VIDEOS-VITUKO
By, Melkisedeck Shine.
Tags π maajabu mazingaumbwe. Category πvideos,: maajabu mazingaumbwe, Ukisikia mazingaumbwe haya ndiyo yenyewe, jamaa kajitenganisha miguu na kiwiliwili, πAngalia video hapa
Tags π maajabu vichekesho. Category πvideos,: maajabu vichekesho, Hawa majamaa walijua ni utani kumbe kweli ni wameona mzimu, πAngalia video hapa
Tags π maajabu paka wanyama. Category πvideos,: maajabu paka wanyama, Mcheki huyu Paka, jiulize kaingizaje kichwa kwenye hii chupa, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Kati ya hawa wanafunzi wewe ulikua yupi enzi zako ukiwa shuleni?, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Angalia kilichompata huyu mtoto aliyeachwa uchi, Haya ndiyo Madhara ya kuwaacha watoto bila nguo, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Huyu mtoto ni shida! Anapanga mbuzi kama farasi! Mcheki hapa, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Jamaa alichofanyiwa hata sahau, pikipiki yake imegeuzwa dumu kichawi, wachawi noma, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Hawa wameangukaje vizuri, πAngalia video hapa
Tags π bunduki vichekesho. Category πvideos,: bunduki vichekesho, Angalia huyu jamaa anachofanya na hii bunduki, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Angalia huyu mtoto anachofanya huku amesinzia, πAngalia video hapa
Tags π ajali gari. Category πvideos,: ajali gari, Ajali ya gari ya ajabu, πAngalia video hapa
Tags π michezo vichekesho watoto. Category πvideos,: michezo vichekesho watoto, Duh! Haka kamchezo ka hawa watoto ukitoka hapo ujue unaugulia maumivu, πAngalia video hapa
Tags π mahusiano mapenzi vichekesho. Category πvideos,: mahusiano mapenzi vichekesho, Ukisikia bwege wa mapenzi ndio huyu, cheki anavyoropoka tuu, πAngalia video hapa
Tags π kiingereza kimya kiswahili silent vichekesho. Category πvideos,: kiingereza kimya kiswahili silent vichekesho, Ungekua ni wewe hapa ungefanyaje?, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Angalia huyu nyani anachomfanyia huyu nyoka, πAngalia video hapa
Tags π ajali pikipiki. Category πvideos,: ajali pikipiki, Hii ni miongoni mwa ajali mbaya ya pikipiki kuwahi kutokea, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Hizi bahati mbaya nyingine jamani…, πAngalia video hapa
Tags π nyoka vichekesho. Category πvideos,: nyoka vichekesho, Cheki huyu jamaa alivyo muoga, lakini mbele ya nyoka mbona unaweza ukajikojolea mtu mzima, πAngalia video hapa
Tags π maajabu mbuzi vichekesho wanyama. Category πvideos,: maajabu mbuzi vichekesho wanyama, Huyu ndiyo mbuzi mwenye kipaji maalumu cha masikio, πAngalia video hapa
Tags π accident english funny. Category πvideos,: accident english funny, Watch what happens to this man, πAngalia video hapa
.
.
Endelea kuperuzi;-π
π¬ VIDEOS-DODOMAβ
π¬ VIDEOS-KENYAβ
π¬ VIDEOS-MBEYAβ
π¬ VIDEOS-DARβ
π¬ VIDEOS-ARUSHAβ
π¬ VIDEOS-TANZANIAβ
π¬ VIDEOS-BONGOβ
π¬ VIDEOS-TWEETERβ
π¬ VIDEOS-MTANDAONIβ
π¬ VIDEOS-ONLINEβ
π¬ VIDEOS-FACEBOOKβ
π¬ VIDEOS-INSTAβ
π¬ VIDEOS-INSTAGRAMβ
π¬ VIDEOS-ACKYSHINEβ
π¬ VIDEOS-HOTSβ
π¬ VIDEOS-BOMBAβ
π¬ VIDEOS-MPYAβ
π¬ VIDEOS-ZA-KUCHEKESHAβ
π¬ VIDEOS-ZA-BURUDANIβ
π¬ VIDEOS-TUUβ
Tagsπ mapishinalishe
Nyama ya nβgombe ya mifupa - 3 lb.. soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Kuna mambo ambayo huwa tunayachukulia ya kawaida na wala hatuko tayari kufahamu umuhimu wake. Jua ni kitu mojawapo ambacho huwa tunakiona kila siku, lakini ni mara chache tumelichunguza… soma zaidi
Tagsπ hadithi
Mume alirejea nyumbani na kukuta ujumbe juu ya meza umeandikwa "NIMEONDOKA" ilikuwa jioni, alienda jikoni na kukuta kukavu, aliwaita watoto na kuwauliza wakasema walimuona Mama akiondoka na begi lakini hakuwaambia anaenda wapi. Mume alichanganyikiwa, alijaribu kuchukua simu kumpigia lakini ilikuwa haipatikani, kabla hajafanya chochote mtoto wao wa mwaka mmoja alikuja akilia na kusema ana njaaa… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Zifutazo ni faida zitokanazo na ulaji wa tende;.. soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Kujichua au kujichezea (kupiga puli au punyeto)
sio kwa wanaume tu bali hata wanawake
wanafanya hivyo ila wengi wao huwa hawako
huru kulizungumzia au kukili kuwa wakizidiwa
huwa wanajisaidiaβ¦
Wakati mwingine mtu
anashindwa kabisa kupata usingizi mpaka upige
moja-mbili ndio usingizi unakuja au asubuhi
unajisikia mzito kuamka kitandani mpaka upige
moja ndio nguvu zinakujaβ¦hasa kama
umezoea dozi za maana lakini sasa mpenzi
hayupo karibu… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Unga wa mahindi - 4 vikombe.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mchele wa basmati/pishori - 4 vikombe vikubwa (mugs).. soma zaidi
Tagsπ kilimonaufugaji
Vitungu saumu vina manufaa sana katika kukabiliana na aina mbalimbali za wadudu waharibifu na baadhi ya magonjwa kutokana na kuwa na harufu kali inayosaidia kuwafukuza wadudu kama vidukari, bungo na hata panya… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Tatizo hili huwakumba watu wengi sana kwenye jamii yetu lakini kwa bahati mbaya watu wengi huchukulia ni jambo la kawaida kitu ambacho baadae hupelekea watu wengi kuingia kwenye matatizo makubwa ya kiafya hasa kwenye mfumo wa uzazi na mfumo wa chakula… soma zaidi
Tagsπ aina ambayo bia cha haifai hali hata hutoa jinsi kama kilimo kuchemshwa kulima kuliwa kuoka kusagwa kustahimili kutengenezea kutumika kwa kwenye mazao mengi mikate mkubwa mtama mtamamtama na nafaka. nyingine nyinginezo tagi: uji ukame. ulivyo una unaweza uwezo vile vinywaji vitafunwa. wa ya za wiki
Mtama hutoa mazao mengi hata kwenye hali ambayo haifai kwa kilimo cha aina nyingine za mazao ya nafaka. Mtama una uwezo mkubwa wa kustahimili ukame… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
ni kitu chochote kinacholiwa au kunywewa na kuupatia mwili virutubishi mbalimbali Chakula huupatia mwili nguvu, kuulinda na kuukinga dhidi ya maradhi mbalimbali .Mfano wa chakula ni ugali, wali, maharagwe, ndizi, viazi, mchicha, nyama, samaki… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Wengi katika wanadamu wanajaribu kuhoji kwa nini Mwenyezi Mungu anakataza zinaa wakati kuingiliana baina ya mke na mume na kuingiliana baina ya hawara na hawara mambo ni yale yale, sasa kwa nini akataze???.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Vipimo vya Wali:.. soma zaidi
Tagsπ uchumi
Kwa lugha nyepesi ni kwamba ukiajiriwa maana yake umeshindwa kujitegemea kwa ujuzi wako (yaani hujui ufanyie nini) hivyo umeona uukabidhi ujuzi wako kwa wenye "akili na uwezo" wa kuupangia matumizi ya huo ujuzi wako… soma zaidi
Tagsπ sayansinatekinolojia
1. Karudi baba mmoja, toka safari ya mbali,
Kavimba yote mapaja, na kutetemeka mwili,
Watoto wake wakaja, ili kumtaka hali,
Wakataka na kauli iwafe maishani… soma zaidi
Tagsπ uchumi
Nilikuwa naangalia mpira wa miguu katika uwanja wa
shule.
Nilipokaa, Nilimuuliza kijana mmoja juu ya Matokeo ya mchezo… soma zaidi
Tagsπ 3 ardhi asili atapata atatunza au bora cha chai chakula clotalaria endapo epuka faida fito hasa huzaa ikiwa iliyooza ina inashauriwa jinsi kabla kama kiasi kijiko kila kimoja kubwa kunde kuongeza kupanda kupanda. kusia kutoa kutunza kuvuna kwa kwanza la mbegu mboji mbolea mimea minjingu minyoo mkubwa. mkulima mucuna nyanya samadi sana shimo. sota soya tagi: uangalifu unaweza upungufu uwezo vidukari vijiko vile vizuri vizuri. vunde vya wa ya yenye za zafaida zao zinapowekewa wiki
Mkulima atapata faida kubwa ikiwa atatunza zao la nyanya kwa uangalifu mkubwa… soma zaidi
Tagsπ wiki
Kinga ya mwili ni mpangilio wa mwili kujikinga na maradhi. Chembechembe nyeupe zilizopo katika damu ya mwili mzima wa binadamu zina kazi maalum katika kuhakikisha kinga ya mwili i i ipo. Kama askari jeshi wanaolinda nchi yao, chembechembe hizo kwa pamoja zinalinda mwili dhidi ya magonjwa. Hivyo, kama chembeche-mbe hizo zikishambuliwa, mwili hauwezi kujikinga na maradhi au magonjwa… soma zaidi
Tagsπ (2) (2). (broiler) *eneo 100 dogo. eneo huu jinsi katika kufugakuku kuku kwa la linalohitajika maana mbili mbili(2) mita moja(1). na ni nyama tagi: tija ufugaji upana urefu wa wenye ya wiki
UFUGAJI WA KUKU WA NYAMA (BROILER) 100 KATIKA ENEO LA MITA MBILI (2)… soma zaidi
Tagsπ (bulbs). 13Β°c 20Β°c 20Β°c-25Β°c 24Β°c 25Β°c. afrika. awali bahari bara cha dunia hali hapo hewa hili hufanya huhitaji hulimwa hustawi ili inayofaa joto jotoridi kaskazini katika kawaida kiasi kilikuwa kitalu kitungu kudumaa kukua kukuzia kulima kuotesha kustawi kutengeneza kutoweza kuweza kwa kwenye la likwemo lililokuwa linapatikana magharibi mediterania. miche milima mwa na nchi ni nyingi nyuzi porini tagi: ukanda viazi vitunguu vitunguujinsi vizuri. wa ya za zaidi zao zilipo β wiki
Hapo awali kitungu kilikuwa ni zao lililokuwa linapatikana porini katika ukanda wa bahari ya Mediterania. Zao hili hulimwa katika nchi nyingi za magharibi, nchi za milima zilipo kaskazini mwa dunia, likwemo bara la Afrika. Vitunguu hustawi katika hali ya hewa ya jotoridi 13Β°C β 24Β°C, hali ya hewa inayofaa kwa kuotesha na kukuzia miche kwenye kitalu ni jotoridi 20Β°C β 25Β°C. Kwa kawaida vitunguu huhitaji kiasi cha joto nyuzi 20Β°C-25Β°C ili kuweza kustawi na kukua vizuri. Joto zaidi ya hapo hufanya vitunguu kudumaa na kutoweza kutengeneza viazi (bulbs)… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Kabichi 1/2 kilo
Nyanya ya kopo 1/2
Kitunguu 1
Curry powder 1/2 kijiko cha chai
Chumvi
Olive oil.. soma zaidi
Tagsπ aina anakuwa au duniani. hii i ile inakuwaje inarutubisha inatokea. inayofika jinsia katika kike kike. kiume kiume? kumpata kuna kuwa kwanza kweli kwenye mbegu mbegu. mbili mtoto mwanaume mwili na nchi ni uleule unafanana unatengeneza uwezekano wa wakati ya yai za zinazokua zote wiki
Mwili wa mwanaume unatengeneza aina mbili za mbegu. Kuna mbegu zinazokua kuwa mtoto wa kiume na kuna mbegu zinazokua kuwa mtoto wa kike. Ile mbegu inayofika kwenye yai kwanza, inarutubisha yai na ni wakati uleule, jinsia ya mtoto i inatokea. Uwezekano wa kumpata mtoto wa kike au wa kiume unafanana, na hii ni kweli katika nchi zote duniani… soma zaidi
Tagsπ afya ambako bila bora cha chini dola duni hali hari hata hazikidhi hivyo hizi huduma huishi hukabiliwa huko. huwa jamii katiak katika kielimu. kila kimarekani kipato kitendawili kiuchumi kunapoitwa kutengemea kwa lakini leo. magumu mahitaji maisha maji mashambani matumaini mbaya moja monicafrancis msichana. na nchi ni pia safi salama sana. sehemu siku. umaskini upatikanaji vijijini wa wanaishi wananchi wanaoishi wanaokaa wasichana watu wengi ya za zaidi zinazoendelea wiki
Wasichana wengi wanaoishi katika nchi zinazoendelea hukabiliwa na hali ya umaskini wa kiuchumi na kielimu. Katiak nchi hizi watu wengi huishi kwa kutengemea kipato cha chini ya dola moja ya Kimarekani kwa siku. Hali ni mbaya zaidi katika sehemu za vijijini na mashambani ambako huduma za jamii ni duni sana. Upatikanaji wa maji safi na salama ni kitendawili, lakini pia huduma za afya ni duni na hazikidhi mahitaji ya wananchi wanaokaa huko.
Hata hivyo wananchi wengi wanaishi bila matumaini ya hari bora, maisha huwa magumu zaidi kila kunapoitwa leo. Wakati wananchi wa nchi zilizoendelea wakikabiliwa na matatizo ya kunenepeana kupita kiasi kutokana na kula kwa anasa na kukosa kiasi, wananchi wengi wa nchi zinazoendelea, hasa watoto mamilioni wanakufa kwa njaa. Kwa hakika adui mkubwa wa afya ya wananchi katika nchi zinazoendelea ni umaskini… soma zaidi
Tagsπ aina ambayo bacteria biogesi bora cha gesi hewa hii ilivyo imethibitishwa inaweza inayosaidia inayozalishwa inazalisha isiyokuwa jikoni jinsi kama kinyesi kupikia kupunguza kurutubisha kutumika kuwasha kwa kwenye mabaki majumbani. malighafi mazingira mboji mbolea mifugo na ngβombe ni nishati oksijeni. pamoja sehemu taa tagi: udongo. uharibifu urahisi vile wa wanapovunjavunja wengine ya yanapowekwa zinazooza wiki
Hii ni aina ya nishati inayosaidia kupunguza uharibifu wa mazingira na inazalisha mbolea ya mboji ambayo imethibitishwa kurutubisha udongo.Biogesi ni gesi inayozalishwa na bacteria wanapovunjavunja malighafi zinazooza kwa urahisi kama vile kinyesi cha ngβombe na mifugo wengine, na mabaki ya jikoni, yanapowekwa kwenye sehemu isiyokuwa na hewa ya oksijeni. Nishati hii inaweza kutumika kwa kupikia pamoja na kuwasha taa majumbani… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Unga wa ngano ( self risen flour) kikombe 1 na 1/2
Hamira (yeast) 1 kijiko cha chai
Sukari (sugar) 1 kijiko cha chakula
Chumvi (salt) 1/2 kijiko cha chai
Siagi iliyoyeyushwa (melted butter) 1 kijiko cha chakula
Maji ya uvuguvugu ( warm water) kiasi.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mashonanguo mkono 1
Tui la nazi kikombe 1
Karanga zilizosagwa kikombe Β½
Mafuta vijiko vikubwa 4
Kitunguu 1
Nyanya ndogo 2
Chumvi kiasi.. soma zaidi
Tagsπ punyeto wiki
Kufanya au kupiga punyeto, ni tendo la kutomasa sehemu zako mwenyewe za siri ili kujisisimua kimapenzi… soma zaidi
Tagsπ wiki
Kwa kawaida mtu anapoamua kwenda kupima mara nyingi anakuwa na sababu za kumfanya ahisi kuwa au kutokuwa na maambukizi ya Virusi vya UKIMWI. Kwa hiyo mtu akipata jibu kuwa hana maambukizi ya Virusi vya UKIMWI, i itabidi ajiulize huo wasiwasi ulitokea wapi.
Pale mtu anapojua ni kitu gani kilimfanya aende kupima, ni vyema mtu huyo kukaa mbali / kuacha kurudia hilo jambo au tabia i iliyomweka katika hatari ya kupata maambukizi ya Virusi vya UKIMWI na UKIMWI. Kwa mfano, kama alifanya ngono na mtu zaidi ya mmoja na kwa nyakati zote hakutumia kondomu. Baada ya kupima, mtu huyu anatakiwa aache tabia ya kuwa na wapenzi wengi na pia awe anatumia kondomu kujikinga dhidi ya maambukizi ya Virusi vya UKIMWI na UKIMWI. Ni muhimu kuchukua tahadhari zote i ili kujikinga na maambukizi ya Virusi na UKIMWI na UKIMWI… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Tunda asili yake ni sehemu za Mashariki mwa Europe na pia Magharibi mwa Asia, na tunda hili linajulikana kwa miaka ya zamani mno katika miji ya Old China, Babulon na Egypt. Tunda hili hutumiwa na lina faida kubwa katika mwili wa mwanaadamu. Lina dawa ya maradhi tofauti:.. soma zaidi
Tagsπ afya ambapo balehe gani habari haki hasa hisia hisia. jinsi juu katika kimwili kisaikolojia kuelezwa kupata kuwapa mabadiliko maisha mambo mpango? na ni njia ukuaji umri uzazi vijana wa wale wana wanaowasimamia wanapaswa wanapitia wanavyokuwa wanayoyapenda. watoto watu wazima wote ya yanavyoshawishi yao. yote za wiki
Vijana balehe wote wana haki ya kupata habari juu ya mambo yote
wanayoyapenda. Watoto wanavyokuwa, wanapitia mabadiliko ya
kimwili, hisia na ya kisaikolojia katika maisha yao. Watu wazima,
hasa wale wanaowasimamia watoto wanapaswa kuwapa habari
juu ya mabadiliko na jinsi yanavyoshawishi ukuaji wa kimwili na
hisia. Hii ni muhimu ifanyike muda wote na katika kila rika.
Vijana wana mahitaji mbalimbali kutegemea umri wao, katika
hatua ya ukuaji na mazingira, mvulana wa umri wa miaka 11 au
kijana wa miaka 18 watakuwa na shauku tofauti. Pi wavulana au
wasichana wana haja tofauti na hata vijana wawili wenye umri
na jinsia moja wanaweza kukua kwa kasi na njia tofauti.
Tofauti hizi zinahitaji
kutambuliwa na kushughulikiwa.
Ni muhimu
pia kutambua
kwamba mahitaji
haya yatabadilika
kadiri ya muda unavyoenda
na pia kuweza
kubadilika kwa
haraka sana. Kwa
mfano mtu anapokuwa
na mhemuko wa
kujisikia kujamiiana.
Kwa njia yoyote, watoto
wana haja ya
kupata habari juu ya
uzazi kabla au mara
tu wapaoingia katika
ujana. Pia mada juu ya wajibu wa wavulana na wasichana katika
jamii, uhusiano na marafiki, na wazazi, uhusiano wa kijinsia na
matatizo yanayotokana na unyanyasaji wa kijinsia / ujinsia ni
muhimu yajadiliwe.
Iwapo vijana hawapati habari za kutosha juu ya mabadiliko ya
miili yao wanaweza kuingizwa katika matatizo ya kimaisha, ya
kijinsia na mimba yasiyotarajiwa au magonjwa yatokanayo na
kujamiiana pamoja na Virusi vya UKIMWI. Kwa hiyo wasichana
na wavulana wanahitaji kupata elimu ya ujinsia wanapokuwa vijana
wadogo. Hii ni pamoja na habari ya jinsi ya kujilinda wenyewe.
Siyo kweli kwamba elimu ya ujinsia inahimiza vijana wajamiiane.
Kinyume chake, wale vijana waliopata habari sahihi wanakuwa
na mwelekeo mzuri na wana uwezo wa kufanya maamuzi sahihi
. kama vile kuamua kuahirisha kujamiiana mpaka baadaye na
pia wanajilinda mara wanapoanza kujamiiana. Elimu ya Afya ya
Uzazi na Ujinsia ina habari juu ya uzuiaji wa mimba na kondomu.
Kabla ya kuanza kujamiiana inatakiwa vijana waelezwe kuhusu
njia za uzazi wa mpango na hasa jinsi ya kutumia kondomu kwa
sababu kondomu huzuia maambukizo ya Virusi vya UKIMWI
na magonjwa yatokanayo na kujamiiana. Jambo la busara ni
kwenda kliniki kwa ushauri katika suala zima la njia za uzazi wa
mpango mara tu ukiamua kuanza kujamiiana… soma zaidi
Tagsπ chochote fundisha hapa huku husika jifunze jinsi karibu kirahisi. kiswahili kuandika kufundisha kuhariri kujua kurahisisha kurahisishia kusaidia kuweka kwenye mada mahali majadiliano mambo mbalimbali mtandao na ni nia pamoja tagi: tukiruhusu tunatamani ujifunze upatikanaji utafutaji wa watumiaji ya yetu zote wiki
< %%title_linked%%
[**[http://jinsi.wikidot.com/wiki:hhome soma zaidi**
Tagsπ wiki
Ndiyo, mwanaume ambaye ana uwezo wa kumwaga mbegu bila shida anaweza kuwa mgumba. Kutokuwa mgumba kuna maana kwamba uume wa mwanaume unaweza kusimama, kwamba mwanaume anaweza kumwaga shahawa na vilevile kwamba zile mbegu ni nzima na zina nguvu za kutosha za kurutubisha yai… soma zaidi
Tagsπ aelewe akili alipo. ametoka au duniani gani hali hapa hapo hisia ile inavyoathiri jinsi kama kichocheo kila kuelewa kujitambua kunamfanya kusudi kutambua kuwa kwa kwamba maamuzi mambo mihemuko msichana mtu mwili mwingine. mwitikio na ndani ni nini nje pekee tofauti ubaya udhaifu unayoyapenda usiyoyapenda. utendaji uwe uwezo wa wako wako. wapi wema wewe wewe. ya yako.. yale yanayofanya yeye yuko yupo wiki
ni ile hali ya mtu kuelewa kwamba yeye yupo kama yeye tofauti na mtu mwingine. Ni kuelewa kuwa wewe ni wa pekee, kutambua mambo yanayofanya wewe uwe wewe. Ni kutambua uwezo na udhaifu wako. Kutambua yale unayoyapenda na yale usiyoyapenda. Kuelewa mwitikio wako kwa kila kichocheo ndani na nje ya mwili wako. Kuelewa jinsi hisia na mihemuko inavyoathiri kwa wema au kwa ubaya, utendaji wa akili na maamuzi yako..
Kujitambua kunamfanya mtu aelewe ametoka wapi, kwa nini yuko hapa duniani na kwa kusudi gani yuko hapo alipo. Kujitambua hutoa fursa ya mtu kutambua nguvu zake za ndani na vipaji alivyonavyo, husaidia mtu kujipenda, kujithamini na kujikubali jinsi alivyo na kumuwezesha kufanya mambo kadhaa ili kuboresha hali ya maisha kwa kufanya uchaguzi sahihi. Kujitambua ndiyo kazi inayostahiki kupewa kipaumbele cha kwanza katika utunzaji wa afya, uzuri na urembo wa msichana… soma zaidi
Tagsπ (kuoa/kuolewa) ambaye amelazimishwa hali hampendi hatua heshima hili hiyo hiyo. hukubaliani iwapo jadiliana katika kufunga kuingia kukataa kuonyesha kwa kwanza msichana/ mtu mvulana na ndoa ni nini suala waeleze wafanye wako. wamelazimishwa wasiyemtaka? watu wazazi wazi wazi. ya wiki
Iwapo mtu amelazimishwa
kuingia katika hali ya ndoa
(kuoa/kuolewa) na msichana/
mvulana ambaye hampendi,
hatua ya kwanza ni kukataa
ndoa hiyo na kuonyesha wazi
wazi. Jadiliana suala hili na
wazazi wako. Waeleze kwa
heshima kwa nini hukubaliani
na ndoa hiyo… soma zaidi
Tagsπ ambavyo ambazo au baadhi bado giza hata hatari hivyo ikatokea. inaweza jinsi jizuie kama katika kila kitu kubakwa. kuchota kujikinga kuna kupunguza kutembea kutokea kwa kwenye misitu mtu. na peke sehemu ubakaji ujinsia unaweza unyanyasaji usibakwe usiwe utafanya vinaweza vitu wa wachache watu ya yako zina wiki
Hata kama utafanya kila kitu usibakwe bado inaweza ikatokea.
Ubakaji na unyanyasaji wa ujinsia unaweza kutokea kwa kila mtu.
Hata hivyo kuna baadhi ya vitu ambavyo vinaweza kupunguza
hatari ya kubakwa.
Jizuie usiwe peke yako kwenye giza, kutembea peke yako
katika misitu au sehemu ambazo zina watu wachache, kuchota
maji sehemu ya mbali. Hakikisha kuwa kuna watu karibuni wa
kukusaidia iwapo kuna hatari. Pia jihadhari na watu walevi na
sehemu ya kunywea pombe maana watu walevi wanaweza wakawa
hatari. Iwapo umelazimika kufanya kazi katika mazingira
ya hatari, jaribu kujadili tatizo hili na wazazi wako au mtu
unayemwamini na muulize huyu mwanamume au mwanamke
azungumze na wazazi wako.
Usikubali zawadi au upendeleo, kama unafikiri unapewa wewe
kwa kubadilishana na ngono. Kama unajisikia unatishwa jaribu
kukimbia na piga kelele kwa kutafuta msaada mara moja.
Utafiti umeonyesha kuwa wasichana au wanawake ambao kwa
ushupavu wanasema hapana na ambao wanathubutu kupiga
kelele na kuvutia hisia za wengine wakati wanaposhambuliwa
wana hatari kidogo ya kubakwa. Unapokuwa unajitetea kwa
uhakika unapoanza unachopenda na usichopenda, ni sehemu
muhimu ya kujilinda… soma zaidi
Tagsπ wiki
Si kweli kabisa! Baada ya kuvuta bangi mtu hujiona kama jasiri sana na mwenye nguvu. Lakini madhara ya bangi ni kinyume na matarajio ya mtumiaji kwani mishipa husinyaa na ubongo hushindwa kufanya kazi zake vyema na kutoa uamuzi usio sahihi wa utendaji sahihi wa kazi za mwili… soma zaidi
Tagsπ wiki
Mnyama aliyelishwa vizuri na kupata maji ya kutosha huzalisha maziwa mengi yenye virutubisho vya kutosha. Iwapo ngβombe atalishwa majani kidogo na chakula chenye wanga kwa wingi, kiasi cha Mafuta kwenye maziwa kinaweza kushuka chini ya asilimia 2.5. Hivyo, uwiano mzuri wa majani na chakula cha ziada ni muhimu. Unaweza kumlisha ngβombe chakula cha ziada lakini hakikisha kuna uwiano mzuri. Usimlishe ngβombe wakati wa kukamua au muda mfupi kabla ya kukamua kwa vile yatachukua ladha ya silaji. Inashauriwa kuwa ngβombe apewe silaji saa mbili kabla ya kukamuliwa… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Ndizi - 15 takriiban.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mrowanishe kuku na viungo hivi kwa muda mdogo tu.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Unga wa mchele ( Vikombe 2 vikubwa)
Sukari (Nusu ya kikombe kikubwa)
Hamira ( Nusu ya kijiko cha chai)
Hiliki (Nusu ya kijiko cha chai)
Tui la nazi ( Kikombe kimoja kikubwa)
Unga wa ngano (Vijiko viwili vya chakula)
Mafuta ya kuchomea (Vegetable oil).. soma zaidi
Tagsπ african aina anayepatikana anga cha east goat hali hapa hata hawa hivyo hutoa ili juu kama kidogo kigeni kiwango kupata kustahimili kuzalishwa magonjwa maziwa maziwa. mbuzi mengi na nchini nchini. ni nyingi sana sehemu small tagi: uwezo vile: wa wanaopatikana wanaotoa wanaweza wenye ya za wiki
Aina Za Mbuzi Wa Maziwa
Aina ya mbuzi anayepatikana sehemu nyingi nchini ni Small East African Goat na hutoa kiwango kidogo sana cha maziwa. Hata hivyo mbuzi hawa wanaweza kuzalishwa na mbuzi wa kigeni ili kupata mbuzi wa aina ya hali ya juu wanaotoa maziwa mengi na wenye uwezo wa kustahimili magonjwa na hali ya anga ya hapa nchini.
Aina ya mbuzi wa kigeni wanaopatikana nchini ni kama vile:
Toggenburg, Boer, Saanen, British Alpine, German Alpine, Anglo Nubian,Angora na Oberhauzen.
Aina hizi zote za mbuzi hustahimili aina tofauti ya hali ya anga na huitaji mazingira tofauti ya ya kuwafuga.
Ikiwa unataka kufuga mbuzi wa maziwa ni bora kutafuta ushauri kutoka kwa wataalamu wa mifugo katika eneo lako ili wakufahamishe aina nzuri ya mbuzi wanaopatikana na mbinu nzuri za kuwazalisha zinazopatikana nchini… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Naamini umeshawahi kusikia kuhusu changamoto ya uvimbe kwenye kizazi kwa Wanawake yaani Fibroids. Uchunguzi unaonesha kuwa kati ya asilimia 30 mpaka 70 ya wanawake wapo kwenye hatari ya kupata tatizohili au wengine Tayari wameshalipata. Mpaka hivi sasa hakuna Sababu ya moja kwa moja ambayo inaelezwa kama chanzo cha tatizo hili… soma zaidi
Tagsπ alitokana ambapo ambavyo ambaye anaweza au dhaifu hawa hiyo huru ikiwa jinsi jogoo kawaida kienyeji kienyeji. kizazi kuboresha kudumaa kuimarika kujirudia kuku kumpanda kuna kunasababisha kupitia kupunguza kuwa kuzaliana kuzurura. kwa makubwa matatizo mayai mkubwa mtetea na namna naye ndege ni pamoja pamoja. sahihi sana sehemu tagi: tanzania ufugaji unaweza utunzaji uwezekano uzalishaji vifaranga vijijini wa wafugaji wamezaliwa wanaachiwa wanafuga wanafugwa wengi ya za wiki
Ufugaji wa kuku wa kienyeji unaweza kuimarika kupitia uzalishaji na utunzaji sahihi.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mchele (rice vikombe 3)
Nyama ya ng'ombe (beef 1/2 kilo)
Viazi mbatata (potato 3)
Vitunguu maji (onions 3)
Kitunguu swaum (garlic cloves 4)
Tangawizi iliyosagwa (ginger kiasi)
Hiliki nzima (cardamon 4)
Karafuu (clove 4)
Pilipili mtama (blackpepper 4)
Amdalasini (cirnamon stick 1)
Binzari nyembamba nzima(cumin seeds 1/2 ya kijiko cha chai)
Binzari nyembamba ya kusaga (ground cumin 1 kijiko cha chai)
Chumvi (salt)
Mafuta (vegetable oil)
Nyanya (fresh tomato 3)
Limao (lemon 1)
Pilipili (chilli 1)
Hoho (green pepper).. soma zaidi
Tagsπ afya ana azimio binadamu. gani haki huru imetia inayohakikisha katika kila kimataifa kuhusu kukubali kulinda kutokunyanyaswa kuwa kwa la mapatano mashirika mataifa mdhamana mfano mikataba mtu na saini serikali sheria tanzania ukeketaji? umoja wa wameweka ya za zimetungwa zote wiki
Serikali zote na mashirika ya kimataifa wameweka mdhamana
na kukubali kulinda haki za binadamu. Tanzania imetia saini ya
mapatano na mikataba ya kimataifa inayohakikisha kuwa kila
mtu ana haki kwa afya na haki ya kuwa huru kutokunyanyaswa
kwa mfano katika Azimio la Umoja wa Mataifa kuhusu Haki za
Binadamu.
Maazimio mengine yaliyoboreshwa ili kulinda haki za wanawake na
watoto,15 ni kama lile Azimio la Kuondoa Ubaguzi kwa Wanawake
na Azimio la Haki za Mtoto. Maazimio haya yanaeleza wazi kuwa
ukeketaji ni desturi mbaya na ni kinyume na haki za binadamu,
kinyume cha haki za mtoto na kinyume cha haki za afya kwa
wanawake. Na zaidi nchi nyingi za kiafrika wamepitisha sheria
kupiga marufuku ukeketaji.16 Hapa Tanzania, Bunge limepitisha
sheria maalumu ya Makosa ya Kujamiiana ya mwaka 1998 ambayo
inakataza ukeketaji kwa wasichana na wanawake vijana chini ya
miaka 18. Pia kuna sera17 ambayo inaelezea jamii kuondoa mila na
desturi kama vile ukeketaji kwa kuwa zina madhara kwa vijana.
Hivyo kama wewe ni msichana chini ya miaka 18 ni kosa la jinai
kufanyiwa tohara na pia ni kosa kwa mangariba kujishughulisha
na ukeketaji wa wanawake… soma zaidi
Tagsπ uchumi
Katika mambo ambayo nadhani nimeshawahi kujidanganya ni kufikiri kwamba nikipata kazi ndiyo utakuwa mwisho wa matatizo yangu na kuwa huru kufanya kila kitu ninacho kitaka.
πππππ
Sasaa baada ya kuipata iyo kazi nimekuja kupata ukweli kwamba kumbe kazi ya kuajiriwa siyo Mwarobaini wa Yale niliyo Nayo kumbe ndiyo safari inaanza na siyo mwisho kama nilivyo dhani… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mpunga - 4 vikombe.. soma zaidi
Tagsπ kutibu-chunusi-kiasili mapishinalishe
Mvuke husaidia kusafisha ngozi. Ni rahisi sana kutumia mvuke kutibu chunusi… soma zaidi
Tagsπ aina anapoanza anavyokua. au chakula jinsi kadiri kiasi kijiko kila kimoja kula kumuanzisha laini mara mbili mpe mtoto na ongeza siku. tagi: taratibu ulichomwanzishia uzito viwili vya vyakula ya za Β· wiki
Β· Mpe mtoto chakula laini ulichomwanzishia, kijiko kimoja au viwili vya chakula mara mbili kila siku. Ongeza uzito, kiasi na aina za vyakula taratibu kadiri mtoto anavyokua.
Β· Kwa kuanzia, chakulacha mtoto kiwe laini, lakini kisiwe chepesi au cha majimaji sana. Kadiri mtoto anavyozoea kula na kutafuna, aanze taratibu kula vyakula vilivyopondwa na vigumu kiasi. Β· Please, usichanganye vyakula vingi mwanzoni, mtoto anaweza akawa na allergy na kimojawapo na usijue ni kipi, ukabaki unahangaika kila hospitali. Anza na kimoja tu kinatosha akizoeazoea unaongeza kutu kindine, then unasubiri kama wiki uone unaongeza kingine… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
NAPENDA Nikutie MOYO,Ukiwa DUNIANI USIHUZUNIKE na usiwe MNYONGE hata kama una MATATIZO kiasi gani,Mungu yuko pamoja nawe,
Na unatakiwa kuzingatia haya yafuatayo:.. soma zaidi
Tagsπ ambapo anatumia huadhibiwa i jinai katika kisheria. kosa kuonyesha kutumia la mbakaji na ngono nguvu ni nini? tendo ubabe ubakaji wake. wiki
Ubakaji ni tendo la kutumia nguvu katika ngono ambapo mbakaji anatumia nguvu kuonyesha ubabe wake. Ubakaji ni kosa la jinai i na huadhibiwa kisheria.
Kama mtu hayuko tayari kufanya ngono na analazimishwa kukubali kufanya hivyo hii , i inahesabiwa kama ubakaji, hata kama anayekulazimisha ni rafiki, ndugu, jirani, mume au mtu usiyefahamiana naye… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mchele wa basmati - 4 cups.. soma zaidi
Tagsπ wiki
Ndiyo, mtu anayeonekana na afya nzuri anaweza kuwa na virusi vya UKIMWI. Katika hatua ya mwanzo baada ya kuambukizwa mtu anakuwa na virusi vya UKIMWI kwenye damu lakini haonyeshi dalili zozote za kuumwa. Hatua hii i ii inaweza kuchukua zaidi ya miaka kumi! Hii ni hatari sana, kwa sababu kama unajamii ana na mtu mwenye kuonekana na afya nzuri, lakini ndani ya mwili tayari anavyo virusi vya UKIMWI, anaweza kukuambukiza.
Njia pekee ya kuwa na uhakika kama mtu ameambukizwa na VVU au la ni kwa njia ya kupima damu katika Vituo maalamu vya kupima au hosipitalini. Kwa hiyo, kujamii ana bila kujikinga kwa kutumia kondomu i inawezekana kuhatarisha maisha yako, hata kama mpenzi wako ni mtu mwenye kuonekana na afya nzuri… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Saratani ya tezi dume inashika nafasi ya tatu kwa kusababisha vifo vinavyotokana na kansa kwa wanaume duniani. Pia ni chanzo kikuu cha vifo vinavyosababishwa na saratani kwa wanaume wenye umri wa miaka 70 na kuendelea. Hata hivyo, satarani ya tezi dume kwa sasa inawapata sana wanaume kuanzia miaka 25. Lakini kabla ya kuendelea mbele hebu kwanza tujue tezi dume ni zipi… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Mtoto alifanya maamuzi ya kumpeleka baba yake ambaye alikuwa Mzee sana kwenye Makazi Maalum ya kulelea wazee ya Kanisa Katoliki iliyokuwa CHINI ya uratibu wa Padre. Alifanya hivyo Baada ya kushauriwa Na mkewe aliyekuwa akiona Ni kero kumlea baba Mkwe wake nyumbani kwao… soma zaidi
Tagsπ kutibu-chunusi-kiasili mapishinalishe
Kitunguu swaumu hujulikana kama kitu cha kushangaza katika tiba huko mashariki ya mbali, Kitunguu swaumu ni maajabu ya Mungu mwenyewe… soma zaidi
Tagsπ (hips). 35 40 >0.85 >0.9 >102 >88 au chako cm gani hips(waist-hip ikiwa ila in inabidi jinsi kama kinaweza kipo kirahisi kitambi kitambi: kitambijinsi kiuno kiuno(waist) kiwango kufanya kujua kuonekana kwa macho. mzingo na ni nyonga ratio) tagi: ukiwa una uwiano vipimo vya wa wanaume wanawake wanawake. ya wiki
Kitambi kinaweza kuonekana kwa kirahisi kwa macho. Ila kujua ni kwa kiwango gani kitambi chako kipo inabidi kufanya vipimo vya kiuno(waist) na nyonga (hips). Mzingo wa kiuno ukiwa >102 cm au 40 in kwa wanaume na >88 cm au 35 in kwa wanawake, na uwiano wa kiuno na hips(Waist-Hip Ratio) ikiwa >0.9 kwa wanaume na >0.85 kwa wanawake… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Mume alirejea nyumbani na kukuta ujumbe juu ya meza umeandikwa "NIMEONDOKA" ilikuwa jioni, alienda jikoni na kukuta kukavu, aliwaita watoto na kuwauliza wakasema walimuona Mama akiondoka na begi lakini hakuwaambia anaenda wapi. Mume alichanganyikiwa, alijaribu kuchukua simu kumpigia lakini ilikuwa haipatikani, kabla hajafanya chochote mtoto wao wa mwaka mmoja alikuja akilia na kusema ana njaaa… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mchele (rice vikombe 2 na 1/2)
Vitunguu (onion 2)
Nyanya ya kopo (tin tomato kopo 1)
Tangawizi (ginger paste kijiko 1 cha chakula)
Kitunguu swaum (garlic paste kijiko 1 cha chakula)
Paprika (kijiko 1 na 1/2 cha cha chai)
Pilipil (scotch bonnet pepper 1)
Curry powder (kijiko 1 cha chai)
Maggi cubes 3(unaweza kutumia yenye ladha ya chicken, beef au vegetable. Inategemea unasevu na mchuzi wa aina gani)
Chumvi (salt)
Mafuta (vegetable oil).. soma zaidi
Tagsπ mahusiano
HERUFI A
Mwenye jina linaloanziana na herufi A ni mtu anayependa mambo makubwa, anajiamini na mwenye uwezo wa kutimiza malengo yake. Ni mtu mwenye tahadhari, mchangamfu na mpenda matukio. Anapenda Kuheshimiwa, anapenda Mamlaka, na ana kiburi, na hasira… soma zaidi
Tagsπ wiki
Dawa za kulevya huharibu ufanyaji kaza wa kawaida wa mfumo wa mwili hasa tumbo na utumbo wa watumiaji
hushindwa kufyonza virutubisho vidogo kama vile
vitamini, madini kutoka kwenye chakula na kwenda kwenye mfumo wa damu. Hiki ndicho kinachowafanya wakonde. Isitoshe, hupunguza uwezo wa mwili kujikinga na maradhi na hivyo huuweka mwili katika hatari ya kuambukizwa na magonjwa likiwemo gonjwa hatari la UKIMWI… soma zaidi
Tagsπ wiki
Dawa za kulevya zenyewe hazisababishi UKIMWI na magonjwa ya zinaa. Lakini utumiaji wa dawa za kulevya hurahisisha kupata na kuenea kwa magonjwa haya. Dawa hizi hudhoofisha mwili na kinga ya mwili. Hivyo basi hurahisisha virusi vya magonjwa kuingia mwilini mwa mtumiaji kiurahisi… soma zaidi