VIDEOS-ZA-VICHEKESHO
By, Melkisedeck Shine.
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Paka kasema sikubali! Angalia alichomfanyia huyu mtoto, πAngalia video hapa
Tags π maajabu mapishi. Category πvideos,: maajabu mapishi, Mapishi ya nyama ya chap chap, πAngalia video hapa
Tags π ajali gari maajabu. Category πvideos,: ajali gari maajabu, Ukisikia watu wenye bahati ndio hawa, wameponea chupu chupu, πAngalia video hapa
Tags π maajabu. Category πvideos,: maajabu, Angalia kinachotokea hapa, huto amini, πAngalia video hapa
Tags π maajabu. Category πvideos,: maajabu, Huyu anajua kulenga Ile mbaya, unaweza hii?, πAngalia video hapa
Tags π maajabu vichekesho. Category πvideos,: maajabu vichekesho, Hawa majamaa walijua ni utani kumbe kweli ni wameona mzimu, πAngalia video hapa
Tags π kondoo vichekesho. Category πvideos,: kondoo vichekesho, Cheki huyu kondoo dume anachokifanya sasa, mbabe kweli, πAngalia video hapa
Tags π changamoto maajabu mapishi. Category πvideos,: changamoto maajabu mapishi, Angalia anachofanya huyu, Wewe unaweza?, πAngalia video hapa
Tags π maajabu michezo. Category πvideos,: maajabu michezo, Kipaji ni kipaji tuu, huyu japo kilema lakini mtaalamu wa mpira, πAngalia video hapa
Tags π ajali gari. Category πvideos,: ajali gari, Angalia hili gari lilivyopata ajali kiajabu, πAngalia video hapa
Tags π maajabu mbuni wanyama. Category πvideos,: maajabu mbuni wanyama, Kama unaona ni ngumu kuchinja kuku cheki wenzio wanavyochinja mbuni, πAngalia video hapa
Tags π wanyama. Category πvideos,: wanyama, Simba wanavyowinda na kukamata wanyama, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Angalia haka kamchezo huyu jamaa anakomfanyia mwenzake, πAngalia video hapa
Tags π michezo vichekesho. Category πvideos,: michezo vichekesho, Kocha akiwafundisha adabu wachezaji wake, πAngalia video hapa
Tags π chui vichekesho wanyama. Category πvideos,: chui vichekesho wanyama, Kilichotokea baada ya chui wa maonyesho kuvunja banda, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Cheka tena kidogo hapa kwenye hii video ya vituko, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Unafikiri huyu atakua amefanyaje?, πAngalia video hapa
Tags π maajabu. Category πvideos,: maajabu, Angalia kinachotokea hapa, huto amini, πAngalia video hapa
.
.
Endelea kuperuzi;-π
π¬ VIDEOS-KUBWAβ
π¬ VIDEOS-MIKASAβ
π¬ VIDEOS-MATUKIOβ
π¬ VIDEOS-VITUKOβ
π¬ VIDEOS-DODOMAβ
π¬ VIDEOS-KENYAβ
π¬ VIDEOS-MBEYAβ
π¬ VIDEOS-DARβ
π¬ VIDEOS-ARUSHAβ
Tagsπ tibu-shinikizo-chini mapishinalishe
.. soma zaidi
Tagsπ afya aina anahitaji anakuwa aongeze binadamu haitoshi ilivyo kama kamili kamili. kukuhakikishia kulisha kumlisha kutoa kutosha. kutumia kwa lazima lishe maji malisho maziwa mlo na ng'ombe nguvu ngβombe ni nzuri pamoja protini resheni reshenijinsi sahihi tagi: uwiano vitamin viungo. wa wako wape ya yawe yenye yoyote wiki
Wape ngβombe wako lishe kamili, yenye nguvu, protini, na vitamin pamoja na maji ya kutosha… soma zaidi
Tagsπ albino. ambavyo amebeba bado cha hakuna hali hayo inayofuatia je kama kichanga kikiwa kinachovuta kinasaba kipimo kitakuwa kugundua kujua kuna kuona kuonyesha kupima kutumia kuwepo kuwezesha kwa kwenye lakini maalamu maji majimaji mama mimba mjamzito mji mtoto na rahisi tumboni? ualbino ualbino. upo uwezekano vinaweza vipimo wa wakati wamepata watakuwa wazazi ya yaliyo wiki
Hakuna kipimo rahisi cha kuwezesha kuonyesha kama mama
mjamzito amebeba kinasaba cha ualbino. Lakini uwezekano upo,
kama wazazi watakuwa wamepata mtoto Albino. Uwezekano wa
kujua kama mimba inayofuatia kichanga kitakuwa na ualbino kwa
kutumia kipimo maalamu kinachovuta maji yaliyo kwenye mji wa
mimba na kupima hayo majimaji kuona kama kuna kinasaba cha
Albino. Hata hivyo, vipimo hivi ni vya gharama kubwa na kwa
kiasi kikubwa kwa sasa vinapatikana, katika hospitali kubwa
maalumu za nchi zilizoendelea (Ulaya, Marekani na kadhalika)… soma zaidi
Tagsπ 14 100 ambapo ghasia hilo. katika kujeruhiwa kujitoa la mashambulio moja muhanga na nchini nigeria shambulio simu soko tagi: takribani wamefanya wamekufa wanawake watu wawili wengine ya zaidi zimeendelea habari
Takribani watu 14 wamekufa na wengine zaidi ya 100 kujeruhiwa katika shambulio hilo… soma zaidi
Tagsπ punyeto wiki
Hebu niambie…umeshawahi kujichua? Mara ngapi? Bado unaendelea na mchezo huo? Vipi, umewahi kusikia watu wakizungumza kuhusu suala hilo? Najua unaona aibu, hasa kama una tabia hiyo. Usiogope rafiki yangu, leo nitazungumza na wewe taratibu halafu mwisho kabisa nitakuacha na tabasamu la nguvu!.. soma zaidi
Tagsπ (coriander) 2zao arusha. au biashara cha chakula giligilani hadi hili huchukua hususani inafaa iringa jinsi kama katika kilimo kiungo kukuza kulima kulimwa kuotesha kutokana kuvuna. la linalotumika maeneo maisha mapishi mbalimbali mbeya mchuzi. mengi mfupi mikoa mkubwa mkulima mradi muda na ni nyama supu tagi: tanzania toka unaojitosheleza wakati wowote ya zao wiki
Kilimo cha giligilani (coriander) ni mradi mkubwa unaojitosheleza kukuza maisha ya mkulima kutokana na zao hili la biashara huchukua muda mfupi toka kuotesha hadi kuvuna.
giligilani 2Zao hili linalotumika kama kiungo cha chakula katika mapishi mbalimbali kama nyama, supu au mchuzi. Giligilani inafaa kulimwa wakati wowote na katika maeneo mengi ya Tanzania hususani mikoa ya Mbeya, Iringa na Arusha.
Uhitaji mkubwa wa walaji pamoja na urahisi wa kuzalisha zao hili katika maeneo mbalimbali nchini, umewezesha wakulima kupata soko zuri na kujiongezea kipato kwa urahisi zaidi… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Unga wa ulezi (millet flour vijiko 3 vya chakula)
Maziwa fresh (milk 1/2 kikombe)
Sukari (sugar 1/4 ya kikombe cha chai)
Siagi (butter kijiko 1 cha chakula)
Maji (vikombe 4 vya chai) (serving ya watu wawili).. soma zaidi
Tagsπ mahusiano
RAFIKI ZANGU WA FACEBOOK, LEO NATAKA TUKUMBUSHANE NENO DOGO TU, LAKINI NI LA MUHIMU SANA:
Fuatana nami;.. soma zaidi
Tagsπ basi govi hapana. hauna havifanani. ile inaondolewa. ingebidi kabisa. kama katika kiafya kumtahiri kuna kutahiriwa kutumia kwa lazima madhara mazingira mvulana mwanamume mwanaume na ndiyo ngozi ni pia safi. sawa siyo ukatwe ukeketaji ukeketaji? umefanyika uume vyombo wakati wanapinga wanaume watu wengine wote ya wiki
Hapana. Ukeketaji na kutahiriwa kwa mwanaume havifanani.
Kama kutahiriwa kwa mwanamume ni sawa na ukeketaji basi
ingebidi uume wote ukatwe kabisa. Katika kumtahiri mwanamume
ni ile ngozi ya govi ya uume ndiyo inaondolewa. Wakati kutahiriwa
kwa wanaume siyo lazima na pia kuna watu wengine wanapinga,
hauna madhara ya kiafya kwa mvulana kama umefanyika
kwa kutumia vyombo na katika mazingira safi. Kwa mvulana
hakuna matatizo kama ametahiriwa au hakutahiriwa! Baadhi
ya wavulana wametahiriwa wakiwa wadogo sana na wengine
wametahiriwa wakati walipokuwa vijana. Hivyo kutahiriwa kila
mara kunaambatana na kumfundisha mvulana kuhusu mila na
jinsi ya kujiheshimu kama mwanamume. Mafunzo haya ndiyo
kitu ambacho hakitofautiani kwa mwanamume na mwanamke
wanaotahiriwa. Vinginevyo kutahiriwa kwa wasichana ni hatari
na huwezi kufananisha na ile ya wavulana… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Kilishe mayai yote ni sawa. Virutubishi vinavyopatikana kwenye yai la kuku wa kienyeji kama protini, vitamini A, madini ya chuma na virutubishi vya aina nyingine, ndivyo hivyo vinavyopatikana pia kwenye yai la kuku wa kisasa… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Pombe ni kinywaji kinachotumiwa na watu wengi pasipo hata kufahamu athari zake. Pombe ina athari mbalimbali kiafya na kisaikolojia. Wengi baada ya kuathiriwa na pombe hutamani kuacha matumizi ya pombe lakini ni wachache tu ndiyo hufanikiwa katika hili… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Kijana wa miaka 24 alikua anaangalia ktk dirisha la treni, mara akahamaki akasema….. soma zaidi
Tagsπ amefanya baraza katika kenya la lake mabadiliko mawaziri rais wa habari
Rais Uhuru Kenyatta amechukua hatua hiyo siku moja tu baada ya kutangaza ufisadi kuwa tishio kwa usalama wa kitaifa. Rais Kenyatta amefanya mabadiliko katika baraza lake la mawaziri baada ya mawaziri sita kulazimika kujiondoa kutokana na wizara walizosimamia kuhusishwa na ufisadi huku wawili kati yao wakikabiliwa na kesi mahakamani.
Ni Mabadiliko yaliyotarajiwa hasa baada ya hatua ya aliyekuwa waziri wa Ugatuzi Anne Waiguru kujihuzulu mwishoni mwa juma kutokana na kile alichosema ni ushauri wa daktari wake- baada ya usumbufu aliopata wizara yake ilipohusishwa na sakata kadhaa za ufisadi.
Kwa mujibu wa katiba idadi ya mawaziri inapaswa kuwa kati ya kumi na wanne na ishirini na wawili- na hivyo kujiuzulu kwake kulisababisha idadi hiyo kupungua hadi kumi na tatu… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Majimbi (Eddoes) kiasi 6 au 7.. soma zaidi
Tagsπ anayetumia atomic bila bomb hadi hiyo. hutoa inayopenya katika kitini kudumu kufunga kuleta kumuumiza kunakoongea kunakotoa kuomba kusema kwa mabadilko makubwa matokeo mbele mungu mwili. na ni pa rohok sababu sauti silaha tagi: tunaweza ulimwengu utangulizi wa ya za wiki
Mungu.Me.. soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Ni vibaya pia kwa mwanaume wako kusema anaupenda mchezo fulani kama anavyokupenda! Au ukiwa na msongo wa mawazo, usinase kwenye mtego wa mapenzi kwa kudhani unaweza kuwa tiba. Ni vizuri zaidi kutafuta mwanaume ambaye hahitaji utabibu… soma zaidi
Tagsπ 1971. ambao basi bunge haikuwa hiari hii hiyo iliyopitishwa inakataza inasema inatambua iwapo kama kati kuishi kulazimisha. kulazimishwa kwa kwamba mke mke. msingi mume muungano mwaka na nchini ndoa ndoa. ni sheria siyo tanzania wameamua ya yao za zinazohusiana wiki
Sheria ya msingi ya ndoa nchini Tanzania ni Sheria ya ndoa ya
Bunge, iliyopitishwa mwaka 1971. Sheria hii inakataza ndoa za
kulazimisha. Inatambua ndoa kama ni muungano kati ya mume
na mke ambao kwa hiari yao wameamua kuishi kama mume na
mke. Sheria hiyo inasema kwamba iwapo ndoa haikuwa ya hiari,
basi hiyo siyo ndoa. Sheria pia imefafanua utoaji wa adhabu
kwa watu wote wanaoshawishi au wanaolazimisha pande hizo
mbili kuingia katika ndoa bila hiari yao. Kwa hiyo mwathiriwa wa
ndoa ya kulazimishwa anatakiwa kutoa taarifa juu ya wale wote
waliomlazimisha katika ndoa kwa polisi ambaye atawashitaki
kwa kuwa hili ni kosa la jinai… soma zaidi
Tagsπ wiki
Ndiyo, mvulana anaweza akafikia mshindo kwa njia ya kusugua uume na vidole. Anaposuguliwa uume na vidole, msisimko wa mwili unaongezeka na damu zinaingia kwenye mishipa ya damu katika uume… soma zaidi
Tagsπ (is) 48 50 au fan grimsgaard-ofstad halikutoa hao. hayo hilo huru is islamic jinghui johan kuhusu kundi kutoka kuwaachilia kwa la lini maelezo mataifa mateka na ni norway ole raia state tagi: uchina vikombozi wa walikuwa waliuawa. wamesema wamewaua wapi wapiganaji wawili zaidi habari
Kundi hilo la IS halikutoa maelezo zaidi kuhusu ni wapi au lini Ole Johan Grimsgaard-Ofstad, 48, kutoka Norway na Fan Jinghui, 50, kutoka Uchina waliuawa. IS walikuwa vikombozi kutoka kwa mataifa hayo kuwaachilia huru mateka hao.
Waziri mkuu wa Norway Erna Solberg amesema hakuna sababu zozote za kutilia shaka tangazo la wapiganaji hao, na kutaja kitendo chao kuwa βunyamaβ.
Wizara ya mashauri ya kigeni ya Uchina imesema imeshtushwa sana na mauaji hayo… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Unga 3 Vikombe vya chai.. soma zaidi
Tagsπ wiki
Ndiyo, unaweza. Kifo kinaweza kuwa cha ghafla au
kutokana na madhara ya muda mrefu katika viungo vya
ndani ya mwili kutokana na matumizi ya dawa za kulevya. Watu wengi hufa katika ajali pale wanapokuwa wana kiasi kikubwa cha kilevi katika damu, kwani wanashindwa kutambua mazingira ya hatari.
Mtumiaji wa dawa za kulevya anaweza akafa ghafla kwa kile kinachoitwa kuzidisha dawa, pale mtu atakapotumia dawa za kulevya zaidi ya uwezo wa mwili. Kifo cha ghafla kinaweza kutokea au kutokana na matumizi ya kokaini na vifukishi kama petroli bila hata ya kuzidisha kiwango. Watumiaji wa vifukishi kama petroli mara nyingi hutumia mifuko ya plastiki i i ili kuongeza kiwango cha mvuke wanaovuta. Katika mazingira haya ni rahisi kupoteza fahamu kutokana na kukoseshwa hewa na mifuko hiyo. Kuchanganya baadhi ya dawa za kulevya kama vile heroini na dawa zingine hasa dawa za kutuliza maumivu (mfano valium) au pombe pia huweza kusababisha kifo… soma zaidi
Tagsπ (dental (dentine). (enamel) ambako ambapo ambayo augustine bila cha chembe dalili damu dr. exposure). fahamu hali hii hili huanza hufanya hutegemea jino kabisa kama kati kiini kiwango kuiweka kulika kuna kuondoka kusababisha kuwa kwa likiendelea matibabu mbali mbehoma meno mishipa na ndani ngumu ni nje pia pulp rukoma sehemu tatizo ulikaji. uondoka wazi wazi. ya wiki
Na Dr. Augustine Mbehoma Rukoma
Hii ni hali ya ambapo sehemu ngumu ya nje ya meno uondoka na kusababisha sehemu ya ndani kuwa wazi. Tatizo hili huanza kwa kuondoka sehemu ngumu ya nje (enamel) na kuiweka wazi sehemu ya kati ambayo ni ngumu pia (dentine). Tatizo likiendelea bila matibabu hufanya kiini cha jino ambako kuna mishipa ya damu, mishipa ya fahamu na chembe chembe mbali kuwa wazi (dental pulp exposure).
Dalili hutegemea na kiwango cha ulikaji. Kama ni sehemu ya nje kabisa imetoka, dalili uweza kuwa msisimuko (sensitivity) wakati wakunywa vinywaji vya baridi, vya sukari na hata upepo ukiyapuliza meno. Kama kiini cha jino kitakuwa wazi basi maumivu uanza na yanaweza kuwa makali kabisa… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Unga - 3 mug za chai.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Unga - 4 Vikombe.. soma zaidi
Tagsπ baadhi bora chanjo dhidi hatari ili jinsi kama kuhakikisha kutambua kuwa kuwakinga kuwalisha kuwapa kwa madini magonjwa mara maziwa mbuzi muhimu. na ni tagi: unawachunguza unaweza vile: viliyvo vyakula wa wadudu wako ya yanayowakabili wiki
Magonjwa Yanayowakabili Mbuzi Wa Maziwa
Unaweza kuhakikisha kuwa unawachunguza mbuzi wako mara kwa mara na kuwapa chanjo ili kuwakinga dhidi ya magonjwa,wadudu hatari na kuwalisha vyakula bora viliyvo na madini muhimu… soma zaidi
Tagsπ wiki
β’ Ni lazima nyumba ya kuku iwe safi na kavu muda wote
β’ Nyumba ya kuku iwe na nafasi za kupitisha hewa ya kutosha ili kuepuka joto na unyevunyevu
β’ Hakikisha unaondoa matandazo na takataka zote kwenye banda wakati wote. Matandazo na taka zinaweza kuwa mbolea nzuri ya mboji kwa mimea yako.
β’ Fagia banda na kuhakikisha ni safi wakati wote. Weka matandazo mapya mara kwa mara.
β’ Weka nafasi ya kutosha kuku kupumzikia, viota vya kutosha, na kuweka maji sehemu ambayo ni rahisi kusafisha.
β’ Hakikisha unaondoa wanyama kama panya na wadudu nyemelezi kwenye sehemu ya malisho ya kuku kwani wao hubeba vimelea vya magonjwa… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Unga wa mchele ( Vikombe 2 vikubwa)
Sukari (Nusu ya kikombe kikubwa)
Hamira ( Nusu ya kijiko cha chai)
Hiliki (Nusu ya kijiko cha chai)
Tui la nazi ( Kikombe kimoja kikubwa)
Unga wa ngano (Vijiko viwili vya chakula)
Mafuta ya kuchomea (Vegetable oil).. soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Upungufu wa nguvu za kiume umekua tatizo kubwa sana kwa wanaume wengi. Tatizo hili limewakumba wanaume wengi walio katika ndoa na hata wale ambao bado hawajaoa. Watu wengi wamekuwa wakisumbuka kutafuta utatuzi kwani tatizo hili huwafanya kuwa na wasiwasi wa maisha. Ndoa nyingi zimevunjika na mahusiano kuharibika kwa sababu ya tatizo hili… soma zaidi
Tagsπ habari
Juzi nilihudhuria msiba wa rafiki yangu mmoja na mkewe. Yeye na mkewe walifariki kwa ajali ya gari, wameacha watoto wawili mmoja wa miaka kumi na mwingine wa miaka minne wakike, mkubwa ni wakiume… soma zaidi
Tagsπ uchumi
Bila shaka upo uhusiano mkubwa kati ya pesa na muda…. soma zaidi
Tagsπ kilimonaufugaji
Kutifua udongo ni jambo la muhimu sana ili kuufanya udongo kuwa bora… soma zaidi
Tagsπ wiki
Inakadiriwa huchukua miezi mitatu tangu kuambukizwa na VVU hadi i virusi hivyo vionekane kwenye damu. Itakuwa kazi bure kukimbilia kwenda kupima VVU mara tu baada ya kufanya ngono isiyo salama. Inabidi kusubiri miezi mitatu kabla ya kwenda kwenye Ushauri Nasihi na Upimaji wa Hiari… soma zaidi
Tagsπ wiki
Ubikira ni nini?: Maana halisi ya neno βbikiraβ ni mwanamke au mwanaume ambaye hajawahi kabisa kujamii ana. Kujamii ana hapa i ina maana kwamba uume wa mwanaume unaingia katika uke wa mwanamke… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Dawa za kuulia wadudu maarufu kama viwatilifu zimetengenezwa kwa lengo la kuangamiza wadudu wanaoharibu mazao au wanaomdhuru binadamu. Hata hivyo kutokana na sababu kuwa lengo la dawa hizi ni kuangamiza, huathiri pia viumbe hai vingine akiwemo binadamu… soma zaidi
Tagsπ aina anakuwa au duniani. hii i ile inakuwaje inarutubisha inatokea. inayofika jinsia katika kike kike. kiume kiume? kumpata kuna kuwa kwanza kweli kwenye mbegu mbegu. mbili mtoto mwanaume mwili na nchi ni uleule unafanana unatengeneza uwezekano wa wakati ya yai za zinazokua zote wiki
Mwili wa mwanaume unatengeneza aina mbili za mbegu. Kuna mbegu zinazokua kuwa mtoto wa kiume na kuna mbegu zinazokua kuwa mtoto wa kike. Ile mbegu inayofika kwenye yai kwanza, inarutubisha yai na ni wakati uleule, jinsia ya mtoto i inatokea. Uwezekano wa kumpata mtoto wa kike au wa kiume unafanana, na hii ni kweli katika nchi zote duniani… soma zaidi
Tagsπ wiki
Kwa kawaida wakati wa kupima ubora, kiasi kidogo cha maziwa (sampuli) kutoka kwenye kila chombo hupimwa. Maziwa ambayo sampuli yake haikufikia kiwango kinachotakiwa hukataliwa na ni hasara kwa mfugaji. kwa hiyo, ni muhimu kushughulikia na kuhifadhi maziwa kwa kuzingatia kanuni za usafi. Vipimo hivi hufanyika kila wakati maziwa yanapofikishwa katika vituo vya kukusanyia maziwa ili kuhakikisha maziwa bora pekee ndiyo yanayopokelewa. Utaratibu huu wa upimaji maziwa kama unavyofafanuliwa hapo chini utakusaidia kuelewa na kukubali matokeo ya upimaji... soma zaidi
Tagsπ (cauliflower ) afya. chote inayojumuisha jamii jinsi kabichi kale. kama katika kaulifulawa kichina kipindi kulima kutumika kwa la lake linaweza malisho mazao mifugo mimea moja msimu muhimu mwaka. na ni pia soko tagi: uhakika unaweza wa wote ya yaliyomo wiki
Kabichi ni moja ya mazao yaliyomo katika jamii ya mimea inayojumuisha mimea ya kaulifulawa (cauliflower ), kabichi ya kichina na kale. Kwa kawaida kabichi hupandwa kwa msimu mmoja, lakini iwapo itakuzwa kwa ajili ya kutoa mbegu hukuzwa zaidi ya msimu mmoja. Endapo inalimwa sehemu yenye maji ya kutosha, inaweza kulimwa msimu wote wa mwaka. Kichwa cha kabichi kinapofunga vizuri, hutumika kama chakula na huvunwa baada ya kufunga na kukomaa vizuri… soma zaidi
Tagsπ (tripsacum aina andersonii) au cha chakula guatemala hata haya hayatakiwi hii hivyo huweza imesambaa inahitaji kama katika kiangazi kiangazi. kiasi kibichi kijani kikubwa kipindi kubaki kulima kulimajinsi kutumika kwa lakini majani malisho mifugo mvua na pekee. tagi: tropiki. udongo ukanda unyevu wa wakati wenye wote ya yakiwa yanatumika ziada wiki
Majani haya yanatumika kama chakula cha ziada kwa mifugo wakati wa kiangazi, hayatakiwi kutumika kama malisho pekee… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Tatizo hili husimama lenyewe kama ugonjwa ingawa pia inaweza kuwa ni dalili kama mwanamke ni mjamzito, ananyonyesha au ametoa mimba au ameharibikiwa na mimba. Kusimama kwake kama ugonjwa ni pale yanapotoka wakati mwanamke hana historia ya dalili hizo hapo juu… soma zaidi
Tagsπ tibu-shinikizo-chini mapishinalishe
Matumizi ya maji ya kunywa ni moja ya dawa rahisi kabisa ya shinikizo la chini la damu… soma zaidi
Tagsπ hadithi
Dada mmoja aliyejulikana kwa jina
la Angel, alikuwa anafanya
biashara ya kujiuza ili aweze
kuweka kitu tumboni mwake.
dada huyo alikuwa na wateja
wamaana na mapedeshee wengi
sana kwa hiyo kwa siku yeye
kuondoka na laki 4 au 5
ilikuwa ni kawaida sana… soma zaidi
Tagsπ wiki
Kambale (Ietalurus Punetaus), ni aiana ya samaki ambao wana majina mengi kulingana na eneo na jamii husika. Samaki hawa unaweza kusikia wakitajwa kwa majina mengine kama vile, kambale channel, koleo, samaki kidevu n.k… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Nyama ya ng'ombe (beef 1/2 kilo)
Mchele (rice 1/2 kilo)
Vitunguu (onion 2)
Viazi (potato 2)
Vitunguu swaum (garlic 3 cloves)
Tangawizi (ginger)
Nyanya ya kopo (tomato 1/2 ya tin)
Curry powder (1/2 kijiko cha chai)
Binzari nyembamba ya kusaga (cumin 1/2 kijiko cha chai)
Binzari manjano (tarmaric 1/2 kijiko cha chai)
Mafuta (vegetable oil)
Chumvi (salt)
Rangi ya chakula (food colour)
Giligilani (fresh coriander)
Maziwa ya mgando (yogurt kikombe 1 cha chai)
Hiliki nzima (cardamon 3cloves)
Karafuu (clove 3)
Pilipili mtama nzima (black pepper 5)
Amdalasini (cinamon stick 1).. soma zaidi
Tagsπ sayansinatekinolojia
JE WAJUA?????…….
Nyangumi ni aina ya samaki Na ndie mnyama mkubwa kuliko
wanyama wote wanaoishi majini…….
Sifa za NYANGUMI hizi hapa…..
1»> moyo Wa nyangumi unakadiriwa kuwa Na kilo 600
2»> mtoto Wa Nyangumi anauwezo Wa kunywa Maji Lita
400 kwa Sikh.. soma zaidi
Tagsπ ana atajamiiana atapata endapo gani hakuna hamu hasa hawana hivyo hufunga inashauriwa je kabisa kama kati kifuko kinamzunguka kiume kubwa kujamii kumfikia kupenya kwa lakini lisigandamizwe madhara magonjwa mama mbegu mfuko mimba mjamzito mtoto mtoto. mwa mwanamke mwanaume mwenye mwenzi mwishoni na ni sana. tumbo ujauzito uwezekano vizuri wa wakati wake. wake? wanawake wengine wowote ya yoyote za zinaa wiki
Kama kati ya mwanamke na mwanaume hakuna mwenye magonjwa ya zinaa, hakuna madhara yoyote kwa mwanamke mwenye mimba kujamii ana na mwenzi wake. Mfuko wa mimba hufunga kabisa na kifuko kinamzunguka mtoto vizuri, na hivyo hakuna uwezekano wowote wa mbegu za kiume kupenya na kumfikia mtoto.
Inashauriwa lakini wakati wa kujamii ana na mwanamke mjamzito tumbo lisigandamizwe sana. Wanawake wengine hawana hamu kubwa ya kujamii ana hasa mwishoni mwa ujauzito, na mwanaume anashauriwa kuheshimu hisia hizi za mwanamke.
Kama mwanaume atakuwa ameambukizwa magonjwa ya zinaa wakati wa kujamii ana, hii i ii inaweza kuwa hatari sana kwa mwanamke na pia kwa mtoto tumboni. Wakijamii ana mume na mke wakati wa ujauzito, lazima wawe na uhakika kwamba hamna mwenye magonjwa ya zinaa au watumie kondomu kwa ajili ya kinga. Iwapo watakuwa na wasiwasi wowote, wamwone daktari kwa uchunguzi… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Nyanya 1 kg
Maji Iita Β½
Chumvi kijiko kidogo 1
Sukari.. soma zaidi
Tagsπ uchumi
Tabia ya kijidharau na kujiona hufai ama huwezi kufanya lolote ukafanikiwa maishani, hakuna mwanadamu aliyeumbwa ili ashindwe,, sote tu washindi zaidi, tunatofautiana njia za kufikia huo ushindi… soma zaidi
Tagsπ alipokuwa amesema ameyasema anazungumza hayo hilo katika kwamba magaidi manuel mapema. mkuu na nchi runinga tagi: taifa ubelgiji ufaransa ugaidi valls wa wahamiaji wahusika wakati walijifanya walikuwemo waziri wengine ya za habari
Ameyasema hayo wakati alipokuwa anazungumza katika runinga ya taifa hilo na kwamba wahusika wengine wa ugaidi walikuwemo katika nchi za Ufaransa na Ubelgiji mapema.
Aidha aliongeza kuwa haikufahamika mara moja kwamba kulikuwa na makundi ya namna hiyo kwa ukubwa wake ,ama mshukiwa Salah Abdeslam, ambaye ndiye hasa kielelezo cha mwanamume anayesakwa zaidi kimataifa na haikujulikana kama alikuwa Ubelgiji ama Ufaransa… soma zaidi
Tagsπ uchumi
Mshindi ni mtu aliyeshinda, Hivyo wewe ni mshindi kwa kuwa umeshinda, kuwa hai leo ni ushindi, kuwa na Mungu mpaka sasa huo ni Ushindi, kuweza kujifunza semina na kufuatilia mafundisho kama haya wewe ni mshindi.
Ebu jiulize ni watu wangapi ulikuwa unawafahamu leo hawapo duniani? Wewe umeshinda Mungu kakuweka duniani ili uendelee kushinda… soma zaidi
Tagsπ wiki
Kutumia dawa za kulevya kwa kiasi kidogo kunaweza kusilete madhara i ila mpaka tu pale utakapoyazoea. Mara nyingi watu huanza kuhitaji dawa zaidi pale wanapozizoea na kupata madhara. Hii i ii inaweza kusababishia mtu kutawaliwa na dawa za kulevya. Mtumiaji wa dawa za kulevya anaweza kuwa mtegemezi wa dawa hizo bila ya kujijua. Kujaribu dawa za kulevya kunaweza kukawa na madhara kama βutaishia pabayaβ. βKuishia pabayaβ ni jambo la kutisha na si la kufurahisha hata kidogo! Hali hiyo inaweza kutokea mara ya kwanza unapoanza kutumia bangi… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
1. Anaigiza maisha. Anataka kuonekana amefanikiwa kimaisha, hajui kuwa anajidanganya mwenyewe.
2. Hana mipango inayoeleweka, anajua kuzungumza lakini matendo ni sifuri, hajui kwamba kuanza mahusiano ni kubeba majukum… soma zaidi
Tagsπ ambavyo ambazo au baadhi bado giza hata hatari hivyo ikatokea. inaweza jinsi jizuie kama katika kila kitu kubakwa. kuchota kujikinga kuna kupunguza kutembea kutokea kwa kwenye misitu mtu. na peke sehemu ubakaji ujinsia unaweza unyanyasaji usibakwe usiwe utafanya vinaweza vitu wa wachache watu ya yako zina wiki
Hata kama utafanya kila kitu usibakwe bado inaweza ikatokea.
Ubakaji na unyanyasaji wa ujinsia unaweza kutokea kwa kila mtu.
Hata hivyo kuna baadhi ya vitu ambavyo vinaweza kupunguza
hatari ya kubakwa.
Jizuie usiwe peke yako kwenye giza, kutembea peke yako
katika misitu au sehemu ambazo zina watu wachache, kuchota
maji sehemu ya mbali. Hakikisha kuwa kuna watu karibuni wa
kukusaidia iwapo kuna hatari. Pia jihadhari na watu walevi na
sehemu ya kunywea pombe maana watu walevi wanaweza wakawa
hatari. Iwapo umelazimika kufanya kazi katika mazingira
ya hatari, jaribu kujadili tatizo hili na wazazi wako au mtu
unayemwamini na muulize huyu mwanamume au mwanamke
azungumze na wazazi wako.
Usikubali zawadi au upendeleo, kama unafikiri unapewa wewe
kwa kubadilishana na ngono. Kama unajisikia unatishwa jaribu
kukimbia na piga kelele kwa kutafuta msaada mara moja.
Utafiti umeonyesha kuwa wasichana au wanawake ambao kwa
ushupavu wanasema hapana na ambao wanathubutu kupiga
kelele na kuvutia hisia za wengine wakati wanaposhambuliwa
wana hatari kidogo ya kubakwa. Unapokuwa unajitetea kwa
uhakika unapoanza unachopenda na usichopenda, ni sehemu
muhimu ya kujilinda… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Tunda asili yake ni sehemu za Mashariki mwa Europe na pia Magharibi mwa Asia, na tunda hili linajulikana kwa miaka ya zamani mno katika miji ya Old China, Babulon na Egypt. Tunda hili hutumiwa na lina faida kubwa katika mwili wa mwanaadamu. Lina dawa ya maradhi tofauti:.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Nyama Ya Mbuzi - 1 Kilo.. soma zaidi
Tagsπ wiki
Kwa wanawake wenye miaka zaidi ya 35 uwezekano wa kupata matatizo ya kiafya wakati wa ujauzito au wakati wa kujifungua ni mkubwa zaidi kuliko wanawake kati ya miaka 20 na 35.
Matatizo ni mengi zaidi kama mama ameshakuwa na watoto wengi. Baada ya kuzaa mimba tano au zaidi, misuli ya mfuko wa uzazi hulegea. Hivyo hufanya mama kutokwa na damu nyingi, kuwa na uchungu wa muda mrefu na kuchanika kwa mji wa mimba. Matatizo mengine ni mtoto kukaa vibaya tumboni na kuwa na watoto wakubwa. Wanawake wa umri mkubwa ambao wamekuwa na i idadi kubwa ya mimba za karibukaribu (za kufululiza) wanakabiliwa na uwezekano mkubwa wa kufariki wakati wa ujauzito na wakati wa kujifungua… soma zaidi
Tagsπ habari
Hebu vuta picha,namna ulivyosota kuipata hiyo degree yako. Miaka isiyopungua 16 imeteketea darasani! Umebeba vidumu na ufagio kama wafagiaji wa jiji ukiwa shule msingi. Umepiga jaramba maili kadhaa kuifata shule.Umekumbana na kashkashi za walimu "wanoko",ukiwaona tu bandama zilikuwa zinacheza "ndombolo" na tumbo liliunguruma kama jenereta la kiwanda… soma zaidi
Tagsπ wiki
Ndiyo. Kuna mashirika yasiyo ya kiserikali (AZISE)
yanayotoa ushauri nasaha kwa watumiaji wa dawa za
kulevya. Katika AZISE hizi kuna wataalamu wenye
kusikiliza na kujaribu kutafuta ufumbuzi wa matatizo yako. Kama mtu anategemea dawa za kulevya au anahitaji msaada wa kitaalamu, basi kuna vituo vya kuwasaidia kwenye hospitali za serikali, (Anwani zao ziko mwisho wa kitabu kwa mawasiliano zaidi)… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Kambale 2
Nazi kopo 1
Nyanya kopo 1
Vitunguu 2
Curry powder 1 kijiko cha chai
Turmaric 1/2 kijiko cha chai
Binzari nyembamba ya unga 1/2 kijiko cha chai
Swaum/ tangawizi 1 kijiko cha chakula
Giligilani kiasi
Limao 1/2
Chumvi
Olive oil.. soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Mwanamke anayekupenda lakini hawezi kukwa mbia huwa anafanya mambo kukupima kama na wewe unampenda. Mfano wa mambo hayo ni kujifanya anaumwa na kuangalia wewe kiasi gani unamjali na kiasi gani utahangaika kwa ajili yake… soma zaidi
Tagsπ aibu au duniani. fulani hasa hudhani hupendelea ili katika kidini kijamii kipindi kujiburudisha kunywa kuondoa kuongeza kusahau kwa kwamba lakini matatizo mfupi. muda na nchi ni nini nyinginezo nyumbani pia pombe sehemu sherehe tagi: tanzania ujasiri unywaji utamaduni vijana vilabuni. wa wanakunywa watu wavulana wengi ya yao za wiki
Unywaji wa pombe ni sehemu ya utamaduni wa Tanzania na nchi
nyinginezo duniani… soma zaidi