kichaa katika miezi ya kwanza. Baada ya uonevu
wa ujinsia na hata baada ya miaka, mwathiriwa bado atakuwa
na kumbukumbu ya maumivu aliyopata na hivyo kukumbuka
katika akili yake. Waathiriwa wengi wa ubakaji wana matatizo
ya kutokuwa na uhusiano mzuri wa kujamiiana, kwani kila mara
atahusisha kujamiiana na alipobakwa. Ndiyo maana waathiriwa
wa ubakaji wanahitaji msaada, uelewa na uvumilivu toka kwa
wazazi wao, wenzi wao na marafiki… soma zaidi
MAGONJWA YA NJIA YA MKOJO KWA MSICHANA, UTI KWA MSICHANA
Tags๐ 60% duniani figo habari hawana haya haya. hupata huwapata inakadiliwa kati kuanzia kumi kutosha kuwa kwa magonjwa mara matatizo mfumo mkojo msichana na ni njia rika tagi: takribani vichanga vikongwe. wa wanaopata wanaume wanawake wasichana watu wazima wengi ya yanayowasumbua za zaidi zote wiki
Magonjwa ya mfumo wa njia ya mkojo na figo ni kati ya magonjwa yanayowasumbua wanawake wa rika zote kuanzia vichanga, wasichana, wanawake watu wazima na vikongwe. Matatizo haya huwapata wanawake takribani mara kumi zaidi ya wanaume na inakadiliwa kuwa takribani 60% ya wanawake duniani hupata matatizo haya.
Wanawake wengi wanaopata matatizo haya ya njia ya mkojo, hawana habari za kutosha na sahihi juu ya kinga na vyanzo vya matatizo haya yanayowasumbua mamilioni ya wanawake duniani. Hii huwafanya wengi wachelewe kupata huduma za matibau haraka na kwa usahihi, jambo ambalo huambatana na athari nyingi za kiafya na kiuchumi kwa wanawake na familia zao… soma zaidi
Tags๐ 60% duniani figo habari hawana haya haya. hupata huwapata inakadiliwa kati kuanzia kumi kutosha kuwa kwa magonjwa mara matatizo mfumo mkojo msichana na ni njia rika tagi: takribani vichanga vikongwe. wa wanaopata wanaume wanawake wasichana watu wazima wengi ya yanayowasumbua za zaidi zote wiki
Magonjwa ya mfumo wa njia ya mkojo na figo ni kati ya magonjwa yanayowasumbua wanawake wa rika zote kuanzia vichanga, wasichana, wanawake watu wazima na vikongwe. Matatizo haya huwapata wanawake takribani mara kumi zaidi ya wanaume na inakadiliwa kuwa takribani 60% ya wanawake duniani hupata matatizo haya.
Wanawake wengi wanaopata matatizo haya ya njia ya mkojo, hawana habari za kutosha na sahihi juu ya kinga na vyanzo vya matatizo haya yanayowasumbua mamilioni ya wanawake duniani. Hii huwafanya wengi wachelewe kupata huduma za matibau haraka na kwa usahihi, jambo ambalo huambatana na athari nyingi za kiafya na kiuchumi kwa wanawake na familia zao… soma zaidi
Hofu inavyo tugharimu katika safari ya ujasiriamali na Jinsi ya kuiepuka
Tags๐ uchumi
Wengi wetu tunapenda Mafanikio, tunapenda kufika mbali tunapeda kuwa kama Mengi siku moja… soma zaidi
Tags๐ uchumi
Wengi wetu tunapenda Mafanikio, tunapenda kufika mbali tunapeda kuwa kama Mengi siku moja… soma zaidi
Jinsi ya Kulima karanga
Tags๐ (mashudu 1. 2. 3. ardhi binadamu bora cha chakula dodoma hili hustawi hutumika jinsi karanga katika kilimo kulima kurutubisha kusini kutoa kwa mafuta mafuta. majani) mashariki mazao mbali mikoa mojawapo morogoro. na na: nazo ni njia nyingine pamoja tagi: tanzania vile wanyama ya yanayotoa zaid zao wiki
Karanga ni mojawapo ya mazao yanayotoa mafuta. Katika Tanzania zao hili hustawi zaid katika mikoa ya Kusini Mashariki, Dodoma na Morogoro. Pamoja na kutoa mafuta vile vile zao hutumika kwa njia nyingine mbali mbali, nazo ni pamoja na:.. soma zaidi
Tags๐ (mashudu 1. 2. 3. ardhi binadamu bora cha chakula dodoma hili hustawi hutumika jinsi karanga katika kilimo kulima kurutubisha kusini kutoa kwa mafuta mafuta. majani) mashariki mazao mbali mikoa mojawapo morogoro. na na: nazo ni njia nyingine pamoja tagi: tanzania vile wanyama ya yanayotoa zaid zao wiki
Karanga ni mojawapo ya mazao yanayotoa mafuta. Katika Tanzania zao hili hustawi zaid katika mikoa ya Kusini Mashariki, Dodoma na Morogoro. Pamoja na kutoa mafuta vile vile zao hutumika kwa njia nyingine mbali mbali, nazo ni pamoja na:.. soma zaidi
MSICHANA NA UPUNGUFU WA KINGA MWILINI
Tags๐ 1980 afya bila binadamu cha hatari husaidia hutegemea katika kinga kiwango kugawanyika kupambana kupungukiwa kutokana maambukizo magonjwa. makundi makuu mawili mbalimbali. miaka msichana mwa mwanzoni mwili mwilini mwilini. na sababisha sababu ujio ukimwi unaweza upungufu vimelea vinavyo vinaweza virisi virusi vya vyanzo wa ya yaani yake wiki
Afya ya mwili wa binadamu hutegemea kiwango cha kinga mwilini. Kinga ya mwili husaidia mwili kupambana na vimelea hatari vinavyo sababisha magonjwa. Mwili wa binadamu unaweza kupungukiwa na kinga yake kutokana na sababu mbalimbali.
Kutokana na ujio wa virusi vya UKIMWI mwanzoni mwa miaka ya 1980, sababu ya vyanzo vya upungufu wa kinga mwilini vinaweza kugawanyika katika makundi makuu mawili yaani upungufu wa kinga mwilini kutokana na maambukizo ya virisi vya UKIMWI na upungufu wa kinga mwilini bila maambukizi ya virusi vya UKIMWI… soma zaidi
Tags๐ 1980 afya bila binadamu cha hatari husaidia hutegemea katika kinga kiwango kugawanyika kupambana kupungukiwa kutokana maambukizo magonjwa. makundi makuu mawili mbalimbali. miaka msichana mwa mwanzoni mwili mwilini mwilini. na sababisha sababu ujio ukimwi unaweza upungufu vimelea vinavyo vinaweza virisi virusi vya vyanzo wa ya yaani yake wiki
Afya ya mwili wa binadamu hutegemea kiwango cha kinga mwilini. Kinga ya mwili husaidia mwili kupambana na vimelea hatari vinavyo sababisha magonjwa. Mwili wa binadamu unaweza kupungukiwa na kinga yake kutokana na sababu mbalimbali.
Kutokana na ujio wa virusi vya UKIMWI mwanzoni mwa miaka ya 1980, sababu ya vyanzo vya upungufu wa kinga mwilini vinaweza kugawanyika katika makundi makuu mawili yaani upungufu wa kinga mwilini kutokana na maambukizo ya virisi vya UKIMWI na upungufu wa kinga mwilini bila maambukizi ya virusi vya UKIMWI… soma zaidi
Tafakari kwa Binti kabla ya kuolewa
Tags๐ mahusiano
Ukizungumza na wasichana au wanawake ambao hawajaolewa, unapozungumzia suala la Ndoa, kwa bahati mbaya sana wengi vichwani mwao inajengeka taswira ya harusi. Ukisema Ndoa yeye anawaza gauni jeupe (Shela) lenye mkia mrefu na maids wamelishika huku na huku. Anawaza suti ya mume wake, gari ya kifahari iliyopambwa, sijui wasindikizaji watoto pale mbele. Anawaza Ukumbini, baharini kupiga picha na mwisho usiku wa Honeymoon… soma zaidi
Tags๐ mahusiano
Ukizungumza na wasichana au wanawake ambao hawajaolewa, unapozungumzia suala la Ndoa, kwa bahati mbaya sana wengi vichwani mwao inajengeka taswira ya harusi. Ukisema Ndoa yeye anawaza gauni jeupe (Shela) lenye mkia mrefu na maids wamelishika huku na huku. Anawaza suti ya mume wake, gari ya kifahari iliyopambwa, sijui wasindikizaji watoto pale mbele. Anawaza Ukumbini, baharini kupiga picha na mwisho usiku wa Honeymoon… soma zaidi
SIMU YA MKONONI NA AFYA YA MSICHANA
Tags๐ (cell afya amepungukiwa anakuwa asipokuwa cha chombo duniani. halina haraka hilo imefikia itatumika kama katika kiasi kila kiungo kizuri kujifunza kukuza kwa kwamba leo maana mabara mahali maisha malengo mambo mapya mawasiliano mengine mjadala. mkononi msichana mtu muhimu mwanadamu mwili na ni phone) sehemu simu ubishi uchumi uhakika unaofaa urahibu vizuri wakati wake. wala ya yote za zimekuwa zimesababisha wiki
Simu za mkononi leo zimekuwa kama sehemu ya maisha ya kila mwanadamu katika mabara yote duniani. Imefikia mahali simu zimesababisha urahibu kiasi kwamba mtu asipokuwa na simu anakuwa kama amepungukiwa na kiungo muhimu cha mwili wake. Kama simu ya mkononi (cell phone) itatumika vizuri kwa malengo na kwa wakati unaofaa, ni chombo kizuri na cha uhakika kwa mawasiliano ya haraka, kujifunza mambo mapya, kukuza uchumi na mambo mengine ya maana na hilo halina ubishi wala mjadala.
Tatizo la simu za mkononi linakuja pale tunapoanza kuangalia athari za mionzi inayopenya mwilini kama matokeo ya matumizi ya simu hizi na athari nyingine za kiafya zitokanazo na matumizi ya muda mrefu ya simu pamoja na athari za kijamii zinazotokana na matumizi mabaya ya simu… soma zaidi
Tags๐ (cell afya amepungukiwa anakuwa asipokuwa cha chombo duniani. halina haraka hilo imefikia itatumika kama katika kiasi kila kiungo kizuri kujifunza kukuza kwa kwamba leo maana mabara mahali maisha malengo mambo mapya mawasiliano mengine mjadala. mkononi msichana mtu muhimu mwanadamu mwili na ni phone) sehemu simu ubishi uchumi uhakika unaofaa urahibu vizuri wakati wake. wala ya yote za zimekuwa zimesababisha wiki
Simu za mkononi leo zimekuwa kama sehemu ya maisha ya kila mwanadamu katika mabara yote duniani. Imefikia mahali simu zimesababisha urahibu kiasi kwamba mtu asipokuwa na simu anakuwa kama amepungukiwa na kiungo muhimu cha mwili wake. Kama simu ya mkononi (cell phone) itatumika vizuri kwa malengo na kwa wakati unaofaa, ni chombo kizuri na cha uhakika kwa mawasiliano ya haraka, kujifunza mambo mapya, kukuza uchumi na mambo mengine ya maana na hilo halina ubishi wala mjadala.
Tatizo la simu za mkononi linakuja pale tunapoanza kuangalia athari za mionzi inayopenya mwilini kama matokeo ya matumizi ya simu hizi na athari nyingine za kiafya zitokanazo na matumizi ya muda mrefu ya simu pamoja na athari za kijamii zinazotokana na matumizi mabaya ya simu… soma zaidi
Jinsi ya kufugakuku wa nyama
Tags๐ (2) (2). (broiler) *eneo 100 dogo. eneo huu jinsi katika kufugakuku kuku kwa la linalohitajika maana mbili mbili(2) mita moja(1). na ni nyama tagi: tija ufugaji upana urefu wa wenye ya wiki
UFUGAJI WA KUKU WA NYAMA (BROILER) 100 KATIKA ENEO LA MITA MBILI (2)… soma zaidi
Tags๐ (2) (2). (broiler) *eneo 100 dogo. eneo huu jinsi katika kufugakuku kuku kwa la linalohitajika maana mbili mbili(2) mita moja(1). na ni nyama tagi: tija ufugaji upana urefu wa wenye ya wiki
UFUGAJI WA KUKU WA NYAMA (BROILER) 100 KATIKA ENEO LA MITA MBILI (2)… soma zaidi
Ujinga tunaofanya na kusingizia mila zetu
Tags๐ habari
1- Tunamjali sana marehemu kuliko mgonjwa au mtu alie hai.. soma zaidi
Tags๐ habari
1- Tunamjali sana marehemu kuliko mgonjwa au mtu alie hai.. soma zaidi
Kwa nini kuna Watanzania wanaovuta bangi?
Tags๐ wiki
Sababu mojawapo ni kuwa bangi hulimwa hapa nchini na
hivyo hupatikana kwa urahisi. Bangi huuzwa kwa bei
nafuu kuliko dawa nyingine za kulevya. Vilevile, vijana
wengi huwaona wakubwa wao wakitumia na hii huwafanya waone kuvuta bangi ni kitu halali… soma zaidi
Tags๐ wiki
Sababu mojawapo ni kuwa bangi hulimwa hapa nchini na
hivyo hupatikana kwa urahisi. Bangi huuzwa kwa bei
nafuu kuliko dawa nyingine za kulevya. Vilevile, vijana
wengi huwaona wakubwa wao wakitumia na hii huwafanya waone kuvuta bangi ni kitu halali… soma zaidi
Jinsi ya kupika Pilau ya Nyama ya Kusaga Na Mboga Mchanganyiko
Tags๐ mapishinalishe
Mchele - 2 Mugs.. soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Mchele - 2 Mugs.. soma zaidi
madhara ya pombe kwa mama mjamzito
Tags๐ wiki
Na Liberatha Ruhikula: POMBE ni kinywaji kinachotumiwa na watu wa jinsia mbalimbali huku kinywaji hicho kikizuiliwa kuuzwa na kutumiwa kwa watoto chini ya miaka 18.
Kinywaji hiki kina madhara makubwa sana endapo kitatumiwa kwa wingi au kitatumiwa na mtu asiyestahili akiwemo mama mjamazito… soma zaidi
Tags๐ wiki
Na Liberatha Ruhikula: POMBE ni kinywaji kinachotumiwa na watu wa jinsia mbalimbali huku kinywaji hicho kikizuiliwa kuuzwa na kutumiwa kwa watoto chini ya miaka 18.
Kinywaji hiki kina madhara makubwa sana endapo kitatumiwa kwa wingi au kitatumiwa na mtu asiyestahili akiwemo mama mjamazito… soma zaidi
Kwa nini vijana wengine Albino wanaanza kujamiiana katika umri mdogo?
Tags๐ albino ambazo anasa baadhi hizi kama kati katika kijana kuanza kuchezea. kujamiiana kuna kuwa kwa mdogo. mdogo? mkononi na ni nini nyingi saa sababu simu umri ushindani vijana vile vile: vitu vya wa wanaanza wengine ya zinamfanya โข wiki
Kuna sababu nyingi ambazo zinamfanya kijana kuanza kujamiiana
katika umri mdogo. Baadhi ya sababu hizi ni kama vile:
โข Ushindani kati ya vijana wa kuwa na vitu vya anasa kama
vile simu ya mkononi, saa na vitu vya kuchezea. Ama kutaka
mahitaji ya pesa kwa ajili ya kulipa ada ya shule.
โข Shinikizo kutoka kwa rika wa kumfanya mtu ajiingize kwenye
kujamiiana. Shinikizo rika unakuwa na nguvu zaidi kwa
kijana Albino kwani yeye tayari anajiona ametengwa na
hivyo kushawishika zaidi katika mambo wanayofanya wengine
ili akubalike na wanarika hao.
โข Kwa kuamini kwamba njia halisi ya kuonyesha mapenzi ni kujamiiana
na pia kulazimika kujamiiana hata kama ni kinyume
na matakwa yake kwa mtazamo kuwa haya ndio mapenzi ya
kweli… soma zaidi
Tags๐ albino ambazo anasa baadhi hizi kama kati katika kijana kuanza kuchezea. kujamiiana kuna kuwa kwa mdogo. mdogo? mkononi na ni nini nyingi saa sababu simu umri ushindani vijana vile vile: vitu vya wa wanaanza wengine ya zinamfanya โข wiki
Kuna sababu nyingi ambazo zinamfanya kijana kuanza kujamiiana
katika umri mdogo. Baadhi ya sababu hizi ni kama vile:
โข Ushindani kati ya vijana wa kuwa na vitu vya anasa kama
vile simu ya mkononi, saa na vitu vya kuchezea. Ama kutaka
mahitaji ya pesa kwa ajili ya kulipa ada ya shule.
โข Shinikizo kutoka kwa rika wa kumfanya mtu ajiingize kwenye
kujamiiana. Shinikizo rika unakuwa na nguvu zaidi kwa
kijana Albino kwani yeye tayari anajiona ametengwa na
hivyo kushawishika zaidi katika mambo wanayofanya wengine
ili akubalike na wanarika hao.
โข Kwa kuamini kwamba njia halisi ya kuonyesha mapenzi ni kujamiiana
na pia kulazimika kujamiiana hata kama ni kinyume
na matakwa yake kwa mtazamo kuwa haya ndio mapenzi ya
kweli… soma zaidi
Jinsi ya kufuga vizuri
Tags๐ 20% 80% aina ambao fika hawajui huleta hupata inatokana jinsi katika kawaida kuanzia. kuanzisha kufuga kununua kupokea kutafuta kutoka kuwa kwa lakini mafanikio maombi matunzo. maziwa maziwa. mipango mwisho na ngโombe ngโombe. ni pa pesa tagi: thabiti tumekutana ufugaji uzalishaji vizuri wa wafugaji waliofanikiwa wanafahamu wanataka wanaweka wao wapi watu wengi ya wiki
Mipango thabiti huleta mafanikio katika ufugaji wa ngโombe wa maziwa. Wafugaji waliofanikiwa wanafahamu fika kuwa katika uzalishaji wa maziwa 20% inatokana na aina ya ngโombe na 80% matunzo… soma zaidi
Tags๐ 20% 80% aina ambao fika hawajui huleta hupata inatokana jinsi katika kawaida kuanzia. kuanzisha kufuga kununua kupokea kutafuta kutoka kuwa kwa lakini mafanikio maombi matunzo. maziwa maziwa. mipango mwisho na ngโombe ngโombe. ni pa pesa tagi: thabiti tumekutana ufugaji uzalishaji vizuri wa wafugaji waliofanikiwa wanafahamu wanataka wanaweka wao wapi watu wengi ya wiki
Mipango thabiti huleta mafanikio katika ufugaji wa ngโombe wa maziwa. Wafugaji waliofanikiwa wanafahamu fika kuwa katika uzalishaji wa maziwa 20% inatokana na aina ya ngโombe na 80% matunzo… soma zaidi
Jinsi ya kutibu chunusi kwa kutumia asali
Tags๐ kutibu-chunusi-kiasili mapishinalishe
Asali hasa asali mbichi ya asili ni dawa nzuri sana ya kutibu chunusi. Asali ni antibiotiki ya asili ambayo husaidia kupunguza ukubwa wa chunusi na maumivu ya chunusi… soma zaidi
Tags๐ kutibu-chunusi-kiasili mapishinalishe
Asali hasa asali mbichi ya asili ni dawa nzuri sana ya kutibu chunusi. Asali ni antibiotiki ya asili ambayo husaidia kupunguza ukubwa wa chunusi na maumivu ya chunusi… soma zaidi
Jinsi ya kuandaa Biriani Na Sosi Ya Nyama Ya Mbuzi
Tags๐ mapishinalishe
Nyama Ya Mbuzi - 1 Kilo.. soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Nyama Ya Mbuzi - 1 Kilo.. soma zaidi
JINSI YA KUTUNZA NA KUHIFADHI MAZIWA
Tags๐ wiki
Kwa kuwa maziwa yanaharibika haraka yakiachwa kwenye hali ya joto kwa muda mrefu, yanahitaji kuhifadhiwa kwenye baridi mara baada ya kukamuliwa. Baridi hupunguza kasi ya kuongezeka kwa bacteria waharibifu. Kama huna jokofu au chombo cha kupoza maziwa, hifadhi ndani ya chombo chenye maji baridi au zungushia gunia au blanketi bichi, lakini hakikisha kuwa chombo chenye maziwa kimefunikwa vizuri ili uchafu usiingie ndani.
1. Tumia vyombo vya metali na vilivyo safi kuhifadhia maziwa kila wakati.
2. Unapohamisha maziwa kutoka chombo kimoja kwenda chombo kingine, mimina badala ya kuchota. Kuchota kunasababisha kuingiza bakteria waharibifu wa maziwa.
3. Ikiwa unaumwa, usikamue wala usijishughulishe na kazi za maziwa. Pata matibabu hadi hapo daktari atakapokuruhusu kuendelea na shughuli zako… soma zaidi
Tags๐ wiki
Kwa kuwa maziwa yanaharibika haraka yakiachwa kwenye hali ya joto kwa muda mrefu, yanahitaji kuhifadhiwa kwenye baridi mara baada ya kukamuliwa. Baridi hupunguza kasi ya kuongezeka kwa bacteria waharibifu. Kama huna jokofu au chombo cha kupoza maziwa, hifadhi ndani ya chombo chenye maji baridi au zungushia gunia au blanketi bichi, lakini hakikisha kuwa chombo chenye maziwa kimefunikwa vizuri ili uchafu usiingie ndani.
1. Tumia vyombo vya metali na vilivyo safi kuhifadhia maziwa kila wakati.
2. Unapohamisha maziwa kutoka chombo kimoja kwenda chombo kingine, mimina badala ya kuchota. Kuchota kunasababisha kuingiza bakteria waharibifu wa maziwa.
3. Ikiwa unaumwa, usikamue wala usijishughulishe na kazi za maziwa. Pata matibabu hadi hapo daktari atakapokuruhusu kuendelea na shughuli zako… soma zaidi
Je, pombe inaweza kusababisha uitegemee?
Tags๐ aliyetawaliwa anapotaka atakuwa busara cha dalili huweza inaweza iwapo je kama kiwango kuacha kuinywa. kukufanya kunywa kusababisha kutetemeka maalumu mtu mwenye na ndiyo nikotini pombe uitegemee? ujiwekee upweke utakunywa wasiwasi. za wiki
Ndiyo, Kama nikotini, pombe huweza kukufanya mwenye busara
iwapo utakunywa, na ujiwekee kiwango maalumu cha kuinywa.
Mtu aliyetawaliwa na pombe anapotaka kuacha kunywa atakuwa
na dalili za upweke kama kutetemeka na wasiwasi… soma zaidi
Tags๐ aliyetawaliwa anapotaka atakuwa busara cha dalili huweza inaweza iwapo je kama kiwango kuacha kuinywa. kukufanya kunywa kusababisha kutetemeka maalumu mtu mwenye na ndiyo nikotini pombe uitegemee? ujiwekee upweke utakunywa wasiwasi. za wiki
Ndiyo, Kama nikotini, pombe huweza kukufanya mwenye busara
iwapo utakunywa, na ujiwekee kiwango maalumu cha kuinywa.
Mtu aliyetawaliwa na pombe anapotaka kuacha kunywa atakuwa
na dalili za upweke kama kutetemeka na wasiwasi… soma zaidi
Ukubwa wa uume si kigezo cha kumridhisha mpenzi wako
Tags๐ wiki
Utajuaje kuwa ni kubwa au ndogo? Obviously ni kwa kujipima….lakini wanaume wengi wanapenda au hata kujisifia kuwa wao ni wakubwa, wakidhani ni moja ya sifa au hitaji la muhimu la wanawake… soma zaidi
Tags๐ wiki
Utajuaje kuwa ni kubwa au ndogo? Obviously ni kwa kujipima….lakini wanaume wengi wanapenda au hata kujisifia kuwa wao ni wakubwa, wakidhani ni moja ya sifa au hitaji la muhimu la wanawake… soma zaidi
Kulima Korosho
Tags๐ aina inayohakikisha katika korosho kulima kwa la mbinu miche mikorosho mkorosho moja muhimu ni pekee sababu tagi: teknolojia ubebeshaji uendelezaji uliopandwa. usahihi utangulizi uzalishaji viwango vya wa ya zao wiki
Ubebeshaji miche ya mikorosho ni moja ya mbinu muhimu katika uendelezaji wa zao la korosho kwa sababu ni teknolojia pekee inayohakikisha usahihi wa viwango vya uzalishaji wa aina ya mkorosho uliopandwa… soma zaidi
Tags๐ aina inayohakikisha katika korosho kulima kwa la mbinu miche mikorosho mkorosho moja muhimu ni pekee sababu tagi: teknolojia ubebeshaji uendelezaji uliopandwa. usahihi utangulizi uzalishaji viwango vya wa ya zao wiki
Ubebeshaji miche ya mikorosho ni moja ya mbinu muhimu katika uendelezaji wa zao la korosho kwa sababu ni teknolojia pekee inayohakikisha usahihi wa viwango vya uzalishaji wa aina ya mkorosho uliopandwa… soma zaidi
JITAMBUE : Maisha yako ya kesho hayalingani na maisha yako ya jana, Anza sasa
Tags๐ uchumi
THERE IS NO FUTURE IN THE PAST. Ukitaka kufanikiwa usiangalie nyuma yako kunanini na ulishindwa mara ngapi. Siku zote kukaa Chini nakuanza kujuta kwa makosa uliofanya uko nyuma nikupoteza muda, huo muda Utumie kwa kupanga ya kesho… soma zaidi
Tags๐ uchumi
THERE IS NO FUTURE IN THE PAST. Ukitaka kufanikiwa usiangalie nyuma yako kunanini na ulishindwa mara ngapi. Siku zote kukaa Chini nakuanza kujuta kwa makosa uliofanya uko nyuma nikupoteza muda, huo muda Utumie kwa kupanga ya kesho… soma zaidi
Je, mwanamke ambaye ana hedhi kila mwezi, inawezekana kuwa mgumba?
Tags๐ wiki
Ndiyo, i inawezekana kwamba mwanamke anayepata hedhi yake kila mwezi akawa mgumba. Na vilevile i inawezekana kwamba mwanamke asiyepata hedhi kila mwezi siyo mgumba.
Ni kweli kwamba kuna uhusiano fulani kati ya hedhi na uwezo wa kupata mimba. Kupata hedhi kila mwezi i i inamaanisha kuwa mwanamke anao uwezi wa kutengeneza yai kila mwezi. Hata hivyo, siyo rahisi kuwa na uhakika i iwapo mirija ya kupitisha yai inaweza kulipitisha yai hilo kutoka kwenye kokwa hadi kwenye tumbo la uzazi. Kwa hiyo hata mwanamke ambaye anapata hedhi kila mwezi anaweza kuwa mgumba.
Ili mwanamke awe na uhakika kama ni mgumba au la, ni vyema akamwone daktari kwa ajili ya uchunguzi… soma zaidi
Tags๐ wiki
Ndiyo, i inawezekana kwamba mwanamke anayepata hedhi yake kila mwezi akawa mgumba. Na vilevile i inawezekana kwamba mwanamke asiyepata hedhi kila mwezi siyo mgumba.
Ni kweli kwamba kuna uhusiano fulani kati ya hedhi na uwezo wa kupata mimba. Kupata hedhi kila mwezi i i inamaanisha kuwa mwanamke anao uwezi wa kutengeneza yai kila mwezi. Hata hivyo, siyo rahisi kuwa na uhakika i iwapo mirija ya kupitisha yai inaweza kulipitisha yai hilo kutoka kwenye kokwa hadi kwenye tumbo la uzazi. Kwa hiyo hata mwanamke ambaye anapata hedhi kila mwezi anaweza kuwa mgumba.
Ili mwanamke awe na uhakika kama ni mgumba au la, ni vyema akamwone daktari kwa ajili ya uchunguzi… soma zaidi
Jinsi ya kuandaa viota vya kuku
Tags๐ ambapo anapotagia anaweza hao hii huliwa hutaga ili inamaanisha jinsi kama kuandaa kuangua kudhuriwa kuhatamia kuibwa. kuku kupata kuwa kuweza kuzingatia mahali mayai mengi muhimu mwingine na ni nyoka pamoja pia porini salama sana sehemu tagi: vifaranga. vile viota vya wakati wanyama wengineo. ya yaliyo wiki
Kuku anapotagia porini, mayai huliwa na wanyama kama vile nyoka na wengineo. Kuku pia anaweza kudhuriwa na wanyama hao na wakati mwingine kuibwa.
Tags๐ ambapo anapotagia anaweza hao hii huliwa hutaga ili inamaanisha jinsi kama kuandaa kuangua kudhuriwa kuhatamia kuibwa. kuku kupata kuwa kuweza kuzingatia mahali mayai mengi muhimu mwingine na ni nyoka pamoja pia porini salama sana sehemu tagi: vifaranga. vile viota vya wakati wanyama wengineo. ya yaliyo wiki
Kuku anapotagia porini, mayai huliwa na wanyama kama vile nyoka na wengineo. Kuku pia anaweza kudhuriwa na wanyama hao na wakati mwingine kuibwa.
Viota ni mahali ambapo kuku hutaga mayai, kuhatamia na kuangua vifaranga. Hii inamaanisha kuwa viota ni sehemu muhimu sana ya kuzingatia ili kuweza kupata mayai mengi yaliyo salama pamoja na vifaranga… soma zaidi
USIPITE BILA KUSOMA HII
Tags๐ mahusiano
Siku moja jioni katika mji flani, kulikuwa na basi likisafiri kutoka mji huo kuelekea mji mwingine. Lilikuwa ni basi kubwa na limejaa abiria. Wakati wakiendelea na safari, ghafla, mvua kubwa iliyoambatana na radi ikaanza kunyesha. Dereva hakuogopa, wala abiria, wakaendelea na safari. Mara wakati wanaenda, radi ikaanza kufuatilia gari. Kila wakienda, radi inapiga karibu na basi kana kwamba inalifuata basi. Likisimama, radi inapiga pembezoni mwa basi… soma zaidi
Tags๐ mahusiano
Siku moja jioni katika mji flani, kulikuwa na basi likisafiri kutoka mji huo kuelekea mji mwingine. Lilikuwa ni basi kubwa na limejaa abiria. Wakati wakiendelea na safari, ghafla, mvua kubwa iliyoambatana na radi ikaanza kunyesha. Dereva hakuogopa, wala abiria, wakaendelea na safari. Mara wakati wanaenda, radi ikaanza kufuatilia gari. Kila wakienda, radi inapiga karibu na basi kana kwamba inalifuata basi. Likisimama, radi inapiga pembezoni mwa basi… soma zaidi
Mapishi ya Chai ya maziwa, mandazi, uyoga na mayai
Tags๐ mapishinalishe
Mandazi (angalia jinsi ya kupika katika recipe ya mandazi ya nyuma)
Uyoga (mashroom kikombe 1 cha chai)
Mayai (eggs 4)
Hoho (greenpepper 1/4 ya hoho)
Nyanya (fresh tomato 1)
Kitunguu (onion 1/4 ya kitunguu)
Chumvi (salt)
Mafuta (vegetable oil)
Hiliki nzima (cardamon 4)
Masala ya chai (tea masala 1 kijiko cha chai)
Pilipili mtama iliyosagwa (ground black pepper 1/4 ya kijiko cha chai)
Maziwa (fresh milk 1 kikombe cha chai)
Majani ya chai (tea leaves)
Maji kiasi.
Sukari (sugar).. soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Mandazi (angalia jinsi ya kupika katika recipe ya mandazi ya nyuma)
Uyoga (mashroom kikombe 1 cha chai)
Mayai (eggs 4)
Hoho (greenpepper 1/4 ya hoho)
Nyanya (fresh tomato 1)
Kitunguu (onion 1/4 ya kitunguu)
Chumvi (salt)
Mafuta (vegetable oil)
Hiliki nzima (cardamon 4)
Masala ya chai (tea masala 1 kijiko cha chai)
Pilipili mtama iliyosagwa (ground black pepper 1/4 ya kijiko cha chai)
Maziwa (fresh milk 1 kikombe cha chai)
Majani ya chai (tea leaves)
Maji kiasi.
Sukari (sugar).. soma zaidi
Nikishatambua kwamba nina mimba, nifanye nini?
Tags๐ wiki
Ukishatambua kwamba una mimba kuna mambo mbalimbali tofauti ya kufanya. Kwanza kabisa mweleze mwenzi wako na mshauriane hatua zipi mchukue. Pia, kwa msichana mdogo lazima uwaeleze wazazi wako. Siyo rahisi kuwaambia wazazi, kwa sababu hawatafurahi kuhusu ujumbe huu. Lakini uhusiano mzuri na wazazi unaweza kuwasaidia sana katika kulea mimba na baadaye mtoto.
Kwa upande wa kiafya ni muhimu sana kuanza kuhudhuria kliniki au hospitali mapema, yaani kabla ya mimba kufikisha miezi mitatu. Hii huwawezesha wataalamu kukupima na kukupa ufafanuzi kuhusu afya yako na maendeleo ya mimba. Vilevile wanaweza kugundua matatizo kama yatakuwepo na kukutibu mapema. Kwa usalama wako na usalama wa mtoto hakikisha kuyafuata maelekezo ya wataalamu kila mara.
Wasichana au wanawake wengine wanafikiria kutoa mimba mara tu wanapokuta wamepata mimba bila ya kupangilia. Kutoa mimba ni jambo la hatari sana na linaweza kuleta madhara kiafya kwa mwanamke, na hasa utoaji mimba unaofanywa na mtu ambaye hakusomea na pia katika mazingira yasio safi… soma zaidi
Tags๐ wiki
Ukishatambua kwamba una mimba kuna mambo mbalimbali tofauti ya kufanya. Kwanza kabisa mweleze mwenzi wako na mshauriane hatua zipi mchukue. Pia, kwa msichana mdogo lazima uwaeleze wazazi wako. Siyo rahisi kuwaambia wazazi, kwa sababu hawatafurahi kuhusu ujumbe huu. Lakini uhusiano mzuri na wazazi unaweza kuwasaidia sana katika kulea mimba na baadaye mtoto.
Kwa upande wa kiafya ni muhimu sana kuanza kuhudhuria kliniki au hospitali mapema, yaani kabla ya mimba kufikisha miezi mitatu. Hii huwawezesha wataalamu kukupima na kukupa ufafanuzi kuhusu afya yako na maendeleo ya mimba. Vilevile wanaweza kugundua matatizo kama yatakuwepo na kukutibu mapema. Kwa usalama wako na usalama wa mtoto hakikisha kuyafuata maelekezo ya wataalamu kila mara.
Wasichana au wanawake wengine wanafikiria kutoa mimba mara tu wanapokuta wamepata mimba bila ya kupangilia. Kutoa mimba ni jambo la hatari sana na linaweza kuleta madhara kiafya kwa mwanamke, na hasa utoaji mimba unaofanywa na mtu ambaye hakusomea na pia katika mazingira yasio safi… soma zaidi
Tanzania kurudishiwa dola za kimarekani milioni 6 kutoka stanbic Tanzania kupitia kampuni ya EGMA
Tags๐ 6 dola egma kampuni kimarekani kupitia kurudishiwa kutoka milioni stanbic tanzania ya za habari
Tanzania inatarajia kurudishiwa dola za kimarekani milioni sita sawa na shilingi za kitanzania bilioni 14 zilizotozwa isivyostahili na benki ya Stanbic Tanzania kupitia kampuni ya EGMA… soma zaidi
Tags๐ 6 dola egma kampuni kimarekani kupitia kurudishiwa kutoka milioni stanbic tanzania ya za habari
Tanzania inatarajia kurudishiwa dola za kimarekani milioni sita sawa na shilingi za kitanzania bilioni 14 zilizotozwa isivyostahili na benki ya Stanbic Tanzania kupitia kampuni ya EGMA… soma zaidi
Je unatumia gas kwa kupikia? Tafdhali soma ujumbe huu na uchukue tahadhari ili isitokee kwako
Tags๐ habari
Je unatumia gas kwa kupikia? Tafdhali soma ujumbe huu na uchukue tahadhari ili isitokee kwako. Hili linaweza kuwa ni kosa la kawaida katika kila nyumba.
JINSI ILIVYOTOKEA… soma zaidi
Tags๐ habari
Je unatumia gas kwa kupikia? Tafdhali soma ujumbe huu na uchukue tahadhari ili isitokee kwako. Hili linaweza kuwa ni kosa la kawaida katika kila nyumba.
JINSI ILIVYOTOKEA… soma zaidi
Je unajua haya mambo yanashangaza?
Tags๐ habari
Unatoa Makamasi Kwa Kutumia Kitambaa Halafu Unarudisha Kitambaa Mfukoni, Ili Iweje?
…'
Unanunua Ndizi Mbivu Halaf Unaosha Vizuri Ganda La Nje Then Unamenya Unalitupa Ganda, Uliosha Ili Iweje??.. soma zaidi
Tags๐ habari
Unatoa Makamasi Kwa Kutumia Kitambaa Halafu Unarudisha Kitambaa Mfukoni, Ili Iweje?
…'
Unanunua Ndizi Mbivu Halaf Unaosha Vizuri Ganda La Nje Then Unamenya Unalitupa Ganda, Uliosha Ili Iweje??.. soma zaidi
Nini kinatokea wakati Virusi vya UKIMWI (VVU) vinapoingia mwilini na vinakwenda wapi katika sehemu ya mwili?
Tags๐ wiki
Virusi hivi vinakaa katika chembechembe nyeupe zilizopo kwenye majimaji ya mwili i wa binadamu hasa kwenye damu, shahawa na maji maji ya ukeni na maziwa ya mama anayenyonyesha. Ndani ya chembechembe nyeupe ndiyo mahali virusi vinakaa na kuendelea kuzaliana. Vikiwa ndani ya chembechembe nyeupe hizi, virusi huendelea kuzaliana hadi kusababisha chembechembe nyeupe hizi kupasuka. Virusi hivi hupata nafasi ya kuendelea kushambulia chembechembe nyingine nyeupe za damu. Kwa kadri chembechembe nyeupe zilizoshambuliwa zinavyoendelea kupasuka ni kwa kiwango hicho hicho chembechembe nyeupe zinaendelea kuharibiwa na kupungua. Matokeo yake ni kupungua kwa kinga mwilini na mtu kuendelea kudhoofika… soma zaidi
Tags๐ wiki
Virusi hivi vinakaa katika chembechembe nyeupe zilizopo kwenye majimaji ya mwili i wa binadamu hasa kwenye damu, shahawa na maji maji ya ukeni na maziwa ya mama anayenyonyesha. Ndani ya chembechembe nyeupe ndiyo mahali virusi vinakaa na kuendelea kuzaliana. Vikiwa ndani ya chembechembe nyeupe hizi, virusi huendelea kuzaliana hadi kusababisha chembechembe nyeupe hizi kupasuka. Virusi hivi hupata nafasi ya kuendelea kushambulia chembechembe nyingine nyeupe za damu. Kwa kadri chembechembe nyeupe zilizoshambuliwa zinavyoendelea kupasuka ni kwa kiwango hicho hicho chembechembe nyeupe zinaendelea kuharibiwa na kupungua. Matokeo yake ni kupungua kwa kinga mwilini na mtu kuendelea kudhoofika… soma zaidi
Thamani ya marafiki zetu
Tags๐ habari
๎ดKuna siku marafiki tutatengana๎ฃ hatutaonana tena wala kuwasiliana.๐.. soma zaidi
Tags๐ habari
๎ดKuna siku marafiki tutatengana๎ฃ hatutaonana tena wala kuwasiliana.๐.. soma zaidi
Je, watu wanaoishi na hali ya ualbino wanaweza kuzaa watoto bila matatizo?
Tags๐ / afya albino anaweza basi; bila hali hauingiliani hiyo huu je kuweza kuzaa kuzaa. kwa kwamba kwenye maana matatizo? mfumo na ngozi nzuri. siyo tu tuelewe ualbino uko ulemavu uwezo uzazi. via wa wanaoishi wanaweza watoto watu wenye ya wiki
Ulemavu wa watu wanaoishi na ualbino hauingiliani na uwezo
wa kuweza kuzaa. Tuelewe kwamba ulemavu huu uko tu kwenye
ngozi na siyo kwenye via / mfumo wa uzazi. Kwa maana hiyo
basi; Albino anaweza kuzaa watoto wenye afya nzuri. Pia
wanaweza kuzaa watoto wenye ngozi ya kawaida (blackii) kama
mzazi mwenzie hatakuwa amebeba vinasaba vya ualbino… soma zaidi
Tags๐ / afya albino anaweza basi; bila hali hauingiliani hiyo huu je kuweza kuzaa kuzaa. kwa kwamba kwenye maana matatizo? mfumo na ngozi nzuri. siyo tu tuelewe ualbino uko ulemavu uwezo uzazi. via wa wanaoishi wanaweza watoto watu wenye ya wiki
Ulemavu wa watu wanaoishi na ualbino hauingiliani na uwezo
wa kuweza kuzaa. Tuelewe kwamba ulemavu huu uko tu kwenye
ngozi na siyo kwenye via / mfumo wa uzazi. Kwa maana hiyo
basi; Albino anaweza kuzaa watoto wenye afya nzuri. Pia
wanaweza kuzaa watoto wenye ngozi ya kawaida (blackii) kama
mzazi mwenzie hatakuwa amebeba vinasaba vya ualbino… soma zaidi
Nini maana ya neno Albino?
Tags๐ (watu - 17 albino albino? albus-linamaanisha ambao au binadamu bora hai hali hata ila itamaanisha kama karne katika kilatini kuanzia kueleza kundi kutumia kuwa kwa kwani la likitumika limekuwa linamaanisha linatokana lugha maana macho maneno mimea) mtu mweupe na neno ngozi ni nini nywele. rangi tofauti ualbino ukosefu upungufu viumbe wa wana wanaishi wanaoishi wanyama watu wengine ya โeupeโ. โualbinoโ. โwatu wiki
Neno Albino linamaanisha
mtu mweupe, linatokana na
neno la lugha ya Kilatini -
albus-linamaanisha โeupeโ.
Kuanzia karne ya 17 neno
Albino limekuwa likitumika
katika kueleza hali ya kundi
la viumbe hai (watu, wanyama
na hata mimea) ambao wana
upungufu au ukosefu wa rangi
katika ngozi, macho na nywele.
Kwa binadamu ni bora kutumia
maneno โWatu wanaoishi na
ualbino
kwani itamaanisha kuwa ni watu kama wengine ila wanaishi na
hali tofauti ya โualbinoโ. Katika kitabu hiki maneno haya mawili
yatatumika.
Lugha inajenga dhana na kuunda hali ya ukweli / uhalisi. Kwa
sababu hiyo ni lazima tuache kutumia maneno kama โzeruzeruโ.
Neno hili linamaanisha sifuri mara mbili au mtu asiye na
thamani. Utumiaji wa neno hili ni dharau ya utu na kulaumu
watu wanaoishi na ualbino kama kosa lao… soma zaidi
Tags๐ (watu - 17 albino albino? albus-linamaanisha ambao au binadamu bora hai hali hata ila itamaanisha kama karne katika kilatini kuanzia kueleza kundi kutumia kuwa kwa kwani la likitumika limekuwa linamaanisha linatokana lugha maana macho maneno mimea) mtu mweupe na neno ngozi ni nini nywele. rangi tofauti ualbino ukosefu upungufu viumbe wa wana wanaishi wanaoishi wanyama watu wengine ya โeupeโ. โualbinoโ. โwatu wiki
Neno Albino linamaanisha
mtu mweupe, linatokana na
neno la lugha ya Kilatini -
albus-linamaanisha โeupeโ.
Kuanzia karne ya 17 neno
Albino limekuwa likitumika
katika kueleza hali ya kundi
la viumbe hai (watu, wanyama
na hata mimea) ambao wana
upungufu au ukosefu wa rangi
katika ngozi, macho na nywele.
Kwa binadamu ni bora kutumia
maneno โWatu wanaoishi na
ualbino
kwani itamaanisha kuwa ni watu kama wengine ila wanaishi na
hali tofauti ya โualbinoโ. Katika kitabu hiki maneno haya mawili
yatatumika.
Lugha inajenga dhana na kuunda hali ya ukweli / uhalisi. Kwa
sababu hiyo ni lazima tuache kutumia maneno kama โzeruzeruโ.
Neno hili linamaanisha sifuri mara mbili au mtu asiye na
thamani. Utumiaji wa neno hili ni dharau ya utu na kulaumu
watu wanaoishi na ualbino kama kosa lao… soma zaidi
Mapishi ya tambi za mayai
Tags๐ mapishinalishe
Tags๐ mapishinalishe
- Tambi ยฝ paketi
- Vitunguu maji 2 vikubwa
- Karoti 1
- Hoho 1
- Vitunguu swaumu(kata vipande vidogo) kijiko 1 cha chakula
- Carry powder kijiko 1 cha chai
- Njegere zilizochemshwa ยฝ kikombe
- Mafuta kwa kiasi upendacho
- Mayai 2
- Chumvi kwa ladha upendayo.. soma zaidi
Ukeketaji ni nini?
Tags๐ au baadhi hufanyika huu jamii kabisa. katika kike. kisimi kuondolewa kutahiriwa kwa maisha mashavu miezi msichana mtoto mwanamke. mwanzo mwingine na ndani ndiyo ni nini? nje sehemu uekeketaji uke ukeketaji umri uzazi viungo vya wa wakati ya yaani yanakatwa za wiki
Katika baadhi za jamii viungo vya uzazi vya nje vya msichana,
yaani kisimi au sehemu ya ndani na nje ya mashavu ya uke
yanakatwa na kuondolewa kabisa. Huu ndiyo ukeketaji au
kutahiriwa kwa mwanamke.
Wakati mwingine uekeketaji hufanyika katika umri wa miezi ya
mwanzo ya maisha ya mtoto wa kike. Mara kwa mara kutahiriwa
kwa wanawake hufanyika wakati msichana anapofikia utu uzima
au kuadhimisha na kuvuka kutoka utoto kuingia utu uzima.
Mara nyingine ukeketaji ni sehemu ya unyago na kuadhimia kwa
msichana kujifunza jinsi ya kuwa mtu mzima.
Kuna aina mbalimbali za ukeketaji:
1 Sehemu ya ngozi inayofunika kisimi huwa inaondolewa.
Mara nyingine kisimi au eneo lake hukatwa pia. Watu
wengi huita aina hii sunna.
2 Kisimi pamoja na sehemu za mashavu ya ndani
hutolewa.
3 Sehemu yote au baadhi ya viungo vya nje hutolewa na
uke hufungwa kwa kushona. Hii huacha sehemu ndogo
ya tundu ambapo mkojo na damu ya mwezi (hedhi)
hupita. Aina hii huitwa mfyato (Infibulation).
4 Aina yeyote ya kuchezea kwa lengo la kuharibu
sehemu yoyote ya viungo vya nje kama vile kutia vitu
vyenye madhara kwenye uke, kurefusha mashavu au
kisimi kwa kuvivuta au kutoboatoboa… soma zaidi
Tags๐ au baadhi hufanyika huu jamii kabisa. katika kike. kisimi kuondolewa kutahiriwa kwa maisha mashavu miezi msichana mtoto mwanamke. mwanzo mwingine na ndani ndiyo ni nini? nje sehemu uekeketaji uke ukeketaji umri uzazi viungo vya wa wakati ya yaani yanakatwa za wiki
Katika baadhi za jamii viungo vya uzazi vya nje vya msichana,
yaani kisimi au sehemu ya ndani na nje ya mashavu ya uke
yanakatwa na kuondolewa kabisa. Huu ndiyo ukeketaji au
kutahiriwa kwa mwanamke.
Wakati mwingine uekeketaji hufanyika katika umri wa miezi ya
mwanzo ya maisha ya mtoto wa kike. Mara kwa mara kutahiriwa
kwa wanawake hufanyika wakati msichana anapofikia utu uzima
au kuadhimisha na kuvuka kutoka utoto kuingia utu uzima.
Mara nyingine ukeketaji ni sehemu ya unyago na kuadhimia kwa
msichana kujifunza jinsi ya kuwa mtu mzima.
Kuna aina mbalimbali za ukeketaji:
1 Sehemu ya ngozi inayofunika kisimi huwa inaondolewa.
Mara nyingine kisimi au eneo lake hukatwa pia. Watu
wengi huita aina hii sunna.
2 Kisimi pamoja na sehemu za mashavu ya ndani
hutolewa.
3 Sehemu yote au baadhi ya viungo vya nje hutolewa na
uke hufungwa kwa kushona. Hii huacha sehemu ndogo
ya tundu ambapo mkojo na damu ya mwezi (hedhi)
hupita. Aina hii huitwa mfyato (Infibulation).
4 Aina yeyote ya kuchezea kwa lengo la kuharibu
sehemu yoyote ya viungo vya nje kama vile kutia vitu
vyenye madhara kwenye uke, kurefusha mashavu au
kisimi kwa kuvivuta au kutoboatoboa… soma zaidi
Niende wapi kupima kama nina Virusi vya UKIMWI?
Tags๐ wiki
Vituo vyenye utaalamu na katika hospitali i au Taasisis kama vile Shirika la Amref au CCBRT wana uwezo wa kutoa ushauri nasaha na vipimo vya kuaminika. Ushauri nasaha unakusaidia wewe kuelewa kipimo hicho ni cha nini, ni majibu gani yanayoweza kupatikana au kutopatikana. Upimaji huu hufanywa kwa siri, ni wewe tu pekee yako unaweza kupewa majibu. Katika miji mingi, vituo vya ANGAZA vipo na pia vituo hivi hutoa huduma rafiki kwa vijana.
Huduma za upimaji hazipatikani kwa urahisi sehemu za vijijini kwa sababu vyombo vinavyotumika katika upimaji ni vya gharama kubwa na vinahitaji umeme na uangalizi mkubwa. Mpaka sasa huduma hizi zinapatikana katika hospitali na kwa baadhi ya mashirika yanayojishughulisha na maambukizi ya Virusi vya UKIMWI na UKIMWI.
Jambo nzuri ni wewe kuuliza habari zaidi katika kituo cha afya kilicho karibu nawe… soma zaidi
Tags๐ wiki
Vituo vyenye utaalamu na katika hospitali i au Taasisis kama vile Shirika la Amref au CCBRT wana uwezo wa kutoa ushauri nasaha na vipimo vya kuaminika. Ushauri nasaha unakusaidia wewe kuelewa kipimo hicho ni cha nini, ni majibu gani yanayoweza kupatikana au kutopatikana. Upimaji huu hufanywa kwa siri, ni wewe tu pekee yako unaweza kupewa majibu. Katika miji mingi, vituo vya ANGAZA vipo na pia vituo hivi hutoa huduma rafiki kwa vijana.
Huduma za upimaji hazipatikani kwa urahisi sehemu za vijijini kwa sababu vyombo vinavyotumika katika upimaji ni vya gharama kubwa na vinahitaji umeme na uangalizi mkubwa. Mpaka sasa huduma hizi zinapatikana katika hospitali na kwa baadhi ya mashirika yanayojishughulisha na maambukizi ya Virusi vya UKIMWI na UKIMWI.
Jambo nzuri ni wewe kuuliza habari zaidi katika kituo cha afya kilicho karibu nawe… soma zaidi