VIDEOS-MPYA
By, Melkisedeck Shine.
Tags π ajali maajabu ndege. Category πvideos,: ajali maajabu ndege, Jamaa kaangusha helkopta kwa jiwe, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Angalia huyu mwizi wa kondoo, πAngalia video hapa
Tags π maajabu paka panya. Category πvideos,: maajabu paka panya, Angalia huyu Paka alivyotightishwa na panya, panya wengine ni noma, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Huyu ng'ombe anayependa kupiga watu kawezwa kweli, πAngalia video hapa
Tags π faru wanyama. Category πvideos,: faru wanyama, Angalia huyi faru alivyolifanya hili gari, ungekuwa ndio wewe upo ndani ya gari ungefanyaje?, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Kilichomsibu dada huyu mpanda farasi, πAngalia video hapa
Tags π maajabu pikipiki vichekesho. Category πvideos,: maajabu pikipiki vichekesho, Pikipiki ya ajabu, ulishawahi kuona?, πAngalia video hapa
Tags π maajabu. Category πvideos,: maajabu, Mcheki huyu jamaa alivyo na nguvu, kabeba gunia tano, πAngalia video hapa
Tags π ajali. Category πvideos,: ajali, Mwanamke alivyookolewa baada ya gari yake kuzama kwenye maji, πAngalia video hapa
Tags π ajali gari vichekesho. Category πvideos,: ajali gari vichekesho, Angalia huyu jamaa mwenye mbwe mbwe kilichompata mwanae, πAngalia video hapa
Tags π maajabu. Category πvideos,: maajabu, Meli inavyoingizwa baharini, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Huyu mwalimu kiboko, anataka kumscopion huyu mwanafunzi, πAngalia video hapa
Tags π ajali n'gombe vichekesho. Category πvideos,: ajali n'gombe vichekesho, Cheki huyu jamaa alichofanyiwa na huyu n'gombe, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Cheki huyu alivyomtishia mwenzake na Karai, πAngalia video hapa
Tags π maajabu vichekesho. Category πvideos,: maajabu vichekesho, Angalia huyu jamaa anajitestia bastola yake kama inafanya kazi, πAngalia video hapa
Tags π maajabu wanyama. Category πvideos,: maajabu wanyama, Mtu anacheza na dubu kama anacheza na rafiki ake, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Huyu jamaa chizi kweli, anapiga gwaride na punda na kondoo, πAngalia video hapa
Tags π swala wanyama. Category πvideos,: swala wanyama, Swala ni noma, kumbe na yeye anajua kupiga, cheki anavyomfanyia huyu mtu, πAngalia video hapa
Tags π maajabu pikipiki. Category πvideos,: maajabu pikipiki, Angalia huyu alichokifanya kwenye hii pikipiki, πAngalia video hapa
.
.
Endelea kuperuzi;-π
π¬ VIDEOS-ZA-KUCHEKESHAβ
π¬ VIDEOS-ZA-BURUDANIβ
π¬ VIDEOS-TUUβ
π¬ VIDEOS-MOTOMOTOβ
π¬ VIDEOS-KALI-LEOβ
π¬ VIDEOS-KALI-SANAβ
π¬ VIDEOS-KALIβ
π¬ Hapa nani kawezwa zaidiβ
π¬ Mtaalamu wa kuruka vikwazoβ
π¬ VIDEO-KUBWAβ
π¬ VIDEO-ZA-KUCHEKESHAβ
π¬ VIDEO-ZA-VICHEKESHOβ
Tagsπ (ukipenda) 1 1/2 1/4 3 cha chai hiliki jinsi karafuu karoti kata katika kijicho kijiko kikombe kikubwa kupika mafuta magi maji manga mchele mdalasini na nyama pilipli refu roweka tagi: unakata unga viambaupishi: vikubwa vitunguu wa wali ya zaafarani mapishinalishe
Mchele 3 Magi.. soma zaidi
Tagsπ uchumi
Jifunze kujikagua, jifunze kujiuliza je hapa ndipo napotakiwa kuwa? Usifurahie tu kwamba upo hapo kwa muda mrefu yamkini unaona panakufaa and you are settled lakini ukweli ni kwamba sio pako na haukutengenezwa kuwa hapo. Hata kama tai ataonekana kwenye banda la kuku lakini ukweli ni kwamba tai kaumbiwa kuwa angani tofauti na kuku aishie bandani. Jiulize hapo ulipo ni pako??.. soma zaidi
Tagsπ (cucumber) ardhini arusha biashara chakula. cucumber fito hata hili huoza. hustawi jinsi katika kilimanjaro kulima kulimwa kuwekea kwa kwani la matango matunda mazao mboga mikoa muhimu na nchini ni nje pia pwani. tagi: tanga tanzania tanzania. vizuri wingi ya yake yakilala zao wiki
Matango (cucumber) ni zao muhimu katika mazao ya mboga na matunda nchini Tanzania na hata nje ya Tanzania. Ni vizuri kuwekea matango fito kwani matunda yake yakilala ardhini huoza. Hili ni zao la biashara, pia chakula. Zao hili hustawi na kulimwa kwa wingi katika mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Tanga na Pwani… soma zaidi
Tagsπ ambapo anapotagia anaweza hao hii huliwa hutaga ili inamaanisha jinsi kama kuandaa kuangua kudhuriwa kuhatamia kuibwa. kuku kupata kuwa kuweza kuzingatia mahali mayai mengi muhimu mwingine na ni nyoka pamoja pia porini salama sana sehemu tagi: vifaranga. vile viota vya wakati wanyama wengineo. ya yaliyo wiki
Kuku anapotagia porini, mayai huliwa na wanyama kama vile nyoka na wengineo. Kuku pia anaweza kudhuriwa na wanyama hao na wakati mwingine kuibwa.
Viota ni mahali ambapo kuku hutaga mayai, kuhatamia na kuangua vifaranga. Hii inamaanisha kuwa viota ni sehemu muhimu sana ya kuzingatia ili kuweza kupata mayai mengi yaliyo salama pamoja na vifaranga… soma zaidi
Tagsπ wiki
Si kweli kabisa! Baada ya kuvuta bangi mtu hujiona kama jasiri sana na mwenye nguvu. Lakini madhara ya bangi ni kinyume na matarajio ya mtumiaji kwani mishipa husinyaa na ubongo hushindwa kufanya kazi zake vyema na kutoa uamuzi usio sahihi wa utendaji sahihi wa kazi za mwili… soma zaidi
Tagsπ biashara elimu fursa masoko mbinu ujasiriamali wiki
Ujasiriamali ni uwezo wa kubaini na utayari wa kuanzisha shughuli ya kiuchumi bila kujali hatari za kibiashara zinazoweza kujitokeza… soma zaidi
Tagsπ 1971. ambao basi bunge haikuwa hiari hii hiyo iliyopitishwa inakataza inasema inatambua iwapo kama kati kuishi kulazimisha. kulazimishwa kwa kwamba mke mke. msingi mume muungano mwaka na nchini ndoa ndoa. ni sheria siyo tanzania wameamua ya yao za zinazohusiana wiki
Sheria ya msingi ya ndoa nchini Tanzania ni Sheria ya ndoa ya
Bunge, iliyopitishwa mwaka 1971. Sheria hii inakataza ndoa za
kulazimisha. Inatambua ndoa kama ni muungano kati ya mume
na mke ambao kwa hiari yao wameamua kuishi kama mume na
mke. Sheria hiyo inasema kwamba iwapo ndoa haikuwa ya hiari,
basi hiyo siyo ndoa. Sheria pia imefafanua utoaji wa adhabu
kwa watu wote wanaoshawishi au wanaolazimisha pande hizo
mbili kuingia katika ndoa bila hiari yao. Kwa hiyo mwathiriwa wa
ndoa ya kulazimishwa anatakiwa kutoa taarifa juu ya wale wote
waliomlazimisha katika ndoa kwa polisi ambaye atawashitaki
kwa kuwa hili ni kosa la jinai… soma zaidi
Tagsπ asilia chakula hamu homoni katika kufanya kukosa kutengeneza kuwa kwa la madawa mapenzi matatizo matumizi mfumo mkubwa msongo mwanamme na ndoa pombe sababu tatizo tendo tiba uchovu umri viagra wa ya za wiki
Tatizo la kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa kwa mwanamme linaweza kusababishwa na vitu vingi sana. Sababu hizo zinaweza kuwa za kimaumbile au kisaikolojia au za mchanganyiko wa vitu hivyo viwili. Hebu tuone baadhi ya vyanzo vya tatizo hili… soma zaidi
Tagsπ hata je kumeza kuzuia lazima mimba ni nisipojamiiana? siku vidonge vya zile zote wiki
Ndiyo, vidonge vya kuzuia mimba ni lazima vimezwe kila siku hata kama hufanyi ngono siku hiyo. Kuna aina ya vidonge vya kuzuia mimba inayokuja katika pakiti yenye vidonge 21 na kuna inayokuja katika pakiti ya vidonge 28. Iwapo utapewa ile ya vidonge 21 utapumzika kunywa siku 7 katika mwezi. Iwapo utapewa ile ya vidonge 28, itabidi kumeza kidonge kimoja kila siku, hata siku za hedhi. Ili kuhakikisha vidonge vya kuzuia mimba vinafanya kazi sawasawa, mwulize yule aliyekushauri kutumia vidonge hivyo jinsi ya kuvimeza.
Kama mwanamke akisahau kunywa kidonge hata kama ni siku moja kuna uwezekano wa kupata mimba. Anaposahau kumeza vidonge, ni vizuri zaidi watumie kondom wakati wa kujamiiana kwa kuhakikisha kutopata mimba. Hii inahusika vilevile kama mwanamke ameharisha au ametapika katika kipindi cha saa 4 tangu ameze vidonge. Kama mwanamke anashindwa kukumbuka kunywa vidonge mara kwa mara, ni vizuri zaidi apate ushauri kutoka kwenye kliniki ya uzazi wa mpango kutumia njia nyingine ya kuzuia mimba… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Karanga ni muhimu sana katika afya ya mwili wa binadamu. Kiukweli karanga siyo chakula cha kupuuziwa iwapo utajua faida zake kama nitakavyokujuza leo katika makala haya… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Wakati wa kufanya tendo la ndoa wapo baadhi ya watu hupatwa na maumivu wakati au baada ya kushiriki tendo, Maumivu haya yaweza kuwa;- Wakati tu uume unaingia,
Unapoingiza kitu chochote hata kidole, Wakati uume ukiwa ndani na Maumivu ya kupita (throbbing pain) yanayodumu masaa kadhaa baada ya tendo… soma zaidi
Tagsπ uchumi
THERE IS NO FUTURE IN THE PAST. Ukitaka kufanikiwa usiangalie nyuma yako kunanini na ulishindwa mara ngapi. Siku zote kukaa Chini nakuanza kujuta kwa makosa uliofanya uko nyuma nikupoteza muda, huo muda Utumie kwa kupanga ya kesho… soma zaidi
Tagsπ habari
Watu watatu wamekufa na wengine thelathini wamelazwa hospitalini kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu nchini Tanzania na hasa katika mji wa kibiashara wa Dar es salaam.
Wataalamu wa afya wamesema kwamba mlipuko huo unapatikana kwenye maeneo ambayo hayana usafi wa kutosha na vyoo vya kisasa hasa katika maeneo yenye msongamano wa makazi katika jiji hilo… soma zaidi
Tagsπ habari
Kila ifikapo Septemba 11 ya kila mwaka Marekani hukumbuka shambulizi baya la kigaidi kuwahi kutokea la kulipuliwa kwa majengo pacha ya Shirika la Biashara la Kimataifa (WTO) mjini New York mwaka 2001… soma zaidi
Tagsπ wiki
Ni vigumu sana kujibu swali hili kwa sababu muda wa madhara hutegemea sababu mbalimbali kama vile aina za dawa za kulevya, njia za utumiaji, hali ya mtu na mazingira anapozitumia dawa hizo za kulevya. Mtu anaweza kuanza kutumia dawa za kulevya mara kwa mara i ili kukidhi kile anachokihitaji. Kwa baadhi ya dawa za kulevya, na baadhi ya watu, matumizi ya mara kwa mara kwa kipindi cha zaidi ya wiki mbili ni kipimo tosha cha kumfanya aishi kwa kutegemea dawa za kulevya… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Kuacha Matumizi ya pombe wakati wa ujauzito ni moja ya njia ya kuzuia kupata matatizo ya kuzaliwa nayo na udhaifu kwa mtoto. Pia kuna matatizo kadhaa yanaweza kutokea kwa kichaga kutokana na matumizi ya pombe wakati wa ujauzito… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
FAHAMU NGUVU ZAKO ZA KUZALIWA KWA UFUNUO WA ROHO MTAKATIFU
Kumb 33:1-9, Mwanzo 49:3-7, 1Kor 2:10
Kila mwanadamu aliyeumbwa na Mungu Aliye Hai, ameumbwa na nguvu maalumu kutoka mbinguni, ambayo ni mtaji wake maalumu; kiroho, kijamii na kiuchumi.
Mwanzo 49:3
Reubeni u mzaliwa wangu wa kwanza,nguvu zangu na malimbuko ya uwezo wangu. Umewapita wengine kwa ukuu na nguvu.
1. MZALIWA WA KWANZA KATIKA FAMILIA YOYOTE
i. Amebeba nguvu nyingi za familia.
ii. Amebeba Baraka za aina mbalimbali za wadogo zake.
iii. Amebeba nguvu ya upendo ndani ya familia.
iv. Mzaliwa wa kwanza ni lango, Zab 24:7-9, ambapo Baraka zote za familia kutoka mbinguni zinapitia kwake na kuwafikia wadogo zake wote.
v. Amebeba ustawi wa familia kiroho na kimwili… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Samaki (Tilapia 2)
Nyanya ya kopo (Tomato tin 1)
Kitunguu (Onion 1)
Tangawizi (ginger kiasi)
Kitunguu swaum (garlic clove )
Mafuta (Vegetable oil)
Pilipili (scotch bonnet pepper 1)
Tui la nazi zito (coconut milk 2 vikombe vya chai)
Curry powder 1/2 cha kijiko cha chai
Binzari nyembamba ya unga (ground cumin 1/2 kijiko cha chai
Binzari manjano (turmaric 1/2 kijiko cha chai
Chumvi (salt)
Limao (lemon 1)
Giligilani (fresh coriander).. soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Inasemwa kuwa βwewe ni kile unachokulaβ kwa kumaanisha kuwa mwonekano wetu na afya ya mwili na akili unajengwa na chakula tunachokula. Madhara ya chakula chetu tunachotumia yako pia katika ngozi. Kuna vyakula vinavyozeesha ngozi kwa haraka na ni budi kuvijua na kuviepuka… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mpunga - 4 vikombe.. soma zaidi
Tagsπ albino. ambavyo amebeba bado cha hakuna hali hayo inayofuatia je kama kichanga kikiwa kinachovuta kinasaba kipimo kitakuwa kugundua kujua kuna kuona kuonyesha kupima kutumia kuwepo kuwezesha kwa kwenye lakini maalamu maji majimaji mama mimba mjamzito mji mtoto na rahisi tumboni? ualbino ualbino. upo uwezekano vinaweza vipimo wa wakati wamepata watakuwa wazazi ya yaliyo wiki
Hakuna kipimo rahisi cha kuwezesha kuonyesha kama mama
mjamzito amebeba kinasaba cha ualbino. Lakini uwezekano upo,
kama wazazi watakuwa wamepata mtoto Albino. Uwezekano wa
kujua kama mimba inayofuatia kichanga kitakuwa na ualbino kwa
kutumia kipimo maalamu kinachovuta maji yaliyo kwenye mji wa
mimba na kupima hayo majimaji kuona kama kuna kinasaba cha
Albino. Hata hivyo, vipimo hivi ni vya gharama kubwa na kwa
kiasi kikubwa kwa sasa vinapatikana, katika hospitali kubwa
maalumu za nchi zilizoendelea (Ulaya, Marekani na kadhalika)… soma zaidi
Tagsπ wiki
Ndiyo, mwanaume ambaye ana uwezo wa kumwaga mbegu bila shida anaweza kuwa mgumba. Kutokuwa mgumba kuna maana kwamba uume wa mwanaume unaweza kusimama, kwamba mwanaume anaweza kumwaga shahawa na vilevile kwamba zile mbegu ni nzima na zina nguvu za kutosha za kurutubisha yai… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Ndizi tamu (plantain) 3-4
Tui la nazi (coconut milk) kikombe 1 cha chai
Sukari (sugar) 1/4 ya kikombe cha chai
Hiliki (Ground cardamon) 1/4 ya kijiko cha chai
Chumvi (salt) 1/4 ya kijiko cha chai.. soma zaidi
Tagsπ kuhusu usiyoyajua wanawake!! mahusiano
π"A lot about Women "
1. KUHUSU TAMAA ZAO.
-Mwanamke yeyote anaweza kukutamani kimapenzi isipokuwa Mama yako.π«
2. KUHUSU HULKA ZAO.
-Wanawake wote huonesha upendo wao waziwazi isipokuwa wale waliotendwa kabla.ππΌ.. soma zaidi
Tagsπ uchumi
Badilika huu mwaka. Kipenga kimeshapulizwa wenye mbio zao wameshatoka, wewe bado uko kitandani unaandika happy new year kwenye mitandao ya kijamii
Kipenga kimeshapulizwa wewe maliza bajet yote leo kwenye starehe alafu uanze kulalamika eti Mwezi wa kwanza Mgumu utadhani umeubonyeza.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Viazi utamu 3
Nyanya 2 kubwa
Kitunguu
Tango
Limao
Chumvi
Pilipili
Mafuta (vegetable oil).. soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Ni msukumo wa damu ulio juu kuliko inavyotakiwa kwa muda mrefu. Msukumo wa damu huhitajika mwilini ili kusambaza chakula, oksijeni na kutoa uchafu. Shinikizo la damu hupimwa kwa kutumia kifaa kinachoitwa Sphygmomanometer.. soma zaidi
Tagsπ bata bei cha chakula faida ghali gharama hali hawa hula huwa ili jinsi juu. kabla kadri kama kawaida kingi kuanza kubwa kufuga kuhakikisha kuku. kula kuliko kumpatia kutosha kuwa kuzaliana kwa lazima majani matunzo mfugaji mzinga na ndege ni sababu sehemu tagi: ufugaji uhuru ulishaji una virutubisho. wa wanahitaji wanavyokua ya yake zaidi. wiki
Ili kuzaliana na kumpatia mfugaji faida, bata mzinga wanahitaji matunzo ya hali ya juu. Kwa kawaida bata mzinga hula chakula kingi kuliko kuku. Bei yake ni ghali zaidi… soma zaidi
Tagsπ uchumi
"Nilibakwa nikiwa na miaka 9 lakini leo mimi ni mmoja wa wanawake wenye ushawishi mkubwa duniani"- *OPRAH WINFREY!*.. soma zaidi
Tagsπ akili albino darasani hawafanyi hawatengwi hawawezi hazina hitilafu huchukuliwa hujikuta ingawaje katika kufuatilia kusoma kuwa kuwakutanisha kuwawezesha kwa lazima maalumu madarasa mara masomo. matatizo mikakati mwao na ni nini nje nyingi pamoja sababu shughuli shuleni shuleni. shuleni? ubaoni. vikundi. vizuri wa wahakikishe wajinga walimu wameaachwa wanafamilia watambue watoto wawe wenzao ya za zao zinazojumuisha wiki
Ingawaje, akili zao hazina hitilafu watoto Albino mara nyingi
hawafanyi vizuri shuleni, na huchukuliwa kuwa ni wajinga kwa
sababu hawawezi kusoma vizuri ubaoni. Mara nyingi watoto
Albino hujikuta wameaachwa katika shughuli za nje, ya
madarasa zinazojumuisha wenzao shuleni.
Walimu lazima watambue watoto Albino darasani mwao na
wawe na mikakati maalumu wa kuwawezesha kufuatilia masomo.
Wanafamilia pamoja na walimu shuleni wahakikishe kuwa
Albino hawatengwi katika shughuli za vikundi. Kuwakutanisha
na Albino wenzao au na watu wenye Albino kwenye familia zao
na jamii kwa ujumla itawasaidia zaidi.
Watoto Albino wanajifunza kufidia upungufu walionao wa
kujithamini kwa kuweka jitihada katika masomo na shughuli
nyingine. Wana mwelekeo wa kushinda zaidi katika mambo
wanayojaribu. Watu weusi wengi wanaoishi na ualbino
wamefanikiwa kuwa mafundi wazuri, wanasheria, wakunge
wajasiriamali wataalamu wa kompyuta na hata maprofessa wa
vyuo vikuu… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Soda ni kiburudisho ambacho si muhimu sana kwa afya… soma zaidi
Tagsπ 15 2015 ambao bunge ccm cha dodoma halmashauri ili ilikuwa imewateua jamhuri kamati katika kikao kilichofanyika kumpata kura kuu kuwania la leo mgombea mjini moja muungano na nafasi novemba siku spika tagi: taifa tanzania. uspika wa wabunge waliopitishwa wana-ccm watakaopigiwa watatu wote ya habari
Kamati kuu ya halmashauri kuu ya Taifa ya CCM ilikuwa na kikao cha siku moja kilichofanyika leo Novemba 15, 2015 mjini Dodoma na imewateua wana-CCM watatu ambao watakaopigiwa kura na wabunge wote wa CCM ili kumpata mgombea wa CCM katika nafasi ya spika wa bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania… soma zaidi
Tagsπ kilimonaufugaji
Ukitaka kujua kuwa eneo unalotaka kuweka mizinga ya nyuki ni sahihi unatakiwa kuzingatia yafuatayo:.. soma zaidi
Tagsπ habari
1. "kuzaliwa masikini sio kosa lako, ila kufa
maskini ni ujinga wako" (Bill Gate)
.
.
2,..Failure to plan is A plan to Fail
(felix Bundala).. soma zaidi
Tagsπ habari
HABARI!
nyumba niliyo kuwa nikishi ilifikia kipindi nilitaka kufukuzwa Ndani kwa kutokulipa kodi. Nikaamua kuwashirikisha marafiki hata na boss wangu pia, wote wakaanza kunikwepa, hali nlivyoona hali hii nikaamua kushea na marafiki zangu Tatizo langu kwakupost Facebook kutafuta msaada, lakini nilicho kipata ni likes 2 "na comment "0.".. soma zaidi
Tagsπ wiki
Mara nyingi utunguaji mimba nje ya mfuko wa uzazi hutokea kwa sababu ya maradhi kwenye via vya uzazi. Maradhi hayo huharibu mirija ya kupitisha mayai. Uharibifu huo hufanya yai lisiweze kufika kwenye mfuko wa mimba na mara nyingi unasababishwa na magonjwa ya zinaa. Kama mwanamke alikuwa na magonjwa ya zinaa uwezekano wa kutunga mimba kwenye mrija wa kupitia mayai unaongezeka.
Ikiwa unafikiri una mimba au iwapo una maumivu chini ya tumbo, unashauriwa uende kliniki kwa ajili ya uchunguzi.
Yai lililorutubishwa linapokaa kwenye mrija wa kupitisha mayai tunasema mimba i imetungwa nje ya mji wa mimbaβectopic pregnancyβ. Kwa maana hiyo basi,, ukuta mwembamba wa mrija utashindwa kutanuka kikamilifu i ili kubeba mimba i inayokua. Mrija hupasuka na damu kutoka. Ikitokea hali hii , lazima mwanamke aende hospitali kwa ajili ya kupasuliwa na pengine kuongezwa damu… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
1. Ngono haimfanyi mwanaume asikuache, hata ukukuruke vipi, jikwatue kiasi gani kama hajaona quality za kuwa mke atakuacha tu.
2. Mwanaume anaekupata kwa vile alitumia pesa zake kwako hatakaa na wewe milele. Wanaume halisi hawawezi wakatoka na wanawake feki wanaopenda pesa. Ukibahatika sana atakufanya daraja la pili yaani mchepuko!.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Nyama ya nβgombe ya mifupa - 3 lb.. soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Umempata bwana
Umempenda kweli
Umemlalamikia kwanini hakupeleki kwa wazazi
Bwana akakupeleka kwa wazazi wake kukutambulisha
Siku ya kwanza umeshinda unachat…. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mchele wa basmati - 3 Vikombe.. soma zaidi
Tagsπ wiki
Kuna aina mbalimbali za ulemavu na kuna sababu mbalimbali za kuzaa mtoto mlemavu. Ulemavu wa mtoto unaweza kuwa wa kurithi au ukatokea katika hatua tofauti wakati mimba inakuwa, kama vile , wakati wa utungaji mimba, wakati wa ujauzito na wakati wa kuzaa… soma zaidi
Tagsπ sayansinatekinolojia
1. Karudi baba mmoja,
toka safari ya mbali,
Kavimba yote mapaja,
na kutetemeka mwili,
Watoto wake wakaja,
ili kumtaka hali,
Wakataka na kauli iwafae maishani… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Wali wa hoho ni chakula maalum kinachotumika katika hafla au sherehe. Ni chakula chenye ladha nzuri na kina muonekano wa kuvutia kinapokuwa mezani tayari kwa kuliwa… soma zaidi
Tagsπ habari
Umoja usio rasmi wa vyama vinne vya upinzani nchini Tanzania unajulikana kwa jina la Katiba ya Wananchi (UKAWA), baada ya kusubiri kwa muda hatimaye umemtangaza Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa kuwa mgombea wake wa urais.
Lowassa anagombea kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), huku vyama vingine vitatu vikimuunga mkono. Hii inatokana na sheria za Tanzania ambayo haitambui umoja wa vyama.
Kabla ya kujiengua chama Tawala chama cha Mapinduzi CCM, Edward Lowassa amekuwa mwanachama wa CCM kwa muda wa miaka 38, ambapo alijiunga na chama hicho mara tu baada ya kumaliza elimu yake ya chuo kikuu mwaka 1977.
Hatua ya mwanasiasa huyo mashuhuri nchini Tanzania kuamua kujiunga na chama cha upinzani Chadema, ikiwa imebaki miezi mitatu tu kuelekea uchaguzi mkuu, kumebadilisha kabisa upepo wa kisiasa nchini Tanzania, na hasa uchaguzi mkuu ujao… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
- Tambi Β½ paketi
- Vitunguu maji 2 vikubwa
- Karoti 1
- Hoho 1
- Vitunguu swaumu(kata vipande vidogo) kijiko 1 cha chakula
- Carry powder kijiko 1 cha chai
- Njegere zilizochemshwa Β½ kikombe
- Mafuta kwa kiasi upendacho
- Mayai 2
- Chumvi kwa ladha upendayo.. soma zaidi
Tagsπ wiki
Kambale (Ietalurus Punetaus), ni aiana ya samaki ambao wana majina mengi kulingana na eneo na jamii husika. Samaki hawa unaweza kusikia wakitajwa kwa majina mengine kama vile, kambale channel, koleo, samaki kidevu n.k… soma zaidi
Tagsπ habari
Pangani ni moja ya wilaya inayopatikana katika mkoa wa Tanga. Wilaya hii inabeba historia ndefu sana kwenye nchi hii, Kwani Ni moja ya maeneo ya mwanzo kufikiwa na kukaliwa na Waarabu.Pangani ni miongoni mwa maeneo ya mwanzo ya Tanzania bara kufikiwa na wageni kuutoka mashariki ya kati miaka ya 600-900 ambao ndio hao Waarabu. Na hata kwenye miaka ya 1400, Pangani ni moja ya miji iliopata kufikiwa na Wareno.
Na hata vile vita kati ya Wareno na Waarabu Pangani vilifika na kuleta athari kubwa kwa jamii za mwazo za Wazigua… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
kwanza kabisa nikupongeze kwa hatua uliyofikia, najua umekumbana na vikwazo vingi lakini haukukata tamaa ndio maana umefikia hatua hiyo.
Mnamo mwaka 1975,Hayati Mwalimu J.K Nyerere wakati anakifungua rasmi chuo kikuu cha Dar es salaam alisema Maneno yafuatayo,.. soma zaidi
Tagsπ dhidi hewani ikiwa imesema imetekeleza islamic kali kufikia kuwa maeneo mashambulizi miongoni mwa na nchini ni sasa. shambulio state syria tagi: urusi wa wapiganaji ya yake yanayokaliwa yashambulia zaidi habari
Urusi imesema kuwa imetekeleza shambulio kali zaidi dhidi ya maeneo yanayokaliwa na wapiganaji wa Islamic State nchini Syria,ikiwa ni miongoni mwa mashambulizi yake ya hewani kufikia sasa.
Waziri wa ulinzi Sergei Shoigu,amethibitisha ripoti za Ufaransa na Marekani kwamba Moscow ilitumia mabomu ya masafa marefu na makombora .
Amesema kuwa ndege hiyo ilirusha makombora katika maeneo ya wapiganaji hao mjini Raqqa,ambao ndio ngome kuu ya wapiganaji hao na Deir ez Zor mashariki mwa Syria,huku mabomu yakilenga Kaskazini.
Awali rais Vladmir Putin alionya mashambulizi makali dhidi ya IS,kufuatia thibitisho kwamba ndege ya Urusi ilioanguka nchini Misri mwezi uliopita ilisababishwa na shambulizi la kigaidi.
Maafisa wa Urusi wanasema kuwa chembechembe za vilipuzi zilionekana katika mabaki ya ndege hiyo aina Airbus.
Abiria wote 224 walioabiri ndege hiyo ,wengi wao wakiwa watalii wa Urusi waliuawa.
Kundi la Islamic State limethibitisha kutekeleza shambulio hilo… soma zaidi
Tagsπ ambapo anatumia huadhibiwa i jinai katika kisheria. kosa kuonyesha kutumia la mbakaji na ngono nguvu ni nini? tendo ubabe ubakaji wake. wiki
Ubakaji ni tendo la kutumia nguvu katika ngono ambapo mbakaji anatumia nguvu kuonyesha ubabe wake. Ubakaji ni kosa la jinai i na huadhibiwa kisheria.
Kama mtu hayuko tayari kufanya ngono na analazimishwa kukubali kufanya hivyo hii , i inahesabiwa kama ubakaji, hata kama anayekulazimisha ni rafiki, ndugu, jirani, mume au mtu usiyefahamiana naye… soma zaidi
Tagsπ 3 aina au baada baadhi hizi kujifungua la maji moto ndoa ngono ni nizijuazo sababu tendo utumiaji wa ya za wiki
Kungonoana au kungonoka na kufurahia tendo baada ya kujifungua inategemea zaidi na wewe mwenyewe (uponaji wako) na lini unadhani uko tayari vilevile ushirikiano wa kutosha kutoka kwa mume/mpenzi wako wakati unaendelea na uponaji baada ya kutoa kiumbe kipya duniani… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
DONGO LA LEO ……..
Kwa lugha nyepesi ni kwamba ukiajiriwa maana
yake umeshindwa kujitegemea kwa ujuzi wako
(yaani hujui ufanyie nini) hivyo umeona uukabidhi
ujuzi wako kwa wenye "akili na uwezo" wa
kuupangia matumizi ya huo ujuzi wako… soma zaidi
Tagsπ sayansinatekinolojia
1. Husaidia utunzaji na usafirishaji
2. Kupunguza ukubwa wa viazi na upotevu wa viazi kwa sababu viazi uharibika haraka na kama viazi vikiachwa ardhini wadudu (fukuzi) huweza kushambulia
3. Huongeza muda wa kuhifadhika
4. Unga na chipsi vina virutubisho vingi kwa vile kiwango kikubwa cha maji kwenye kiazi kinakuwa kimetolewa kwa hiyo kiwango cha protini, wanga, pectini, mafuta na chumvichumvi huongezeka
5. Huongeza chanzo cha mapato kwa wakulima kama vile upatikanaji wa masoko na chanzo kipya cha kipato 6. Husaidia kusambaza taarifa kwamba viazi vitamu huweza kuwa zao la biashara lenye matumizi mbalimbali na watumiaji wengi.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Tafiti zinasema kwamba mtu mmoja anayekunywa soda moja kwa siku, anakunywa zaidi ya galoni au dumu 56 za soda kwa
mwaka.
Japokua kuna watu wamekiri kunywa hata zaidi ya soda moja kwa siku ambayo huenda wanakunywa zaidi ya hicho kipimo… soma zaidi
Tagsπ uchumi
Anakuja Mchina anasema anahitaji Pakaπ,
ananunua mmoja kwa bei ya 20,000/=, basi
wanakijiji wanahaha kusaka Pakaπ,
wanawaleta mchina ananunua wote anasepa
nao. Anarudi tena anasema vipi, naona
wameadimika, sasa ntanunua kwa bei ya
35,000 Pakaπ mmoja, wanakijiji wanaenda
deep zaidi msituni, kamata Pakaπ, leta kwa
mchina, mchina anasepa nao… soma zaidi
Tagsπ uchumi
Ni uthubutu au ujaribu wa ufanyaji wa
shughuli yoyote halali na kupitia shughuli
hiyo mtu watu huweza kupata kipato… soma zaidi