VIDEOS-ZA-WANAWAKE
By, Melkisedeck Shine.
Tags π maajabu michezo. Category πvideos,: maajabu michezo, Angalia huyu jamaa alivyo mtaalamu wa haka kamchezo, πAngalia video hapa
Tags π ajali punda vichekesho wanyama. Category πvideos,: ajali punda vichekesho wanyama, Angalia kilichompata huyu baada ya kutaka kumgeuza punda pikipiki, πAngalia video hapa
Tags π michezo vichekesho. Category πvideos,: michezo vichekesho, Siku ya kwanza kucheza mpira inakuaga hivi sasa, πAngalia video hapa
Tags π mbwa vichekesho. Category πvideos,: mbwa vichekesho, Eti siku yako ya kwanza kupelekwa kwenda shule ndiyo ulikua hivi?, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Dogo Kala mpira, madhara ya kwenda na watoto uwanjani, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Video hii inatisha, usiangalie kama wewe ni muoga, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Huyu jamaa mhuni kweli, anawagombanisha wenzake, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Angalia huyu mwalimu kilichompata akiwa darasani, aibu kweli kweli, πAngalia video hapa
Tags π maajabu. Category πvideos,: maajabu, Angalia hili gari lilivyofanywa chapati, πAngalia video hapa
Tags π chui wanyama. Category πvideos,: chui wanyama, Cheki chui wakipiga wao kwa wao kinachotokea, πAngalia video hapa
Tags π maajabu simba wanyama. Category πvideos,: maajabu simba wanyama, Huyu kalala na simba kama vile mtu na rafiki yake, jaribu wewe uone usipofanywa kitoweo, πAngalia video hapa
Tags π nyoka panya wanyama. Category πvideos,: nyoka panya wanyama, Angalia huyu nyoka anavyomeza, πAngalia video hapa
Tags π ajali. Category πvideos,: ajali, Kilichowasibu polisi wa zima moto wakati wapo kazini wakizima moto, kazi nyingine ni ngumu, πAngalia video hapa
Tags π michezo vichekesho. Category πvideos,: michezo vichekesho, Angalia hii bendi ya wapi hii, wamejitahidi lakini, πAngalia video hapa
Tags π michezo. Category πvideos,: michezo, Angalia huyu baba anavyomfanyisha mwanae mazoezi, huyu mtoto akiwa mkubwa atakuwa mtaalamu Ile mbaya, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Angalia huyu mtoto anachofanya huku amesinzia, πAngalia video hapa
Tags π ajali vichekesho. Category πvideos,: ajali vichekesho, Hii ndio inaitwa "mission fail" cheki kilichotokea hapa sasa, πAngalia video hapa
Tags π maajabu wanyama. Category πvideos,: maajabu wanyama, Wanyama wenye akili ya kufundishwa, πAngalia video hapa
Tags π maajabu wanyama. Category πvideos,: maajabu wanyama, Mnyama wa ajabu anayefugwa, πAngalia video hapa
Tags π vichekesho. Category πvideos,: vichekesho, Cheki hawa kuku wanachomfanyia huyu dogo, utoto jamani, πAngalia video hapa
.
.
Endelea kuperuzi;-π
π¬ VIDEOS-KWA-WAZEEβ
π¬ VIDEOS-KWA-VIJANAβ
π¬ VIDEOS-KWA-WAKUBWAβ
π¬ VIDEOS-KWA-WANAWAKEβ
π¬ VIDEOS-KWA-WANAUMEβ
π¬ VIDEOS-TATAβ
π¬ VIDEOS-MAPEMAβ
π¬ VIDEOS-USIKUβ
π¬ VIDEOS-JIONIβ
π¬ VIDEOS-MCHANAβ
π¬ VIDEOS-ASUBUHIβ
π¬ VIDEOS-SASAβ
π¬ VIDEOS-FUPI-KALIβ
π¬ VIDEOS-FUPIβ
π¬ VIDEOS-KISWAHILIβ
π¬ VIDEOS-ZA-INSTAβ
π¬ VIDEOS-ZA-VICHEKESHOβ
π¬ VIDEOS-KUBWAβ
π¬ VIDEOS-MIKASAβ
π¬ VIDEOS-MATUKIOβ
Tagsπ mapishinalishe
Tambi (vermiceli Roasted) Mifuko 2.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Tambi (Spaghetti)
Nyama ya kusaga
Kitunguu maji
Nyanya ya kopo
Kitunguu swaum
Tangawizi
Carrot
Hoho
Lemon
Chumvi
Curry powder
Mafuta
Fersh coriander.. soma zaidi
Tagsπ (is) 48 50 au fan grimsgaard-ofstad halikutoa hao. hayo hilo huru is islamic jinghui johan kuhusu kundi kutoka kuwaachilia kwa la lini maelezo mataifa mateka na ni norway ole raia state tagi: uchina vikombozi wa walikuwa waliuawa. wamesema wamewaua wapi wapiganaji wawili zaidi habari
Kundi hilo la IS halikutoa maelezo zaidi kuhusu ni wapi au lini Ole Johan Grimsgaard-Ofstad, 48, kutoka Norway na Fan Jinghui, 50, kutoka Uchina waliuawa. IS walikuwa vikombozi kutoka kwa mataifa hayo kuwaachilia huru mateka hao.
Waziri mkuu wa Norway Erna Solberg amesema hakuna sababu zozote za kutilia shaka tangazo la wapiganaji hao, na kutaja kitendo chao kuwa βunyamaβ.
Wizara ya mashauri ya kigeni ya Uchina imesema imeshtushwa sana na mauaji hayo… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Unapopita maeneo mengi ya mijini na pembezoni wa miji utakutana na wafanyabiashara wa miwa wanaouza miwa na juisi yake. Wengi hununua juisi ya miwa kwa kuwa hufurahia utamu wake. Lakini umeshajiuliza juisi miwa ina faida gani kiafya?.. soma zaidi
Tagsπ mahusiano
"Nikufundishe nini mwanangu kuhusu wanawake? Baba yako nimezeeka ghafla nikiwa na ufahamu mdogo na mwanangu umeshakua kiasi cha kuhitaji elimu hii adhimu, nikupe neno gani?, labda hivi,.. soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Karanga ni muhimu sana katika afya ya mwili wa binadamu. Kiukweli karanga siyo chakula cha kupuuziwa iwapo utajua faida zake kama nitakavyokujuza leo katika makala haya… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Nyonyo Mbarika (Castor)
Mnyony(KiSwahili) Erand (KiHindi) Kastorka(KiRusi) ni mmea wa jamii ya Mbono Kaburi, kwa
jina la kitaalamu Japtropha.. soma zaidi
Tagsπ uchumi
Waziri mkuu wa zamani wa uingereza Sir Wiston Churchill aliwahi kusema
"huwezi kufika mwisho wa safari yako kama utakuwa unasimama kila mahali kumtupia jiwe kila mbwa anaye kubwekea".. soma zaidi
Tagsπ uchumi
Siku moja nilichukua taxi aina ya UBER nikiwa naelekea uwanja wa Ndege Mwl. Nyerere Dereva huku akiendesha kwa ustaarabu sana mara ghafla pasipo kutegemea gari ya taka ikajitokeza mbele yetu kutokea nje ya barabara. Dereva wa taxi kwa umakini na neema ya Mungu akalikwepa gari hilo na ilikuwa kidogo agonge gari zingine mbele yetu… soma zaidi
Tagsπ albino cha hapana je kawaida? kitu kuhusu laana? macho mekundu?β¦β¦β¦.. na ni tu ualbino ugonjwa? ukweli unaambukiza? unawapata wana wanaoishi watu weusi?β¦β¦β¦.. β¦β¦β¦.. β¦β¦β¦..hapana wiki
- Je, ualbino unaambukiza? ……….. Hapana
- Ualbino ni ugonjwa? ………..Hapana
- Ualbino ni laana? ………..Hapana
- Ualbino ni kitu cha kawaida? ………..Hapana
- Ualbino unawapata tu watu weusi?……….. Hapana
- Watu wanaoishi na ualbino wana macho mekundu?……….. Hapana
- Albino ni watu wenye imani za ushirikina? ………..Hapana
- Albino wana nguvu za giza? ………..Hapana
- Je, Albino hawana akili? ………..Hapana
- Je, ni kosa la mwanamke anayezaa mtoto Albino? ………..Hapana
- Je, jamii ibadili mtazamo hasi iliyo nao kuhusu Albino?……….. NDIYO.. soma zaidi
Tagsπ uchumi
Ndoto ni nini?
Ndoto ambayo tunakwenda kuizungumzia sio ndoto unayoota ukiwa umelala ni ndoto ya mchana.
Ni kile kitu unachotamani kuja kukipata siku moja kabla hujaondoka duniani Ndoto inaweza kua katika makundi ya aina mbalimbali, unaweza kua na ndoto ya kuwa Rais, Mwimbaji bora, Mchezaji bora, Mwandishi Bora, Mfanyabiashara maarufu.
Vile vile unaweza kuwa na ndoto ya kumiliki vitu, nyumba nzuri ya kifahari sana labda ya milioni 300, Gari la kifahari sana, Unaweza kuwa na ndoto ya kumiliki utajiri au kuwa Bilionea,Kutembelea nchi fulani na kadhalika… soma zaidi
Tagsπ wiki
Wanaume Wengi Hapa Duniani Huamini Kuwa, Mwanaume Hasa Ni Yule Anayeweza Kufanya Tendo Hilo Kwa Muda Mrefu Na Mara Nyingi Ndio Maana Vijana Wengi Utawasikia Wakijisifu Kuwa, Mpenzi Wake Hakulala Usiku Mzima Kutokana Na Dozi Ya Maana Aliyompa Na Ukimuuliza Mtu Wa Namna Hii Atakwambia Kuwa Alikwenda Mizunguko Sita Usiku Mzima… soma zaidi
Tagsπ aina ambayo bia cha haifai hali hata hutoa jinsi kama kilimo kuchemshwa kulima kuliwa kuoka kusagwa kustahimili kutengenezea kutumika kwa kwenye mazao mengi mikate mkubwa mtama mtamamtama na nafaka. nyingine nyinginezo tagi: uji ukame. ulivyo una unaweza uwezo vile vinywaji vitafunwa. wa ya za wiki
Mtama hutoa mazao mengi hata kwenye hali ambayo haifai kwa kilimo cha aina nyingine za mazao ya nafaka. Mtama una uwezo mkubwa wa kustahimili ukame… soma zaidi
Tagsπ 2007 albino albino? gani hadi hali hatua hiyo. ili imechukua kadhaa kufuatia kukomesha kurekebisha kuwinda mauaji mwaka na ni sasa serikali tangu tanzania vibaya vilivyozuka vitendo vya ya zinazochukuliwa wiki
Kufuatia vitendo vibaya vya mauaji ya Albino, vilivyozuka
Tanzania tangu mwaka 2007 hadi sasa, Serikali imechukua
hatua kadhaa kurekebisha hali hiyo. Hatua hizo ni pamoja
na:
β’ Kuliagiza jeshi la polisi kuwatafyta na kuwakamata wauaji
wa aalbino.
β’ Kumteua Albino kuwa Mbunge wa Viti Maalumu Wanawake.
β’ Kutangaza hadharani kuwa mauaji haya siyo utamaduni
β’ bali ni uhalifu mbaya ambao lazima uchukuliwe hatua za
kisheria.
β’ Kutaka mikoa yote watangaze majina ya watu wote wanahusika
na mauaji haya.
β’ Kuliagiza jeshi la polisi kuwatafuta na kuwakamata
wauaji wa Albino.
β’ Kuanzishwa kamati maalumu ya mahakimu ili kuharakisha
hukumu za wauaji.
β’ Viongozi wa juu wote wanalaani vitendo hivi katika mikutano
ya hadhara na matukio maalumu kama wakati wa mbio
za Mwenge wa Uhuru mwaka 2009… soma zaidi
Tagsπ albino. ambavyo amebeba bado cha hakuna hali hayo inayofuatia je kama kichanga kikiwa kinachovuta kinasaba kipimo kitakuwa kugundua kujua kuna kuona kuonyesha kupima kutumia kuwepo kuwezesha kwa kwenye lakini maalamu maji majimaji mama mimba mjamzito mji mtoto na rahisi tumboni? ualbino ualbino. upo uwezekano vinaweza vipimo wa wakati wamepata watakuwa wazazi ya yaliyo wiki
Hakuna kipimo rahisi cha kuwezesha kuonyesha kama mama
mjamzito amebeba kinasaba cha ualbino. Lakini uwezekano upo,
kama wazazi watakuwa wamepata mtoto Albino. Uwezekano wa
kujua kama mimba inayofuatia kichanga kitakuwa na ualbino kwa
kutumia kipimo maalamu kinachovuta maji yaliyo kwenye mji wa
mimba na kupima hayo majimaji kuona kama kuna kinasaba cha
Albino. Hata hivyo, vipimo hivi ni vya gharama kubwa na kwa
kiasi kikubwa kwa sasa vinapatikana, katika hospitali kubwa
maalumu za nchi zilizoendelea (Ulaya, Marekani na kadhalika)… soma zaidi
Tagsπ (bulbs). 13Β°c 20Β°c 20Β°c-25Β°c 24Β°c 25Β°c. afrika. awali bahari bara cha dunia hali hapo hewa hili hufanya huhitaji hulimwa hustawi ili inayofaa joto jotoridi kaskazini katika kawaida kiasi kilikuwa kitalu kitungu kudumaa kukua kukuzia kulima kuotesha kustawi kutengeneza kutoweza kuweza kwa kwenye la likwemo lililokuwa linapatikana magharibi mediterania. miche milima mwa na nchi ni nyingi nyuzi porini tagi: ukanda viazi vitunguu vitunguujinsi vizuri. wa ya za zaidi zao zilipo β wiki
Hapo awali kitungu kilikuwa ni zao lililokuwa linapatikana porini katika ukanda wa bahari ya Mediterania. Zao hili hulimwa katika nchi nyingi za magharibi, nchi za milima zilipo kaskazini mwa dunia, likwemo bara la Afrika. Vitunguu hustawi katika hali ya hewa ya jotoridi 13Β°C β 24Β°C, hali ya hewa inayofaa kwa kuotesha na kukuzia miche kwenye kitalu ni jotoridi 20Β°C β 25Β°C. Kwa kawaida vitunguu huhitaji kiasi cha joto nyuzi 20Β°C-25Β°C ili kuweza kustawi na kukua vizuri. Joto zaidi ya hapo hufanya vitunguu kudumaa na kutoweza kutengeneza viazi (bulbs)… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Mume alirejea nyumbani na kukuta ujumbe juu ya meza umeandikwa "NIMEONDOKA" ilikuwa jioni, alienda jikoni na kukuta kukavu, aliwaita watoto na kuwauliza wakasema walimuona Mama akiondoka na begi lakini hakuwaambia anaenda wapi. Mume alichanganyikiwa, alijaribu kuchukua simu kumpigia lakini ilikuwa haipatikani, kabla hajafanya chochote mtoto wao wa mwaka mmoja alikuja akilia na kusema ana njaaa… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Viazi mbatata (potato 4 vya wastani)
Nyama ya kusaga (mince beef 1 kikombe cha chai)
Kitunguu (onion 1 cha wastani)
Carrot 1
Hoho (green pepper 1/2)
Kitunguu swaum (garlic)
Tangawizi (ginger )
Binzari nyembamba (ground cumin 1/2 kijiko cha chai)
Binzari manjano (turmeric 1/2 kijiko cha chai)
Curry powder 1/2 kijiko cha chai
Limao (lemon 1/2)
Pilipili ya unga (chilli powder 1/2 kijiko cha chai)
Giligilani (coriander kiasi)
Chumvi (salt)
Mafuta (vegetable oil)
Unga wa ngano kiasi.. soma zaidi
Tagsπ akamwambia akina akiwa alienda anawasiwasi daktari huku kutoa kwa magonjwa mama mimba mmoja na wa ya mahusiano
Mama mmoja huku akiwa anawasiwasi alienda kwa daktari wa magonjwa ya akina mama na akamwambia
" mwanangu hajafikisha hata mwaka mmoja na mimi nimepata ujauzito tena"
Daktari akamwambia
"ni sawa, kwa hiyo unataka mimi nifanyeje?"
Mama akasema
"nakuomba unisaidie kutoa hii mimba na ninakutegemea mno daktari tafadhali nisaidie"
Daktari baada ya ukimya mfupi na kufikiri kidogo akamwambia yule mama
" Nadhani ninao msaada mzuri zaidi na ambao hautakuathiri kwa kwa namna yoyote kiafya".. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Hapa huwa kuna mvutano wa kidini sana juu ya nguruwe, Ila Leo napenda kuliweka sawa, kitaalamu kwa mujibu wa MEDICINE (Science)!!.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
β’ Maziwa ya mama pekee ndio chakula na kinywaji cha mtoto bora zaidi kwa watoto kwa miezi sita ya kwanza.
β’ Ni jambo la muhimu sana kunyonyesha watoto wachanga kwa muda wa miezi minne na uendelee kunyonyesha hadi mtoto atakapofikisha mwaka mmoja na kuendelea… soma zaidi
Tagsπ 14 2008 aibu akaendelea albino? amewahi ana cha fedheha gani haki hali hata hatua haya hii hotuba imechukua jamii je katiba katika kifungu kikwete kila kinaeleza kubwa kudhibiti kuishi kukemea kulindwa kusema kusema; kuwa: kwa lazima mara mauaji misingi moja.β mtu mwaka mwezi na ni pia rais sababuβ serikali sheria.β taifa tanzania tutaishi ufasaha usio utu vipi? wake ya yakomeshwe yetuβ za zake β βkila βni βukatili wiki
Kifungu cha 14 cha Katiba ya Tanzania kinaeleza kwa ufasaha
kuwa: βKila mtu ana haki ya kuishi na kulindwa utu wake katika
jamii kwa misingi ya sheria.β Hata Rais Kikwete katika hotuba
zake kwa Taifa za kila mwezi amewahi kukemea mauaji haya
mwaka 2008 kwa kusema; β mauaji haya ni aibu na fedheha
kubwa kwa jamii yetuβ pia βukatili usio na sababuβ na akaendelea
kusema, βni lazima yakomeshwe mara moja.β
Serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na taasisi na asasi za
kijamii wanaendelea kutoa mafunzo, taarifa na mazingira
yatakayowawezesha Albino kuishi maisha bora na yenye
mafanikio katika jamii… soma zaidi
Tagsπ (ikiwa (warumi 14 :23). aina au baadhi basi dini elimu jina juu kama katika kuingia kujinyima kutokana kwamba la lazima mabaya mapepo mazoezi na nguvu ni nyota) pamoja pia sasa shaka shetani tabia tagi: uko umewahi uongo uovu. wewe ya yake. yesu. yoyote za wiki
Kujinyima nguvu za uovu.
Kama umewahi kuingia katika dini za uongo au YOYOTE au aina ya dini za uongo (ikiwa ni pamoja na elimu ya nyota) lazima kujinyima kwamba nguvu mabaya sasa katika jina la Yesu. Ni kutokana na Shetani na mapepo yake.
Kama wewe uko katika shaka juu ya baadhi ya mazoezi au tabia basi kujinyima kwamba pia (Warumi 14 :23). Basi nguvu kuchanganyika pamioja haiwezekani… soma zaidi
Tagsπ (basmati) 1 2 3 binzari boga cha chai hiliki iliyosagwa jinsi kg kijiko kikombe kitunguu kubwa kupika kupikia mafuta maji manga mchele mdalasini na ndimu ng'ombe ngoβmbe nyama nyanya nyembamba pilau pilipili saumu(thomu/galic) supu tagi: tangawizi viambaupishi vikombe vikubwa vitunguu ya Β½ mapishinalishe
Mchele (Basmati) 3 vikombe
Nyama ya ngoβmbe 1 kg
Pilipili boga 1 kubwa
Nyanya 2 kubwa
Vitunguu maji 2 vikubwa
Kitunguu saumu(thomu/galic) iliyosagwa 1 kijiko cha supu
Tangawizi 1 kijiko cha chai
Ndimu 1
Mafuta ya kupikia Β½ kikombe
Mdalasini Β½ kijiko cha chai
Binzari nyembamba 1 kijiko cha chai
Pilipili manga Β½ Kijiko cha chai
Hiliki Β½ Kijiko cha chai.. soma zaidi
Tagsπ ke kenya kuzuia maambukizi tanzania tz ueneaji ug uganda ukimwi vvu wachanga wadogo watoto wiki
1. Zuia maambukizi ya HIV katika wanawake wanaoweza kupata
watoto.
2. Zuia ujauzito usiokusudiwa kati ya wanawake wanaoishi na HIV… soma zaidi
Tagsπ 14 kwa marekani risasi watu wauawa habari
Polisi nchini Marekani imesema takriban watu 14 wameuawa na wengine 14 kujeruhiwa baada ya kupigwa risasi na watu wenye silaha katika mji wa San Bernadino mashariki mwa Los Angeles. Tukio hilo imetokea kwenye kituo cha huduma kwa watu wenye ulemavu na inawezekana lilihusisha watu watatu wenye silaha waliovalia kijeshi ambao wametoroka kwa gari… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Nyama iliyokatwa vipande - 1 Ratili(LB).. soma zaidi
Tagsπ uchumi
KILA mtu duniani ana ndoto ingawa haijalishi ni ndoto gani uliyonayo.
Ndoto uliyonayo ina thamani kubwa kuliko fedha wala kitu chochote kile. Ndoto uliyonayo ina nguvu kubwa ya kubadilisha maisha yako na kukufikisha sehemu ambayo ulitaka ufike ama zaidi ya pale ulipotarajia kufika… soma zaidi
Tagsπ wiki
Ni kweli kwamba mara nyingi hali hii huwatokea wavulana na wanaume. Ndani ya uume kuna mishipa mingi ya damu na kama damu nyingi i i ikienda sehemu hii i ii inasababisha uume kuwa mgumu na kusimama. Mtu anapolala huwa ametulia na hivyo damu inaweza kusukumwa kuelekea kwenye uume. Kwa hiyo, msukumo wa damu ndani ya uume ni sababu pekee ya uume kusimama. Pia kujaa kwa kibofu cha mkojo huweza kusababisha uume kusimama wakati wa kuamka usingizini asubuhi… soma zaidi
Tagsπ / chunusi gani hatimaye i kifua kimwili korodani kubadilika kudinda kuota kusimama kuwa kwa kwenye mabadiliko mabega mafuta makuzi makwapani mara miili mikono na ndoto ngozi nguvu nyevu nywele nzito; sauti sehemu siri tagi: takuwa ukubwa; unaweza urefu usoni usoni; utaanza utaongezeka uume uzito wa wakati wavulana ya yako yanatokea yatakuwa za zaidi zitaongezeka wiki
- Utaongezeka urefu na uzito, mikono na mabega yatakuwa na nguvu zaidi, uume na korodani zitaongezeka ukubwa;
- Ngozi yako i takuwa na mafuta zaidi na unaweza kuota chunusi usoni;
- Kuota nywele sehemu za siri, makwapani na hatimaye usoni na kwenye kifua
- Kubadilika sauti na kuwa nzito; na
- Uume kusimama / kudinda mara kwa mara na utaanza kuota ndoto nyevu.. soma zaidi
Tagsπ baada hapana huwezi je kujamiiana kuoga kuwatoa kwa magonjwa mara na nikioga nisiambukizwe? nitaweza njia ugonjwa wa wadudu ya zinaa wiki
Hapana, huwezi kuwatoa wadudu wa magonjwa ya zinaa kwa njia ya kuoga baada ya kujamiiana. Wadudu hao hawakai sehemu ambazo unaweza ukawaondoa, wanaingia mwilini moja kwa moja na wanakaa kwenye damu. Mara wakishaingia kwenye damu, inabidi mtaalamu wa kiafya afanye uchunguzi na akutibu kikamilifu… soma zaidi
Tagsπ ajali ambavyo athari barabarani basi hasira hatia hivyo huathiri hupoteza hupunguza hutokea huwadhuru huweza isitoshe iwapo jamii jamii. katika kazini kiakili kiasi kimwili. kuchangia kuenea kupita kupitia kutokana kuwa kwa kwenye madhara maisha mara mbalimbali. mengine na njia nyingi pombe tagi: uangalifu ulevi ulevi. vilema vitu vvu wagomvi wakilewa wakiwa wamelewa. wanafanya wanaokunywa wanokunywa wasingekuwa wasingevifanya wasiokuwa watu wengi yao za zinazohusiana wiki
Watu wanokunywa kupitia kiasi huathiri jamii kwa njia
mbalimbali. Madhara mengine hutokea kwa kuwa wanafanya
vitu ambavyo wasingevifanya iwapo wasingekuwa wamelewa… soma zaidi
Tagsπ amejiuzulu katika kenyatta mkubwa mwenye rais serikali uhuru ushawishi waziri ya habari
Waziri mwenye ushawishi mkubwa katika serikali ya Rais Uhuru Kenyatta amejiuzulu wadhifa wake baada ya shinikizo kutolewa ajiuzulu kutokana na tuhuma za ufisadi… soma zaidi
Tagsπ wiki
Ubikira ni nini?: Maana halisi ya neno βbikiraβ ni mwanamke au mwanaume ambaye hajawahi kabisa kujamii ana. Kujamii ana hapa i ina maana kwamba uume wa mwanaume unaingia katika uke wa mwanamke… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Tanbihi: Kiasi ya vipimo inategemea wingi wa watu, unaweza kupunguza au kuongeza. Hiki ni kiasi cha watu 6 takriban… soma zaidi
Tagsπ afya cha gani haki hakuna hasa huduma iwapo juu katika kiwango kuanza kujamiiana kupata kutumia kwa kwanza kwenye masuala mbalimbali mpango. mpango? na ni njia pale pamoja uende ujinsia umeamua umri unapoona unatakiwa unazihitaji. ushauri uzazi vijana wa wana ya za wiki
Hakuna kiwango cha umri kwa kutumia huduma za afya ya uzazi
na njia za uzazi wa mpango. Unatakiwa kuanza kutumia huduma
za afya ya uzazi pale unapoona unazihitaji. Na hasa iwapo
umeamua kujamiiana, unatakiwa uende kwanza kwenye huduma
za afya ya uzazi, na kupata ushauri juu ya ujinsia na masuala
ya afya ya uzazi pamoja na njia mbalimbali za uzazi wa mpango.
Vijana kisheria wamepewa haki ya kutumia njia za uzazi wa
mpango.
Nchini Tanzania kuna sera ya idadi ya watu ya mwaka 1992.2
ambapo kati ya mambo mengine inalenga katika kuandaa
vijana, kabla ya kuingia katika maisha ya ndoa wawe wazazi
wanaowajibika kwa kuinua kiwango cha elimu ya familia.
Sera hii inazungumzia uanzishwaji wa huduma za afya ya uzazi
ambayo itakidhi mahitaji ya vijana na inawahakikishia vijana
kupata huduma za afya ya uzazi kwa urahisi bila pingamizi
katika umri wowote.
Baadhi ya watu wanafikiri kuwa huduma za uzazi wa mpango ni
kwa watu walio kwenye ndoa. Hii si kweli, mtu yoyote anaruhusiwa
kutumia huduma za uzazi wa mpango na kupata njia mbalimbali
za uzazi wa mpango. Vijana3 wanafaidika na kuwa na haki sawa
kama watu wazima walio kwenye ndoa. Huduma za kinga kama
vile ushauri juu ya mafunzo ya afya ya uzazi na vilevile kondomu
ni njia za kuzuia mimba zinapatikana bure katika vituo vya afya
vya serikali hapa Tanzania… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mrowanishe kuku na viungo hivi kwa muda mdogo tu.. soma zaidi
Tagsπ 1majani 2014 26th afrika ajili hasa hata hivyo huduma huku ili jinsi june katika kiangazi. kipato kubwa kukosekana kulima kuongeza kutosha kwa lishe maarufu malisho mashariki. matete maziwa mifugo moja muhimu mzuri. na napier ngΓ³mbe ni rudi sahihi tagi: tatizo ufugaji uzalishaji wa wafugaji wakati wakikosesha wakilipuuzia wamekuwa wengi ya zao zinazohitajika Β« wiki
Majani ya matete ni moja ya zao maarufu kwa lishe ya mifugo Afrika mashariki. Hata hivyo, wafugaji wengi wamekuwa wakilipuuzia huku wakikosesha huduma muhimu zinazohitajika kwa ajili ya uzalishaji mzuri. Moja ya tatizo kubwa katika uzalishaji wa maziwa ni kukosekana kwa malisho sahihi na ya kutosha kwa ajili ya mifugo ili kuongeza uzalishaji wa maziwa na kipato, hasa wakati wa kiangazi.
Pamoja na wafugaji wengi kuwa na ardhi ya kutosha ambayo wanaweza kuzalishia malisho mazuri na yakutosha bado utunzaji wa malisho hayo ni hafifu na ni vigumu kuendeleza mifugo yao. Utunzaji mzuri wa malisho humhakikishia mfugaji kuwa na lishe ya kutosha kwa ajili ya mifugo yake katika kipindi chote cha mwaka.
Moja ya zao la lishe ni majani ya matete. Majani ya matete hutoa mavuno mengi ukilinganisha na aina nyingine zote za lishe ya mifugo. Wafugaji hawapati faida ya zao hili kutokana na kutokupenda kufanya matunzo kwa njia sahihi… soma zaidi
Tagsπ / afikie albino anayeamua athari au hadi hakuna hata je kijana kike kiume kuacha kujamiiana kuna kutoanza kwakusubiri kwamba madhara mrefu mtu muda ni ukweli uliokubalik umri unaokubalika utu uzima wa yanayompata yoyote zaidi. zinazojulikana wiki
Ukweli ni kwamba hakuna athari zinazojulikana kwakusubiri au
kuacha kujamiiana hadi mtu afikie umri unaokubalika / utu uzima
au hata muda mrefu zaidi. Pia via vya uzazi havitaathirika kwa
njia moja au nyingine (havisinyai wala kutoweka.) Kuna uvumi
potofu unaodai kuwa watu wanaoacha kujamiiana kwa muda
mrefu wanaota chunusi na upele usoni au pia kwenye sehemu
zao za siri na wengine kuchanganyikiwa. Hakuna ukweli wowote
kuhusu uvumi huu. Kuwa na chunusi usoni ni mojawapo ya hali
inayowakabili vijana wenye umri kati ya miaka 13 hadi 19. Hali ya
kuota chunusi inasababishwa na kuwepo mafuta mengi kwenye
ngozi. Hali hii hubadilika kadri umri unavyosogea mbele. Mara
nyingi inashauriwa kufanya mazoezi ya mwili ili kuwezesha
vitundu vilivyopo kwenye ngozi kufunguka na kuwezesha ngozi
kupumua.
Hakuna madhara ya kiafya ambayo yanatokana na kuacha
kujamiiana, bali kinyume ni kuwa, kuna madhara mengi ya
kiafya, hisia na ya kimwili yanayotokana na kujamiiana katika
umri mdogo kama vile mimba zisizotarajiwa, uambukizo wa
magonjwa yatokanayo na kujamiiana pamoja na Virusi vya
UKIMWI… soma zaidi
Tagsπ uchumi
Kazi au shughuli unayoifanya ina thamani gani kwa wengine?unawasaidia au unawaumiza??
Biashara unayoifanya ina thamani gani kwa wengine?ni lazima uwaumize ndipo ufaidike au uwasaidie ili nawe upate faida?.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Pasta (2 na 1/2 vikombe vya chai)
Uyoga (mashroom 2 vikombe vya chai)
Cream (1 kikombe cha chai)
Mafuta (vegetable oil)
Kitunguu (onion 1)
Chumvi
Majani ya basil (dried basil leaves 1/2 kijiko cha chai).. soma zaidi
Tagsπ kilimonaufugaji
Vitungu saumu vina manufaa sana katika kukabiliana na aina mbalimbali za wadudu waharibifu na baadhi ya magonjwa kutokana na kuwa na harufu kali inayosaidia kuwafukuza wadudu kama vidukari, bungo na hata panya… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Halina ukweli kwa sehemu, na lina ukweli kwa sehemu. Ni hivi : ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
Shule inamfanya mtu awe overconfidence na kukosa unyenyekevu, hii ni output ya makuzi na malezi aliyopita plus msukumo wa marafiki waigizaji kwenye mahusiano. Mwanamke msomi can spend any amount of cash on saloon, urembo na vitu binafsi vya luxury , but utasikia kazi ya mwanamme ni kulisha family kujenga etc, na shati lake likichakaa atajijua, hata hela yavkunyolea ndevu tu ni yeye π€π€ but hana haki ya kuhoji income ya mkewe. Si mnakumbuka message ya 5000 za baba +2000 za mama=5000 za familia ,hiki ni practical kibonzo kwa some families… soma zaidi
Tagsπ wiki
Asimilia kumi hadi i i ishirini ya mimba huharibika. Mimba nyingi zinaharibika katika kipindi cha wiki 12 za mwanzo wa ujauzito. Sababu kuu hutokana na kuharibika kwa yai lililotungwa mimba. Iwapo yai lingeendelea kukua katika hali hii matokeo ni mtoto kuzaliwa na kasoro mwilini au kiakili. Kwa hiyo mimba kuharibika inaweza kuwa ni njia ya asili ya mwili kukabiliana na matatizo hayo ya kimaumbile.
Vilevile kuharibika kwa mimba huweza kutokea kama mama ana magonjwa kama malaria au kaswende, kama ameanguka chini kwa nguvu au kama ana matatizo kwenye via vya uzazi. Dalili za mimba kuharibika ni damu kutoka ukeni na maumivu makali ya tumbo kwa chini… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Ni vibaya pia kwa mwanaume wako kusema anaupenda mchezo fulani kama anavyokupenda! Au ukiwa na msongo wa mawazo, usinase kwenye mtego wa mapenzi kwa kudhani unaweza kuwa tiba. Ni vizuri zaidi kutafuta mwanaume ambaye hahitaji utabibu… soma zaidi
Tagsπ uchumi
1. Uelekeo ni muhimu kuliko kasi. Ni heri kwenda taratibu katika Uelekeo sahihi, kuliko kwenda kwa kasi katika Uelekeo usio sahihi… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Nilianza kujisikia vibaya hata kabla ya kufunga ndoa. Nakumbuka miezi mitatu kabla wakati tukiwa katika maandalizi maandalizi ya Bashiri kuja nyumbani kuleta mahari miguu ilianza kuuma kiasi cha kushindwa hata kutembea. Mama ainikanda mara kwa mara na ilikuwa ikivimba na kutoa maji kama vile jasho lakini la baridi… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Mtoto mdogo alimfuata baba yake na
kumuliza, "
Nini maana ya SIASA?"
Baba akajibu, " Mwanangu ngoja nijaribu
kujibu kwa mfano huu,
Mimi natafuta fedha
ya matumizi, hivyo niite mimi BEPARI,.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Mchele wa Par boiled au basmati - 5 vikombe.. soma zaidi
Tagsπ mahusiano
1. Atakua na simu yake mpo nyumbani dakika hiyo anakwambia umbip hajui kaiweka wapi.
Tuhurumie Baba
2. Ana Nguo zimejaa makabati mawili lakini hajui avae nini ukimwambia mtoke.!
Baba, ni magumu kwetu mambo haya… soma zaidi
Tagsπ wiki
Uhusiano mzuri na wazazi ni muhimu sana siyo katika masuala ya uchaguzi wa mchumba tu, bali katika masuala yote ya msingi maishani. Kwa hiyo, hatua ya kwanza ni kujaribu kuelewana nao.
Mara nyingi vijana hufikiri wazazi hawaelewi maisha ya vijana wa kisasa. Mara nyingine hufikiri kwamba mila na desturi zinamzuia kijana kufanya uamuzi ambao unafaa. Pia wengine hufikiri kwamba tofauti ya malengo kati ya vijana na wazazi huleta mgongano… soma zaidi
Tagsπ mahusiano
Kijana wa miaka 24 alikua anaangalia ktk dirisha la treni, mara akahamaki akasema….. soma zaidi
Tagsπ 1.8. adamu akamfanyia akasema alipomumba biblia haki hawa haya hili kama karibu katika kiafya kiakili kimwili. kiroho kitabia kulea kwa la linavyofundisha maana maisha malezi mkaongezeke. msaidizi mtoto mungu mungu. mwanzilishi mwanzo na namna ndie neno ni nini somo tagi: takatifu. tuliopewa tutaangalia tutajifunza uangalizi utangulizi wa wajibu wake watoto watoto. wazazi wetu ya yaani yatagusa zaeni wiki
Malezi ni uangalizi wa karibu wa wazazi kwa mtoto wake kiroho, kiafya, kiakili, kitabia, Mungu ndie mwanzilishi wa watoto. Mungu alipomumba adamu, akamfanyia msaidizi wake Hawa, akasema zaeni mkaongezeke. Mwanzo 1.8.
Katika somo hili tutajifunza namna ya kulea watoto wetu tuliopewa na Mungu. Malezi haya yatagusa maisha ya watoto ya kiroho na kimwili. Tutaangalia haki na wajibu wa mtoto kama Neno la Mungu linavyofundisha, yaani Biblia Takatifu. Kwa njia ya somo hili wazazi tunaweza kuutimiza mpango wa Mungu kupitia malezi bora ya kiroho na kimwili kwa watoto wetu, kwa kufanya kazi pamoja na Mungu. Katika Rum. 8:28 tunasoma: βNasi twajua ya kuwa katika mambo yote Mungu hufanya kazi pamoja na wale wampendao katika kuwapatia memaβ¦β¦β¦β Hii ni pamoja na kazi ya kulea watoto; Mungu hufanya kazi hiyo pamoja na sisi… soma zaidi
Tagsπ afya mapishinalishe
Asilimia kubwa tunapenda kutumia karoti katika kuunga katika mboga ya nyama na si kuila karoti kama karoti. wataalamu wanashauri ili uwe na afya bora unatakiwa ule karoti sita kwa wiki au moja kwa siku. Unaweza kula karoti ya kuchemshaa,juisi au mbichi… soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Nyama isiyokuwa na mifupa - 1 Β½ Lb(ratili)
Mchele wa Basmati (rowanisha) - 3 Magi
Vitunguu maji - 2
Mchanganyiko wa mboga za barafu - 1 Magi
(karoti, mahindi, njegere)
Pilipili Mbichi - 3
Pilipili mboga kijani na nyekundu - 1
Pilipili manga - Β½ kijiko cha chai
Chumvi - Kiasi
Sosi ya soya (soy sauce) - 5 Vijiko vya supu
Kitunguu saumu(thomu/galic) na tangawizi iliyosagwa - 1 Kijiko cha supu
Mchanganyiko wa bizari (garam masala) - 1 Kijiko cha supu
Kotmiri iliyokatwa - Β½ Kikombe
Mafuta ya kukaangia - Kiasi.. soma zaidi
Tagsπ : aliingia alipokea baada cha chumba daktari fundisho haraka hospitalini kazi kuelekea kuitwa kuvaa kwa kwenye moja na nguoza sana shughuli simu tagi: unakurupuka upasuaji upasuaji. usiwe wa ya habari
Daktari aliingia hospitalini kwa haraka sana baada ya kuitwa kwa shughuli ya Upasuaji wa haraka, alipokea simu haraka, na kuvaa nguoza kazi na kuelekea moja kwa moja kwenye chumba cha upasuaji… soma zaidi
Tagsπ hii hivyo husaidia kiafya kitambi kitambi. kitambi: kuacha kula kuondoa kupunguza kutengeneza kutoa kutumia mafuta mlo msingi mwili mwilini mzuri na ndio nguvu njia nyingi sana sukari tagi: ufunguo uzito vinavyotia vyakula vyenye wa yaliyo za wiki
Mlo mzuri kiafya ndio ufunguo wa kupunguza uzito na kutoa kitambi. Kuacha kula vyakula vinavyotia nguvu sana, vyenye mafuta na sukari nyingi ndio msingi wa kuondoa kitambi. Hii husaidia mwili kutumia mafuta yaliyo mwilini kutengeneza nguvu hivyo kupunguza mafuta na kuondoa kitambi. Aidha, punguza matumizi ya vinywaji vyenye sukari kwa wingi na tumia samaki badala ya nyama… soma zaidi
Tagsπ uchumi
1. Hauko Tayari kuthubutu na kujiunga
2. Kutokujiamini
3. Kutopata sehemu sahihi ya kupata ushauri
4. Kutokuwa na sababu za msingi au malengo ya msingi ya kupigania ndoto zetu
5. Kukaa katika shauli la wasio haki na barazani pa wenye mizaha.. soma zaidi
Tagsπ mapishinalishe
Hiki ni kipimo kinachotumika kuangalia uwiano wa urefu na uzito wa mtu, ni muhimu kuchukua vipimo kwa usahihi.Uwiano wa uzito katika Kilogramu na urefu katika mita hupatikana kwa kutumia kanuni ifuatayo:.. soma zaidi