VIDEOS-NA-MHENGA
By, Melkisedeck Shine.
Tags ๐ michezo mpira. Category ๐videos,: michezo mpira, Angalia huyu alivyofumga hili goli kwenye mpira kistaa, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ maajabu. Category ๐videos,: maajabu, Cheki hawa wanavyojenga bonge la nyumba, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ faru wanyama. Category ๐videos,: faru wanyama, Angalia huyi faru alivyolifanya hili gari, ungekuwa ndio wewe upo ndani ya gari ungefanyaje?, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ fisi wanyama. Category ๐videos,: fisi wanyama, Fisi wanafanya yao, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ maajabu michezo vichekesho. Category ๐videos,: maajabu michezo vichekesho, Angalia huyu jamaa alivyokomaa, anapigwa na tofali lakini wala hayumbi, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ gari mafuriko vichekesho. Category ๐videos,: gari mafuriko vichekesho, Angalia hili gari lilivyozama kwenye mafuriko, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ maajabu vichekesho. Category ๐videos,: maajabu vichekesho, Hizi sherehe nyingine hizi ni funika, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ maajabu vichekesho. Category ๐videos,: maajabu vichekesho, Mwangalie huyu mama mtaalamu wa kusonga ugali, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Cheki hiki, hivi vyombo vingine vya usafiri ni majanga, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ ajali gari. Category ๐videos,: ajali gari, Angalia hili gari lilivyopata ajali kiajabu, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ ajali. Category ๐videos,: ajali, Angalia huyu staili yake ya kubembea ilivyomfanya, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ vichekesho. Category ๐videos,: vichekesho, Huyu mwizi kaiba na yeye kaibiwa. Hapa mjanja ni nani?, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ faru wanyama. Category ๐videos,: faru wanyama, Angalia huyu faru alichokifanyia hili gari, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ ajali gari. Category ๐videos,: ajali gari, Angalia kilichotokea wakati wanapigana, na ugomvi ukaisha, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ maajabu michezo. Category ๐videos,: maajabu michezo, Mcheki huyu anataka kuendesha pikipiki yenye tairi moja, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ maajabu wanyama. Category ๐videos,: maajabu wanyama, Watu wakicheza na wanyama hatari, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ kobe mamba wanyama. Category ๐videos,: kobe mamba wanyama, Kumbe Kobe na mamba wanaweza kukaa pamoja, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ pikipiki vichekesho. Category ๐videos,: pikipiki vichekesho, Angalia hawa wanachofanya na hii pikipiki ya tairi moja, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ maajabu vichekesho. Category ๐videos,: maajabu vichekesho, Angalia anachokifanya huyu, sipati picha akianguka bahati mbaya, ๐Angalia video hapa
Tags ๐ kondoo vichekesho. Category ๐videos,: kondoo vichekesho, Cheki huyu kondoo dume anachokifanya sasa, mbabe kweli, ๐Angalia video hapa
.
.
Endelea kuperuzi;-๐
๐ฌ VIDEO-NA-MHENGAโ
๐ฌ MHENGA-NA-VIDEOSโ
๐ฌ WAHENGA-NA-VIDEOSโ
๐ฌ VIDEO-NA-WAHENGAโ
๐ฌ VIDEOS-NA-WAHENGAโ
๐ฌ VIDEOS-KWA-MHENGAโ
๐ฌ VIDEO-KWA-MHENGAโ
๐ฌ MHENGA-KWA-VIDEOSโ
๐ฌ WAHENGA-KWA-VIDEOโ
๐ฌ WAHENGA-KWA-VIDEOSโ
๐ฌ VIDEO-KWA-WAHENGAโ
๐ฌ VIDEOS-KWA-WAHENGAโ
๐ฌ VIDEOS-MHENGAโ
๐ฌ VIDEO-MHENGAโ
๐ฌ MHENGA-VIDEOSโ
๐ฌ WAHENGA-VIDEOโ
๐ฌ WAHENGA-VIDEOSโ
๐ฌ VIDEO-WAHENGAโ
๐ฌ VIDEOS-WAHENGAโ
Tags๐ mahusiano
Kijana wa miaka 24 alikua anaangalia ktk dirisha la treni, mara akahamaki akasema….. soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Chakula unachokula kina mchango mkubwa katika kutibu tatizo hili. Vyakula vingi vya kisasa havina uwezo wa kuongeza uwingi wa mbegu… soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Unga
2 Magi (kikombe kibuwa cha chai)
Sukari
1/3 Kikombe cha chai
Mayai 5.. soma zaidi
Tags๐ mahusiano
Ukizungumza na wasichana au wanawake ambao hawajaolewa, unapozungumzia suala la Ndoa, kwa bahati mbaya sana wengi vichwani mwao inajengeka taswira ya harusi. Ukisema Ndoa yeye anawaza gauni jeupe (Shela) lenye mkia mrefu na maids wamelishika huku na huku. Anawaza suti ya mume wake, gari ya kifahari iliyopambwa, sijui wasindikizaji watoto pale mbele. Anawaza Ukumbini, baharini kupiga picha na mwisho usiku wa Honeymoon… soma zaidi
Tags๐ hadithi
Mume alirejea nyumbani na kukuta ujumbe juu ya meza umeandikwa "NIMEONDOKA" ilikuwa jioni, alienda jikoni na kukuta kukavu, aliwaita watoto na kuwauliza wakasema walimuona Mama akiondoka na begi lakini hakuwaambia anaenda wapi. Mume alichanganyikiwa, alijaribu kuchukua simu kumpigia lakini ilikuwa haipatikani, kabla hajafanya chochote mtoto wao wa mwaka mmoja alikuja akilia na kusema ana njaaa… soma zaidi
Tags๐ akawa ambaye anaunga anaweza anayeaminika au desturi dini familia jamii juu katika kiongozi kukusaidia kumaliza kumtafuta kumwamini. kuzungumza kwamba la mawazo mbaya mkono mlezi msaada msaidizi msimamo mtu muuguzi mwalimu mwaminifu. mwenye mzazi mzima na ni pia rafiki tatizo ukajaribu ukamtafuta ukeketaji ukeketaji. unaweza wa wako wazazi ya yako wiki
Unaweza ukajaribu kuzungumza na wazazi wako kwamba
ukeketaji ni desturi mbaya, na pia unaweza ukamtafuta mtu
wa kukusaidia ambaye ni mwaminifu. Msaidizi anaweza akawa
rafiki, mlezi, mzazi au mtu mzima katika familia ambaye
unaweza kumwamini. Katika jamii yako unaweza kumtafuta
mwalimu anayeaminika, kiongozi wa dini au muuguzi ambaye
anaunga mkono mawazo yako na mwenye msimamo wa kumaliza
tatizo la ukeketaji… soma zaidi
Tags๐ habari
Je unatumia gas kwa kupikia? Tafdhali soma ujumbe huu na uchukue tahadhari ili isitokee kwako. Hili linaweza kuwa ni kosa la kawaida katika kila nyumba.
JINSI ILIVYOTOKEA… soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Mchele (rice 1/2 kilo)
Mchicha uliokatwakatwa (spinach mafungu 2)
Nyama (beef 1/2 ya kilo)
Nyanya (tin tomato 1/2 ya tin)
Nyanya chungu ( garden egg 3)
Kitunguu swaum (garlic cloves 3)
Tangawizi (ginger)
Curry powder
Vitunguu (onion 2)
Limao (lemon 1)
Chumvi
Pilipili (scotch bonnet pepper )
Tui la nazi (coconut milk 1 kikombe cha chai).. soma zaidi
Tags๐ anaweza au daktari hali huu ili inayofaa inazuia isiyotarajiwa kliniki kondomu kuamua kuanza kuhusu kupanga kupata kutumia kuwasaidia kuzuia kwa kwanza. kwenda magonjwa mara mbalimbali mimba mimba. mpango muda muuguzi mwanamke mwanaume mzuri na ni njia pamoja pia sababu ufafanuzi umri unaofaa unapojamiiana uzazi wa wakati ya yao. za zinaa. wiki
Muda unaofaa kutumia njia ya kupanga uzazi ni wakati unapojamiiana kwa mara ya kwanza. Huu ni wakati mzuri wa kutumia kondomu, kwa sababu kondomu inazuia kupata mimba isiyotarajiwa pamoja na magonjwa ya zinaa.
Huu pia ni muda mzuri wa kwenda kliniki ili kupata ufafanuzi kuhusu njia mbalimbali za kuzuia mimba. Daktari au muuguzi anaweza kuwasaidia mwanaume na mwanamke kuamua njia inayofaa kwa hali yao.
Mara nyingi, watu wanafikiri kwamba huduma ya uzazi wa mpango ni kwa wanawake ambao wameshaolewa, kwa mama wajawazito au wanawake waliozaa tu. Lakini si kweli. Hapa Tanzania, kisheria kila mtu aliyebalehe, iwe mvulana au msichana ana haki ya kupata huduma ya uzazi wa mpango… soma zaidi
Tags๐ afya mapishinalishe
NI muujiza! Pengine hivyo ndivyo yeyote anaweza kusema pindi akisikia kwa mara ya kwanza juu ya namna mihogo mibichi na nazi kavu maarufu kama mbata vinavyoweza kuwasaidia watu kiafya, na hasa wanaume… soma zaidi
Tags๐ wiki
Ni vigumu sana kujibu swali hili kwa sababu muda wa madhara hutegemea sababu mbalimbali kama vile aina za dawa za kulevya, njia za utumiaji, hali ya mtu na mazingira anapozitumia dawa hizo za kulevya. Mtu anaweza kuanza kutumia dawa za kulevya mara kwa mara i ili kukidhi kile anachokihitaji. Kwa baadhi ya dawa za kulevya, na baadhi ya watu, matumizi ya mara kwa mara kwa kipindi cha zaidi ya wiki mbili ni kipimo tosha cha kumfanya aishi kwa kutegemea dawa za kulevya… soma zaidi
Tags๐ habari
Katika nchi ya Kenya kuna kabila linafahamika kwa jina la Wagiriama. Kiasilia kabila hili linatokea kwenye familia lugha ya Wakushitiki,ambao wanahistoria wengi wanakubaliana kuwa walitokea maeneoa ya Uhabeshi yapata miaka ya 1000. Kabila hili nchini Kenya linapatikana kando kando ya mto Athi na pia kwa sasa wanapatikana maeneo mengi ya pwani ya Kenya ikijumuisha Mombasa mpaka Lamu.shughuri kubwa ya kabila hili ni ufugaji kama ilivyo kwa makabila yanayopakana nao kwa mfano Wamasai… soma zaidi
Tags๐ (september) 000 28 100 bure cha chanjo dar duniani es hapa hii ilivyoanza imetoa kampeni katika kiasi kichaa kila kwa lindi maalum mafugaji mbwa mbwajinsi mikoa mtwara mwaka mwezi na nchini ni pemba salaam serekali siku ta tagi: tarehe tisa wa ya wiki
SIKU YA KICHAA CHA MBWA DUNIANI.. soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Unga 4 Vikombe
Sukari 10 Ounce
Siagi 10 Ounce
Mdalasini ya unga 2 vijiko vya chai
Matunda makavu/njugu (kama lozi,
Zabibu, maganda ya chungwa,
Cherries na kadhalika 4 ounce
Maziwa ya maji 4 Vijiko vya supu.. soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Nimekutana na hiki kitabu japo nimekipitia juu juu nikaona nisiwe mchoyo Wa kukushirikisha wewe utakayependezwa na kusoma hapa Chini japo ni changamoto sana kwa sisi waongo kusoma.. soma zaidi
Tags๐ wiki
Jambo la muhimu ni kuwasiliana kwa karibu i ili kuelewa mawazo na matatizo ya rafiki yako. Hakikisha unakuwa muwazi na mkweli. Mkielewana vizuri mnaweza kufurahia mazungumzo yenu vizuri. Vilevile mnaweza kusaidiana katika kutatua matatizo yanayoweza kumkabili mmoja wenu. Kwa kufanya hivyo mtajenga moyo wa kuaminiana… soma zaidi
Tags๐ afya mapishinalishe
Inasemwa kuwa โwewe ni kile unachokulaโ kwa kumaanisha kuwa mwonekano wetu na afya ya mwili na akili unajengwa na chakula tunachokula. Madhara ya chakula chetu tunachotumia yako pia katika ngozi. Kuna vyakula vinavyozeesha ngozi kwa haraka na ni budi kuvijua na kuviepuka… soma zaidi
Tags๐ aina inayohakikisha katika korosho kulima kwa la mbinu miche mikorosho mkorosho moja muhimu ni pekee sababu tagi: teknolojia ubebeshaji uendelezaji uliopandwa. usahihi utangulizi uzalishaji viwango vya wa ya zao wiki
Ubebeshaji miche ya mikorosho ni moja ya mbinu muhimu katika uendelezaji wa zao la korosho kwa sababu ni teknolojia pekee inayohakikisha usahihi wa viwango vya uzalishaji wa aina ya mkorosho uliopandwa… soma zaidi
Tags๐ wiki
Magadi soda ni mazuri sana kwa kusafishia uso na haswa ukiwa na chunusi. Changanya kiasi kidogo cha magadi soda na maji ya kutosha kuunda kidonge kidogo na kisha weka au kandika kidonge icho sehemu ilio athirika na chunusi. Kwa muda wa dakika 15-20 au mpaka ikauke, na kisha suuza kwa maji yasiwe ya moto. Unaweza kurudia rudia mara kadhaa kwa siku mpaka utakapo ona athari ya chunusi imepotea… soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Mchele wa basmati/pishori - 4 vikombe vikubwa (mugs).. soma zaidi
Tags๐ wiki
Mgagani (Cleome gynandra) au Spider plant kwa kingereza, ni mmea wa asili ya Afrika unaostawi vizuri kwa kumwagiliwa hapa afrika ya mashariki wakati wa joto. Pia huchumwa mashambani ikiwa imeota yenyewe zao hili hushambiliwa na magonjwa na wadudu mara chache. Majani na Matawi machanga yana virutubisho kuliko Sukuma wiki na kabichi. Mahitaji yake yanaongezeka kwenye miji midogo na mikubwa kila siku… soma zaidi
Tags๐ - 1 9 18 2: 2:14 3:8 alidhihirishwa alikuja amharibu anayofanya au azivunje biblia dhambi hebu ibilisi ibilisi. ibilisi.โ inamwongelea inaweza jibu kama katika kazi kiyunani kumtuma kusudi kutupa kuwa kweli la maana mungu na nani? neno ni nini pia sababu somo: tunaambiwa tunapewa tuone waebrania ya yakishinda. yasiwe yenyewe. yesu yesu; yohana za zake. โdiabolosโ. โili wiki
Somo: Waebrania 2: 9 - 18
Ni kweli Biblia inamwongelea Ibilisi. Ibilisi ni nini au ni nani? Neno la Kiyunani ni โdiabolosโ. Hebu tuone kama Biblia inaweza kutupa jibu yenyewe… soma zaidi
Tags๐ sayansinatekinolojia
JE WAJUA?????…….
Nyangumi ni aina ya samaki Na ndie mnyama mkubwa kuliko
wanyama wote wanaoishi majini…….
Sifa za NYANGUMI hizi hapa…..
1»> moyo Wa nyangumi unakadiriwa kuwa Na kilo 600
2»> mtoto Wa Nyangumi anauwezo Wa kunywa Maji Lita
400 kwa Sikh.. soma zaidi
Tags๐ mahusiano
Leo nimepita kisimani nikamkuta dada mmmoja akifua. ,Nikamuuliza eti dada unavijua visa vya wanawake??
Akajibu kaka niache, nikakomaa anijibu…
Badala ya kujbu akaanza kupiga mayowe, na kelele za kuomba msaada.. hadi wananchi wenye mapanga, mawe na mishale wakaanza kuja, dada huyo alivyoona wanakuja akajmwagia maji mwili mzima. Nikajua leo ndio mwisho wangu nikajuta sana kutaka kujua kila kitu…
Wananchi walivyofika, wakamuulza, kuna nini? Akawajibu, nilidumbukia kwenye kisima na huyu kaka ndie amensaidia!!
Wakanipongeza sana sana kisha wakaondoka…
Yule dada akaniambia, hivyo ndivyo visa vya mwanamke anaweza kukuua au kukulinda! So muheshmu mwanamke hata kinafiki, usijfanye jeuri!!!.. soma zaidi
Tags๐ mahusiano
Hakuna mtu aliye mkamilifu kwa asilimia 100. (mfano).. soma zaidi
Tags๐ wiki
Ndoa ni makubaliano kati ya watu wawili wenye jinsia mbili tofauti kuishi pamoja kama mume na mke… soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Mchele - 2 Mugs.. soma zaidi
Tags๐ wiki
โข Ni lazima nyumba ya kuku iwe safi na kavu muda wote
โข Nyumba ya kuku iwe na nafasi za kupitisha hewa ya kutosha ili kuepuka joto na unyevunyevu
โข Hakikisha unaondoa matandazo na takataka zote kwenye banda wakati wote. Matandazo na taka zinaweza kuwa mbolea nzuri ya mboji kwa mimea yako.
โข Fagia banda na kuhakikisha ni safi wakati wote. Weka matandazo mapya mara kwa mara.
โข Weka nafasi ya kutosha kuku kupumzikia, viota vya kutosha, na kuweka maji sehemu ambayo ni rahisi kusafisha.
โข Hakikisha unaondoa wanyama kama panya na wadudu nyemelezi kwenye sehemu ya malisho ya kuku kwani wao hubeba vimelea vya magonjwa… soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Unga sembe glass 1
Unga ngano glass 1
Sukari glass 1 (unaweza kupunguza kidogo)
Maziwa glass 1
Mafuta 1/2 glass
Mayai 4
Iliki iliosagwa 2tbs
Bp 2tbs.. soma zaidi
Tags๐ mahusiano
Nawaandikia ninyi vijana wa kiume na wanaume wote, maana mna nguvu na mmejaliwa na mwenyezi Mungu utashi, hekima na busara. Yote hayo ni ili muweze kutawala kila kitu tokea kuumbwa kwa misingi ya ulimwengu huu. Wekeni wivu pembeni na Yafuateni haya;.. soma zaidi
Tags๐ wiki
Kutumia dawa za kulevya kwa kiasi kidogo kunaweza kusilete madhara i ila mpaka tu pale utakapoyazoea. Mara nyingi watu huanza kuhitaji dawa zaidi pale wanapozizoea na kupata madhara. Hii i ii inaweza kusababishia mtu kutawaliwa na dawa za kulevya. Mtumiaji wa dawa za kulevya anaweza kuwa mtegemezi wa dawa hizo bila ya kujijua. Kujaribu dawa za kulevya kunaweza kukawa na madhara kama โutaishia pabayaโ. โKuishia pabayaโ ni jambo la kutisha na si la kufurahisha hata kidogo! Hali hiyo inaweza kutokea mara ya kwanza unapoanza kutumia bangi… soma zaidi
Tags๐ wiki
Wanawake wengi huwa katika wakati mgumu kufahamu ni line wanaweza kurudi kwenye maisha ya kuendelea na tendo la ndoa (sex) na waume zao baada ya kujifungua.
Pamoja na kuwa na imani potofu zinazozuia mwanamke kujihusisha na sex baada ya kuzaa mtoto bado hakuna uthibitisho wa kitaalamu (scientific research) kuelezea ni muda gani muafaka wa kuanza sex baada ya kujifungua au hatari za kuendelea na tendo la ndoa baada ya kujifungua.
Mke anao uhuru wa kuamua ni wakati gani anajiona yupo huru kuanza tena kushiriki katitka sex na mume wake… soma zaidi
Tags๐ wiki
[**[http://jinsi.wikidot.com/wiki:blog-huru-ya-wakatoliki soma zaidi**
Tags๐ 18 afya atakayekuwa chini duni hatari hawajakomaa hawajawa huu juu katika kiakili kimwili kisayansi kuanza kufaa kupevuka kuwa kuyakabili kwa licha maamuzi maisha maisha. majukumu mdogo miaka mimba msichana mstakabali mtoto mtu mwenzi mwingi na ndoa ni nyingi pia sababu sahihi tayari umri unaonyesha ushahidi uwezo uzazi wa wakati wake.wasichana wanakuwa wao wasichana wengi ya yake zipo wiki
Zipo sababu nyingi na ushahidi mwingi wa kisayansi, unaonyesha kuwa, ndoa na mimba katika umri mdogo wa msichana chini ya umri wa miaka 18 ni hatari kwa afya na mstakabali wa maisha yake na mtoto wake.Wasichana wengi wakati huu licha ya kuanza kupevuka wanakuwa hawajakomaa kiakili na uwezo wao ni duni katika maamuzi juu ya kufaa kwa mtu atakayekuwa mwenzi sahihi wa maisha.
Kimwili pia wasichana katika umri huu wanakuwa hawajawa tayari kuyakabili majukumu ya uzazi na unyumba, nyonga za wasichana wanaoendelea kukuwa mara nyingi huwa changa na finyu kiasi kwamba husababisha matatizo mengi ya uzazi wakati wa kujifungua kwa njia ya kawaida… soma zaidi
Tags๐ kutibu-chunusi-kiasili mapishinalishe
Asali hasa asali mbichi ya asili ni dawa nzuri sana ya kutibu chunusi. Asali ni antibiotiki ya asili ambayo husaidia kupunguza ukubwa wa chunusi na maumivu ya chunusi… soma zaidi
Tags๐ 150217180020_ abdoulaye amesema. burqa daouda humo inapanga jpgsenegal kijihadi kupiga kuzuia kwa la lengo makundi marufuku maswala mienendo nchini ndani nocredit. senegal tagi: uvaaji vazi wa wanawake waziri woman_ ya habari
Senegal inapanga kupiga marufuku uvaaji wa vazi la wanawake la Burqa kwa lengo la kuzuia mienendo ya makundi ya kijihadi,waziri wa maswala ya ndani nchini humo Abdoulaye Daouda amesema… soma zaidi
Tags๐ wiki
Unaweza ukawa unajiuliza ni wakati gani salama kuanza kufanya mapenzi baada ya kujifungua na kama kuna madhara kwa mtoto wako anayenyonya. Kuna dhana nyingi ambazo huzunguka suala hili ikiwemo kumbemenda na kutopata ujauzito mara baada ya kujifungua… soma zaidi
Tags๐ mahusiano
Ujumbe wangu kwako Leo: NI VEMA UKAYAJUA
HAYA KABLA YA KUINGIA KWENYE NDOA:
1. Sherehe ya Harusi ni ya siku moja tu, na Ndoa
ni ya maisha yote.
2. Mwanamume/Mwanamke aliyezoea kuchepuka
kabla ya Ndoa, ataendelea kuchepuka hata baada
ya Ndoa… soma zaidi
Tags๐ aina anayefaa binti bongo ke kenya kuoa mke msichana muhimu mwanamke mwema sifa tanzania tz ug uganda wakuishi wiki
Mithali 14:1โKila mwanamke aliye na Hekima hujenga nyumba yake; Bali aliye mpumbavu hibomoa kwa mikono yake mwenyeweโ Kuna mithali isemayo โMAJUTO MJUKUUโ, ni kawaida kwa wanandoa kuangalia na kulaumiana juu ya matatizo yanayojitokeza, badala ya kutafakari chanzo cha matatizo. Matatizo mengi ya ndoa yanatokana na wanandoa kutokuwa na elimu ya ndoa na kutofuata ushauri wa Mungu aliyeanzisha Ndoa. Baadhi ya sifa za Mwanamke mwenye Hekima โ Pia Soma Mithali 31:10-31… soma zaidi
Tags๐ wiki
Kwa kawaida wakati wa kupima ubora, kiasi kidogo cha maziwa (sampuli) kutoka kwenye kila chombo hupimwa. Maziwa ambayo sampuli yake haikufikia kiwango kinachotakiwa hukataliwa na ni hasara kwa mfugaji. kwa hiyo, ni muhimu kushughulikia na kuhifadhi maziwa kwa kuzingatia kanuni za usafi. Vipimo hivi hufanyika kila wakati maziwa yanapofikishwa katika vituo vya kukusanyia maziwa ili kuhakikisha maziwa bora pekee ndiyo yanayopokelewa. Utaratibu huu wa upimaji maziwa kama unavyofafanuliwa hapo chini utakusaidia kuelewa na kukubali matokeo ya upimaji... soma zaidi
Tags๐ wiki
Kutoka damu (hedhi) kwa mara ya kwanza kunaitwa kuvunja ungo na hii ni dalili ya mtoto wa kike kuingia utu uzima,0 yaani kuwa mwanamke. Wasichana wanavunja ungo kati ya umri wa miaka 8 na umri wa miaka 18. Lakini, kuvunja ungo haina maana kwamba unahitaji kuanza kujamii ana. Kwa sababu ukijamii ana kuna hatari ya kupata mimba!.. soma zaidi
Tags๐ afya mapishinalishe
Kuna wakati mwanaume huweza kupata maumivu ya korodani, ambapo inawezekana ikawa ni maumivu kwa korodani moja au zote mbili… soma zaidi
Tags๐ afya mapishinalishe
Watu wengi wanafahamu kuwa kufunga kula ni swala linalohusiana na imani zaidi. Wengi hawafahamu kuwa kufunga kula kuna manufaa ya kiafya pia. Kufunga kula ni tendo lenye historia ndefu sana ambayo kimsingi chimbuko lake ni sababu za kiimani. Hata hivyo shuhuda na tafiti mbalimbali zimedhihirisha kuwa kuna manufaa mengine kemkem ya kufunga kula mbali na yale ya kiimani… soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Unga
2 Magi (kikombe kibuwa cha chai)
Sukari
1/3 Kikombe cha chai
Mayai 5.. soma zaidi
Tags๐ tibu-shinikizo-chini mapishinalishe
Unaweza kutumia Lozi na maziwa kutibu shinikizo la chini la damu kama ifuatavyo;.. soma zaidi
Tags๐ mahusiano
Kama wewe ni mwanamke na haujaolewa na upo kwenye mauhusiano na mwanaume ambaye haujafunga naye ndoa basi zingatia hili, linaweza kukusaidia na kukupa nuru nzuri ya ndoa bora yenye tija katika maisha yako ya mauhisiano.
Chagua mwanaume bora kwa kutizama utashi wake na mawazo yake chanya, mwanaume bora ni yule aliyekuzidi utashi,tabia nzuri pamoja hekima na busara na mwenye mapenzi ya dhati kwako… soma zaidi
Tags๐ akawa ambaye anaunga anaweza anayeaminika au desturi dini familia jamii juu katika kiongozi kukusaidia kumaliza kumtafuta kumwamini. kuzungumza kwamba la mawazo mbaya mkono mlezi msaada msaidizi msimamo mtu muuguzi mwalimu mwaminifu. mwenye mzazi mzima na ni pia rafiki tatizo ukajaribu ukamtafuta ukeketaji ukeketaji. unaweza wa wako wazazi ya yako wiki
Unaweza ukajaribu kuzungumza na wazazi wako kwamba
ukeketaji ni desturi mbaya, na pia unaweza ukamtafuta mtu
wa kukusaidia ambaye ni mwaminifu. Msaidizi anaweza akawa
rafiki, mlezi, mzazi au mtu mzima katika familia ambaye
unaweza kumwamini. Katika jamii yako unaweza kumtafuta
mwalimu anayeaminika, kiongozi wa dini au muuguzi ambaye
anaunga mkono mawazo yako na mwenye msimamo wa kumaliza
tatizo la ukeketaji… soma zaidi
Tags๐ uchumi
Mbinu 5 za kukufanikisha maishani Unaweza ukawa upo kwenye hali ya kulalamika maisha yako ni magumu na unashangaa kwa nini hufanikiwi katika maisha yako kama jinsi unavyotaka wewe. Hali hii inaweza ikawa inakuumiza pengine kila ukiangalia rafiki zako ama maisha ya wengine yanavyozidi kuwa mazuri, wakati wewe upo katika hali ngumu. Na pengine umekuwa ukijiuliza nini siri kubwa ya mafanikio yao ambayo wanaitumia ambayo wewe huna. Kutokana na hali hiyo umekuwa ukijilaumu kujilaumu na kujiuliza kwanini nyingi ambazo hazina majibu. Kitu usichokijua watu hawa huwa wanatumia mbinu fulani kufanikiwa. Kawaida, katika maisha kama ulivyomchezo wa miguu, au michezo mingine mara nyingi huwa zipo mbinu za kufanikisha kile tunachokifanya. Mbinu hizi huweza kutambulika kama sheria, kanuni, au siri lakini zote hulenga kukufanikisha kama unataka mafanikio ya kweli. Mbinu hizi zinapotumiwa kwa bahati mbaya au nzuri huwa hazifanyi ubaguzi zinamwendea yoyote na kuleta matunda unayoyataka. Hata kama ikitokea umezitumia mbinu hizi kwa bahati mbaya bila kujijua ni lazima utafanikiwa katika maisha yako. Mbinu hizi ndizo wanazozitumia wengi wenye mafanikio na kuwafanikisha, ingawa huwa sio kwao kuwa rahisi kukwambia mbinu hizo. Haijalishi unaishi kwa sasa maisha gani au upo kwenye matatizo mengi vipi, ukizitumia mbinu hizi, zitakufanikisha na kukupa maisha ya mafanikio unayoyataka. Acha kulalamika tena na kuishi bila amani. Sasa unaweza ukawa na mafanikio makubwa kama hao unaowaona wamefanikiwa, ikiwa utatumia mbinu hizi kukufanikisha. Unajua mbinu hizi ni mbinu zipi?.. soma zaidi
Tags๐ uchumi
Soma kidogo hapa.. Kuna watu wa aina NNE tunapoongelea pesa na muda… soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Tambi (vermiceli Roasted) Mifuko 2.. soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Mchele wa hudhurungi (brown rice).. soma zaidi
Tags๐ afya anayeishi binadamu dhahiri haki haki. hasa haya hizi hizi: husika. inayokubaliana kama katika kimataifa kuanzia kuheshimiwa kuthaminiwa mataifa matamko mikataba msingi; mtu muhimu na nchi ni pia sheria siku ualbino? ujinsia ulimwenguni unayozaliwa. uzazi wote ya yameridhia yote za ziko zile zinamhusu zinawahusu zinazohusiana wiki
Haki za msingi; hasa zile zinazohusiana na kuthaminiwa na
kuheshimiwa kama binadamu zinawahusu binadamu wote
kuanzia siku unayozaliwa. Mataifa yote Ulimwenguni yameridhia
mikataba ya Kimataifa inayokubaliana na matamko haya ya
haki. Haki hizi ziko dhahiri katika sheria za nchi husika. Haki
muhimu za ujinsia na afya ya uzazi ni hizi:
โข Kupata habari juu ya ujinsia na mada zinazohusu afya ya
uzazi.
โข Mwanamke au mwanaume kuamua kwa uhuru na kuwajibika,
kama anataka kujamiiana lini na mtu gani… soma zaidi
Tags๐ mahusiano
Wakati wa Ujerumani ikiwa imegawanyika enzi hizo za vuguvugu, siku moja watu wa Ujerumani Mashariki walichukua Lori kuukuu wakalijaza takataka na uchafu wenye uvundo wakaenda kulitelekeza Ujerumani Magharibi.
Watu wa Uj/ Magharibi walipoliona wakalichukua wakaziteketeza taka zile, wakalisafisha , kisha wakajaza mikate mizuri, siagi na vyakula vingine vizuri, kisha wakaandika ujumbe huu "KILA MTU HUTOA ALICHO NACHO" wakalirudisha Lori ujerumani Mashariki pamoja na ujumbe huo…… soma zaidi
Tags๐ afya mapishinalishe
Je unakula chakula bora ambacho ni bora pia kwa ajili ya macho yako? Kula vizuri kuna manufaa mengi kwa ajili ya miili yetu; macho nayo yakiwemo. Kuna virutubisho mbalimbali vinavyohitajika kwenye macho kuliko tu vile vinavyofahamika na wengi vilivyoko kwenye karoti… soma zaidi
Tags๐ (is) 48 50 au fan grimsgaard-ofstad halikutoa hao. hayo hilo huru is islamic jinghui johan kuhusu kundi kutoka kuwaachilia kwa la lini maelezo mataifa mateka na ni norway ole raia state tagi: uchina vikombozi wa walikuwa waliuawa. wamesema wamewaua wapi wapiganaji wawili zaidi habari
Kundi hilo la IS halikutoa maelezo zaidi kuhusu ni wapi au lini Ole Johan Grimsgaard-Ofstad, 48, kutoka Norway na Fan Jinghui, 50, kutoka Uchina waliuawa. IS walikuwa vikombozi kutoka kwa mataifa hayo kuwaachilia huru mateka hao.
Waziri mkuu wa Norway Erna Solberg amesema hakuna sababu zozote za kutilia shaka tangazo la wapiganaji hao, na kutaja kitendo chao kuwa โunyamaโ.
Wizara ya mashauri ya kigeni ya Uchina imesema imeshtushwa sana na mauaji hayo… soma zaidi
Tags๐ wiki
Kama mpenzi wako hatakuwa na maambukizi ya magonjwa ya zinaa hakuna madhara ya kiafya. kama shahawa i itagusana na mdomo wa msichana. Lakini, wasichana wengi hawapendi kupokea shahawa mdomoni na wanasikia kukerwa kufanya hivyo… soma zaidi
Tags๐ mapishinalishe
Soda ni kiburudisho ambacho si muhimu sana kwa afya… soma zaidi
Tags๐ afya mapishinalishe
Kukosa choo ni tatizo kubwa katika jamii zetu japo huwa halionekani kama ni tatizo. Hata hivyo kuna vyakula ambavyo vinapatikana kwa urahisi na vinasaidia kutibu tatizo la kukosa choo kwa njia rahisi kabisa… soma zaidi
Tags๐ sayansinatekinolojia
Madawa ya kulevya ni aina ya madawa au vilevi ambapo mtumiaji akishatumia mfumo wa mwili na akili yake hubadilika. Mtumiaji huweza kudhoofika kimwili au kupata madhara ya kiakili na baadhi huweza hata KUFA… soma zaidi