VIDEOS-TANZANIA
This is the Redirect module that redirects the browser directly to the "http://www.ackyshine.com/videos" page.
VIDEOS-TANZANIA
By, Melkisedeck Shine.
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Kwa michezo hii unatakiwa uwe mtaalamu kweli, πAngalia video hapa
Tags π ajali gari vichekesho. Category πvideos,: ajali gari vichekesho, Angalia huyu jamaa mwenye mbwe mbwe kilichompata mwanae, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Kwa wale wapenzi wa katuni angalia hii, πAngalia video hapa
Tags π wanyama. Category πvideos,: wanyama, Huyu nyoka anajin'gata mwenyewe baada ya kukatwa kichwa, πAngalia video hapa
Tags π maajabu. Category πvideos,: maajabu, Angalia huyu mshikaji anavyojiunga na wenzake kimtindo, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Wazee wengine ni hatari, mwangalie huyu mzee anachoufanyia huu mdoli, πAngalia video hapa
Tags π maajabu n'gombe. Category πvideos,: maajabu n'gombe, Cheki huyu jamaa anatumia mkojo wa n'gombe kama dawa, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Unafikiri huyu atakua amefanyaje?, πAngalia video hapa
Tags π maajabu. Category πvideos,: maajabu, Angalia huyu mshikaji anavyojiunga na wenzake kimtindo, πAngalia video hapa
Tags π maajabu ngumi. Category πvideos,: maajabu ngumi, Pigana yao hii Inasikitisha lakini angalia, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Huyu mwanamama ni hatari, cheki anachofanya hapa sasa, πAngalia video hapa
Tags π maajabu vichekesho. Category πvideos,: maajabu vichekesho, Hii nayo kali, cheki huu mlango unachomfanya huyu mtoto, πAngalia video hapa
Tags π michezo. Category πvideos,: michezo, Haka kitoto na kenyewe kanajidai kanafanya mazoezi, πAngalia video hapa
Tags π maajabu. Category πvideos,: maajabu, Angalia hili gari lilivyofanywa chapati, πAngalia video hapa
Tags π bunduki vichekesho. Category πvideos,: bunduki vichekesho, Angalia huyu jamaa anachofanya na hii bunduki, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Huyu anaukunjakunja mwili wake kama vile hana viungo, πAngalia video hapa
Tags π ajali pikipiki. Category πvideos,: ajali pikipiki, Hii ni miongoni mwa ajali mbaya ya pikipiki kuwahi kutokea, πAngalia video hapa
Tags π simba twiga wanyama. Category πvideos,: simba twiga wanyama, Simba akipigwa na twiga, πAngalia video hapa
Tags π nyani vichekesho. Category πvideos,: nyani vichekesho, Angalia huyu nyani anachomfanyia huyu dada, πAngalia video hapa
.
.
Endelea kuperuzi;-π
π¬ VIDEOS-BONGOβ
π¬ VIDEOS-TWEETERβ
π¬ VIDEOS-MTANDAONIβ
π¬ VIDEOS-ONLINEβ
π¬ VIDEOS-FACEBOOKβ
π¬ VIDEOS-INSTAβ
π¬ VIDEOS-INSTAGRAMβ
π¬ VIDEOS-ACKYSHINEβ
π¬ VIDEOS-HOTSβ
π¬ VIDEOS-BOMBAβ
π¬ VIDEOS-MPYAβ
π¬ VIDEOS-ZA-KUCHEKESHAβ
π¬ VIDEOS-ZA-BURUDANIβ
π¬ VIDEOS-TUUβ
π¬ VIDEOS-MOTOMOTOβ
π¬ VIDEOS-KALI-LEOβ
π¬ VIDEOS-KALI-SANAβ
π¬ VIDEOS-KALIβ
Vyakula vinavyofaa kutumiwa kwa mtu mwenye kisukari aina ya kwanza
Tagsπ mapishinalishe
Vyakula hivyo ni;.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Vyakula hivyo ni;.. soma zaidi
Zaidi ya wafanyakazi 500 wa kampuni ya Grumet Fund kupitia kitengo chake za ujenzi wafanya maandamano
Tagsπ 3 500 8000. ambao bila chake fund grumet hadi kampuni kazi kitengo kuajiriwa kufanyishwa kufanyiwa kufukuzwa kumi kunakodaiwa kuongeza kupinga kupitia kushindwa kutoka kwa maandamano makubwa malipo mandamano mgomo17.jpg miaka mshahara na ovyo shilingi siku tagi: ujenzi unyanyasaji uongozi vitendo vya wa wafanya wafanyakazi wakati wakipinga wameafanya ya za zaidi habari
Zaidi ya wafanyakazi 500 wa kampuni ya Grumet Fund kupitia kitengo chake za ujenzi wameafanya mandamano makubwa kwa kupinga vitendo vya unyanyasaji na kufukuzwa ovyo kunakodaiwa kufanyiwa na uongozi wa kampuni ambao wakati wakipinga kufanyishwa kazi miaka kumi bila kuajiriwa na kushindwa kuongeza malipo ya mshahara kutoka shilingi 3,500 kwa siku hadi shilingi 8000… soma zaidi
Tagsπ 3 500 8000. ambao bila chake fund grumet hadi kampuni kazi kitengo kuajiriwa kufanyishwa kufanyiwa kufukuzwa kumi kunakodaiwa kuongeza kupinga kupitia kushindwa kutoka kwa maandamano makubwa malipo mandamano mgomo17.jpg miaka mshahara na ovyo shilingi siku tagi: ujenzi unyanyasaji uongozi vitendo vya wa wafanya wafanyakazi wakati wakipinga wameafanya ya za zaidi habari
Zaidi ya wafanyakazi 500 wa kampuni ya Grumet Fund kupitia kitengo chake za ujenzi wameafanya mandamano makubwa kwa kupinga vitendo vya unyanyasaji na kufukuzwa ovyo kunakodaiwa kufanyiwa na uongozi wa kampuni ambao wakati wakipinga kufanyishwa kazi miaka kumi bila kuajiriwa na kushindwa kuongeza malipo ya mshahara kutoka shilingi 3,500 kwa siku hadi shilingi 8000… soma zaidi
Ni kwa nini ni vigumu kuacha kuvuta sigara?
Tagsπ ambayo au baada bila dawa hali hamu hatari hatua hii hiyo hutokea huwezi inabidi inayohitaji kabisa kama kazi kila kuacha kubwa kuepuka kufanya kufikiri kukutuliza kula. kulevya kupambana kupunguza kutamani kutumia. kuu kuvuta kuzoea kwa lolote matamanio matumizi mkali. msimamo na nafsi ndiyo ni nini nzito pamoja pia pombe sigara sigara? tabia ubadili unapojisikia. unataka unaweza unayazoea upande utakapoanza uvutaji vigumu vishawishi wa wengi ya yake yako. za wiki
Ndiyo hatari kuu ya matumizi ya dawa za kulevya ambayo
unayazoea na kufikiri huwezi kufanya lolote bila ya kutumia… soma zaidi
Tagsπ ambayo au baada bila dawa hali hamu hatari hatua hii hiyo hutokea huwezi inabidi inayohitaji kabisa kama kazi kila kuacha kubwa kuepuka kufanya kufikiri kukutuliza kula. kulevya kupambana kupunguza kutamani kutumia. kuu kuvuta kuzoea kwa lolote matamanio matumizi mkali. msimamo na nafsi ndiyo ni nini nzito pamoja pia pombe sigara sigara? tabia ubadili unapojisikia. unataka unaweza unayazoea upande utakapoanza uvutaji vigumu vishawishi wa wengi ya yake yako. za wiki
Ndiyo hatari kuu ya matumizi ya dawa za kulevya ambayo
unayazoea na kufikiri huwezi kufanya lolote bila ya kutumia… soma zaidi
Wakubwa nisaidieni!!
Tagsπ ex example: expired kila ni nisahidieni. sio tu. utanielewa wakubwa zingine ππ π mahusiano
π Sio kila EX ni EXPIRED, EX zingine ni EXAMPLE:
Utanielewa tu.
Ulimwengu huu tunaoishi Muogope sana Mpenzi
wa Zamani wa Mkeo kabla HUJAMUOA na
Muogope sana EX wa Mmeo kabla HAJAKUOA
kuliko hata hawa Vidume na Vijike vinavyomtaka
akiwa tayari amevaa pete… soma zaidi
Tagsπ ex example: expired kila ni nisahidieni. sio tu. utanielewa wakubwa zingine ππ π mahusiano
π Sio kila EX ni EXPIRED, EX zingine ni EXAMPLE:
Utanielewa tu.
Ulimwengu huu tunaoishi Muogope sana Mpenzi
wa Zamani wa Mkeo kabla HUJAMUOA na
Muogope sana EX wa Mmeo kabla HAJAKUOA
kuliko hata hawa Vidume na Vijike vinavyomtaka
akiwa tayari amevaa pete… soma zaidi
Madhara ya kuangalia picha za ngono
Tagsπ wiki
Kuna watu wanapenda sana kuangalia sinema za ngono… soma zaidi
Tagsπ wiki
Kuna watu wanapenda sana kuangalia sinema za ngono… soma zaidi
Waliopitishwa kuwania uspika CCM
Tagsπ 15 2015 ambao bunge ccm cha dodoma halmashauri ili ilikuwa imewateua jamhuri kamati katika kikao kilichofanyika kumpata kura kuu kuwania la leo mgombea mjini moja muungano na nafasi novemba siku spika tagi: taifa tanzania. uspika wa wabunge waliopitishwa wana-ccm watakaopigiwa watatu wote ya habari
Kamati kuu ya halmashauri kuu ya Taifa ya CCM ilikuwa na kikao cha siku moja kilichofanyika leo Novemba 15, 2015 mjini Dodoma na imewateua wana-CCM watatu ambao watakaopigiwa kura na wabunge wote wa CCM ili kumpata mgombea wa CCM katika nafasi ya spika wa bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania… soma zaidi
Tagsπ 15 2015 ambao bunge ccm cha dodoma halmashauri ili ilikuwa imewateua jamhuri kamati katika kikao kilichofanyika kumpata kura kuu kuwania la leo mgombea mjini moja muungano na nafasi novemba siku spika tagi: taifa tanzania. uspika wa wabunge waliopitishwa wana-ccm watakaopigiwa watatu wote ya habari
Kamati kuu ya halmashauri kuu ya Taifa ya CCM ilikuwa na kikao cha siku moja kilichofanyika leo Novemba 15, 2015 mjini Dodoma na imewateua wana-CCM watatu ambao watakaopigiwa kura na wabunge wote wa CCM ili kumpata mgombea wa CCM katika nafasi ya spika wa bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania… soma zaidi
Kama wewe ni mwalimu soma hii
Tagsπ mahusiano
Kuna mwalimu wa shule ya sekondari alikuwa amezoea kumchapa viboko mwanafunzi mmoja mchelewaji. Mwanafunzi huyu alikuwa akichelewa kipindi cha kwanza kila siku. Hivyo, siku ambazo mwalimu huyu alikuwa na kipindi cha kwanza, mwanafunzi huyu alikuwa anachapwa kwanza kabla ya kuingia darasani. Hali hii iliendelea kwa muda mrefu. Wiki moja ilipita bila yule mwanafunzi kuonekana shuleni… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Kuna mwalimu wa shule ya sekondari alikuwa amezoea kumchapa viboko mwanafunzi mmoja mchelewaji. Mwanafunzi huyu alikuwa akichelewa kipindi cha kwanza kila siku. Hivyo, siku ambazo mwalimu huyu alikuwa na kipindi cha kwanza, mwanafunzi huyu alikuwa anachapwa kwanza kabla ya kuingia darasani. Hali hii iliendelea kwa muda mrefu. Wiki moja ilipita bila yule mwanafunzi kuonekana shuleni… soma zaidi
Jinsi ya kutengeneza Keki Ya Mbegu Za Mchicha
Tagsπ mapishinalishe
Unga ngano vikombc 3
Unga mbegu za mchicha kikombe 1
Baking powder vijiko vidogo
Maziwa kikombe 1
Sukari kikombe 1
Blue band kikombe Β½
Mayai 10-12.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Unga ngano vikombc 3
Unga mbegu za mchicha kikombe 1
Baking powder vijiko vidogo
Maziwa kikombe 1
Sukari kikombe 1
Blue band kikombe Β½
Mayai 10-12.. soma zaidi
Sababu, dalili na matibabu ya tatizo la kuziba kwa mrija wa mkojo
Tagsπ afya mapishinalishe
Mrija wa mkojo (urethra) ni kiungo muhimu kinachotoa mkojo nje ya mwili kutoka kwenye kibofu. Mrija huu unaposinyaa au kuziba hufanya utokaji wa mkojo kuwa wa
mashaka na maumivu makubwa. Kusinyaa/ Kuziba kwa mrija wa mkojo huitwa pia
urethral stricture… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Mrija wa mkojo (urethra) ni kiungo muhimu kinachotoa mkojo nje ya mwili kutoka kwenye kibofu. Mrija huu unaposinyaa au kuziba hufanya utokaji wa mkojo kuwa wa
mashaka na maumivu makubwa. Kusinyaa/ Kuziba kwa mrija wa mkojo huitwa pia
urethral stricture… soma zaidi
Jinsi ya kufuga kondoo.
Tagsπ babati bei bora eneo ester hapa hasa idadi iko ilikaribiana imeongezeka imepungua jinsi jumla juu. kigeni kondoo kondoo. kondoo.β kote. kufuga kuwa kwa letu maelezo mbuzi mkm msomaji na namna naomba nchini nyuma qwang raia sana sawa siku tagi: tanzania ufugaji wa wafugaji wakati wanaofugwa wanohitaji ya za β βkatika wiki
βKatika eneo letu, idadi ya wafugaji wa kondoo imepungua sana, wakati idadi ya wanohitaji imeongezeka hasa raia wa kigeni, na bei iko juu. Naomba maelezo namna ya ufugaji bora wa kondoo.β β Ester Qwang, msomaji wa MkM,Babati
Tagsπ babati bei bora eneo ester hapa hasa idadi iko ilikaribiana imeongezeka imepungua jinsi jumla juu. kigeni kondoo kondoo. kondoo.β kote. kufuga kuwa kwa letu maelezo mbuzi mkm msomaji na namna naomba nchini nyuma qwang raia sana sawa siku tagi: tanzania ufugaji wa wafugaji wakati wanaofugwa wanohitaji ya za β βkatika wiki
βKatika eneo letu, idadi ya wafugaji wa kondoo imepungua sana, wakati idadi ya wanohitaji imeongezeka hasa raia wa kigeni, na bei iko juu. Naomba maelezo namna ya ufugaji bora wa kondoo.β β Ester Qwang, msomaji wa MkM,Babati
Kwa siku za nyuma, jumla ya idadi ya kondoo wanaofugwa hapa nchini Tanzania ilikaribiana kuwa sawa na idadi ya mbuzi nchini kote. Kwa sasa, idadi ya kondoo imepungua kwa kiasi kikubwa ukilinganisha na idadi ya mbuzi. Hii imetokana na wafugaji kuhamishia mapenzi yao kwenye ufugaji wa mbuzi… soma zaidi
UFUGAJI WA KAMBALE
Tagsπ wiki
Kambale (Ietalurus Punetaus), ni aiana ya samaki ambao wana majina mengi kulingana na eneo na jamii husika. Samaki hawa unaweza kusikia wakitajwa kwa majina mengine kama vile, kambale channel, koleo, samaki kidevu n.k… soma zaidi
Tagsπ wiki
Kambale (Ietalurus Punetaus), ni aiana ya samaki ambao wana majina mengi kulingana na eneo na jamii husika. Samaki hawa unaweza kusikia wakitajwa kwa majina mengine kama vile, kambale channel, koleo, samaki kidevu n.k… soma zaidi
Kwa watumiaji wa simu soma hii kwa usalama wako
Tagsπ habari
KUTOKA JESHI LA POLICE:
USALAMA WA MAISHA YAKO.
Tagsπ habari
KUTOKA JESHI LA POLICE:
USALAMA WA MAISHA YAKO.
- Usinunue simu za Android kwa mtu usiyemjua. Hiyo ni hatari kwani hujui huyo jamaa kaitoa wapi, mwisho wa siku unapewa kesi ya wizi au mauaji. Inawezekana simu hiyo iliibiwa kwa mtu aliyeuawa… soma zaidi
Faida 8 za kula pilipili mbuzi
Tagsπ afya mapishinalishe
Watu wengi tumekuwa hatufahamu utumiaji wa pipilipili, hasa pilipili mbuzi. Naomba leo tuangalie kwa uchache faida hizo za pilipili mbuzi… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Watu wengi tumekuwa hatufahamu utumiaji wa pipilipili, hasa pilipili mbuzi. Naomba leo tuangalie kwa uchache faida hizo za pilipili mbuzi… soma zaidi
Mambo 13 katika pesa ambayo unapaswa kuzingatia
Tagsπ uchumi
1. Usikope pesa ya riba ili uanzishe biashara.
Usitegemee pesa ya mkopo kuianzishia biashara, upate faida kisha uirudishe pesa ya mkopo na riba yake… soma zaidi
Tagsπ uchumi
1. Usikope pesa ya riba ili uanzishe biashara.
Usitegemee pesa ya mkopo kuianzishia biashara, upate faida kisha uirudishe pesa ya mkopo na riba yake… soma zaidi
Mambo makubwa yanayosababisha kulazimika kulima au kutifua udongo
Tagsπ kilimonaufugaji
Kutifua udongo ni jambo la muhimu sana ili kuufanya udongo kuwa bora… soma zaidi
Tagsπ kilimonaufugaji
Kutifua udongo ni jambo la muhimu sana ili kuufanya udongo kuwa bora… soma zaidi
Mapishi ya Wali Wa Nyanya Wa Kukaanga
Tagsπ mapishinalishe
Mchele basmati, pishori - 3 vikombe.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mchele basmati, pishori - 3 vikombe.. soma zaidi
Kwa nini watu wanakuwa wagomvi na wakali wanapokuwa wamelewa?
Tagsπ ambavyo hali haraka hiyo hiyo. hukasirishwa hupoteza husababisha huwapiga huyachukulia kama katika kawaida kufanya kugombana. kuhimili kuona kushindwa kutokana kwa maamumzi madhara maneno. mara matokeo mazingira mihemko mlevi na nini njia nyingi pombe tabia tofauti ushawishi vigumu vitu wa wagomvi wakali wakati waliolewa walioolewa wamelewa. wamelewa? wanakuwa wanapokuwa wangetatua wangevipuuza wasingekuwa wasingelewa. watu ya yake za zao wiki
Madhara ya pombe husababisha watu walioolewa kugombana.
Kutokana na ushawishi wa pombe watu hupoteza tabia zao
za kawaida na kuona vigumu kuhimili mihemko na kushindwa
kufanya maamumzi katika hali hiyo. Matokeo yake, mlevi
huyachukulia tofauti mazingira na maneno. Watu waliolewa hukasirishwa haraka na vitu ambavyo wangevipuuza kama
wasingekuwa wamelewa. Mara nyingi huwapiga watu wakati
wangetatua hali hiyo kwa njia tofauti kama wasingelewa.
Kama jambo hili litatokea miongoni mwa rafiki zako au familia,
jaribu kuwa mbali na uepuke ulevi. Usijaribu kujadiliana na mtu
aliyelewa kwa sababu kwa vyovyote hatakuelewa… soma zaidi
Tagsπ ambavyo hali haraka hiyo hiyo. hukasirishwa hupoteza husababisha huwapiga huyachukulia kama katika kawaida kufanya kugombana. kuhimili kuona kushindwa kutokana kwa maamumzi madhara maneno. mara matokeo mazingira mihemko mlevi na nini njia nyingi pombe tabia tofauti ushawishi vigumu vitu wa wagomvi wakali wakati waliolewa walioolewa wamelewa. wamelewa? wanakuwa wanapokuwa wangetatua wangevipuuza wasingekuwa wasingelewa. watu ya yake za zao wiki
Madhara ya pombe husababisha watu walioolewa kugombana.
Kutokana na ushawishi wa pombe watu hupoteza tabia zao
za kawaida na kuona vigumu kuhimili mihemko na kushindwa
kufanya maamumzi katika hali hiyo. Matokeo yake, mlevi
huyachukulia tofauti mazingira na maneno. Watu waliolewa hukasirishwa haraka na vitu ambavyo wangevipuuza kama
wasingekuwa wamelewa. Mara nyingi huwapiga watu wakati
wangetatua hali hiyo kwa njia tofauti kama wasingelewa.
Kama jambo hili litatokea miongoni mwa rafiki zako au familia,
jaribu kuwa mbali na uepuke ulevi. Usijaribu kujadiliana na mtu
aliyelewa kwa sababu kwa vyovyote hatakuelewa… soma zaidi
madhara ya pombe kwa mama mjamzito
Tagsπ wiki
Na Liberatha Ruhikula: POMBE ni kinywaji kinachotumiwa na watu wa jinsia mbalimbali huku kinywaji hicho kikizuiliwa kuuzwa na kutumiwa kwa watoto chini ya miaka 18.
Kinywaji hiki kina madhara makubwa sana endapo kitatumiwa kwa wingi au kitatumiwa na mtu asiyestahili akiwemo mama mjamazito… soma zaidi
Tagsπ wiki
Na Liberatha Ruhikula: POMBE ni kinywaji kinachotumiwa na watu wa jinsia mbalimbali huku kinywaji hicho kikizuiliwa kuuzwa na kutumiwa kwa watoto chini ya miaka 18.
Kinywaji hiki kina madhara makubwa sana endapo kitatumiwa kwa wingi au kitatumiwa na mtu asiyestahili akiwemo mama mjamazito… soma zaidi
MLINDA MLANGO namba moja wa klabu ya ARSENAL, PETER CECH amesema anatamani kucheza bila kuvaa kofia ngumu (HELMET ) kichwani
Tagsπ (helmet ) .jpg& 1659 amepona amesema anatamani angetamani arsenal bila cech cha hicho kichwa kichwani kifaa klabu kofia kucheza kulinda kuvaa kwani maumivu mlango mlinda moja na namba ngumu peter tagi: wa width=600 ya yake habari
CECH amesema amepona maumivu yake kichwani na angetamani kucheza bila kuvaa kifaa hicho cha kulinda kichwa kwani kinamfanya asijiamini awapo uwanjani lakini hana budi kufuata ushauri wa daktari wa kutovaa… soma zaidi
Tagsπ (helmet ) .jpg& 1659 amepona amesema anatamani angetamani arsenal bila cech cha hicho kichwa kichwani kifaa klabu kofia kucheza kulinda kuvaa kwani maumivu mlango mlinda moja na namba ngumu peter tagi: wa width=600 ya yake habari
CECH amesema amepona maumivu yake kichwani na angetamani kucheza bila kuvaa kifaa hicho cha kulinda kichwa kwani kinamfanya asijiamini awapo uwanjani lakini hana budi kufuata ushauri wa daktari wa kutovaa… soma zaidi
Athari za Moshi wa sigara kwa mtoto
Tagsπ afya mapishinalishe
Utafiti uliofanyika nchini Marekani umebaini kwamba watu wazima wasiovuta sigara lakini walipokuwa watoto wazazi wao walivuta sigara mbele yao,wana hatari kubwa zaidi ya kufa kutokana na maradhi ya mapafu… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Utafiti uliofanyika nchini Marekani umebaini kwamba watu wazima wasiovuta sigara lakini walipokuwa watoto wazazi wao walivuta sigara mbele yao,wana hatari kubwa zaidi ya kufa kutokana na maradhi ya mapafu… soma zaidi
Mapishi ya Wali Wa Karoti Na Kuku Wa Kukaanga
Tagsπ mapishinalishe
Mchele wa Basmati/Pishori - 1 kilo moja.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mchele wa Basmati/Pishori - 1 kilo moja.. soma zaidi
Jinsi ya kupika Biriani ya Nyama Ng'ombe Na Mtindi
Tagsπ mapishinalishe
Mchele wa biriani - 5 gilasi.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mchele wa biriani - 5 gilasi.. soma zaidi
Mambo ya kuzingatia kuhusu ugonjwa wa Kaswende
Tagsπ afya mapishinalishe
Kaswende husababishwa na bakteria aitwaye Treponema pallidum , ambaye pia huitwa spirochetes kutokana na umbo lake la mzunguko. Viumbe hawa hujipenyeza kwenye ngozi laini inayotanda midomo au sehemu nyeti. Yafuatayo ni mambo Muhimu ambayo unapaswa kuyafahamu kuhusu Ugonjwa wa Kaswende… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Kaswende husababishwa na bakteria aitwaye Treponema pallidum , ambaye pia huitwa spirochetes kutokana na umbo lake la mzunguko. Viumbe hawa hujipenyeza kwenye ngozi laini inayotanda midomo au sehemu nyeti. Yafuatayo ni mambo Muhimu ambayo unapaswa kuyafahamu kuhusu Ugonjwa wa Kaswende… soma zaidi
Je, kuna madhara gani ya kunywa pombe kwa vijana hasa kijana Albino?
Tagsπ akiwa albino? anaweza anayeishi athari baiskeli bila gani hali hasa je kadhalika. katika kijana kimchoromchoro kondomu kuendesha kufanya kuhatarisha kujamiiana kuna kunywa kuvaa kuzembea kwa madhara maisha mfano mtu na ni pombe sahihi sawa ualbino uamuzi ulevi vijana watu wengine. ya yake za zile zinazowapata wiki
Athari za pombe kwa mtu anayeishi na ualbino ni sawa na zile
zinazowapata watu wengine.
Mtu akiwa katika hali ya ulevi anaweza kuzembea katika
kufanya uamuzi sahihi kwa mfano kuhatarisha maisha yake
kwa kuendesha baiskeli yake kimchoromchoro, kujamiiana
bila kuvaa kondomu na kadhalika. Mbali na hayo, watu wenye
matatizo ya kunywa pombe husahau kujiweka katika hali nzuri
kwa maana hawajali kula chakula. Tabia hii inamuweka katika
hatari ya kuandamwa na maradhi.
Pombe zinaweza pia kuingiliana na maisha/uhusiano wa kimwili.
Mwanzo kabisa pombe inaweza kukusisimua na kukufanya
mchangamfu (kutoona aibu), lakini kadiri unavyoendelea
kunywa unaanza kusinzia na kwa upande wa wanaume wengine,
uume kukosa nguvu. Unaweza kushawishika kutoa aibu uliyo
nayo kwa kunywa pombe lakini mara nyingi hii haileti mvuto
kutoka kwa wenzi wako… soma zaidi
Tagsπ akiwa albino? anaweza anayeishi athari baiskeli bila gani hali hasa je kadhalika. katika kijana kimchoromchoro kondomu kuendesha kufanya kuhatarisha kujamiiana kuna kunywa kuvaa kuzembea kwa madhara maisha mfano mtu na ni pombe sahihi sawa ualbino uamuzi ulevi vijana watu wengine. ya yake za zile zinazowapata wiki
Athari za pombe kwa mtu anayeishi na ualbino ni sawa na zile
zinazowapata watu wengine.
Mtu akiwa katika hali ya ulevi anaweza kuzembea katika
kufanya uamuzi sahihi kwa mfano kuhatarisha maisha yake
kwa kuendesha baiskeli yake kimchoromchoro, kujamiiana
bila kuvaa kondomu na kadhalika. Mbali na hayo, watu wenye
matatizo ya kunywa pombe husahau kujiweka katika hali nzuri
kwa maana hawajali kula chakula. Tabia hii inamuweka katika
hatari ya kuandamwa na maradhi.
Pombe zinaweza pia kuingiliana na maisha/uhusiano wa kimwili.
Mwanzo kabisa pombe inaweza kukusisimua na kukufanya
mchangamfu (kutoona aibu), lakini kadiri unavyoendelea
kunywa unaanza kusinzia na kwa upande wa wanaume wengine,
uume kukosa nguvu. Unaweza kushawishika kutoa aibu uliyo
nayo kwa kunywa pombe lakini mara nyingi hii haileti mvuto
kutoka kwa wenzi wako… soma zaidi
Fundisho : Usiwe unakurupuka
Tagsπ : aliingia alipokea baada cha chumba daktari fundisho haraka hospitalini kazi kuelekea kuitwa kuvaa kwa kwenye moja na nguoza sana shughuli simu tagi: unakurupuka upasuaji upasuaji. usiwe wa ya habari
Daktari aliingia hospitalini kwa haraka sana baada ya kuitwa kwa shughuli ya Upasuaji wa haraka, alipokea simu haraka, na kuvaa nguoza kazi na kuelekea moja kwa moja kwenye chumba cha upasuaji… soma zaidi
Tagsπ : aliingia alipokea baada cha chumba daktari fundisho haraka hospitalini kazi kuelekea kuitwa kuvaa kwa kwenye moja na nguoza sana shughuli simu tagi: unakurupuka upasuaji upasuaji. usiwe wa ya habari
Daktari aliingia hospitalini kwa haraka sana baada ya kuitwa kwa shughuli ya Upasuaji wa haraka, alipokea simu haraka, na kuvaa nguoza kazi na kuelekea moja kwa moja kwenye chumba cha upasuaji… soma zaidi
Jinsi ya kutibu chunusi kwa kutumia Uwatu (Fenugreek)
Tagsπ kutibu-chunusi-kiasili mapishinalishe
Uwatu ni dawa nyingine ya asili inayotumika kutibu chunusi. Uwatu unaondoa sumu na maambukizi mbalimbali… soma zaidi
Tagsπ kutibu-chunusi-kiasili mapishinalishe
Uwatu ni dawa nyingine ya asili inayotumika kutibu chunusi. Uwatu unaondoa sumu na maambukizi mbalimbali… soma zaidi
FAIDA ZA MATUMIZI YA UKWAJU
Tagsπ wiki
Chanzo kizuri cha viuasumu mwilini 'antioxidants' ambavyo huzuia Saratani (cancer)
Chanzo cha Vitamini B na C vile vile "carotentes"
Hushusha joto la mwili na kuondosha homa, hasa homa ya malaria na homa ya matumbo
Huulinda mwili dhidi ya mafua na kero za mafua kooni
Husaidia myeyusho na mmengenyo wa chakula na kuondosha kuvimbiwa.. soma zaidi
Tagsπ wiki
Chanzo kizuri cha viuasumu mwilini 'antioxidants' ambavyo huzuia Saratani (cancer)
Chanzo cha Vitamini B na C vile vile "carotentes"
Hushusha joto la mwili na kuondosha homa, hasa homa ya malaria na homa ya matumbo
Huulinda mwili dhidi ya mafua na kero za mafua kooni
Husaidia myeyusho na mmengenyo wa chakula na kuondosha kuvimbiwa.. soma zaidi
Kwa nini watu wanaotumia dawa za kulevya hukonda?
Tagsπ wiki
Dawa za kulevya huharibu ufanyaji kaza wa kawaida wa mfumo wa mwili hasa tumbo na utumbo wa watumiaji
hushindwa kufyonza virutubisho vidogo kama vile
vitamini, madini kutoka kwenye chakula na kwenda kwenye mfumo wa damu. Hiki ndicho kinachowafanya wakonde. Isitoshe, hupunguza uwezo wa mwili kujikinga na maradhi na hivyo huuweka mwili katika hatari ya kuambukizwa na magonjwa likiwemo gonjwa hatari la UKIMWI… soma zaidi
Tagsπ wiki
Dawa za kulevya huharibu ufanyaji kaza wa kawaida wa mfumo wa mwili hasa tumbo na utumbo wa watumiaji
hushindwa kufyonza virutubisho vidogo kama vile
vitamini, madini kutoka kwenye chakula na kwenda kwenye mfumo wa damu. Hiki ndicho kinachowafanya wakonde. Isitoshe, hupunguza uwezo wa mwili kujikinga na maradhi na hivyo huuweka mwili katika hatari ya kuambukizwa na magonjwa likiwemo gonjwa hatari la UKIMWI… soma zaidi
Mapishi ya Bagia dengu
Tagsπ mapishinalishe
Unga wa dengu (gram flour 1/4 kilo)
Kitunguu kilichokatwa (onion 2)
Hoho (green pepper 1/2)
Pilipili iliokatwakatwa (scotch bonnet pepper 1/2)
Barking powder (1/4 ya kijiko cha chai)
Chumvi (salt)
Kitunguu swaum (garlic cloves 2)
Mafuta ya kukaangia (vegetable oil)
Binzari manjano (turmeric 1/4 ya kijiko cha chai).. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Unga wa dengu (gram flour 1/4 kilo)
Kitunguu kilichokatwa (onion 2)
Hoho (green pepper 1/2)
Pilipili iliokatwakatwa (scotch bonnet pepper 1/2)
Barking powder (1/4 ya kijiko cha chai)
Chumvi (salt)
Kitunguu swaum (garlic cloves 2)
Mafuta ya kukaangia (vegetable oil)
Binzari manjano (turmeric 1/4 ya kijiko cha chai).. soma zaidi
Ufugaji Kware
Tagsπ wiki
1. Kware anakula chakula chochote anachoweza kula kuku ikiwemo chakula cha broiler. Kama utaamua kuwapa chakula cha broiler unawapa βstarterβ kware wenye umri kuanzia siku moja hadi wiki ya tatu baada ya hapo unawapa Falcon au hill… soma zaidi
Tagsπ wiki
1. Kware anakula chakula chochote anachoweza kula kuku ikiwemo chakula cha broiler. Kama utaamua kuwapa chakula cha broiler unawapa βstarterβ kware wenye umri kuanzia siku moja hadi wiki ya tatu baada ya hapo unawapa Falcon au hill… soma zaidi
msichana akijamiiana mara moja tu anaweza akapata mimba
Tagsπ akapata akijamii akijamiiana ambalo ana anajamii anaweza hedhi. i ileile inategemea kama kupata kurutubishwa kwa la lipo mara mimba mimba. moja msichana mvulana mzunguko na ndani ni pevu siku tayari tu tu. tumbo wa ya yai wiki
msichana anaweza kupata mimba akijamii ana mara moja tu. Inategemea na mzunguko wa hedhi. Kama ndani ya tumbo la msichana lipo yai pevu ambalo ni tayari kwa kurutubishwa, na siku i ileile msichana anajamii ana na mvulana anaweza kupata mimba. Isitoshe, anaweza kupata mimba hata kama ni mara ya kwanza ya kujamii ana… soma zaidi
Tagsπ akapata akijamii akijamiiana ambalo ana anajamii anaweza hedhi. i ileile inategemea kama kupata kurutubishwa kwa la lipo mara mimba mimba. moja msichana mvulana mzunguko na ndani ni pevu siku tayari tu tu. tumbo wa ya yai wiki
msichana anaweza kupata mimba akijamii ana mara moja tu. Inategemea na mzunguko wa hedhi. Kama ndani ya tumbo la msichana lipo yai pevu ambalo ni tayari kwa kurutubishwa, na siku i ileile msichana anajamii ana na mvulana anaweza kupata mimba. Isitoshe, anaweza kupata mimba hata kama ni mara ya kwanza ya kujamii ana… soma zaidi
Inakuaje mwanaume anaonyesha dalili za magonjwa ya zinaa zaidi kuliko mwanamke?
Tagsπ wiki
Wanaume mara nyingi huambukizwa sehemu za mrija wa mkojo. Katika sehemu hizi ni rahisi kusikia mwasho au maumivu zaidi kuliko kwenye via vya uzazi vya ndani vya mwanamke. Hasa wakati wa kukojoa, chumvichumvi iliyo kwenye mkojo inagusa vidonda ndani ya mrija. Hivyo, ni rahisi zaidi kwa mwanaume kujua kuwa ameambukizwa.
Vilevile mwanaume akiambukizwa na magonjwa haya, sehemu ya mbele ya njia ya mkojo inashambuliwa na huanza kutoa usaha mzito. Lakini uke wa mwanamke hutoa kemikali ambazo hufanya wadudu kutoweza kushambulia kwa haraka, na dalili hazionekani kwa urahisi. Bahati mbaya, kemikali hizi hazizuii kuingia kwa ugonjwa, lakini dalili huchelewa kuonekana.
Usisahau kwamba kama mwanaume anajitambua kuwa na dalili za kuumwa magonjwa ya zinaa, mpenzi wake pia anatakiwa kwenda kliniki ili apate uchunguzi na tiba… soma zaidi
Tagsπ wiki
Wanaume mara nyingi huambukizwa sehemu za mrija wa mkojo. Katika sehemu hizi ni rahisi kusikia mwasho au maumivu zaidi kuliko kwenye via vya uzazi vya ndani vya mwanamke. Hasa wakati wa kukojoa, chumvichumvi iliyo kwenye mkojo inagusa vidonda ndani ya mrija. Hivyo, ni rahisi zaidi kwa mwanaume kujua kuwa ameambukizwa.
Vilevile mwanaume akiambukizwa na magonjwa haya, sehemu ya mbele ya njia ya mkojo inashambuliwa na huanza kutoa usaha mzito. Lakini uke wa mwanamke hutoa kemikali ambazo hufanya wadudu kutoweza kushambulia kwa haraka, na dalili hazionekani kwa urahisi. Bahati mbaya, kemikali hizi hazizuii kuingia kwa ugonjwa, lakini dalili huchelewa kuonekana.
Usisahau kwamba kama mwanaume anajitambua kuwa na dalili za kuumwa magonjwa ya zinaa, mpenzi wake pia anatakiwa kwenda kliniki ili apate uchunguzi na tiba… soma zaidi
Je, sigara ni mojawapo ya dawa za kulevya?
Tagsπ ambayo dawa haramu hata hivyo hufanya husababisha iliyomo ina iwe je kulevya kulevya? kuwa kwa kwamba kwenye lakini maana mojawapo mtu ni nikotini sababu sigara siyo tegemezi. ya za wiki
Sigara siyo dawa za kulevya, kwa maana ya kwamba ni haramu,
lakini hata hivyo, sigara ina nikotini ambayo hufanya iwe dawa ya kulevya kwa sababu nikotini iliyomo kwenye sigara
husababisha mtu kuwa mtu tegemezi… soma zaidi
Tagsπ ambayo dawa haramu hata hivyo hufanya husababisha iliyomo ina iwe je kulevya kulevya? kuwa kwa kwamba kwenye lakini maana mojawapo mtu ni nikotini sababu sigara siyo tegemezi. ya za wiki
Sigara siyo dawa za kulevya, kwa maana ya kwamba ni haramu,
lakini hata hivyo, sigara ina nikotini ambayo hufanya iwe dawa ya kulevya kwa sababu nikotini iliyomo kwenye sigara
husababisha mtu kuwa mtu tegemezi… soma zaidi
Ushauri kuhusu mwili wako
Tagsπ mapishinalishe
Nimekutana na hiki kitabu japo nimekipitia juu juu nikaona nisiwe mchoyo Wa kukushirikisha wewe utakayependezwa na kusoma hapa Chini japo ni changamoto sana kwa sisi waongo kusoma.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Nimekutana na hiki kitabu japo nimekipitia juu juu nikaona nisiwe mchoyo Wa kukushirikisha wewe utakayependezwa na kusoma hapa Chini japo ni changamoto sana kwa sisi waongo kusoma.. soma zaidi
Mapishi ya Biriani la nyama ya ng'ombe
Tagsπ mapishinalishe
Nyama ya ng'ombe (beef 1/2 kilo)
Mchele (rice 1/2 kilo)
Vitunguu (onion 2)
Viazi (potato 2)
Vitunguu swaum (garlic 3 cloves)
Tangawizi (ginger)
Nyanya ya kopo (tomato 1/2 ya tin)
Curry powder (1/2 kijiko cha chai)
Binzari nyembamba ya kusaga (cumin 1/2 kijiko cha chai)
Binzari manjano (tarmaric 1/2 kijiko cha chai)
Mafuta (vegetable oil)
Chumvi (salt)
Rangi ya chakula (food colour)
Giligilani (fresh coriander)
Maziwa ya mgando (yogurt kikombe 1 cha chai)
Hiliki nzima (cardamon 3cloves)
Karafuu (clove 3)
Pilipili mtama nzima (black pepper 5)
Amdalasini (cinamon stick 1).. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Nyama ya ng'ombe (beef 1/2 kilo)
Mchele (rice 1/2 kilo)
Vitunguu (onion 2)
Viazi (potato 2)
Vitunguu swaum (garlic 3 cloves)
Tangawizi (ginger)
Nyanya ya kopo (tomato 1/2 ya tin)
Curry powder (1/2 kijiko cha chai)
Binzari nyembamba ya kusaga (cumin 1/2 kijiko cha chai)
Binzari manjano (tarmaric 1/2 kijiko cha chai)
Mafuta (vegetable oil)
Chumvi (salt)
Rangi ya chakula (food colour)
Giligilani (fresh coriander)
Maziwa ya mgando (yogurt kikombe 1 cha chai)
Hiliki nzima (cardamon 3cloves)
Karafuu (clove 3)
Pilipili mtama nzima (black pepper 5)
Amdalasini (cinamon stick 1).. soma zaidi
Madhara ya kunywa maji baridi na faida za kunywa maji moto na asali
Tagsπ afya mapishinalishe
UNYWAJI wa maji baridi, hasa katika joto kali kama la Dar es Salaam, ni kiburudisho kikubwa cha koo na huleta faraja kubwa mwilini. Ni jambo la kawaida pia kwa mtu kuhitaji kunywa maji hayo mara baada ya kula mlo, iwe mchana au usiku… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
UNYWAJI wa maji baridi, hasa katika joto kali kama la Dar es Salaam, ni kiburudisho kikubwa cha koo na huleta faraja kubwa mwilini. Ni jambo la kawaida pia kwa mtu kuhitaji kunywa maji hayo mara baada ya kula mlo, iwe mchana au usiku… soma zaidi
Kongamano la kimataifa la watu wenye ALBINISM barani AFRIKA limeazimia kuanzishwa kwa mtandao kwa watu wenye Albinism
Tagsπ afrika albinism barani kimataifa kongamano kuanzishwa kwa la limeazimia mtandao watu wenye habari
Kongamano la siku nne la kimataifa la watu wenye ALBINISM barani AFRIKA limeazimia kuanzishwa kwa mtandao wa kushughulikia changamoto zinazowakabili watu wenye albinism… soma zaidi
Tagsπ afrika albinism barani kimataifa kongamano kuanzishwa kwa la limeazimia mtandao watu wenye habari
Kongamano la siku nne la kimataifa la watu wenye ALBINISM barani AFRIKA limeazimia kuanzishwa kwa mtandao wa kushughulikia changamoto zinazowakabili watu wenye albinism… soma zaidi
Kupunguza magonjwa kwa kuku
Tagsπ wiki
β’ Ni lazima nyumba ya kuku iwe safi na kavu muda wote
β’ Nyumba ya kuku iwe na nafasi za kupitisha hewa ya kutosha ili kuepuka joto na unyevunyevu
β’ Hakikisha unaondoa matandazo na takataka zote kwenye banda wakati wote. Matandazo na taka zinaweza kuwa mbolea nzuri ya mboji kwa mimea yako.
β’ Fagia banda na kuhakikisha ni safi wakati wote. Weka matandazo mapya mara kwa mara.
β’ Weka nafasi ya kutosha kuku kupumzikia, viota vya kutosha, na kuweka maji sehemu ambayo ni rahisi kusafisha.
β’ Hakikisha unaondoa wanyama kama panya na wadudu nyemelezi kwenye sehemu ya malisho ya kuku kwani wao hubeba vimelea vya magonjwa… soma zaidi
Tagsπ wiki
β’ Ni lazima nyumba ya kuku iwe safi na kavu muda wote
β’ Nyumba ya kuku iwe na nafasi za kupitisha hewa ya kutosha ili kuepuka joto na unyevunyevu
β’ Hakikisha unaondoa matandazo na takataka zote kwenye banda wakati wote. Matandazo na taka zinaweza kuwa mbolea nzuri ya mboji kwa mimea yako.
β’ Fagia banda na kuhakikisha ni safi wakati wote. Weka matandazo mapya mara kwa mara.
β’ Weka nafasi ya kutosha kuku kupumzikia, viota vya kutosha, na kuweka maji sehemu ambayo ni rahisi kusafisha.
β’ Hakikisha unaondoa wanyama kama panya na wadudu nyemelezi kwenye sehemu ya malisho ya kuku kwani wao hubeba vimelea vya magonjwa… soma zaidi
Ushauri kwa mwanamke anayetafuta Mwanaume ili upate Mume sahihi
Tagsπ mahusiano
Siku zote mwanamke hawezi pata mwanaume aliye sahihi,,,… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Siku zote mwanamke hawezi pata mwanaume aliye sahihi,,,… soma zaidi
Katika tendo la kujamiiana kati ya mwanaume na mwanamke, yupi anayepata starehe zaidi?
Tagsπ wiki
Siyo rahisi kusema ni nani anayestarehe zaidi ya mwenziwe, kwa sababu starehe inayotokana na mwanamke na mwanaume kufanya mapenzi inategemea na watu wote wawili wanaoshiriki katika tendo hili… soma zaidi
Tagsπ wiki
Siyo rahisi kusema ni nani anayestarehe zaidi ya mwenziwe, kwa sababu starehe inayotokana na mwanamke na mwanaume kufanya mapenzi inategemea na watu wote wawili wanaoshiriki katika tendo hili… soma zaidi
Je, ni matatizo yapi yanayotokana na ujauzito katika umri mkubwa?
Tagsπ wiki
Kwa wanawake wenye miaka zaidi ya 35 uwezekano wa kupata matatizo ya kiafya wakati wa ujauzito au wakati wa kujifungua ni mkubwa zaidi kuliko wanawake kati ya miaka 20 na 35.
Matatizo ni mengi zaidi kama mama ameshakuwa na watoto wengi. Baada ya kuzaa mimba tano au zaidi, misuli ya mfuko wa uzazi hulegea. Hivyo hufanya mama kutokwa na damu nyingi, kuwa na uchungu wa muda mrefu na kuchanika kwa mji wa mimba. Matatizo mengine ni mtoto kukaa vibaya tumboni na kuwa na watoto wakubwa. Wanawake wa umri mkubwa ambao wamekuwa na i idadi kubwa ya mimba za karibukaribu (za kufululiza) wanakabiliwa na uwezekano mkubwa wa kufariki wakati wa ujauzito na wakati wa kujifungua… soma zaidi
Tagsπ wiki
Kwa wanawake wenye miaka zaidi ya 35 uwezekano wa kupata matatizo ya kiafya wakati wa ujauzito au wakati wa kujifungua ni mkubwa zaidi kuliko wanawake kati ya miaka 20 na 35.
Matatizo ni mengi zaidi kama mama ameshakuwa na watoto wengi. Baada ya kuzaa mimba tano au zaidi, misuli ya mfuko wa uzazi hulegea. Hivyo hufanya mama kutokwa na damu nyingi, kuwa na uchungu wa muda mrefu na kuchanika kwa mji wa mimba. Matatizo mengine ni mtoto kukaa vibaya tumboni na kuwa na watoto wakubwa. Wanawake wa umri mkubwa ambao wamekuwa na i idadi kubwa ya mimba za karibukaribu (za kufululiza) wanakabiliwa na uwezekano mkubwa wa kufariki wakati wa ujauzito na wakati wa kujifungua… soma zaidi
Jielewe, kipato chako kinakusaidia nini?
Tagsπ uchumi
ASSET AND LIABILITY
Asset ni kitu chochote kinacho kuingizia pesa mfukoni uwepo au usiwepo… soma zaidi
Tagsπ uchumi
ASSET AND LIABILITY
Asset ni kitu chochote kinacho kuingizia pesa mfukoni uwepo au usiwepo… soma zaidi
Mambo ya kufanya mwezi Disemba
Tagsπ uchumi
Ikiwa leo ni tarehe 1/12 huwezi amini kuwa hakuna tarehe 1 nyingine tutakayoiona ya mwaka huu hivyo sichelei kusema kuwa mwaka umeisha .Lakini mwaka unaishaje??? pengine hili ndilo swali gumu na la muhimu la kujiuliza .Je, Mwaka unaisha ukiwa umefanya nini cha kujipongeza??? .Je mwaka unakaribia kuisha maarifa yako yakiwa yameongozeka kwa kiasi gani???.Haya ni maswali muhimu sana unavyooanza kufikiria juu ya sherehe za mwisho wa mwaka… soma zaidi
Tagsπ uchumi
Ikiwa leo ni tarehe 1/12 huwezi amini kuwa hakuna tarehe 1 nyingine tutakayoiona ya mwaka huu hivyo sichelei kusema kuwa mwaka umeisha .Lakini mwaka unaishaje??? pengine hili ndilo swali gumu na la muhimu la kujiuliza .Je, Mwaka unaisha ukiwa umefanya nini cha kujipongeza??? .Je mwaka unakaribia kuisha maarifa yako yakiwa yameongozeka kwa kiasi gani???.Haya ni maswali muhimu sana unavyooanza kufikiria juu ya sherehe za mwisho wa mwaka… soma zaidi
Inasikitisha lakini inafundisha!! Soma!
Tagsπ habari
Tajiri mmoja alikuwa anakaribia kufa, alikuwa na
marafiki matajiri wakubwa, wataalam, wasomi,
wanasiasa na watu mashuhuri. Akaiita familia
yake kuwapa wosia… soma zaidi
Tagsπ habari
Tajiri mmoja alikuwa anakaribia kufa, alikuwa na
marafiki matajiri wakubwa, wataalam, wasomi,
wanasiasa na watu mashuhuri. Akaiita familia
yake kuwapa wosia… soma zaidi
Jinsi ya kutengeneza Biskuti Za Tende Na Ufuta
Tagsπ mapishinalishe
Unga - 3 Vikombe vya chai.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Unga - 3 Vikombe vya chai.. soma zaidi
Mapishi ya Muhogo Na Mbatata Za Nazi Kwa Nyama Ngombe
Tagsπ mapishinalishe
Nyama ya nβgombe ya mifupa - 3 lb.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Nyama ya nβgombe ya mifupa - 3 lb.. soma zaidi
Jinsi ya kutengeneza Mkate wa mayai
Tagsπ mapishinalishe
Slice za mkate 6
Mayai 3
Chumvi
Olive oil.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Slice za mkate 6
Mayai 3
Chumvi
Olive oil.. soma zaidi
MAANA YA MANENO YANAYOTUMIKA KATIKA MASUALA YA LISHE
Tagsπ mapishinalishe
ni kitu chochote kinacholiwa au kunywewa na kuupatia mwili virutubishi mbalimbali Chakula huupatia mwili nguvu, kuulinda na kuukinga dhidi ya maradhi mbalimbali .Mfano wa chakula ni ugali, wali, maharagwe, ndizi, viazi, mchicha, nyama, samaki… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
ni kitu chochote kinacholiwa au kunywewa na kuupatia mwili virutubishi mbalimbali Chakula huupatia mwili nguvu, kuulinda na kuukinga dhidi ya maradhi mbalimbali .Mfano wa chakula ni ugali, wali, maharagwe, ndizi, viazi, mchicha, nyama, samaki… soma zaidi
Matatizo yanayotokana na ujauzito katika umri mdogo
Tagsπ wiki
Wataalamu wanashauri kwamba msichana anastahili kuanza kubeba mimba kuanzia umri wa miaka 18 hadi 20. Kabla ya umri huu, mwili wa msichana bado haujakomaa vizuri. Viungo vya uzazi bado ni vidogo na ngozi ni laini. Vilevile mfupa wa nyonga bado mwembamba kiasi cha kumwezesha mtoto kupitia wakati wa kuzaliwa.
Wasichana chini ya miaka 18 wana uwezekano mkubwa zaidi wa kupata matatizo, hasa wakati wa kujifungua. Matatizo hayo ni pamoja na mapigo ya moyo kuwa juu, kuumwa uchungu kwa muda mrefu, kukwama kwa mtoto, kujifungua kwa njia ya operesheni, kujifungua kabla ya wakati na watoto kuzaliwa na uzito mdogo. Mwili huwa na mahitaji makubwa wakati wa ujauzito na kujifungua na mwili wa wasichana wenye umri chini ya miaka 18 huwa haujakomaa vya kutosha kwa kazi ya kubeba mimba.
Mbali ya shida za kiafya, kuna matatizo mengine yatokanayo na kupata mimba mapema. Mara nyingi msichana na mwenzie wanakuwa bado wanasoma shule, msichana hufukuzwa shule na hata hutengwa katika jamii . Vijana mara nyingi hawana mapato ya kumlea na kumtunza mtoto, na mahali pa kuishi huwa hawana. Vilevile mvulana mara nyingi hayuko tayari kuchukua jukumu la kuwa baba. Kwa sababu hizi zote, ni vizuri zaidi mimba zitungwe baada ya msichana kufikia umri wa miaka 18… soma zaidi
Tagsπ wiki
Wataalamu wanashauri kwamba msichana anastahili kuanza kubeba mimba kuanzia umri wa miaka 18 hadi 20. Kabla ya umri huu, mwili wa msichana bado haujakomaa vizuri. Viungo vya uzazi bado ni vidogo na ngozi ni laini. Vilevile mfupa wa nyonga bado mwembamba kiasi cha kumwezesha mtoto kupitia wakati wa kuzaliwa.
Wasichana chini ya miaka 18 wana uwezekano mkubwa zaidi wa kupata matatizo, hasa wakati wa kujifungua. Matatizo hayo ni pamoja na mapigo ya moyo kuwa juu, kuumwa uchungu kwa muda mrefu, kukwama kwa mtoto, kujifungua kwa njia ya operesheni, kujifungua kabla ya wakati na watoto kuzaliwa na uzito mdogo. Mwili huwa na mahitaji makubwa wakati wa ujauzito na kujifungua na mwili wa wasichana wenye umri chini ya miaka 18 huwa haujakomaa vya kutosha kwa kazi ya kubeba mimba.
Mbali ya shida za kiafya, kuna matatizo mengine yatokanayo na kupata mimba mapema. Mara nyingi msichana na mwenzie wanakuwa bado wanasoma shule, msichana hufukuzwa shule na hata hutengwa katika jamii . Vijana mara nyingi hawana mapato ya kumlea na kumtunza mtoto, na mahali pa kuishi huwa hawana. Vilevile mvulana mara nyingi hayuko tayari kuchukua jukumu la kuwa baba. Kwa sababu hizi zote, ni vizuri zaidi mimba zitungwe baada ya msichana kufikia umri wa miaka 18… soma zaidi
Mapishi ya tambi za mayai
Tagsπ mapishinalishe
Tagsπ mapishinalishe
- Tambi Β½ paketi
- Vitunguu maji 2 vikubwa
- Karoti 1
- Hoho 1
- Vitunguu swaumu(kata vipande vidogo) kijiko 1 cha chakula
- Carry powder kijiko 1 cha chai
- Njegere zilizochemshwa Β½ kikombe
- Mafuta kwa kiasi upendacho
- Mayai 2
- Chumvi kwa ladha upendayo.. soma zaidi
Jinsi ya kupika Pilau ya Mpunga Na Nyama Ya Ngβombe
Tagsπ mapishinalishe
Mpunga - 4 vikombe.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mpunga - 4 vikombe.. soma zaidi
Magonjwa yatokanayo na sigara
Tagsπ aina baada haya huishia huo husababisha iliyomo kaboni katika kiungo kuathirika kuna kupumua kusabisha kutokana kuvuta kuyapata kwenye magonjwa malimbikizo mapafu. matatizo mbalimbali mengi moshi na ni rahisi sigara sigara. tagi: tindikali tumbaku ugumu unayoweza usaha utuvaji wa ya yatokanayo wiki
Kuna matatizo na magonjwa mengi na ya aina mbalimbali
unayoweza kuyapata kutokana na utuvaji wa sigara. Kiungo
rahisi kuathirika ni mapafu. Baada ya kuvuta huo moshi, kaboni
na tindikali iliyomo kwenye tumbaku huishia kwenye mapafu.
Malimbikizo haya ya kaboni na tindikali husababisha ugumu
katika kupumua na kusabisha usaha kwenye mapafu. Matatizo
haya ya mapafu humfanya mvutaji awe mwepesi kupata
maambukizo mengine.
Hii inaweza ikawa kikohozi sugu na pia inaweza kusababisha
nimonia (kichomi) pamoja na kifua kikuu na sarakani. Nikotini
vilevile ni mbaya kwa tumbo. Husababisha kupoteza hamu ya
kula na maumivu katika sehemu za chini ya tumbo… soma zaidi
Tagsπ aina baada haya huishia huo husababisha iliyomo kaboni katika kiungo kuathirika kuna kupumua kusabisha kutokana kuvuta kuyapata kwenye magonjwa malimbikizo mapafu. matatizo mbalimbali mengi moshi na ni rahisi sigara sigara. tagi: tindikali tumbaku ugumu unayoweza usaha utuvaji wa ya yatokanayo wiki
Kuna matatizo na magonjwa mengi na ya aina mbalimbali
unayoweza kuyapata kutokana na utuvaji wa sigara. Kiungo
rahisi kuathirika ni mapafu. Baada ya kuvuta huo moshi, kaboni
na tindikali iliyomo kwenye tumbaku huishia kwenye mapafu.
Malimbikizo haya ya kaboni na tindikali husababisha ugumu
katika kupumua na kusabisha usaha kwenye mapafu. Matatizo
haya ya mapafu humfanya mvutaji awe mwepesi kupata
maambukizo mengine.
Hii inaweza ikawa kikohozi sugu na pia inaweza kusababisha
nimonia (kichomi) pamoja na kifua kikuu na sarakani. Nikotini
vilevile ni mbaya kwa tumbo. Husababisha kupoteza hamu ya
kula na maumivu katika sehemu za chini ya tumbo… soma zaidi
Soma Kisha Jifunze
Tagsπ mahusiano
Jamaa kam2mia dem wake elfu 2
#M-PESA,demu kuona sms ya
Tigo pesa akafurah lakin ile kufungua
akakta
buk 2
akaamua kumpigia jamaa cm!!.. soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Jamaa kam2mia dem wake elfu 2
#M-PESA,demu kuona sms ya
Tigo pesa akafurah lakin ile kufungua
akakta
buk 2
akaamua kumpigia jamaa cm!!.. soma zaidi
Jinsi ya kutumia kondomu ya kike
Tagsπ jinsi kike kondomu kutumia ya wiki
Kondomu ya kike inafahamika kwa jina la βcareβ na βLady Petetaβ. Hapa Tanzania hazipatikani sehemu zote na bei yake ni kubwa kidogo.
Kondomu ya kike huingizwa ukeni kabla ya kujamiiana. Kama unatumia kondomu ya kike, chana kwa uangalifu pembezoni mwa pakiti. Kondomu ina pete mbili za plastiki na uwazi upande wa juu. Pete moja imelegea ni ndogo na iko kwa ndani, upande usio na uwazi. Pete ya pili ni kubwa zaidi, imeshikiliwa na iko upande wa tundu. Shikilia kondomu upande uliozibwa na minya pete ya ndani kwa dole gumba na kidole cha pili na cha kati. Mara nyingine inaweza ikakuponyoka, (kuteleza) lakini endelea kujaribu hadi umeiminya vizuri. Tafuta mkao mzuri na ingiza kondomu ya kike. Huku bado unaminya kwa vidole vyako iongoze kondomu ndani ya uke wako. Ukiiachia pete ya ndani itashikilia kondomu ndani ya uke. Sasa ingiza kidole chako kwenye kondomu, sukuma pete mpaka inapogota kwenye mlango wa uzazi.
Kondomu ya kike inaweza kuvaliwa saa kadhaa kabla ya kufanya ngono na pia inaweza kuvuliwa baada ya muda wa kufanyika ngono kupita. Ili kuhakikisha kuwa uume umeingia sehemu husika, msaidie mwenzi wako kuongoza uume kuingia kwenye uke ili usipenye pembeni.
Baada ya kujamiiana, vua kondomu kwa uangalifu. Tupa kondomu iliyotumika kwenye choo cha shimo au uichome. Usitupe kondomu iliyotumika ovyo.
Kama ilivyo kwa kondomu ya kiume, kondomu ya kike itatumika kwa mafanikio zaidi pale ambapo wahusikia wanakuwa na makubaliano na maelewano juu ya matumizi yake… soma zaidi
Tagsπ jinsi kike kondomu kutumia ya wiki
Kondomu ya kike inafahamika kwa jina la βcareβ na βLady Petetaβ. Hapa Tanzania hazipatikani sehemu zote na bei yake ni kubwa kidogo.
Kondomu ya kike huingizwa ukeni kabla ya kujamiiana. Kama unatumia kondomu ya kike, chana kwa uangalifu pembezoni mwa pakiti. Kondomu ina pete mbili za plastiki na uwazi upande wa juu. Pete moja imelegea ni ndogo na iko kwa ndani, upande usio na uwazi. Pete ya pili ni kubwa zaidi, imeshikiliwa na iko upande wa tundu. Shikilia kondomu upande uliozibwa na minya pete ya ndani kwa dole gumba na kidole cha pili na cha kati. Mara nyingine inaweza ikakuponyoka, (kuteleza) lakini endelea kujaribu hadi umeiminya vizuri. Tafuta mkao mzuri na ingiza kondomu ya kike. Huku bado unaminya kwa vidole vyako iongoze kondomu ndani ya uke wako. Ukiiachia pete ya ndani itashikilia kondomu ndani ya uke. Sasa ingiza kidole chako kwenye kondomu, sukuma pete mpaka inapogota kwenye mlango wa uzazi.
Kondomu ya kike inaweza kuvaliwa saa kadhaa kabla ya kufanya ngono na pia inaweza kuvuliwa baada ya muda wa kufanyika ngono kupita. Ili kuhakikisha kuwa uume umeingia sehemu husika, msaidie mwenzi wako kuongoza uume kuingia kwenye uke ili usipenye pembeni.
Baada ya kujamiiana, vua kondomu kwa uangalifu. Tupa kondomu iliyotumika kwenye choo cha shimo au uichome. Usitupe kondomu iliyotumika ovyo.
Kama ilivyo kwa kondomu ya kiume, kondomu ya kike itatumika kwa mafanikio zaidi pale ambapo wahusikia wanakuwa na makubaliano na maelewano juu ya matumizi yake… soma zaidi
Mambo ya Msingi kuyajua Ili uishi na watu vizuri
Tagsπ mahusiano
Nimezipenda hizi nasaha. Naamini na nyinyi wenzangu hamtakosa japo machache ya kujifunza:-
1. Epuka hasira za ovyo na kila mtu, kuwa msikivu kabla ya kukimbilia maamuzi (elewa kuwa ukiwa na hasira huwezi kupata suluhu ya jambo)
2. Usiwatendee wengine ubaya ukadhani kuwa utakuwa salama (ubaya hulipwa kwa ubaya, ipo siku ubaya wako kwa wengine utakurejea kama sio kuwarejea watu wa kizazi chako).. soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Nimezipenda hizi nasaha. Naamini na nyinyi wenzangu hamtakosa japo machache ya kujifunza:-
1. Epuka hasira za ovyo na kila mtu, kuwa msikivu kabla ya kukimbilia maamuzi (elewa kuwa ukiwa na hasira huwezi kupata suluhu ya jambo)
2. Usiwatendee wengine ubaya ukadhani kuwa utakuwa salama (ubaya hulipwa kwa ubaya, ipo siku ubaya wako kwa wengine utakurejea kama sio kuwarejea watu wa kizazi chako).. soma zaidi
Je, mwanaume anaweza akajua kama amempa msichana mimba siku ileile walipojamiiana?
Tagsπ wiki
Hapana, hamna njia ya kufahamu kama amempa msichana mimba siku i ileile wanapojamii ana. Inachukua muda kwa mwili kuonyesha dalili za mimba.
Msichana akitaka kwenda kliniki kupimwa mkojo, kwanza ahesabu tarehe i ipi alikuwa anategemea kupata hedhi yake.
Kama anakosa hedhi katika muda aliotegemea, i itambidi aende kliniki. Mimba i inaonekana kwenye kipimo cha mkojo wakati ambapo mwanamke alitakiwa kwenda mwezini. Msichana akienda kupimwa mkojo kabla, hali halisi kuhusiana na ujauzito haiwezi kutambuliwa… soma zaidi
Tagsπ wiki
Hapana, hamna njia ya kufahamu kama amempa msichana mimba siku i ileile wanapojamii ana. Inachukua muda kwa mwili kuonyesha dalili za mimba.
Msichana akitaka kwenda kliniki kupimwa mkojo, kwanza ahesabu tarehe i ipi alikuwa anategemea kupata hedhi yake.
Kama anakosa hedhi katika muda aliotegemea, i itambidi aende kliniki. Mimba i inaonekana kwenye kipimo cha mkojo wakati ambapo mwanamke alitakiwa kwenda mwezini. Msichana akienda kupimwa mkojo kabla, hali halisi kuhusiana na ujauzito haiwezi kutambuliwa… soma zaidi
Nini kifanyike nini kwa mtu ambaye hafikii kilele au mshindo wakati anapofanya mapenzi?
Tagsπ wiki
Kwa mwanaume, dalili ya kufikia mshindo ni uume kusimama halafu kumwaga manii . Manii kutotoka wakati wa kujamii ana inaweza kusababishwa na mambo mengi. Kutoa manii kunatumia nguvu nyingi za mwili… soma zaidi
Tagsπ wiki
Kwa mwanaume, dalili ya kufikia mshindo ni uume kusimama halafu kumwaga manii . Manii kutotoka wakati wa kujamii ana inaweza kusababishwa na mambo mengi. Kutoa manii kunatumia nguvu nyingi za mwili… soma zaidi
Namna ya kutibu chunusi kwa kutumia Binzari, maziwa na asali
Tagsπ kutibu-chunusi-kiasili mapishinalishe
a)Binzari ya unga
b)Maziwa fresh
c)Asali
d)Bakuli
e)Kijiko cha chai.. soma zaidi
Tagsπ kutibu-chunusi-kiasili mapishinalishe
a)Binzari ya unga
b)Maziwa fresh
c)Asali
d)Bakuli
e)Kijiko cha chai.. soma zaidi
Vitu ambavyo mama mjamzito hapaswi kutumia
Tagsπ afya mapishinalishe
Vipo vitu mbalimbali ambavyo mama mjamzito hapaswi kuvitumia wakati wa ujauzito kwani vina athari kubwa sana kwake yeye mwenyewe pamoja na mwanaye aliye tumboni… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Vipo vitu mbalimbali ambavyo mama mjamzito hapaswi kuvitumia wakati wa ujauzito kwani vina athari kubwa sana kwake yeye mwenyewe pamoja na mwanaye aliye tumboni… soma zaidi
Baadhi ya mazingira ambayo yakimtokea mwanamke hatojali kitu chochote kwenye maamuzi yake
Tagsπ mahusiano
BAADHI YA MAZINGIRA AMBAYO YAKIMTOKEA MWANAMKE BASI UJUE HATOJALI CHOCHOTE KWENYE MAAMUZI YAKE.. soma zaidi
Tagsπ mahusiano
BAADHI YA MAZINGIRA AMBAYO YAKIMTOKEA MWANAMKE BASI UJUE HATOJALI CHOCHOTE KWENYE MAAMUZI YAKE.. soma zaidi
Madhara ya kunywa pombe wakati wa ujauzito
Tagsπ afya mapishinalishe
Kuacha Matumizi ya pombe wakati wa ujauzito ni moja ya njia ya kuzuia kupata matatizo ya kuzaliwa nayo na udhaifu kwa mtoto. Pia kuna matatizo kadhaa yanaweza kutokea kwa kichaga kutokana na matumizi ya pombe wakati wa ujauzito… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Kuacha Matumizi ya pombe wakati wa ujauzito ni moja ya njia ya kuzuia kupata matatizo ya kuzaliwa nayo na udhaifu kwa mtoto. Pia kuna matatizo kadhaa yanaweza kutokea kwa kichaga kutokana na matumizi ya pombe wakati wa ujauzito… soma zaidi