VIDEOS-ZA-INSTA
This is the Redirect module that redirects the browser directly to the "http://www.ackyshine.com/videos" page.
VIDEOS-ZA-INSTA
By, Melkisedeck Shine.
Tags π michezo. Category πvideos,: michezo, Zoezi kali la kijeshi, cheki hapa uone, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Huu ukataji wa ugali ni noma, πAngalia video hapa
Tags π ajali gari. Category πvideos,: ajali gari, Angalia hawa walivyogongwa kiajabu, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Na mzuka wote wa kuogelea wa huyu jamaa umeishia hapo hapo, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Cheki huyu alivyomtishia mwenzake na Karai, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Ukisikia utoto ndio huu, cheki hawa watoto wanavyocheza mpira, πAngalia video hapa
Tags π chui nguruwe-pori wanyama. Category πvideos,: chui nguruwe-pori wanyama, Angalia huyu chui alivyomuweza huyu nguruwe pori, πAngalia video hapa
Tags π maajabu vichekesho wanyama. Category πvideos,: maajabu vichekesho wanyama, Nguruwe wanauwawa vibaya, cheki huyu anachofanywa, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Kwa mbwembwe zote wageni waalikwa wameanguka wakati wakipanda jukwaani, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Kweli bangi sio kitu cha kucheza, angalia ilivyomtuma huyu, πAngalia video hapa
Tags π maajabu. Category πvideos,: maajabu, Jamaa kiboko kwa mapishi haya, πAngalia video hapa
Tags π maajabu vichekesho. Category πvideos,: maajabu vichekesho, Huyu jamaa anaminguvu ni balaa, cheki anachofanya hapa, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Angalia huyu mwizi wa kondoo, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Video kali ya vituko vya Mkude Simba, πAngalia video hapa
Tags π maajabu michezo vichekesho. Category πvideos,: maajabu michezo vichekesho, Angalia huyu jamaa alivyokomaa, anapigwa na tofali lakini wala hayumbi, πAngalia video hapa
Tags π catholic inspiration love mother_teresa preach religion. Category πvideos,: catholic inspiration love mother_teresa preach religion, Best Speech of Mother Teresa about Love and Family, πAngalia video hapa
Tags π ajali n'gombe vichekesho. Category πvideos,: ajali n'gombe vichekesho, Cheki huyu jamaa alichofanyiwa na huyu n'gombe, πAngalia video hapa
Tags π maajabu mbuzi vichekesho wanyama. Category πvideos,: maajabu mbuzi vichekesho wanyama, Huyu ndiyo mbuzi mwenye kipaji maalumu cha masikio, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Angalia kilichompata huyu jamaa baada ya kuamka na hang over yake, πAngalia video hapa
Tags π maajabu simba wanyama. Category πvideos,: maajabu simba wanyama, Huyu kalala na simba kama vile mtu na rafiki yake, jaribu wewe uone usipofanywa kitoweo, πAngalia video hapa
.
.
Endelea kuperuzi;-π
π¬ VIDEOS-ZA-VICHEKESHOβ
π¬ VIDEOS-KUBWAβ
π¬ VIDEOS-MIKASAβ
π¬ VIDEOS-MATUKIOβ
π¬ VIDEOS-VITUKOβ
π¬ VIDEOS-DODOMAβ
π¬ VIDEOS-KENYAβ
π¬ VIDEOS-MBEYAβ
π¬ VIDEOS-DARβ
Wosia wa mama kwa binti anayeolewa
Tagsπ mahusiano
Wanauliza uko wapi wosia wa mama kwa bintie
anaeolewa? Huu hapa!
Binti yangu, hivi sasa wewe ni mke wa mtu na
karibuni utakuwa mama pia. Mungu amenibariki
nishuhudie jinsi nilivyokufunza kupika na kufanya
shughuli nyingine za nyumbani… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Wanauliza uko wapi wosia wa mama kwa bintie
anaeolewa? Huu hapa!
Binti yangu, hivi sasa wewe ni mke wa mtu na
karibuni utakuwa mama pia. Mungu amenibariki
nishuhudie jinsi nilivyokufunza kupika na kufanya
shughuli nyingine za nyumbani… soma zaidi
Jinsi ya kujikinga na ugonjwa wa homa ya Dengu (Dengue fever)
Tagsπ afya mapishinalishe
Ugonjwa wa dengue ni tishio la ugonjwa hatari linaongezeka siku hadi siku. Dengue ni ugonjwa unaosababishwa na virusi vinavyoenezwa na mbu aitwae aedes… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Ugonjwa wa dengue ni tishio la ugonjwa hatari linaongezeka siku hadi siku. Dengue ni ugonjwa unaosababishwa na virusi vinavyoenezwa na mbu aitwae aedes… soma zaidi
Kwa nini mwanaume akiona mapaja ya mwanamke uume wake husimama?
Tagsπ wiki
Mapaja na nyonga ni sehemu ya mwili i i iliyo karibu na viungo vya uzazi vya mwanamke. Kwa sababu ya mvuto wa kijinsia kati ya mwanaume na mwanamke, ambao ni wa asili, mwanaume anapoona kilicho na uhusiano wa karibu na viungo vya uzazi au viungo vyenyewe hupata msisimko… soma zaidi
Tagsπ wiki
Mapaja na nyonga ni sehemu ya mwili i i iliyo karibu na viungo vya uzazi vya mwanamke. Kwa sababu ya mvuto wa kijinsia kati ya mwanaume na mwanamke, ambao ni wa asili, mwanaume anapoona kilicho na uhusiano wa karibu na viungo vya uzazi au viungo vyenyewe hupata msisimko… soma zaidi
Njia za Kuzuia Mimba
Tagsπ (hizi (kondomu huzuia kabla katika kike kike) kiume kiume) kugawanywa kuingia kujamiiana. kulifikia kuna kuzuia kwenye makundi mbegu mengi: mfuko mimba moja. mpango mpira na njia pia sana ukeni ukeni. uliosimama uliozibwa unaoingizwa unavishwa upande uume uzazi vizuizi wa ya yaani yai): za zinatofautiana zinaweza wiki
Njia za uzazi wa mpango zinatofautiana sana na zinaweza kugawanywa katika makundi mengi:.. soma zaidi
Tagsπ (hizi (kondomu huzuia kabla katika kike kike) kiume kiume) kugawanywa kuingia kujamiiana. kulifikia kuna kuzuia kwenye makundi mbegu mengi: mfuko mimba moja. mpango mpira na njia pia sana ukeni ukeni. uliosimama uliozibwa unaoingizwa unavishwa upande uume uzazi vizuizi wa ya yaani yai): za zinatofautiana zinaweza wiki
Njia za uzazi wa mpango zinatofautiana sana na zinaweza kugawanywa katika makundi mengi:.. soma zaidi
Mapishi ya Biskuti Za Mtindi/Yoghurt
Tagsπ mapishinalishe
Chenga za biskuti - 3 gilasi.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Chenga za biskuti - 3 gilasi.. soma zaidi
Mapishi ya Viazi vitamu na kachumbari
Tagsπ mapishinalishe
Viazi utamu 3
Nyanya 2 kubwa
Kitunguu
Tango
Limao
Chumvi
Pilipili
Mafuta (vegetable oil).. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Viazi utamu 3
Nyanya 2 kubwa
Kitunguu
Tango
Limao
Chumvi
Pilipili
Mafuta (vegetable oil).. soma zaidi
Historia ya Kabila la Wangoni
Tagsπ habari
Wangoni ni moja ya kabila linalopatikana nchini Tanzania na baadhi ya maeneo mengine kusini mwa Afrika. Ni kabila ambalo lina historia ya aina yake kama ilivyo kwa makabila mengine ya kibantu hata yale yasiokuwa ya kibantu… soma zaidi
Tagsπ habari
Wangoni ni moja ya kabila linalopatikana nchini Tanzania na baadhi ya maeneo mengine kusini mwa Afrika. Ni kabila ambalo lina historia ya aina yake kama ilivyo kwa makabila mengine ya kibantu hata yale yasiokuwa ya kibantu… soma zaidi
Jinsi Muda Unavyopotea, Jifunze kitu hapa
Tagsπ uchumi
Kila mtu ambaye ni hai amepewa muda Wa masaa 24 kila siku,168 kwa wiki,672 kwa mwezi,8064 kwa miezi 12 au kwa mwaka… soma zaidi
Tagsπ uchumi
Kila mtu ambaye ni hai amepewa muda Wa masaa 24 kila siku,168 kwa wiki,672 kwa mwezi,8064 kwa miezi 12 au kwa mwaka… soma zaidi
Ningekufa kwa ajili ya mwanamke
Tagsπ mahusiano
Leo nimepita kisimani nikamkuta dada mmmoja akifua. ,Nikamuuliza eti dada unavijua visa vya wanawake??
Akajibu kaka niache, nikakomaa anijibu…
Badala ya kujbu akaanza kupiga mayowe, na kelele za kuomba msaada.. hadi wananchi wenye mapanga, mawe na mishale wakaanza kuja, dada huyo alivyoona wanakuja akajmwagia maji mwili mzima. Nikajua leo ndio mwisho wangu nikajuta sana kutaka kujua kila kitu…
Wananchi walivyofika, wakamuulza, kuna nini? Akawajibu, nilidumbukia kwenye kisima na huyu kaka ndie amensaidia!!
Wakanipongeza sana sana kisha wakaondoka…
Yule dada akaniambia, hivyo ndivyo visa vya mwanamke anaweza kukuua au kukulinda! So muheshmu mwanamke hata kinafiki, usijfanye jeuri!!!.. soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Leo nimepita kisimani nikamkuta dada mmmoja akifua. ,Nikamuuliza eti dada unavijua visa vya wanawake??
Akajibu kaka niache, nikakomaa anijibu…
Badala ya kujbu akaanza kupiga mayowe, na kelele za kuomba msaada.. hadi wananchi wenye mapanga, mawe na mishale wakaanza kuja, dada huyo alivyoona wanakuja akajmwagia maji mwili mzima. Nikajua leo ndio mwisho wangu nikajuta sana kutaka kujua kila kitu…
Wananchi walivyofika, wakamuulza, kuna nini? Akawajibu, nilidumbukia kwenye kisima na huyu kaka ndie amensaidia!!
Wakanipongeza sana sana kisha wakaondoka…
Yule dada akaniambia, hivyo ndivyo visa vya mwanamke anaweza kukuua au kukulinda! So muheshmu mwanamke hata kinafiki, usijfanye jeuri!!!.. soma zaidi
Senegal inapanga kupiga marufuku uvaaji wa vazi la wanawake la Burqa
Tagsπ 150217180020_ abdoulaye amesema. burqa daouda humo inapanga jpgsenegal kijihadi kupiga kuzuia kwa la lengo makundi marufuku maswala mienendo nchini ndani nocredit. senegal tagi: uvaaji vazi wa wanawake waziri woman_ ya habari
Senegal inapanga kupiga marufuku uvaaji wa vazi la wanawake la Burqa kwa lengo la kuzuia mienendo ya makundi ya kijihadi,waziri wa maswala ya ndani nchini humo Abdoulaye Daouda amesema… soma zaidi
Tagsπ 150217180020_ abdoulaye amesema. burqa daouda humo inapanga jpgsenegal kijihadi kupiga kuzuia kwa la lengo makundi marufuku maswala mienendo nchini ndani nocredit. senegal tagi: uvaaji vazi wa wanawake waziri woman_ ya habari
Senegal inapanga kupiga marufuku uvaaji wa vazi la wanawake la Burqa kwa lengo la kuzuia mienendo ya makundi ya kijihadi,waziri wa maswala ya ndani nchini humo Abdoulaye Daouda amesema… soma zaidi
Tohara ya Mwanaume kwa Ajili ya Kukinga Maambukizo ya VVU
Tagsπ (ngozi 60. ajili asilimia baadhi cha hatari hatari/uwezekano historia hupunguza inayofunika kama katika kiasi kichwa kufanya kukinga kupata kwa maambukizo manufaa mbele moja mwanadamu. mwanaume ngono ngozi ni njia sana tagi: tohara ukataji upasuaji uume uume) vile: vvu wa ya yanayofanywa za zamani wiki
Ukataji wa ngozi ya mbele ya uume (ngozi
inayofunika kichwa cha uume), ni moja ya
njia za zamani sana za upasuaji katika
historia ya mwanadamu... soma zaidi
Tagsπ (ngozi 60. ajili asilimia baadhi cha hatari hatari/uwezekano historia hupunguza inayofunika kama katika kiasi kichwa kufanya kukinga kupata kwa maambukizo manufaa mbele moja mwanadamu. mwanaume ngono ngozi ni njia sana tagi: tohara ukataji upasuaji uume uume) vile: vvu wa ya yanayofanywa za zamani wiki
Ukataji wa ngozi ya mbele ya uume (ngozi
inayofunika kichwa cha uume), ni moja ya
njia za zamani sana za upasuaji katika
historia ya mwanadamu... soma zaidi
Jinsi ya kuongeza wingi wa mbegu za kiume
Tagsπ afya mapishinalishe
Ili kuongeza mbegu za kiume zingatia haya yafuatayo;.. soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Ili kuongeza mbegu za kiume zingatia haya yafuatayo;.. soma zaidi
Usiyoyajua kuhusu pesa haya hapa
Tagsπ uchumi
Habari za Leo Rafiki yangu wa Muhimu sana. Ni furaha yangu kujua unaendelea vyema sana na majukumu yako… soma zaidi
Tagsπ uchumi
Habari za Leo Rafiki yangu wa Muhimu sana. Ni furaha yangu kujua unaendelea vyema sana na majukumu yako… soma zaidi
Afrika Kusini imetia saini makubaliano na Marekani kuruhusu Marekani kuuza kuku wake nchini humo
Tagsπ afrika baada biashara bidhaa hayo humo huo imetia inayopata kati kilimo kufuata kuku kuku. kuondoa kuruhusu kusimamisha kusini kutishia kuuza makubaliano manufaa marekani mataifa mgogoro na nchini saini tagi: wa wake wasiwasi ya yanatarajiwa za habari
Makubaliano hayo yanatarajiwa kuondoa wasiwasi kati ya mataifa hayo baada ya Marekani kutishia kusimamisha manufaa ya biashara za bidhaa za kilimo inayopata Afrika Kusini kufuata mgogoro huo wa kuku.
Afrika Kusini ina wasiwasi kwamba mlipuko wa ugonjwa wa homa ya kuku ambao umewaua takriban ndege milioni 50 huenda ikasababisha hatari ya kiafya miongoni mwa wanyama na binaadamu.
Kuku ni chakula kinachopendwa sana Afrika kusini na wakosoaji wana wasiwasi kwamba Marekani itapeleka kuku wa ziada katika taifa hilo,hatua ambayo wanasema itaathiri pakubwa bishara ya nyama hiyo nchini humo… soma zaidi
Tagsπ afrika baada biashara bidhaa hayo humo huo imetia inayopata kati kilimo kufuata kuku kuku. kuondoa kuruhusu kusimamisha kusini kutishia kuuza makubaliano manufaa marekani mataifa mgogoro na nchini saini tagi: wa wake wasiwasi ya yanatarajiwa za habari
Makubaliano hayo yanatarajiwa kuondoa wasiwasi kati ya mataifa hayo baada ya Marekani kutishia kusimamisha manufaa ya biashara za bidhaa za kilimo inayopata Afrika Kusini kufuata mgogoro huo wa kuku.
Afrika Kusini ina wasiwasi kwamba mlipuko wa ugonjwa wa homa ya kuku ambao umewaua takriban ndege milioni 50 huenda ikasababisha hatari ya kiafya miongoni mwa wanyama na binaadamu.
Kuku ni chakula kinachopendwa sana Afrika kusini na wakosoaji wana wasiwasi kwamba Marekani itapeleka kuku wa ziada katika taifa hilo,hatua ambayo wanasema itaathiri pakubwa bishara ya nyama hiyo nchini humo… soma zaidi
Mapishi ya Mchuzi wa kambale
Tagsπ mapishinalishe
Kambale 2
Nazi kopo 1
Nyanya kopo 1
Vitunguu 2
Curry powder 1 kijiko cha chai
Turmaric 1/2 kijiko cha chai
Binzari nyembamba ya unga 1/2 kijiko cha chai
Swaum/ tangawizi 1 kijiko cha chakula
Giligilani kiasi
Limao 1/2
Chumvi
Olive oil.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Kambale 2
Nazi kopo 1
Nyanya kopo 1
Vitunguu 2
Curry powder 1 kijiko cha chai
Turmaric 1/2 kijiko cha chai
Binzari nyembamba ya unga 1/2 kijiko cha chai
Swaum/ tangawizi 1 kijiko cha chakula
Giligilani kiasi
Limao 1/2
Chumvi
Olive oil.. soma zaidi
Kwa nini kuna Watanzania wanaovuta bangi?
Tagsπ wiki
Sababu mojawapo ni kuwa bangi hulimwa hapa nchini na
hivyo hupatikana kwa urahisi. Bangi huuzwa kwa bei
nafuu kuliko dawa nyingine za kulevya. Vilevile, vijana
wengi huwaona wakubwa wao wakitumia na hii huwafanya waone kuvuta bangi ni kitu halali… soma zaidi
Tagsπ wiki
Sababu mojawapo ni kuwa bangi hulimwa hapa nchini na
hivyo hupatikana kwa urahisi. Bangi huuzwa kwa bei
nafuu kuliko dawa nyingine za kulevya. Vilevile, vijana
wengi huwaona wakubwa wao wakitumia na hii huwafanya waone kuvuta bangi ni kitu halali… soma zaidi
Usiyoyajua kuhusu nyangumi
Tagsπ sayansinatekinolojia
JE WAJUA?????…….
Nyangumi ni aina ya samaki Na ndie mnyama mkubwa kuliko
wanyama wote wanaoishi majini…….
Sifa za NYANGUMI hizi hapa…..
1»> moyo Wa nyangumi unakadiriwa kuwa Na kilo 600
2»> mtoto Wa Nyangumi anauwezo Wa kunywa Maji Lita
400 kwa Sikh.. soma zaidi
Tagsπ sayansinatekinolojia
JE WAJUA?????…….
Nyangumi ni aina ya samaki Na ndie mnyama mkubwa kuliko
wanyama wote wanaoishi majini…….
Sifa za NYANGUMI hizi hapa…..
1»> moyo Wa nyangumi unakadiriwa kuwa Na kilo 600
2»> mtoto Wa Nyangumi anauwezo Wa kunywa Maji Lita
400 kwa Sikh.. soma zaidi
Jinsi ya kupata mtaji kwa ajili ya Biashara yako
Tagsπ uchumi
Njia hizo ni kama ifuatayo!!.. soma zaidi
Tagsπ uchumi
Njia hizo ni kama ifuatayo!!.. soma zaidi
Nani wa kulaumiwa kuhusu dawa za kulevya Tanzania, Serikali au wasambazaji na watumiaji?
Tagsπ wiki
Hakuna mtu wa kulaumiwa, lakini i i inabidi kila mtu awajibike. Kila mtu i inambidi afanye lolote lile lililo katika uwezo wake i ili kupunguza dawa za kulevya.
Serikali i i inabidi i i ihakikishe kwamba sheria zilizowekwa zinatekelezwa. Pia i inatakiwa kuwasaidia walio na matatizo ya kimwili na kisaikolojia ya matumizi ya dawa za kulevya kwa kutoa vifaa na huduma za kiafya kwao.
Ni kweli kwamba watu wanaojihusisha na biashara ya dawa za kulevya wanawasababishia watu wengine matatizo. Lakini kusingekuwa na usambazaji wake kama kusingekuwa na wahitaji. Hivyo basi mtumiaji anatakiwa awe na uamuzi wa kujali maisha na afya yake binafsi. Hii ndiyo sababu, watu hasa vijana wanatakiwa kuelimishwa kuhusu athari za dawa za kulevya… soma zaidi
Tagsπ wiki
Hakuna mtu wa kulaumiwa, lakini i i inabidi kila mtu awajibike. Kila mtu i inambidi afanye lolote lile lililo katika uwezo wake i ili kupunguza dawa za kulevya.
Serikali i i inabidi i i ihakikishe kwamba sheria zilizowekwa zinatekelezwa. Pia i inatakiwa kuwasaidia walio na matatizo ya kimwili na kisaikolojia ya matumizi ya dawa za kulevya kwa kutoa vifaa na huduma za kiafya kwao.
Ni kweli kwamba watu wanaojihusisha na biashara ya dawa za kulevya wanawasababishia watu wengine matatizo. Lakini kusingekuwa na usambazaji wake kama kusingekuwa na wahitaji. Hivyo basi mtumiaji anatakiwa awe na uamuzi wa kujali maisha na afya yake binafsi. Hii ndiyo sababu, watu hasa vijana wanatakiwa kuelimishwa kuhusu athari za dawa za kulevya… soma zaidi
Inatokeaje, katika baadhi ya mazingira baba anakataa kuwa mtoto si wake?
Tagsπ akimlaumu amekuwa ana anakataa anapomuona baadhi baba fulani inatokeaje katika kuwa kwamba mahusiano mama mazingira mtoto mzungu. na ngono ngozi nyeupe si wa wake wake? ya wiki
Katika mazingira fulani, baba anapomuona mtoto ana ngozi
nyeupe anakataa ya kwamba mtoto si wake akimlaumu mama wa
mtoto kuwa amekuwa na mahusiano ya ngono na mzungu. Huu
ni upuuzi kwa sababu kila mtu anajua kuwa watoto waliozaliwa
kutoka familia za watu weusi na wazungu siyo Albino kwa mfano
Rais wa Marekani Obama ni mtoto wa mama mzungu na baba
mweusi… soma zaidi
Tagsπ akimlaumu amekuwa ana anakataa anapomuona baadhi baba fulani inatokeaje katika kuwa kwamba mahusiano mama mazingira mtoto mzungu. na ngono ngozi nyeupe si wa wake wake? ya wiki
Katika mazingira fulani, baba anapomuona mtoto ana ngozi
nyeupe anakataa ya kwamba mtoto si wake akimlaumu mama wa
mtoto kuwa amekuwa na mahusiano ya ngono na mzungu. Huu
ni upuuzi kwa sababu kila mtu anajua kuwa watoto waliozaliwa
kutoka familia za watu weusi na wazungu siyo Albino kwa mfano
Rais wa Marekani Obama ni mtoto wa mama mzungu na baba
mweusi… soma zaidi
Dalili na matibabu ya tatizo la upungufu wa damu
Tagsπ afya mapishinalishe
Upungufu wa damu ni tatizo linalosababishwa na kupoteza damu nyingi, kupungua kwa uzalishaji wa chembe hai za da damu na uharibifu wa chembe za damu kutokana na matatizo na magonjwa mbali mbali seli mundu, ujauzito, hedhi nzito, kurithi, magonjwa sugu na Lishe duni yenye ukosefu wa madini ya folic, chuma na vitamini B12… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Upungufu wa damu ni tatizo linalosababishwa na kupoteza damu nyingi, kupungua kwa uzalishaji wa chembe hai za da damu na uharibifu wa chembe za damu kutokana na matatizo na magonjwa mbali mbali seli mundu, ujauzito, hedhi nzito, kurithi, magonjwa sugu na Lishe duni yenye ukosefu wa madini ya folic, chuma na vitamini B12… soma zaidi
Je, kuna matatizo yoyote kama mdomo wa msichana utagusana na shahawa?
Tagsπ wiki
Kama mpenzi wako hatakuwa na maambukizi ya magonjwa ya zinaa hakuna madhara ya kiafya. kama shahawa i itagusana na mdomo wa msichana. Lakini, wasichana wengi hawapendi kupokea shahawa mdomoni na wanasikia kukerwa kufanya hivyo… soma zaidi
Tagsπ wiki
Kama mpenzi wako hatakuwa na maambukizi ya magonjwa ya zinaa hakuna madhara ya kiafya. kama shahawa i itagusana na mdomo wa msichana. Lakini, wasichana wengi hawapendi kupokea shahawa mdomoni na wanasikia kukerwa kufanya hivyo… soma zaidi
Mapishi ya Tambi za sukari
Tagsπ mapishinalishe
Tambi (spaghetti 1/2 ya packet)
Mafuta (vegetable oil)
Sukari (sugar 1/2 kikombe cha chai)
Hiliki (cardamon 1/2 kijiko cha chai)
Chumvi (salt 1/2 kijiko cha chai)
Tui la nazi (coconut oil 1 kikombe cha chai)
Maji kiasi.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Tambi (spaghetti 1/2 ya packet)
Mafuta (vegetable oil)
Sukari (sugar 1/2 kikombe cha chai)
Hiliki (cardamon 1/2 kijiko cha chai)
Chumvi (salt 1/2 kijiko cha chai)
Tui la nazi (coconut oil 1 kikombe cha chai)
Maji kiasi.. soma zaidi
Mafanikio ya maisha sio Elimu tuu
Tagsπ uchumi
MAFANIKIO YA MAISHA SIO ELIMU TU, UTHUBUTU, KUJIAMINI NA UJASIRI WA MAAMUZI.. soma zaidi
Tagsπ uchumi
MAFANIKIO YA MAISHA SIO ELIMU TU, UTHUBUTU, KUJIAMINI NA UJASIRI WA MAAMUZI.. soma zaidi
FAHAMU NGUVU ZAKO ZA KUZALIWA
Tagsπ mahusiano
FAHAMU NGUVU ZAKO ZA KUZALIWA KWA UFUNUO WA ROHO MTAKATIFU
Kumb 33:1-9, Mwanzo 49:3-7, 1Kor 2:10
Kila mwanadamu aliyeumbwa na Mungu Aliye Hai, ameumbwa na nguvu maalumu kutoka mbinguni, ambayo ni mtaji wake maalumu; kiroho, kijamii na kiuchumi.
Mwanzo 49:3
Reubeni u mzaliwa wangu wa kwanza,nguvu zangu na malimbuko ya uwezo wangu. Umewapita wengine kwa ukuu na nguvu.
1. MZALIWA WA KWANZA KATIKA FAMILIA YOYOTE
i. Amebeba nguvu nyingi za familia.
ii. Amebeba Baraka za aina mbalimbali za wadogo zake.
iii. Amebeba nguvu ya upendo ndani ya familia.
iv. Mzaliwa wa kwanza ni lango, Zab 24:7-9, ambapo Baraka zote za familia kutoka mbinguni zinapitia kwake na kuwafikia wadogo zake wote.
v. Amebeba ustawi wa familia kiroho na kimwili… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
FAHAMU NGUVU ZAKO ZA KUZALIWA KWA UFUNUO WA ROHO MTAKATIFU
Kumb 33:1-9, Mwanzo 49:3-7, 1Kor 2:10
Kila mwanadamu aliyeumbwa na Mungu Aliye Hai, ameumbwa na nguvu maalumu kutoka mbinguni, ambayo ni mtaji wake maalumu; kiroho, kijamii na kiuchumi.
Mwanzo 49:3
Reubeni u mzaliwa wangu wa kwanza,nguvu zangu na malimbuko ya uwezo wangu. Umewapita wengine kwa ukuu na nguvu.
1. MZALIWA WA KWANZA KATIKA FAMILIA YOYOTE
i. Amebeba nguvu nyingi za familia.
ii. Amebeba Baraka za aina mbalimbali za wadogo zake.
iii. Amebeba nguvu ya upendo ndani ya familia.
iv. Mzaliwa wa kwanza ni lango, Zab 24:7-9, ambapo Baraka zote za familia kutoka mbinguni zinapitia kwake na kuwafikia wadogo zake wote.
v. Amebeba ustawi wa familia kiroho na kimwili… soma zaidi
Kwa nini watu wengine wanaamua kutoa mimba?
Tagsπ wiki
Hapa Tanzania utoaji wa mimba hauruhusiwi kisheria. Hata hivyo watu wengine wanaamua kutoa mimba kwa sababu mimba zao hazikutarajiwa. Kwa mfano, msichana mdogo ambaye bado anaenda shule, au mama ambaye tayari ana watoto wengi au umri mkubwa sana. Wanawake wengine wanaamua kutoa mimba kwa sababu wamepata mimba kutokana na kulazimishwa kufanya mapenzi au kubakwa, au kwa sababu baba wa mtoto anakataa kuchukua jukumu la kumlea mtoto. Hizi ni baadhi tu ya sababu za kutoa mimba, na kila mwanamke anayeamua kutoa mimba ana sababu zake.
Kwa sababu utoaji mimba hauruhusiwi, huduma za kutoa mimba hazipatikani kwa urahisi na wanawake wengi wanajiamulia kuitoa mimba wenyewe au kwa msaada wa mtu asiyesomea kufanya hivyo. Kama tulivyosema hapo juu, hii ni hatari sana kwa afya ya mwanamke… soma zaidi
Tagsπ wiki
Hapa Tanzania utoaji wa mimba hauruhusiwi kisheria. Hata hivyo watu wengine wanaamua kutoa mimba kwa sababu mimba zao hazikutarajiwa. Kwa mfano, msichana mdogo ambaye bado anaenda shule, au mama ambaye tayari ana watoto wengi au umri mkubwa sana. Wanawake wengine wanaamua kutoa mimba kwa sababu wamepata mimba kutokana na kulazimishwa kufanya mapenzi au kubakwa, au kwa sababu baba wa mtoto anakataa kuchukua jukumu la kumlea mtoto. Hizi ni baadhi tu ya sababu za kutoa mimba, na kila mwanamke anayeamua kutoa mimba ana sababu zake.
Kwa sababu utoaji mimba hauruhusiwi, huduma za kutoa mimba hazipatikani kwa urahisi na wanawake wengi wanajiamulia kuitoa mimba wenyewe au kwa msaada wa mtu asiyesomea kufanya hivyo. Kama tulivyosema hapo juu, hii ni hatari sana kwa afya ya mwanamke… soma zaidi
Nini matatizo ya watoto Albino shuleni?
Tagsπ akili albino darasani hawafanyi hawatengwi hawawezi hazina hitilafu huchukuliwa hujikuta ingawaje katika kufuatilia kusoma kuwa kuwakutanisha kuwawezesha kwa lazima maalumu madarasa mara masomo. matatizo mikakati mwao na ni nini nje nyingi pamoja sababu shughuli shuleni shuleni. shuleni? ubaoni. vikundi. vizuri wa wahakikishe wajinga walimu wameaachwa wanafamilia watambue watoto wawe wenzao ya za zao zinazojumuisha wiki
Ingawaje, akili zao hazina hitilafu watoto Albino mara nyingi
hawafanyi vizuri shuleni, na huchukuliwa kuwa ni wajinga kwa
sababu hawawezi kusoma vizuri ubaoni. Mara nyingi watoto
Albino hujikuta wameaachwa katika shughuli za nje, ya
madarasa zinazojumuisha wenzao shuleni.
Walimu lazima watambue watoto Albino darasani mwao na
wawe na mikakati maalumu wa kuwawezesha kufuatilia masomo.
Wanafamilia pamoja na walimu shuleni wahakikishe kuwa
Albino hawatengwi katika shughuli za vikundi. Kuwakutanisha
na Albino wenzao au na watu wenye Albino kwenye familia zao
na jamii kwa ujumla itawasaidia zaidi.
Watoto Albino wanajifunza kufidia upungufu walionao wa
kujithamini kwa kuweka jitihada katika masomo na shughuli
nyingine. Wana mwelekeo wa kushinda zaidi katika mambo
wanayojaribu. Watu weusi wengi wanaoishi na ualbino
wamefanikiwa kuwa mafundi wazuri, wanasheria, wakunge
wajasiriamali wataalamu wa kompyuta na hata maprofessa wa
vyuo vikuu… soma zaidi
Tagsπ akili albino darasani hawafanyi hawatengwi hawawezi hazina hitilafu huchukuliwa hujikuta ingawaje katika kufuatilia kusoma kuwa kuwakutanisha kuwawezesha kwa lazima maalumu madarasa mara masomo. matatizo mikakati mwao na ni nini nje nyingi pamoja sababu shughuli shuleni shuleni. shuleni? ubaoni. vikundi. vizuri wa wahakikishe wajinga walimu wameaachwa wanafamilia watambue watoto wawe wenzao ya za zao zinazojumuisha wiki
Ingawaje, akili zao hazina hitilafu watoto Albino mara nyingi
hawafanyi vizuri shuleni, na huchukuliwa kuwa ni wajinga kwa
sababu hawawezi kusoma vizuri ubaoni. Mara nyingi watoto
Albino hujikuta wameaachwa katika shughuli za nje, ya
madarasa zinazojumuisha wenzao shuleni.
Walimu lazima watambue watoto Albino darasani mwao na
wawe na mikakati maalumu wa kuwawezesha kufuatilia masomo.
Wanafamilia pamoja na walimu shuleni wahakikishe kuwa
Albino hawatengwi katika shughuli za vikundi. Kuwakutanisha
na Albino wenzao au na watu wenye Albino kwenye familia zao
na jamii kwa ujumla itawasaidia zaidi.
Watoto Albino wanajifunza kufidia upungufu walionao wa
kujithamini kwa kuweka jitihada katika masomo na shughuli
nyingine. Wana mwelekeo wa kushinda zaidi katika mambo
wanayojaribu. Watu weusi wengi wanaoishi na ualbino
wamefanikiwa kuwa mafundi wazuri, wanasheria, wakunge
wajasiriamali wataalamu wa kompyuta na hata maprofessa wa
vyuo vikuu… soma zaidi
Mapishi ya Wali Wa Karoti Na Kuku Wa Kukaanga
Tagsπ mapishinalishe
Mchele wa Basmati/Pishori - 1 kilo moja.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mchele wa Basmati/Pishori - 1 kilo moja.. soma zaidi
Kisa kilichombadilisha mume tabia
Tagsπ hadithi
Mume alirejea nyumbani na kukuta ujumbe juu ya meza umeandikwa "NIMEONDOKA" ilikuwa jioni, alienda jikoni na kukuta kukavu, aliwaita watoto na kuwauliza wakasema walimuona Mama akiondoka na begi lakini hakuwaambia anaenda wapi. Mume alichanganyikiwa, alijaribu kuchukua simu kumpigia lakini ilikuwa haipatikani, kabla hajafanya chochote mtoto wao wa mwaka mmoja alikuja akilia na kusema ana njaaa… soma zaidi
Tagsπ hadithi
Mume alirejea nyumbani na kukuta ujumbe juu ya meza umeandikwa "NIMEONDOKA" ilikuwa jioni, alienda jikoni na kukuta kukavu, aliwaita watoto na kuwauliza wakasema walimuona Mama akiondoka na begi lakini hakuwaambia anaenda wapi. Mume alichanganyikiwa, alijaribu kuchukua simu kumpigia lakini ilikuwa haipatikani, kabla hajafanya chochote mtoto wao wa mwaka mmoja alikuja akilia na kusema ana njaaa… soma zaidi
Mapishi ya Haliym Ya Nyama Mbuzi -Bokoboko La Pakistan
Tagsπ mapishinalishe
Nyama ya mbuzi au ngβombe ya mafupa - 2 LB.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Nyama ya mbuzi au ngβombe ya mafupa - 2 LB.. soma zaidi
Mapishi mazuri ya Chapati za maji
Tagsπ mapishinalishe
Unga wa ngano (plain flour) ( 1/4 kilo)
Yai (egg 1)
Sukari (sugar 1/4 kikombe cha chai)
Chumvi (salt 1/4 kijiko cha chai)
Hiliki (ground cardamon 1/4 kijiko cha chai)
Maji kiasi
Mafuta (vegetable oil).. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Unga wa ngano (plain flour) ( 1/4 kilo)
Yai (egg 1)
Sukari (sugar 1/4 kikombe cha chai)
Chumvi (salt 1/4 kijiko cha chai)
Hiliki (ground cardamon 1/4 kijiko cha chai)
Maji kiasi
Mafuta (vegetable oil).. soma zaidi
Mapishi ya Wali Wa Karoti Na Kuku Wa Kukaanga
Tagsπ mapishinalishe
Mchele wa Basmati/Pishori - 1 kilo moja.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mchele wa Basmati/Pishori - 1 kilo moja.. soma zaidi
Mapishi ya Maharage na spinach
Tagsπ mapishinalishe
Maharage yaliyochemshwa kiasi
Spinach zilizokatwa kiasi
Vitunguu maji 2
Nyanya 1/2 kopo
Swaum/Tangawizi 1 kijiko cha chakula
Curry powder 1 kijiko cha chai
Olive oil
Chumvi.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Maharage yaliyochemshwa kiasi
Spinach zilizokatwa kiasi
Vitunguu maji 2
Nyanya 1/2 kopo
Swaum/Tangawizi 1 kijiko cha chakula
Curry powder 1 kijiko cha chai
Olive oil
Chumvi.. soma zaidi
Nani wa kulaumiwa kuhusu dawa za kulevya Tanzania, Serikali au wasambazaji na watumiaji?
Tagsπ wiki
Hakuna mtu wa kulaumiwa, lakini i i inabidi kila mtu awajibike. Kila mtu i inambidi afanye lolote lile lililo katika uwezo wake i ili kupunguza dawa za kulevya.
Serikali i i inabidi i i ihakikishe kwamba sheria zilizowekwa zinatekelezwa. Pia i inatakiwa kuwasaidia walio na matatizo ya kimwili na kisaikolojia ya matumizi ya dawa za kulevya kwa kutoa vifaa na huduma za kiafya kwao.
Ni kweli kwamba watu wanaojihusisha na biashara ya dawa za kulevya wanawasababishia watu wengine matatizo. Lakini kusingekuwa na usambazaji wake kama kusingekuwa na wahitaji. Hivyo basi mtumiaji anatakiwa awe na uamuzi wa kujali maisha na afya yake binafsi. Hii ndiyo sababu, watu hasa vijana wanatakiwa kuelimishwa kuhusu athari za dawa za kulevya… soma zaidi
Tagsπ wiki
Hakuna mtu wa kulaumiwa, lakini i i inabidi kila mtu awajibike. Kila mtu i inambidi afanye lolote lile lililo katika uwezo wake i ili kupunguza dawa za kulevya.
Serikali i i inabidi i i ihakikishe kwamba sheria zilizowekwa zinatekelezwa. Pia i inatakiwa kuwasaidia walio na matatizo ya kimwili na kisaikolojia ya matumizi ya dawa za kulevya kwa kutoa vifaa na huduma za kiafya kwao.
Ni kweli kwamba watu wanaojihusisha na biashara ya dawa za kulevya wanawasababishia watu wengine matatizo. Lakini kusingekuwa na usambazaji wake kama kusingekuwa na wahitaji. Hivyo basi mtumiaji anatakiwa awe na uamuzi wa kujali maisha na afya yake binafsi. Hii ndiyo sababu, watu hasa vijana wanatakiwa kuelimishwa kuhusu athari za dawa za kulevya… soma zaidi
Jinsi ya kupata Mpenzi wa Kweli
Tagsπ mahusiano
Ni vibaya pia kwa mwanaume wako kusema anaupenda mchezo fulani kama anavyokupenda! Au ukiwa na msongo wa mawazo, usinase kwenye mtego wa mapenzi kwa kudhani unaweza kuwa tiba. Ni vizuri zaidi kutafuta mwanaume ambaye hahitaji utabibu… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Ni vibaya pia kwa mwanaume wako kusema anaupenda mchezo fulani kama anavyokupenda! Au ukiwa na msongo wa mawazo, usinase kwenye mtego wa mapenzi kwa kudhani unaweza kuwa tiba. Ni vizuri zaidi kutafuta mwanaume ambaye hahitaji utabibu… soma zaidi
Jinsi ya kupika Vileja Vya Tambi
Tagsπ mapishinalishe
Tambi (vermiceli Roasted) Mifuko 2.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Tambi (vermiceli Roasted) Mifuko 2.. soma zaidi
Je, watu wanaoishi na ualbino wanafanana wote?
Tagsπ aina albino cha hapana. hawafanani hawana hizi je kabisa kiasi kidogo kufuatana kwa mbalimbali melanini na nacho; tu. ualbino ualbino. walicho wamegundua wanafanana wanaoishi wanasayansi wanatofautiana wanayo watu wengine wote wote? za wiki
Hapana. Albino wote hawafanani, wanatofautiana kufuatana na
kiasi cha melanini walicho nacho; wengine hawana kabisa na
wengine wanayo kwa kiasi kidogo tu. Wanasayansi wamegundua
aina mbalimbali za ualbino. Kufuatana na aina hizi za ualbino.. soma zaidi
Tagsπ aina albino cha hapana. hawafanani hawana hizi je kabisa kiasi kidogo kufuatana kwa mbalimbali melanini na nacho; tu. ualbino ualbino. walicho wamegundua wanafanana wanaoishi wanasayansi wanatofautiana wanayo watu wengine wote wote? za wiki
Hapana. Albino wote hawafanani, wanatofautiana kufuatana na
kiasi cha melanini walicho nacho; wengine hawana kabisa na
wengine wanayo kwa kiasi kidogo tu. Wanasayansi wamegundua
aina mbalimbali za ualbino. Kufuatana na aina hizi za ualbino.. soma zaidi
Mapishi ya Kidheri - Makande
Tagsπ mapishinalishe
Nyama (kata vipande vidogodogo) - Β½ kilo.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Nyama (kata vipande vidogodogo) - Β½ kilo.. soma zaidi
Kutengeneza jiko la udongo
Tagsπ cha jiko kipande kutengeneza la mchanga metali/chuma mfinyanzi mgomba shina stoveβ tagi: udongo vifaa vya wa βrocket wiki
Kutengeneza Jiko la Udongo Mfinyanzi
βRocket Stoveβ.. soma zaidi
Tagsπ cha jiko kipande kutengeneza la mchanga metali/chuma mfinyanzi mgomba shina stoveβ tagi: udongo vifaa vya wa βrocket wiki
Kutengeneza Jiko la Udongo Mfinyanzi
βRocket Stoveβ.. soma zaidi
Jinsi ya kutengeneza Biskuti Za Tende Na Ufuta
Tagsπ mapishinalishe
Unga - 3 Vikombe vya chai.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Unga - 3 Vikombe vya chai.. soma zaidi
Watu wanaamini kuwa Albino wana joto katika mapenzi kuliko watu weusi, Je, hiyo ni kweli?
Tagsπ albino hiyo je joto katika kuliko kuwa kweli? mapenzi ni wana wanaamini watu weusi wiki
Hii siyo kweli,
tofauti
baina ya Albino
na mtu a s i
ekuwa na ualbino
i m e e l e z w a
hapo mwanzoni
ambapo tofauti
ipo tu kwenye
muonekano wa
rangi ya ngozi,
nywele n a macho. Mifumo yao yote mingine ya mwili iko sawa na watu
wasio na ualbino.
Watu wanaweza tu kuanzisha uvumi kama huo popote pale.
Ipo pia mifano kama: Wajerumani wanaamini kuwa Wafaransa
wana joto katika mapenzi, Wazungu pia huamini kuwa Waafrika
wana joto n.k. Hizo ni hisia tu na siyo ukweli. Katika jamii wapo
watu ambao wanapenda kufanya ngono sana, wapo wa wastani
na wapo wale ambao hawajisikii msukumo wa kujamiiana. Uvumi
huu unatokana na mawazo ya kifikra na siyo ukweli halisi… soma zaidi
Tagsπ albino hiyo je joto katika kuliko kuwa kweli? mapenzi ni wana wanaamini watu weusi wiki
Hii siyo kweli,
tofauti
baina ya Albino
na mtu a s i
ekuwa na ualbino
i m e e l e z w a
hapo mwanzoni
ambapo tofauti
ipo tu kwenye
muonekano wa
rangi ya ngozi,
nywele n a macho. Mifumo yao yote mingine ya mwili iko sawa na watu
wasio na ualbino.
Watu wanaweza tu kuanzisha uvumi kama huo popote pale.
Ipo pia mifano kama: Wajerumani wanaamini kuwa Wafaransa
wana joto katika mapenzi, Wazungu pia huamini kuwa Waafrika
wana joto n.k. Hizo ni hisia tu na siyo ukweli. Katika jamii wapo
watu ambao wanapenda kufanya ngono sana, wapo wa wastani
na wapo wale ambao hawajisikii msukumo wa kujamiiana. Uvumi
huu unatokana na mawazo ya kifikra na siyo ukweli halisi… soma zaidi
Jinsi ya kupika Biskuti Za Kopa Za Kunyunyuziwa Sukari Za Rangi
Tagsπ mapishinalishe
Unga vikombe 2 ΒΌ.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Unga vikombe 2 ΒΌ.. soma zaidi
Nitafanya nini kuzuia dawa za kulevya na jinsi gani nitaepukana na marafiki wabaya?
Tagsπ wiki
Wakati mwingine ni vigumu kusema hapana ukiwa na
maana ya hapana. Jaribu kuwa mpole na usiwe mgomvi.
Jaribu kueleza sababu zako kwa upole na uwaeleze rafiki zako kile unachokijua na nini unachofanya. Hivyo utapata heshima kutoka kwa wanarika wenzako na rafiki zako. Kama vijana wenzako watakushawishi utumie dawa za kulevya wakati wewe hutaki, wanaweza kuwa marafiki wabaya. Kumbuka kwamba rafiki ni mtu ambaye anajali, analinda na kuthamini maisha ya rafiki yake. Kwa maana hiyo, kwa nini mtu anayekushawishi kwa makusudi kufanya kitu chenye madhara kwa afya yako awe rafiki wa kweli?!.. soma zaidi
Tagsπ wiki
Wakati mwingine ni vigumu kusema hapana ukiwa na
maana ya hapana. Jaribu kuwa mpole na usiwe mgomvi.
Jaribu kueleza sababu zako kwa upole na uwaeleze rafiki zako kile unachokijua na nini unachofanya. Hivyo utapata heshima kutoka kwa wanarika wenzako na rafiki zako. Kama vijana wenzako watakushawishi utumie dawa za kulevya wakati wewe hutaki, wanaweza kuwa marafiki wabaya. Kumbuka kwamba rafiki ni mtu ambaye anajali, analinda na kuthamini maisha ya rafiki yake. Kwa maana hiyo, kwa nini mtu anayekushawishi kwa makusudi kufanya kitu chenye madhara kwa afya yako awe rafiki wa kweli?!.. soma zaidi
Wanawake wavumilivu jamani
Tagsπ mahusiano
KUNA WANAWAKE WAVUMILIVU HUKU DUNIANI MFANO HAKUNA…… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
KUNA WANAWAKE WAVUMILIVU HUKU DUNIANI MFANO HAKUNA…… soma zaidi
Unapotaka kunyunyiza mbolea ya maji shambani zingatia mambo haya ya muhimu
Tagsπ kilimonaufugaji
Ili upate matokeo mazuri wakati wa kunyunyiza mbolea ya maji unatakiwa kufuata vigezo vifuatavyo:
β’ Inashauriwa kutumia mbolea iliyochanganywa vizuri ili kuepukana na kuunguza mimea.
β’ Unatakiwa kutingisha vizuri mbolea yako ya maji kabla ya kunyunyiza. Chembechembe ndogo ambazo hazikuyeyuka zinaweza kuziba mdomo wa bomba la kunyunyizia.
β’ Matokeo mazuri yanaweza kupatikana endapo mbolea imechanganywa vizuri na kunyunyiziwa wakati hakuna upepo.
β’ Unatakiwa kunyunyizia mbolea wakati wa asubuhi au jioni wakati hakuna joto na upepo ukiwa umepungua… soma zaidi
Tagsπ kilimonaufugaji
Ili upate matokeo mazuri wakati wa kunyunyiza mbolea ya maji unatakiwa kufuata vigezo vifuatavyo:
β’ Inashauriwa kutumia mbolea iliyochanganywa vizuri ili kuepukana na kuunguza mimea.
β’ Unatakiwa kutingisha vizuri mbolea yako ya maji kabla ya kunyunyiza. Chembechembe ndogo ambazo hazikuyeyuka zinaweza kuziba mdomo wa bomba la kunyunyizia.
β’ Matokeo mazuri yanaweza kupatikana endapo mbolea imechanganywa vizuri na kunyunyiziwa wakati hakuna upepo.
β’ Unatakiwa kunyunyizia mbolea wakati wa asubuhi au jioni wakati hakuna joto na upepo ukiwa umepungua… soma zaidi
Vitu ambavyo mama mjamzito hapaswi kutumia
Tagsπ afya mapishinalishe
Vipo vitu mbalimbali ambavyo mama mjamzito hapaswi kuvitumia wakati wa ujauzito kwani vina athari kubwa sana kwake yeye mwenyewe pamoja na mwanaye aliye tumboni… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Vipo vitu mbalimbali ambavyo mama mjamzito hapaswi kuvitumia wakati wa ujauzito kwani vina athari kubwa sana kwake yeye mwenyewe pamoja na mwanaye aliye tumboni… soma zaidi
Haki zinazokiukwa iwapo mvulana au msichana wamelazimishwa kuoa au kuolewa
Tagsπ ama anavyopenda au binafsi familia haki hata hilo. huwa imegeukwa. iwapo jambo juu kama kuanzisha kuchagua kuishi. kumchukulia kumlazimisha kuoa kuolewa lini maamuzi msichana mtoto mtu mvulana mwenyewe na nani ni rafiki uhuru unaoa wa wamelazimishwa wanakushauri wazazi wewe ya yako zinazokiukwa wiki
Nani na lini unaoa ni maamuzi yako binafsi wewe mwenyewe,
hata kama rafiki na wazazi wanakushauri juu ya jambo hilo.
Kumlazimisha mtoto kuoa au kuolewa ni kumchukulia mtu uhuru
wa anavyopenda kuishi. Haki ya kuchagua kuoa, ama kuolewa
au kuanzisha familia yako huwa imegeukwa. Haki hii ni sehemu
ya makubaliano ya kimataifa na sehemu ya programu na hatua
ya Umoja wa Mataifa tangu mkutano wa Cairo 1994. Sheria
ya ndoa, Tanzania13 inasisitiza kwamba hakuna ndoa halali,
isipokuwa ipate ridhaa na iwe ya uhuru na hiari kutoka pande
zote za wanaokusudia kuoana. Ndoa yoyote ambapo pande
zimehusika hazikubaliani ndoa hiyo si halali… soma zaidi
Tagsπ ama anavyopenda au binafsi familia haki hata hilo. huwa imegeukwa. iwapo jambo juu kama kuanzisha kuchagua kuishi. kumchukulia kumlazimisha kuoa kuolewa lini maamuzi msichana mtoto mtu mvulana mwenyewe na nani ni rafiki uhuru unaoa wa wamelazimishwa wanakushauri wazazi wewe ya yako zinazokiukwa wiki
Nani na lini unaoa ni maamuzi yako binafsi wewe mwenyewe,
hata kama rafiki na wazazi wanakushauri juu ya jambo hilo.
Kumlazimisha mtoto kuoa au kuolewa ni kumchukulia mtu uhuru
wa anavyopenda kuishi. Haki ya kuchagua kuoa, ama kuolewa
au kuanzisha familia yako huwa imegeukwa. Haki hii ni sehemu
ya makubaliano ya kimataifa na sehemu ya programu na hatua
ya Umoja wa Mataifa tangu mkutano wa Cairo 1994. Sheria
ya ndoa, Tanzania13 inasisitiza kwamba hakuna ndoa halali,
isipokuwa ipate ridhaa na iwe ya uhuru na hiari kutoka pande
zote za wanaokusudia kuoana. Ndoa yoyote ambapo pande
zimehusika hazikubaliani ndoa hiyo si halali… soma zaidi
Jinsi ya kufuga kondoo.
Tagsπ babati bei bora eneo ester hapa hasa idadi iko ilikaribiana imeongezeka imepungua jinsi jumla juu. kigeni kondoo kondoo. kondoo.β kote. kufuga kuwa kwa letu maelezo mbuzi mkm msomaji na namna naomba nchini nyuma qwang raia sana sawa siku tagi: tanzania ufugaji wa wafugaji wakati wanaofugwa wanohitaji ya za β βkatika wiki
βKatika eneo letu, idadi ya wafugaji wa kondoo imepungua sana, wakati idadi ya wanohitaji imeongezeka hasa raia wa kigeni, na bei iko juu. Naomba maelezo namna ya ufugaji bora wa kondoo.β β Ester Qwang, msomaji wa MkM,Babati
Tagsπ babati bei bora eneo ester hapa hasa idadi iko ilikaribiana imeongezeka imepungua jinsi jumla juu. kigeni kondoo kondoo. kondoo.β kote. kufuga kuwa kwa letu maelezo mbuzi mkm msomaji na namna naomba nchini nyuma qwang raia sana sawa siku tagi: tanzania ufugaji wa wafugaji wakati wanaofugwa wanohitaji ya za β βkatika wiki
βKatika eneo letu, idadi ya wafugaji wa kondoo imepungua sana, wakati idadi ya wanohitaji imeongezeka hasa raia wa kigeni, na bei iko juu. Naomba maelezo namna ya ufugaji bora wa kondoo.β β Ester Qwang, msomaji wa MkM,Babati
Kwa siku za nyuma, jumla ya idadi ya kondoo wanaofugwa hapa nchini Tanzania ilikaribiana kuwa sawa na idadi ya mbuzi nchini kote. Kwa sasa, idadi ya kondoo imepungua kwa kiasi kikubwa ukilinganisha na idadi ya mbuzi. Hii imetokana na wafugaji kuhamishia mapenzi yao kwenye ufugaji wa mbuzi… soma zaidi
madhara ya pombe kwa mama mjamzito
Tagsπ wiki
Na Liberatha Ruhikula: POMBE ni kinywaji kinachotumiwa na watu wa jinsia mbalimbali huku kinywaji hicho kikizuiliwa kuuzwa na kutumiwa kwa watoto chini ya miaka 18.
Kinywaji hiki kina madhara makubwa sana endapo kitatumiwa kwa wingi au kitatumiwa na mtu asiyestahili akiwemo mama mjamazito… soma zaidi
Tagsπ wiki
Na Liberatha Ruhikula: POMBE ni kinywaji kinachotumiwa na watu wa jinsia mbalimbali huku kinywaji hicho kikizuiliwa kuuzwa na kutumiwa kwa watoto chini ya miaka 18.
Kinywaji hiki kina madhara makubwa sana endapo kitatumiwa kwa wingi au kitatumiwa na mtu asiyestahili akiwemo mama mjamazito… soma zaidi
UKWELI KUHUSU MSHAHARA
Tagsπ uchumi
1. Epuka kugeuza mshahara wako kuwa mali ya ukoo. Kamwe mshahara wako siyo mali ya ukoo. Siku utakapoacha kuufanya mshahara wako mali ya ukoo ndipo siku mshahara huo utakuwa mkubwa! Hapo ndipo mshahara utatosha… soma zaidi
Tagsπ uchumi
1. Epuka kugeuza mshahara wako kuwa mali ya ukoo. Kamwe mshahara wako siyo mali ya ukoo. Siku utakapoacha kuufanya mshahara wako mali ya ukoo ndipo siku mshahara huo utakuwa mkubwa! Hapo ndipo mshahara utatosha… soma zaidi
Mambo 5 ambayo wanawake wanatamani mwanaume ajue wakati wa kufanya mapenzi
Tagsπ mahusiano
Hivi ni baadhi ya vitu ambavyo wanawake hutamani sana wanaume zao wawe wanajua katika mapenzi, ili wasipate shida ya kumwambia mara kwa mara, jambo ambalo si wanawake wengi huwa uwezo wa kumwambia mtu, hapo ndipo unakuta mara nyingi mwanamke anaanza kuchepuka na kwenda kwa mtu mwingine wa kawaida tu kupata mahitaji yake baada ya kuona kile anachokitaka hakipati kwa mpenzi wake.
Tagsπ mahusiano
Hivi ni baadhi ya vitu ambavyo wanawake hutamani sana wanaume zao wawe wanajua katika mapenzi, ili wasipate shida ya kumwambia mara kwa mara, jambo ambalo si wanawake wengi huwa uwezo wa kumwambia mtu, hapo ndipo unakuta mara nyingi mwanamke anaanza kuchepuka na kwenda kwa mtu mwingine wa kawaida tu kupata mahitaji yake baada ya kuona kile anachokitaka hakipati kwa mpenzi wake.
The ListPages module does not work recursively.
.. soma zaidi
MSONGO WA MAWAZO NA MFADHAIKO WA AKILI KWA MSICHANA
Tagsπ akili akili. au hali hatari hukabiliwa ili ilivyo kama kawaida kukabiliana kuvikwepa. kwa maisha mawazo mfadhaiko msichana msongo mwili mwitikio na ngumu.. ni pia rahisi sehemu siyo tagi: wa wasichana watu wengine ya wiki
Wasichana pia kama ilivyo kwa watu wengine, hukabiliwa na msongo wa mawazo na mfadhaiko wa akili. Msongo na mfadhaiko ni sehemu ya maisha na siyo rahisi kuvikwepa. Msongo wa mawazo ni mwitikio wa akili na mwili ili kukabiliana na hali ya hatari au hali ngumu..
Kwa kawaida msongo wa mawazo na mfadhaiko wa akili hutokana na tafsiri hasi ya akili ya mtu kwa jambo lolote linapompata au analowazia kuwa litampata. Kwa wasichana wa kizazi kipya vyanzo vya msongo na mfadhaiko wa akili vinaongezeka.
Wanafunzi wanaposhinikizwa sana kufaulu masomo hutumia muda mwingi kukaza sana fikra zao juu ya kazi za shule na kukosa usingizi wa kutosha. Mlundikano wa masomo mengi na kazi nyigi za kimasomo kama maandalizi ya wanafunzi kufaulu mitihani na kujitayarisha kwa ajili ya kupata kazi katika ulimwengu usio na ajira za kutosha, huongeza shinikizo, msongo na mfadhaiko kwa wasichana… soma zaidi
Tagsπ akili akili. au hali hatari hukabiliwa ili ilivyo kama kawaida kukabiliana kuvikwepa. kwa maisha mawazo mfadhaiko msichana msongo mwili mwitikio na ngumu.. ni pia rahisi sehemu siyo tagi: wa wasichana watu wengine ya wiki
Wasichana pia kama ilivyo kwa watu wengine, hukabiliwa na msongo wa mawazo na mfadhaiko wa akili. Msongo na mfadhaiko ni sehemu ya maisha na siyo rahisi kuvikwepa. Msongo wa mawazo ni mwitikio wa akili na mwili ili kukabiliana na hali ya hatari au hali ngumu..
Kwa kawaida msongo wa mawazo na mfadhaiko wa akili hutokana na tafsiri hasi ya akili ya mtu kwa jambo lolote linapompata au analowazia kuwa litampata. Kwa wasichana wa kizazi kipya vyanzo vya msongo na mfadhaiko wa akili vinaongezeka.
Wanafunzi wanaposhinikizwa sana kufaulu masomo hutumia muda mwingi kukaza sana fikra zao juu ya kazi za shule na kukosa usingizi wa kutosha. Mlundikano wa masomo mengi na kazi nyigi za kimasomo kama maandalizi ya wanafunzi kufaulu mitihani na kujitayarisha kwa ajili ya kupata kazi katika ulimwengu usio na ajira za kutosha, huongeza shinikizo, msongo na mfadhaiko kwa wasichana… soma zaidi
Jinsi msongo wa mawazo unavyoweza kukusababishia ugonjwa wa moyo
Tagsπ afya mapishinalishe
Kila mmoja wetu anaweza kuwa na sababu tofauti inayoweza kumsababishia msongo (stress). Sababu kubwa ambazo husababisha msongo ni masuala ya kazi hata pia masuala ya kijamii. Masuala ya kikazi ni kama kutokuwa na furaha kazini, kazi nyingi, kufanya kazi kwa masaa mengi, kutokuwa na mipangilio bora, kutokujiwekea malengo na mengine mengi… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Kila mmoja wetu anaweza kuwa na sababu tofauti inayoweza kumsababishia msongo (stress). Sababu kubwa ambazo husababisha msongo ni masuala ya kazi hata pia masuala ya kijamii. Masuala ya kikazi ni kama kutokuwa na furaha kazini, kazi nyingi, kufanya kazi kwa masaa mengi, kutokuwa na mipangilio bora, kutokujiwekea malengo na mengine mengi… soma zaidi
Unajifunza nini hapa?
Tagsπ mahusiano
Wanandoa walizoea kudanganyana. Siku moja mke alilala nje aliporudi nyumbani mmewe akamuuliza ulilala wapi. Mke akasema alilala kwa rafiki yake wa kike. Mme akawapigia simu marafiki 10 wa mke wake na wote wakasema hakulala kwao… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Wanandoa walizoea kudanganyana. Siku moja mke alilala nje aliporudi nyumbani mmewe akamuuliza ulilala wapi. Mke akasema alilala kwa rafiki yake wa kike. Mme akawapigia simu marafiki 10 wa mke wake na wote wakasema hakulala kwao… soma zaidi
Faida 10 za kulala mapema kiafya
Tagsπ afya mapishinalishe
Mapera ni matunda yanayo patikana kwa wingi lakini mara nyingi huwa hayapendelewi sana kutokana na ugumu wake wakati wa kuyatafuna pamoja na kuwa na mbegu mbegu nyingi. Hata hivyo matunda haya yana faida kubwa sana kwa afya ya mwili wa mwanadamu… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Mapera ni matunda yanayo patikana kwa wingi lakini mara nyingi huwa hayapendelewi sana kutokana na ugumu wake wakati wa kuyatafuna pamoja na kuwa na mbegu mbegu nyingi. Hata hivyo matunda haya yana faida kubwa sana kwa afya ya mwili wa mwanadamu… soma zaidi
Faida ya kunywa maji yenye limao au ndimu kila siku
Tagsπ afya mapishinalishe
Watalam mbalimbali wa afya wanasema ya kwamba kwa kila siku ni vyema unywe maji ya ndimu ili uweze kujitibu magonjwa yafuatayo;.. soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Watalam mbalimbali wa afya wanasema ya kwamba kwa kila siku ni vyema unywe maji ya ndimu ili uweze kujitibu magonjwa yafuatayo;.. soma zaidi
Namna ya kuondokana na tatizo la kunuka Kikwapa
Tagsπ afya mapishinalishe
Harafu ya jasho inakera, kibaya zaidi ni kuwa wewe mwenyewe husikii harufu hiyo ila wale walio karibu yako. Kwa upande mwingine kujaribu kuzuia kutoka jasho ni hatari kwa afya yako na kujaribu kuondoa harufu kwa kutumia pafyumu husababisha madhara mengine ya kiafya na kwa bahati mbaya perfume zina jaribu poteza harufu kwa mda mfupi tu na sio kutokomeza tatizo hilo… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Harafu ya jasho inakera, kibaya zaidi ni kuwa wewe mwenyewe husikii harufu hiyo ila wale walio karibu yako. Kwa upande mwingine kujaribu kuzuia kutoka jasho ni hatari kwa afya yako na kujaribu kuondoa harufu kwa kutumia pafyumu husababisha madhara mengine ya kiafya na kwa bahati mbaya perfume zina jaribu poteza harufu kwa mda mfupi tu na sio kutokomeza tatizo hilo… soma zaidi
Faida 6 za kula karoti kiafya
Tagsπ afya mapishinalishe
Asilimia kubwa tunapenda kutumia karoti katika kuunga katika mboga ya nyama na si kuila karoti kama karoti. wataalamu wanashauri ili uwe na afya bora unatakiwa ule karoti sita kwa wiki au moja kwa siku. Unaweza kula karoti ya kuchemshaa,juisi au mbichi… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Asilimia kubwa tunapenda kutumia karoti katika kuunga katika mboga ya nyama na si kuila karoti kama karoti. wataalamu wanashauri ili uwe na afya bora unatakiwa ule karoti sita kwa wiki au moja kwa siku. Unaweza kula karoti ya kuchemshaa,juisi au mbichi… soma zaidi
Jinsi ya kutengeneza Fagi Ya Kumumunyuka Mdomoni
Tagsπ mapishinalishe
Maziwa mazito matamu (condensed milk) - 2 vibati.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Maziwa mazito matamu (condensed milk) - 2 vibati.. soma zaidi
Ni dawa zipi zilizopigwa marufuku Tanzania na nini hutokea pale mwingizaji anapokamatwa?
Tagsπ wiki
Hapa Tanzania matumizi, umilikaji, usafirishaji na kuhusika katika dawa za kulevya kama vile bangi, hiroini, kokaini na mirungi yamepigwa marufuku. Hii ni pamoja na dawa ambazo zimethibitishwa na daktari kuwa zisitumike kwa matibabu. Kwa Tanzania βgongoβpia ni haramu.
Polisi akimkamata mtu anayekwenda kinyume na sheria, humpeleka mtu huyo mbele ya vyombo vya sheria na atahukumiwa ikithibitika kuwa ana hatia. Sheria i inatoa adhabu kali kwa makosa yanayohusiana na dawa za kulevya. Faini ya shilingi milioni 10 za Kitanzania au kifungo cha maisha au vyote kwa pamoja… soma zaidi
Tagsπ wiki
Hapa Tanzania matumizi, umilikaji, usafirishaji na kuhusika katika dawa za kulevya kama vile bangi, hiroini, kokaini na mirungi yamepigwa marufuku. Hii ni pamoja na dawa ambazo zimethibitishwa na daktari kuwa zisitumike kwa matibabu. Kwa Tanzania βgongoβpia ni haramu.
Polisi akimkamata mtu anayekwenda kinyume na sheria, humpeleka mtu huyo mbele ya vyombo vya sheria na atahukumiwa ikithibitika kuwa ana hatia. Sheria i inatoa adhabu kali kwa makosa yanayohusiana na dawa za kulevya. Faini ya shilingi milioni 10 za Kitanzania au kifungo cha maisha au vyote kwa pamoja… soma zaidi