VIDEOS-KALI-TUU
This is the Redirect module that redirects the browser directly to the "http://www.ackyshine.com/videos" page.
VIDEOS-KALI-TUU
By, Melkisedeck Shine.
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Wanawake wengine ni shida, cheki anachofanya hapa sasa, πAngalia video hapa
Tags π maajabu mbwa. Category πvideos,: maajabu mbwa, Angalia hili bonge la jibwa lilivyo na hasira, πAngalia video hapa
Tags π kiingereza kimya kiswahili silent vichekesho. Category πvideos,: kiingereza kimya kiswahili silent vichekesho, Ungekua ni wewe hapa ungefanyaje?, πAngalia video hapa
Tags π kimya kiswahili silent vichekesho. Category πvideos,: kimya kiswahili silent vichekesho, Huyu dogo ni kiboko, cheki alichokifanya, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Kwa wale wanaopenda kuchokoza mabinti za watu angalia huyu kilichompata baada ya kumchokoza huyu dada, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Hii ndiyo inathibitisha ule msemo ukitaka uzuri sharti udhurike, πAngalia video hapa
Tags π maajabu. Category πvideos,: maajabu, Uhesabuji wa hela wa kiajabu, πAngalia video hapa
Tags π maajabu watoto. Category πvideos,: maajabu watoto, Mtoto anajua kuimba Ile mbaya, angalia show yake, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Imani ya huyu dada imemponza kwa huyu mwanaume, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Angalia huyu jamaa aliyekuwa akimvizia huyu msichana Alichofanyiwa naye, πAngalia video hapa
Tags π maajabu vichekesho. Category πvideos,: maajabu vichekesho, Huu ubunifu kwenye mziki umezidi sasa, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Angalia kilichompata huyu jamaa baada ya kuamka na hang over yake, πAngalia video hapa
Tags π ajali farasi vichekesho. Category πvideos,: ajali farasi vichekesho, Cheki huyu jamaa anavyopanda farasi kijinga, πAngalia video hapa
Tags π ajali pantoni. Category πvideos,: ajali pantoni, Jamaa nusura agongwe na pantoni, πAngalia video hapa
Tags π ajali. Category πvideos,: ajali, Cheki jamaa alivyoanguka mtini, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Angalia huyu mwanamke alichokifanya sasa, kawa kama mtoto, πAngalia video hapa
Tags π maajabu vichekesho. Category πvideos,: maajabu vichekesho, Huyu jamaa anaachia ushuzi kama gari vile, duh ni shida, πAngalia video hapa
Tags π ajali vichekesho. Category πvideos,: ajali vichekesho, Angalia kilichomsibu huyu babu wa watu, mzee atakua na presha imepanda, πAngalia video hapa
Tags π kimya kiswahili silent vichekesho. Category πvideos,: kimya kiswahili silent vichekesho, Kilichotokea baada ya kuingia kwenye nyumba ya simba, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Ukisikia ukichaa ndio huu wa kumbeba punda, πAngalia video hapa
.
.
Endelea kuperuzi;-π
π¬ VIDEO-MIKASAβ
π¬ VIDEO-MATUKIOβ
π¬ VIDEO-VITUKOβ
π¬ VIDEO-DODOMAβ
π¬ VIDEO-KENYAβ
π¬ VIDEO-MBEYAβ
π¬ VIDEO-DARβ
π¬ VIDEO-ARUSHAβ
π¬ VIDEO-TANZANIAβ
π¬ VIDEO-BONGOβ
π¬ VIDEO-TWEETERβ
π¬ VIDEO-MTANDAONIβ
π¬ VIDEO-ONLINEβ
π¬ VIDEO-FACEBOOKβ
π¬ VIDEO-INSTAβ
π¬ VIDEO-INSTAGRAMβ
π¬ VIDEO-ACKYSHINEβ
π¬ VIDEO-HOTSβ
π¬ VIDEO-BOMBAβ
π¬ VIDEO-MPYAβ
Kujamiiana au kufanya mapenzi salama
Tagsπ wiki
Mapenzi salama ni yale yanayofanyika bila wasiwasi wa kupata mimba zisizotarajiwa, magonjwa ya zinaa pamoja na maambukizi ya Virusi vya UKIMWI na UKIMWI. Mapenzi salama yanaweza kuwa ni pamoja na kumaliza hamu bila ya kujamiiana au kuchukua tahadhari kwa maana ya kutumia kondomu wakati wa kujamiiana… soma zaidi
Tagsπ wiki
Mapenzi salama ni yale yanayofanyika bila wasiwasi wa kupata mimba zisizotarajiwa, magonjwa ya zinaa pamoja na maambukizi ya Virusi vya UKIMWI na UKIMWI. Mapenzi salama yanaweza kuwa ni pamoja na kumaliza hamu bila ya kujamiiana au kuchukua tahadhari kwa maana ya kutumia kondomu wakati wa kujamiiana… soma zaidi
Je,mwanaume akitoa uume nje ya uke kabla ya kumwaga shahawa anaweza kuambukizwa yeye au mwanamke na Virusi vya UKIMWI na UKIMWI?
Tagsπ wiki
.. soma zaidi
Tagsπ wiki
.. soma zaidi
Mapishi ya Ndizi za nazi na utumbo
Tagsπ mapishinalishe
Ndizi mshale 10
Utumbo wa ng'ombe 1/2 kilo
Nazi ya kopo 1
Nyanya 1
Kitunguu kikubwa 1
Tangawizi/ swaum 1 kijiko cha chakula
Olive oil kiasi
Limao 1
Chumvi
Curry powder 1 kijiko cha chai
Turmaric 1/2 kijiko cha chai
Coriander ya powder 1/2 kijiko cha chai
Pilipili ya unga 1/2 kijiko cha chai
Pilipili kali nzima (usiipasue).. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Ndizi mshale 10
Utumbo wa ng'ombe 1/2 kilo
Nazi ya kopo 1
Nyanya 1
Kitunguu kikubwa 1
Tangawizi/ swaum 1 kijiko cha chakula
Olive oil kiasi
Limao 1
Chumvi
Curry powder 1 kijiko cha chai
Turmaric 1/2 kijiko cha chai
Coriander ya powder 1/2 kijiko cha chai
Pilipili ya unga 1/2 kijiko cha chai
Pilipili kali nzima (usiipasue).. soma zaidi
Je, ni madhara gani atapata mama mjamzito endapo atajamiiana na mwenzi wake?
Tagsπ ana atajamiiana atapata endapo gani hakuna hamu hasa hawana hivyo hufunga inashauriwa je kabisa kama kati kifuko kinamzunguka kiume kubwa kujamii kumfikia kupenya kwa lakini lisigandamizwe madhara magonjwa mama mbegu mfuko mimba mjamzito mtoto mtoto. mwa mwanamke mwanaume mwenye mwenzi mwishoni na ni sana. tumbo ujauzito uwezekano vizuri wa wakati wake. wake? wanawake wengine wowote ya yoyote za zinaa wiki
Kama kati ya mwanamke na mwanaume hakuna mwenye magonjwa ya zinaa, hakuna madhara yoyote kwa mwanamke mwenye mimba kujamii ana na mwenzi wake. Mfuko wa mimba hufunga kabisa na kifuko kinamzunguka mtoto vizuri, na hivyo hakuna uwezekano wowote wa mbegu za kiume kupenya na kumfikia mtoto.
Inashauriwa lakini wakati wa kujamii ana na mwanamke mjamzito tumbo lisigandamizwe sana. Wanawake wengine hawana hamu kubwa ya kujamii ana hasa mwishoni mwa ujauzito, na mwanaume anashauriwa kuheshimu hisia hizi za mwanamke.
Kama mwanaume atakuwa ameambukizwa magonjwa ya zinaa wakati wa kujamii ana, hii i ii inaweza kuwa hatari sana kwa mwanamke na pia kwa mtoto tumboni. Wakijamii ana mume na mke wakati wa ujauzito, lazima wawe na uhakika kwamba hamna mwenye magonjwa ya zinaa au watumie kondomu kwa ajili ya kinga. Iwapo watakuwa na wasiwasi wowote, wamwone daktari kwa uchunguzi… soma zaidi
Tagsπ ana atajamiiana atapata endapo gani hakuna hamu hasa hawana hivyo hufunga inashauriwa je kabisa kama kati kifuko kinamzunguka kiume kubwa kujamii kumfikia kupenya kwa lakini lisigandamizwe madhara magonjwa mama mbegu mfuko mimba mjamzito mtoto mtoto. mwa mwanamke mwanaume mwenye mwenzi mwishoni na ni sana. tumbo ujauzito uwezekano vizuri wa wakati wake. wake? wanawake wengine wowote ya yoyote za zinaa wiki
Kama kati ya mwanamke na mwanaume hakuna mwenye magonjwa ya zinaa, hakuna madhara yoyote kwa mwanamke mwenye mimba kujamii ana na mwenzi wake. Mfuko wa mimba hufunga kabisa na kifuko kinamzunguka mtoto vizuri, na hivyo hakuna uwezekano wowote wa mbegu za kiume kupenya na kumfikia mtoto.
Inashauriwa lakini wakati wa kujamii ana na mwanamke mjamzito tumbo lisigandamizwe sana. Wanawake wengine hawana hamu kubwa ya kujamii ana hasa mwishoni mwa ujauzito, na mwanaume anashauriwa kuheshimu hisia hizi za mwanamke.
Kama mwanaume atakuwa ameambukizwa magonjwa ya zinaa wakati wa kujamii ana, hii i ii inaweza kuwa hatari sana kwa mwanamke na pia kwa mtoto tumboni. Wakijamii ana mume na mke wakati wa ujauzito, lazima wawe na uhakika kwamba hamna mwenye magonjwa ya zinaa au watumie kondomu kwa ajili ya kinga. Iwapo watakuwa na wasiwasi wowote, wamwone daktari kwa uchunguzi… soma zaidi
TIBA ZA ASILI ZA CHUNUSI
Tagsπ wiki
Magadi soda ni mazuri sana kwa kusafishia uso na haswa ukiwa na chunusi. Changanya kiasi kidogo cha magadi soda na maji ya kutosha kuunda kidonge kidogo na kisha weka au kandika kidonge icho sehemu ilio athirika na chunusi. Kwa muda wa dakika 15-20 au mpaka ikauke, na kisha suuza kwa maji yasiwe ya moto. Unaweza kurudia rudia mara kadhaa kwa siku mpaka utakapo ona athari ya chunusi imepotea… soma zaidi
Tagsπ wiki
Magadi soda ni mazuri sana kwa kusafishia uso na haswa ukiwa na chunusi. Changanya kiasi kidogo cha magadi soda na maji ya kutosha kuunda kidonge kidogo na kisha weka au kandika kidonge icho sehemu ilio athirika na chunusi. Kwa muda wa dakika 15-20 au mpaka ikauke, na kisha suuza kwa maji yasiwe ya moto. Unaweza kurudia rudia mara kadhaa kwa siku mpaka utakapo ona athari ya chunusi imepotea… soma zaidi
Jinsi ya kupika Biskuti Nyembamba (Wafer Bar) Za Chokoleti Na Njugu
Tagsπ mapishinalishe
Wafer Powder/gram wafer (unga wa biskuti uliosagwa wa tayari) - vikombe 2.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Wafer Powder/gram wafer (unga wa biskuti uliosagwa wa tayari) - vikombe 2.. soma zaidi
Mbinu 5 za kukunufaisha maishani
Tagsπ uchumi
Mbinu 5 za kukufanikisha maishani Unaweza ukawa upo kwenye hali ya kulalamika maisha yako ni magumu na unashangaa kwa nini hufanikiwi katika maisha yako kama jinsi unavyotaka wewe. Hali hii inaweza ikawa inakuumiza pengine kila ukiangalia rafiki zako ama maisha ya wengine yanavyozidi kuwa mazuri, wakati wewe upo katika hali ngumu. Na pengine umekuwa ukijiuliza nini siri kubwa ya mafanikio yao ambayo wanaitumia ambayo wewe huna. Kutokana na hali hiyo umekuwa ukijilaumu kujilaumu na kujiuliza kwanini nyingi ambazo hazina majibu. Kitu usichokijua watu hawa huwa wanatumia mbinu fulani kufanikiwa. Kawaida, katika maisha kama ulivyomchezo wa miguu, au michezo mingine mara nyingi huwa zipo mbinu za kufanikisha kile tunachokifanya. Mbinu hizi huweza kutambulika kama sheria, kanuni, au siri lakini zote hulenga kukufanikisha kama unataka mafanikio ya kweli. Mbinu hizi zinapotumiwa kwa bahati mbaya au nzuri huwa hazifanyi ubaguzi zinamwendea yoyote na kuleta matunda unayoyataka. Hata kama ikitokea umezitumia mbinu hizi kwa bahati mbaya bila kujijua ni lazima utafanikiwa katika maisha yako. Mbinu hizi ndizo wanazozitumia wengi wenye mafanikio na kuwafanikisha, ingawa huwa sio kwao kuwa rahisi kukwambia mbinu hizo. Haijalishi unaishi kwa sasa maisha gani au upo kwenye matatizo mengi vipi, ukizitumia mbinu hizi, zitakufanikisha na kukupa maisha ya mafanikio unayoyataka. Acha kulalamika tena na kuishi bila amani. Sasa unaweza ukawa na mafanikio makubwa kama hao unaowaona wamefanikiwa, ikiwa utatumia mbinu hizi kukufanikisha. Unajua mbinu hizi ni mbinu zipi?.. soma zaidi
Tagsπ uchumi
Mbinu 5 za kukufanikisha maishani Unaweza ukawa upo kwenye hali ya kulalamika maisha yako ni magumu na unashangaa kwa nini hufanikiwi katika maisha yako kama jinsi unavyotaka wewe. Hali hii inaweza ikawa inakuumiza pengine kila ukiangalia rafiki zako ama maisha ya wengine yanavyozidi kuwa mazuri, wakati wewe upo katika hali ngumu. Na pengine umekuwa ukijiuliza nini siri kubwa ya mafanikio yao ambayo wanaitumia ambayo wewe huna. Kutokana na hali hiyo umekuwa ukijilaumu kujilaumu na kujiuliza kwanini nyingi ambazo hazina majibu. Kitu usichokijua watu hawa huwa wanatumia mbinu fulani kufanikiwa. Kawaida, katika maisha kama ulivyomchezo wa miguu, au michezo mingine mara nyingi huwa zipo mbinu za kufanikisha kile tunachokifanya. Mbinu hizi huweza kutambulika kama sheria, kanuni, au siri lakini zote hulenga kukufanikisha kama unataka mafanikio ya kweli. Mbinu hizi zinapotumiwa kwa bahati mbaya au nzuri huwa hazifanyi ubaguzi zinamwendea yoyote na kuleta matunda unayoyataka. Hata kama ikitokea umezitumia mbinu hizi kwa bahati mbaya bila kujijua ni lazima utafanikiwa katika maisha yako. Mbinu hizi ndizo wanazozitumia wengi wenye mafanikio na kuwafanikisha, ingawa huwa sio kwao kuwa rahisi kukwambia mbinu hizo. Haijalishi unaishi kwa sasa maisha gani au upo kwenye matatizo mengi vipi, ukizitumia mbinu hizi, zitakufanikisha na kukupa maisha ya mafanikio unayoyataka. Acha kulalamika tena na kuishi bila amani. Sasa unaweza ukawa na mafanikio makubwa kama hao unaowaona wamefanikiwa, ikiwa utatumia mbinu hizi kukufanikisha. Unajua mbinu hizi ni mbinu zipi?.. soma zaidi
KUFUNGA NA KUOMBA KUNAKOONGEA MBELE ZA MUNGU
Tagsπ anayetumia atomic bila bomb hadi hiyo. hutoa inayopenya katika kitini kudumu kufunga kuleta kumuumiza kunakoongea kunakotoa kuomba kusema kwa mabadilko makubwa matokeo mbele mungu mwili. na ni pa rohok sababu sauti silaha tagi: tunaweza ulimwengu utangulizi wa ya za wiki
Mungu.Me.. soma zaidi
Tagsπ anayetumia atomic bila bomb hadi hiyo. hutoa inayopenya katika kitini kudumu kufunga kuleta kumuumiza kunakoongea kunakotoa kuomba kusema kwa mabadilko makubwa matokeo mbele mungu mwili. na ni pa rohok sababu sauti silaha tagi: tunaweza ulimwengu utangulizi wa ya za wiki
Mungu.Me.. soma zaidi
Watu 6 wameuawa katika Mji Mkuu wa BURUNDI, BUJUMBURA na wengine kadhaa kujeruhiwa,kufuatia machafuko yaliyotokea katika mji huo
Tagsπ 1672pierre-nkurikiye.jpg&width=600 6 ambayo amesema bujumbura burundi huo jiji jirani kadhaa katika kufuatia kujeruhiwa kupangwa. la machafuko mashambulio mji mkuu msemaji na nchini ni nkurikiye pirre polisi tagi: wa wameuawa watu wengine ya yaliyotokea yametekelezwa habari
Msemaji wa Polisi nchini BURUNDI, PIRRE NKURIKIYE amesema mashambulio kadhaa ambayo yametekelezwa jirani na Jiji la BUJUMBURA ambayo ni ya kupangwa… soma zaidi
Tagsπ 1672pierre-nkurikiye.jpg&width=600 6 ambayo amesema bujumbura burundi huo jiji jirani kadhaa katika kufuatia kujeruhiwa kupangwa. la machafuko mashambulio mji mkuu msemaji na nchini ni nkurikiye pirre polisi tagi: wa wameuawa watu wengine ya yaliyotokea yametekelezwa habari
Msemaji wa Polisi nchini BURUNDI, PIRRE NKURIKIYE amesema mashambulio kadhaa ambayo yametekelezwa jirani na Jiji la BUJUMBURA ambayo ni ya kupangwa… soma zaidi
Je, pombe ni moja ya sababu za kuenea kwa Virusi vya UKIMWI na VVU au magonjwa mengine yatokanayo na kujamiiana?
Tagsπ afya ambao au familia. hali hatari hawafahamu haya. husababisha husahau huwaweka je katika kondomu kubwa kuenea kueneza kufanya kujamiiana. kujamiiana? kujilinda kupata kupindukia kusahau kutumia kuwa kwa mabaya magonjwa majukumu mapenzi matumizi mengine moja na ndiyo ni pia pombe sababu tabia ukimwi ulevi virusi vvu vya wao wapenzi watu wengi wenyewe ya yanayosababisha yao yatokanayo za zao. wiki
Matumizi mabaya ya pombe ndiyo yanayosababisha kuenea kwa
VVU au magonjwa mengine yatokanayo na kujamiiana. Tabia
ya ulevi ya kupindukia huwaweka watu katika hatari kubwa ya
kupata na kueneza magonjwa haya.
Pombe husababisha watu kusahau hatari ya kuwa na wapenzi
wengi na pia kufanya mapenzi na watu ambao hawafahamu hali
za afya zao. Husahau kujilinda wao wenyewe na wapenzi wao, kwa
kutumia kondomu na kusahau majukumu yao ya familia… soma zaidi
Tagsπ afya ambao au familia. hali hatari hawafahamu haya. husababisha husahau huwaweka je katika kondomu kubwa kuenea kueneza kufanya kujamiiana. kujamiiana? kujilinda kupata kupindukia kusahau kutumia kuwa kwa mabaya magonjwa majukumu mapenzi matumizi mengine moja na ndiyo ni pia pombe sababu tabia ukimwi ulevi virusi vvu vya wao wapenzi watu wengi wenyewe ya yanayosababisha yao yatokanayo za zao. wiki
Matumizi mabaya ya pombe ndiyo yanayosababisha kuenea kwa
VVU au magonjwa mengine yatokanayo na kujamiiana. Tabia
ya ulevi ya kupindukia huwaweka watu katika hatari kubwa ya
kupata na kueneza magonjwa haya.
Pombe husababisha watu kusahau hatari ya kuwa na wapenzi
wengi na pia kufanya mapenzi na watu ambao hawafahamu hali
za afya zao. Husahau kujilinda wao wenyewe na wapenzi wao, kwa
kutumia kondomu na kusahau majukumu yao ya familia… soma zaidi
Wasomi na ndoto za abunuasi
Tagsπ habari
Hebu vuta picha,namna ulivyosota kuipata hiyo degree yako. Miaka isiyopungua 16 imeteketea darasani! Umebeba vidumu na ufagio kama wafagiaji wa jiji ukiwa shule msingi. Umepiga jaramba maili kadhaa kuifata shule.Umekumbana na kashkashi za walimu "wanoko",ukiwaona tu bandama zilikuwa zinacheza "ndombolo" na tumbo liliunguruma kama jenereta la kiwanda… soma zaidi
Tagsπ habari
Hebu vuta picha,namna ulivyosota kuipata hiyo degree yako. Miaka isiyopungua 16 imeteketea darasani! Umebeba vidumu na ufagio kama wafagiaji wa jiji ukiwa shule msingi. Umepiga jaramba maili kadhaa kuifata shule.Umekumbana na kashkashi za walimu "wanoko",ukiwaona tu bandama zilikuwa zinacheza "ndombolo" na tumbo liliunguruma kama jenereta la kiwanda… soma zaidi
Je, kuna madhara gani yatokanayo na uvutaji sigara kwa vijana hasa kijana Albino?
Tagsπ (hii albino? ambayo anayevuta baki). gani hasa hutokana inaitwa je karibu kijana kuendelea kukaa kuleta kuna kupata kwa kwani kwenye madhara mapafu mengi mengine moshi mtu mvutaji mwili. na nyingine pia sehemu sigara sigara. unaingia unaweza uvutaji vijana yanampata yatokanayo za wiki
Kuna madhara mengi ambayo hutokana na uvutaji sigara.
Madhara mengi yanampata mvutaji kwani moshi unaingia
kwenye mapafu na kuendelea kuleta madhara mengine sehemu
nyingine za mwili… soma zaidi
Tagsπ (hii albino? ambayo anayevuta baki). gani hasa hutokana inaitwa je karibu kijana kuendelea kukaa kuleta kuna kupata kwa kwani kwenye madhara mapafu mengi mengine moshi mtu mvutaji mwili. na nyingine pia sehemu sigara sigara. unaingia unaweza uvutaji vijana yanampata yatokanayo za wiki
Kuna madhara mengi ambayo hutokana na uvutaji sigara.
Madhara mengi yanampata mvutaji kwani moshi unaingia
kwenye mapafu na kuendelea kuleta madhara mengine sehemu
nyingine za mwili… soma zaidi
Jinsi ya kufuga vizuri kuku wa kienyeji
Tagsπ (ng'ombe 95% aina asilimia binadamu bora chakula chini. duniani hari hata hawa hupatikana idadi ile ilihali imezidi kati katika kienyeji kondoo kote kufuga kufugwa. kuku kuku) kukujinsi kuna kwa kwenye lakini maarufu maelfu mara mbili mbuzi mifugo na nchi ni nne nyanda tagi: tu ufugaji ulimwenguni. vizuri wa wachache wanaochukua wanaofugwa wanaofugwa. wanaoweza wanyama wote ya za zaidi wiki
Idadi ya wanyama wanaofugwa kwa chakula imezidi ile ya binadamu zaidi ya mara mbili kote ulimwenguni. Kuna maelfu ya wanyama kote duniani ilihali ni wachache tu wanaoweza kufugwa. Kati ya hawa wanyama, ni aina nne (Ng'ombe, kondoo, mbuzi na kuku) wanaochukua asilimia 95% ya wanyama wote wanaofugwa. Wanyama hawa hupatikana katika nchi za hari kwenye nyanda za chini. Lakini kati ya mifugo hawa, kuku ni maarufu katika nchi za hari na hata kote ulimwenguni.
Lengo la makala haya ni kutoa maelezo ili kusaidia wafugaji wa kiwango kidogo katika nchi
zinazostawi, katika kupunguza umaskini. Sehemu ya kwanza (I) itatoa maelezo kuhusu ufugaji na
hasa ufugaji wa kuku, Sehemu ya pili (II) itaangazia maswala yafuatayo katika kuinua hali ya uchumi
kwa kufuga kuku:
1. Kuendeleza ufugaji wa kuku za kienyeji kwa kutumia njia zisizohitaji gharama nyingi.
2. Kutafuta mbinu na njia muafaka za kuzalisha viwango vya kuku bora kwa njia ya kiasili.
3. Matumizi ya njia za kiasili au zile zisizo gharimu pesa nyingi kutibu na kuzuia magonjwa ya
kuku… soma zaidi
Tagsπ (ng'ombe 95% aina asilimia binadamu bora chakula chini. duniani hari hata hawa hupatikana idadi ile ilihali imezidi kati katika kienyeji kondoo kote kufuga kufugwa. kuku kuku) kukujinsi kuna kwa kwenye lakini maarufu maelfu mara mbili mbuzi mifugo na nchi ni nne nyanda tagi: tu ufugaji ulimwenguni. vizuri wa wachache wanaochukua wanaofugwa wanaofugwa. wanaoweza wanyama wote ya za zaidi wiki
Idadi ya wanyama wanaofugwa kwa chakula imezidi ile ya binadamu zaidi ya mara mbili kote ulimwenguni. Kuna maelfu ya wanyama kote duniani ilihali ni wachache tu wanaoweza kufugwa. Kati ya hawa wanyama, ni aina nne (Ng'ombe, kondoo, mbuzi na kuku) wanaochukua asilimia 95% ya wanyama wote wanaofugwa. Wanyama hawa hupatikana katika nchi za hari kwenye nyanda za chini. Lakini kati ya mifugo hawa, kuku ni maarufu katika nchi za hari na hata kote ulimwenguni.
Lengo la makala haya ni kutoa maelezo ili kusaidia wafugaji wa kiwango kidogo katika nchi
zinazostawi, katika kupunguza umaskini. Sehemu ya kwanza (I) itatoa maelezo kuhusu ufugaji na
hasa ufugaji wa kuku, Sehemu ya pili (II) itaangazia maswala yafuatayo katika kuinua hali ya uchumi
kwa kufuga kuku:
1. Kuendeleza ufugaji wa kuku za kienyeji kwa kutumia njia zisizohitaji gharama nyingi.
2. Kutafuta mbinu na njia muafaka za kuzalisha viwango vya kuku bora kwa njia ya kiasili.
3. Matumizi ya njia za kiasili au zile zisizo gharimu pesa nyingi kutibu na kuzuia magonjwa ya
kuku… soma zaidi
Nini matokeo ya unusaji/uvutaji wa petroli kwa vijana?
Tagsπ wiki
Kama kijana akinusa au kuvuta petroli kupitia puani au mdomoni, petroli hiyo huingia kwenye mapafu na sehemu zote mwilini.
Madhara ya unusaji au uvutaji petroli ni sawa kabisa na pombe. Baada ya kunusa/kuvuta petroli mtuamiaji hujisikia kizunguzungu na kulewa. Wengine huhisi kama kwamba wanaota na kujisikia furaha. Lakini wengine hujisikia kuumwa na kusinzia.
Unusaji/uvutaji wa petroli ni hatari sana na hata huweza kusababisha vifo kwani petroli humfanya mtu apoteze fahamu, huharibu mapafu na wengine hufa kwenye ajali. Hii hutokana na kushindwa kutoa uamuzi ufaao wanapokabiliwa na hali zinazoweza kusababisha ajali, hasa barabarani.
Matumizi ya muda mrefu ya petroli huweza kumsababishia madhara mtumiaji kama kutokwa na damu puani, kupoteza hamu ya kula, kuwa dhaifu, kupata matatizo ya mtindio wa ubongo, kupatwa na magonjwa ya figo, moyo, mapafu na kuharibika maini… soma zaidi
Tagsπ wiki
Kama kijana akinusa au kuvuta petroli kupitia puani au mdomoni, petroli hiyo huingia kwenye mapafu na sehemu zote mwilini.
Madhara ya unusaji au uvutaji petroli ni sawa kabisa na pombe. Baada ya kunusa/kuvuta petroli mtuamiaji hujisikia kizunguzungu na kulewa. Wengine huhisi kama kwamba wanaota na kujisikia furaha. Lakini wengine hujisikia kuumwa na kusinzia.
Unusaji/uvutaji wa petroli ni hatari sana na hata huweza kusababisha vifo kwani petroli humfanya mtu apoteze fahamu, huharibu mapafu na wengine hufa kwenye ajali. Hii hutokana na kushindwa kutoa uamuzi ufaao wanapokabiliwa na hali zinazoweza kusababisha ajali, hasa barabarani.
Matumizi ya muda mrefu ya petroli huweza kumsababishia madhara mtumiaji kama kutokwa na damu puani, kupoteza hamu ya kula, kuwa dhaifu, kupata matatizo ya mtindio wa ubongo, kupatwa na magonjwa ya figo, moyo, mapafu na kuharibika maini… soma zaidi
Mambo muhimu kuyajua katika maisha
Tagsπ sayansinatekinolojia
1- chumvi ikizidi kwenye wali weka kiazi mviringo kati kati kikiwa kimemenywa chumvi itapungua.. soma zaidi
Tagsπ sayansinatekinolojia
1- chumvi ikizidi kwenye wali weka kiazi mviringo kati kati kikiwa kimemenywa chumvi itapungua.. soma zaidi
Jinsi ya kutibu chunusi kwa kutumia maganda ya ndizi
Tagsπ kutibu-chunusi-kiasili mapishinalishe
Maganda ya ndizi ni dawa nyingine nzuri ya kuondoa chunusi. Unachohitaji ni kuwa tu na maganda ya ndizi kwa ajili hii… soma zaidi
Tagsπ kutibu-chunusi-kiasili mapishinalishe
Maganda ya ndizi ni dawa nyingine nzuri ya kuondoa chunusi. Unachohitaji ni kuwa tu na maganda ya ndizi kwa ajili hii… soma zaidi
KULIKA KWA MENO
Tagsπ (dental (dentine). (enamel) ambako ambapo ambayo augustine bila cha chembe dalili damu dr. exposure). fahamu hali hii hili huanza hufanya hutegemea jino kabisa kama kati kiini kiwango kuiweka kulika kuna kuondoka kusababisha kuwa kwa likiendelea matibabu mbali mbehoma meno mishipa na ndani ngumu ni nje pia pulp rukoma sehemu tatizo ulikaji. uondoka wazi wazi. ya wiki
Na Dr. Augustine Mbehoma Rukoma
Hii ni hali ya ambapo sehemu ngumu ya nje ya meno uondoka na kusababisha sehemu ya ndani kuwa wazi. Tatizo hili huanza kwa kuondoka sehemu ngumu ya nje (enamel) na kuiweka wazi sehemu ya kati ambayo ni ngumu pia (dentine). Tatizo likiendelea bila matibabu hufanya kiini cha jino ambako kuna mishipa ya damu, mishipa ya fahamu na chembe chembe mbali kuwa wazi (dental pulp exposure).
Dalili hutegemea na kiwango cha ulikaji. Kama ni sehemu ya nje kabisa imetoka, dalili uweza kuwa msisimuko (sensitivity) wakati wakunywa vinywaji vya baridi, vya sukari na hata upepo ukiyapuliza meno. Kama kiini cha jino kitakuwa wazi basi maumivu uanza na yanaweza kuwa makali kabisa… soma zaidi
Tagsπ (dental (dentine). (enamel) ambako ambapo ambayo augustine bila cha chembe dalili damu dr. exposure). fahamu hali hii hili huanza hufanya hutegemea jino kabisa kama kati kiini kiwango kuiweka kulika kuna kuondoka kusababisha kuwa kwa likiendelea matibabu mbali mbehoma meno mishipa na ndani ngumu ni nje pia pulp rukoma sehemu tatizo ulikaji. uondoka wazi wazi. ya wiki
Na Dr. Augustine Mbehoma Rukoma
Hii ni hali ya ambapo sehemu ngumu ya nje ya meno uondoka na kusababisha sehemu ya ndani kuwa wazi. Tatizo hili huanza kwa kuondoka sehemu ngumu ya nje (enamel) na kuiweka wazi sehemu ya kati ambayo ni ngumu pia (dentine). Tatizo likiendelea bila matibabu hufanya kiini cha jino ambako kuna mishipa ya damu, mishipa ya fahamu na chembe chembe mbali kuwa wazi (dental pulp exposure).
Dalili hutegemea na kiwango cha ulikaji. Kama ni sehemu ya nje kabisa imetoka, dalili uweza kuwa msisimuko (sensitivity) wakati wakunywa vinywaji vya baridi, vya sukari na hata upepo ukiyapuliza meno. Kama kiini cha jino kitakuwa wazi basi maumivu uanza na yanaweza kuwa makali kabisa… soma zaidi
Ilinde ndoto yako
Tagsπ uchumi
Ndoto ni nini?
Ndoto ambayo tunakwenda kuizungumzia sio ndoto unayoota ukiwa umelala ni ndoto ya mchana.
Ni kile kitu unachotamani kuja kukipata siku moja kabla hujaondoka duniani Ndoto inaweza kua katika makundi ya aina mbalimbali, unaweza kua na ndoto ya kuwa Rais, Mwimbaji bora, Mchezaji bora, Mwandishi Bora, Mfanyabiashara maarufu.
Vile vile unaweza kuwa na ndoto ya kumiliki vitu, nyumba nzuri ya kifahari sana labda ya milioni 300, Gari la kifahari sana, Unaweza kuwa na ndoto ya kumiliki utajiri au kuwa Bilionea,Kutembelea nchi fulani na kadhalika… soma zaidi
Tagsπ uchumi
Ndoto ni nini?
Ndoto ambayo tunakwenda kuizungumzia sio ndoto unayoota ukiwa umelala ni ndoto ya mchana.
Ni kile kitu unachotamani kuja kukipata siku moja kabla hujaondoka duniani Ndoto inaweza kua katika makundi ya aina mbalimbali, unaweza kua na ndoto ya kuwa Rais, Mwimbaji bora, Mchezaji bora, Mwandishi Bora, Mfanyabiashara maarufu.
Vile vile unaweza kuwa na ndoto ya kumiliki vitu, nyumba nzuri ya kifahari sana labda ya milioni 300, Gari la kifahari sana, Unaweza kuwa na ndoto ya kumiliki utajiri au kuwa Bilionea,Kutembelea nchi fulani na kadhalika… soma zaidi
Habari na historia ya jiwe la kupima watumwa
Tagsπ habari
Hakika historia ya biashara ya utumwa ina mambo mengi sana. kwa maana tangu tumeanza kusikia na kusoma habari za biashara ya utumwa , tumesoma na kusikia mengi sana. Wengine wanasema biashara ya utumwa Iinahusiana na dini, wengine wanasema biashara ya utumwa inahusu maendeleo ya biashara na wengine wanadai biashara ya utumwa ni mfumo tu wa maisha ya watu kama mifumo mingine… soma zaidi
Tagsπ habari
Hakika historia ya biashara ya utumwa ina mambo mengi sana. kwa maana tangu tumeanza kusikia na kusoma habari za biashara ya utumwa , tumesoma na kusikia mengi sana. Wengine wanasema biashara ya utumwa Iinahusiana na dini, wengine wanasema biashara ya utumwa inahusu maendeleo ya biashara na wengine wanadai biashara ya utumwa ni mfumo tu wa maisha ya watu kama mifumo mingine… soma zaidi
Kongamano la kimataifa la watu wenye ALBINISM barani AFRIKA limeazimia kuanzishwa kwa mtandao kwa watu wenye Albinism
Tagsπ afrika albinism barani kimataifa kongamano kuanzishwa kwa la limeazimia mtandao watu wenye habari
Kongamano la siku nne la kimataifa la watu wenye ALBINISM barani AFRIKA limeazimia kuanzishwa kwa mtandao wa kushughulikia changamoto zinazowakabili watu wenye albinism… soma zaidi
Tagsπ afrika albinism barani kimataifa kongamano kuanzishwa kwa la limeazimia mtandao watu wenye habari
Kongamano la siku nne la kimataifa la watu wenye ALBINISM barani AFRIKA limeazimia kuanzishwa kwa mtandao wa kushughulikia changamoto zinazowakabili watu wenye albinism… soma zaidi
MAMBO 10 YA KUFANYA KABLA HUJAFIKA MIAKA 28!
Tagsπ mahusiano
1. Jifunze kuweka akiba ya fedha
2. Tafuta mpenzi sahihi na tulia naye
3. Acha kuishi na wazai au kupanga nyumba na washikaji
4. Achana na starehe zisizo na maana
5. Jali sana afya yako.. soma zaidi
Tagsπ mahusiano
1. Jifunze kuweka akiba ya fedha
2. Tafuta mpenzi sahihi na tulia naye
3. Acha kuishi na wazai au kupanga nyumba na washikaji
4. Achana na starehe zisizo na maana
5. Jali sana afya yako.. soma zaidi
Mapishi ya Biriani Ya Kuku Wa Kuchoma (Grilled)
Tagsπ mapishinalishe
Mchele wa Basmati /Pishori - 4 vikombe.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mchele wa Basmati /Pishori - 4 vikombe.. soma zaidi
Angalia jinsi muda wako unavyopotea
Tagsπ uchumi
Kila mtu ambaye ni hai amepewa muda Wa masaa 24 kila siku,168 kwa wiki,672 kwa mwezi,8064 kwa miezi 12 au kwa mwaka… soma zaidi
Tagsπ uchumi
Kila mtu ambaye ni hai amepewa muda Wa masaa 24 kila siku,168 kwa wiki,672 kwa mwezi,8064 kwa miezi 12 au kwa mwaka… soma zaidi
Hatua za jinsi ya kuanzisha mradi wa nyuki
Tagsπ baina eneo hatua jinsi katika kazi kuanzisha kufuatwa kupata kwanza lako.zungumza mikakati mradi mwanadamu na nao ni nyuki nyuki. nyuki.andamana tagi: ufahamu ufugaji uhusiano unapoanzisha wa wakifanya wale wanaojihusisha ya za zinazostahili wiki
Hatua zinazostahili kufuatwa unapoanzisha mradi wa ufugaji wa nyuki.. soma zaidi
Tagsπ baina eneo hatua jinsi katika kazi kuanzisha kufuatwa kupata kwanza lako.zungumza mikakati mradi mwanadamu na nao ni nyuki nyuki. nyuki.andamana tagi: ufahamu ufugaji uhusiano unapoanzisha wa wakifanya wale wanaojihusisha ya za zinazostahili wiki
Hatua zinazostahili kufuatwa unapoanzisha mradi wa ufugaji wa nyuki.. soma zaidi
Je, kuna dawa zozote za kutibu magonjwa ya zinaa?
Tagsπ wiki
Magonjwa mengi ya zinaa yana dawa za kutibu, kwa mfano: kisonono, kaswende, klamdia, kankroidi au utando mweupe. Lakini hata hivyo ni lazima upate matibabu mapema. Ukisubiri muda mrefu bila ya kutibiwa, inawezekana kwamba via vya uzazi vikapata madhara ya kudumu, kwa mfano, kuziba kwa mirija ya kupitisha mayai… soma zaidi
Tagsπ wiki
Magonjwa mengi ya zinaa yana dawa za kutibu, kwa mfano: kisonono, kaswende, klamdia, kankroidi au utando mweupe. Lakini hata hivyo ni lazima upate matibabu mapema. Ukisubiri muda mrefu bila ya kutibiwa, inawezekana kwamba via vya uzazi vikapata madhara ya kudumu, kwa mfano, kuziba kwa mirija ya kupitisha mayai… soma zaidi
Hadithi ya kusisimua
Tagsπ mahusiano
Mimi ni mwanamke mjane ninaishi mjini Arusha. Huu ni ushuhuda wangu wa maisha yangu… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Mimi ni mwanamke mjane ninaishi mjini Arusha. Huu ni ushuhuda wangu wa maisha yangu… soma zaidi
Madhara ya kumlaza mtoto kifudifudi, kumlaza kwa tumbo
Tagsπ afya mapishinalishe
Unafahamu nini kuhusu suala la kumlaza mwanao? Maana Mapokeo tuliyo yapokea enzi na enzi ni kuwa ukitaka mtoto wako alale bila kushtuka basi alalie tumbo. Bado watu wengi wanaendelea kufanya hivyo hata sasa hivi unaposoma makala haya… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Unafahamu nini kuhusu suala la kumlaza mwanao? Maana Mapokeo tuliyo yapokea enzi na enzi ni kuwa ukitaka mtoto wako alale bila kushtuka basi alalie tumbo. Bado watu wengi wanaendelea kufanya hivyo hata sasa hivi unaposoma makala haya… soma zaidi
Jinsi ya kutibu chunusi kwa kutumia kitunguu swaumu
Tagsπ kutibu-chunusi-kiasili mapishinalishe
Kitunguu swaumu hujulikana kama kitu cha kushangaza katika tiba huko mashariki ya mbali, Kitunguu swaumu ni maajabu ya Mungu mwenyewe… soma zaidi
Tagsπ kutibu-chunusi-kiasili mapishinalishe
Kitunguu swaumu hujulikana kama kitu cha kushangaza katika tiba huko mashariki ya mbali, Kitunguu swaumu ni maajabu ya Mungu mwenyewe… soma zaidi
Ushauri wa ukweli Ili Uwe mwanaume wa Ukweli
Tagsπ mahusiano
1. Ukija kijiweni au pub au kwenye nyama choma acha zile stori za sijui umesoma wapi hadi wapi, sijui una madigirii mangapi. Piga stori nyingine, mbona ziko nyingi tu. Kujielezea sana shule yako ni ushamba fulani hivi, dizaini kama hujiamini so lazima ujivishe nyota. Unaboa… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
1. Ukija kijiweni au pub au kwenye nyama choma acha zile stori za sijui umesoma wapi hadi wapi, sijui una madigirii mangapi. Piga stori nyingine, mbona ziko nyingi tu. Kujielezea sana shule yako ni ushamba fulani hivi, dizaini kama hujiamini so lazima ujivishe nyota. Unaboa… soma zaidi
Ukipenda Boga, penda na ua lake
Tagsπ akamuuliza akamwambia akiwa alifika ametoka ana boga haraka hema jiandae kabla kawaida kazini kuna kwenda lake: mbeya mke muda mwanaume na nini?? penda safiri tuna ua ukipenda wa wake ya mahusiano
mwanaume akiwa ana hema ametoka kazini
kabla ya muda wa kawaida,akamwambia mke
wake Jiandae haraka tuna safiri kwenda
mbeya,mke akamuuliza kuna nini??.. soma zaidi
Tagsπ akamuuliza akamwambia akiwa alifika ametoka ana boga haraka hema jiandae kabla kawaida kazini kuna kwenda lake: mbeya mke muda mwanaume na nini?? penda safiri tuna ua ukipenda wa wake ya mahusiano
mwanaume akiwa ana hema ametoka kazini
kabla ya muda wa kawaida,akamwambia mke
wake Jiandae haraka tuna safiri kwenda
mbeya,mke akamuuliza kuna nini??.. soma zaidi
Jinsi ya Kupika Kalmati
Tagsπ mapishinalishe
Unga wa ngano (self risen flour 2 vikombe vya chai)
Hamira (yeast kijiko 1 cha chai)
Sukari (sugar 2 vikombe vya chai)
Hiliki (cardamon 1/4 ya kijiko cha chai)
Maji kikombe1 na 1/2
Mafuta.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Unga wa ngano (self risen flour 2 vikombe vya chai)
Hamira (yeast kijiko 1 cha chai)
Sukari (sugar 2 vikombe vya chai)
Hiliki (cardamon 1/4 ya kijiko cha chai)
Maji kikombe1 na 1/2
Mafuta.. soma zaidi
Waliopitishwa kuwania uspika CCM
Tagsπ 15 2015 ambao bunge ccm cha dodoma halmashauri ili ilikuwa imewateua jamhuri kamati katika kikao kilichofanyika kumpata kura kuu kuwania la leo mgombea mjini moja muungano na nafasi novemba siku spika tagi: taifa tanzania. uspika wa wabunge waliopitishwa wana-ccm watakaopigiwa watatu wote ya habari
Kamati kuu ya halmashauri kuu ya Taifa ya CCM ilikuwa na kikao cha siku moja kilichofanyika leo Novemba 15, 2015 mjini Dodoma na imewateua wana-CCM watatu ambao watakaopigiwa kura na wabunge wote wa CCM ili kumpata mgombea wa CCM katika nafasi ya spika wa bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania… soma zaidi
Tagsπ 15 2015 ambao bunge ccm cha dodoma halmashauri ili ilikuwa imewateua jamhuri kamati katika kikao kilichofanyika kumpata kura kuu kuwania la leo mgombea mjini moja muungano na nafasi novemba siku spika tagi: taifa tanzania. uspika wa wabunge waliopitishwa wana-ccm watakaopigiwa watatu wote ya habari
Kamati kuu ya halmashauri kuu ya Taifa ya CCM ilikuwa na kikao cha siku moja kilichofanyika leo Novemba 15, 2015 mjini Dodoma na imewateua wana-CCM watatu ambao watakaopigiwa kura na wabunge wote wa CCM ili kumpata mgombea wa CCM katika nafasi ya spika wa bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania… soma zaidi
Mbinu 5 za kukunufaisha maishani
Tagsπ uchumi
Mbinu 5 za kukufanikisha maishani Unaweza ukawa upo kwenye hali ya kulalamika maisha yako ni magumu na unashangaa kwa nini hufanikiwi katika maisha yako kama jinsi unavyotaka wewe. Hali hii inaweza ikawa inakuumiza pengine kila ukiangalia rafiki zako ama maisha ya wengine yanavyozidi kuwa mazuri, wakati wewe upo katika hali ngumu. Na pengine umekuwa ukijiuliza nini siri kubwa ya mafanikio yao ambayo wanaitumia ambayo wewe huna. Kutokana na hali hiyo umekuwa ukijilaumu kujilaumu na kujiuliza kwanini nyingi ambazo hazina majibu. Kitu usichokijua watu hawa huwa wanatumia mbinu fulani kufanikiwa. Kawaida, katika maisha kama ulivyomchezo wa miguu, au michezo mingine mara nyingi huwa zipo mbinu za kufanikisha kile tunachokifanya. Mbinu hizi huweza kutambulika kama sheria, kanuni, au siri lakini zote hulenga kukufanikisha kama unataka mafanikio ya kweli. Mbinu hizi zinapotumiwa kwa bahati mbaya au nzuri huwa hazifanyi ubaguzi zinamwendea yoyote na kuleta matunda unayoyataka. Hata kama ikitokea umezitumia mbinu hizi kwa bahati mbaya bila kujijua ni lazima utafanikiwa katika maisha yako. Mbinu hizi ndizo wanazozitumia wengi wenye mafanikio na kuwafanikisha, ingawa huwa sio kwao kuwa rahisi kukwambia mbinu hizo. Haijalishi unaishi kwa sasa maisha gani au upo kwenye matatizo mengi vipi, ukizitumia mbinu hizi, zitakufanikisha na kukupa maisha ya mafanikio unayoyataka. Acha kulalamika tena na kuishi bila amani. Sasa unaweza ukawa na mafanikio makubwa kama hao unaowaona wamefanikiwa, ikiwa utatumia mbinu hizi kukufanikisha. Unajua mbinu hizi ni mbinu zipi?.. soma zaidi
Tagsπ uchumi
Mbinu 5 za kukufanikisha maishani Unaweza ukawa upo kwenye hali ya kulalamika maisha yako ni magumu na unashangaa kwa nini hufanikiwi katika maisha yako kama jinsi unavyotaka wewe. Hali hii inaweza ikawa inakuumiza pengine kila ukiangalia rafiki zako ama maisha ya wengine yanavyozidi kuwa mazuri, wakati wewe upo katika hali ngumu. Na pengine umekuwa ukijiuliza nini siri kubwa ya mafanikio yao ambayo wanaitumia ambayo wewe huna. Kutokana na hali hiyo umekuwa ukijilaumu kujilaumu na kujiuliza kwanini nyingi ambazo hazina majibu. Kitu usichokijua watu hawa huwa wanatumia mbinu fulani kufanikiwa. Kawaida, katika maisha kama ulivyomchezo wa miguu, au michezo mingine mara nyingi huwa zipo mbinu za kufanikisha kile tunachokifanya. Mbinu hizi huweza kutambulika kama sheria, kanuni, au siri lakini zote hulenga kukufanikisha kama unataka mafanikio ya kweli. Mbinu hizi zinapotumiwa kwa bahati mbaya au nzuri huwa hazifanyi ubaguzi zinamwendea yoyote na kuleta matunda unayoyataka. Hata kama ikitokea umezitumia mbinu hizi kwa bahati mbaya bila kujijua ni lazima utafanikiwa katika maisha yako. Mbinu hizi ndizo wanazozitumia wengi wenye mafanikio na kuwafanikisha, ingawa huwa sio kwao kuwa rahisi kukwambia mbinu hizo. Haijalishi unaishi kwa sasa maisha gani au upo kwenye matatizo mengi vipi, ukizitumia mbinu hizi, zitakufanikisha na kukupa maisha ya mafanikio unayoyataka. Acha kulalamika tena na kuishi bila amani. Sasa unaweza ukawa na mafanikio makubwa kama hao unaowaona wamefanikiwa, ikiwa utatumia mbinu hizi kukufanikisha. Unajua mbinu hizi ni mbinu zipi?.. soma zaidi
Mapishi ya Pilau ya nyama ya ng'ombe na kachumbari
Tagsπ mapishinalishe
Mchele (rice vikombe 3)
Nyama ya ng'ombe (beef 1/2 kilo)
Viazi mbatata (potato 3)
Vitunguu maji (onions 3)
Kitunguu swaum (garlic cloves 4)
Tangawizi iliyosagwa (ginger kiasi)
Hiliki nzima (cardamon 4)
Karafuu (clove 4)
Pilipili mtama (blackpepper 4)
Amdalasini (cirnamon stick 1)
Binzari nyembamba nzima(cumin seeds 1/2 ya kijiko cha chai)
Binzari nyembamba ya kusaga (ground cumin 1 kijiko cha chai)
Chumvi (salt)
Mafuta (vegetable oil)
Nyanya (fresh tomato 3)
Limao (lemon 1)
Pilipili (chilli 1)
Hoho (green pepper).. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mchele (rice vikombe 3)
Nyama ya ng'ombe (beef 1/2 kilo)
Viazi mbatata (potato 3)
Vitunguu maji (onions 3)
Kitunguu swaum (garlic cloves 4)
Tangawizi iliyosagwa (ginger kiasi)
Hiliki nzima (cardamon 4)
Karafuu (clove 4)
Pilipili mtama (blackpepper 4)
Amdalasini (cirnamon stick 1)
Binzari nyembamba nzima(cumin seeds 1/2 ya kijiko cha chai)
Binzari nyembamba ya kusaga (ground cumin 1 kijiko cha chai)
Chumvi (salt)
Mafuta (vegetable oil)
Nyanya (fresh tomato 3)
Limao (lemon 1)
Pilipili (chilli 1)
Hoho (green pepper).. soma zaidi
Jinsi ya kupika vitumbua vizuri vitamu kwa ajili yako na familia yako kama kitafunwa cha asubuhi au wakati wowote
Tagsπ mapishi vitafunwa vitumbua wiki
Vitumbua ni vitafunwa vizuri na vinavyopendwa na wengi lakini ni wengi wasiojua kupika vitumbua japokua wanavipenda sana. Leo nimekuandalia namna rahisi ya kupika vitumbua kama ifuatavyo;.. soma zaidi
Tagsπ mapishi vitafunwa vitumbua wiki
Vitumbua ni vitafunwa vizuri na vinavyopendwa na wengi lakini ni wengi wasiojua kupika vitumbua japokua wanavipenda sana. Leo nimekuandalia namna rahisi ya kupika vitumbua kama ifuatavyo;.. soma zaidi
Jinsi ya kutumia kondomu ya kike
Tagsπ jinsi kike kondomu kutumia ya wiki
Kondomu ya kike inafahamika kwa jina la βcareβ na βLady Petetaβ. Hapa Tanzania hazipatikani sehemu zote na bei yake ni kubwa kidogo.
Kondomu ya kike huingizwa ukeni kabla ya kujamiiana. Kama unatumia kondomu ya kike, chana kwa uangalifu pembezoni mwa pakiti. Kondomu ina pete mbili za plastiki na uwazi upande wa juu. Pete moja imelegea ni ndogo na iko kwa ndani, upande usio na uwazi. Pete ya pili ni kubwa zaidi, imeshikiliwa na iko upande wa tundu. Shikilia kondomu upande uliozibwa na minya pete ya ndani kwa dole gumba na kidole cha pili na cha kati. Mara nyingine inaweza ikakuponyoka, (kuteleza) lakini endelea kujaribu hadi umeiminya vizuri. Tafuta mkao mzuri na ingiza kondomu ya kike. Huku bado unaminya kwa vidole vyako iongoze kondomu ndani ya uke wako. Ukiiachia pete ya ndani itashikilia kondomu ndani ya uke. Sasa ingiza kidole chako kwenye kondomu, sukuma pete mpaka inapogota kwenye mlango wa uzazi.
Kondomu ya kike inaweza kuvaliwa saa kadhaa kabla ya kufanya ngono na pia inaweza kuvuliwa baada ya muda wa kufanyika ngono kupita. Ili kuhakikisha kuwa uume umeingia sehemu husika, msaidie mwenzi wako kuongoza uume kuingia kwenye uke ili usipenye pembeni.
Baada ya kujamiiana, vua kondomu kwa uangalifu. Tupa kondomu iliyotumika kwenye choo cha shimo au uichome. Usitupe kondomu iliyotumika ovyo.
Kama ilivyo kwa kondomu ya kiume, kondomu ya kike itatumika kwa mafanikio zaidi pale ambapo wahusikia wanakuwa na makubaliano na maelewano juu ya matumizi yake… soma zaidi
Tagsπ jinsi kike kondomu kutumia ya wiki
Kondomu ya kike inafahamika kwa jina la βcareβ na βLady Petetaβ. Hapa Tanzania hazipatikani sehemu zote na bei yake ni kubwa kidogo.
Kondomu ya kike huingizwa ukeni kabla ya kujamiiana. Kama unatumia kondomu ya kike, chana kwa uangalifu pembezoni mwa pakiti. Kondomu ina pete mbili za plastiki na uwazi upande wa juu. Pete moja imelegea ni ndogo na iko kwa ndani, upande usio na uwazi. Pete ya pili ni kubwa zaidi, imeshikiliwa na iko upande wa tundu. Shikilia kondomu upande uliozibwa na minya pete ya ndani kwa dole gumba na kidole cha pili na cha kati. Mara nyingine inaweza ikakuponyoka, (kuteleza) lakini endelea kujaribu hadi umeiminya vizuri. Tafuta mkao mzuri na ingiza kondomu ya kike. Huku bado unaminya kwa vidole vyako iongoze kondomu ndani ya uke wako. Ukiiachia pete ya ndani itashikilia kondomu ndani ya uke. Sasa ingiza kidole chako kwenye kondomu, sukuma pete mpaka inapogota kwenye mlango wa uzazi.
Kondomu ya kike inaweza kuvaliwa saa kadhaa kabla ya kufanya ngono na pia inaweza kuvuliwa baada ya muda wa kufanyika ngono kupita. Ili kuhakikisha kuwa uume umeingia sehemu husika, msaidie mwenzi wako kuongoza uume kuingia kwenye uke ili usipenye pembeni.
Baada ya kujamiiana, vua kondomu kwa uangalifu. Tupa kondomu iliyotumika kwenye choo cha shimo au uichome. Usitupe kondomu iliyotumika ovyo.
Kama ilivyo kwa kondomu ya kiume, kondomu ya kike itatumika kwa mafanikio zaidi pale ambapo wahusikia wanakuwa na makubaliano na maelewano juu ya matumizi yake… soma zaidi
Mahakama ya rufaa nchini AFRIKA KUSINI imesema mwanariadha bingwa wa OLIMPIKI kwa upande wa walemavu OSCAR PISTORIUS anahatia
Tagsπ afrika anahatia bingwa imesema kusini kwa mahakama mwanariadha nchini olimpiki oscar pistorius rufaa upande wa walemavu ya habari
Mahakama ya rufaa nchini AFRIKA KUSINI imesema mwanariadha bingwa wa OLIMPIKI kwa upande wa walemavu OSCAR PISTORIUS anahatia ya mauaji ya mpenziwe REEVA STEENKAMP… soma zaidi
Tagsπ afrika anahatia bingwa imesema kusini kwa mahakama mwanariadha nchini olimpiki oscar pistorius rufaa upande wa walemavu ya habari
Mahakama ya rufaa nchini AFRIKA KUSINI imesema mwanariadha bingwa wa OLIMPIKI kwa upande wa walemavu OSCAR PISTORIUS anahatia ya mauaji ya mpenziwe REEVA STEENKAMP… soma zaidi
Jinsi ya kupika Mgagani
Tagsπ mapishinalishe
Mgagani mkono 1
Mafuta vijiko vikubwa 4
Karanga zilizosagwa kikombe Β½
Maji kikombe 1
Kitunguu 1
Karoti 2
Maziwa kikombe 1
Chumvi kiasi.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mgagani mkono 1
Mafuta vijiko vikubwa 4
Karanga zilizosagwa kikombe Β½
Maji kikombe 1
Kitunguu 1
Karoti 2
Maziwa kikombe 1
Chumvi kiasi.. soma zaidi
Kwa nini Albino wengi hawataki kuoa/kuolewa au kujihusisha na uhusiano wa kimapenzi?
Tagsπ (ama albino ambao au dini hali hata hawataki hili jambo jamii. kabila katika kimapenzi? kimo kuanza kufanya kujichanganya kujihusisha kuoa/kuolewa kupata kuwa kwa linazidi misingi na nafasi ngumu nini rangi shida tofauti ualbino) uhusiano uhusiano. wa wanaonekana wanapata watu wengi wengine ya wiki
Watu ambao wanaonekana tofauti na wengine (ama kwa misingi
ya kabila, rangi, dini, kimo au hata ualbino) wanapata shida
ya kujichanganya katika jamii. Jambo hili linazidi kufanya hali
kuwa ngumu katika kupata nafasi ya kuanza uhusiano. Kwa hiyo,
siyo sahihi kulinganisha hali hii kwa watu wanaoishi na ualbino
kwani hali hii huwatokea watu tofauti.
Albino labda hawajiamini katika kuanzisha uhusiano wa
kimapenzi kutokana na uzoefu wa kunyanyapaliwa na kubaguliwa.
Wao mara nyingi wanakuwa na woga wa kukataliwa na labda
aliye na nia ya kutaka kuwa mwenzi. Awali ya yote ni kwamba
ili upendwe ni lazima wewe ujiamini na kujipenda mwenyewe.
Changamoto walizonazo familia zenye watoto wanaoishi
na ualbino ni hasa katika kuwajengea hali ya kujiamini na
kuwaelimisha kuwa ulemavu walionao ni katika muonekano
(wa ngozi, nywele na macho). Pamoja na kuwa na muonekano
huo, watoto Albino wana uwezo sawa kama watu wengine… soma zaidi
Tagsπ (ama albino ambao au dini hali hata hawataki hili jambo jamii. kabila katika kimapenzi? kimo kuanza kufanya kujichanganya kujihusisha kuoa/kuolewa kupata kuwa kwa linazidi misingi na nafasi ngumu nini rangi shida tofauti ualbino) uhusiano uhusiano. wa wanaonekana wanapata watu wengi wengine ya wiki
Watu ambao wanaonekana tofauti na wengine (ama kwa misingi
ya kabila, rangi, dini, kimo au hata ualbino) wanapata shida
ya kujichanganya katika jamii. Jambo hili linazidi kufanya hali
kuwa ngumu katika kupata nafasi ya kuanza uhusiano. Kwa hiyo,
siyo sahihi kulinganisha hali hii kwa watu wanaoishi na ualbino
kwani hali hii huwatokea watu tofauti.
Albino labda hawajiamini katika kuanzisha uhusiano wa
kimapenzi kutokana na uzoefu wa kunyanyapaliwa na kubaguliwa.
Wao mara nyingi wanakuwa na woga wa kukataliwa na labda
aliye na nia ya kutaka kuwa mwenzi. Awali ya yote ni kwamba
ili upendwe ni lazima wewe ujiamini na kujipenda mwenyewe.
Changamoto walizonazo familia zenye watoto wanaoishi
na ualbino ni hasa katika kuwajengea hali ya kujiamini na
kuwaelimisha kuwa ulemavu walionao ni katika muonekano
(wa ngozi, nywele na macho). Pamoja na kuwa na muonekano
huo, watoto Albino wana uwezo sawa kama watu wengine… soma zaidi
Dondoo kuhusu tezi dume
Tagsπ mapishinalishe
Tezi dume kila mwanaume anazaliwa nayo ambayo inasaidia kutoa maji maji ambayo yanaweza kusaidia kutengeneza mbegu za kiume… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Tezi dume kila mwanaume anazaliwa nayo ambayo inasaidia kutoa maji maji ambayo yanaweza kusaidia kutengeneza mbegu za kiume… soma zaidi
MAMBO 10 YA KUFANYA KABLA HUJAFIKA MIAKA 28!
Tagsπ mahusiano
1. Jifunze kuweka akiba ya fedha
2. Tafuta mpenzi sahihi na tulia naye
3. Acha kuishi na wazai au kupanga nyumba na washikaji
4. Achana na starehe zisizo na maana
5. Jali sana afya yako.. soma zaidi
Tagsπ mahusiano
1. Jifunze kuweka akiba ya fedha
2. Tafuta mpenzi sahihi na tulia naye
3. Acha kuishi na wazai au kupanga nyumba na washikaji
4. Achana na starehe zisizo na maana
5. Jali sana afya yako.. soma zaidi
Wajue wachaga na mambo yao
Tagsπ habari
WAJUE WACHAGGA NA MAMBOYAO: Wachagga
Wachagga ni kabila la watu wenye asili ya Kibantu lakini pia mchanganyiko wa damu, hasa ya Kikushi wanaoishi kaskazini mwa Tanzania chini ya mlima Kilimanjaro, mkoani Kilimanjaro… soma zaidi
Tagsπ habari
WAJUE WACHAGGA NA MAMBOYAO: Wachagga
Wachagga ni kabila la watu wenye asili ya Kibantu lakini pia mchanganyiko wa damu, hasa ya Kikushi wanaoishi kaskazini mwa Tanzania chini ya mlima Kilimanjaro, mkoani Kilimanjaro… soma zaidi
Mapishi ya Pilau Ya Bilingani Na Kuku
Tagsπ mapishinalishe
Mchele wa basmati - 3 vikombe.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mchele wa basmati - 3 vikombe.. soma zaidi
Ujumbe kwa wakina dada
Tagsπ mahusiano
Wasichana 2 waliwasili kwenye Kikao huku wamevaa nguo ambazo zilikuwa zikionyesha miili yao… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Wasichana 2 waliwasili kwenye Kikao huku wamevaa nguo ambazo zilikuwa zikionyesha miili yao… soma zaidi
Mapishi β Mayai Mchanganyiko, Tosti na Soseji
Tagsπ mapishinalishe
Karibu tena jikoni, leo tunaandaa vitafunwa kwa ajili ya kifungua kinywa asubuhi… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Karibu tena jikoni, leo tunaandaa vitafunwa kwa ajili ya kifungua kinywa asubuhi… soma zaidi
Ni tahadhari gani nichukue ninapomhudumia mgonjwa wa UKIMWI?
Tagsπ wiki
Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI mara nyingi huenea sana kwa njia ya kujamii ana, na hauambukizwi kwa kumhudumia mtu mwenye maambukizi ya Virusi vya UKIMWI au UKIMWI. Hata hivyo ni muhimu kuwa mwangalifu na kuchukua tahadhari ili kuzuia kuambukizwa.
Ukimtibu vidonda vya mtu aliyeambukizwa na Virusi vya UKIMWI, ni vyema kuvaa mipira ya mikononi (glavu ) na daima ni vizuri kufunga kitambaa au plasta mahali penye jeraha. Vifaa vyenye ncha kali vinavyotumiwa na mtu mwenye maambukizi ya virusi vya UKIMWI, kwa mfano nyembe, kutunzwa sehemu ya pekee na visitumiwe na watu wengine.
Hatua hizi ni muhimu na za msingi kwa wahudumu wa watu wenye virusi vya UKIMWI i ili kuzuia yeye au watu wengine wasipate maambukizi ya virusi vya UKIMWI. Kama unamtunza / unamhudumia mtu aliyeambukizwa na Virusi vya UKIMWI na huna uhakika au una wasiwasi na tahadhari za kuchukua, unashauriwa kutafuta msaada kutoka kwa mtoa huduma wa afya i li akupe maelezo zaidi… soma zaidi
Tagsπ wiki
Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI mara nyingi huenea sana kwa njia ya kujamii ana, na hauambukizwi kwa kumhudumia mtu mwenye maambukizi ya Virusi vya UKIMWI au UKIMWI. Hata hivyo ni muhimu kuwa mwangalifu na kuchukua tahadhari ili kuzuia kuambukizwa.
Ukimtibu vidonda vya mtu aliyeambukizwa na Virusi vya UKIMWI, ni vyema kuvaa mipira ya mikononi (glavu ) na daima ni vizuri kufunga kitambaa au plasta mahali penye jeraha. Vifaa vyenye ncha kali vinavyotumiwa na mtu mwenye maambukizi ya virusi vya UKIMWI, kwa mfano nyembe, kutunzwa sehemu ya pekee na visitumiwe na watu wengine.
Hatua hizi ni muhimu na za msingi kwa wahudumu wa watu wenye virusi vya UKIMWI i ili kuzuia yeye au watu wengine wasipate maambukizi ya virusi vya UKIMWI. Kama unamtunza / unamhudumia mtu aliyeambukizwa na Virusi vya UKIMWI na huna uhakika au una wasiwasi na tahadhari za kuchukua, unashauriwa kutafuta msaada kutoka kwa mtoa huduma wa afya i li akupe maelezo zaidi… soma zaidi
Mbinu 9 za kuwavutia na kuwateka wanawake kimapenzi
Tagsπ mahusiano
Kati ya wanawake na wanaume wote wawili wanahitaji kuvutiwa na wenza wao ili wadumu katika mahusiano. Kama mwanaume lazima upate wakati wa kujua unatakiwa kufanya nini kwa ajili ya kulifanya penzi lako lizidi kuchanua.
Hali kadhalika kama bado haupo Kwenye mahusiano kuna mambo ambayo ni ya msingi kufanya au kuwa nayo ili uweze kuwa na mvuto zaidi kwa wanawake… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Kati ya wanawake na wanaume wote wawili wanahitaji kuvutiwa na wenza wao ili wadumu katika mahusiano. Kama mwanaume lazima upate wakati wa kujua unatakiwa kufanya nini kwa ajili ya kulifanya penzi lako lizidi kuchanua.
Hali kadhalika kama bado haupo Kwenye mahusiano kuna mambo ambayo ni ya msingi kufanya au kuwa nayo ili uweze kuwa na mvuto zaidi kwa wanawake… soma zaidi
Wakubwa nisaidieni!!
Tagsπ ex example: expired kila ni nisahidieni. sio tu. utanielewa wakubwa zingine ππ π mahusiano
π Sio kila EX ni EXPIRED, EX zingine ni EXAMPLE:
Utanielewa tu.
Ulimwengu huu tunaoishi Muogope sana Mpenzi
wa Zamani wa Mkeo kabla HUJAMUOA na
Muogope sana EX wa Mmeo kabla HAJAKUOA
kuliko hata hawa Vidume na Vijike vinavyomtaka
akiwa tayari amevaa pete… soma zaidi
Tagsπ ex example: expired kila ni nisahidieni. sio tu. utanielewa wakubwa zingine ππ π mahusiano
π Sio kila EX ni EXPIRED, EX zingine ni EXAMPLE:
Utanielewa tu.
Ulimwengu huu tunaoishi Muogope sana Mpenzi
wa Zamani wa Mkeo kabla HUJAMUOA na
Muogope sana EX wa Mmeo kabla HAJAKUOA
kuliko hata hawa Vidume na Vijike vinavyomtaka
akiwa tayari amevaa pete… soma zaidi
Vidokezo vya kukusaidia ule mboga za majani zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Pika mboga mpya za majani au zilizogandishwa kwa barafu katika wimbi mikro kwa mlo wa haraka na rahisi kuongeza kwa mlo wowote. Pika maharagwe ya kijani, karoti, au brokoli kwa mvuke katika bakuli na kiwango kidogo cha maji katika wimbi mikro kwa mlo wa haraka… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Pika mboga mpya za majani au zilizogandishwa kwa barafu katika wimbi mikro kwa mlo wa haraka na rahisi kuongeza kwa mlo wowote. Pika maharagwe ya kijani, karoti, au brokoli kwa mvuke katika bakuli na kiwango kidogo cha maji katika wimbi mikro kwa mlo wa haraka… soma zaidi
Jinsi ya kutambua magonjwa ya mbuzi wa maziwa
Tagsπ baadhi bora chanjo dhidi hatari ili jinsi kama kuhakikisha kutambua kuwa kuwakinga kuwalisha kuwapa kwa madini magonjwa mara maziwa mbuzi muhimu. na ni tagi: unawachunguza unaweza vile: viliyvo vyakula wa wadudu wako ya yanayowakabili wiki
Magonjwa Yanayowakabili Mbuzi Wa Maziwa
Unaweza kuhakikisha kuwa unawachunguza mbuzi wako mara kwa mara na kuwapa chanjo ili kuwakinga dhidi ya magonjwa,wadudu hatari na kuwalisha vyakula bora viliyvo na madini muhimu… soma zaidi
Tagsπ baadhi bora chanjo dhidi hatari ili jinsi kama kuhakikisha kutambua kuwa kuwakinga kuwalisha kuwapa kwa madini magonjwa mara maziwa mbuzi muhimu. na ni tagi: unawachunguza unaweza vile: viliyvo vyakula wa wadudu wako ya yanayowakabili wiki
Magonjwa Yanayowakabili Mbuzi Wa Maziwa
Unaweza kuhakikisha kuwa unawachunguza mbuzi wako mara kwa mara na kuwapa chanjo ili kuwakinga dhidi ya magonjwa,wadudu hatari na kuwalisha vyakula bora viliyvo na madini muhimu… soma zaidi
BADILIKA: Anza kupiga hatua ya maendeleo sasa
Tagsπ uchumi
Ili kutoka hapo ULIPO uweze kwenda HATUA inayofuata kuna SWALI muhimu sana unahitaji kujiuliza.
Watu ambao huwa wanashindwa kupiga hatua katika maisha yao ni kwa sababu huwa wanajiuliza kinyume cha swali hili.
Swali hili ndilo wanalojiuliza watu wote waliofanikiwa:.. soma zaidi
Tagsπ uchumi
Ili kutoka hapo ULIPO uweze kwenda HATUA inayofuata kuna SWALI muhimu sana unahitaji kujiuliza.
Watu ambao huwa wanashindwa kupiga hatua katika maisha yao ni kwa sababu huwa wanajiuliza kinyume cha swali hili.
Swali hili ndilo wanalojiuliza watu wote waliofanikiwa:.. soma zaidi
Ualbino unarithiwa vipi?
Tagsπ (moja /asili akawa ana anaweza asili asili. atakuwa awe baba). cha dhoofu haiwezi hutoka inayafanana kabila kama kawaida kila kimoja kinasaba kuonyesha kutengeneza kutosha kuwa kwa lakini macho mama mbili moja mpaka mtu mwanadamu mwili na nazo ngozi ni nywele pamoja. peke rangi seli seti taarifa ualbino ualbino. una unarithiwa vinasaba vipi? vya wa wana wanaozaliwa wao watoto watu wazazi wengi ya yake yao. za wiki
Watoto wengi wanaozaliwa na ualbino, wazazi wao wana rangi
ya ngozi, nywele na macho inayafanana na watu wa kabila /asili
yao. Mwili wa kila mwanadamu una seti mbili za vinasaba (moja
hutoka kwa mama na moja hutoka kwa baba). Mtu anaweza
kuwa na rangi ya asili ya kawaida, lakini akawa na kinasaba cha
ualbino. Kama mtu ana kinasaba kimoja cha rangi ya asili na
kimoja cha ualbino atakuwa na taarifa za vinasaba vya kutosha
kutengeneza rangi ya asili. Kinasaba cha ualbino ni seli dhoofu
haiwezi peke yake kuonyesha ualbino mpaka mtu awe nazo
mbili kwa pamoja.
Kama wazazi wote wawili wana vinasaba vya ualbino na wote
hawaonyeshi ualbino, kuna uwezekano wa kupata mtoto Albino
kati ya mmoja katika wanne kwa kila mimba… soma zaidi
Tagsπ (moja /asili akawa ana anaweza asili asili. atakuwa awe baba). cha dhoofu haiwezi hutoka inayafanana kabila kama kawaida kila kimoja kinasaba kuonyesha kutengeneza kutosha kuwa kwa lakini macho mama mbili moja mpaka mtu mwanadamu mwili na nazo ngozi ni nywele pamoja. peke rangi seli seti taarifa ualbino ualbino. una unarithiwa vinasaba vipi? vya wa wana wanaozaliwa wao watoto watu wazazi wengi ya yake yao. za wiki
Watoto wengi wanaozaliwa na ualbino, wazazi wao wana rangi
ya ngozi, nywele na macho inayafanana na watu wa kabila /asili
yao. Mwili wa kila mwanadamu una seti mbili za vinasaba (moja
hutoka kwa mama na moja hutoka kwa baba). Mtu anaweza
kuwa na rangi ya asili ya kawaida, lakini akawa na kinasaba cha
ualbino. Kama mtu ana kinasaba kimoja cha rangi ya asili na
kimoja cha ualbino atakuwa na taarifa za vinasaba vya kutosha
kutengeneza rangi ya asili. Kinasaba cha ualbino ni seli dhoofu
haiwezi peke yake kuonyesha ualbino mpaka mtu awe nazo
mbili kwa pamoja.
Kama wazazi wote wawili wana vinasaba vya ualbino na wote
hawaonyeshi ualbino, kuna uwezekano wa kupata mtoto Albino
kati ya mmoja katika wanne kwa kila mimba… soma zaidi
Je, gongo na sigara husaidia uyeyushaji wa chakula?
Tagsπ (tindikali) au baada baadhi chakula chakula. chakula? fikra gongo hata hivyo husaidia imani inaweza itasaidia je kawaida kiasi kidogo kimiminika kuchelewesha kuliko kupunguza kurahisisha kuvuta kuyeyusha kwa kwamba mafuta. mtiririko muhimu na ni pombe potofu sigara tagi: ukinywa uyeyushaji vya vyakula wa ya wiki
Ni imani na fikra potofu kwamba, ukinywa gongo au kuvuta
sigara kwa kiasi kidogo baada ya chakula itasaidia kuyeyusha
baadhi ya vyakula vya mafuta. Pombe inaweza hata kupunguza
mtiririko wa kawaida wa kimiminika muhimu kwa uyeyushaji wa
chakula (tindikali) na hivyo kuchelewesha kuliko kurahisisha
uyeyushaji wa chakula.
Nikotini ya sigara kwa upande mwingine inaongeza kazi katika
utumbo mpana na hivyo kurahisisha uyeyushaji wa chakula.
Lakini kwa upande mwingine nikotini huchochea utengenezaji
wa tindikali tumboni ambayo husababisha maumivu ya tumbo… soma zaidi
Tagsπ (tindikali) au baada baadhi chakula chakula. chakula? fikra gongo hata hivyo husaidia imani inaweza itasaidia je kawaida kiasi kidogo kimiminika kuchelewesha kuliko kupunguza kurahisisha kuvuta kuyeyusha kwa kwamba mafuta. mtiririko muhimu na ni pombe potofu sigara tagi: ukinywa uyeyushaji vya vyakula wa ya wiki
Ni imani na fikra potofu kwamba, ukinywa gongo au kuvuta
sigara kwa kiasi kidogo baada ya chakula itasaidia kuyeyusha
baadhi ya vyakula vya mafuta. Pombe inaweza hata kupunguza
mtiririko wa kawaida wa kimiminika muhimu kwa uyeyushaji wa
chakula (tindikali) na hivyo kuchelewesha kuliko kurahisisha
uyeyushaji wa chakula.
Nikotini ya sigara kwa upande mwingine inaongeza kazi katika
utumbo mpana na hivyo kurahisisha uyeyushaji wa chakula.
Lakini kwa upande mwingine nikotini huchochea utengenezaji
wa tindikali tumboni ambayo husababisha maumivu ya tumbo… soma zaidi
Mambo 6 ambayo ni siri ya mwanamke na sio rahisi kukwambia
Tagsπ mahusiano
Wanaume wengi hupenda kujua wao ni wangapi kuwa na mwanamke Fulani. Lakini mwanamke kamwe hawezi akakwambia wewe ni wa ngapi. Kumuuliza jambo hili kunamkera sana mwanamke na ndio maana mara nyingi hawezi akakwambia ukweli… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Wanaume wengi hupenda kujua wao ni wangapi kuwa na mwanamke Fulani. Lakini mwanamke kamwe hawezi akakwambia wewe ni wa ngapi. Kumuuliza jambo hili kunamkera sana mwanamke na ndio maana mara nyingi hawezi akakwambia ukweli… soma zaidi
Hii chain ya mahusiano ni shida
Tagsπ mahusiano
BOSS anamwambia sekretari wake:
Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye mkutano fanya mipango yote… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
BOSS anamwambia sekretari wake:
Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye mkutano fanya mipango yote… soma zaidi
USHAURI WANGU ANZA KUAJIRIWA KAMA MUWEKEZAJI TU ILI UJIAJIRI NA KUAJIRI WENGINE
Tagsπ uchumi
Kwa lugha nyepesi ni kwamba ukiajiriwa maana yake umeshindwa kujitegemea kwa ujuzi wako (yaani hujui ufanyie nini) hivyo umeona uukabidhi ujuzi wako kwa wenye "akili na uwezo" wa kuupangia matumizi ya huo ujuzi wako… soma zaidi
Tagsπ uchumi
Kwa lugha nyepesi ni kwamba ukiajiriwa maana yake umeshindwa kujitegemea kwa ujuzi wako (yaani hujui ufanyie nini) hivyo umeona uukabidhi ujuzi wako kwa wenye "akili na uwezo" wa kuupangia matumizi ya huo ujuzi wako… soma zaidi
Je, kuna madhara yoyote yanayompata kijana Albino wa kike au wa kiume anayeamua kutoanza kujamiiana hadi afikie umri uliokubalik
Tagsπ / afikie albino anayeamua athari au hadi hakuna hata je kijana kike kiume kuacha kujamiiana kuna kutoanza kwakusubiri kwamba madhara mrefu mtu muda ni ukweli uliokubalik umri unaokubalika utu uzima wa yanayompata yoyote zaidi. zinazojulikana wiki
Ukweli ni kwamba hakuna athari zinazojulikana kwakusubiri au
kuacha kujamiiana hadi mtu afikie umri unaokubalika / utu uzima
au hata muda mrefu zaidi. Pia via vya uzazi havitaathirika kwa
njia moja au nyingine (havisinyai wala kutoweka.) Kuna uvumi
potofu unaodai kuwa watu wanaoacha kujamiiana kwa muda
mrefu wanaota chunusi na upele usoni au pia kwenye sehemu
zao za siri na wengine kuchanganyikiwa. Hakuna ukweli wowote
kuhusu uvumi huu. Kuwa na chunusi usoni ni mojawapo ya hali
inayowakabili vijana wenye umri kati ya miaka 13 hadi 19. Hali ya
kuota chunusi inasababishwa na kuwepo mafuta mengi kwenye
ngozi. Hali hii hubadilika kadri umri unavyosogea mbele. Mara
nyingi inashauriwa kufanya mazoezi ya mwili ili kuwezesha
vitundu vilivyopo kwenye ngozi kufunguka na kuwezesha ngozi
kupumua.
Hakuna madhara ya kiafya ambayo yanatokana na kuacha
kujamiiana, bali kinyume ni kuwa, kuna madhara mengi ya
kiafya, hisia na ya kimwili yanayotokana na kujamiiana katika
umri mdogo kama vile mimba zisizotarajiwa, uambukizo wa
magonjwa yatokanayo na kujamiiana pamoja na Virusi vya
UKIMWI… soma zaidi
Tagsπ / afikie albino anayeamua athari au hadi hakuna hata je kijana kike kiume kuacha kujamiiana kuna kutoanza kwakusubiri kwamba madhara mrefu mtu muda ni ukweli uliokubalik umri unaokubalika utu uzima wa yanayompata yoyote zaidi. zinazojulikana wiki
Ukweli ni kwamba hakuna athari zinazojulikana kwakusubiri au
kuacha kujamiiana hadi mtu afikie umri unaokubalika / utu uzima
au hata muda mrefu zaidi. Pia via vya uzazi havitaathirika kwa
njia moja au nyingine (havisinyai wala kutoweka.) Kuna uvumi
potofu unaodai kuwa watu wanaoacha kujamiiana kwa muda
mrefu wanaota chunusi na upele usoni au pia kwenye sehemu
zao za siri na wengine kuchanganyikiwa. Hakuna ukweli wowote
kuhusu uvumi huu. Kuwa na chunusi usoni ni mojawapo ya hali
inayowakabili vijana wenye umri kati ya miaka 13 hadi 19. Hali ya
kuota chunusi inasababishwa na kuwepo mafuta mengi kwenye
ngozi. Hali hii hubadilika kadri umri unavyosogea mbele. Mara
nyingi inashauriwa kufanya mazoezi ya mwili ili kuwezesha
vitundu vilivyopo kwenye ngozi kufunguka na kuwezesha ngozi
kupumua.
Hakuna madhara ya kiafya ambayo yanatokana na kuacha
kujamiiana, bali kinyume ni kuwa, kuna madhara mengi ya
kiafya, hisia na ya kimwili yanayotokana na kujamiiana katika
umri mdogo kama vile mimba zisizotarajiwa, uambukizo wa
magonjwa yatokanayo na kujamiiana pamoja na Virusi vya
UKIMWI… soma zaidi
Jinsi ya kutengeneza dawa za asili za kuhifadhi nafaka
Tagsπ ajili ama ambapo asili cha chakula dawa familia fulani hakuna hasa hulazimika hupata jinsi kama katika kipindi kuhifadhi kutengeneza kuuza kwa maharagwe mahindi mara mavuno mazao mengi muda na nafaka nyingi tagi: ukame vile wakulima ya yanayozalishwa. yeyote za zao wiki
Mara nyingi wakulima hupata mavuno mengi katika mazao ya nafaka kama vile mahindi na maharagwe na hulazimika kuhifadhi kwa muda fulani kwa ajili ya kuuza ama kwa ajili ya chakula cha familia zao hasa katika kipindi cha ukame ambapo hakuna mazao yeyote yanayozalishwa. Ili kuyahifadhi mazao hayo kwa muda mrefu na kukinga na wadudu waharibifu, wakulima hao hulazimika kununua dawa ya sumu ya kuhifadhia jambo ambalo si hakika sana kwa afya… soma zaidi
Tagsπ ajili ama ambapo asili cha chakula dawa familia fulani hakuna hasa hulazimika hupata jinsi kama katika kipindi kuhifadhi kutengeneza kuuza kwa maharagwe mahindi mara mavuno mazao mengi muda na nafaka nyingi tagi: ukame vile wakulima ya yanayozalishwa. yeyote za zao wiki
Mara nyingi wakulima hupata mavuno mengi katika mazao ya nafaka kama vile mahindi na maharagwe na hulazimika kuhifadhi kwa muda fulani kwa ajili ya kuuza ama kwa ajili ya chakula cha familia zao hasa katika kipindi cha ukame ambapo hakuna mazao yeyote yanayozalishwa. Ili kuyahifadhi mazao hayo kwa muda mrefu na kukinga na wadudu waharibifu, wakulima hao hulazimika kununua dawa ya sumu ya kuhifadhia jambo ambalo si hakika sana kwa afya… soma zaidi
Jinsi ya kuongeza wingi wa mbegu za kiume
Tagsπ afya mapishinalishe
Ili kuongeza mbegu za kiume zingatia haya yafuatayo;.. soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Ili kuongeza mbegu za kiume zingatia haya yafuatayo;.. soma zaidi
Ushauri kwa mtu aliyebakwa
Tagsπ afya aliyebakwa amejeruhiwa amepata cha hofu huduma iwapo jambo jaribu karibu katika kilicho kituo kuhusu kumwondoa kutisha. kutoa kwa kwanza kwenda la lililotokea. maana mara moja. mpeleke mtu muliwaze mwathiriwa na ongozana polisi rafiki sana taarifa ushauri vinginevyo yako za wiki
Jambo la kwanza jaribu kumwondoa hofu mwathiriwa na
muliwaze maana amepata jambo la kutisha. Na iwapo mtu
amejeruhiwa sana mpeleke katika kituo cha huduma za afya
kilicho karibu mara moja. Vinginevyo ongozana na rafiki
yako kwenda kituo cha Polisi na kutoa taarifa kuhusu jambo
lililotokea. Polisi watampa fomu ambayo ataipeleka kwa mtoa
huduma. Ni muhimu usijioshe kwa maji kabla hujachunguzwa na
mtaalamu wa afya kwani kufanya hivyo kutaondoa ushahidi wa
kubakwa.
Kwa kuwa kupitia utaratibu huu
inakuwa vigumu mwathiriwa
anahitaji msaada wa karibu
na uangalizi. Mzazi au rafiki
anahitajiwa aongozane naye
na kumsaidia, kwa mfano
kuhakikisha kuwa katika kituo
cha polisi msichana ahojiwe na
polisi wa kike.
Mtu aliyebakwa anahitaji
kusaidiwa kihisia ili aweze
kusahau mawazo na jambo
liliomtokea. Kwa mwathirika, ni
muhimu apewe ushauri nasaha
ili aendelee kujihisi kwamba yeye bado yupo kama mtu wa
kawaida. Ni muhimu pia kuzishughulikia habari za mwathiriwa
kwa siri. Usimweleze kila mtu kilichotokea. Waeleze wale tu
ambao unafikiri wanaweza kusaidia kama daktari, mwalimu au
mzazi. Usiulize maswali ya kwa nini maana inaweza ikaonekana
ni kosa la mwathiriwa. Badala yake zungumza na huyo mtu kwa
utaratibu, polepole, peke yake na mpe uangalifu wa kutosha.
Hakikisha kwamba hutoi lawama yoyote kwa mwathiriwa.
Kubakwa kamwe siyo kosa la mwathiriwa… soma zaidi
Tagsπ afya aliyebakwa amejeruhiwa amepata cha hofu huduma iwapo jambo jaribu karibu katika kilicho kituo kuhusu kumwondoa kutisha. kutoa kwa kwanza kwenda la lililotokea. maana mara moja. mpeleke mtu muliwaze mwathiriwa na ongozana polisi rafiki sana taarifa ushauri vinginevyo yako za wiki
Jambo la kwanza jaribu kumwondoa hofu mwathiriwa na
muliwaze maana amepata jambo la kutisha. Na iwapo mtu
amejeruhiwa sana mpeleke katika kituo cha huduma za afya
kilicho karibu mara moja. Vinginevyo ongozana na rafiki
yako kwenda kituo cha Polisi na kutoa taarifa kuhusu jambo
lililotokea. Polisi watampa fomu ambayo ataipeleka kwa mtoa
huduma. Ni muhimu usijioshe kwa maji kabla hujachunguzwa na
mtaalamu wa afya kwani kufanya hivyo kutaondoa ushahidi wa
kubakwa.
Kwa kuwa kupitia utaratibu huu
inakuwa vigumu mwathiriwa
anahitaji msaada wa karibu
na uangalizi. Mzazi au rafiki
anahitajiwa aongozane naye
na kumsaidia, kwa mfano
kuhakikisha kuwa katika kituo
cha polisi msichana ahojiwe na
polisi wa kike.
Mtu aliyebakwa anahitaji
kusaidiwa kihisia ili aweze
kusahau mawazo na jambo
liliomtokea. Kwa mwathirika, ni
muhimu apewe ushauri nasaha
ili aendelee kujihisi kwamba yeye bado yupo kama mtu wa
kawaida. Ni muhimu pia kuzishughulikia habari za mwathiriwa
kwa siri. Usimweleze kila mtu kilichotokea. Waeleze wale tu
ambao unafikiri wanaweza kusaidia kama daktari, mwalimu au
mzazi. Usiulize maswali ya kwa nini maana inaweza ikaonekana
ni kosa la mwathiriwa. Badala yake zungumza na huyo mtu kwa
utaratibu, polepole, peke yake na mpe uangalifu wa kutosha.
Hakikisha kwamba hutoi lawama yoyote kwa mwathiriwa.
Kubakwa kamwe siyo kosa la mwathiriwa… soma zaidi
Ningekufa kwa ajili ya mwanamke
Tagsπ mahusiano
Leo nimepita kisimani nikamkuta dada mmmoja akifua. ,Nikamuuliza eti dada unavijua visa vya wanawake??
Akajibu kaka niache, nikakomaa anijibu…
Badala ya kujbu akaanza kupiga mayowe, na kelele za kuomba msaada.. hadi wananchi wenye mapanga, mawe na mishale wakaanza kuja, dada huyo alivyoona wanakuja akajmwagia maji mwili mzima. Nikajua leo ndio mwisho wangu nikajuta sana kutaka kujua kila kitu…
Wananchi walivyofika, wakamuulza, kuna nini? Akawajibu, nilidumbukia kwenye kisima na huyu kaka ndie amensaidia!!
Wakanipongeza sana sana kisha wakaondoka…
Yule dada akaniambia, hivyo ndivyo visa vya mwanamke anaweza kukuua au kukulinda! So muheshmu mwanamke hata kinafiki, usijfanye jeuri!!!.. soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Leo nimepita kisimani nikamkuta dada mmmoja akifua. ,Nikamuuliza eti dada unavijua visa vya wanawake??
Akajibu kaka niache, nikakomaa anijibu…
Badala ya kujbu akaanza kupiga mayowe, na kelele za kuomba msaada.. hadi wananchi wenye mapanga, mawe na mishale wakaanza kuja, dada huyo alivyoona wanakuja akajmwagia maji mwili mzima. Nikajua leo ndio mwisho wangu nikajuta sana kutaka kujua kila kitu…
Wananchi walivyofika, wakamuulza, kuna nini? Akawajibu, nilidumbukia kwenye kisima na huyu kaka ndie amensaidia!!
Wakanipongeza sana sana kisha wakaondoka…
Yule dada akaniambia, hivyo ndivyo visa vya mwanamke anaweza kukuua au kukulinda! So muheshmu mwanamke hata kinafiki, usijfanye jeuri!!!.. soma zaidi
Jinsi ya kutengeneza Mkate wa mayai
Tagsπ mapishinalishe
Slice za mkate 6
Mayai 3
Chumvi
Olive oil.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Slice za mkate 6
Mayai 3
Chumvi
Olive oil.. soma zaidi