VIDEOS-WAHENGA
By, Melkisedeck Shine.
Tags π vichekesho wanawake. Category πvideos,: vichekesho wanawake, Angalia huyu dada wa watu kitu alichofanyiwa, πAngalia video hapa
Tags π ajali n'gombe vichekesho. Category πvideos,: ajali n'gombe vichekesho, Cheki huyu jamaa alichofanyiwa na huyu n'gombe, πAngalia video hapa
Tags π ajali vichekesho. Category πvideos,: ajali vichekesho, Angalia huyu dogo baisikeli yake ilichomfanya, πAngalia video hapa
Tags π ajali baisikeli gari maajabu vichekesho. Category πvideos,: ajali baisikeli gari maajabu vichekesho, Tizama baisikeli moja ilivyosababisha ajali ya magari zaidi ya 10, πAngalia video hapa
Tags π maajabu. Category πvideos,: maajabu, Angalia huyu mbwa anayeweza kuendesha gari, πAngalia video hapa
Tags π maajabu ndege. Category πvideos,: maajabu ndege, Ona hii ndege ya Huyu jamaa, watu wana ubunifu, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Huyu mama mziki umemkolea, angalia anachofanya, πAngalia video hapa
Tags π n'gombe tembo wanyama. Category πvideos,: n'gombe tembo wanyama, Angalia Tembo akimpiga n'gombe, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Angalia huyu jamaa anachofanya mbele ya kioo, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Hii ndiyo inathibitisha ule msemo ukitaka uzuri sharti udhurike, πAngalia video hapa
Tags π ajali n'gombe vichekesho. Category πvideos,: ajali n'gombe vichekesho, Cheki huyu jamaa alichofanyiwa na huyu n'gombe, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Angalia haka kamchezo huyu jamaa anakomfanyia mwenzake, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Kwa uchoyo huu, huyu msichana kazidi sasa, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Michezo mingine hii ni hatari, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Angalia huyu nyani anachomfanyia huyu nyoka, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Dada wa watu kafanyiwa uhuni, mcheki hapa, πAngalia video hapa
Tags π maajabu nyoka wanyama. Category πvideos,: maajabu nyoka wanyama, Hili joka kweli kiboko, cheki lilivyoweka mtego na huyu jamaa ndo kaliwa, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Cheki jamaa alivyoangukia kwenye tope na pua, πAngalia video hapa
Tags π maajabu vichekesho. Category πvideos,: maajabu vichekesho, HATARI: Mrembo anaingizwa kwenye tenki lililojazwa nyoka, angalia anachofanya sasa, πAngalia video hapa
.
.
Endelea kuperuzi;-π
Tagsπ akiacha ataweza au baada hizo je kupata kutumia kuzitumia kwa mimba mrefu muda mwamamke njia sindano tena? vidonge ya wiki
Vidonge na sindano zinazuia mimba kwa kuzuia yai lisipevuke. Akitumia njia hizi za kuzuia mimba, mwanamke anaona hedhi yake kama kawaida, lakini hakuna yai linalokuwa limepevuka kwa ajili ya kurutubishwa.
Mara mwanamke akiacha kutumia vidonge, mayai hupevuka tena ndani ya kokwa na mwanamke huweza kupata mimba. Mwanamke aliyetumia sindano, anaweza akachukua muda kiasi kurudia hali yake ya uzazi. Kwa wanawake wengine inachukua miezi 12.
Muhimu ni kukumbuka kwamba sindano na vidonge siyo njia za kudumu za kuzuia mimba, hata kama itachukua muda fulani kurudia hali ya kawaida ya uzazi.. soma zaidi
Tagsπ aweze dalili damu halikurutubishwa hedhi hedhi. hedhi? hivyo hubomoka. hufa huitwa hutoka i ili inabidi kama kiume. kupata kupitia kupokea kushika kutoka. kwa kwamba kwenye la le likutane lililopevuka lililorutubishwa limeshakufa linapokosa mbegu mimba mwanamke na ni ninaweza nipo pamoja pevu tumbo ukeni ulishajiandaa utando uzazi vile wakati yai za wiki
Ili mwanamke aweze kushika mimba, i inabidi yai lililopevuka likutane na mbegu za kiume. Yai pevu linapokosa mbegu hufa na kwa vile utando kwenye tumbo la uzazi ulishajiandaa kupokea yai lililorutubishwa hubomoka. Kwa pamoja, yai na utando hutoka kama damu kupitia ukeni na i le damu huitwa hedhi.
Hedhi ni dalili, kwamba yai halikurutubishwa na hivyo limeshakufa na kutoka. Kwa kawaida, wakati huo halitakuwepo yai jingine lililopevuka kuweza kurutubishwa na kwa hiyo uwezekano wa kupata mimba hautakuwepo. Lakini, mara chache kuna hitilafu katika mzunguko wa hedhi na yai jingine linakuwepo tayari kwa kurutubishwa, hata ukiwa kwenye hedhi. Kwa hiyo uwezekano wa kupata mimba wakati wa hedhi upo, hata kama ni mdogo… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
UNYWAJI wa maji baridi, hasa katika joto kali kama la Dar es Salaam, ni kiburudisho kikubwa cha koo na huleta faraja kubwa mwilini. Ni jambo la kawaida pia kwa mtu kuhitaji kunywa maji hayo mara baada ya kula mlo, iwe mchana au usiku… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Harafu ya jasho inakera, kibaya zaidi ni kuwa wewe mwenyewe husikii harufu hiyo ila wale walio karibu yako. Kwa upande mwingine kujaribu kuzuia kutoka jasho ni hatari kwa afya yako na kujaribu kuondoa harufu kwa kutumia pafyumu husababisha madhara mengine ya kiafya na kwa bahati mbaya perfume zina jaribu poteza harufu kwa mda mfupi tu na sio kutokomeza tatizo hilo… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Sio Kila EX Wako Anayeomba Mrudiane Anamaanisha! Wengine Huomba Kurudi Ili Wakutesti Tu Jinsi Ulivyo Mbulula,Jinsi Usivyo Na Msimamo Na Jinsi Ulivyo CHEAP Na Huna Misimamo Wala Future… soma zaidi
Tagsπ wiki
Kutumia dawa za kulevya kwa kiasi kidogo kunaweza kusilete madhara i ila mpaka tu pale utakapoyazoea. Mara nyingi watu huanza kuhitaji dawa zaidi pale wanapozizoea na kupata madhara. Hii i ii inaweza kusababishia mtu kutawaliwa na dawa za kulevya. Mtumiaji wa dawa za kulevya anaweza kuwa mtegemezi wa dawa hizo bila ya kujijua. Kujaribu dawa za kulevya kunaweza kukawa na madhara kama βutaishia pabayaβ. βKuishia pabayaβ ni jambo la kutisha na si la kufurahisha hata kidogo! Hali hiyo inaweza kutokea mara ya kwanza unapoanza kutumia bangi… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Kuna baadhi ya LEVEL huwezi kufika…Kuna MAFANIKIO huwezi kuyafikia…Kuna HELA huwezi kuzipata…Kama umezungukwa na watu BASIC…
Kuanzia asubuhi mpaka jioni wanaongelea WATU TU….Fulani kamegwa na yule……halafu yule naniliu saivi anatembea na yule ex wa nanii……Asubuhi mpaka jioni DISCUSSING PEOPLE…Hawa ndio watu BASIC…Hata siku 1 hawatakupa Ushauri kuhusu HOW TO REACH SOMEWHERE…NEVER.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mchele (Basmati rice) 1 kilo
Vitunguu (chopped onion) 2 vikubwa
Garlic powder 1/2 kijiko cha chai
Njegere (peas) 1 kikombe
Turmaric 1/2 kijiko cha chai
Coriander powder 1/2 kijiko cha chai
Cumin seeds 1/2 kijiko cha chai
Mafuta ya kupikia 2 vijiko vya chakula
Chumvi kiasi.. soma zaidi
Tagsπ ajali ambavyo athari barabarani basi hasira hatia hivyo huathiri hupoteza hupunguza hutokea huwadhuru huweza isitoshe iwapo jamii jamii. katika kazini kiakili kiasi kimwili. kuchangia kuenea kupita kupitia kutokana kuwa kwa kwenye madhara maisha mara mbalimbali. mengine na njia nyingi pombe tagi: uangalifu ulevi ulevi. vilema vitu vvu wagomvi wakilewa wakiwa wamelewa. wanafanya wanaokunywa wanokunywa wasingekuwa wasingevifanya wasiokuwa watu wengi yao za zinazohusiana wiki
Watu wanokunywa kupitia kiasi huathiri jamii kwa njia
mbalimbali. Madhara mengine hutokea kwa kuwa wanafanya
vitu ambavyo wasingevifanya iwapo wasingekuwa wamelewa… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
[11:24, 18/02/2015] Grace Ngehula: fungue geti atakuja kukufungulia yeye,
[17:09, 02/02/2015] Lily .CPA: Tumejenga nyumba ya ghorofa basi ile naingia naongea na mlinzi kumbe yuko ghorofan ananiangalia atu mie sikumuona maaan niusiku na amekaa kwenye kono, badae ndio kaka akaniambia umeona anavyokuangalia yule kule juu, ndio nikamuona, alipoona nimemuona tu akarudi ndani.. soma zaidi
Tagsπ ardhi asili cha hautaingiliwa hupukutisha kama katika kiashirio kiasi. kibinadamu kidogo kizuri kujumuisha kupita kupunguza kutumia kwenye madhara maji maji. mimea misitu miti mvua mwanzo mzuri na nguvu ni nyingi pamoja shambani shambanijinsi shughuli tagi: tropiki uharibifu ukanda unalenga uoto upandaji uwiano vichaka vina vinavyotokana virutubisho wa wanyama wenye wowote. ya yanayotokana yenye za zaidi. wiki
Upandaji wa miti unalenga kupunguza madhara yanayotokana na uharibifu wa misitu, pamoja na kutumia ardhi kupita kiasi… soma zaidi
Tagsπ (za atakayekutana au halisi hisia ili ingawa katika kinagaubaga kueleza kufurahisha kugusa) kunusa kuona kuongeza kuremba kusema kuvutia kuwa kwa la lengo maana manukato mapambo marashi mavazi msichana mtu mwanamke mwingine mwonekano na nakshi naweza naye. neno ni rangi sifa ubora umaridadi urembo utumiaji uturi vigumu viwango vya wa ya za wiki
Ingawa ni vigumu kueleza kinagaubaga maana halisi ya neno urembo, naweza kusema kuwa urembo ni utumiaji wa mapambo, manukato, marashi, uturi, mavazi na rangi ili kuremba na kuongeza nakshi na umaridadi katika mwonekano, sifa na viwango vya ubora wa msichana au mwanamke kwa lengo la kuvutia au kufurahisha hisia (za kuona, kunusa au kugusa) za mtu mwingine atakayekutana naye… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Ugonjwa wa Shinikizo la chini la damu ambao hujulikana kama hypotension kwa Kiingereza ni hali ambayo shinikizo la damu ya mtu linakuwa chini sana… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
ITAKUSAIDIA KIJANA PLEASE ISOME NA UITAFAKARI SINTOFAHAMU MAISHANI KATI YA MIAKA 24 HADI 29
1. Umri mgumu zaidi katika maisha yako ni kati ya miaka 24 hadi 29 hivi. Presha ya kuwa mtu wa aina fulani au levo fulani ya maisha katika umri huo ni kubwa sana… soma zaidi
Tagsπ wiki
Kufanya mapenzi wakati msichana yuko katika hedhi hakuna madhara yoyote kiafya kwa mwanaume wala mwanamke kama kati yao hakuna mwenye ugonjwa wa zinaa… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Halina ukweli kwa sehemu, na lina ukweli kwa sehemu. Ni hivi : ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
Shule inamfanya mtu awe overconfidence na kukosa unyenyekevu, hii ni output ya makuzi na malezi aliyopita plus msukumo wa marafiki waigizaji kwenye mahusiano. Mwanamke msomi can spend any amount of cash on saloon, urembo na vitu binafsi vya luxury , but utasikia kazi ya mwanamme ni kulisha family kujenga etc, na shati lake likichakaa atajijua, hata hela yavkunyolea ndevu tu ni yeye π€π€ but hana haki ya kuhoji income ya mkewe. Si mnakumbuka message ya 5000 za baba +2000 za mama=5000 za familia ,hiki ni practical kibonzo kwa some families… soma zaidi
Tagsπ anayetahiriwa. au damu hata hatari havikuwa hufa hutokwa iwapo katika kuambukizwa kuenea kusababisha kutokana kwa madhara makubwa mpaka msichana na ndani ni nyingi. safi. sana tohara uambukizo ugumba ukeketaji ukeketaji. ukimwi unatokea unaweza uzazi vifaa vifo. vile: vilivyotumiwa virusi viungo vya wa wakati wanawake wasichana ya yake yatokanayo zaidi wiki
Ukeketaji au tohara ya wanawake ni hatari sana kwa msichana
anayetahiriwa. Wasichana hufa kutokana na madhara yake
makubwa zaidi kwa vile:
- Hutokwa na damu nyingi.
- Uambukizo unatokea iwapo vifaa vilivyotumiwa
- havikuwa safi. Uambukizo unaweza kuenea mpaka katika
viungo vya ndani vya uzazi na kusababisha ugumba na
hata vifo.
- Hatari ya kuambukizwa Virusi vya UKIMWI wakati wa
ukeketaji.
- Kuziba kwa mkojo na damu ya mwezi (hedhi) ndani ya
mwili wa mwanamke na kusababisha uambukizo.
- Matatizo na maumivu makali wakati wa kujamiiana na
wakati wa kujifungua kutokana na kupungua ukubwa wa
uke. Ukeketaji wa wanawake mara nyingi una madhara
ya kisaikologia ambapo wasichana hupoteza tumaini
na imani kwa walezi au wazazi na wanaweza wakapata
mateso ya kujisikia waoga, kufadhaika, kutojiweza na
kutokuwa kamilifu kimwili… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Maji baridi β kikombe 1.. soma zaidi
Tagsπ asili elimu hai jinsi ke kenya kilimo kuchipua kupanda kwa magugu makala matuta mbegu mbinu mpunga tanzania tz udongo ug uganda wiki
Chagua aina ambazo zinafaa kutumika katika mazingira husika.
Mpunga hujipevusha wenyewe. Hii inaruhusu kuchagua mbegu kutoka shambani kwako mwenyewe.
Usipure mbegu ambazo zinatumika wakati wa kusia
Mavuno ya kiangazi ni chanzo kizuri cha mbegu bora.
Tenga kilo 30 hadi 40 za mbegu kwa ajili ya kupanda hekta 1… soma zaidi
Tagsπ albino ambao au bluu. dini. familia hali hawana hii hutokea inaonekana ingawaje jamii kabila katika kijivu kila kuliko kuwa kwa maana mabara macho moja na ndugu ngozi ni nini nyekundu nyeupe nywele rangi taifa ualbino ualbino. ualbino? ulimwenguni. wa wako wana watu weusi ya yake yao yote za zaidi zao wiki
Albino wana ngozi nyeupe, nywele nyeupe au nyekundu na macho
ya kijivu au ya bluu. Ngozi yao ni nyeupe zaidi kuliko ndugu zao
wa familia moja au watu wa jamii yake
ambao hawana hali ya ualbino. Ngozi hii inaonekana zaidi kuwa
nyeupe katika familia za watu weusi, ingawaje, ualbino
hutokea kwa watu wa kila taifa, rangi, kabila na dini. Albino
wako katika mabara yote ulimwenguni… soma zaidi
Tagsπ 5. alivyofanikiwa clip dakika inayoonyesha jinsi kwa matunda mizizi mtu nikitafakari nimekuwa ninapoona sana ulizia usishangilie video ya habari
Nimekuwa nikitafakari sana ninapoona clip
ya video ya mtu inayoonyesha jinsi
alivyofanikiwa kwa dakika 5. Najua kuna
watu wanatiwa moyo ila kuna wengine
wanaona maruweruwe.. Ngoja nikujuze
kitu.. Yule mwimbaji anayevuma sanaβ¦.
alitoa albamu yake ya kwanza
haikusikikaβ¦.. soma zaidi
Tagsπ mahusiano
KAPIMWE AKILI…
1. Kama wewe ni kijana na una nguvu za kutosha ila kila cku unailalamikia serikali kuwa ajira hakuna, pumbaff kapimwe akili… soma zaidi
Tagsπ kupanga_uzazi mimba msichana mwanamke uzazi wiki
Njia ya uzuwiaji mimba inayotumikisha homoni kwa kubadilisha rutuba (upevu) kwa kuzuia yai kusitotoka,
kuzuia chembechembe za kiume na kubadili njia ya uterasi. Ni yenye manufaa makubwa ila yanaweza
kuwa na mazara. Hizo mbinu hazikingi mtu zidi ya magonjwa yanayoambukiza kupitia zinaa (ngono)… soma zaidi
Tagsπ mapishi vitafunwa vitumbua wiki
Vitumbua ni vitafunwa vizuri na vinavyopendwa na wengi lakini ni wengi wasiojua kupika vitumbua japokua wanavipenda sana. Leo nimekuandalia namna rahisi ya kupika vitumbua kama ifuatavyo;.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Unga - 3 mug za chai.. soma zaidi
Tagsπ kilimonaufugaji
Inafahamika kuku kutaga mayai mengi hutokana na aina ya mbegu ya kuku, ila jua kwamba hata aina ya mbegu ya kuku yenye sifa ya kutaga mayai mengi kama haitapewa matunzo mazuri basi sifa yake ya utagaji itapotea.
Kwa kawaida Tetea anatumia muda wa masaa 24 - 27 (siku moja) kutengeneza yai. Hakuna njia ya kupunguza muda huu (yaani atengeneze mayai miwili katika siku moja). Hiyo ndio asili yake. Njia Nzuri ya kumfanya kuku atage muda mrefu ni kumfanya awe na furaha na afya.
Njia za kuwafanya kuku wawe na furaha na afya:.. soma zaidi
Tagsπ bado hasa hatari hawatakiwi katika kijamii kisaikolojia. kuathirika kukua. kunywa kupata kuvuta kwa madhara maendeleo maisha miili mtoto na ndio pombe sababu sigara sigara! tagi: ubongo unywaji uvutaji wakaathiri wala wana wanaendelea wanaweza wapo watoto ya yao yatokanayo yote. zaidi wiki
Watoto hawatakiwi kunywa pombe wala kuvuta sigara!.. soma zaidi
Tagsπ mahusiano
NAPENDA Nikutie MOYO,Ukiwa DUNIANI USIHUZUNIKE na usiwe MNYONGE hata kama una MATATIZO kiasi gani,Mungu yuko pamoja nawe,
Na unatakiwa kuzingatia haya yafuatayo:.. soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Mwanangu, mimi baba yako nimeishi miaka mingi kuliko wewe ndio maana unaniita baba. Ni kweli sijasoma kama wewe ulivyosoma Ila mambo niliyokutana nayo tangu nimezaliwa ni elimu tosha ambayo wewe huna. Sasa nataka nikupe Elimu hiyo ili ukijumlisha na elimu yako ya darasani ujue namna nzuri ya kuishi katika dunia hii iliyojaa mishangazo mingi… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mihogo kilo 1
Kidali cha kuku 1 kikubwa
Nyanya 1 kubwa
Kitunguu maji 1 cha wastani
Swaum/tangawizi i kijiko cha chai
Nazi kopo 1
curry powder 1 kijiko cha chai
Binzari manjano 1/2 kijiko cha chai
Limao 1/2
Pilipili 1
Chumvi kiasi.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Kabichi 1/2 kilo
Nyanya ya kopo 1/2
Kitunguu 1
Curry powder 1/2 kijiko cha chai
Chumvi
Olive oil.. soma zaidi
Tagsπ uchumi
Kuna watu wengi sana huwa wanani-challenge ninaposema kwamba ni muhimu sana mtu kuishi katika kusudi la maisha yake. Na moja kati ya hoja zao ni kwamba haya maisha ya sasa mtu akisema aanze kutafuta kusudi la maisha yake atakufa maskini. Hivyo wanaonelea ni bora kufanya chochote kitakachotokea mbele yake ilimradi mwisho wa siku anapata pesa. Yaani anachagua kuwa mtumwa wa Pesa.. soma zaidi
Tagsπ afya cha gani haki hakuna hasa huduma iwapo juu katika kiwango kuanza kujamiiana kupata kutumia kwa kwanza kwenye masuala mbalimbali mpango. mpango? na ni njia pale pamoja uende ujinsia umeamua umri unapoona unatakiwa unazihitaji. ushauri uzazi vijana wa wana ya za wiki
Hakuna kiwango cha umri kwa kutumia huduma za afya ya uzazi
na njia za uzazi wa mpango. Unatakiwa kuanza kutumia huduma
za afya ya uzazi pale unapoona unazihitaji. Na hasa iwapo
umeamua kujamiiana, unatakiwa uende kwanza kwenye huduma
za afya ya uzazi, na kupata ushauri juu ya ujinsia na masuala
ya afya ya uzazi pamoja na njia mbalimbali za uzazi wa mpango.
Vijana kisheria wamepewa haki ya kutumia njia za uzazi wa
mpango.
Nchini Tanzania kuna sera ya idadi ya watu ya mwaka 1992.2
ambapo kati ya mambo mengine inalenga katika kuandaa
vijana, kabla ya kuingia katika maisha ya ndoa wawe wazazi
wanaowajibika kwa kuinua kiwango cha elimu ya familia.
Sera hii inazungumzia uanzishwaji wa huduma za afya ya uzazi
ambayo itakidhi mahitaji ya vijana na inawahakikishia vijana
kupata huduma za afya ya uzazi kwa urahisi bila pingamizi
katika umri wowote.
Baadhi ya watu wanafikiri kuwa huduma za uzazi wa mpango ni
kwa watu walio kwenye ndoa. Hii si kweli, mtu yoyote anaruhusiwa
kutumia huduma za uzazi wa mpango na kupata njia mbalimbali
za uzazi wa mpango. Vijana3 wanafaidika na kuwa na haki sawa
kama watu wazima walio kwenye ndoa. Huduma za kinga kama
vile ushauri juu ya mafunzo ya afya ya uzazi na vilevile kondomu
ni njia za kuzuia mimba zinapatikana bure katika vituo vya afya
vya serikali hapa Tanzania… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Nyama ya ngβombe vipande vidogo - 2lb.. soma zaidi
Tagsπ tibu-shinikizo-chini mapishinalishe
Matumizi ya maji ya kunywa ni moja ya dawa rahisi kabisa ya shinikizo la chini la damu… soma zaidi
Tagsπ (maharagwe (upendavyo) +viambaupishi 1 2 3 jinsi kadhalika) kata kiasi kikombe kikopo kitunguu kupika kusaga lb mafuta maji mbaazi mchanganyiko mchele na nafaka njegere nyama pilau saumu(thomu/galic) supu tagi: tangawizi vijiko vikombe vipande vitunguu vya wa ya Β½ mapishinalishe
+Viambaupishi.. soma zaidi
Tagsπ uchumi
Kwenye maisha fursa moja tu inatosha kabisa
kubadilisha hali yako ya sasa na kukuweka kwenye
kiwango kingine kabisa cha mafanikio.Kuna watu
wengi sana ambao waliwahi kufikiria kuwa maisha
yao yatachukua miaka mingi sana kabla
hayajabadilika na kwa mshangao wao walipoanza
kufanya vitu sahihi wakakutana na mabadiliko
makubwa sana katika maisha yao kwa kupitia
fursa moja tu… soma zaidi
Tagsπ kutibu-chunusi-kiasili mapishinalishe
Moja ya sababu za kutokea chunusi katika ngozi yako ni kuwepo kwa takataka au uchafu juu ya ngozi yako na njia rahisi ya kusafisha taka hizo ni kwa kutumia baking soda hivyo kuifanya ngozi ipumuwe vizuri… soma zaidi
Tagsπ hii. kiinjilisti na salamu tabia tagi: wadada wakaka wenye za zenu mahusiano
~Yaanike matiti yako kwenye mitandao wee, yabane vizuri na vaa vinguo vya ajabu ili yaonekane…
~Jaa kiburi wanavyokusifia wanaume wazinzi kuwa wewe ni mzuri na umependeza…
~Vaa visiketi vyako vya kubana na kuacha vimapaja vyako nje wanaume wasio na huruma wakusifie kisha wakulaghai na kuzini na wewe…
~Zitoe mimba hizo wanazokupa endelea na huo mchezo mpaka pale utakapoona kuua sio maagizo ya Mungu na wakati huo umeshaua kizazi… soma zaidi
Tagsπ sayansinatekinolojia
Sababu zifuatazo zinaweza kuwa na ukweli
mtupu;.. soma zaidi
Tagsπ albino cha hapana je kawaida? kitu kuhusu laana? macho mekundu?β¦β¦β¦.. na ni tu ualbino ugonjwa? ukweli unaambukiza? unawapata wana wanaoishi watu weusi?β¦β¦β¦.. β¦β¦β¦.. β¦β¦β¦..hapana wiki
- Je, ualbino unaambukiza? ……….. Hapana
- Ualbino ni ugonjwa? ………..Hapana
- Ualbino ni laana? ………..Hapana
- Ualbino ni kitu cha kawaida? ………..Hapana
- Ualbino unawapata tu watu weusi?……….. Hapana
- Watu wanaoishi na ualbino wana macho mekundu?……….. Hapana
- Albino ni watu wenye imani za ushirikina? ………..Hapana
- Albino wana nguvu za giza? ………..Hapana
- Je, Albino hawana akili? ………..Hapana
- Je, ni kosa la mwanamke anayezaa mtoto Albino? ………..Hapana
- Je, jamii ibadili mtazamo hasi iliyo nao kuhusu Albino?……….. NDIYO.. soma zaidi
Tagsπ wiki
Kama unavyohusisha rafiki zako katika mihemuko mingine, inaeleweka kama utataka kuwashirikisha katika uhusiano wako wa kimapenzi… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Kila wakati unashauriwa na watalam wa afya ya kwamba unatakiwa kula tende kwa wingi ili kupata faida zifuatazo katika mwili wako:.. soma zaidi
Tagsπ sayansinatekinolojia
Haya ndio mambo ninayoyafahamu kuhusu TANZANIA.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Naamini umeshawahi kusikia kuhusu changamoto ya uvimbe kwenye kizazi kwa Wanawake yaani Fibroids. Uchunguzi unaonesha kuwa kati ya asilimia 30 mpaka 70 ya wanawake wapo kwenye hatari ya kupata tatizohili au wengine Tayari wameshalipata. Mpaka hivi sasa hakuna Sababu ya moja kwa moja ambayo inaelezwa kama chanzo cha tatizo hili… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Unga wa ngano (self risen flour 2 vikombe vya chai)
Sukari (sugar 1/2 kijiko cha chakula)
Chumvi (salt 1/2 kijiko cha chai)
Hamira (yeast 1/2 kijiko cha chakula)
Baking powder 1/2 kijiko cha chai
Siagi (butter 1/4 ya kikombe cha chai)
Maziwa (fresh milk 3/4 ya kikombe cha chai)(unaweza kutumia maji badala ya maziwa).. soma zaidi
Tagsπ baadhi bia hasa hukufanya husababisha husema ina je kwa kwamba kweli kweli? la mkubwa mkusanyiko mnene na ni ongezeko pombe sababu sukari tagi: uwe uzito wa wanga. watu ya wiki
Ni kweli kwamba baadhi ya pombe, hasa bia, husababisha
ongezeko la uzito kwa baadhi ya watu kwa sababu ina mkusanyiko
mkubwa wa sukari na wanga… soma zaidi
Tagsπ wiki
Hatari inategemea na mazingira ambapo mimba inatolewa. Kama ni hospitalini na i inatolewa na mtaalamu aliyesomea na kama mazingira na vifaa ni safi, uwezekano wa kutoa mimba salama ni mkubwa. Lakini, hata katika mazingira hayo, shida zinaweza kutokea… soma zaidi
Tagsπ wiki
Kama umeamua kutojamiiana kabla ya ndoa, huo ni uamuzi mzuri na ni haki yako. Kutojamiiana kabla ya ndoa ni uamuzi wako binafsi kama ambavyo watu wengine walivyo na haki ya kuamua kuhusu maisha yao… soma zaidi
Tagsπ wiki
Hapa Tanzania matumizi, umilikaji, usafirishaji na kuhusika katika dawa za kulevya kama vile bangi, hiroini, kokaini na mirungi yamepigwa marufuku. Hii ni pamoja na dawa ambazo zimethibitishwa na daktari kuwa zisitumike kwa matibabu. Kwa Tanzania βgongoβpia ni haramu.
Polisi akimkamata mtu anayekwenda kinyume na sheria, humpeleka mtu huyo mbele ya vyombo vya sheria na atahukumiwa ikithibitika kuwa ana hatia. Sheria i inatoa adhabu kali kwa makosa yanayohusiana na dawa za kulevya. Faini ya shilingi milioni 10 za Kitanzania au kifungo cha maisha au vyote kwa pamoja… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Ngiri au Hernia ni aina ya ugonjwa ambao unampata mtu baada ya misuli au kuta za tishu mwilini zinazoshikilia au kubeba viungo (organs) fulani mwilini kupoteza uimara wake au kuwa na uwazi (Opening) na hivyo kusababisha viungo hivyo kutoshikiliwa ipasavyo katika sehemu vinapostahili kuwepo… soma zaidi
Tagsπ anayetumia atomic bila bomb hadi hiyo. hutoa inayopenya katika kitini kudumu kufunga kuleta kumuumiza kunakoongea kunakotoa kuomba kusema kwa mabadilko makubwa matokeo mbele mungu mwili. na ni pa rohok sababu sauti silaha tagi: tunaweza ulimwengu utangulizi wa ya za wiki
Mungu.Me.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Maini ya kuku 1/2 kilo
Vitunguu vikubwa 2
Hoho 1
Pilipil 1
Limao 1/2
Swaum/tangawizi 1 kijiko cha chai
Curry powder 1/2 kijiko cha chai
Mafuta ya kupikia.. soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Huu ni ugonjwa ambao unasabababishwa na seli zilizopo katika mishipa ya fahamu zilizopo kwenye ubongo kutoa umeme[impulses] mwingi kuliko kawaida kwenda kwenye misuli na sehemu zingine za mwili, na kusababisha mtu kupata dalili kama vile kuishiwa nguvu, kichwa kuuma, kuchanganyikiwa, mwili kukakamaa na hata kupoteza fahamu. Hali hii hujirudia mara kwa mara… soma zaidi
Tagsπ kilimonaufugaji
Unapohitaji unahitaji kufuga nyuki ni lazima uwe na uelewa wa mzunguko wa maisha ya nyuki. Unapoanza ni lazima uulize mtaalamu wa nyuki, wafugaji wenzako ambao wana uzoefu wa kutosha, au kujiunga katika kikundi cha ufugaji ili apate ufahamu zaidi juu ya ufugaji wa nyuki… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mbegu za maboga zina protini na madini ya kutosha na ya mhimu zaidi mwilini kama madini ya zinki, kopa, maginizia, manganizi na chuma, mbegu za maboga ni tamu na zinaweza kutafunwa nyakati zozote na mahali popote hasa kwa wapenda kutafuna-tafuna kama mimi. Tafiti mbalimbali zimethibitisha pasipo na shaka kuwa mbegu za maboga zina faida nyingi kiafya na zina uwezo wa kukuepusha na magonjwa hatari zaidi ya 10 yafuatayo:.. soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Ili mtoto azaliwe akiwa na afya njema pamoja na akili timamu, akiwa tumboni lazima alishwe lishe bora na mlo sahihi. Mwenye jukumu la kutoa lishe bora na sahihi kwa kiumbe kilichomo tumboni ni mama. Anatakiwa kujua aina ya vyakula anavyopaswa kula. Vivyo hivyo, anatakiwa kujua aina ya vyakula vya kuviepuka… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Maharage yaliyochemshwa kiasi
Spinach zilizokatwa kiasi
Vitunguu maji 2
Nyanya 1/2 kopo
Swaum/Tangawizi 1 kijiko cha chakula
Curry powder 1 kijiko cha chai
Olive oil
Chumvi.. soma zaidi
Tagsπ habari
Kuanzia miaka 14 hadi 18 anachezeana na wanafunzi wenzake huko hajui lolote kuhusu shule yeye ni kuoga na kupunguza skirts zake tu, mrembo wa shule, kichwani bila bila yaani tupu ( utupu ) anadhani alizaliwa vizuri zaidi ya wengine… soma zaidi