VIDEOS-KALI
This is the Redirect module that redirects the browser directly to the "http://www.ackyshine.com/videos" page.
VIDEOS-KALI
By, Melkisedeck Shine.
Tags π gari maajabu michezo. Category πvideos,: gari maajabu michezo, Cheki dereva wa hili gari anachokifanya, πAngalia video hapa
Tags π michezo mpira ngumi vichekesho. Category πvideos,: michezo mpira ngumi vichekesho, Baadhi ya ngumi zilizowahi kutokea uwanjani, πAngalia video hapa
Tags π maajabu. Category πvideos,: maajabu, Bonge la Suprise, kibongo bongo ingekuaje kwa huyu dada?, πAngalia video hapa
Tags π maajabu mazingaumbwe. Category πvideos,: maajabu mazingaumbwe, Ukisikia mazingaumbwe haya ndiyo yenyewe, jamaa kajitenganisha miguu na kiwiliwili, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Huyu dogo anawenge, siku nyingine hawezi kurudia, πAngalia video hapa
Tags π simba wanyama. Category πvideos,: simba wanyama, Sister anaswaga simba wake taratibu, jaribu wewe uone, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Angalia kilichompata huyu jamaa, yaani pigo moja tuu mtu kule, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Imani ya huyu dada imemponza kwa huyu mwanaume, πAngalia video hapa
Tags π maajabu nyoka wanyama. Category πvideos,: maajabu nyoka wanyama, Angalia hawa wananyonga huyu joka, duh! ni noma, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Kwa wale wapenzi wa katuni angalia hii, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Wanawake jamani, shida kweli kweli, hapa alijua jamaa ndio kashapropose, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho wanyama. Category πvideos,: vichekesho wanyama, Mtanange wa majogoo, nani mbabe hapa, πAngalia video hapa
Tags π michezo pikipiki. Category πvideos,: michezo pikipiki, Haya mashindano ya pikipiki ni noma, hapa unatakiwa uwe na kipaji kweli, πAngalia video hapa
Tags π harusi vichekesho. Category πvideos,: harusi vichekesho, Bibi harusi alivyoumbuka wakati akiingia kwenye harusi yake, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Angalia huyu alivyomfanyia mwenzake anayesinzia huku akivua samaki, πAngalia video hapa
Tags π michezo vichekesho. Category πvideos,: michezo vichekesho, Haya mashindano mengine ni shida, nani kashinda hapa sasa, πAngalia video hapa
Tags π ngamia wanyama. Category πvideos,: ngamia wanyama, Kuua huyu mnyama yataka moyo, angalia anavyowasumbua hawa, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Hili jeshi la wapi? angalia wanavyokata mauno, πAngalia video hapa
Tags π maajabu. Category πvideos,: maajabu, Hizi makeup jamani zitaua watu, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Angalia huyu mwizi wa kondoo, πAngalia video hapa
.
.
Endelea kuperuzi;-π
π¬ Hapa nani kawezwa zaidiβ
π¬ Mtaalamu wa kuruka vikwazoβ
π¬ VIDEO-KUBWAβ
π¬ VIDEO-ZA-KUCHEKESHAβ
π¬ VIDEO-ZA-VICHEKESHOβ
π¬ VIDEO-ZA-INSTAβ
π¬ VIDEO-KISWAHILIβ
π¬ VIDEO-FUPIβ
π¬ VIDEO-FUPI-KALIβ
π¬ VIDEO-SASAβ
π¬ VIDEO-ASUBUHIβ
π¬ VIDEO-MCHANAβ
Maajabu ya Waafrika tunayofanya kwa jina la UTAMADUNI WETU
Tagsπ habari
Nimekopi sehemu wacha nipesti humuπππ
ππΎππΎππΎππΎππΎππΎππΎππΎ
Naipenda hii!Maajabu yetu Waafrika tuyafanyayo kwa jina la "UTAMADUNI WETU".. soma zaidi
Tagsπ habari
Nimekopi sehemu wacha nipesti humuπππ
ππΎππΎππΎππΎππΎππΎππΎππΎ
Naipenda hii!Maajabu yetu Waafrika tuyafanyayo kwa jina la "UTAMADUNI WETU".. soma zaidi
Hizi ndizo faida za kiafya za kuota jua
Tagsπ afya mapishinalishe
Kuna mambo ambayo huwa tunayachukulia ya kawaida na wala hatuko tayari kufahamu umuhimu wake. Jua ni kitu mojawapo ambacho huwa tunakiona kila siku, lakini ni mara chache tumelichunguza… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Kuna mambo ambayo huwa tunayachukulia ya kawaida na wala hatuko tayari kufahamu umuhimu wake. Jua ni kitu mojawapo ambacho huwa tunakiona kila siku, lakini ni mara chache tumelichunguza… soma zaidi
Faida za kiafya za Kula Matunda
Tagsπ mapishinalishe
Matunda yote yana faida mwilini kiafya lakini matunda yanatofautiana kifaida. Zifuatazo ni faida za kula matunda ya aina Mbalimbali;.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Matunda yote yana faida mwilini kiafya lakini matunda yanatofautiana kifaida. Zifuatazo ni faida za kula matunda ya aina Mbalimbali;.. soma zaidi
# Njia za kuzuia mimba na kupanga uzazi
Tagsπ kupanga_uzazi mimba msichana mwanamke uzazi wiki
Njia ya uzuwiaji mimba inayotumikisha homoni kwa kubadilisha rutuba (upevu) kwa kuzuia yai kusitotoka,
kuzuia chembechembe za kiume na kubadili njia ya uterasi. Ni yenye manufaa makubwa ila yanaweza
kuwa na mazara. Hizo mbinu hazikingi mtu zidi ya magonjwa yanayoambukiza kupitia zinaa (ngono)… soma zaidi
Tagsπ kupanga_uzazi mimba msichana mwanamke uzazi wiki
Njia ya uzuwiaji mimba inayotumikisha homoni kwa kubadilisha rutuba (upevu) kwa kuzuia yai kusitotoka,
kuzuia chembechembe za kiume na kubadili njia ya uterasi. Ni yenye manufaa makubwa ila yanaweza
kuwa na mazara. Hizo mbinu hazikingi mtu zidi ya magonjwa yanayoambukiza kupitia zinaa (ngono)… soma zaidi
Je, kisimi cha mwanamke kikisuguliwa kwa vidole atafikia mshindo? Na kuna madhara yoyote ?
Tagsπ wiki
Ni kweli kwamba kuna sehemu za mwili ambazo zikiguswa huleta msisimko mwilini… soma zaidi
Tagsπ wiki
Ni kweli kwamba kuna sehemu za mwili ambazo zikiguswa huleta msisimko mwilini… soma zaidi
Je, ni kweli kuwa madhara ya uvutaji moshi wa sigara yako ni kidogo kuliko yale yatokananyo na kuvuta moshi kutoka kwa mvutaji a
Tagsπ a aina ambayo cha hadi hakuna itokanayo je jirani kama karibu kidogo kitu kuichuja. kuliko kuna kutoka kutumia kuvuta kuwa kwa kweli kwenye madhara madhara. mapafu mdomo moja moja. moshi mvutaji mwingine na ni nitasimama nyingi sababu sigara siyo sumu tagi: tumbaku una unaweza upande utapata utavuta uvutaji viungo vyako. wa ya yako yale yatokananyo za zote wiki
Uvutaji wa aina zote una madhara. Kama utavuta sigara na
kuvuta moshi kwa kutumia mdomo hadi kwenye mapafu yako
utapata madhara moja kwa moja kwenye viungo vyako.
Kama nitasimama karibu na mvutaji na kuvuta moshi, kuna
madhara ambayo siyo ya moja kwa moja. Kwa upande mwingine
kama jirani wa mvutaji unaweza kuvuta sumu nyingi itokanayo
na tumbaku kwa sababu hakuna kitu cha kuichuja. Sigara za
viwandani zina kishungi ambacho huchuja tindikali mbalimbali
zenye sumu, kama vile kaboni na asidi ya magamba ya miti,
ambazo zina madhara kwa mapafu… soma zaidi
Tagsπ a aina ambayo cha hadi hakuna itokanayo je jirani kama karibu kidogo kitu kuichuja. kuliko kuna kutoka kutumia kuvuta kuwa kwa kweli kwenye madhara madhara. mapafu mdomo moja moja. moshi mvutaji mwingine na ni nitasimama nyingi sababu sigara siyo sumu tagi: tumbaku una unaweza upande utapata utavuta uvutaji viungo vyako. wa ya yako yale yatokananyo za zote wiki
Uvutaji wa aina zote una madhara. Kama utavuta sigara na
kuvuta moshi kwa kutumia mdomo hadi kwenye mapafu yako
utapata madhara moja kwa moja kwenye viungo vyako.
Kama nitasimama karibu na mvutaji na kuvuta moshi, kuna
madhara ambayo siyo ya moja kwa moja. Kwa upande mwingine
kama jirani wa mvutaji unaweza kuvuta sumu nyingi itokanayo
na tumbaku kwa sababu hakuna kitu cha kuichuja. Sigara za
viwandani zina kishungi ambacho huchuja tindikali mbalimbali
zenye sumu, kama vile kaboni na asidi ya magamba ya miti,
ambazo zina madhara kwa mapafu… soma zaidi
Kwa nini watu wengine hupenda kujamiiana na watu wa jinsi sawasawa? mapenzi ya jinsia moja
Tagsπ wiki
Ni vigumu kutoa jibu kamili kwa nini hisia hii i ii inatokea kwa watu wengine, kwa sababu wataalamu bado wanalifanyia utafiti… soma zaidi
Tagsπ wiki
Ni vigumu kutoa jibu kamili kwa nini hisia hii i ii inatokea kwa watu wengine, kwa sababu wataalamu bado wanalifanyia utafiti… soma zaidi
JINSIA NA MAHUSIANO KWA MSICHANA
Tagsπ au desturi haki hali haya hiyo hizi husika. hutoa huwa huzaliwa ile jamii jinsi jinsia kati kibaiolojia kijamii kijinsia kike kike. kiume kutokana kuwa kwa la maana mahusiano majukumu malezi maumbile mbili. mgawanyo mila mtu mtu. na ni pamoja siyo swala uzazi viungo vya wa wajibu wakiwa wanaume wanawake wanawake. watu ya yanayoamua yanayoamuliwa za wiki
Jinsia ni ile hali ya kuwa mtu wa kiume au wa kike. Ni swala la mahusiano kati ya wanaume na wanawake yanayoamuliwa na mila na desturi za jamii husika. Mahusiano haya ya kijinsia hutoa mgawanyo wa haki, wajibu na majukumu kwa jinsia hizi mbili. Kwa maana hiyo siyo maumbile ya kibaiolojia ya viungo vya uzazi yanayoamua jinsia ya mtu.
Watu huzaliwa wakiwa na jinsi ya kike au kiume na kutokana na malezi pamoja na mgawanyo wa majukumu ya kijamii, huwa wanaume au wanawake. Majukumu ya kijinsia hutofautiana kati ya nchi moja na nyingine, kati ya kabila moja na jingine. Katika mahusiano bora ya kijinsia ni lazima haki za kijinsia ziheshimiwe. Msichana anayo haki ya kutawala mwili wake mwenyewe na kuamua kuhusu mahusiano yake na wengine kwa namna ambayo inadumisha afya na ustawi wake kwa mjibu wa sheria na taratibu za jamii… soma zaidi
Tagsπ au desturi haki hali haya hiyo hizi husika. hutoa huwa huzaliwa ile jamii jinsi jinsia kati kibaiolojia kijamii kijinsia kike kike. kiume kutokana kuwa kwa la maana mahusiano majukumu malezi maumbile mbili. mgawanyo mila mtu mtu. na ni pamoja siyo swala uzazi viungo vya wa wajibu wakiwa wanaume wanawake wanawake. watu ya yanayoamua yanayoamuliwa za wiki
Jinsia ni ile hali ya kuwa mtu wa kiume au wa kike. Ni swala la mahusiano kati ya wanaume na wanawake yanayoamuliwa na mila na desturi za jamii husika. Mahusiano haya ya kijinsia hutoa mgawanyo wa haki, wajibu na majukumu kwa jinsia hizi mbili. Kwa maana hiyo siyo maumbile ya kibaiolojia ya viungo vya uzazi yanayoamua jinsia ya mtu.
Watu huzaliwa wakiwa na jinsi ya kike au kiume na kutokana na malezi pamoja na mgawanyo wa majukumu ya kijamii, huwa wanaume au wanawake. Majukumu ya kijinsia hutofautiana kati ya nchi moja na nyingine, kati ya kabila moja na jingine. Katika mahusiano bora ya kijinsia ni lazima haki za kijinsia ziheshimiwe. Msichana anayo haki ya kutawala mwili wake mwenyewe na kuamua kuhusu mahusiano yake na wengine kwa namna ambayo inadumisha afya na ustawi wake kwa mjibu wa sheria na taratibu za jamii… soma zaidi
Soma hapa wewe kijana wa kiume
Tagsπ mahusiano
Nawaandikia ninyi vijana wa kiume na wanaume wote,
maana mna nguvu na mmejaliwa na mwenyezi Mungu utashi,
hekima na busara ili muweze kutawala kila kitu tokea kuumbwa kwa misingi ya ulimwengu huu… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Nawaandikia ninyi vijana wa kiume na wanaume wote,
maana mna nguvu na mmejaliwa na mwenyezi Mungu utashi,
hekima na busara ili muweze kutawala kila kitu tokea kuumbwa kwa misingi ya ulimwengu huu… soma zaidi
Dondoo muhimu kwa Afya yako unapostuka usiku
Tagsπ mapishinalishe
Kumekuwepo na tatizo la vifo vya ghafla sana tena kwa watu ambao wana afya njema na hii inatokana na kuamka ghafla usiku ambapo ubongo hukisa damu ya kutosha… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Kumekuwepo na tatizo la vifo vya ghafla sana tena kwa watu ambao wana afya njema na hii inatokana na kuamka ghafla usiku ambapo ubongo hukisa damu ya kutosha… soma zaidi
Kutengeneza jiko la udongo
Tagsπ cha jiko kipande kutengeneza la mchanga metali/chuma mfinyanzi mgomba shina stoveβ tagi: udongo vifaa vya wa βrocket wiki
Kutengeneza Jiko la Udongo Mfinyanzi
βRocket Stoveβ.. soma zaidi
Tagsπ cha jiko kipande kutengeneza la mchanga metali/chuma mfinyanzi mgomba shina stoveβ tagi: udongo vifaa vya wa βrocket wiki
Kutengeneza Jiko la Udongo Mfinyanzi
βRocket Stoveβ.. soma zaidi
Jinsi ya kupika Pilau ya Mpunga Na Nyama Ya Ngβombe
Tagsπ mapishinalishe
Mpunga - 4 vikombe.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mpunga - 4 vikombe.. soma zaidi
MADHARA YA KUPIGA PUNYETO AU KUJICHUA
Tagsπ punyeto wiki
Punyeto ni nini?
Hii ni tabia ambayo mwanamke au mwanaume anajichua sehemu za siri ili kufika kileleni, mara nyingi kitendo hiki hufanyika na muhusika akiwa peke yake chumbani au bafuni.
Wahanga wengi wa tabia hii ni wanaume kwani huanza katika umri mdogo sana kwasababu ya uoga wa kufuata wasichana na kuangalia video za ngono ambazo huwasukuma kufanya vitendo hivi..
Lakini punyeto huambatana na madhara makubwa ya kijamii na kiafya na leo tutaangalia madhara hayo kumi ya punyeto…. soma zaidi
Tagsπ punyeto wiki
Punyeto ni nini?
Hii ni tabia ambayo mwanamke au mwanaume anajichua sehemu za siri ili kufika kileleni, mara nyingi kitendo hiki hufanyika na muhusika akiwa peke yake chumbani au bafuni.
Wahanga wengi wa tabia hii ni wanaume kwani huanza katika umri mdogo sana kwasababu ya uoga wa kufuata wasichana na kuangalia video za ngono ambazo huwasukuma kufanya vitendo hivi..
Lakini punyeto huambatana na madhara makubwa ya kijamii na kiafya na leo tutaangalia madhara hayo kumi ya punyeto…. soma zaidi
Nini kifanyike nini kwa mtu ambaye hafikii kilele au mshindo wakati anapofanya mapenzi?
Tagsπ wiki
Kwa mwanaume, dalili ya kufikia mshindo ni uume kusimama halafu kumwaga manii . Manii kutotoka wakati wa kujamii ana inaweza kusababishwa na mambo mengi. Kutoa manii kunatumia nguvu nyingi za mwili… soma zaidi
Tagsπ wiki
Kwa mwanaume, dalili ya kufikia mshindo ni uume kusimama halafu kumwaga manii . Manii kutotoka wakati wa kujamii ana inaweza kusababishwa na mambo mengi. Kutoa manii kunatumia nguvu nyingi za mwili… soma zaidi
Mapishi ya Viazi vitamu na kachumbari
Tagsπ mapishinalishe
Viazi utamu 3
Nyanya 2 kubwa
Kitunguu
Tango
Limao
Chumvi
Pilipili
Mafuta (vegetable oil).. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Viazi utamu 3
Nyanya 2 kubwa
Kitunguu
Tango
Limao
Chumvi
Pilipili
Mafuta (vegetable oil).. soma zaidi
Mapishi ya Firigisi za kuku
Tagsπ mapishinalishe
Filigisi (chicken gizzard) 1/2 kilo
Carrot iliyokwanguliwa 1
Nyanya 1/2 kopo
Vitunguu maji 1 kikubwa
Tangawizi/swaum 1 kijiko cha chai
Hoho 1 iliyokatwakatwa
Limao 1/2
Chumvi
Curry powder 1/2 kijiko cha chai
Turmaric 1/2 kijiko cha chai
Chilli powder 1/4 kijiko cha chai
Mafuta
Chopped coriander.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Filigisi (chicken gizzard) 1/2 kilo
Carrot iliyokwanguliwa 1
Nyanya 1/2 kopo
Vitunguu maji 1 kikubwa
Tangawizi/swaum 1 kijiko cha chai
Hoho 1 iliyokatwakatwa
Limao 1/2
Chumvi
Curry powder 1/2 kijiko cha chai
Turmaric 1/2 kijiko cha chai
Chilli powder 1/4 kijiko cha chai
Mafuta
Chopped coriander.. soma zaidi
Kwa nini hairuhususiwi kuotesha au kuvuta bangi, iwapo kupanda na kuvuta tumbaku kunaruhusiwa?
Tagsπ au bangi basi dawa hadi hairuhususiwi halali halali. hamsini hata hatua hivyo ilichukua iliyomo iliyopita imekubalika ina inaeleza iwapo jamii kama katika kisheria kuanza kukubalika. kunaruhusiwa? kuotesha kupanda kutokana kuvuta kuwatahadhadharisha kuwazuia kwa kwamba kwenye lakini madhara miaka mrefu muda mwingine na ndipo ni nikotini nini sasa serikali sheria si sigara sigara. tanzania tanzania. tumbaku upande vijana wavutaji ya yalipoanza yatakanayo zilizo zisizo wiki
Sheria ya Tanzania inaeleza dawa zilizo halali na zisizo halali.
Tumbaku imekubalika na jamii kwa muda mrefu, na ni katika
miaka kama hamsini iliyopita ndipo madhara yatakanayo na
nikotini iliyomo kwenye tumbaku yalipoanza kukubalika. Hata
hivyo, hadi sasa tumbaku ni halali, lakini ni bangi kwa upande
mwingine si halali kisheria Tanzania.
Kwa hivyo, kutokana na kwamba nikotini kwenye sigara
ina madhara, basi serikali ilichukua hatua ya kuanza
kuwatahadhadharisha wavutaji na kuwazuia vijana kuvuta sigara.
Kuna sheria mpya Tanzania ambayo inawalazimisha
watengenezaji wa bidhaa za tumbaku kuandika tahadhari
ya afya kwenye bidhaa wanazotengeneza na kuuza. Kuanzia
mwaka 2000 bidhaa za tumbaku zote zililazimika kuwa na onyo
kwamba βUvutuaji wa sigara ni hatari kwa afya yako.β.. soma zaidi
Tagsπ au bangi basi dawa hadi hairuhususiwi halali halali. hamsini hata hatua hivyo ilichukua iliyomo iliyopita imekubalika ina inaeleza iwapo jamii kama katika kisheria kuanza kukubalika. kunaruhusiwa? kuotesha kupanda kutokana kuvuta kuwatahadhadharisha kuwazuia kwa kwamba kwenye lakini madhara miaka mrefu muda mwingine na ndipo ni nikotini nini sasa serikali sheria si sigara sigara. tanzania tanzania. tumbaku upande vijana wavutaji ya yalipoanza yatakanayo zilizo zisizo wiki
Sheria ya Tanzania inaeleza dawa zilizo halali na zisizo halali.
Tumbaku imekubalika na jamii kwa muda mrefu, na ni katika
miaka kama hamsini iliyopita ndipo madhara yatakanayo na
nikotini iliyomo kwenye tumbaku yalipoanza kukubalika. Hata
hivyo, hadi sasa tumbaku ni halali, lakini ni bangi kwa upande
mwingine si halali kisheria Tanzania.
Kwa hivyo, kutokana na kwamba nikotini kwenye sigara
ina madhara, basi serikali ilichukua hatua ya kuanza
kuwatahadhadharisha wavutaji na kuwazuia vijana kuvuta sigara.
Kuna sheria mpya Tanzania ambayo inawalazimisha
watengenezaji wa bidhaa za tumbaku kuandika tahadhari
ya afya kwenye bidhaa wanazotengeneza na kuuza. Kuanzia
mwaka 2000 bidhaa za tumbaku zote zililazimika kuwa na onyo
kwamba βUvutuaji wa sigara ni hatari kwa afya yako.β.. soma zaidi
Maisha ya Wasichana Wa facebook na instagram
Tagsπ mahusiano
MAISHA ya DADA zetu FACEBOOK na INSTAGRAM
Wiki ya kwanza
Status:"Location flani amazing"
"Having fun"
"I love my life"
"sijali mnayosema nafanya nachotaka".. soma zaidi
Tagsπ mahusiano
MAISHA ya DADA zetu FACEBOOK na INSTAGRAM
Wiki ya kwanza
Status:"Location flani amazing"
"Having fun"
"I love my life"
"sijali mnayosema nafanya nachotaka".. soma zaidi
Mama Kaenda kupumzika Mimi Nimebaki kukulinda
Tagsπ habari
Juzi nilihudhuria msiba wa rafiki yangu mmoja na mkewe. Yeye na mkewe walifariki kwa ajali ya gari, wameacha watoto wawili mmoja wa miaka kumi na mwingine wa miaka minne wakike, mkubwa ni wakiume… soma zaidi
Tagsπ habari
Juzi nilihudhuria msiba wa rafiki yangu mmoja na mkewe. Yeye na mkewe walifariki kwa ajali ya gari, wameacha watoto wawili mmoja wa miaka kumi na mwingine wa miaka minne wakike, mkubwa ni wakiume… soma zaidi
Mapishi ya Wali Wa Nyanya Wa Kukaanga
Tagsπ mapishinalishe
Mchele basmati, pishori - 3 vikombe.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mchele basmati, pishori - 3 vikombe.. soma zaidi
Je, kuna madhara gani usipooga baada ya kujamiiana?
Tagsπ wiki
Hakuna madhara yoyote ya msingi anayopata mtu asipooga baada ya kujamiiana. Isipokuwa kwa ajili ya kutunza usafi, mnashauriwa kunawa via vya uzazi mara baada ya tendo la kujamii ana… soma zaidi
Tagsπ wiki
Hakuna madhara yoyote ya msingi anayopata mtu asipooga baada ya kujamiiana. Isipokuwa kwa ajili ya kutunza usafi, mnashauriwa kunawa via vya uzazi mara baada ya tendo la kujamii ana… soma zaidi
Je, mwanamke ambaye ana hedhi kila mwezi, inawezekana kuwa mgumba?
Tagsπ wiki
Ndiyo, i inawezekana kwamba mwanamke anayepata hedhi yake kila mwezi akawa mgumba. Na vilevile i inawezekana kwamba mwanamke asiyepata hedhi kila mwezi siyo mgumba.
Ni kweli kwamba kuna uhusiano fulani kati ya hedhi na uwezo wa kupata mimba. Kupata hedhi kila mwezi i i inamaanisha kuwa mwanamke anao uwezi wa kutengeneza yai kila mwezi. Hata hivyo, siyo rahisi kuwa na uhakika i iwapo mirija ya kupitisha yai inaweza kulipitisha yai hilo kutoka kwenye kokwa hadi kwenye tumbo la uzazi. Kwa hiyo hata mwanamke ambaye anapata hedhi kila mwezi anaweza kuwa mgumba.
Ili mwanamke awe na uhakika kama ni mgumba au la, ni vyema akamwone daktari kwa ajili ya uchunguzi… soma zaidi
Tagsπ wiki
Ndiyo, i inawezekana kwamba mwanamke anayepata hedhi yake kila mwezi akawa mgumba. Na vilevile i inawezekana kwamba mwanamke asiyepata hedhi kila mwezi siyo mgumba.
Ni kweli kwamba kuna uhusiano fulani kati ya hedhi na uwezo wa kupata mimba. Kupata hedhi kila mwezi i i inamaanisha kuwa mwanamke anao uwezi wa kutengeneza yai kila mwezi. Hata hivyo, siyo rahisi kuwa na uhakika i iwapo mirija ya kupitisha yai inaweza kulipitisha yai hilo kutoka kwenye kokwa hadi kwenye tumbo la uzazi. Kwa hiyo hata mwanamke ambaye anapata hedhi kila mwezi anaweza kuwa mgumba.
Ili mwanamke awe na uhakika kama ni mgumba au la, ni vyema akamwone daktari kwa ajili ya uchunguzi… soma zaidi
Mchemsho wa samaki na viazi
Tagsπ mapishinalishe
Samaki mbichi (1)
Viazi mbatata (3)
Nyanya (1)
Kitunguu maji
Limao
Kitunguu saumu
Tangawizi
Chumvi
Pilipili
Vegetable oil.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Samaki mbichi (1)
Viazi mbatata (3)
Nyanya (1)
Kitunguu maji
Limao
Kitunguu saumu
Tangawizi
Chumvi
Pilipili
Vegetable oil.. soma zaidi
Kisa cha baba mzee na mwanae
Tagsπ hadithi
Mtoto alifanya maamuzi ya kumpeleka baba yake ambaye alikuwa Mzee sana kwenye Makazi Maalum ya kulelea wazee ya Kanisa Katoliki iliyokuwa CHINI ya uratibu wa Padre. Alifanya hivyo Baada ya kushauriwa Na mkewe aliyekuwa akiona Ni kero kumlea baba Mkwe wake nyumbani kwao… soma zaidi
Tagsπ hadithi
Mtoto alifanya maamuzi ya kumpeleka baba yake ambaye alikuwa Mzee sana kwenye Makazi Maalum ya kulelea wazee ya Kanisa Katoliki iliyokuwa CHINI ya uratibu wa Padre. Alifanya hivyo Baada ya kushauriwa Na mkewe aliyekuwa akiona Ni kero kumlea baba Mkwe wake nyumbani kwao… soma zaidi
mama anayenyonyesha mtoto anaweza kupata mimba
Tagsπ (muda ameanza anampa ananyonya anapata anapohitaji) anaweza anayenyonyesha anyonye anyonyeshe asilimia au awe baada chakula hajaanza hedhi i inabidi kama katika kila kinga kingine kipindi kirefu kubwa. kujifungua kupata kwa lakini mama maziwa miezi mimba mtoto mwanamke mwanzo na sita tena. tu vilevile wote ya yake yake. wiki
Katika miezi sita ya mwanzo baada ya kujifungua, mwanamke anayenyonyesha mtoto anapata kinga ya mimba kwa asilimia kubwa. Lakini i i inabidi mama anyonyeshe mtoto kwa kipindi kirefu (muda wote mtoto awe ananyonya maziwa ya mama tu na anyonye kila anapohitaji) na vilevile mama awe hajaanza kupata hedhi yake. Kama mama ameanza kupata hedhi yake au kama anampa mtoto chakula kingine, anaweza kupata mimba tena. Kwa hivyo, anashauriwa kutumia njia za kupanga uzazi i i ili kuzuia mimba za mfululizo… soma zaidi
Tagsπ (muda ameanza anampa ananyonya anapata anapohitaji) anaweza anayenyonyesha anyonye anyonyeshe asilimia au awe baada chakula hajaanza hedhi i inabidi kama katika kila kinga kingine kipindi kirefu kubwa. kujifungua kupata kwa lakini mama maziwa miezi mimba mtoto mwanamke mwanzo na sita tena. tu vilevile wote ya yake yake. wiki
Katika miezi sita ya mwanzo baada ya kujifungua, mwanamke anayenyonyesha mtoto anapata kinga ya mimba kwa asilimia kubwa. Lakini i i inabidi mama anyonyeshe mtoto kwa kipindi kirefu (muda wote mtoto awe ananyonya maziwa ya mama tu na anyonye kila anapohitaji) na vilevile mama awe hajaanza kupata hedhi yake. Kama mama ameanza kupata hedhi yake au kama anampa mtoto chakula kingine, anaweza kupata mimba tena. Kwa hivyo, anashauriwa kutumia njia za kupanga uzazi i i ili kuzuia mimba za mfululizo… soma zaidi
Mambo usiyoyajua kuhusu ugonjwa wa Pumu
Tagsπ mapishinalishe
Asthma /pumu ni ugonjwa sugu ambao huathiri njia ya hewa ambazo huingiza na kutoa hewa katika mapafu, pia hufanya kuta za ndani ya njia ya hewa kuvimba na hivyo hupunguza kiasi cha hewa kinachoingia na kutoka ktk mapafu, Hali hii husababisha mgonjwa kutoa mlio kama wa filimbi/mluzi wakati wa kupumua, kifua kubana, kushindwa kupumua vizuri na kukohoa sana, watu wa pumu huwa na dalil hizo nyakat za usiku na asubuhi sana pia ugonjwa huu huwaathiri watu wa Rika zote ingawaje Mara nying huwaathiri watoto kwa sababu huanza utoton na hivyo takriban MILION 6 ya watoto wanaumwa pumu na watu takriban 255,000 hufa kila mwaka kwa ugonjwa huu… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Asthma /pumu ni ugonjwa sugu ambao huathiri njia ya hewa ambazo huingiza na kutoa hewa katika mapafu, pia hufanya kuta za ndani ya njia ya hewa kuvimba na hivyo hupunguza kiasi cha hewa kinachoingia na kutoka ktk mapafu, Hali hii husababisha mgonjwa kutoa mlio kama wa filimbi/mluzi wakati wa kupumua, kifua kubana, kushindwa kupumua vizuri na kukohoa sana, watu wa pumu huwa na dalil hizo nyakat za usiku na asubuhi sana pia ugonjwa huu huwaathiri watu wa Rika zote ingawaje Mara nying huwaathiri watoto kwa sababu huanza utoton na hivyo takriban MILION 6 ya watoto wanaumwa pumu na watu takriban 255,000 hufa kila mwaka kwa ugonjwa huu… soma zaidi
Maisha magumu ya changamoto ya mke na mme
Tagsπ hadithi
Nilianza kujisikia vibaya hata kabla ya kufunga ndoa. Nakumbuka miezi mitatu kabla wakati tukiwa katika maandalizi maandalizi ya Bashiri kuja nyumbani kuleta mahari miguu ilianza kuuma kiasi cha kushindwa hata kutembea. Mama ainikanda mara kwa mara na ilikuwa ikivimba na kutoa maji kama vile jasho lakini la baridi… soma zaidi
Tagsπ hadithi
Nilianza kujisikia vibaya hata kabla ya kufunga ndoa. Nakumbuka miezi mitatu kabla wakati tukiwa katika maandalizi maandalizi ya Bashiri kuja nyumbani kuleta mahari miguu ilianza kuuma kiasi cha kushindwa hata kutembea. Mama ainikanda mara kwa mara na ilikuwa ikivimba na kutoa maji kama vile jasho lakini la baridi… soma zaidi
Mapishi ya Ugali Kwa Mchuzi Wa Nazi Wa Nyanya Chungu/Mshumaa/Ngogwe Na Bamia, Mboga Ya Matembele Na Samaki Wa Kukaanga
Tagsπ mapishinalishe
Unga wa mahindi - 4.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Unga wa mahindi - 4.. soma zaidi
Mapishi ya Tambi za sukari
Tagsπ mapishinalishe
Tambi (spaghetti 1/2 ya packet)
Mafuta (vegetable oil)
Sukari (sugar 1/2 kikombe cha chai)
Hiliki (cardamon 1/2 kijiko cha chai)
Chumvi (salt 1/2 kijiko cha chai)
Tui la nazi (coconut oil 1 kikombe cha chai)
Maji kiasi.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Tambi (spaghetti 1/2 ya packet)
Mafuta (vegetable oil)
Sukari (sugar 1/2 kikombe cha chai)
Hiliki (cardamon 1/2 kijiko cha chai)
Chumvi (salt 1/2 kijiko cha chai)
Tui la nazi (coconut oil 1 kikombe cha chai)
Maji kiasi.. soma zaidi
Jinsi ya kufanya kupunguza mwili kwa kupanga ulaji wa chakula
Tagsπ afya mapishinalishe
Ulaji wa vyakula vingi vya wanga na mafuta ni chanzo kikubwa cha unene na uzito kuongezeka. Vyakula kama ugali,wali,mkate mweupe,bia na pombe za kienyeji zinazotokana na wanga (kimea) huchangia kuongezeka kwa uzito. Matumizi ya aina hii ya chakula ni muhimu kupunguzwa katika mlo wako… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Ulaji wa vyakula vingi vya wanga na mafuta ni chanzo kikubwa cha unene na uzito kuongezeka. Vyakula kama ugali,wali,mkate mweupe,bia na pombe za kienyeji zinazotokana na wanga (kimea) huchangia kuongezeka kwa uzito. Matumizi ya aina hii ya chakula ni muhimu kupunguzwa katika mlo wako… soma zaidi
Maisha magumu ya changamoto ya mke na mme
Tagsπ hadithi
Nilianza kujisikia vibaya hata kabla ya kufunga ndoa. Nakumbuka miezi mitatu kabla wakati tukiwa katika maandalizi maandalizi ya Bashiri kuja nyumbani kuleta mahari miguu ilianza kuuma kiasi cha kushindwa hata kutembea. Mama ainikanda mara kwa mara na ilikuwa ikivimba na kutoa maji kama vile jasho lakini la baridi… soma zaidi
Tagsπ hadithi
Nilianza kujisikia vibaya hata kabla ya kufunga ndoa. Nakumbuka miezi mitatu kabla wakati tukiwa katika maandalizi maandalizi ya Bashiri kuja nyumbani kuleta mahari miguu ilianza kuuma kiasi cha kushindwa hata kutembea. Mama ainikanda mara kwa mara na ilikuwa ikivimba na kutoa maji kama vile jasho lakini la baridi… soma zaidi
Ushauri kuhusu mwanamke wa kufaa kuoa
Tagsπ mahusiano
Nawaandikia ninyi vijana wa kiume na wanaume wote, maana mna nguvu na mmejaliwa na mwenyezi Mungu utashi, hekima na busara. Yote hayo ni ili muweze kutawala kila kitu tokea kuumbwa kwa misingi ya ulimwengu huu. Wekeni wivu pembeni na Yafuateni haya;.. soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Nawaandikia ninyi vijana wa kiume na wanaume wote, maana mna nguvu na mmejaliwa na mwenyezi Mungu utashi, hekima na busara. Yote hayo ni ili muweze kutawala kila kitu tokea kuumbwa kwa misingi ya ulimwengu huu. Wekeni wivu pembeni na Yafuateni haya;.. soma zaidi
Naomba majibu! Ungekua wewe ungefanjaje?
Tagsπ mahusiano
Nisaidie hili :
KUNA BWANA 1 MKAZI WA UNGUJA, ILA yupo London akawaagiza nduguze wamuolee MKE, wakamuolea… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Nisaidie hili :
KUNA BWANA 1 MKAZI WA UNGUJA, ILA yupo London akawaagiza nduguze wamuolee MKE, wakamuolea… soma zaidi
Je, mwanaume anaweza akajua kama amempa msichana mimba siku ileile walipojamiiana?
Tagsπ wiki
Hapana, hamna njia ya kufahamu kama amempa msichana mimba siku i ileile wanapojamii ana. Inachukua muda kwa mwili kuonyesha dalili za mimba.
Msichana akitaka kwenda kliniki kupimwa mkojo, kwanza ahesabu tarehe i ipi alikuwa anategemea kupata hedhi yake.
Kama anakosa hedhi katika muda aliotegemea, i itambidi aende kliniki. Mimba i inaonekana kwenye kipimo cha mkojo wakati ambapo mwanamke alitakiwa kwenda mwezini. Msichana akienda kupimwa mkojo kabla, hali halisi kuhusiana na ujauzito haiwezi kutambuliwa… soma zaidi
Tagsπ wiki
Hapana, hamna njia ya kufahamu kama amempa msichana mimba siku i ileile wanapojamii ana. Inachukua muda kwa mwili kuonyesha dalili za mimba.
Msichana akitaka kwenda kliniki kupimwa mkojo, kwanza ahesabu tarehe i ipi alikuwa anategemea kupata hedhi yake.
Kama anakosa hedhi katika muda aliotegemea, i itambidi aende kliniki. Mimba i inaonekana kwenye kipimo cha mkojo wakati ambapo mwanamke alitakiwa kwenda mwezini. Msichana akienda kupimwa mkojo kabla, hali halisi kuhusiana na ujauzito haiwezi kutambuliwa… soma zaidi
Mapishi ya Ndizi za nazi na utumbo
Tagsπ mapishinalishe
Ndizi mshale 10
Utumbo wa ng'ombe 1/2 kilo
Nazi ya kopo 1
Nyanya 1
Kitunguu kikubwa 1
Tangawizi/ swaum 1 kijiko cha chakula
Olive oil kiasi
Limao 1
Chumvi
Curry powder 1 kijiko cha chai
Turmaric 1/2 kijiko cha chai
Coriander ya powder 1/2 kijiko cha chai
Pilipili ya unga 1/2 kijiko cha chai
Pilipili kali nzima (usiipasue).. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Ndizi mshale 10
Utumbo wa ng'ombe 1/2 kilo
Nazi ya kopo 1
Nyanya 1
Kitunguu kikubwa 1
Tangawizi/ swaum 1 kijiko cha chakula
Olive oil kiasi
Limao 1
Chumvi
Curry powder 1 kijiko cha chai
Turmaric 1/2 kijiko cha chai
Coriander ya powder 1/2 kijiko cha chai
Pilipili ya unga 1/2 kijiko cha chai
Pilipili kali nzima (usiipasue).. soma zaidi
Jinsi ya kupika Pilau Ya Samaki WaTuna Na Mboga
Tagsπ (frozen (samaki/jodari) 1 2 3 6 barafu cha chembe chumvi garam jinsi karafuu kiasi kijiko kitungu kitunguu kopo kupika mafuta maji masala mbichi mboga mchanganyiko mchele mdalasini mug mugs na nyanya nzima pilau pilipili samaki saumu(thomu/galic) supu tagi: tangawizi tuna veg) viambaupishi viazi vijiko vijiti vya watuna ya za Β½ mapishinalishe
Mchele 2 Mugs.. soma zaidi
Tagsπ (frozen (samaki/jodari) 1 2 3 6 barafu cha chembe chumvi garam jinsi karafuu kiasi kijiko kitungu kitunguu kopo kupika mafuta maji masala mbichi mboga mchanganyiko mchele mdalasini mug mugs na nyanya nzima pilau pilipili samaki saumu(thomu/galic) supu tagi: tangawizi tuna veg) viambaupishi viazi vijiko vijiti vya watuna ya za Β½ mapishinalishe
Mchele 2 Mugs.. soma zaidi
Faida za kufanya Masaji kiafya
Tagsπ mapishinalishe
Masaji kushuka kwa homoni inayohusika na kupunguza maambukizi mbalimbali homoni ijulikanayo kama βcytokinesβ vile vile masaji inashusha homoni inayohusika na matendo ya mashari homoni ijulikanayo kama βcortisolβ… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Masaji kushuka kwa homoni inayohusika na kupunguza maambukizi mbalimbali homoni ijulikanayo kama βcytokinesβ vile vile masaji inashusha homoni inayohusika na matendo ya mashari homoni ijulikanayo kama βcortisolβ… soma zaidi
# Mbinu Bora za Ujasiriamali
Tagsπ biashara elimu fursa masoko mbinu ujasiriamali wiki
Tagsπ biashara elimu fursa masoko mbinu ujasiriamali wiki
Ujasiriamali ni uwezo wa kubaini na utayari wa kuanzisha shughuli ya kiuchumi bila kujali hatari za kibiashara zinazoweza kujitokeza… soma zaidi
Jinsi ya kulima matango
Tagsπ (cucumber) ardhini arusha biashara chakula. cucumber fito hata hili huoza. hustawi jinsi katika kilimanjaro kulima kulimwa kuwekea kwa kwani la matango matunda mazao mboga mikoa muhimu na nchini ni nje pia pwani. tagi: tanga tanzania tanzania. vizuri wingi ya yake yakilala zao wiki
Matango (cucumber) ni zao muhimu katika mazao ya mboga na matunda nchini Tanzania na hata nje ya Tanzania. Ni vizuri kuwekea matango fito kwani matunda yake yakilala ardhini huoza. Hili ni zao la biashara, pia chakula. Zao hili hustawi na kulimwa kwa wingi katika mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Tanga na Pwani… soma zaidi
Tagsπ (cucumber) ardhini arusha biashara chakula. cucumber fito hata hili huoza. hustawi jinsi katika kilimanjaro kulima kulimwa kuwekea kwa kwani la matango matunda mazao mboga mikoa muhimu na nchini ni nje pia pwani. tagi: tanga tanzania tanzania. vizuri wingi ya yake yakilala zao wiki
Matango (cucumber) ni zao muhimu katika mazao ya mboga na matunda nchini Tanzania na hata nje ya Tanzania. Ni vizuri kuwekea matango fito kwani matunda yake yakilala ardhini huoza. Hili ni zao la biashara, pia chakula. Zao hili hustawi na kulimwa kwa wingi katika mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Tanga na Pwani… soma zaidi
Mapishi ya Supu Ya Maboga
Tagsπ mapishinalishe
Blue band vijiko vikubwa 2
Maziwa vikombe 2
Royco kijiko kikubwa 1-2
Pilipili manga (unga) kijiko cha 1
Chumvi kiasi Maji lita 2-3
Boga kipande Β½
Viazi mviringo 2
Vitunguu 2
Karoti 2
Nyanya 2.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Blue band vijiko vikubwa 2
Maziwa vikombe 2
Royco kijiko kikubwa 1-2
Pilipili manga (unga) kijiko cha 1
Chumvi kiasi Maji lita 2-3
Boga kipande Β½
Viazi mviringo 2
Vitunguu 2
Karoti 2
Nyanya 2.. soma zaidi
Jinsi ya kulima karanga bora
Tagsπ ajili ambayo bora cha chakula chini duniani hulimwa jamii jinsi karanga katika kidogo kilimo kiwango kubwa kulima kunde kutokana kutokuwa kwa lengo likiwa maarufu mafuta magonjwa malisho mbegu mifugo. miongoni moja mvua mwa mzungunguko. na nchini ni pamoja sana tagi: tanzania teknolojia uhakika uhakika. uzalishaji wa wadudu wakulima ya za zao wiki
Ni moja ya jamii ya kunde, ambayo hulimwa lengo kubwa likiwa ni uzalishaji wa mafuta, chakula na malisho kwa ajili ya mifugo… soma zaidi
Tagsπ ajili ambayo bora cha chakula chini duniani hulimwa jamii jinsi karanga katika kidogo kilimo kiwango kubwa kulima kunde kutokana kutokuwa kwa lengo likiwa maarufu mafuta magonjwa malisho mbegu mifugo. miongoni moja mvua mwa mzungunguko. na nchini ni pamoja sana tagi: tanzania teknolojia uhakika uhakika. uzalishaji wa wadudu wakulima ya za zao wiki
Ni moja ya jamii ya kunde, ambayo hulimwa lengo kubwa likiwa ni uzalishaji wa mafuta, chakula na malisho kwa ajili ya mifugo… soma zaidi
Ugonjwa wa kichomi
Tagsπ ; au basi dalili kichomi kila kupatwa mara moja moyo. mrefu muda ni si tagi: ugonjwa ukipatwa vibaya. wa wakti ya za zaidi. Β chunguza mapishinalishe
Kichomi ni moja ya dalili za ugonjwa moyo. Kupatwa kichomi mara moja moja si vibaya.
Ukipatwa muda mrefu au kila wakti ; basi Β chunguza zaidi.
Kichomi husababishwa au kinaweza kuwa… soma zaidi
Tagsπ ; au basi dalili kichomi kila kupatwa mara moja moyo. mrefu muda ni si tagi: ugonjwa ukipatwa vibaya. wa wakti ya za zaidi. Β chunguza mapishinalishe
Kichomi ni moja ya dalili za ugonjwa moyo. Kupatwa kichomi mara moja moja si vibaya.
Ukipatwa muda mrefu au kila wakti ; basi Β chunguza zaidi.
Kichomi husababishwa au kinaweza kuwa… soma zaidi
Kwa ushauri huu jitambue upate mafanikio
Tagsπ uchumi
Ukiona unalala masaa 9 wakati Donald Trump analala manne tu. Afu unaamka huna nauli na bado kesho unalala masaa manane tena.. Ujue unashabikia mafanikio.
[[module Redirect destination="https://ackyshine.com/ujasiriamali/kwa-ushauri-huu-jitambue-upate-mafanikio"]].. soma zaidi
Tagsπ uchumi
Ukiona unalala masaa 9 wakati Donald Trump analala manne tu. Afu unaamka huna nauli na bado kesho unalala masaa manane tena.. Ujue unashabikia mafanikio.
[[module Redirect destination="https://ackyshine.com/ujasiriamali/kwa-ushauri-huu-jitambue-upate-mafanikio"]].. soma zaidi
Mapishi β Mayai Mchanganyiko, Tosti na Soseji
Tagsπ mapishinalishe
Karibu tena jikoni, leo tunaandaa vitafunwa kwa ajili ya kifungua kinywa asubuhi… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Karibu tena jikoni, leo tunaandaa vitafunwa kwa ajili ya kifungua kinywa asubuhi… soma zaidi
Mapishi β Saladi ya Matunda
Tagsπ mapishinalishe
Matunda ni mojawapo wa kundi la vyakula, ni muhimu sana kwa afya bora. Matunda yakitengenezwa vizuri yanavutia sana na yanakuwa ni chakula kizuri sana… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Matunda ni mojawapo wa kundi la vyakula, ni muhimu sana kwa afya bora. Matunda yakitengenezwa vizuri yanavutia sana na yanakuwa ni chakula kizuri sana… soma zaidi
Jinsi ya Kulima pilipili hoho
Tagsπ (lushoto) 0.2-0.4 2-20. amerika annum. arusha. asili bara bora capsicum cha hao hapa hekta hiki hili hilo hiyo. hoho hujishughulisha hulimwa iringa jina jinsi kampuni kati katika kilimo kinaendeshwa kitalaamu kulima kuna kusini. kwa la maeneo mbeya mikoa mkataba na nchini ni njia pia pili pilipili ruvuma tabora tagi: tanga ukubwa wa wadogo wakubwa wakulima wenye ya yenye zao wiki
KILIMO BORA CHA PILIPILI HOHO
Jina la kitalaamu la PILI PILI HOHO ni Capsicum annum. Asili ya zao hili ni bara la Amerika ya Kusini. Hapa nchini zao hili hulimwa katika mikoa ya Iringa, Tanga (Lushoto), Mbeya, Ruvuma, Tabora na Arusha. Kilimo hiki kinaendeshwa na wakulima wadogo katika maeneo yenye ukubwa wa kati ya hekta 0.2-0.4 pia kuna maeneo ya wakulima wakubwa wenye hekta kati ya 2-20. Wakulima hao hujishughulisha na kilimo cha zao hilo kwa njia ya mkataba na kampuni hiyo… soma zaidi
Tagsπ (lushoto) 0.2-0.4 2-20. amerika annum. arusha. asili bara bora capsicum cha hao hapa hekta hiki hili hilo hiyo. hoho hujishughulisha hulimwa iringa jina jinsi kampuni kati katika kilimo kinaendeshwa kitalaamu kulima kuna kusini. kwa la maeneo mbeya mikoa mkataba na nchini ni njia pia pili pilipili ruvuma tabora tagi: tanga ukubwa wa wadogo wakubwa wakulima wenye ya yenye zao wiki
KILIMO BORA CHA PILIPILI HOHO
Jina la kitalaamu la PILI PILI HOHO ni Capsicum annum. Asili ya zao hili ni bara la Amerika ya Kusini. Hapa nchini zao hili hulimwa katika mikoa ya Iringa, Tanga (Lushoto), Mbeya, Ruvuma, Tabora na Arusha. Kilimo hiki kinaendeshwa na wakulima wadogo katika maeneo yenye ukubwa wa kati ya hekta 0.2-0.4 pia kuna maeneo ya wakulima wakubwa wenye hekta kati ya 2-20. Wakulima hao hujishughulisha na kilimo cha zao hilo kwa njia ya mkataba na kampuni hiyo… soma zaidi
Biblia inasema nini kuhusu mume mwema
Tagsπ mahusiano
Mume mwema ni yule anayeheshimu nafasi ya Mungu katika maisha yake, anayemcha Mungu na kuepukana na uovu wa kila aina. Anatambua kwamba Mungu ndiye anayepaswa kuongoza maisha yake na si vinginevyo… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Mume mwema ni yule anayeheshimu nafasi ya Mungu katika maisha yake, anayemcha Mungu na kuepukana na uovu wa kila aina. Anatambua kwamba Mungu ndiye anayepaswa kuongoza maisha yake na si vinginevyo… soma zaidi
Je, mtu anaweza kuzuia kupata mimba baada yakujamiiana bila kinga (kufanya ngono zembe) kwa mfano amebakwa
Tagsπ (kufanya afya ambaye amebakwa amelazimishwa anaweza atakupatia au baada bila cha dharura hospitali huduma je kama katika kinga kituo kujamiiana kujamiiana? kulazimishwa kupata kutoka kuzuia kwa mfano mhudumu mimba mimba. mtu ngono umebakwa unaweza vidonge vya wa yakujamiiana zahanati zembe) wiki
Kama umebakwa au kulazimishwa kujamiiana unaweza kupata
huduma katika hospitali, kituo cha afya , zahanati au kutoka
kwa mhudumu wa afya ambaye atakupatia vidonge vya dharura
vya kuzuia mimba. Hivi ni vidonge ambavyo vinatumika ili
kupunguza uwezekano wa kupata mimba kama ulijamiiana bila
kinga, au umesahau kutumia njia yako ya uzazi wa mpango au
ulilazimishwa kujamiiana… soma zaidi
Tagsπ (kufanya afya ambaye amebakwa amelazimishwa anaweza atakupatia au baada bila cha dharura hospitali huduma je kama katika kinga kituo kujamiiana kujamiiana? kulazimishwa kupata kutoka kuzuia kwa mfano mhudumu mimba mimba. mtu ngono umebakwa unaweza vidonge vya wa yakujamiiana zahanati zembe) wiki
Kama umebakwa au kulazimishwa kujamiiana unaweza kupata
huduma katika hospitali, kituo cha afya , zahanati au kutoka
kwa mhudumu wa afya ambaye atakupatia vidonge vya dharura
vya kuzuia mimba. Hivi ni vidonge ambavyo vinatumika ili
kupunguza uwezekano wa kupata mimba kama ulijamiiana bila
kinga, au umesahau kutumia njia yako ya uzazi wa mpango au
ulilazimishwa kujamiiana… soma zaidi
Mapishi ya Chai ya maziwa, mandazi, uyoga na mayai
Tagsπ mapishinalishe
Mandazi (angalia jinsi ya kupika katika recipe ya mandazi ya nyuma)
Uyoga (mashroom kikombe 1 cha chai)
Mayai (eggs 4)
Hoho (greenpepper 1/4 ya hoho)
Nyanya (fresh tomato 1)
Kitunguu (onion 1/4 ya kitunguu)
Chumvi (salt)
Mafuta (vegetable oil)
Hiliki nzima (cardamon 4)
Masala ya chai (tea masala 1 kijiko cha chai)
Pilipili mtama iliyosagwa (ground black pepper 1/4 ya kijiko cha chai)
Maziwa (fresh milk 1 kikombe cha chai)
Majani ya chai (tea leaves)
Maji kiasi.
Sukari (sugar).. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mandazi (angalia jinsi ya kupika katika recipe ya mandazi ya nyuma)
Uyoga (mashroom kikombe 1 cha chai)
Mayai (eggs 4)
Hoho (greenpepper 1/4 ya hoho)
Nyanya (fresh tomato 1)
Kitunguu (onion 1/4 ya kitunguu)
Chumvi (salt)
Mafuta (vegetable oil)
Hiliki nzima (cardamon 4)
Masala ya chai (tea masala 1 kijiko cha chai)
Pilipili mtama iliyosagwa (ground black pepper 1/4 ya kijiko cha chai)
Maziwa (fresh milk 1 kikombe cha chai)
Majani ya chai (tea leaves)
Maji kiasi.
Sukari (sugar).. soma zaidi
Je, mtu mwenye kuonekana na afya nzuri, anaweza kuwa na virusi vya UKIMWI?
Tagsπ wiki
Ndiyo, mtu anayeonekana na afya nzuri anaweza kuwa na virusi vya UKIMWI. Katika hatua ya mwanzo baada ya kuambukizwa mtu anakuwa na virusi vya UKIMWI kwenye damu lakini haonyeshi dalili zozote za kuumwa. Hatua hii i ii inaweza kuchukua zaidi ya miaka kumi! Hii ni hatari sana, kwa sababu kama unajamii ana na mtu mwenye kuonekana na afya nzuri, lakini ndani ya mwili tayari anavyo virusi vya UKIMWI, anaweza kukuambukiza.
Njia pekee ya kuwa na uhakika kama mtu ameambukizwa na VVU au la ni kwa njia ya kupima damu katika Vituo maalamu vya kupima au hosipitalini. Kwa hiyo, kujamii ana bila kujikinga kwa kutumia kondomu i inawezekana kuhatarisha maisha yako, hata kama mpenzi wako ni mtu mwenye kuonekana na afya nzuri… soma zaidi
Tagsπ wiki
Ndiyo, mtu anayeonekana na afya nzuri anaweza kuwa na virusi vya UKIMWI. Katika hatua ya mwanzo baada ya kuambukizwa mtu anakuwa na virusi vya UKIMWI kwenye damu lakini haonyeshi dalili zozote za kuumwa. Hatua hii i ii inaweza kuchukua zaidi ya miaka kumi! Hii ni hatari sana, kwa sababu kama unajamii ana na mtu mwenye kuonekana na afya nzuri, lakini ndani ya mwili tayari anavyo virusi vya UKIMWI, anaweza kukuambukiza.
Njia pekee ya kuwa na uhakika kama mtu ameambukizwa na VVU au la ni kwa njia ya kupima damu katika Vituo maalamu vya kupima au hosipitalini. Kwa hiyo, kujamii ana bila kujikinga kwa kutumia kondomu i inawezekana kuhatarisha maisha yako, hata kama mpenzi wako ni mtu mwenye kuonekana na afya nzuri… soma zaidi
Mawaidha kwa Bwana Harusi mtarajiwa
Tagsπ mahusiano
1. Mwanangu, mwanamke anaweza kuwa mkeo, mwingine anaweza kuwa mama wa watoto wako, lakini ukipata mwanamke ambae atakuwa kama mama kwako, mama kwa wanao na mama kwa familia, tafadhali mwanangu usimuache huyo!
2. Mwanangu, usimfanye mwanamke wako kuwa ndio wa kupika na kufanya kazi zote za jikoni peke yake, tabia hiyo sio nzuri Kwani hata nyakati zetu, mashamba yetu yalijulikana kwa majina yetu wanaume lakini tulifanya kazi pamoja!
3. Mwanangu, nikikwambia wewe ni kichwa cha familia, simaanishi kutuna kwa pochi lako, usiangalie kabisa pochi yako, angalia kama utaona tabasamu usoni kwa mke wako. Pesa sio kila kitu katika ndoa na haileti ukuu wa familia!.. soma zaidi
Tagsπ mahusiano
1. Mwanangu, mwanamke anaweza kuwa mkeo, mwingine anaweza kuwa mama wa watoto wako, lakini ukipata mwanamke ambae atakuwa kama mama kwako, mama kwa wanao na mama kwa familia, tafadhali mwanangu usimuache huyo!
2. Mwanangu, usimfanye mwanamke wako kuwa ndio wa kupika na kufanya kazi zote za jikoni peke yake, tabia hiyo sio nzuri Kwani hata nyakati zetu, mashamba yetu yalijulikana kwa majina yetu wanaume lakini tulifanya kazi pamoja!
3. Mwanangu, nikikwambia wewe ni kichwa cha familia, simaanishi kutuna kwa pochi lako, usiangalie kabisa pochi yako, angalia kama utaona tabasamu usoni kwa mke wako. Pesa sio kila kitu katika ndoa na haileti ukuu wa familia!.. soma zaidi
Je, ukinywa pombe unaongeza damu?
Tagsπ ambayo chakula damu damu? haiongezi huvuruga inasaidia je kama kiasi kinga kuimarisha kuingia kujikinga kupita kutoka kwa kwamba kweli. kwenye madini magonjwa maradhi muhimu mwili mwilini. na nguvu. ni pamoja pombe si tagi: ufyonzaji ukimwi. ukinywa ukweli unaongeza unywaji vitamini wa wala ya wiki
Tagsπ ambayo chakula damu damu? haiongezi huvuruga inasaidia je kama kiasi kinga kuimarisha kuingia kujikinga kupita kutoka kwa kwamba kweli. kwenye madini magonjwa maradhi muhimu mwili mwilini. na nguvu. ni pamoja pombe si tagi: ufyonzaji ukimwi. ukinywa ukweli unaongeza unywaji vitamini wa wala ya wiki
Si kweli.
Pombe haiongezi damu, vitamini wala nguvu. Ukweli ni kwamba unywaji pombe kupita kiasi huvuruga ufyonzaji wa vitamini na madini kutoka kwenye chakula kuingia mwilini… soma zaidi
Magonjwa ya zinaa na dalili zake
Tagsπ ambayo dalili kankroidi kaswende kisonono klamdia kuna lakini magonjwa mengi mweupe na ni sana tofauti ukimwi ukimwi. utando virusi vya ya yale yameenea zake zinaa wiki
Kuna magonjwa mengi tofauti ya zinaa, lakini yale ambayo yameenea sana ni kisonono, kaswende, klamdia, kankroidi, utando mweupe , Virusi vya UKIMWI na UKIMWI. Shida kubwa ya magonjwa mengi ya zinaa ni kwamba dalili zake hazionekani kwa urahisi na kama yasipotibiwa kikamilifu yanaweza kuleta madhara makubwa. Maelezo kuhusu magonjwa ya zinaa yaliyoenea sana ni kama yafuatayo:.. soma zaidi
Tagsπ ambayo dalili kankroidi kaswende kisonono klamdia kuna lakini magonjwa mengi mweupe na ni sana tofauti ukimwi ukimwi. utando virusi vya ya yale yameenea zake zinaa wiki
Kuna magonjwa mengi tofauti ya zinaa, lakini yale ambayo yameenea sana ni kisonono, kaswende, klamdia, kankroidi, utando mweupe , Virusi vya UKIMWI na UKIMWI. Shida kubwa ya magonjwa mengi ya zinaa ni kwamba dalili zake hazionekani kwa urahisi na kama yasipotibiwa kikamilifu yanaweza kuleta madhara makubwa. Maelezo kuhusu magonjwa ya zinaa yaliyoenea sana ni kama yafuatayo:.. soma zaidi
Ufaransa kuchuana na England Jumanne
Tagsπ amekubali amesema england hodgson hogson huo huruma ipasavyo itakayochezwa juma jumanne kati katika kocha kuchuana kwa licha lijalo maafa mechi mkunjufu moyo na ndani nje roy tagi: tutajianda ufaransa ugaidi uingereza uwanja wa wembley. ya yaliyosababishwa habari
Kocha wa Uingereza Roy Hodgson amekubali kwa moyo mkunjufu na wa huruma mechi kati ya England na Ufaransa itakayochezwa juma lijalo katika uwanja wa Wembley.
Hogson amesema licha ya maafa yaliyosababishwa na ugaidi, tutajianda ipasavyo ndani na nje ya uwanja huo wa Wembley.
''Huu ni wakati wetu kuonesha dunia kuwa kandanda kwa hakika inaweza kuunganisha ulimwengu.'' alisema Hogson.
''Ninaamini kuwa wachezaji wetu watajiandaa ipasavyo kuwaonesha wageni wetu kuwa Uingereza inaungana na Wafaransa wakati huu wa majonzi.
Mechi hiyo ya kirafiki itaendelea kama ilivyopangwa siku ya jumanne jioni licha ya msururu wa mashambulio ambayo yamewaua takriban watu 129.
Washambuliaji 3 wa kujitolea muhanga walifariki katika milipuko nje ya uwanja wa Stade de France huku wachezaji wa Ufaransa wakicheza dhidi ya Ujerumani siku ya ijumaa… soma zaidi
Tagsπ amekubali amesema england hodgson hogson huo huruma ipasavyo itakayochezwa juma jumanne kati katika kocha kuchuana kwa licha lijalo maafa mechi mkunjufu moyo na ndani nje roy tagi: tutajianda ufaransa ugaidi uingereza uwanja wa wembley. ya yaliyosababishwa habari
Kocha wa Uingereza Roy Hodgson amekubali kwa moyo mkunjufu na wa huruma mechi kati ya England na Ufaransa itakayochezwa juma lijalo katika uwanja wa Wembley.
Hogson amesema licha ya maafa yaliyosababishwa na ugaidi, tutajianda ipasavyo ndani na nje ya uwanja huo wa Wembley.
''Huu ni wakati wetu kuonesha dunia kuwa kandanda kwa hakika inaweza kuunganisha ulimwengu.'' alisema Hogson.
''Ninaamini kuwa wachezaji wetu watajiandaa ipasavyo kuwaonesha wageni wetu kuwa Uingereza inaungana na Wafaransa wakati huu wa majonzi.
Mechi hiyo ya kirafiki itaendelea kama ilivyopangwa siku ya jumanne jioni licha ya msururu wa mashambulio ambayo yamewaua takriban watu 129.
Washambuliaji 3 wa kujitolea muhanga walifariki katika milipuko nje ya uwanja wa Stade de France huku wachezaji wa Ufaransa wakicheza dhidi ya Ujerumani siku ya ijumaa… soma zaidi
Kisa cha mama na mwanae namkwe wake
Tagsπ hadithi
Kuna kijana mmoja daktari alikwenda kuposa. Binti aliyemposa akamuwekea masharti mazito. Akamwambia chagua mawili imma kunioa mimi au kukaa na mama yako, kwa sababu ukinioa mimi sitokubali mama yako aje hata harusini kwangu! Yule kijana aliemewa. Hakujua la kufanya. Mke anamtaka, lakini mama yake pia anampenda. Hivyo aliamua kuomba ushauri kwa mwalimu wake wa chuo kikuu. Alimwambia: moyo wangu unampenda mno binti niliyekwenda kumposa, lakini pia siwezi kuishi mbali na mama yangu. Nifanye nini?.. soma zaidi
Tagsπ hadithi
Kuna kijana mmoja daktari alikwenda kuposa. Binti aliyemposa akamuwekea masharti mazito. Akamwambia chagua mawili imma kunioa mimi au kukaa na mama yako, kwa sababu ukinioa mimi sitokubali mama yako aje hata harusini kwangu! Yule kijana aliemewa. Hakujua la kufanya. Mke anamtaka, lakini mama yake pia anampenda. Hivyo aliamua kuomba ushauri kwa mwalimu wake wa chuo kikuu. Alimwambia: moyo wangu unampenda mno binti niliyekwenda kumposa, lakini pia siwezi kuishi mbali na mama yangu. Nifanye nini?.. soma zaidi
Kanuni ya fedha ya matumizi na mipango ambayo itakusaidia ukiifuata
Tagsπ uchumi
Jifunze kanuni za fedha
kama ilivyoainishwa hapo chini.
Fedha inatakiwa uwe na nidhamu nayo katika kutumia
Hii kanuni inatumika kwenye vyanzo vyako vyote vya fedha ili uwe na mafanikio yenye amani.. soma zaidi
Tagsπ uchumi
Jifunze kanuni za fedha
kama ilivyoainishwa hapo chini.
Fedha inatakiwa uwe na nidhamu nayo katika kutumia
Hii kanuni inatumika kwenye vyanzo vyako vyote vya fedha ili uwe na mafanikio yenye amani.. soma zaidi
Job Ole Ndugai ndie spika mpya wa bunge la Tanzania
Tagsπ 100 alikuwa anatarajiwa bunge hilo. idadi ikiwa job katika kubwa kuchaguliwa kuliongoza kutoka kuwahi la lenye lililokamilika. mpya naibu ndie ndio ndugai ole spika tagi: tanzania upinzani wa wabunge ya zaidi habari
Alikuwa naibu wa spika wa bunge lililokamilika… soma zaidi
Tagsπ 100 alikuwa anatarajiwa bunge hilo. idadi ikiwa job katika kubwa kuchaguliwa kuliongoza kutoka kuwahi la lenye lililokamilika. mpya naibu ndie ndio ndugai ole spika tagi: tanzania upinzani wa wabunge ya zaidi habari
Alikuwa naibu wa spika wa bunge lililokamilika… soma zaidi
Ninaweza kupata mimba wakati nipo kwenye hedhi?
Tagsπ aweze dalili damu halikurutubishwa hedhi hedhi. hedhi? hivyo hubomoka. hufa huitwa hutoka i ili inabidi kama kiume. kupata kupitia kupokea kushika kutoka. kwa kwamba kwenye la le likutane lililopevuka lililorutubishwa limeshakufa linapokosa mbegu mimba mwanamke na ni ninaweza nipo pamoja pevu tumbo ukeni ulishajiandaa utando uzazi vile wakati yai za wiki
Ili mwanamke aweze kushika mimba, i inabidi yai lililopevuka likutane na mbegu za kiume. Yai pevu linapokosa mbegu hufa na kwa vile utando kwenye tumbo la uzazi ulishajiandaa kupokea yai lililorutubishwa hubomoka. Kwa pamoja, yai na utando hutoka kama damu kupitia ukeni na i le damu huitwa hedhi.
Hedhi ni dalili, kwamba yai halikurutubishwa na hivyo limeshakufa na kutoka. Kwa kawaida, wakati huo halitakuwepo yai jingine lililopevuka kuweza kurutubishwa na kwa hiyo uwezekano wa kupata mimba hautakuwepo. Lakini, mara chache kuna hitilafu katika mzunguko wa hedhi na yai jingine linakuwepo tayari kwa kurutubishwa, hata ukiwa kwenye hedhi. Kwa hiyo uwezekano wa kupata mimba wakati wa hedhi upo, hata kama ni mdogo… soma zaidi
Tagsπ aweze dalili damu halikurutubishwa hedhi hedhi. hedhi? hivyo hubomoka. hufa huitwa hutoka i ili inabidi kama kiume. kupata kupitia kupokea kushika kutoka. kwa kwamba kwenye la le likutane lililopevuka lililorutubishwa limeshakufa linapokosa mbegu mimba mwanamke na ni ninaweza nipo pamoja pevu tumbo ukeni ulishajiandaa utando uzazi vile wakati yai za wiki
Ili mwanamke aweze kushika mimba, i inabidi yai lililopevuka likutane na mbegu za kiume. Yai pevu linapokosa mbegu hufa na kwa vile utando kwenye tumbo la uzazi ulishajiandaa kupokea yai lililorutubishwa hubomoka. Kwa pamoja, yai na utando hutoka kama damu kupitia ukeni na i le damu huitwa hedhi.
Hedhi ni dalili, kwamba yai halikurutubishwa na hivyo limeshakufa na kutoka. Kwa kawaida, wakati huo halitakuwepo yai jingine lililopevuka kuweza kurutubishwa na kwa hiyo uwezekano wa kupata mimba hautakuwepo. Lakini, mara chache kuna hitilafu katika mzunguko wa hedhi na yai jingine linakuwepo tayari kwa kurutubishwa, hata ukiwa kwenye hedhi. Kwa hiyo uwezekano wa kupata mimba wakati wa hedhi upo, hata kama ni mdogo… soma zaidi
Mapishi ya Pilau Ya Nyama Ng'ombe Karoti Na Zabibu
Tagsπ mapishinalishe
Nyama ngβombe ya mifupa ilokatwa vipande - 1 kilo.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Nyama ngβombe ya mifupa ilokatwa vipande - 1 kilo.. soma zaidi