VIDEOS-KWA-WANAUME
By, Melkisedeck Shine.
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Angalia huyu jamaa kilichotokea, kumbe wengine wanaojikuta mtaroni huwa wanaingia na staili kama hii, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Angalia huyu jamaa alivyo mtaalamu wa vita japokuwa kalewa chakari, kumbe pombe saa nyingine nzuri, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ maajabu. Category ๐videos,: maajabu, Hizi makeup jamani zitaua watu, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Huyu jamaa kwa uendeshaji huu, akianguka atapata akili, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ ajali farasi vichekesho. Category ๐videos,: ajali farasi vichekesho, Cheki huyu jamaa anavyopanda farasi kijinga, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Cheki hawa kuku wanachomfanyia huyu dogo, utoto jamani, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ maajabu mbwa. Category ๐videos,: maajabu mbwa, Angalia hawa mbwa wanavyochinjwa kwa ajili ya kufanywa kitoweo, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ simba wanyama. Category ๐videos,: simba wanyama, Sister anaswaga simba wake taratibu, jaribu wewe uone, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ maajabu vichekesho. Category ๐videos,: maajabu vichekesho, Hii ndiyo kwa nini usiwaachie watoto wadogo mtoto, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ nyoka vichekesho. Category ๐videos,: nyoka vichekesho, Cheki huyu jamaa alivyo muoga, lakini mbele ya nyoka mbona unaweza ukajikojolea mtu mzima, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Angalia huyu kilichompata baada ya Baiskeli yake kukatika Breki, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ maajabu. Category ๐videos,: maajabu, Haya ndiyo mafunzo ya kijeshi, kama wewe muoga utakufa kabla ya kwenda kazini, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ samaki wanyama. Category ๐videos,: samaki wanyama, Angalia samaki alivyo na mdomo mkubwa, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ kimya kiswahili silent vichekesho. Category ๐videos,: kimya kiswahili silent vichekesho, Huyu dogo ni kiboko, cheki alichokifanya, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ chui nguruwe-pori wanyama. Category ๐videos,: chui nguruwe-pori wanyama, Angalia huyu chui alivyomuweza huyu nguruwe pori, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ nyani vichekesho wanyama. Category ๐videos,: nyani vichekesho wanyama, Mwendo wa kupaka makeup, Huyu nyani naye yumo kwenye mambo ya urembo, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ bunduki vichekesho. Category ๐videos,: bunduki vichekesho, Angalia huyu jamaa anachofanya na hii bunduki, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Angalia huyu jamaa anachofanya mbele ya kioo, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Angalia huyu mtu alichofanyiwa, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Kwa mbwembwe zote wageni waalikwa wameanguka wakati wakipanda jukwaani, ๐Angalia video hapa
.
.
Endelea kuperuzi;-๐
๐ฌ VIDEOS-TATAโ
๐ฌ VIDEOS-MAPEMAโ
๐ฌ VIDEOS-USIKUโ
๐ฌ VIDEOS-JIONIโ
๐ฌ VIDEOS-MCHANAโ
๐ฌ VIDEOS-ASUBUHIโ
๐ฌ VIDEOS-SASAโ
๐ฌ VIDEOS-FUPI-KALIโ
๐ฌ VIDEOS-FUPIโ
๐ฌ VIDEOS-KISWAHILIโ
๐ฌ VIDEOS-ZA-INSTAโ
๐ฌ VIDEOS-ZA-VICHEKESHOโ
๐ฌ VIDEOS-KUBWAโ
๐ฌ VIDEOS-MIKASAโ
๐ฌ VIDEOS-MATUKIOโ
Tags๐ kutibu-chunusi-kiasili mapishinalishe
Mvuke husaidia kusafisha ngozi. Ni rahisi sana kutumia mvuke kutibu chunusi… soma zaidi
Tags๐ wiki
Uwezekano wa kuambukizwa na Virusi vya UKIMWI na UKIMWI ukijamii ana na mtu mwenye virusi vya UKIMWI bila kutumia kondomu ni mkubwa.
Mpaka leo, kondomu ni njia pekee ya kuzuia kuambukizwaVirusi vya UKIMWI na UKIMWI wakati wa kujamii ana. Kama kondomu i inatumiwa i ipasavyo na kila unapojamii ana na mtu mwenye virusi vya UKIMWI, uwezekano wa kuambukizwa ni mdogo sana. Kutumia kondomu ipasavyo i i ina maana kutumia kondomu mpya, kuivaa vizuri uumeni na kuitoa kabla ya uume kulegea… soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Tambi (vermiceli Roasted) Mifuko 2.. soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Mchele wa mpunga - 4 Vikombe.. soma zaidi
Tags๐ wiki
Mapenzi salama ni yale yanayofanyika bila wasiwasi wa kupata mimba zisizotarajiwa, magonjwa ya zinaa pamoja na maambukizi ya Virusi vya UKIMWI na UKIMWI. Mapenzi salama yanaweza kuwa ni pamoja na kumaliza hamu bila ya kujamiiana au kuchukua tahadhari kwa maana ya kutumia kondomu wakati wa kujamiiana… soma zaidi
Tags๐ akijamiiana aliye aliyevaa anajisikiaje asiyevaa au gani hatuwezi husikia je kondomu kusema mwanamke mwanaume na raha โpekuโ? wiki
Hatuwezi kusema mwanamke husikia raha gani akijamiiana na mwanaume aliyevaa kondomu au na mwanaume asiyevaa kondomu. Kila mtu ana upendeleo wake, lakini jambo la msingi katika kujamiiana ni hisia, hali ya kuelewana katika mapenzi na kiwango cha msisimko.
Wanawake wengine wanapendelea kujamiiana na mwanaume aliyevaa kondomu, kwa sababu hofu ya kupata mimba au kuambukizwa magonjwa ya zinaa haipo. Wanawake wengine wanapendelea kujamiiana bila kondomu. Lakini, pamoja na hatari ya kupata mimba, siku hizi kujamiiana bila kondomu kuna hatari ya kuambukizana magonjwa ya zinaa na hasa Virusi vya UKIMWI na UKIMWI. Kwa hiyo ni vizuri zaidi kutomwamini mtu yeyote mpaka mpimwe kliniki wote wawili kuwa ni wazima wa afya na kuendelea kuwa waaminifu wote wawili… soma zaidi
Tags๐ wiki
Hapana, huwezi ukarithi uvutaji wa bangi. Lakini mara nyingi watoto huiga tabia za wazazi wao. Wakiwaona wazazi au babu zao wakitumia bangi, wao hufikiri ni halali na wanaweza wakaanza kuvuta bangi pia… soma zaidi
Tags๐ mahusiano
1. Ngono haimfanyi mwanaume asikuache, hata ukukuruke vipi, jikwatue kiasi gani kama hajaona quality za kuwa mke atakuacha tu.
2. Mwanaume anaekupata kwa vile alitumia pesa zake kwako hatakaa na wewe milele. Wanaume halisi hawawezi wakatoka na wanawake feki wanaopenda pesa. Ukibahatika sana atakufanya daraja la pili yaani mchepuko!.. soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Wakati mwingine mtu unakuwa umechoka na usingependa kupoteza muda jikoni, so mlo wa chapchap unakuwa ni wazo zuri, Mlo huu ni rahisi kuuanda na hata haikuchukui zaidi ya dakika ishirini chakula kinakuwa tayari mezani… soma zaidi
Tags๐ uchumi
Figisu ya Leo. UMESHAWAHI KUFANYA HILI JARIBIO.?
kadri temperature inavyo ongezeka chura nae huwa ana increase temperature ya mwili wake…. soma zaidi
Tags๐ mahusiano
Sio mbaya kwa marafiki wa karibu au ndugu na jamaa kufahamu kushirikiana nanyi katika mapenzi yenu kama vile wakati wa sherehe au msiba. Pia sio mbaya kujuliana hali na kutambulisha mambo ya msingi yanayoendelea katika mahusiano yako wewe na mpenzi wako. Hata hivyo kuna wakati watu wengine wa pembeni, wawe majirani, ndugu, wazazi au marafiki wanaweza kuwa โsumuโ ya mahusiano yako, hasa pale unapowategemea sana kutoa msaada, maoni au maelekezo katika maisha yako ya mapenzi. Makala hii inaeleza mambo ya msingi unayoweza kufanya ili kupunguza uwezekano wa rafiki, ndugu, jamaa, au wazazi kuwa โsumuโ ya mapenzi yako… soma zaidi
Tags๐ wiki
Uwezekano wa kuambukizwa virusi vya UKIMWI kwa kunyonyana ndimi ni mdogo sana. Kwa kubadilishana mate wakati wa kubusiana tu, haiwezekani maambukizi ya virusi vya UKIMWI kutokea. Lakini kama mmoja kati ya wapenzi ana vidonda / michubuko mdomoni, uwezekano wa kuambukizana huongezeka… soma zaidi
Tags๐ (tindikali) au baada baadhi chakula chakula. chakula? fikra gongo hata hivyo husaidia imani inaweza itasaidia je kawaida kiasi kidogo kimiminika kuchelewesha kuliko kupunguza kurahisisha kuvuta kuyeyusha kwa kwamba mafuta. mtiririko muhimu na ni pombe potofu sigara tagi: ukinywa uyeyushaji vya vyakula wa ya wiki
Ni imani na fikra potofu kwamba, ukinywa gongo au kuvuta
sigara kwa kiasi kidogo baada ya chakula itasaidia kuyeyusha
baadhi ya vyakula vya mafuta. Pombe inaweza hata kupunguza
mtiririko wa kawaida wa kimiminika muhimu kwa uyeyushaji wa
chakula (tindikali) na hivyo kuchelewesha kuliko kurahisisha
uyeyushaji wa chakula.
Nikotini ya sigara kwa upande mwingine inaongeza kazi katika
utumbo mpana na hivyo kurahisisha uyeyushaji wa chakula.
Lakini kwa upande mwingine nikotini huchochea utengenezaji
wa tindikali tumboni ambayo husababisha maumivu ya tumbo… soma zaidi
Tags๐ binadamu? cha chini dalili damu dhaifu. iliyo je katika kichefuchefu kichwa kikubwa kiwango kizunguzungu kuharisha kujaa kujihisi kuongezeka kupata kutapika kuumwa kwa kwenye la mapigo mate maumivu mdomoni moyo na ndiyo. ni nikotini nyingine sehemu shinikizo sigara sumu sumu. tagi: tumbaku tumbo ukiwa utajisikia ya za wiki
Ndiyo. Nikotini iliyo kwenye tumbaku ni sumu. Ukiwa na kiwango
kikubwa cha nikotini katika damu utajisikia kichefuchefu,
kutapika, kujaa kwa mate mdomoni, maumivu ya sehemu za
chini ya tumbo, kuharisha, na kujihisi dhaifu. Dalili nyingine
ni kuumwa na kichwa, kizunguzungu, kuongezeka kwa mapigo
ya moyo, kupata shinikizo la damu, kutetemeka na kutokwa na
jasho baridi. Nikotini nyingi inaweza kusababisha ukosefu wa
umakini na pia ukosefu wa usingizi… soma zaidi
Tags๐ wiki
Ndiyo, watashtakiwa! Wakati mwingine wazazi huwatuma
watoto wao kuchukua au kununua pombe au sigara na
hata dawa za kulevya. Utumiaji na usambazaji wa dawa za kulevya ni kinyume cha sheria nchini Tanzania na sio uamuzi binafsi wa kifamilia… soma zaidi
Tags๐ afya mapishinalishe
Kwa ajili afya ya mama na mtoto ni muhimu sana, mwanamke anatakiwa apate chakula bora kilicho na madini yote kama vitamini na protini. Mama mjamzito anatakiwa apate gramu 100 za protini kila siku. Ifuatayo ni mlo kamili anaotakiwa apate mama mjamzito kila siku ya ujauzito wake kwa afya bora… soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Tezi dume kila mwanaume anazaliwa nayo ambayo inasaidia kutoa maji maji ambayo yanaweza kusaidia kutengeneza mbegu za kiume… soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Mbatata / viazi - 2 kilo.. soma zaidi
Tags๐ african aina anayepatikana anga cha east goat hali hapa hata hawa hivyo hutoa ili juu kama kidogo kigeni kiwango kupata kustahimili kuzalishwa magonjwa maziwa maziwa. mbuzi mengi na nchini nchini. ni nyingi sana sehemu small tagi: uwezo vile: wa wanaopatikana wanaotoa wanaweza wenye ya za wiki
Aina Za Mbuzi Wa Maziwa
Aina ya mbuzi anayepatikana sehemu nyingi nchini ni Small East African Goat na hutoa kiwango kidogo sana cha maziwa. Hata hivyo mbuzi hawa wanaweza kuzalishwa na mbuzi wa kigeni ili kupata mbuzi wa aina ya hali ya juu wanaotoa maziwa mengi na wenye uwezo wa kustahimili magonjwa na hali ya anga ya hapa nchini.
Aina ya mbuzi wa kigeni wanaopatikana nchini ni kama vile:
Toggenburg, Boer, Saanen, British Alpine, German Alpine, Anglo Nubian,Angora na Oberhauzen.
Aina hizi zote za mbuzi hustahimili aina tofauti ya hali ya anga na huitaji mazingira tofauti ya ya kuwafuga.
Ikiwa unataka kufuga mbuzi wa maziwa ni bora kutafuta ushauri kutoka kwa wataalamu wa mifugo katika eneo lako ili wakufahamishe aina nzuri ya mbuzi wanaopatikana na mbinu nzuri za kuwazalisha zinazopatikana nchini… soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Nyama isiyokuwa na mifupa - 1 ยฝ Lb(ratili)
Mchele wa Basmati (rowanisha) - 3 Magi
Vitunguu maji - 2
Mchanganyiko wa mboga za barafu - 1 Magi
(karoti, mahindi, njegere)
Pilipili Mbichi - 3
Pilipili mboga kijani na nyekundu - 1
Pilipili manga - ยฝ kijiko cha chai
Chumvi - Kiasi
Sosi ya soya (soy sauce) - 5 Vijiko vya supu
Kitunguu saumu(thomu/galic) na tangawizi iliyosagwa - 1 Kijiko cha supu
Mchanganyiko wa bizari (garam masala) - 1 Kijiko cha supu
Kotmiri iliyokatwa - ยฝ Kikombe
Mafuta ya kukaangia - Kiasi.. soma zaidi
Tags๐ aliye ana cha chanzo chuo faida gani hafifu. heatkushindwa hivyo huhitaji huko humo. hushindwa jinsi joto karibu katika kikubwa kufanya kulingana kutambua kutambulika kwa kwenye marekani maziwa mbali myama na nchini ngโombe ni nusu pennstate standing tagi: takriban tanzania uangalizi uhamilishaji uliofanywa unaotakiwa. unaowezesha urutubishaji utafiti uzalishaji wa wakati wenye ya wiki
Uzalishaji wenye faida kwa ngโombe wa maziwa huhitaji uangalizi wa karibu, unaowezesha kutambua ni wakati gani ngโombe ana joto, hivyo kufanya uhamilishaji kwa wakati unaotakiwa.
Standing heatKushindwa kutambua joto ni chanzo kikubwa cha urutubishaji hafifu. Mbali na Tanzania, kulingana na utafiti uliofanywa na chuo cha PennState huko Marekani, takriban nusu ya joto hushindwa kutambulika katika uzalishaji wa maziwa nchini humo… soma zaidi
Tags๐ badilisha fikra haraka huu kwa mawazo mazoeaโฆ mpya mwaka ni tagi: usiishi yako zako habari
BADILISHA MAWAZO YAKO HARAKA HUU NI MWAKA MPYA USIISHI KWA MAZOEA…………. soma zaidi
Tags๐ mahusiano
Leo nimepita kisimani nikamkuta dada mmmoja akifua. ,Nikamuuliza eti dada unavijua visa vya wanawake??
Akajibu kaka niache, nikakomaa anijibu…
Badala ya kujbu akaanza kupiga mayowe, na kelele za kuomba msaada.. hadi wananchi wenye mapanga, mawe na mishale wakaanza kuja, dada huyo alivyoona wanakuja akajmwagia maji mwili mzima. Nikajua leo ndio mwisho wangu nikajuta sana kutaka kujua kila kitu…
Wananchi walivyofika, wakamuulza, kuna nini? Akawajibu, nilidumbukia kwenye kisima na huyu kaka ndie amensaidia!!
Wakanipongeza sana sana kisha wakaondoka…
Yule dada akaniambia, hivyo ndivyo visa vya mwanamke anaweza kukuua au kukulinda! So muheshmu mwanamke hata kinafiki, usijfanye jeuri!!!.. soma zaidi
Tags๐ uchumi
Duna Lawrence (78) ni raia wa Togo ambaye alijitosa kwenda nchini Ujerumani kutafuta maisha mwanzoni mwa miaka ya 80. Baada ya kufika huko, alipata kazi, akawa muaminifu kwa Bosi wake ili aweze kupata mafanikio… soma zaidi
Tags๐ afya mapishinalishe
Upungufu wa nguvu za kiume umekua tatizo kubwa sana kwa wanaume wengi. Tatizo hili limewakumba wanaume wengi walio katika ndoa na hata wale ambao bado hawajaoa. Watu wengi wamekuwa wakisumbuka kutafuta utatuzi kwani tatizo hili huwafanya kuwa na wasiwasi wa maisha. Ndoa nyingi zimevunjika na mahusiano kuharibika kwa sababu ya tatizo hili… soma zaidi
Tags๐ mahusiano
Nawaandikia ninyi vijana wa kiume na wanaume wote,
maana mna nguvu na mmejaliwa na mwenyezi Mungu utashi,
hekima na busara ili muweze kutawala kila kitu tokea kuumbwa kwa misingi ya ulimwengu huu… soma zaidi
Tags๐ uchumi
1. Tafuta fursa kila kona.
2. Tumia kipaji chako.
3. Kuwa na nidhamu katika fedha - matumizi mazuri ya pesa, nidhamu kwa watu wanaokuzunguka, usijikweze, usibague jamii, heshimu wote waliokaribu yako nk.
4. Kuwa na nidhamu katika afya yako: Afya ndio mtaji sahihi katika biashara yoyote - kuwa na mazoea ya kuangalia afya yako mara kwa mara nk… soma zaidi
Tags๐ mahusiano
Kuna mambo ya msingi ambayo mwanamke anahitaji kutoka kwa mwanamme ili kufurahi na kutulia katika mahusiano japokuwa sio rahisi kukwambia mojakwa moja… soma zaidi
Tags๐ aliyemtoa aliyetoa au hapa hatua jinai jinai.5 kati kosa kuhusu kumsaidia kutoa la linamchukulia mimba mimba. mtu na nchi nchi. ni sheria tanzania utoaji ya yule zinatofautiana wiki
Sheria kuhusu utoaji
mimba zinatofautiana
kati ya nchi na nchi. Hapa
Tanzania utoaji mimba
ni kosa la jinai.5 Kosa la
jinai linamchukulia mtu
hatua aliyetoa mimba na
yule aliyemtoa au
kumsaidia kutoa mimba.
Hata hivyo hapa Tanzania
unaruhusiwa kutoa mimba
pale tu inapokwepo sababu
za kuokoa maisha ya mama
mjamzito kama kuna
matatizo ya kiafya au
pale mimba inatokana na
kubakwa.6 Utoaji mimba hufanyika kwa siri.
Ni hatari iwapo utoaji mimba utafanyika bila ya utaalamu. Yule
anayesaidia kutoa mimba anawajibishwa kisheria. Iwapo utoaji
mimba umefanywa na mtu asiye na ujuzi, kwa mama mwenyewe,
au kifaa kilichotumika ni kichafu, au majani au dawa zimewekwa
ukeni, zinaweza kuhatarisha maisha ya mama.
Ni muhimu hata hivyo kujua kuwa wahudumu wengine hutoa
huduma baada ya mimba kuharibika kwa wale wanaohitaji
msichana au mama, kutokana na matatizo ya utoaji mimba au
kuharibika kwa mimba… soma zaidi
Tags๐ mahusiano
Habari tazama leo ni siku nyingine Mungu katenda miujiza kwako wakati wengine wamekufa usiku wewe umeamka tena, hebu sema asante kwa hilo, tunaendele na mada zetu na leo tutaangalia makundi manne ya watu katika dunia… soma zaidi
Tags๐ sayansinatekinolojia
1. Karudi baba mmoja, toka safari ya mbali,
Kavimba yote mapaja, na kutetemeka mwili,
Watoto wake wakaja, ili kumtaka hali,
Wakataka na kauli iwafe maishani… soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Mihogo kilo 1
Kidali cha kuku 1 kikubwa
Nyanya 1 kubwa
Kitunguu maji 1 cha wastani
Swaum/tangawizi i kijiko cha chai
Nazi kopo 1
curry powder 1 kijiko cha chai
Binzari manjano 1/2 kijiko cha chai
Limao 1/2
Pilipili 1
Chumvi kiasi.. soma zaidi
Tags๐ mahusiano
Zifuatazo ni njia za kuamsha hamu ya kufanya mpenzi ya mwanamke. Njia hizi zimegawanyika katika hatua mbili kuu, kwanza ni kumfanya akukubali na kisha kuamsha hisia zake… soma zaidi
Tags๐ uchumi
LISTI YA FURSA ZA BIASHARA NA MIRADI
Karibuni;
1. Kununua Mashine za kukoroga zege na
kukodisha.
2. Kununua Mashine za kukata vyuma na
kuzikodisha.
3. Kutengeneza na kuuza tofali
4. Ufundi, Website updating/Database: Katika
Halmashauri, Manispaa, Mashule, Wizara, Wilaya
na Makampuni mbalimbali.
5. ** Kuanzisha kituo cha redio na televisheni.. soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Samaki wa sea bass vipande - 1 1/2 LB (Ratili)
Kitunguu saumu(thomu/galic) -1 Kijiko cha supu
pilipili mbichi iliyosagwa - 1 Kijiko cha chai
Bizari ya manjano au ya pilau - 1/2 Kijiko cha chai
Paprika ya unga au pilipili ya unga - 1 kijiko cha chai
Chumvi - Kiasi
Ndimu
Mafuta - 3 Vijiko vya supu.. soma zaidi
Tags๐ wiki
Hatari inategemea na mazingira ambapo mimba inatolewa. Kama ni hospitalini na i inatolewa na mtaalamu aliyesomea na kama mazingira na vifaa ni safi, uwezekano wa kutoa mimba salama ni mkubwa. Lakini, hata katika mazingira hayo, shida zinaweza kutokea… soma zaidi
Tags๐ kutibu-chunusi-kiasili mapishinalishe
.. soma zaidi
Tags๐ (arvs) akiathirika albino albino. anakataliwa anaweza arvs atoe au basi dawa hakuna hili hiyo huduma husika jamii jamii. kama kati katika kiafya. kijamii kisakolojia kufuata kufubaza kupata kupewa kutumia kwa kwenye la maambukizo mahitaji matibabu na ni suala taarifa tofauti ukimwi ukiwemo uleule uongozi utaratibu vvu vyombo wa wanavyofanyiwa wanaweza wasio watapewa watu wengine wengine? ya yaleyale yao yoyote za wiki
Katika suala hili la UKIMWI hakuna tofauti yoyote kati ya
Albino na watu wengine katika jamii. Albino wanaweza kupata
maambukizo kama watu
wengine, na mahitaji yao ni yaleyale, kijamii, kisakolojia na kiafya.
Albino watapewa ARVs kama watu wengine kwa kufuata
utaratibu uleule wa matibabu ya UKIMWI kama wanavyofanyiwa
watu wasio Albino. Kwa hiyo kama Albino anakataliwa kupewa
huduma za dawa za kufubaza VVU (ARVs) basi atoe taarifa
kwa vyombo husika ukiwemo uongozi katika jamii au kwenye
Chama cha Albino ili waweze kuwasaidia kufuatilia haki zao… soma zaidi
Tags๐ habari
Kila ifikapo Septemba 11 ya kila mwaka Marekani hukumbuka shambulizi baya la kigaidi kuwahi kutokea la kulipuliwa kwa majengo pacha ya Shirika la Biashara la Kimataifa (WTO) mjini New York mwaka 2001… soma zaidi
Tags๐ mahusiano
Leo nimepita kisimani nikamkuta dada mmmoja akifua. ,Nikamuuliza eti dada unavijua visa vya wanawake??
Akajibu kaka niache, nikakomaa anijibu…
Badala ya kujbu akaanza kupiga mayowe, na kelele za kuomba msaada.. hadi wananchi wenye mapanga, mawe na mishale wakaanza kuja, dada huyo alivyoona wanakuja akajmwagia maji mwili mzima. Nikajua leo ndio mwisho wangu nikajuta sana kutaka kujua kila kitu…
Wananchi walivyofika, wakamuulza, kuna nini? Akawajibu, nilidumbukia kwenye kisima na huyu kaka ndie amensaidia!!
Wakanipongeza sana sana kisha wakaondoka…
Yule dada akaniambia, hivyo ndivyo visa vya mwanamke anaweza kukuua au kukulinda! So muheshmu mwanamke hata kinafiki, usijfanye jeuri!!!.. soma zaidi
Tags๐ afya mapishinalishe
Kila mmoja wetu anaweza kuwa na sababu tofauti inayoweza kumsababishia msongo (stress). Sababu kubwa ambazo husababisha msongo ni masuala ya kazi hata pia masuala ya kijamii. Masuala ya kikazi ni kama kutokuwa na furaha kazini, kazi nyingi, kufanya kazi kwa masaa mengi, kutokuwa na mipangilio bora, kutokujiwekea malengo na mengine mengi… soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Kuishi ukiwa na afya na kuishi maisha marefu kunawezekana kwa kubadili hali ya maisha unayoishi inayoharibu afya yako mfano uvutaji wa sigara, unywaji wa pombe kupita kiasi,kutokufanya mazoezi na kutokula matunda na mbogamboga… soma zaidi
Tags๐ wiki
Hapana, hamna njia ya kufahamu kama amempa msichana mimba siku i ileile wanapojamii ana. Inachukua muda kwa mwili kuonyesha dalili za mimba.
Msichana akitaka kwenda kliniki kupimwa mkojo, kwanza ahesabu tarehe i ipi alikuwa anategemea kupata hedhi yake.
Kama anakosa hedhi katika muda aliotegemea, i itambidi aende kliniki. Mimba i inaonekana kwenye kipimo cha mkojo wakati ambapo mwanamke alitakiwa kwenda mwezini. Msichana akienda kupimwa mkojo kabla, hali halisi kuhusiana na ujauzito haiwezi kutambuliwa… soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Unga wa ngano (self risen flour) kikombe 1na 1/2
Sukari (sugar) 1/4 kikombe
Barking powder 1/2 kijiko cha chai
Magadi soda (bicarbonate soda) 1 kijiko cha chai
Mafuta 2 vijiko vya chai
Mafuta ya kukaangia
Maji ya uvuguvugu kiasi.. soma zaidi
Tags๐ uchumi
EMBU SOMA HII KWA MAKINI SJUI NI KWELI? USIMAINDI LAKINI MAANA ITAKUGUSA TUU. MAFANIKIO YA MAISHA SIO ELIMU TU, UTHUBUTU, KUJIAMINI NA UJASIRI WA MAAMUZI
โ๐ฝUkichunguza katika jamii, utabaini kuwa sehemu kubwa ya matajiri ni wale ambao wana elimu ndogo ama hawakusoma kabisa… soma zaidi
Tags๐ 14 akapata ana anajamii anaweza au baada cha chache endapo gani hedhi hupevuka husafirishwa i inayofuata. kabla katika kipindi kiume kokwa kukomaa kulia kupevuka kupitisha kurutubishwa. kurutubishwa? kushoto kwenye la likijiunga linapopevuka linapoweza linaweza mayai mbegu mfuko mimba. mmoja mpaka mrija mwanamke mzunguko na ndani ni siku upande uzazi. wa ya yaani yai zilezile wiki
Yai mmoja hupevuka siku 14 kabla ya hedhi i i inayofuata. Baada ya yai kukomaa ndani ya kokwa la upande wa kulia au wa kushoto, yai husafirishwa kwenye mrija wa kupitisha mayai mpaka kwenye mfuko wa uzazi.
Yai likijiunga na mbegu ya kiume ndani ya mrija wa kupitisha mayai siku zilezile, linaweza kurutubishwa. Yaani, endapo mwanamke anajamii ana kipindi cha siku chache kabla ya yai kupevuka au siku yai linapopevuka anaweza akapata mimba.
Kwa sababu wasichana wengi hawapati hedhi ya kawaida, yaani mzunguko wa siku 28 katika kila mwezi, ni vigumu sana kwao kufahamu tarehe ya hedhi i i inayofuata. Hivyo ni vigumu kujua lini litakuwepo yai linalongojea kurutubishwa.
Mzunguko wa hedhi kwa msichana unaweza kuathiriwa na mfadhaiko, huzuni, safari au mabadiliko mengine katika maisha ya msichana. Hata kama msichana ana mzunguko wa kawaida wa hedhi hali hiyo inaweza kubadilika ghafla na ukawa sio wa kawaida. Wanawake wengi na hasa wasichana hawawezi kutegemea kuhesabu siku kama njia ya kuzuia mimba, kwa sababu hawawezi kuwa na uhakika i iwapo lipo yai linalongojea kurutubishwa au la. Hakuna siku salama za kuepukana na mimba!.. soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Mwili wa binadamu umeundwa kwa organs na mifumo mbalimbali ili kuuwezesha kufanya kazi sawia. Mfano,
Moyo
Ini
Figo
Mapafu
Mfumo wa fahamu
Mfumo wa uzazi
Mfumo wa mmeng'enyo wa chakula… soma zaidi
Tags๐ afya mapishinalishe
Je unafahamu ya kwamba rangi ya mkoja inakupa matokea sahihi kuhusu afya yako? Kama jibu ni hapana basi makala haya yanakusu wewe, kwani rangi ya mkoja kwa mujibu wa watalamu wa afya unauwezo mkubwa wa kukuoa ukweli juu ya afya yako… soma zaidi
Tags๐ hata je kabla kuenea kumwaga magonjwa mbegu mbegu? ndiyo ukitoa uume ya yanaweza zinaa wiki
Ndiyo, magonjwa ya zinaa yanaweza kuenea, hata ukitoa uume kabla ya kumwaga mbegu. Mwenye magonjwa ya zinaa mara nyingi ana michubuko midogo au vidonda sehemu za siri na wadudu wabaya wanaweza kutoka na kuingia mwilini kwa urahisi. Hivyo, maambukizi ya magonjwa ya zinaa yanaweza kutokea hata kabla ya kumwaga mbegu… soma zaidi
Tags๐ wiki
Hakuna chanjo dhidi ya maambukizi ya Virusi vya UKIMWI na UKIMWI, Lakini kuna mienendo ya tabia ambayo i itaweza kukusaidia kujikinga na maambukizi ya UKIMWI na UKIMWI. Kutokufanya ngono kabisa ni njia mojawapo ya kujikinga na maambukizi ya UKIMWI na UKIMWI. Kuwa mwaminifu na kuwa na mpenzi i ambaye hajaambukizwa ni njia nyingine ya kujikinga. Lakini hii i ii inahitaji wote muwe katika afya nzuri ( bila maambukizi) wakati mnaanza uhusiano wa kujamii ana kwa mara ya kwanza.
Pia i inashauriwa hima kutafuta matibabu ya magonjwa ya ngono mara pale yatakapojitokeza. Vidonda vinavyosababishwa na magonjwa ya ngono vinasababisha mwingiliano wa maji maji ya ukeni, maji maji ya uumeni na damu wakati wa kujamii ana na kuwezesha Virusi vya UKIMWI kupita kwa urahisi.
Kufuata kanuni za ngono salama ni njia nyingine ya kujikinga ili usiambukizwe na Virusi vya UKIMWI na UKIMWI. Ngono salama kwa upande mwingine ni kitendo cha kukaribiana ambacho hakitahusisha uume kuingia ukeni au njia ya haja kubwa. Pia utumiaji wa kondomu kila wakati ngono i itahusisha kuingizwa kwa umme, ukeni au njia ya haja kubwa ni njia nyingine ya kujikinga.. soma zaidi
Tags๐ mahusiano
Leo napenda nizungumzie jambo moja tu ambalo ni juu ya jambo moja tu, nalo ni namna wanavyoweza kui-pin point siku ile ya kilele
(i.e fruitful/productive/fertile
day), hapa nina maana ya siku ile ambayo wao wanaiita siku ya 14… soma zaidi
Tags๐ mahusiano
Furaha ni kawaida yangu, kununa si busara kwangu, kuishi nawewe vizuri ni sehemu ya Maisha yangu, kukusalimia ni hulka ya Moyo wangu, Uhali gani mpenzi?.. soma zaidi
Tags๐ wiki
โข Ni lazima nyumba ya kuku iwe safi na kavu muda wote
โข Nyumba ya kuku iwe na nafasi za kupitisha hewa ya kutosha ili kuepuka joto na unyevunyevu
โข Hakikisha unaondoa matandazo na takataka zote kwenye banda wakati wote. Matandazo na taka zinaweza kuwa mbolea nzuri ya mboji kwa mimea yako.
โข Fagia banda na kuhakikisha ni safi wakati wote. Weka matandazo mapya mara kwa mara.
โข Weka nafasi ya kutosha kuku kupumzikia, viota vya kutosha, na kuweka maji sehemu ambayo ni rahisi kusafisha.
โข Hakikisha unaondoa wanyama kama panya na wadudu nyemelezi kwenye sehemu ya malisho ya kuku kwani wao hubeba vimelea vya magonjwa… soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
โญTiba kwa kutumia majiโญ
๐ง๐ง๐ง๐ง๐ง๐ง๐ง๐ง๐ง.. soma zaidi
Tags๐ kuzuia_magonjwa_kuku kilimonaufugaji
1. Nyumba ya kuku iwe safi na kavu muda wote kuzuia ueneaji na kuzaliana kwa vijidudu vya magonjwa.. soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Mboga za majani makavu ยผ kg
Mafuta vijiko vikubwa 3-4
Karanga zilizosagwa kikombe ยฝ
Maziwa au tui la nazi kikombe 1
Kitunguu 1
Nyanya 2
Chumvi (kama kuna ulazima)
Maji baridi.. soma zaidi